Quantcast
Channel: JIACHIE
Browsing all 49622 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA NCHI WA MAMBO...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Nchi  wa Mambo ya Nje wa Japan Masahisa Sato mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AAPISHA WAKUU WA MIKOA, MAKATIBU WAKUU, MAKATIBU TAWALA WA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Brigedia Jenerali Nicodemus Elias Mwangela kuwa mkuu wa mkoa wa Songwe  kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa mikutano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAWLA yazungumzia vikwazo vinavyozuia ongezeko la ushiriki na uwakilishi wa...

Josephine Arnold Wakili wa Chama cha Wanasheria wanawake TAWLA akifungua semina ya matekelezo ya Mradi wenye lengo la kuchangia ongezeko la ushiriki na uwakilishi wa wanawake katika ngazi mbalimbali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF KUSHIRIKI MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE MKOANI SIMIYU

Shirika la la Taifa la Hifadhi ya jamii NSSF linashiriki kwenye maonesho ya wakulima NANE NANE yaliyoanza tarehe moja mwezi wa nane katika viwanja vya Nyakabunda mkoani Simiyu. Kaimu meneja Uhusiano na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Shein akutana na kufanya mazungumzo na Meya wa Jimbo la Gorontalo na...

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amefanya mazungumzo na Makamo wa Rais wa Indonesia Muhammad Jusuf Kalla ambapo katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHANGAMOTO YA SOKO YAPELEKEA WAKULIMA WA ZAO LA KOROSHO MKINGA KUUZA NCHINI...

Katibu Tawala wa wilaya ya Mkinga, Joseph Sura akizungumza namna walivyojipanga kuimarisha ulinzi mipakani kupitia vyombo vya ulinzi na usalama huku wakisisitiza hakuna ulazima wa kuvusha korosho nje...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA WA SHIGONGO AZIKWA BUCHOSA SENGEREMA

MAZISHI ya mama wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Asteria Kapela, yamefanyika jana Agosti 1, 2018 katika kijiji cha Bupandwamhela Wilayani Sengerema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOFISA WA JESHI LA MAGEREZA WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA KAZI

Na Lucas Mboje, Magereza;KAMISHNA Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike amewataka Maofisa na askari wa Jeshi hilo kujiepusha na vitendo vilivyo kinyume na maadili ya kazi yao, badala yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAWLA yazungumzia vikwazo vinavyozuia ongezeko la ushiriki na uwakilishi wa...

Josephine Arnold Wakili wa Chama cha Wanasheria wanawake TAWLA akifungua semina ya matekelezo ya Mradi wenye lengo la kuchangia ongezeko la ushiriki na uwakilishi wa wanawake katika ngazi mbalimbali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FOMU YA KUOMBA HATI MPYA PALE YA ZAMANI INAPOPOTEA.

Na Bashir Yakub. Ni fomu namba 3 katika kanuni za Sheria ya usajili wa ardhi .Inatokana na kifungu cha 38 cha Sheria ya Usajili wa Ardhi Sura ya 334. Fomu hii kazi yake ni kuombea hati mpya ya ardhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GAVANA WA BoT ATANGAZA BANK M SASA IKO CHINI YA USIMAMIZI WAO

*Ni baada ya mtaji wake kutetereka, yapewa siku 90 kujitathimini Na Said Mwishehe, Globu ya jamii BENKI Kuu ya Tanzania(BOT) imeamua kuchukua usimamizi wa Bank M kuanzia leo na uamuzi huo unachukuliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jumia yasisitiza kuuza bidhaa bora na halisi mtandaoni

 Katika kuwajengea Watanzania mazingira salama na rahisi ya kufanya manunuzi kwa njia ya mtandao, Jumia imesisitiza kuwa bidhaa zote zinazopatikana kwenye mtandao wake ni halisi na zenye bora wa hali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOROSHAJI TANZANITE KIAMA KINAKUJA- WAZIRI KAIRUKI

Na Asteria Muhozya, SimanjiroWaziri wa Madini Angellah Kairuki amesema Serikali itaaendelea kusimamia ulinzi na kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite na watakaokwenda kinyume na matakwa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, JAPHET HASUNGA AWAASA WATUMISHI WA TFS...

Watumishi wa Wakala wa Huduma Tanzania (TFS) wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni na sheria za utumishi wa Umma ili kuleta ufanisi wakati wanapotekeleza majukumu yao ya uhifadhi.Rai hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAO LA MCHIKICHI KUMALIZA UHABA WA MAFUTA NCHINI

SEKTA ya kilimo ni mhimili wa uchumi wa Taifa na inategemewa katika kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kati ifikapo 2025, kupitia viwanda kwa sababu kilimo ndicho kitawezesha viwanda kwa kuvipatia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JENGENI DARAJA USIKU NA MCHANA- KWANDIKWA

Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa amemtaka Mkandarasi anayejenga Daraja la Magara linalounganisha Wilaya ya Babati na Mbulu kufanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha ujenzi wake unakamilika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maamuzi ya taasisi lazima yashirikishe baraza la wafanyakazi –Profesa Msanjila

Na Chalila Kibuda.Maamuzi yanapotakiwa kufanyika ni lazima uwepo ushirikishaji ili kuweza kuendesha taasisi na kupata mafanikio ya kimaendeleo na taifa kuona tija ya tasisi husika.Hayo aliyasema Katibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BoT YAAMUA ZIUNGANISHA BENKI ZA BENKI ZA TWB , TPB BANK Plc

Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiBENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeridhia ombi la uunganishwaji wa benki za Benki ya Wanawake Tanzania(TWB) pamoja na TPB Bank Plc. Kutokana na hatua hiyo sasa kutakuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI THERESIA,MKAZI WA MBURU ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU

"Huyu binti anaitwa Theresia yupo hapa Mbulu, aliugua ghafla na kupooza upande wa kulia toka 2011,alikuwa hawezi kuongea kabisa kwa zaidi ya mwaka mmoja,baada ya matibabu kwa mwaka mmoja alianza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT TIZEBA AAGIZA WAKAGUZI WA VIUATILIFU KULINDA MASLAHI YA TAIFA

Mgeni rasmi-Waziri wa Kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba akizungumza wakati wa mkutano wa ufunguzi wa mafunzo ya wakaguzi wa viuatilifu kwenye hafla iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha kilimo (SUA) Mkoani...

View Article
Browsing all 49622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>