Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46389 articles
Browse latest View live

CCM YALAANI VURUGU....!


UN YATAKA KIPAUMBELE KUMSAKA BINTI MWENYE ALBINISM ALIYETEKWA

$
0
0
DSC_0019
Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimtambulisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) alipoitishia mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza mara baada kuhitimisha ziara zake Kanda ya ziwa. Kushoto ni Mshauri wa masuala ya haki za binadamu kutoka ofisi ya mratibu mkazi wa UN Tanzania, Bi. Chitralekha Massey.
Na Mwandishi wetu, Mwanza.

MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la maendeleo la Umoja huo, UNDP, Alvaro Rodriguez ameutaka uongozi mkoa wa Mara kuanzia Polisi hadi serikali ya mkoa kuweka kipaumbele kumtafuta binti albino ambaye ametekwa na watu wasiojulikana siku 14 zilizopita.

Hayo aliyasema jana kwenye mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jijini
Mwanza baada ya kutembelea mkoa ya kanda ya ziwa ikiwemo Mara, Shinyanga na Mwanza kuangalia miradi inayotekelezwa na Umoja wa Mataifa pamoja na masuala ya haki za binadamu.

Alisema serikali kupitia Mkuu wa mkoa na Kamanda wa polisi mkoa wahakikishe wanaendelea kumtafuta na kulipa suala la Pendo Emmanuel (4) kipaumbele .
Pendo alitekwa na watu wasiojulikana baada ya mlango wa nyumba yao kuvunjwa Desemba 27,2014 kwa jiwe la fatuma katika kijiji cha Ndami tarafa ya Mwamashinda,wilayani Kwimba mkoani hapa ambapo hadi sasa bado hajapatikana.

Aidha aliwataka wananchi na viongozi kuhakikisha usalama wa watu wenye ulemavu kwani wao ni binadamu kama binadamu wengine na wanahitaji haki yao ya msingi ya kuishi bila hofu na manyanyaso kutoka kwa jamii inayowazunguka. Mwakilishi huyo wa Umoja wa mataifa alisema katika mkutano huo kwamba hata kurundikana kwa watoto walemavu wa ngozi katika kituo cha Buhangija kilichopo Shinyanga ni matokeo ya mauaji yanayoendeshwa dhidi yao na kusema suluhisho la tatizo hilo ni jamii kuwakubali watu wenye ulemavu wa ngozi.

Tayari watu 15 wanashikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi wa kuhusika na uporwaji wa mtoto huyo akiwemo baba mzazi, Emmanuel Shilinde. Pamoja na kuzungumza na waandishi wa habari mkoani Mwanza, kuelezea ziara yake katika Ukanda wa Ziwa, Mwakilishi huyo pia alizuru wilaya ya Magu na kukagua mradi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto ,UNICEF, wenye lengo la kuhakikisha haki inatetendeka dhidi ya wale wanaonyanyasa watoto na haki zao za kibinadamu zinahesmiwa.
DSC_0095
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza.

Akiwa Magu alifurahishwa na mashikamano unaoneshwa na serikali na wadau wengine kuhakikisha kwamba mradi huo unafanikiwa hasa katika kuwezesha watu kutambua haki za msingi za watoto na kutoa msaada wa kisaikolojia kwa watoto waliofanyiwa unyanyasaji na kuanzishwa kwa dawati la watoto na jinsia vituo vya polisi. Hata hivyo aliambiwa changamoto zinazoambatana na ukusanyaji wa taarifa hasa katika maeneo ya ndani zaidi.

Katika mazungumzo yake na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magese Mulongo, Umoja wa Mataifa na Serikali ya Mkoa walikubaliana kwamba usalama wa wananchi hasa watoto nay ale makundi maalumu ndio suala la msingi ambalo pande zote hizo mbili itatilia maanani.

Akiwa Shinyanga, Mwakilishi huyo Alvaro Rodriguez nalea kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu wa ngozi , wasiiona na viziwi Buhangija na kujionea hali halisi ya mrundikano wa watoto. Kituo hicho kina watoto 220 wenye ulemavu wa ngzoi ambao walikimbiziwa hapo baada ya usalama wao kuwa shakani.

Alifurahishwa na juhudi zinazofanywa na wadau mbalimbali kuimarisha hali ya ustawi katika kituo hicho ambacho kinakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za mrundikano wa watoto, afya na lishe.
DSC_0080
Mkutano na waandishi wa habari uliotishwa na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez ukiendelea.

Alisema akiwa hapo kwamba kama sehemu ya ajenda ya Umoja wa mataifa kusaidia kulinda haki za binadamu na kuhakikisha wale wanaoishi na ulemavu wa ngozi wanaendelea kustawi na haki zao zinaoheshimiwa, mwakilishi huyo alisema Umoja wa Mataifa utaendelea kutoa msaada kwa kundi hilo.

Pia alifanya mazungumzo na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga na mkuu wa wilaya hiyo Anna Rose ambapo walikubaliana kwamba suluhu ya mwisho ni kwa watanzania kuwakubali wenye albinizim kama wenzao na kuacha kuwatafuta kuwaua kwa imani za kishirikina. Akiwa mkoani Mara alishiriki katika hafla ya kutunuku vyeti wasichana na wavulana waliofuzu mafunzo ya miezi miwili yenye lengo la kuwaingiza katika jamii bila kukutwa au kufanyiwa tohara yenye maumivu (kwa wavulana).

Mafunzo hayo ni mchango wa Umoja wa Mataifa kupitia shirika lake la UNFPA wenye lengo la kukabiliana na mila potofu ikiwamo ya ukeketaji na mimba za utotoni zinazotokana na mabinti kuolewa wakiwa wadogo. Katika mazungumzo na mkuu wa mkoa wa Mara, kapteni mstaafu Asery Msangi, Umoja huo ulikubaliana na serikali ya mkoa kuendelea kushirikiana katika kuhakikisha haki za msingi za binadamu zinaheshimika na wananchi kuelimishwa kuhusu haki hizo.

RAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU 201 KWA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI, AAGANA NA MABALOZI WA TANZANIA NCHINI CANADA NA RWANDA

$
0
0
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange alipokuwa akimshukuru kwa kutoa vitabu  kwa Chuo cha Ulinzi na makataba zingine za JWTZ wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vitabu 201 kwa ajili ya Maktaba ya Chuo cha Ulinzi (National Defence College - NDC) iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa January 9, 2015.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi baadhi ya vitabu   na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange. Rais Kikwete amekabidhi vitabu hivyo 201 kwa ajili ya Maktaba ya Chuo cha Ulinzi (National Defence College - NDC) iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa January 9, 2015. Rais kikwete, ambaye ameshachangia jumla ya vitabu 2752 katika maktaba ya chuo hicho na maktaba zingine za JWTZ  katika vipindi tofati, amesema elimu imo vitabuni, na ili kuelemika yapaswa mtu usome vitabu, na kwamba taasisi ya elimu inakamilika ikiwa na vitabu.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange na maafisa waandamizi wa JWTZ wakiangalia vitabu wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vitabu 201 kwa ajili ya Maktaba ya Chuo cha Ulinzi (National Defence College - NDC) iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa January 9, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mhe Jacky Zoka, Balozi wa Tanzania nchini Canada na Mhe Ali Siwa, Balozi wa Tanzania nchini Rwanda, walipofika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa January 9, 2015 kuaga rasmi kabla ya kwenda kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi. 
PICHA NA IKULU.

WAZIRI WA VIWANDA ATEMBELEA MACHIMBO YA CHUMA LIGANGA NA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA

$
0
0
 Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kiogoda (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Tanzania China International Mineral Resources Ltd, Erick Mwingira juu ya miradi hiyo ya makaa ya mawe, alipotembelea miradi ya Chuma cha Liganga na Makaa ya mawe ya Mchuchuma. Kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), Mligi Mkucha.
 Picha ya pamoja ya Mh. Waziri wa Viwanda na Biashara pamoja na watafiti na Viongozi wa serikali.
Waziri wa Viwanda na Biashara katika mlima wa liganga.
Waziri wa Viwanda na Biashara akutana na wafanyabiashara wa Mkoani Njombe na kuzungumza nao fursa mbalimbali zilizopo katika mkoa huo mara baada ya kupokewa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Rehema Nchimbi.

 wafanyabiashara wa Mkoani Njombe
Mlima wa Liganga uliopo mkoani njombe wilaya ya Ludewa ambapo kampuni ya Tanzania China International Mineral Resources Ltd.

FORUMCC YATOA MREJESHO WA YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA KIMATAIFA WA MABADILIKO YA TABIANCHI COP20

$
0
0
Taasisi isiyo ya kiserikali ya ForumCC imetoa mrejesho wa mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya tabia nchi  duniani wa COP20 uliofanyika mwezi Desemba jijini Lima nchini Peru mwaka jana.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijni Dar es salaam Afisa Miradi wa ForumCC Fazal Issa  amesema  wanachama wa mkutano huo wamekubaliana kusaini mkataba mwaka huu jijini Paris Ufaransa wenye lengo la kupunguza gesi joto duniani na kusaidia upatikanaji wa rasilimali fedha na teknolojia katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi  duniani kwa sasa.
 Afisa Miradi wa ForumCC Fazal Issa akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano huo

Afisa Miradi huyo amesema katika mkutano huo wa Peru kulikuwa na makundi mbalimbali kutoka kila pembe ya dunia yakiwamo kundi la nchi za Afrika ambazo ndizo zimekuwa muathirika mkubwa wa mabadiliko ya tabianchi. Mkutano huo pia ulizikutanisha nchi 72 zilizokwenye kundi la nchi zilizoendele na ambazo ni chanzo kikuu cha uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi kwa kuwa na viwanda vinavyozalisha hewa ukaa na kuongeza joto duniani.
Aidha Afisa huyo amesema kuwa  kulikuwa na kundi kutoka nchi za Bara la Asia na kundi la nchi za  visiwa  pamoja na makundi mengine ya wanaharakati wa mazingira ambao walipigana kuzibana nchi zilizoendelea kupunguza uharibifu na kutoa pesa  kwa nchi zilizoathirika na zinazoendelea kuathirika na mabadiliko ya tabianchi. 
 
Amesema nchi zinazoendelea ikiwamo  Tanzania  walikuwa na msimamo mmoja ambao ni kupunguza gesi joto duniani , na kuzitaka nchi zenye viwanda kutoa fedha zaidi katika mfuko wa pamoja wa mazingira katika kujenga uwezo kwa nchi maskini na zinazoathirika kupunguza na kumaliza changamoto za mabadiliko ya tabianchi

“Zinahitajika dolla bilioni 100 kwa mwaka katika kushughulikia mabadiliko ya tabianchi duniani na kiasi kilichochangwa ni  dolla bilioni 10 sawa na asilimia 10% tu ya fedha ambazo  zinazohitajika, Utaona hapo ni kwa kiasi gani nchi zilizoendelea  zinahitajika kuchangia mfuko huu” anasema Fazal.
Mwezeshaji kutoka Youth Can Tanzania, Rahma Mwita, akifafanua jambo wakati wa mkutano huo
 Afisa Habari ForumCC, Tajiel Urioh akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano huo
 Waandishi wa habari wakifuatilia taarifa ya mrejesho wa yaliyojiri kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi COP20 uliofanyika Peru mwishoni wa mwaka jana.

Naye katibu mkuu wa asasi ya kiraia ya (Youth-CAN)  Justine Mponda amesema wao kama vijana wapambanaji wa mazingira hapa nchini wameshiriki katika mkutano huo wa COP 20 Peru kwa lengo la kujifunza  zaidi kutoka kwa vijana wenzao duniani walioshiriki katika mkutano huo wa mabadiliko ya tabianchi.

“ tunajihusisha  na kutoa elimu ya mabadiliko ya tabianchi kwa jamii  juu ya athari ya mabadiliko ya tabia nchi, pamoja na  kuwashawishi vijana nchi  juu ya  kukabiliana  na mabadiliko ya tabia nchi. Pia  kufikisha madai na vilio vya vijana nchini  waathirika wa mabadiliko ya tabia nchi kwa serikali na taasisi za kimataifa kwa utatuzi zaidi”

Taasisi  hiyo ya Youth –CAN  ina lengo  la kufanya kampeni  nchini  kabla ya mkutano wa mabadiliko ya tabianchi wa mwaka huu  Paris Ufaransa. Kmpeni yenye lengo la kuwafikia watu zaidi ya milioni 1 nchini ambao ni makundi ya vijana, wazee, wanawake na  wanahabari na katika kampeni hiyo watatumia  usafiri wa  baiskeli katika ile hali ya kuepuka kuchafua mazingira.

Mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi maarufu kama COP20 ulifanyika jijini Lima nchini Peru kuanzia Desemba mosi  na kumalizika Desemba 14 mwaka 2014 ambao ulikuwa na malengo  ya kujadiliana na kupitisha maadhimio ya mkataba ambao utaenda kusainiwa  mwishoni mwa mwaka huu jijini Paris Ufaransa.

Mwiba wa mauaji ya vikongwe kupatikana kupitia nishati ya umeme Shinyanga

$
0
0
 Leo Waziri  wa Nishati na Madini Profesa Sospeter  Muhongo alizindua mradi wa umeme vijijini uliotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA.) Katika uzinduzi huo, Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Vijijini  Anna Rose Nyamubi amesema kuwa kupatikana kwa nishati ya umeme katika wilaya hiyo kutapunguza mauaji  ya vikongwe ambao wamekuwa wakiuwawa kutokana na  kuwa na macho mekundu yanayosababishwa na moshi wa  majiko ya kuni.
 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo  akisisitiza jambo wakati wa utoaji wa hotuba ya uzinduzi wa mradi huo
 Sehemu ya umati wa watu kutoka katika kijiji cha Nyabusalu wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa inatolewa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (hayupo pichani)
 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi huo
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati) Mkuu wa Wilaya ya  Shinyanga  Vijijini Anna Rose Nyamubi ( wa pili kutoka kushoto) na Mbunge wa Jimbo la  Solwa Salum Ahmed ( wa tatu kutoka kulia) pamoja na watendaji wa Tanesco wakiwa katika picha  ya pamoja mara baada ya uzinduzi huo.

Mkuu wa Wilaya ya  Shinyanga  Vijijini Anna Rose Nyamubi (katikati aliyeshika kipaza sauti) pamoja na Mbunge wa Jimbo la  Solwa Salum Ahmed ( wa tatu kutoka kulia) pamoja na wakazi wa Lyabusalu wilayani Shinyanga Vijijini wakiimba na kucheza kwenye uzinduzi wa mradi wa umeme  vijijini  uliotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Awamu ya Pili.



Mwiba wa mauaji ya  vikongwe kupatikana kupitia nishati ya umeme  Shinyanga 
Na Greyson Mwase
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Vijijini  Anna Rose Nyamubi amesema kuwa kupatikana kwa nishati ya umeme katika wilaya hiyo kutapunguza mauaji  ya vikongwe ambao wamekuwa wakiuwawa kutokana na  kuwa na macho mekundu yanayosababishwa na moshi wa  majiko ya kuni.

Nyamubi ameyasema hayo kwenye uzinduzi wa mradi wa umeme vijijini unaotekelezwa na  Wakala wa Nishati Vjjijini  (REA) Awamu ya  Pili uliofanyika   katika Kata ya Lyabusalu wilayani  Shinyanga Vijijini. Mradi huo ulizinduliwa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo
Alisema kuwa katika wilaya ya Shinyanga Vijijini  kumekuwa kukijitokeza mauaji ya wazee wenye macho mekundu kwa dhana ya kuhusishwa na  vitendo  vya kishirikina, dhana ambayo ni potofu kabisa.

Alieleza kuwa vikongwe wengi  wameathirika na moshi wa majiko ya kuni, yanayopelekea  macho mekundu  na kuongeza kuwa mara baada ya wilaya hiyo kupata neema ya umeme na wananchi wake kuanza kutumia nishati ya umeme kwa kupikia itapunguza waathirika wa moshi wa majiko ya kuni na kupunguza vifo.

Aliendelea kusema kuwa nishati ya umeme itawezesha wananchi wa wilaya hiyo  kuanzisha viwanda vidogo  vidogo kama  vya kukoboa nafaka kama mahindi, mpunga na kujiingizia kipato na hivyo kupunguza umasikini.
“ Wito wangu ni kuwataka wananchi  kuchangamkia  fursa hii ya  kuwa na umeme kwa kujikwamua kiuchumi na kubuni miradi mbalimbali badala  ya kutegemea kufanyiwa kila kitu na Serikali.

Mbali na kuwataka wananchi kuunganisha nyumba zao na miundombinu ya umeme  iliyowekwa, amewataka  wananchi kuanzisha  vikundi  vidogo na kuanzisha miradi midogo itakayowakwamua kiuchumi.

Wakati huo huoakizungumza  wakati wa uzinduzi huo Meneja  wa Shirika la  Umeme Nchini (Tanesco)- Kanda ya  Ziwa,  Mhandisi Joyce Ngahyoma  aliwataka wananchi kuchangamkia  mradi huu kwa kuunganisha  umeme kwa  gharama ya shilingi  27,000 ambayo ni kodi  tu kwani  gharama zote zimebebwa na serikali, kabla ya mradi huo kumalizika  mwishoni mwa mwezi  Juni mwaka huu.

Mhandisi Ngahyoma alieleza kuwa mara  baada ya kukamilika kwa awamu ya  pili ya Mradi wa REA wateja watakaoomba kuunganishiwa umeme watalipa shilingi 177,000 au  kusubiri awamu  ya  tatu ya mradi wa REA inayotarajiwa kuanza mapema mwezi Julai.

Akizungumzia  suala la uwekaji wa mifumo ya umeme kwenye nyumba za wananchi Ngahyoma aliwataka wananchi kuepukana na  kutumia  vishoka na badala yake watumie  wakandarasi waliosajiliwa na Serikali kwani  Tanesco haitahusika na utapeli utakaofanywa na  vishoka.

Aliwataka wateja wenye kutaka kuunganishiwa umeme kufika katika ofisi za Tanesco na kulipia ili wataalamu wake wakague mifumo ya umeme katika nyumba zao kabla  ya kuwaunganishia na huduma ya umeme.

Akizungumzia changamoto katika utekelezaji wa mradi wa umeme   vijijini uliotekelezwa na REA  Awamu ya Pili Ngahyoma alieleza kuwa ni pamoja na wateja kudai fidia, idadi  ya mahitaji ya umeme kuwa makubwa kuliko uwezo wa mradi, na miuondombinu  kama barabara kuwa mibovu hali iliyopelekea kuchelewa kwa utekelezaji wa mradi.

Katika wilaya ya  Shinyanga jumla ya vijiji tisa vilinufaika na mradi wa umeme  vijijini unaofadhiliwa na  REA Awamu ya pili kwa gharama ya shilingi  bilioni 4.2.
 


NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ,JANET MBENE ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA

$
0
0
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene akiongozana na  Meneja Ufundi wa Kiwanda cha Magurudumu cha General Tyre cha jijini Arusha, Elias Pallangyo,alipofanya ziara kutembelea kiwanda hicho.
Meneja Ufundi wa Kiwanda cha Magurudumu cha General Tyre cha jijini Arusha, Elias Pallangyo,akimuonyesha Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene , sehemu ya kiwanda hicho ambayo ipo katika ukarabati tayari kwa ajili ya uzalishaji wa Magurudumu mapema mwaka huu. Kiwanda hicho kitafufuliwa baada ya kufungwa tangu mwaka 2009.
Meneja Masoko wa Kiwanda cha A to Z cha jijini Arusha, Binnesh Harrier, akimuonyesha Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara , Janeth Mbene, namna fulana zinavyozalishwa kiwandani hapo juzi. Kiwanda hicho kinazalisha vyandarua, fulana zikiwemo bidhaa nyingine muhimu ambazo usafirishwa katika nchi zaidi ya 25 duniani.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene akizungumza mara baada ya kutembelea kiwanda cha A to Z cha jijini Arusha kujionea hali ya uzalishaji .Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

RAIS DKT SHEIN AFUNGUA JENGO LA UPASUAJI VICHWA MAJI NA UTI WA MGONGO

$
0
0
Na Miza Kona    -    Maelezo .
           
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohammed Shein amekemea tabia ya baadhi viongozi wa Taasisi  kuwazuia wafanyakazi wake kujiendeleza kielimu kwa lengo la kuongeza ujuzi na kuleta ufanisi.

Hayo ameyasema  Hospitali kuu ya Mnazi Mmoja katika ufunguzi wa Jengo la Upasuaji Vichwa maji na Uti wa Mgongo ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za maadhimisho ya  miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Amesema tabia hiyo haifai kwani inarejesha nyuma maendeleo ya wafanyakazi na kuanzisha majungu, fitna  na uhasama katika taasisi  kati ya wafanyakazi wa kawaida na viongozi wao. Amefahamisha kuwa taaluma ndiyo inayopelekea ufanisi bora wa kazi na  kuleta mabadiliko kwa   kutoa huduma bora  na uhakika na kujenga taifa lililo imara.

“Mabadiliko hayaji   bila ya kuwa na taaluma  hasa katika sekta ya Afya hivyo viongozi  waruhusuni wafanyakzi wenu kupata elimu ili waweze kufanyakazi kwa ufanisi”, alieleza Dkt. Shein. Amesema lengo la  Serikali ni kuipa hadhi Hospitali ya Mnazi Mmoja kuwa ya rufaa kwa lengo la kuimarisha huduma bora lakini  kutokana upungufu wa vitendea kazi mabadiliko hayo yanakuja hatua kwa  hatua.

Dkt. Shein ameeleza lengo la  Serikali ni kutoa huduma bora za afya kwa wananchi kwa kutumia  wataalamu wenye elimu na vifaa  vya  uhakika kadiri ya uwezo uliopo ili kuimarisha afya za wananchi.

Aidha Dkt Shein amesema jitihada kubwa zinahitajika katika kuandaa mipango madhubuti itakayosimamia kuendeleza kitengo cha  upasuaji wa ubongo na uti wa mgongo kwa kutafuta wataalamu na madaktari bingwa watakaoendesha matibabu hayo.

Amesema kitengo  cha huduma ya upasuaji wa ubongo na uti wa mgongo ni cha pekee kwa Afrika Mashariki na Kati ambacho kitasaidia kupnguza gharama za usafirishaji wa wagonjwa wa matatizo hayo  nje ya nchi. 
Amesisitiza madaktari kuwafanyia wagonjwa uchunguzi wa kina kabla ya kuwapa  matibabu ili waweze kutoa huduma ya uhakika na  kujiepusha kubahatisha.

Aidha ameutaka uongozi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja kukamilisha sheria na kuweka taratibu ili Hospitali hiyo iweze kujiendesha na kusimamia kazi bila kutegemea  Serikali kuu. “Nijukumu la uongozi wa Hospitali hii kuandaa mipango mizuri  itakayoweza kuiimarisha  ili lengo  la kujiendesha  liweze kufanikiwa”. Alisitiza Rais wa Zanzibar.

Mapema akimkaribisha Mgeni rasmi, Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman alisema kupatikana kwa miundombinu katika kitengo hicho ni kuleta maendeleo katika sekta hiyo na ameeleza kitatoa huduma ya uhakika.

 Jengo hilo lenye vyumba viwili vya upasuaji, wodi nne za kulaza wagonjwa na chumba cha mikutano  limejengwa kwa msaada wa Shirika moja la Hispania  na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  na limegharimu zaidi ya shilingi Mill 600 ambapo asilimia 60 zimetolewa na wafadhili.
                                      
IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI ZANZIBAR.

DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA, NCHINI KENYA

$
0
0

Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akishiriki ibada ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.Kushoto ni Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga ambaye ni baba wa Marehemu.
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga ambaye ni baba wa Marehemu akimuombea mwanae..…SOURCE http://www.globalpublishers.info/

DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, HOSTS NEW YEAR SHERRY PARTY FOR HEADS OF DIPLOMATIC MISSIONS AND INTERNATIONAL ORGANISATIONS

$
0
0

President Dr. Jakaya Mrisho kikwete talks to  heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015 STATE HOUSE PHOTOSunnamed1w President Dr. Jakaya Mrisho kikwete addresses heads of
diplomatic missions and international organisations during a New Year
Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015
unnamed2w 
President Dr. Jakaya Mrisho kikwete in a group photo with heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015

……………………………………………………………………………………………
Honourable Bernard Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Cooperation;Your Excellency Juma Alfan Mpango, Ambassador of the Democratic Republic of Congo and the Dean of the Diplomatic Corps;Excellencies, Heads of Diplomatic Missions and International Organizations;Distinguished Guests;Ladies and Gentlemen:Welcome Remarks I welcome you all to the State House. I thank you for accepting my invitation to attend this traditional event to commemorate the end of 2014 and welcome 2015. I do hope that, those of you who joined the diplomatic community in Dar es Salaam in 2014, have settled down, and are receiving the necessary cooperation of my government and of your diplomatic colleagues. I extend our very best wishes for the New Year to you all and through you to your Heads of State and Government, Heads if your respective institutions, your people, your spouses and staff,.Economic and Political DevelopmentExcellencies, Ladies and Gentlemen;The year 2014 has been a very eventful year for Tanzania. We are witnesses to important landmark events happening in the social-political and economic landscape of the country. The economy continued to register strong macro-economic performance. GDP growth is expected to be 7.4 percent compared to 7.3 percent in 2013. Inflation rate dropped from 6.0 percent in January 2014 to 4.8 percent in December 2014. This drop is a result of an increase in food production. Last year, we produced a surplus of 3.25 million tonnes of grains which is an increase of 31.4 percent compared to a surplus of 2.23 million tonnes in 2013. The objectives of Kilimo Kwanza and SAGCOT are working and succeeding.We also registered an increase in export earnings. By 31 October, 2014, Tanzania exported goods and services worth USD 8.539 billion compared to USD billion 8.332 recorded at the same time in 2013. Had it not been for the fall in the world prices of coffee, tea, cashew nuts, cotton and gold, we would have done much better.Excellencies; In another development, last year, we concluded the rebasing exercise of our economic statistics. The base year will now be 2007 instead of 2001. Accordingly, therefore, the GDP of Tanzania in 2013 was 70 trillion shillings using 2007 base year compared to 53.7 billion shillings using 2001 base year. Likewise, GDP per capita is 977 USD compared to 742 USD using 2001 figures. Please be informed that this is the 5th time such an exercise was undertaken in Tanzania. Previously it was done in 1966, 1976, 1992 and 2001.Social ProgressExcellencies, Ladies and Gentlemen;We also registered commendable progress in the social-economic services particularly in education, health care, water supply, roads, airports and railways. The New Education and Training Policy was approved by Cabinet. The Policy underlines improving access and quality of education and training as core tenet of the new policy. Everything else is an elaboration of how to see this core policy tenet is realised. There are two important factors of the new Policy that are worth mentioning. First the renewed emphasis on ensuring that Tanzanians get the type of education that will cater for the needs of the job market in terms of wage employment and self employment. The second is the aspiration of making secondary school education free from next year, 2016. The idea to make primary and secondary school education accessible to every Tanzanian is a major undertaking on our part. That is why we in government have given ourselves the task of ensuring proper preparations are made so that this noble goal can be realised smoothly. Excellencies;Ladies and Gentlemen;There are three other landmark developments in education which occurred in 2014 that I would like to share with you today. The first one is with regard to availability of primary and secondary school teachers. With the employment of 36,339 teachers in 2014 we remain with a shortage of 45,233 teachers of which 26,946 are for primary schools and 18,288 are for secondary schools. This is the lowest shortage of teachers we have ever been in the last seven years. Indeed, the cooperative endeavour of some of you and us, to invest in teacher training is paying desired dividends. The other important highlight worthy mentioning is the fact that there is no more shortage of teachers of arts subjects in secondary schools in Tanzania unlike the situation seven years ago. However, we are still contending with a shortage of 18,277 science teachers in secondary schools. The capacity of our training institutions is to produce 2,500 teachers annually, compounds the problem. In this regard, we welcome the innovative action by the University of Dodoma to design a diploma course for science and mathematics teachers. The plan to enrol 5,602 students annually beginning 2014/2015 academic year should help ease and resolve the shortage of these teachers at the earliest possible time.Excellencies;

The second thing is the shortage of text books in primary and secondary schools. We have been making steady progress in tackling this problem. In 2005, for example, in primary schools the ratio of book to students was 1:6 while in secondary schools it was 1:5. Through using own budgetary resources and support from development partners, in 2014 the ratio was 1:2 for both. I would like, to use this opportunity to thank our development partners for their support. Allow me to recognise the United States of America for donating 2.5 million science and mathematics books for secondary school last month. Our overarching ambition is to get to 1:1 ratio by 2016. Your continued cooperation and support will be highly appreciated. Excellencies;Through a unique Public People Partnership, close to 3,500 community secondary schools have been built since 2005 todate. Because of serious oversight on the part of leaders, 3,463 of these schools did not construct science laboratories. Two years ago, I launched a major campaign to build laboratories in these schools. Good progress has been made. So far 40.5 percent of the laboratories have been completed, work is at advanced stage for 54.8 percent and 4 percent of the laboratories is at initial stage of construction. I believe in six months time all of these schools will have physics, chemistry and biology laboratories. Any support we can get from your great nations with regard to provision of laboratory equipment and other needs will be highly appreciated.Excellencies;After dealing effectively with the issues of shortage of teachers, text books and science laboratories, the next big thing ahead of us will be teacher’s houses. We will launch a major initiative in the next budget to build houses for teachers beginning with rural areas. There is a huge shortage. We will seek your support in this last mile action in primary and secondary school education development in Tanzania. We look forward to your cooperation and support as you have always done in the past.
Health SectorExcellencies, Ladies and Gentlemen;Equally important progress was made in the health sector. This was in terms of building and equipping health delivery centres and dealing with diseases. With regard to employment, in 2014 we employed 8,345 health professionals of whom there were doctors, nurses and other professionals. With regard to training of health personnel, we were able to reach 97 percent of our target of admitting 10,000 students by the year 2017. I am sure, therefore that, we will surpass that target by far by that time. InfrastructureExcellencies;We registered remarkable progress in infrastructure development in 2014. The tarmac road network was extended by 1,459 kilometres with 19 tarmac roads completed in 11 regions. This year we expect 24 roads to be completed in 12 regions. This will add another 1,339.06 kilometres. We also expect work to start on eight new roads in Dar es Salaam, Iringa, Shinyanga, Simiyu, Kilimanjaro, Katavi and Arusha regions. Thousands of kilometres of earth roads have been improved using the Road Fund whose budgetary allocation has been increased to 751.7 billion shillings in 2014 from 504.4 billion shillings in 2013. Implementation of the rural electrification programme being undertaken by the Rural Energy Agency (REA) has been a tremendous success. 3,836 villages have been electrified by 2014 and we expect another 1,500 will be reached by June, 2015. This means 43 percent of all villages in the country will be covered giving an access to electricity for 38 percent of Tanzanians as compared to 18.4 percent in 2012. This is no small achievement in a short period of two years. A lot has been achieved as well in the railway, ports and water sub sectors. For brevity of time I will not go into details today. Excellencies, Ladies and Gentlemen;It would be remiss of me, if I did not acknowledge, appreciate and thank some of you gathered here for your country’s or institution’s kind support. It has made a huge difference. I appeal for continued support and cooperation in 2015 and other years to come. 50th Anniversary of the Union Excellencies, Ladies and Gentlemen;Another landmark event of last year was the celebration of the Golden Jubilee of the Union between the People’s of Republic of Zanzibar and the Republic of Tanganyika on 26th April, 1964, which gave birth to the United Republic of Tanzania.The people of Tanzania had every reason to celebrate because it is a momentous achievement. Our Union remain one of the few examples of successful and long surviving mergers of two sovereign republics into one new nation. The secret behind this success has been the continued goodwill of our cooperating states and our readiness to openly discuss challenges facing the union and resolving them. I initiated Constitutional Review process in the same spirit. There are some issues which require action in the Constitution. I am glad the Constitution Review process went well and if the Proposed Constitution is endorsed in the Referendum a last solution will have been resolved. The Electoral Commission is finalising preparations for the referendum to be held on April 30th, 2015. We are doing everything within our powers to ensure that the problems identified in the pilot registration of voters exercise and others, are addressed speedily. Excellencies;It is critically important that the exercise succeeds because the Voters Register being developed for the Constitutional Referendum is the same one that will be used in the General Elections later in October 2015. With regard to support for the General Elections, let me use this opportunity to thank the UNDP and all other partner states and institutions that have expressed readiness to assist our government in the preparations. Please expedite the disbursement of the promised resources. I want to assure you of the readiness of my Government to work with you all.
Local Government Elections Excellencies, Ladies and Gentlemen;On 14th and 20th December 2014, respectively, the country conducted local Government elections. The successful conduct and conclusion of these elections speaks volume about the vibrancy and consolidation of democracy in Tanzania. I commended the Parties and the people who contested the elections. I also congratulated the winners. I commended my Party CCM for the landslide victory and the opposition parties for the stronger performance. I deplored violence by followers of political parties and mistakes committed by some election officials. We took action against both, we are sending a strong message that such action will not be tolerated in the General Elections in October, 2015. Post 2015 Development AgendaExcellencies, Ladies and Gentlemen;The year 2015 is a special one as far as the global development agenda is concerned. It is the year when the implementation of the Millennium Development Goals (MDGs) comes to a close and the negotiations on the Post 2015 Development Agenda will be concluded. We in Tanzania would like to see the unfinished business of the MDGs to form part of the post 2015 development agenda. For effective implementation of the post 2015 development agenda Tanzania emphasizes on a clear mechanism to ensure stable, predictable and reliable sources of financing for its implementation. We promise to play our part well in the negotiations of the Post 2015 Development Agenda. Regional Integration Excellencies, Ladies and Gentlemen;At the regional level, Tanzania will continue to be a committed and proactive member to the EAC, SADC and ICGLR. Last November, Tanzania assumed the Chairmanship of the East African Community (EAC). In our one year tenure of office, we will strive to consolidate the gains made todate and work to advance the East African integration agenda to the greatest heights possible. We shall equally remain committed to the SADC and participate fully in the implementation of the Regional Indicative Development Plan (RIDP), the SADC Strategic Indicative Plan for the Organ (SIPO) and all decisions of the SADC Summit and its Organ on Politics, Defence and Security. The International Scene Excellencies, Ladies and Gentlemen;At the continental and global scene, Tanzania will remain a faithful member of the African Union and the United Nations. Currently, we have contributed over 3,000 troops to UN peace keeping mission in the DRC, Darfur and Lebanon. Tanzania is the 6th contributor of military and police peacekeepers in Africa and 12th globally. In making this noble contribution, we are advancing both our foreign policy objective and upholding the ideals of the United Nations Organisation. I promise continued contribution to UN peace keeping efforts whenever requested to do so. Let me use this opportunity to set records straight about Tanzania’s position and role in the evolving security situation in the Eastern DRC and the on going voluntary surrender and disarmament exercise by the FDLR rebels. We have always been supportive and will continue to be supportive of these efforts to ensure the Eastern DRC is free of armed groups that threaten the security of the people of Congo and Congo’s neighbours. Any misrepresentation of Tanzania’s position is done by people who pretend to read Tanzania’s mind and make their thinking the truth. This is preposterous and contemptible. It is done by people who have ill intensions against our country.Excellencies, Ladies and Gentlemen;Another development which I would like you to know is about South Sudan. In October, 2014 Tanzania through the ruling party Chama cha Mapinduzi facilitated the Intra – Sudanese People’s Liberation Movement (SPLM) dialogue, in Arusha. This was done following the request of His Excellency President Salva Kiir of South Sudan and the leadership of the SPLM in August, 2014. They requested CCM to help unify the conflicting factions within the SPLM. It is these decisions in SPLM which is actually responsible for the ongoing conflict and war in their dear country. The first round of the dialogue went very well, and at its conclusion the three factions signed a Framework Document. President Salva Kiir, Former Vice President Riek Machar and I, were present to witness this occasion. The parties are now back, and in accordance with the Framework Document, they will now address the root causes of the conflict within the party and devise the way out. Excellencies;I am of the view that, if the negotiating teams maintain the spirit they demonstrated in the first round, this process will be crowned with success. They will be able to reunite their Party and pave the way for ease and success of the IGAD peace negotiations in Addis Ababa. We urge the international community and all other people of good will to spare no effort in assisting the SPLM teams involved in the negotiations in Arusha to reach an amicable solution. Let us help them agree to reunify their Party – the SPLM and end the armed conflict which has caused untold suffering and deaths to innocent people in this youngest nation in the world. The newest member of the African Union and the United Nations. Bilateral RelationsYour Excellency Dean of the Diplomatic Corps;Excellencies, Heads of Diplomatic Missions;Representatives of International Organizations;Ladies and Gentlemen; Last but not least in importance, I would like to say a few words about our bilateral relations. I am amply satisfied with the state of relations between Tanzania and the countries and organisations you represent. You have been important contributors to our development endeavours. Some of you have been important partners in regional, and global political-diplomatic arena as well. On behalf of the government and the people of the United Republic of Tanzania and on my own behalf, I thank you so much for your friendship, cooperation and support. Let us strive to do more in 2015 and advance our bilateral relations to greater heights. You will always find in Tanzania a trusted and dependable friend and partner.The year 2015 will be an exciting one, especially on the political front with the Constitutional Referendum and the General Elections. We look forward to your usual cooperation, support and understanding. Please do not do otherwise. After these many words, I once again thank you for accepting my invitation. I wish you all a happy and prosperous New Year 2015. Thank you for your kind attention.

MAMA SALMA KIKWETE AWAANDALIA TAFRIJA YA MWAKA MPYA WENZA WA MABALOZI WA NJE WALIOPO TANZANIA

$
0
0
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya mwaka mpya aliyoiandaa huko Ikulu tarehe 10.1.2015 kwa ajili ya wenza wa mabalozi wa nchi za nje walioko hapa Tanzania.unnamed2F 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya mwaka mpya aliyoiandaa huko Ikulu tarehe 10.1.2015 kwa ajili ya wenza wa mabalozi wa nchi za nje walioko hapa Tanzania. unnamed3F 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya mwaka mpya aliyoiandaa huko Ikulu tarehe 10.1.2015 kwa ajili ya wenza wa mabalozi wa nchi za nje walioko hapa Tanzania. unnamed4F 
Baadhi ya wageni waalikwa wakiongozwa na Mke wa Makamu wa Rais Mama Zakhia Bilal (wa kwanza kushoto)  wakisikiliza hotuba ya Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) wakati wa tarfija ya mwaka mpya aliyowaandalia wenza wa mabalozi wa nchi za nje waliopo hapa Tanzania tarehe 10.1.2015. unnamed5F 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mama Anna Mkapa wakati wa tafrija ya mwaka mpya aliyoiandaa huko ikulu tarehe 10.1.2015 kwa ajili ya wenza wa mabalozi wa nje hapa nchini. unnamed6F 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipongezwa kwa hotuba yake na Mama Celine Mpango, Mke wa Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hapa nchini. Mama Mpango ni kiongozi wa wenza wa mabalozi wa nje waliopo hapa Tanzania. unnamed7F 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akijumuika na wenza wa mabalozi na wageni waalikwa kupiga picha ya kumbukumbu. unnamed8F 
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na na baadhi ya wenza wa mabalozi wa nje waliopo hapa Tanzania wakati wa tafrija ya mwaka mpya aliyowaandalia huko Ikulu tarehe 10.1.2015. unnamed9F 
Mke wa Makamu wa Rais Mama Zakhia Bilal akijadiana jambo na Kiongozi wa wenza wa mabalozi waliopo hapa nchini Mama Celine Mpango wakati wa tafrija ya mwaka mpya.

RIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI AMBULANCE KITUO CHA AFYA CHALINZE

$
0
0
 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (katikati) akikabidhi gari jipya la kubebea wagonjwa (Ambulance), kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,Dk. Mastidia Rutaihwa kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Chalinze, katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Chalinze jioni hii. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa kituo hicho, Dk. Bamba Victor na Diwani wa Kata ya Bwilingu, Nasa Karama. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
 Muumini wa Dini ya Kikiristo, Heema Said akitoa neno la shukrani kwa Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Kikwete 9aliyevaa koti kushoto) alipokabidhi ambulance hiyo. Ridhiwani alisema kuwa yeye hivi sasa ni mbunge wa vyama vyote jimbo humo hivyo ambulance aliyoitoa itoe huduma kwa wakazi wote wa jimbo hilo bila kubagua watu kutokana na itikadi zao. Pia aliuasa uongozi wa kituo hicho cha afya na uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuhakikisha wanatunza vizuri gari hilo.
 Dok Rtaihwa akimkabidhi ufunguo wa gari hilo Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha Chalinze, Dk.Victor baada ambulance hiyo kukabidhiwa na Mbunge Ridhiwani.
 Dk. Victor akitoa shukurani kwa Mbunge Ridhiwani kwa msaada huo wa ambulance.

 Wakifurahia kwa pamoja kupata usafiri huo muhimu kwa wagonjwa
 Mbunge Ridhiwani Kikwete na Dk. Rutaihwa wakiangalia ndani ya ambulance hiyo
 Wakiwa na furaha baada ya kuangalia samani zilizomo ndani ya ambulance hiyo
 Ridhiwani  pamoja na viongozi wa dini ya kiislamu wakiliombea dua gari hilo. Kutoka kulia ni Alhaji  Sheikh Hussein Fuko na Alhajj Khamis Magula
 Ridhiwani 9katikati) na Mbuunge wa Jimbo la Mtera, Lusinde wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Kituo cha Afya cha Chalinze akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Dk. Rutaihwa.
 Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Dk.Mastidia Rutaihwa akitoa shukurani kwa Ridhiwani kwa msaada wa Ambulance na kuahidi kuitunza
 Ridhiwani akipongezwa na wananchi kwa kuwapatia ambulance
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Hafsa Kazinja akicheza muziki na mmoja wa wazee wa Chalinze alipotumbuiza katika mkutano huo
 Ridhiwani akihutubia katika mkutano huo
 Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria makabidhiano ya ambulance katika viwanja vya miembe saba mjini Chalinze leo
 Mbunge wa Jimbo la Mtera, Dodoma, Lusinde ambaye alikuwa safarini akitokea Dodoma kwenda Dar kwenye vikao vya Kamati za Bunge, aliamua kushiriki kwenye mkutano huo ambapo alimsifia Mbunge Ridhiwani kwa kipindi kifupi alichoaguliwa kuwa mbunge miezi sita iliyopita kutekeleza kwa kiasi kikubwa ahadi alizozitoa wakati wa kampeni ikiwemo ambulance hiyo, ujenzi wa visima katika vijiji mbalimbali na ujenzi wa barabara pamoja na zahanati
Lusinde akikumbatiana kwa furaha na Ridhiwani baada ya mkutano huo kumalizika

KARIBU ZuRii House of Beauty Dar Free Market complex 1st Floor Shop No F4.

$
0
0

Karibu ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi litakalo funguliwa rasmi Jumatatu 12 Jan 2015. 
Duka lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4. 

Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.
Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na urembo wa kila aina.  Vitu vyao ni 100% original na vyote vinatokea UK na MarekaniOk hand signOk hand sign Bei zao ni very affordable. 


Pia Kuna nywele aina zote kuanzia huma hair za kawaida na Natural Human Hair like Brazilian, Peruvian, Closures na ma lace wig ya ukweli. Bei zao ni nafuu sana karibuni mjionee wenyewe. 

Wamiliki wa masalon ya kike, kiume na kucha pia mnakaribishwa kujipatia bidhaa zenye ubora wa hali ya juu. Wasiliana nao kwa kuwafollow kupitia acc yao personal ya  

Instagram
@officialjestinageorgeblog au @zuriihouseofbeauty
Contact details +255 752 019 597 au +255 65 918 9769 Whatsapp ni+447557304940 (Business Enquires Only Please).....

MSIKOSE SIKU YA UZINDUZI BEI ZA SALE! Karibuni!!!

MBUNGE WA MBEYA MJINI WA CHADEMA,MH JOSEPH MBILINYI A.K.A MR II APATA AJALI

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi akifanya mawasiliano kwa ndugu na jamaa mara baada ya kupata ajali mbaya na kunusurika kifo,ajali hiyo imetokea eneo la Mlima Kitonga Mkoani Iringa mchana wa leo.kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa Mh. Mbilinyi alikuwa safarini akitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar akiwa na jamaa zake Wanne katika gari hilo lenye namba za usajili T 148 BQE. katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi (watatu kushoto) akizungumza namna hali ilivyokuwa mpaka kupata ajali hiyo.
Gari hiyo inavyoonekana.

RAIS KIKWETE AZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA MAKAZI YA WANAJESHI GONGO LA MBOTO, DAR ES SALAAM, LEO

$
0
0
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi akisaidiana na Balozi wa China nchini Mhe Lu Youqing, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa Dkt Hussein Mwinyi na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo Jumamosi Januari 10, 2015.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili tayari kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo Jumamosi Januari 10, 2015.


INGIA Iringa International School

BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA ZAIDI YA TANI KUMI ZA DAWA NA VYAKULA

$
0
0

unnamed1rWAFANYAKAZI wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar wakiwa katika matayarisho ya uangamizaji wa vyakula na dawa mbali mbali vilivyopitwa na wakati na vile visivyokua na viwango kwa matumizi ya binaadamu zaidi ya tani 10, uangamizaji huo ulifanyika katika Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati Unguja.
unnamed2rWAFANYAKAZI wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar wakiwa katika matayarisho ya uangamizaji wa vyakula na dawa mbali mbali vilivyopitwa na wakati na vile visivyokua na viwango kwa matumizi ya binaadamu zaidi ya tani 10, uangamizaji huo ulifanyika katika Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati Unguja.
unnamed3r 
 KIJIKO kikiangamiza dawa, vyakula na vipodozi mbali mbali vilivyopitwa na muda wake wa matumizi pamoja na vile visivyokua na viwango kwa matumizi ya binaadamu, Bodi ya Chakula , dawa na vipodozi Zanzibar (ZFDB)iliangamiza vitu hivyo zaidi ya tani 10 katika Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati Unguja.(Picha na Haroub Hussein).

PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI LA SHULE YA SEKONDARI YA KIBUTENI ZANZIBAR

$
0
0
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipoweka jiwe la Masingi la  Shule  ya Sekondari ya Kibuteni  ya   Zanzibar ikiwa  ni moja ya ya shughuli za  Sherehe za Mapinduzi  ya Zanzibar Januari 10, 2015. Kulia kwake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna.  unnamed2b 
Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda   akimsikiliza  Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali  wa Zanzibar,Ali Juma Shamhuna (wapili kulia) baada ya kuweka  jiwe la Masingi la  Shule  ya Sekondari ya Kibuteni  ya   Zanzibar ikiwa  ni moja ya ya shughuli za  Sherehe za Mapinduzi  ya Zanzibar Januari 10, 2015.  unnamed3b 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Mhandishi Anolf Kileo  (kulia) wa Kampuni ya United Builders kuhusu michoro ya majengo ya madarasa, mabweni, ukumbi na nyumba za walimu za Shule ya Sekondari ya  Kibuteni ya Zanzibar baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule hiyo ikiwa ni moja ya shughuli za sherehe za  Mapinduzi ya Zanzibar  Januari 10, 2014 , Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM KIMEKUTANA LEO MJINI ZANZIBAR

$
0
0
unnamed1c 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein wa pili kulia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal wa tatu kulia, Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai kulia na Mjumbe wa Halmashauri kuu na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, wakiwa kwenye ukumbi wa mkutano wa kabla ya kuanza kwa kikao cha kamati maalum ya CCM kilichifanyiaka leo Januari 11, 2015  Ofisi kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar.
unnamed2c 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein wa pili kulia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal wa tatu kulia, Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai kulia na Mjumbe wa Halmashauri kuu na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, wakiongoza wajumbe wa Kamati Maalum kusimama kwa dakika moja kumkumbuka Marehemu Fatma Othman Ali aliyekua mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM aliyefariki hivi karibuni, kabla ya kuanza kwa kikao cha kamati maalum ya CCM kilichifanyiaka leo Januari 11,2015 Ofisi kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar.
unnamed3c 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein wa pili kulia, akifungua kikao cha Kamati Maalum ya CCM kilichokutana leo Januari 11, 2015 Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Zanzaibar. Wa tatu kulia   Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai kulia na Mjumbe wa Halmashauri kuu na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.
unnamed4c 
Wajumbe wa Kamati Maalum ya CCM iliyokutana leo Januari 11,2015 Ofisi kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar, wakiwa kwenye ukumbi wa mkutano wakati Kikao hicho kilipokua kikiendelea leo Januari 11, 2014  Ofisi kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar.  (Picha na OMR)

Serikali yaendelea na jitihada za kuwawezesha vijana

$
0
0
unnamed3j 
Afisa Vijana wa Halmashauri ya Nzega Bi.Frida Lwani (watatu kulia) akifafanua jambo kuhusu maendeleo ya vikundi vya vijana vya hapo kwa Maafisa kutoka Wizara ya habari,Vijana ,Utamaduni na Michezo walipowatembelea katika ofisi ya halmashauri ya Nzega hivi karibuni.
unnamed1jMwenyekiti wa Vijana Saccoss Nzega Bw. Emmanuel Mambo (watatu kulia) akiishukuru serikali kwa kuwapatia kiasi cha shillingi millioni 21 kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, kwa ajili ya mikopo ya vikundi vya vijana,hivi karibuni maafisa hao kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo.
unnamed2jMkurugenzi wa Halmashauri ya Nzega Bw.Abrahaman Mndeme akipokea barua pamoja na hundi zenye jumla kiasi cha shilingi millioni 21 kutoka kwa Afisa Vijana wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo hivi karibuni.
……………………………………………………………………………….
Na Anitha Jonas – Maelezo,NzegaSerikali imewataka vijana kuitumia vyema mikopo wanayopata katika kuteketeza miradi mbalimbali ya kimaendeleo ili kujikwamua kiuchumi.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Ufutiliaji na Tathimini toka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi.Verdiana Mushi wakati alipotembelea Ofisi ya Halmashauri ya Nzega na kwa ajili ya kukabidhi hundi ya kiasi cha shilingi milioni 21 itakayosaidia kukopesha vikundi vya vijana walioko chini ya Vijana Saccoss Nzega.

“Serikali inaendelea kutekeleza ahadi yake ya kuwasaidia vijana kujikwamua kiuchumi kwa kuwapatia mikopo ambayo itawasaidia kutekeleza miradi mbalimbali ambayo itawaongezea kipato na kuwaondolea umasikini kwani vijana ndiyo nguvu kazi ya nchi” Alisema Bi.Mushi.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nzega Bw. Abrahaman Mndeme ameishukuru serikali kwa kuwapatia mkopo huo vijana wa Nzega kwani kwa kupitia mkopo huo vijana watafaidika sana na pia watachangia kukua kwa pato la Halmashauri na kupunguza vijana wanaoka vijiweni na kushauriana mambo yasiyo na maendeleo katika jamii.

“Uongozi wa Halmashauri kwa kushirikiana na Saccoss ya Vijana Nzega utasimamia gawio la fedha hizo kwa vikundi husika na kuhakikisha miradi iliyoandikwa na vikundi hivyo inatekelezwa, pamoja na kufuatilia urejeshwaji mikopo hiyo kwa wakati ili vikundi vingine viendelee kunufaika na mikopo hiyo inayotolewa na serikali”,alisema Bw.Mndeme
 
Akitoa hamasa kwa vijana Afisa Vijana kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bw.Eliakim Mtawa aliwaasa Vijana kuunda vikundi na kujiunga katika Saccoss za Vijana zilizopo katika halmashauri zao ili waweze kuomba mkopo utakao wasaidia kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi badala ya kukaa vijiweni.

“Serikali imedhamiria kwa dhati kuwakomboa vijana kiuchumi kwa kutambua changamoto ya ajira iliyopo katika taifa letu kwa sasa na dunia nzima kwa ujumla”,alisema Bw.Mtawa.
 Pamoja na hayo naye Mwenyekiti wa Vijana Saccoss Nzega Bw.Emmanuel Mambo, ameishukuru serikali kwa niaba ya vijana wa Nzega kupitia Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kuwapatia fedha hizo walizoomba kwa ajili ya kufanya miradi mbalimbali ikiwemo ufugaji na kilimo itakayoongeza kipato chao.
Viewing all 46389 articles
Browse latest View live




Latest Images