Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46389 articles
Browse latest View live

BONANZA LA OFISI YA RAIS-UTUMISHI

$
0
0
1 
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa tatu kutoka kulia) akifanya mazoezi  na Watumishi wa ofisi yake wakati wa Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
2 
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakifanya mazoezi ya viungo wakati wa Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
3 
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kulia) akifungua Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika katika Viwanja vya Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.

4Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakishindana kukimbia na gunia wakati wa Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
6
Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakishindana kukimbia na yai wakati wa Bonanza la Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi lililofanyika Leaders Club siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015.
5

WANANCHI WA KIJIJI CHA KISUMBA MKOA WA RUKWA WAZUIA MSAFARA WA MGOMBEA MWENZA WA UKAWA

$
0
0
 Gari la mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji likilazimika kugeuza na kurudi katika eneo walilokusanyika wananchi waliokuwa na kiu ya kutaka ahutubie mkutano wa kampeni katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa leo. (Picha na Francis Dande)
  Gari la mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji likilazimika kugeuza na kurudi katika eneo walilokusanyika wananchi waliokuwa na kiu ya kutaka ahutubie katika kijiji cha Kisumba.
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitiaChadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitiaChadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 
 Baadhi ya wananchi wakiwa juu ya mti ili kumuona mgombeamwenza wa Ukawa wakati akihutubia wakazi wa kijiji cha Kisumba Rukwa.
 Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Zanzibar, Said Issa Mohamed (mbele) akiongoza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni katika Kijiji cha Kisumba mkoani Rukwa baada ya wananchi kuzuia msafara wa mgombea huyo. 
  Baadhi ya wananchi wakiwa juu ya mti ili kumuona mgombeamwenza wa Ukawa wakati akihutubia wakazi wa kijiji cha Kisumba Rukwa.
Msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni ukiwa umesimama katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa baada ya wananchi kuusimamisha katika kijiji hicho. 
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kisumba mkoani Rukwa baada ya kuzuia msafara wake.
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kisumba mkoani Rukwa baada ya kuzuia msafara wake.
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiagana na Ofisa wa Polisi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kasanga mkoani Rukwa.
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwa amembeba mtoto, Amon frednard wa kijiji cha Kipwa aliyekuja kupata matibabu katika zahanati ya kijiji cha Kasanga mkoani Rukwa. Kulia ni mama yake mzazi, Neema Clement.  
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akikagua zahanati ya Kasanga kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Kasanga mkoani Rukwa. Kulia ni tabibu msaidizi wa Zahanati hiyo, Eliudi Humbo. 
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akipata maelezo kutoka kwa tabibu msaidizi wa zahanati ya Kasanga, Eliudi Humbo alipotembelea zahanati hiyo kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kasanga mkoani Rukwa.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwajulia hali wananchi waliofika kupata huduma katika  zahanati ya Kasanga iliyopo katika wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa.
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwajulia hali wananchi waliofika kupata huduma katika  zahanati ya Kasanga iliyopo katika wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa.
 Jengo la zahanati ya Kasanga.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akitoka katika jengo la mahabara la zahanati hiyo ambalo limejengwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
 Majengo ya zahanati ya Kasanga
Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akikagua choo cha zanahati ya kijiji cha Kasanga.

WATANZANIA KIDUCHU WALIOJITOKEZA HARAMBEE YA CSI UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC JUMLA YA $2,696 ZAPATIKANA

$
0
0
Ivan Matovu akisherehesha harambee ya Childbirth Survival International iliyofanywa kwa ushirikiano wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015 katika chumba cha mkutano cha Nyerere ndani ya jengo la Ubalozi huo na jumla ya $2,696 zilikusanywa siku hiyo kwa ajili ya kusaidia kuokoa maisha ya wazazi wanaotarajia kujifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Biharamuro. 

CSI walishawahi toa msaada wa namna hiyo hospitali ya Amana iliyopo Wilaya ya Ilala jijini Dar na nchini Uganda kwa lengo hilo la kuokoa maisha ya wazazi watarajiwa wa kujifungua. Takribani ya wazazi 35 hufa kila siku aidha kwa sababu ya kukosekana vifaa au kwa uzembe na kutokuwepo kwa elimu ya kutosha itakayosaidia kuokoa maisha ya mzazi hao.

 Na kama ingekua daladala kila siku inatokea ajali na kuua wa 35 nadhani nchi ingacha shughuli zake na kulitazama swala hilo kwa upana zaidi lakini mtizamo wa akina mama hao 35 wanaopoteza maisha kila siku kwa ajili ya kujifungua bado wananchi na serikali haijalichukulia swala hili uzito unaostahili ya kuokoa maisha ya akina mama hao. PICHA NA VIJIMAMBO NA KWANZA PRODUCTION
 Tausi Swedi mmoja ya waanzilishi wa CSI akielezea kazi kubwa inayofanywa na Childbirth Survival International kujaribu kuokoa maisha ya akina mama wanaojifungua.
 Mkurugenzi na mmoja ya waanzilishi wa CSI nchini Tanzania Mama Stella Mpanda akielezea kazi ya Childbith Survival International nchini Tanzania.
Sandra Kiyonga mmoja wa CSI akielezea jambo.

Jessica Mushala akiipongeza CSI kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwasaidia akina mama wanaojifungua Duniani kote kwa kutoa elimu ya uzazi na vifaa kwa wazazi na wakunga kujaribu kuokoa maisha ya wazazi wanaojifungua kutokana na uzembe au kutokua na vifaa ikiwemo elimu ya uzazi.

Kikundi cha utamaduni cha ngoma ya asili aina ya mbuutu ya Uganda ikitumbuiza kwenye harambee hiyo.

Wahudhuriaji kwenye harambee hiyo. Kwa picha zaidi bofya HAPA

MADAKTAR BINGWA KOTOKA NCHI YA CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTAR WAZALENDO WANAENDELEA KUTOA HUDUMA ZA AFYA KATIKA MJI WA ZANZIBAR

$
0
0

1
DAKTARI DHAMANA KANDA YA UNGUJA  DOKTA FADHIL RAMADHAN AKITOA MAELEKEZO KWA MADAKTARI BINGWA KABLA YA KUANZA  ZOEZI LA MATIBABU KATIKA KIJIJI CHA KITOPE.
2
DOKTA FEI JIE AKIMPIMA MTOTO SARA SHAABAN MARADHI YA MENO NA KOO MKAAZI WA KITOPE WILAYA YA KASKAZIN B”.
34
WAKAAZI MBALI MBALI WA MJI WA KITOPE WAKIPATIWA MATIBABU
.
5
MTOTO HALILA HAMZA NAE AKIPATA HUDUMA ZA KUPIMWA UZITO.
6
DOKTA MKUU XU ZHUOQUN AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA WANAVYO ENDELEA NA ZOEZI LA KUWAPATIA HUDUMA ZA MATIBABU WANANCHI WA ZANZIBAR.
PICHA NA ABDALLA OMAR – MAELEZO ZANZIB

ACT WAZALENDO JIMBO LA IRINGA WAZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE

$
0
0
 Viongozi  wa ACT  wazalendo Iringa  wakijiandaa kwa  wimbo  wa Taifa jukwaani wakati wa uzinduzi wa kampeni  zao kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana  mjini Iringa jana

Mgombea ubunge  jimbo la Iringa mjini Chiku  Abwao  akiwahutubia  wananchi  katika  uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana

Mgombea ubunge  jimbo la Iringa mjini Chiku  Abwao  akiwahutubia  wananchi  katika  uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana
Msanii Baba  Revo  akiwa na Chiku Abwao

Rais Kikwete azindua miradi ya Maendeleo mkoani kigoma, awaaga wananchi

$
0
0
 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua jengo la kitega uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa(National Housing Corporation) NHC Lumumba Complex mjini Kigoma leo .Wengine katika picha ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete,(watatu kushoto), Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Lukuvi,(wanne kushoto), Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya,(Wapili kulia), Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bwana Nehemia Mchechu(kulia), na kushoto ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Kigoma mjini Mh.Peter Selukamba.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua jiwe katika jiwe kuashiria kufungua rasmi jengo la kitega uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa National Housing Lumumba Business Complex mjini Kigoma leo.Wapili kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na watatu kushoto ni Mkurugenzi mkuu wa NHC Bwana Nehemia Mchechu..


Jengo la Kitega uchumi Lumumba Business Complex, lililofunguliwa na Rais Kikwete mjini Kigoma leo
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa hafla ya uzinduzi mradi wa nyumba za bei nafuu NHC eneo la Mlole mjini Kigoma leo.Rais Kikwete yupo mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Kulia ni Waziri wa Ardhi Nyumba na  maendeleio ya Makazi Mh.William Lukuvi,Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Issa Machibya na watatu kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) Bwana Nehemia Mchechu
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe wakati wa uzinduzi wa nyumba za bei nafuu zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa NHC eneo la Mlole mjini Kigoma leo. Wengine katika picha ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.William Lukuvi(wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Issa Machibya(wapili kulia), Mbunge mstaafu wa Kigoma mjini Mh.Peter Selukamba(wanne kjshoto), Mkurugenzi mkuu wa NHC Bwana Nehemia Mchechu kulia na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Ndugu Walid Kabouru.
 Jengo jipya la NSSF Kigoma
 .Uzinduzi wa jengo jipya la NSSF Kigoma
 Picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa jengo la NSSF 
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mamia ya wakazi wa mji wa kigoma wakati akingia katika uwanja wa michezo wa Lake Tanganyika ambnapo alihutubia Mkutano wahadhara na kuwaaga rasmi wananchi wa mkoa wa Kigoma. Picha na Freddy Maro
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mamia ya wakazi wa mji wa kigoma wakati akingia katika uwanja wa michezo wa Lake Tanganyika ambnapo alihutubia Mkutano wahadhara na kuwaaga rasmi wananchi wa mkoa wa Kigoma(picha na Freddy Maro)

ARUSHA FC YAWATOA JASHO JKT OLJORO NYERERE CUP

$
0
0
TIMU ya Maafande wa JKT Oljoro ya jijini Arusha inayoshiriki ligi daraja la kwanza imeshindwa kuonyesha makali yake mbele ya wadogo zao  timu ya AFC Arusha inayoshiriki ligi daraja la pili baada ya kutoka suluhu ya bao 1-1 katika ufunguzi wa michuano ya Nyerere Cup 2015.

Mchezo huo uliofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid, uliwashuhudia maafande hao wa Oljoro wakianza kucheka na nyavu za AFC baada ya kujipatitia bao lake kupitia kwa mchezaji Swalehe Idd alilofunga kwa njia ya Penalti mnamo dakika ya 58, iliyosababishwa na mabeki wa timu pinzani kunawa mpira katika eneo la hatari.

Vijana wa AFC walionyesha juhudi zao kwa kulishambulia lango la Oljoro ambapo walifanikiwa kusawazisha bao mnamo dakika ya 88 kupitia kwa mshambuliaji wao Wandima Malechela baada ya kuachia  shuti kali lililokwenda moja kwa moja vyavuni.
Ufunguzi huo ni utangulizi tu wa Mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 13 yaliyoandaliwa na kampuni ya BIMO Media yenye kauli mbiu "Uchaguzi wa Amani  2015, ndio taifa moja kwa maendeleo ya utalii nchini" na yatafikia kilele siku ya kilele tarehe 19 mwezi huu katika viwanja vya Makumbusho Arusha.

Akifungua mashindano hayo kwa niaba ya mkurugenzi wa jiji la Arusha Idd Juma,  Afisa Elimu jiji la Arusha kwa shule za sekondari Josephat Ntabindi alieleza kuwa mashindano hayo ni humimu hasa kwa watoto hao wenye vipaji kuonyesha uwezo wo huku wakikuza uelewa kwa vijana wadogo na kumuenzi hayati baba wa taifa Mwl Julias Nyerere ambaye pia alikuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha michezo hadi kugharamia kambi za timu ya Taifa kitendo ambacho kwa sasa hakipo.

Naye mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano ya Bimo Media Bertha Ismail alisema  maadhimisho hayo yataambatana na mashindano ya kila mwaka ya ki- elimu  ya uandishi wa insha,makala pamoja na uchoraji  picha juu ya masuala ya utalii  kwa wanafunzi wa shule za msingi 25 zilizopo  Arusha.

“ Lengo ni  kuhamasisha uchaguzi wa mwaka huu  kufanyika kwa amani vile vile kuhamasiha watu  kuhudhuria hifadhi za utalii zilizoasisiwa na Mwl Nyerere na tunategemea Zaidi ya wanafunzi 700 watashiriki  katika shindano hilo la isha.”ismail alifafanua.

Timu za nyota academy,Future Stars,Kijenge Youth,Rolling Stone,Young Life na palloti zitachuana na washindi watakabidiwa zawadi mbalimbali ikiwemo vikombe na fedha.

VIJANA WAMETAKIWA KUTUMIA MAZINGIRA YANAYOWAZUNGUKA KUJIPATIA KIPATO

$
0
0
 Afisa vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw.Godfrey Massawe akizungumza na wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa kabla ya kufunga mafunzo ya wawezeshaji hao leo Jijini Mwanza. 
 Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bibi. Susan Ndunguru akizungumza na Wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha (hawapo pichani) kabla ya kufunga Mafunzo ya siku nane ya Uwezeshaji kwa wawezeshaji hao leo Jijini Mwanza. Kushoto ni Afisa Vijana Bw. Godfrey Massawe na kulia ni Mwezeshaji Kitaifa Bibi. Octavina Kiwone
 Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bibi. Susan Ndunguru  akitoa cheti cha kuhitimu Mafunzo ya Uwezeshaji wa Stadi za Maisha  kwa Bw. Edwin Gacho (kushoto) wakati wa kufunga Mafunzo hayo leo Jijini Mwanza
 Afisa Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Diana Kasonga (kushoto) akifuatilia Wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha kutoka Mkoa wa Kagera wakiandaa Mpango kazi watakaotumia wakati wa kufikisha ujuzi walioupata kwa waelimisha rika wa  Mkoa wa Kagera.
 
 Mwezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha Bi. Virginia Chacha (kulia) akifanya mazoezi ya uwezeshaji kwa wawezeshaji wenzake kama njia mojawapo ya kupima uwezo wa wawezeshaji hao kabla ya kufunga Mafunzo ya Uwezeshaji leo Jijini Mwanza
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bibi. Susan Ndunguru (wapili kushoto waliokaa) katika picha ya pamoja na Wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha baada ya kufunga mafunzo ya uwezeshaji leo Jijini Mwanza. Wapili kulia ni Mtaalam wa Stadi za Maisha Bw. Benny Lugoe na wakwanza kulia ni Afisa Vijana Bw. Godfrey Massawe.
Picha na:Genofeva Matemu – Maelezo, Mwanza


Na:Genofeva Matemu - Maelezo, Mwanza
Vijana wametakiwa kutumia vizuri mazingira wanayowazunguka kuibua mbinu mbalimbali za ujasiriamali ili kuweza kuondoka na taifa tegemezi kwa kusubiri kuajiriwa mara baada ya  kuhitimu masomo yao.

Rai hiyo imetolewa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bibi. Susan Ndunguru alipokua akifunga mafunzo ya Wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha leo Jijini Mwanza.

Bibi. Ndunguru amesema kuwa vijana waliopata mafunzo ya uwezeshaji wa stadi za maisha ni mabalozi ambao kama watatumia vizuri uwezo walioupata katika mafunzo hayo watabadili fikra za vijana wengi nchini hivyo kuweza kujenga taifa lenye afya nzuri, weledi na pamoja na ujuzi.

Kwa upande wake Mtaalamu wa masuala ya Stadi za Maisha Bw. Benny Lugoe amesema kuwa  washiriki wa Mafunzo ya Stadi za Maisha wana ari na motisha ya kujifunza na kama wataendelea kuwa na ari hiyo watakua wabunifu na wawezeshaji wazuri kwa vijana ndani ya jamii.

Aidha  Bw. Lugoe amewataka wahitimu wa kitaifa wa Stadi za Maisha kutimiza wajibu wao kwa kuwaandaa waelimisha rika katika mikoa yao ili kuweza kutimiza malengo yaliyokusudiwa na kuweze kubadili fikra za vijana katika jamii.

Naye Mwezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha kutoka Mkoa wa Shinyanga Bw. Ezra Manjerenga amesema kuwa ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana ni tatizo kubwa kwa Mkoa wa Shinyanga hivyo ugeni wa mafunzo ya stadi za maisha katika Mkoa huo utawavutia vijana wengi jambo ambalo litapelekea kutimiza lengo la serikali kufikisha mafunzo hayo kwa vijana wa rika mbalimbali.

Bw. Manjerenga ameiomba serikali kutoa mafunzo ya mara kwa mara kwa wawezeshaji wa kitaifa wa Stadi za Maisha haswa pale panapokua na mabadiliko katika mwongozo wa Stadi za maisha ili kuweza kubadilisha fikra za vijana wote nchini.
 


WANANCHI WA KIJIJI CHA KISUMBA MKOA WA RUKWA WAZUIA MSAFARA WA MGOMBEA MWENZA WA UKAWA

$
0
0
 Gari la mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji likilazimika kugeuza na kurudi katika eneo walilokusanyika wananchi waliokuwa na kiu ya kutaka ahutubie mkutano wa kampeni katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa leo. (Picha na Francis Dande)
  Gari la mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji likilazimika kugeuza na kurudi katika eneo walilokusanyika wananchi waliokuwa na kiu ya kutaka ahutubie katika kijiji cha Kisumba.
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitiaChadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 

 
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitiaChadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 
 Baadhi ya wananchi wakiwa juu ya mti ili kumuona mgombeamwenza wa Ukawa wakati akihutubia wakazi wa kijiji cha Kisumba Rukwa.
 Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Zanzibar, Said Issa Mohamed (mbele) akiongoza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni katika Kijiji cha Kisumba mkoani Rukwa baada ya wananchi kuzuia msafara wa mgombea huyo. 
  Baadhi ya wananchi wakiwa juu ya mti ili kumuona mgombeamwenza wa Ukawa wakati akihutubia wakazi wa kijiji cha Kisumba Rukwa.
Msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni ukiwa umesimama katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa baada ya wananchi kuusimamisha katika kijiji hicho. 
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kisumba mkoani Rukwa baada ya kuzuia msafara wake.
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kisumba mkoani Rukwa baada ya kuzuia msafara wake.
 Wananchi wakiusindikiza msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni baada ya kuusimamisha katika kijiji cha Kisumba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ili ahutubie mkutano katika kijiji hicho. 
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiagana na Ofisa wa Polisi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kasanga mkoani Rukwa.
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwa amembeba mtoto, Amon frednard wa kijiji cha Kipwa aliyekuja kupata matibabu katika zahanati ya kijiji cha Kasanga mkoani Rukwa. Kulia ni mama yake mzazi, Neema Clement.  
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akikagua zahanati ya Kasanga kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Kasanga mkoani Rukwa. Kulia ni tabibu msaidizi wa Zahanati hiyo, Eliudi Humbo. 
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akipata maelezo kutoka kwa tabibu msaidizi wa zahanati ya Kasanga, Eliudi Humbo alipotembelea zahanati hiyo kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kasanga mkoani Rukwa.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwajulia hali wananchi waliofika kupata huduma katika  zahanati ya Kasanga iliyopo katika wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa.
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwajulia hali wananchi waliofika kupata huduma katika  zahanati ya Kasanga iliyopo katika wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa.
 Jengo la zahanati ya Kasanga.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akitoka katika jengo la mahabara la zahanati hiyo ambalo limejengwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
 Majengo ya zahanati ya Kasanga
Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akikagua choo cha zanahati ya kijiji cha Kasanga.

ALIYE KUWA DIWANI WA KATA YA KIPAWA BONAH KALUWA AFUNGUA KAMPENI DHIDI YA UKATILI WA JINSIA KATIKA SOKO LA TABATA MUSLIM DAR ES SALAAM.

$
0
0
 Mwanaharakati wa kutetea wanawake na mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bonah Kaluwa (kulia), akizungumza na wanawake wakati akifungua kampeni ya kupinga ukatili wa jinsia dhidi ya wanawake katika Soko la Tabata Muslim lililopo mtaa wa Msimbazi,  Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Mjumbe wa mtaa huo, Tatu Lazaro na Mwenyekiti wa mtaa huo, Beatries Mkama.
Wanafunzi na wakazi wa Tabata Muslim wakiwa kwenye mkutano huo.
Meza kuu inavyoonekana katika ufunguzi wa kampeni hiyo.
Mgeni Rasmi Bonah Kaluwa akiwa meza Kuu.
Mgeni rasmi katika picha ya pamoja na wadau wapinga ukatili wa kijinsia masokoni.

 
Mgeni rasmi Bonah Kaluwa akiwa katika picha ya pamoja na wanawake wapinga ukatili wa kijinsia wa Tabata Muslim.
Mgeni rasmi akiondoka eneo la mkutano.
Wasanii wa kundi la Machozi wakitpoa burudani katika uzinduzi huo.
Maofisa wa Shirika la Equality for Growth (EfG), wakiwahamasisha wananchi kujaza fomu za kuwa mabalozi wa kampeni ya kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake masokoni. 
(Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com

Mgombea Mwenza CCM Apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi

$
0
0
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Mke wa Rais Kikwete, Mama Salma Kikwete akizungumza na umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho uliokuwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Katibu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na wanaCCM na wananchi kwenye mkutano wa kampeni za mgombea mwenza wa CCM, Mama Samia Suluhu jana Mkoani Lindi.
Bi. Samia Suluhu (kulia) akimtambulisha mgombea mmoja wa wagombea udiwani katika Jimbo la Mchinga, kuzungumza na wapiga kura wa eneo hilo.
Samia Suluhu akimpokea mmoja wa wanachama mpya aliyejiunga na CCM katika Jimbo la Mchinga.

Bi. Samia Suluhu akimpokea mmoja wa wanachama mpya aliyejiunga na CCM katika Jimbo la Mchinga.
Mmoja wa wanachama wapya wa CCM aliyejiunga na CCM mara baada ya mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza katika Jimbo la Mchinga.
KAMPENI za mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu zinazoendelea mkoani Lindi zimekuwa tishio kwa vyama vya upinzani baada ya mkutano uliofanyika jana eneo la Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kuzoa wanachama 61 waliotoka upinzania na kujiunga na CCM.

Mkutano huo wa kampeni uliohudhuriwa pia na Mke wa Rais Mama Salima Kikwete umeacha maumivu kwa vyama vya upinzani vya CUF, Chadema na NCCR-Mageuzi baada ya kujikuta wanachama 61 wakivikimbia vyama vyao na kujikuta wakijiunga na Chama Cha Mapinduzi na kukabidhiwa kadi mpya za CCM kila mmoja.

Miongoni mwa wanachama ambao walipokelewa leo ni pamoja na Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini, Abdullah Madebe, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Mtaa wa Nananji Lindi, Bakari Kalulu na wanachama wengine kutoka vyama vya CUF na Chadema. Akizungumza baada ya kumkabidhi kadi, Bi. Samia Suluhu Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini alisema awali alipokuwa upinzani alikuwa amepotea na amegunduwa kuwa alikuwa anapoteza muda hivyo kuomba wananchi wamsamehe na ameamua kurudi kundini na kuendelea kulkijenga taifa.

Akizungumza baada ya kuwapokea wanachama hao, mgombea mwenza Suluhu alisema Serikali ya awamu ya tano imeandaa mambo mengi mazuri kwa mikoa ya Lindi na Mtwara na jambo la kwanza kulifanya baada ya kuunda serikali ni kuubadili mji wa Mtwara na Lindi kuwa miji ya viwanda, hali ambalo itakuza uchumi kwa kiasi kikubwa hivyo kunufaisa wananchi.

Alisema kwa kuanzia Serikali inajenga viwanda vinane mkoani Mtwara na vingine vitajengwa mkoani Lindi viwanda ambavyo vitategemea gesi katika uzalishaji wake bidhaa ambayo tayari inapatikana kwa wingi katika maeneo hayo. Alisema ujenzi wa viwanda utaongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na kuongeza nafasi za ajira jambo ambalo litawanufaisha wakazi wa eneo hilo na wawekezaji.

"...Tunataka kuitenga Lindi kuwa mji wa viwanda vitakavyoitumia gesi kwa uendeshaji, lengo ni kuwa na viwanda vitakavyozalisha nafasi za ajira takribani asailimia 40...," alisema Bi. Suluhu. Awali akihutubiwa katika mkutano wa kampeni ulofanyika Kata ya Mingumbi Kilwa Kusini, alisema Serikali inatambua hali ya kuyumba kwa soko la korosho na ufuta ili kukabiliana na hali hiyo imejipanga kujenga viwanda vya kubangua na kufunga korosho pamoja na kukamua mafuta kwa lengo la kumuongezea thamani mkulima katika zao analozalisha.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wa Mnazi Mmoja Katibu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye aliwatoa hofu akinamama na wapiga kura wengine juu ya vitisho vya kuwepo na vurugu kipindi cha uchaguzi kwa lengo la kuwatisha wapiga kura, hivyo kuwataka wananchi wasiogope kwani Serikali na CCM kupitia vijana wake imejipanga kupambana na wafanya fujo hao.

Alisema kitendo cha kutoa vitisho kwa wapiga kura ni kuibaka demokrasia hivyo CCM na vijana wake hawatakuwa tayari kuona demokrasia inabakwa nchini na wapuuzi wachahe. "...Vijana wa CCM naomba mkikamata kibaka wa demokrasia shughulikeni naye kidogo kabla ya kumpeleka polisi...CCM itashinda kwa kishindo," alisema Nape Nnauye.

Aidha msemaji huyo wa Chama Cha Mapinduzi alisema mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa pamoja na mpambe wake anayemuunga mkono Fredrick Sumaye hawawezi kuiponda Serikali ya CCM kwa kuwa wao wamekuwemo na kushika nafasi za juu za utendaji ndani ya serikali na kama walishindwa kuleta mabadiliko hawawezi kufanya hivyo leo.

Aliongeza kuwa kitendo cha kuendelea kuiponda ni sawa na kujidhalilisha wao wenyewe kwa wananchi hivyo kuwataka wasiwarubuni Watanzania kwamba wanamabadiliko ya msingi zaidi ya maslahi yao binafsi, ambayo ndiyo yanayowasukuma kukimbilia walipo.

Mgombea mwenza wa urais CCM, Bi. Suluhu bado anaendelea na ziara ya kuinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi Mkoani Lindi na baada ya kumaliza majimbo ya mkoa huo ataendelea katika Mkoa wa Mtwara, kuwashawishi wananchi kuichangua CCM ili iweze kupata ridhaa ya kuunda Serikali ya awamu ya tano.

Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu kwenye Jimbo la 

Kutoka kushoto ni mgombea mwenza wa CCM nafasi ya uraisa, Bi. Samia Suluhu na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantumu Maiza na mgombea wa Jimbo la Mchinga Said Mtanda wakiwa kwenye mkutano wa kampeni katika Jimbo la Mchinga jana.
Mgombea Jimbo la Mchinga Said Mtanda akizungumza na wannaCCM na wananchi jana jimboni kwake ambapo mgombea mwenza alihutubia wananchi.
Sehemu ya wanaCCM na wananchi jana jimboni kwake ambapo mgombea mwenza alihutubia wananchi.
Mbunge wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dar es Salaam, Anjela Kiziga akizungumza katika mkutano wa kampeni za CCM. 
Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Ushindi Chadema Taifa, Greison Nyakarungu ambaye kwa sasa amejiunga na CCM akizungumza katika moja ya mikutano ya kampeni ya CCM.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Nkenge, Asumpta Mshama akipiga madongo kwa wapinzani kwenye moja ya mikutano ya kampeni ya CCM.  
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Katibu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (kulia) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Bi. Mwantumu Mahiza.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantumu Mahiza akizungumza na wanaCCM na wananchi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Mama Samia Suluhu.
Mke wa Rais Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi, Mzee Ally Mtopa pamoja na mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu wakijadiliana jambo kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM viwanja vya Mnazi Mmoja.
Sehemu ya umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini, Abdullah Madebe akikabidhi kadi ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aliyekuwa Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini, Abdullah Madebe (kulia) akipongezwa na Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu mara baada ya kujiunga na CCM, Katikati ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Mmoja wa wananchi waliojiunga na CCM katika mkutano huo akizungumza baada ya kujiunga na chama hicho tawala.
Mmoja wa wananchi waliojiunga na CCM katika mkutano huo akizungumza baada ya kujiunga na chama hicho tawala.
Mama Salma Kikwete pamoja na Bi. Samia Suluhu wakipokea kadi za wanachama waliojiunga na CCM jana Mkoani Lindi.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi, Mzee Ally Mtopa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM viwanja vya Mnazi Mmoja.

Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM pamoja na wananchi viwanja vya Mnazi Mmoja.
Kada wa CCM na mbunge wa zamani wa Mchinga, Mudhir Mudhir akizungumza na wanaCCM pamoja na wananchi wa Jimbo la Mchinga katika mkutano wa kampeni.
*Imeandaliwa/www.thehabari.com

MKUTANO NO. 69 WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA WAMALIZIKA KWA KISHINDO

$
0
0
Rais wa Baraza Kuu la 69 la Umoja wa Mataifa, Bw. Sam Kutesa akigonga nyundo maalum kuashiria kukamilika kwa Mikutano ya Baraza hilo ambalo ameliongoza kwa mwaka  mzima. Kushoto kwake  ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon akiwa mwenye furaha wakati wa kuhitimishwa  Baraza la 69 ambapo alimpongeza Bw. Sam Kutesa kwa kuliongoza  Baraza kwa uhodari  uliopelekea kupitishwa kwa maazimio mbalimbali.
Na Mwandishi Maaalum New York
Mkutano wa  69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,  uliokuwa chini ya urais wa  Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda Bw, Sam Kutesa   umefikia ukingoni siku ya jumatatu  kwa kupitisha maamuzi  ya kihistoria ambayo pamoja na mambo mengine yanatoa mwelekeo wa majadiliano kuhusu marekebisho na mageuzi ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Maamuzi hayo ambayo kwa mara ya kwanza yanaingizwa rasmi katika nyaraka muhimu za  Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa  na yaliyopewa namba A/69/L.92 yalipitishwa kwa kauli moja  na wajumbe  kutoka nchi 193 wanaounda  Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Maamuzi hayo ambayo baadhi ya wazungumzaji waliyapachika  jina kama maamuzi ya Kutessa ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wake katika kusimamia kidete   majadiliano kuhusu mageuzi ya  Baraza Kuu la Usalama la Umoja  wa Mataifa  yanatoa msingi  au maandishi  ambayo kwayo   yatawawezesha nchi wanachama kujadiliana kwa  kupitia maamuzi hayo.

Ingawa  maamuzi hayo yamepita   bila  la kupigiwa kura na kupongezwa kwa kufungua  ukursa mpya  katika  kuendeleza mchakato wa majadiliano ya   mageuzi na upanuzi wa  Baraza Kuu la Usalama,  baadhi ya nchi  zimeyaelezea  maamuzi hayo   kuwa na  ni ya kiufunzi zaidi na hivyo yasikuchukuliwe kama   maamuzi ya mwisho   kwa madai kwamba ,maandalizi na majadiliano ya   maamuzi hiyo hayakuwa jumuishi na hivyo hayawakilishi maoni na hisia za makundi yote.

Akiungana  na wazungumzaji wengi waliounga mkono kupitishwa kwa maamuzi hayo  Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manoni, amesema , majadiliano yaliyopelekea kupatikana kwa maamuzi hayo   hayakuwa rahisi, lakini  yameasisi hatua mpya ya mwendelezo wa ajenda  ya  kulifanyia mageuzi  Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa ili liwe jumuishi kuendana   mazingira ya sasa.

Akasema  hapana shaka kwamba    majadiliano   Zaidi yanapashwa kuendelea ili kijibu kiu ya kila upande na kwamba nchi wanachama wanapashwa kujivunia hatua hiyo muhimu  hataka kama ni  hatua ndogo.

 Akatumia  fursa hiyo kuwapongeza Bw.Sam Kutesa na Mwakilishi wa kudumu wa Jamaica Balozi Rattray  kwa kazi nzuri , kubwa na iliyokuwa na changamoto  nyingi lakini iliyofanikisha kupatika kwa  maamuzi hiyo.

Majadiliano kuhusu namna ya kuboresha  na kupanua wigo wa  wajumbe wa Baraza Kuu la  Usalama la Umoja wa Mataifa, ni majadiliano  yaliyoanza  mwaka 2008 lakini  ni  katika  Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Maifa ambapo  matokeo ya majadiliano  miongoni  mwa wanachama yameweza kupitishwa rasmi katika Baraza Kuu la  Umoja wa Mataifa.

Muundo wa sasa wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa  ambalo linawajumbe wa kudumu  na wenye kura ya turufu watano na wajumbe  10 wanaoingia kwa mzunguko wa  uwakilishi wa kikanda haujaitendea haki Afrika  bara ambalo licha ya kwamba  asilimia kubwa ya maamuzi yanayofanywa na Baraza Kuu la  Usalama yanaihusu Afrika lakini  Afrika si mwanachama wa kudumu na hiyvo imekuwa ikipigania kupata  nafasi ya uwakilishi wa kudumu   pamoja na  kura  ya turufu.

Kumalizika kwa Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la  Umoja wa Mataifa,  kunafungua kuanza kwa Mkutano wa Baraza Kuu la 70 ambalo kwa mwaka mzima  litakuwa chini ya  Urais wa  Bw.Monges Lykketoft

HIVI NDIVYO DKT MAGUFULI ALIVYOITIKISA TABORA JIONI YA LEO

$
0
0
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli,akiwahutubia Wananchi wa Tabora jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa  Ali Hassan Mwinyi.Dkt Magufuli alisema kuwa Serikali yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye wawe na maisha yenye neema na kwenye hilo ana uhakika atafanya kazi nzuri maana kwake yeye ni kazi tu na hakuomba kuwa Rais ili awe mwanasiasa bali anaomba nafasi hiyo kwa kujua anajua namna ambavyo amejipanga kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania wote.
 Sehemu ya umati wa watu waliokuwa katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jioni ya leo walipokuwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa tabora mjini na kuwaambia kuwa Dk. Magufuli ni kiongozi sahihi anayehitajika Tanzania kwa sasa na kuwataka wananchi kumpigia kura zote ifikapo Oktoba 25 mwaka huu.
  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tabora waliofurika kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia anataka kujenga Tanzania mpya yenye kuleta maendeleo kwa wananchi wote.
 Mmoja wa Makada walioko kwenye timu ya uhamasishaji wa kampeni za CCM,Mh.Samweli Sitta akiwahutubia wananchi wa Tabora kwenye mkutano wa kampeni za Urais ndani ya uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jioni ya leo.


 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa mji wa Tabora waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Ali Hassa Mwinyi mapema leo jioni,alipokuwa akiwasili kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wananchi wa mji wa Tabora waliojazana kusikiliza Sera na Mipango ya Chama Cha Mapinduzi itakayotumika kuongoza kwa miaka 10 ijayo.

 Wananchi wakishangilia .
  Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora.
 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Simiyu wakisubiri kumsikiliza mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli kuwahutubia akitokea wilayani Nzega mapema leo mchana
 Wafuasi wa chama cha CCM sambamba na wananchi wa Uyui wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa kampeni mapema leo mchana.
 Wafuasi wa chama cha CCM wakiwa na Mabango yao ndani ya uwanja wa Ali Hassan Mwinyi,wakimpokea Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli
 Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora
 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora Ndugu Hassani Wakasubi akitoa ufafanuzi mfupi kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara uliofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora
  Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora.
 Wananchi wakishangilia wakati Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia.

UNESCO, TCRA YATAKA WADAU WA HABARI KATIKA MATUMIZI YA INTANETI KUZINGATIA USIRI NA MAADILI

$
0
0
IMG_8938
Mwenyekiti wa National Governance Internet Forum ambaye pia ni Rais wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Kenneth Simbaya akiwakaribisha wadau wa mitandao na watumiaji wa intaneti kwenye jukwaa hilo kabla ya kumkaribisha mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TCRA kufungua rasmi jukwaa hilo.. Kulia ni Katibu Mtendaji wa Tanzania Education and Research Network (TERNET), Amos Nungu na Kushoto ni Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph akifuatiwa na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Bw. Sunday Richard. (Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

Na Mwandishi Mwetu
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, (UNESCO), limewaomba wadau wa habari hasa wa matumizi ya intaneti kuzingatia maadili na usiri katika kazi zao ili kutovunja sheria zilizowekwa na mamlaka husika likiwemo suala la sheria ya mtandao iliyopitishwa hivi karibuni nchini Tanzania.

Hayo yameelezwa na Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph aliyekuwa akimwakilisha Mkurugenzi wa UNESCO, Zulmira Rodrigues katika Jukwaa la wadau wa usimamizi wa masuala ya mtandao (NIGF), lililofanyika mwishoni mwa wiki na kuandaliwa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC).

UNESCO inaamini masuala ya usiri katika mitandao ni njia bora zaidi za kuepukana na suala la mmomonyoko wa maadili na usio zingatia taaluma.
Ambapo amebainisha kuwa, takribani Asilimia 84 ya Mataifa duniani wamegundua hawana sheria madhubuti ya kulinda uhuru wa usiri kwa wananchi kupitia mitandao hivyo ni muhimu kuzingatia taaluma na maadili kwenye matumizi ya intaneti hasa kwa kipindi hichi.

“UNESCO inaamini mambo muhimu ya kuzingatia juu ya matumizi ya mitandao ikiwemo kuwa na Uwazi, Upatikanaji na Ushirikishi. Kwa hayo machache, mjadala huu wa matumizi ya mtandao unaweza kufanikiwa na sie tunapenda kuungana na nyinyi katika kushirikiana katika suala hili” alieleza Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph.
IMG_9056
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Bw. Sunday Richard akifungua rasmi Jukwaa la wadau wa usimamizi wa masuala ya mtandao (NIGF) lililoandaliwa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) na kufanyika mwishoni mwa juma katika ukumbi wa mikutano COSTECH jijini Dar. 

Kushoto ni Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph aliyemwakilisha Mkurugenzi wa UNESCO na kulia Mwenyekiti wa National Governance Internet Forum, Kenneth Simbaya.

Aidha, katika mkutano huo, imeelezwa kuwa, matumizi makubwa ya mtandao wa kompyuta (intaneti) yatasaidia ongezeko la pato la taifa (GDP).
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya jukwaa la mtandao wa intaneti (IGF) Kenneth Simbaya wakati wa jukwaa hilo ambapo amebainisha kuwa, katika matumizi yake ni muhimu sana kujadili kutengeneza kesho wanayoitaka watanzania katika matumizi ya mtandao.

Ameeleza chombo cha IGF kimelenga kuangalia maendeleo ya mtandao nchini usalama wake na matumizi ya mtandao yanayoelenga kubadilisha maisha ya watanzania kwani chombo hicho nchini Tanzania kimeundwa kutokana na mkutano wa kimataifa wa jamii ya wanahabari (WSIS) waliotaka kuwepo na jukwaa kuangalia matumizi ya matandao kutokana na kuongeza kwa haja ya matumizi.

Simbaya amesema Majukwaa hayo yanatakiwa kuzungumza kuhusu sera kwa lengo la kuangalia uendelevu wake , usalama, ukuaji wa mtandao wenyewe na menejimenti yake.

Kwa upande wake Mtaalamu kutoka TCRA Dk. Emmanuel Manasseh akithibitisha umuhimu wa mtandao katika maisha ya sasa na yajayo, alielza kwamba kama kutakuwepo na ongezeko la watumiaji angalau kwa asilimia 10 pato la taifa litaongezeka kwa asilimia 1.4. zaidi.

Ambapo anaendelea kubainisha kuwa, kwa sasa idadi ya watumiaji wa mtandao wameongezeka kufikia asilimia 11 na kwamba lugha ya mtandao kwa sasa inaathiri watu mbalimbali kwa namna njema na namna mbaya.

Jukwaa hilo pamoja na kuzungumza kuhusu uendelevu wake pia ulizungumzia sheria , kanuni na taratibu zinazotakiwa kuzingatiwa katika matumizi na utawala wa intaneti ili kuzifanya zitumike kwa makusudio mema zaidi.

Naye mtaalamu wa masuala ya mtandao wa intaneti, Maxence Melo kutoka Jamii Forum amesema kwamba mpaka sasa anaona kwamba matumizi ya mtandao Tanzania bado salama ingawa juhudi lazima ziendelee kufanyika kuhakikisha kwamba hali ya usalama inaendelea kuwapo.
IMG_8959
Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph aliyemwakilisha Mkurugenzi wa UNESCO akitoa salamu za shirika la UNESCO wakati wa mkutano wa Jukwaa la wadau wa usimamizi wa masuala ya mtandao (NIGF) ulioandaliwa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC).
IMG_9012
Katibu Mtendaji wa Tanzania Education and Research Network (TERNET), Amos Nungu akitoa salamu za TERNET kwa wadau waliohudhuria jukwaa hilo.
IMG_9203
Mtaalamu kutoka TCRA Dk. Emmanuel Manasseh akiwasilisha mada iliyoelezea umuhimu wa mtandao katika maisha ya sasa na yajayo wakati wa jukwaa hilo.
IMG_9206
Pichani juu na chini ni sehemu ya washiriki waliohudhuria jukwaa hilo wakifuatilia "presentation" iliyokuwa ikitolewa na Mtaalamu kutoka TCRA Dk. Emmanuel Manasseh (hayupo pichani).
IMG_9182
IMG_9207
IMG_8974
IMG_9218
Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph kwa mtaalamu kutoka TCRA (hayupo pichani) kama wana mipango gani kuhakikisha kuwa kutakuwepo na masafa ya kutosha kwa miaka mingi ijayo kwaajili ya wananchi wa vijijini na wale wasio na uwezo.
IMG_9076
Picha ya pamoja.
IMG_9115
Maxence Melo kutoka Jamii Forum akizungumza na waandishi wa habari wakati wa jukwaa lililowakutanisha kwa pamoja wadau wa masuala ya mitandao ya intaneti.
IMG_9081
Maxence Melo kutoka Jamii Forum (katikati) akipata picha ya pamoja na wajumbe wa Tanzania Bloggers Network (TBN), Fredy Njeje wa Blog za Mikoa (kulia) na Mr. Verbs.
 

WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI WAENDELEA KUWASILI KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA

$
0
0
 Mkimbizi  kutoka  Burundi,  Philipo Nyandungulu,   akishuka  kutoka  kwenye  basi  baada  ya  kuwasili katika  kambi  ya  wakimbizi  ya  Nyarugusu  iliyoko  Kasulu  mkoani  Kigoma.   Idadi  ya  wakimbizi  kutoka  Burundi  imekuwa  ikiongezeka  siku  hadi  siku  na  Wizara  ya  Mambo  ya Ndani ya Nchi kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHRC) imekuwa ikiwahifadhi kwa muda katika kambi hiyo.
 Baadhi ya wakimbizi kutoka nchini Burundi, wanaohifadhiwa katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma, wakiwapokea wakimbizi wenzao (hawapo pichani) waliowasili jana kwa basi kwa ajili ya kuhifadhiwa katika kambi hiyo.
 Mkimbizi kutoka Burundi,Philipo Nyandugulu(kushoto)   na mkewe Vanisi Nyandugulu,  wakisubiri taratibu za kupangiwa sehemu ya kuishi baada ya kuwasili katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma, baada ya kuwasili katika kambi hiyo jana.
 Mkimbizi kutoka Burundi, Vanisi Nyandugulu akipanga vifaa vyake baada ya kuwasili katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma jana.  Wakimbizi kutoka Burundi wanaendela kuwasili nchini ambapo wanahifadhiwa katika kambi ya wakimizi ya Nyarugusu.

 Koplo Flora Peter  wa Kituo cha Polisi katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu akiwa ameshikilia visu, panga na fimbo vilivyokutwa katika baadhi ya mizigo ya wakimbizi kutoka Burundi wanaowasili katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma.  Vifaa vya hatari kama vile visu, panga, fimbo na mishale haviruhusiwi kumilikiwa na wakimbizi wapya wanaowasili kambini hapo, kwa sababu za kiusalama.
 Mkimbizi kutoka Burundi,  Nibaruja Europernce , akihamasisha wenzake wanaowasili katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma kuhusu taratibu za kuishi kambini hapo ikiwani ni pamoja na kutekeleza masuala muhimu ya kiafya, jana.
 Mfanyakazi wa Shirika la Maji na Usafi wa Mazingira (TWESA) linalofanya shughuli zake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma, Andrea Niyitanga , Akimnawisha mikono kwa kutumia maji yaliyowekwa dawa, mkimbizi kutoka Burundi ikiwa ni mojawapo ya mkakati wa kutoa elimu ya afya.
 Mtoto Olivia Nekwizera, ambaye ni mkimbizi kutoka Burundi akisaidiwa na mama yake kunawa mikono baada ya kuwasili katika kambi ya wakimizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Kunawa mikono kwa maji yenye dawa ni jambo la lazima kwa wakimbizi wapya kuonyesha umuhimu wa kuzingatia masuala ya afya na pia kudhibiti magonjwa ya kuambukiza.
 Watoto wa moja ya familia ya wakimbizi kutoka Burundi wakielekezwa kuingia katika makazi yao mara baada ya kuwasili katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma. Anayeelekeza ni mfanyakazi wa Shirika la Maji na Usafi wa Mazingira (TWESA) linalofanya shughuli zake katika kambi hiyo.
Wakimbizi kutoka Burundi wakipata maelezo ya jinsi ya kuishi katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu mkoani Kigoma mara baada ya kuwasili kambini hapo.  Anayetoa maelekezo hayo ni Nayiga Mireye  wa Shirika la Maji na Usafi wa Mazingira (TWESA) linalofanya shughuli zake kambini hapo.
(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI)


WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA MTAKUJA YA JIJINI WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA KOMPYUTA MASHULENI

$
0
0

 Mwalimu wa masomo ya Sayansi wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam, Elibariki John akiwaelekeza wanafunzi wa kidato cha pili, Jacqueline James(kushoto) na Ibrahim Juma  wa shule hiyo jinsi ya kutafuta  taarifa za maarifa ya masomo  ya sayansi kwa njia ya kompyuta mpakato zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaoendeshwa na Learning In Sync.
 Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha pili wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam, wakiendelea kujifunza masomo mbalimbali kupitia kompyuta mpakato zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaosimamiwa na Learning In Sync.
Mariam Mwishaha na Khairat Massoud - wanafunzi wa kidato cha pili wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam wakimsikiliza kwa umakini Mwalimu wa masomo ya Sayansi wa shule hiyo,Elibariki John(kushoto) wakati akiwafundisha masomo hayo kupitia kompyuta mpakato walizopatiwa msaada na Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaoendeshwa na Learning In Sync.
Wanafunzi wa kidato cha pili wa  shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam,wakimsikiliza mwalimu wao wa masomo ya Sayansi Elibariki John,akiwafundisha somo hilo kwa vitendo kupitia kompyuta mpakato zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaoendeshwa na Learning In Sync.

BI. SAMIA SULUHU AHAIDI NEEMA KWA WAPIGA KURA MAJIMBO YA LIWALE NA NACHINGWEA

$
0
0
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Sabasaba Mjini Nachingwea kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu. Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Sabasaba Mjini Nachingwea kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu.
Sehemu ya wanaCCM na wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu kwenye Uwanja wa Nangwanda Jimbo la Liwale.
AKIZUNGUMZA na wananchi katika mikutano hiyo mgombea mwenza Bi. Samia Suluhu alisema licha ya ilaya ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuonesha kulenga kuboresha maisha ya wananchi haswa akinamama na vijana kupitia vikundi anuai, alisema Serikali itakayoundwa na CCM endapo ikifanikiwa kurudi madarakani itahakikisha inaweka utaratibu wa kupima ardhi na kuigawa kwa wananchi ili kuwaandalia hati za kawaida na zile za kimila kwa vijijini. Alisema utaratibu huu utawawezesha wananchi kuwa na dhamana katika mikopo na kuweza kujiendeleza kwa shughuli zao za kiuchumi. 

Aliongeza licha ya zoezi la upimaji na utoaji hati kuwa na manufaa kwa wananchi aliongeza kuwa litapunguza migogoro ya ardhi kati ya pande anuai na matumizi tofauti jambo ambalo lilikuwa kikwazo hapo awali. "...Tutapima maeneo na kutoa hati za kimila na Serikali ili wananchi waweze kutumia kama dhamana katika mikopo, hizi zitasaidia wananchi kupata fedha za kujiendeleza,"

 alisema. Akizungumzia soko la korosho alisema Serikali imekisikia kilio cha wananchi juu ya utaratibu wa stakabadhi ghalani hivyo kuwaahidi kulifanyia kazi suala hilo. Mambo mengine ambayo Bi. Samia Suluhu aliahidi kuyashughulikia ni pamoja na huduma za maji safi na salama kuzijenga barabara za kuingia na kutoka katika Wilaya hizo za Nachingwea na Liwale kwa kiwango cha lami kwa awamu na kuboresha elimu. Bi. Samia anaendelea na ziara yake katika Mkoa wa Lindi na anatarajia kuanza ziara hiyo mkoa wa Mtwara leo jioni, kuendelea kuinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi.
Sehemu ya wanaCCM na wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu kwenye Uwanja wa Nangwanda Jimbo la Liwale.
Sehemu ya wanaCCM na wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu kwenye Uwanja wa Nangwanda Jimbo la Liwale.
Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akihutubia kwenye Uwanja wa Nangwanda Jimbo la Liwale jana.
Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akihutubia kwenye Uwanja wa Nangwanda Jimbo la Liwale jana.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Sabasaba Mjini Nachingwea kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Sabasaba Mjini Nachingwea kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu.
 
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Sabasaba Mjini Nachingwea kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Sabasaba Mjini Nachingwea kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu.


Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Sabasaba Mjini Nachingwea kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Sabasaba Mjini Nachingwea kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu.
Mgombea ubungea wa Jimbo la Nachingwea akizungumza na wanaCCM na wananchi wengine katika uwanja huo.
Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Nkenge, Asumpta Mshama akizungumza katika mkutano wa kampeni jana.
Meza kuu ya mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM mjini Nachingwea. Kulia ni mgombea wa ubunge Jimbo la Nachingwea Hassan Elias Masala akiwa na mgombea mwenza. *Imeandaliwa na www.thehabari.com

WASANII WAPANIA MAKUBWA TAMASHA LA AMANI

$
0
0
Na Mwandishi Wetu
TAMASHA la Amani linatarajiwa kufanyika Oktoba 4, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na tayari wasanii mbalimbali wamepania kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki watakaojitokeza.

Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa wiki hii na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo,Alex Msama ilieleza kuwa wasanii hao wamesema kuna mambo mazuri watayafanya siku hiyo.

Baadhi ya wasanii waliotajwa kwamba watatumbuiza siku hiyo ni Sarah K, John Lissu, Rose Muhando, Upendo Nkone, Upendo Kilahiro na Boniface Mwaitege.

Taarifa hiyo inawakariri wasanii mbalimbali wakizungumzia tamasha hilo, huku wakitamba kwamba mambo yatakuwa mazuri.

“Nimedhamiria kuwapa mambo mazuri mashabiki wangu, najua watafurahi sana, watakaokuja hawatajuta,” ni kauli ya Rose Muhando.

Naye msanii Upendo Nkone, amewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi na kuwa wana imani kubwa litakuwa tamasha zuri.

CHAMA CHA ACT WAZALENDO WAFUNGUA KAMPENI ZA CHAMA HICHO IRINGA

$
0
0
 Mgombea  ubunge   jimbo la Iringa mjini  Bi  Chiku  Abwao.
Chiku  Abwao  akiwahutubia  wananchi 

Na MatukiodaimaBLog
CHAMA  cha ACT  wazalendo  kimezindua kampeni  zake  za  ubunge katika  jimbo la Iringa  huku  mgombea  wake ubunge  katika  jimbo  hilo Bi  Chiku  Abwao akivilalamikia baadhi ya   vyombo vya habari  nchini kwa  kukalia  habari  zake  zinazohusiana na uchafu  wa mgombea  Urais  wa  chama  cha  Demokrasia na maendeleo (chadema) anayewakilisha vyama vinavyounda  umoja  wa katiba ya  wananchi (UKAWA) Edward  LOwassa  kuwa hana sifa ya kuwa Rais wa nchini hii.

Akizungumza  wakati  wa uzinduzi  wa kampeni  zake  juzi katika  uwanja  wa Mwembetogwa  mjini Iringa , Abwao  alisema  kuwa anasikitishwa na hatua ya  baadhi ya  wanahabari na  vyombo  vya habari nchini kukalia pasipo  kuzitoa habari  za  kupinga  hatua ya Chadema na ukawa kumsimamisha Lowasa  kuwa mgombea  urais  wakati wao  kama   wapinzani sera  na ajenda yao  kubwa  ilikuwa ni  kupinga ufisadi na hata  kumtaja hadharani  waziri  mkuu  huyo  mstaafu kwenye  orodha ya mafisadi .
 

"Kila  wakati  nimekuwa  nikikemea hatua ya  Chadema na  Ukawa  kukumbatia mafisadi wakubwa na hata  kuwana nafasi  za  kuwania Urais  ila leo naomba kupeleka kilio  changu kwa baadhi ya  vyombo  vya habari na  wanahabari hapa  nchini ambao wamekuwa  wakikalia habari zangu za  kupinga  ufisadi  na kutoafiki mgombea  Urais wa UKAWA Bw Lowassa......nikikemea  sana  masuala ya  Lowassa  kuhusishwa na ufisadi papa na  Chadema na leo kukaribishwa  kugombea  Urais wanahabari na  vyombo  vya habari havitoi katika magazeti  ninawasiwasi na wao  wanamshiko  wa ufisadi nitasema  ukweli kwa  wale ambao wamemezwa  na ufisadi lakini  si kwa  wanahabari  na vyombo vyote  " alisema  Chiku

Kuwa  baadhi ya  vyombo vya habari na  mitandao ya  kijamii imekuwa ikitoa  habari  zake pasipo  kuficha  ukweli  ila wapo  baadhi  ambao  wamekuwa  wakificha  ukweli na yupo  tayari  kuendelea  kupinga hatua ya UKAWA  kumsimamisha  Lowassa  kuwa mgombea huku  akivitaka  vyombo  vya habari kulisaidia Taifa  kupata  kiongozi bora na  sio  bora   kiongozi.

" Wapo  baadhi ya  waandishi  wamekuwa  wakiweka mambo  wazi ila  wapo  ambao wamemezwa na ufisadi ambao kazi  yao ni  kutetea  ufisadi na kuwa  yupo  tayari  kusema  kweli kwa faida ya  watanzania "

Hata   hivyo  alisema  sababu ya  yeye  kuondoka  ndani ya CHADEMA ni  kutokana na hatua ya  chama   hicho  kumkaribisha  waliyemuita  fisadi  kuwa mgombea  Urais na  kuwaacha  wanachama  wenye  sifa  ya  kuliongoza Taifa .

Pasipo kutaja majina ya  wana chadema  ambao  walikuwa na sifa ya  kuwania nafasi ya Urais  alisema  kuwa kwa upande  wake  alikuwa ni mbunge  wa viti maalum na  mjumbe wa kamati kuu ya Chadema  ila kutokana na kukaribisha  watu  wachafu kugombea nafasi hiyo ya Urais hakupenda kubaki ndani ya  chama  hicho na  hivyo kulazimika  kujiunga na ACT  wazalendo  chama  chenye  misingi  bora ya  uongozi.

Bi  Abwao  alisema  kuwa kuna haja  ya  wananchi  kutomchagua Lowasa na pia kwa  wana Iringa mjini  kutoendelea  kuburuzwa na aliyekuwa mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa ambae  aliusadikisha  umma  kuwa Lowassa  ni fisadi na kuwa angewashangaa  watanzania ambao  watasimama  kumshangilia  Lowassa na hata kudai  kuwa  watu hao  wangepaswa  kupimwa akili ila  leo  yeye na viongozi wenzake wa UKAWA wamekuwa wa kwanza  kumpigia kampeni na  kunadiwa na huyo  waliyemuita ni fisadi hata  bila ya  kwenda  kupima akili  zao.

Alisema  kuwa lazima  wananchi  kukwepa  kuwachagua viongozi  wanaotafuta  ungozi kwa pesa na badala  yake kuchagua  viongozi makini  kutoka  chama  chake  cha ACT  Wazalendo ambacho hakina  ubia na mafisadi .

Kuhusiana na nini chama  chake  kitafanya  iwapo  wananchi  wa jimbo la Iringa mjini  watamchagua  kuwa mbunge wa  jimbo  hilo alisema ni pamoja na  kuweka mfumo mzuri wa  kuwasaidia  wazee kwa  kuwakatia  bima  za afya , kuanzisha miradi ya  vijana na  kusaidia  yatima  na  walemavu  kiuchumi.

Kwani alisema  mbunge  aliyekuwepo  jimbo  hilo Mchungaji Msigwa amechangia  kuua nguvu ya  upinzani katika   jimbo  hilo kutokana na kushindwa  kutimiza ahadi ambazo alipata  kutoa kwa  wananchi  mwaka 2010  japo ameomba  wananchi  kumwamini  yeye  kwa kumchagua  kuwa mbunge wa  jimbo  hilo japo kwa  kipindi  kimoja  cha miaka mitano na  iwapo atashindwa kutimiza ahadi  zake kama alivyofanya mchungaji Msigwa basi wasimchague  tena mwaka 2020.

DK MAGUFULI AKIWA KATIKA VIWANJA VYA ULYANKULU WILAYA YA KALIUA TABORA LEO.

$
0
0
Wananchi wakiwa katika viwanja vya Ulyankulu wilayani Kaliua
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli leo katika viwanja vya Ulyankulu wilayani Kaliua mkoani  Tabora  leo katika kampeni za kuwania nafasi hiyo mkoani humo.
Viewing all 46389 articles
Browse latest View live




Latest Images