Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wa pili kushoto), akishiriki kupalilia katika shamba la dengu la mwanakijiji cha Manawa, Kata ya Misasi, Luhoyo Mwilima (Wa tano kulia), akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama katika jimbo la Misungwi mkoani Mwanza, leo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana,Leo aliendelea na ziara yake katika jimbo la Misungwi linaloongozwa na Mh. Charles Kitwanga ambaye pia ni naibu Waziri wa Nishati na Madini akitembelea maeneo mbalimbali na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015, inayotekelezwa na serikali ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wananchi ili kuzipatia ufumbuzi.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikatiza katika kijiji cha Mahando,mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika Ofisi ya CCM tawi la Kijiji cha Mahando, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Misungwi mkoani Mwanza leo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akimueleza jambo Mbunge wa Jimbo la Misungwi Dkt.Charles Kitwanga,walipokwenda kuwasalimia Mama Lishe na kuzisikiliza changamoto zao na namna ya kuwasaidia kwa namna moja ama nyingine.
Wananchi wa kijiji cha Nyang'homango wakimshangilia Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana alipowahutubia katika kijiji hicho ,wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana,Leo aliendelea na ziara yake katika jimbo la Misungwi linaloongozwa na Mh. Charles Kitwanga ambaye pia ni naibu Waziri wa Nishati na Madini akitembelea maeneo mbalimbali na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015, inayotekelezwa na serikali ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wananchi ili kuzipatia ufumbuzi.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikatiza katika kijiji cha Mahando,mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika Ofisi ya CCM tawi la Kijiji cha Mahando, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Misungwi mkoani Mwanza leo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akimueleza jambo Mbunge wa Jimbo la Misungwi Dkt.Charles Kitwanga,walipokwenda kuwasalimia Mama Lishe na kuzisikiliza changamoto zao na namna ya kuwasaidia kwa namna moja ama nyingine.
Wananchi wa kijiji cha Nyang'homango wakimshangilia Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana alipowahutubia katika kijiji hicho ,wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezo Nape Nnauye akiwahutubia na kuwasalimia wakazi wa kijiji cha Nyang'homango waliokusanyika kwa wingi ,ikiwemo pia kumsilikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana
Mbunge wa jimbo la Misungwi Dkt.Charles Kitwanga akiwasalimia wananchi katika kijiji cha Nyang'homango.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (wapili kulia) akisindikizwa kwa ngoma ya Sungusungu, alipokuwa akienda kuzindua Ofisi ya CCM na kuzungumza na wananchi katika Kijiji cha Mahando, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCm na Uhai wa Chama katika jimbo la Misungwi mkoani Mwanza leo.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (wapili kulia) akiwa sambamba na Mbunge wa jimbo la Misungwi,Mh.Charles Kitwanga pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Mkoa Ndugu Miraji Mtaturu wakiwapungia mkono na kukaribishwa na wananchi, alipokuwa akienda kuzindua Ofisi ya CCM na kuzungumza na wananchi katika Kijiji cha Mahando, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCm na Uhai wa Chama katika jimbo la Misungwi mkoani Mwanza leo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akifungua jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa Ofisi ya CCM tawi la Kijiji cha Mahando, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Misungwi mkoani Mwanza leo. Baadaye Kinana aliwataka, kuitumia ofisi hiyo kama kitegauchumi.
Mmoja wa Kiongozi cha Mama Lishe,tawi la Misungwi,Mama Easther Daudi akisoma risala yao fupi mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana ambaye alikuwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mbunge wa Jimbo la Misungwi Dkt.Charles Kitwanga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana,Leo aliendelea na ziara yake katika jimbo la Misungwi linaloongozwa na Mh. Charles Kitwanga ambaye pia ni naibu Waziri wa Nishati na Madini akitembelea maeneo mbalimbali na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015, inayotekelezwa na serikali ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wananchi ili kuzipatia ufumbuzi.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Misungwi Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi amesema Chama cha Mapinduzi CCM kinaishauri Serikali kuutoa na kuurudisha kwa wadau muswaada wa sheria ya habari ambao umepelekwa bungeni kwa ajili ya kujadiliwa kwa, kuwa wadau wanaulalamikia na wanataka kushirikishwa kuujadili ndipo uende bungeni kwa ajili ya kujadiliwa na kupitishwa kama sheria uli iweze kusainia na Rais.
Ameongeza kuwa “Sheria zinazotungwa ni kwa ajili ya wananchi hivyo Chama cha Mapinduzi kinaishauri serikali kuwa, kama wadau wanaulalamikia muswaada huo,ni vyema ukarudhishwa kwa wadau ili ujadiliwe upya kwa pamoja,Serikali na wadau ndipo upelekwe Bungeni ukajadiliwe na kupitishwa kama sheria”
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya Wilaya ikiwemo pia kupokea taarifa ya chama na serikali.