Quantcast
Channel: JIACHIE

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mamia wamejitokeza katika mazishi ya Mratibu wa Miss Tanzania

 Mamia wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa Mratibu wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga ambayo yamefanyika leo Aprili 22, 2025 Kidatu mkoani Morogoro. Lundenga alifariki Aprili 19,2025 Jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI DODOMA WAIPA HEKO BAJETI YA TAMISEMI

Na Mwandishi Wetu, DodomaIkiwa leo ni siku ya mwisho ya kujadiliwa kwa bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wananchi mkoani Dodoma wamejitokeza kutoa maoni yao kuhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM WATUMA SALAMU ZA POLE NA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA PAPA FRANCIS

 Copyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JISAJILI, WEKA AMANA NA CHEZA – SHINDA SAMSUNG A25 MPYA KABISA!

 Meridianbet inazidi kuwapa wateja wake burudani iliyojaa nafasi za ushindi wa kweli! Kupitia promosheni yao mpya kabambe, Meridianbet inakupa nafasi ya kushinda moja kati ya simu 5 mpya za Samsung...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA KINGERIKITI WAIFURAHI KUPANDA KWA BEI YA KAHAWA

Afisa Ushirika wa Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma Menas Komba kulia,akizungumza na baadhi ya Viongozi wa Chama cha Msingi cha Ushirika Kingerikiti,wakati wa ziara yake ya kutembelea vyama vya Ushirika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WAITAKA WIZARA YA FEDHA IIPE FEDHA WIZARA YA TAMISEMI ITEKELEZE...

Na Mwandishi wetu, DodomaWABUNGE mbalimbali wameipongeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa ufanisi wao ambao wamekuwa wakiufanya katika kuhakikisha miundombinu, elimu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI EAC WAANZA JIJINI ARUSHA

Mkutano wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki umeanza leo Aprili 22, 2025 jijini Arusha ambako ndiyo Makao Makuu ya Jumuiya hiyo.Mkutano huo utakaofanyika kwa ngazi ya Wataalamu Aprili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA KUWACHUKULIA HATUA WAINGIZAJI MAFUTA WASIOFUATA UTARATIBU

 KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema TRA itawachukulia hatua Kali kwa mujibu wa sheria waagizaji na wauzaji wa mafuta ya Petroli na Dizeli wanaokiuka taratibu za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

American Roulette Ushindi Kwa Njia Rahisi Sana

 Dkt Jerecki ndiye muanzilishi wa mchezo wa Roulette ambapo yeye binafsi alikuwa akifika kwenye jumba la kasino majokeri wenzake wanamkimbia kwa kuogopa kupunwa pesa zao. Jamaa alifariki akiwa na miaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel Tanzania Yadhamini Singida Black Stars kwa Mashindano ya Kombe la...

 KAMPUNI Airtel Tanzania imejivunia kutangaza kuendeleza udhamini wake kwa Klabu ya Singida Black Stars, ambapo safari hii udhamini huu unalenga kuisaidia timu hiyo katika mashindano ya Kombe la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TULINDE, TUENZI UTAMADUNI KWA MANUFAA YA VIZAZI VYETU- MAJALIWA

 *Asema tusikumbatie tamaduni zinazokwenda kinyume na maadili na ustaarabu*Prof. Kabudi asema sarakasi ni mchezo unaongoza kuliingizia Taifa fedha za kigeniWAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maadhimisho ya Muungano 2025 kufanyika Kimikoa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (katikati) akiwa na viongozi mbalimbali katika kongamano la Miaka 61 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI NCHIMBI: TUSIVURUGWE MIEZI MICHACHE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

-Aelekeza RC, Mawaziri wawili kulipa fidia Nyatwali – BundaKatibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya wanasiasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE LAPITISHA KWA KISHINDO BAJETI YA TAMISEMI TRILIONI 11.78 KWA MWAKA...

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepitisha kwa kauli moja bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mwaka wa fedha 2025/26 yenye takribani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAB YASHIRIKI KIKAO KAZI CHA MAAFISA UTAMADUNI NA MAENDELEO YA MICHEZO JNICC

 Na Mwandishi Wetu.Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Wakili Patrick Kipangula ameshiriki Kikao Kazi cha Kimkakati cha Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya Michezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheza na Ushinde Sloti ya Juicy Fruits Kasino ya Meridianbet

 Juicy Fruits Multihold ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa wataalamu ‘Pragmatic Play‘. Mchezo huu wa sloti, utakutana na alama za ushindi kama vile wilds, ambayo pia huonekana kama alama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tume yaanza kukutana na wadau katika majimbo yaliomba kugawanywa

 Na Mwandishi wetu, MaguMWENYEKITI  wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele leo Aprili 23,2025 ameongoza kikao cha pamoja kati ya Tume na Wadau wa Uchaguzi katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

INEC yajiridhisha walioomba kugawanywa Majimbo

Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamMjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Balozi Omar Ramadhani Mapuri ameongoza kikao cha pamoja kati ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Wadau wa uchaguzi wa Jiji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI NCHIMBI AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU CCM MKOA WA MARA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Mara, kwenye kikao cha ndani kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

40 Imperial Crown, Taji la Utajiri na Meridianbet Kasino

 40 Imperial Crown kasino ya mtandaoni yenye safu tano zilizopangwa katika nguzo nne na una jumla ya mistari 40 ya malipo. Ili kuweza kushinda, ni lazima kuunganisha alama tatu au zaidi za kufanana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LISSU AGOMA KUSIKILIZA KESI YAKE KWA NJIA YA MTANDAO

 MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amegoma kusomewa maelezo ya awali katika kesi kusambaza taarifa za uongo mtandaoni kwa njia ya mtandao 'video conference'....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILA MMOJA WETU ANA JUKUMU LA KUPINGA UKATILI, TUSHIRIKIANE KUIOKOA JAMII -...

 Na WMJJWM - DodomaKATIBU  Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu amesema, jukumu la kuiokoa Jamii na ukatili wa kijiinsia ni la kila mmoja hivyo ameiasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pesa Kubwa Ipo Meridianbet Leo

 WAKALI wa ubashiri Tanzania leo hii Meridianbet wanakwambia hivi nafasi ya wewe kushinda zaidi ya mamilioni ipo hapa. Mechi kibao za ushindi zipo hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubeti hapa.LALIGA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA VIWANJA VYA MICHEZO PRIZ ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa uwekaji wa Jiwe la Msingi Ujenzi wa Viwanja vya Michezo vya Priz katika eneo la Kilimani Unguja Zanzibar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vipaumbele vitano Ofisi ya Msajili wa Hazina 2025/26

 Mwandishi Wetu,DodomaSERIKALI imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma, usimamizi...

View Article



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>