Quantcast
Channel: JIACHIE
Browsing all 49489 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA BAHI, AZINDUA...

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua  daraja la Chipanga wilayani Bahi, Oktoba 19, 2018. Wapili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI PAMOJA NA WACHEZAJI WA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars ambao walifika Ikulu jijini Dar es Salaam pamoja na Viongozi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMUIYA YA JUKWAUPE YATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA WA VIJIJI VYA FUMBA NA...

Wafanyakazi wa Jumuiya ya kuwasaidia na kuwaenzi wazee wasiojiweza (JUKWAUPE) wakiwa katika Kijiji cha Fumba kwa ajili ya kutoa msaada kwa wazee wasiojiweza wa kijiji hicho Katibu Mkuu wa Jumuiya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MILIONI 500 ZATUMIKA KULETA NEEMA YA MAJI CHARAMBE NA KIBONDEMAJI

 Naibu Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso akizungumza na wananchi wakati wa kukabidhi miradi ya maji ya Charambe na Kibonde maji Jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya hatua zinazochukuliwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKUU WA IDARA ZA UTAWALA NA RASILIMALIWATU SERIKALINI WATAKIWA KUWATUMIKIA...

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi.Dorothy Mwaluko akizungumza na Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu waliohudhuria kikao kazi kilichofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUONGEZA MAWASILIANO ENEO LA UWEKEZAJI MKURANGA

 Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye (wa kwanza kulia) akifafanua jambo wakati wa ziara yake ya kukagua upatikanaji wa mawasiliano kwenye vijiji mbali mbali vya Wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking Nyuuuuzzzz.... : Mfanyabiashara Mo Dewji apatikana

*Apatikana baada ya waliomteka kumtupa viwanja vya Gymkhana Dar*Waliomteka inadaiwa walikuwa wanaongea lafudhi ya South Afrika*MO mwenyewe awashukuru Watanzania kwa dua zao kwakeNa Said Mwishehe,Globu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT NDUGULILE AWAAGIZA WATENDAJI WIZARA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAKAZI YA WAZEE...

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiongea na viongozi wa mkoa wa Morogoro na baadhi ya watumishi wa Mkoa huo hawako pichani kuhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI KISHAPU YAKABIDHI GARI JIPYA KUTOKA MGODI WA MWADUI

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Zainab Telack akiliangalia gari alilokabidhiwa kwa ajili ya Jeshi la Polisi wilayani Kishapu. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Zainab Telack akitoa maelekezo na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yawekeza Sh. Bilioni 45 Kwenye Miradi ya Maji Mtwara

 Ujenzi wa mradi wa maji wa Chipingo-Mkaliwata, wilayani Masasi katika mkoa wa Mtwara ukiendelea.Waziri wa Maji, Profesa Makame Mbarawa akitoa msisitizo kwa Jumanne Mackenzie, mkandarasi kutoka Kampuni...

View Article

ZIARA YA NAIBU WAZIRI DKT NDUGULILE MOROGORO MJINI

Copyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rostam Wainogesha IOKOTE ya Maua Sama kwenye Jukwaa la Tigo Fiesta Moshi.

Kundi la Rostam linalowashirikisha wasanii wawili Roma na Stamina jana walipanda jukwaani kuimba pamoja na msanii Maua Sama wimbo unaotamba kwa sasa ujulikanao kama IOKOTE kwenye Tamasha la Tigo Fiesta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP SIRRO AELEZA HATUA KWA HATUA NAMNA MO DEWJI ALIVYOPATIKANA...INASIKITISHA

*Atangaza msako mkali kuwasaka watekaji,agusia walivyotaka kuchoma gari kupoteza ushahidi *Silaha ya kivita,bastola zakutwa ndani ya gari ya watekaji ,atoa onyo kaliNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiJESHI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA NAMTUMBO SOPHIA KIZIGO AHAMASISHA VIJANA KUPIMA UKIMWI ILI...

Na Ripota Wetu,Globu ya jamiiWANANCHI wa Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma wameelezwa kuwa wana kila sababu za kuhakikisha wanakuwa na afya bora na salama, kwani afya ni muhimu na afya ni mtaji mkubwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMISHNA MKUU WA TRA AFUNGUA FAINALI ZA MASHINDANO YA VILABU VYA KODI

Na Veronica Kazimoto -Dar es Salaam Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Charles Kichere amefungua fainali za mashindano ya kumi na moja (11) ya vilabu vya kodi katika Shule za Sekondari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI LUGOLA AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU WA IDARA ZAKE, AHOJI UTENDAJI KAZI...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akizungumza na Watendaji Wakuu wa Wizara na Taasisi zake katika kikao cha kujadili masuala mbalimbali ya utendaji kazi kwa kipindi cha mwezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI, ACACIA WASAINI HATI ZA MAKUBALIANO KUTEKELEZA MRADI WA MAJI...

Halmashauri za Wilaya ya Msalala, Shinyanga (Shinyanga)  Nyang'hwale (Geita), Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (kupitia Wizara ya Maji na Umwagiliaji) na Wadau wa Maendeleo ambao ni ACACIA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU ATOA SIKU 25 KWA WATUMISHI CHAMWINO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge wakati alipozungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Chamwino kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AZINDUA USHIRIKA WA MAMLAKA SACCOS ZANZIBAR LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali zote mbili, yaani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Dkt. John Pombe Magufuli na Serikali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania, DRC Zaanza Mazungumzo Ujenzi wa Kinu/Kiwanda cha Kuchenjua Colbat

 Waziri wa Madini Angellah Kairuki na mgeni wake Waziri wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) Martin Kabwelulu (wa pili kushoto) wakimsikiliza Mtaalam Mwelezi  Martin Sezinga Akiwaonesha mashine...

View Article
Browsing all 49489 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>