Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46401 articles
Browse latest View live

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MTUKUFU AGAHKAN IKULU DAR ES SALAAM, LEO.

$
0
0
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Mwanzilishi na Mwenyekiti   wa Taasisi ya Maendeleo ya Agakhan Duniani, His Higness Prince Karim Agakhan, wakati alipowasili Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Agosti 3, 2014 kwa mazungumzo. Mtukufu Agakhan yupo nchini kwa ziara binafsi ya siku nne, ambapo pia atatumia fursa hiyo kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo ya Taasisi hiyo, ikiwa ni pamoja na kukagua mradi wa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Agakhan ‘New Compass of Agakhan Univercity’ kinachojengwa jijini Arusha. Picha na OMR
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mwanzilishi na Mwenyekiti   wa Taasisi ya Maendeleo ya Agakhan Duniani,
His Higness Prince Karim Agakhan, wakati alipowasili Ofisini kwake Ikulu jijini
Dar es Salaam, leo Agosti 3, 2014 kwa mazungumzo. 
 Kulia ni Mbunge Tabora Kaskazini, Shafin
Sumari. Mtukufu Agakhan yupo nchini kwa ziara binafsi ya siku nne, ambapo pia
atatumia fursa hiyo kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo ya Taasisi hiyo,
ikiwa ni pamoja na kukagua mradi wa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Agakhan ‘New Compass
of Agakhan Univercity’ kinachojengwa jijini Arusha.

PRESIDENT JAKAYA MRISHO KIKWETE MEETS MCC’S NEW CHIEF EXECUTIVE OFFICER, DANA J. HYDE

$
0
0
mcc1
President Jakaya Mrisho Kikwete in talks with MCC’s new Chief Executive Officer, Dana J. Hyde and her delegation  at the Ritz Carlton hotel in George Town Washington DC mcc4
President Jakaya Mrisho Kikwete shakes hands with  MCC’s new Chief Executive Officer, Dana J. Hyde and her delegation  at the Ritz Carlton hotel in George Town Washington DC. Second left if Energy and Minerals Minister Prof Sospete Muhongo and right is Tanzani’a envoy to the US Ambassador Liberata Mulamulamcc2mcc3

ASKARI FEKI MWINGINE WA USALAMA BARABARANI ANASWA DAR

$
0
0
Askari feki akishangaa na kuduwaa mara baada ya jeshi la Polisi Kumtia nguvuni leo Katika Eneo la Chamazi Jijini Dar Es Salaam Mapema leo.Picha Kwa Hisani ya Mdau.
 Askari feki wa Usalama Barabarani ambae Jina lake halikufahamika haraka akiwa chini ya Ulinzi mkali wa Askari Polisi (hayupo pichani) mara baada ya kukamatwa kwa kujifanya ni askari wa usalama barabarani huku akifahamu kuwa ni kosa kisheria. Inasemekana Mtuhumiwa aliwahi kuwa askari wa Usalama barabarani ambapo kituo chake cha Kazi kilikuwa Mkoa wa Pwani na ni mmoja kati ya askari waliofukuzwa kazi kwa kuenda kinyume na taratibu na sheria za Jeshi la Polisi Tanzania
 Askari Polisi ambae jina lake halikufahamika mara moja (Mwenye sweta) akimkamata kwa makini mtuhumiwa aliyejifanya askari wa usalama barabarani leo katika eneo la Chamazi Jijini Dar Es Salaam

GET TOGETHER 2004 UKONGA PRIMARY SCHOOL WAKUTANA

$
0
0
1
GET TOGETHER 2004 UKONGA PRIMARY SCHOOL wakipiga picha ya pamoja walipokutana kwa mara ya kwanza kwenye Kiota cha Jungle njiapanda ya Segerea baada ya miaka 10 ambapo walijadili masuala mbalimbali zikiwemo changamoto za kimaisha zinazowakabili na kubadilishana mawazo ikiwa ni pamoja na kuanzisha mikakati ya kujikwamua kiuchumi lakini pia kufurahi pamoja kwani ni muda mrefu walikuwa hawajakutana 

Wanakikundi hao walipongeza Admin wao Paul Kasela kwa kuwakutanosha mojamoja na na kufanikisha kikao hicho muhimu na chenye kujenga na kufurahisha kwani ni muda mrefu walipoteana katika picha kuanzia kushoto ni Teddy, Solomon Balige, Edwin Mpododo, Lusu, Bokhe Wambura,Irene Mtangulwa, Charles Mwita, Janeth Joseph, David Mwara na Ashura.(PICHA NA MDAU WA FULLSHANGWE)
2
Bhoke Wambura kushoto akipozi na wenzake mara baada ya kikao hicho.
 
3
Bhoke Wambura akipozi kwa picha na Ashura kulia na Teddy kushoto.
4
Wakipozi mbele ya kamera
5
Ilikuwa ni Furaha tu.

WAZIRI MKUU MSTAAFU,MH.FREDERICK SUMAYE AZINDUA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO JIJINI DAR

$
0
0
  Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa albamu ya muziki wa Injili ,Waziri Mkuu mstaafu.Mh.Frederick Sumaye akionesha albamu ya mwanamuziki nyota wa muziki wa injili hapa nchini,Rose Muhando,iliyoitwa Shikilia Pindo la yesu,mara baada ya kuizindua rasmi mbele ya maelfu ya washabiki na wapenzi wa nyimbo hizo za kiroho ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar jana.
Waziri Mkuu mstaafu.Mh.Frederick Sumaye akifungua kasha lenye CD, wakati akizundua rasmi albamu ya mwanamuziki nyota wa muziki wa injili hapa nchini,Rose Muhando,iliyoitwa Shikilia Pindo la yesu,uzinduzi huo umefanyika jana ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee na kuhudhuriwa na maelfu ya watu mbalimbali.Pichani kati ni Mkurugenzi wa Msama Promotions Ltd,Bwa.Alex Msama sambamba na Mwimbaji nyota wa Injili,Rose Muhando wakishuhudia tukio hilo.

Uzinduzi huo ulioandaliwa na kampuni ya Msama Promotions,ulionekana kufana kwa kwa kiasi kikubwa,huku waimbaji balimbali wakiwa wameshiriki onesho hilo,lililokonga washabiki na wapenzi wa muziki huo kwa kiasi kikubwa.
Waziri Mkuu mstaafu.Mh.Frederick Sumaye akisalimiana na mwanamuziki nyota wa muziki wa injili hapa nchini,Rose Muhando,iliyoitwa Shikilia Pindo la yesu,uzinduzi huo umefanyika jana ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee na kuhudhuriwa na maelfu ya watu mbalimbali.
 Baadhi ya Wadau wa Muziki wa Injili wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye uzinduzi huo uliofana kwa kiasi kikubwa.
 Sehemu ya umati ya watu waliofika kwenye uzinduzi huo
 Mwimbaji wa nyimbo za Injili,Rose Muhanda akiwa na  skwadi lake jukwaani wakiimba mbele ya umati mkubwa wa watu (hawapo pichani),wakati wa uzinduzi wa albamu yake mpya,uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee hapo jana,ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu  Mstaafu,Mh Frederick Sumaye.
 Rose Muhando akiimba kwa hisia
 Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria uzinduzi huo.


 Mwimbaji wa nyimbo za Kiroho,Upendo Kilahilo,akiimba jukwaani.
 Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka nchini Kenya,Sara K akiimba
 Waziri Mkuu  Mstaafu,Mh Frederick Sumaye na wadau wengine wakishuhudia yaliyokuwa yakijiri ukumbini humo wakati wa uzinduzi wa albamu mpya ya Rose Muhando iliyojulikana kwa jina la Shikilia Pindo la Yesu.

 Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria onesho hilo.
 Washabi na wapenzi wa muziki wa injili wakiendelea kushuhudia yaliyokuwa yakijiri kwenye uzinduzi wa albamu ya Rose Muhando.
 Palikuwa hapatoshi jukwaani
 Mwimbaji John Lissu akiimba sambamba na skwadi lake
 Mwenye kuguswa alijikuta akisimama na kuimba
 Mwimbaji mahiri wa nyimbo za Injili kutoka nchini Zambia Ephraim Sekelet akiimba mbele washabi na wapenzi wa muziki huo,waliokuwa wamefurika ukumbini humo.
Rose Muhando akiimba sambamba washabiki wake jukwaani

SIKIKA YAKANUSHA TUHUMA ZA MADIWANI, HALMASHAURI KONDOA DODOMA

$
0
0
Mwenyekiti wa Bodi Sikika, Bi. Pili Mtambalike akisoma tamko la Shirika lisilo la Kiserikali la Sikika mbele ya waandishi wa Habari leo Agosti 3, 2014 kufuatia kusikitishwa na taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wilayani Kondoa ya kusitisha shughuli zake katika wilaya hiyo kupitia barua yenye kumbukumbu namba KDC/LGC/M/3 VOL. II/71 ya tarehe 31/07/2014. 

Kwa mujibu wa barua hiyo, maamuzi hayo yalitolewa katika mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika 26 Julai, 2014 Kondoa baada ya kuituhumu Sikika kwamba imesema Madiwani hawajasoma. Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Sikika Bw. Irenei Kiria, Mjumbe wa Bodi ya Sikika pamoja na Dokta Eli Nangawe (wa Kwanza Kuli).
Mwenyekiti wa Bodi Sikika, Bi. Pili Mtambalike akisoma tamko la Shirika lisilo la Kiserikali la Sikika mbele ya waandishi wa Habari leo Agosti 3, 2014 kufuatia kusikitishwa na taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wilayani Kondoa ya kusitisha shughuli zake katika wilaya hiyo kupitia barua yenye kumbukumbu namba KDC/LGC/M/3 VOL. II/71 ya tarehe 31/07/2014. Kwa mujibu wa barua hiyo, maamuzi hayo yalitolewa katika mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika 26 Julai, 2014 Kondoa baada ya kuituhumu Sikika kwamba imesema Madiwani hawajasoma. Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Sikika Bw. Irenei Kiria na Mjumbe wa Bodi ya Sikika.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Sikika Bw. Irenei Kiria akitolea ufafanuzi tamko lililosomwa mbele ya waandishi wa habari leo Agosti 3, 2014 kufuatia kusikitishwa na taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wilayani Kondoa ya kusitisha shughuli zake katika wilaya hiyo kupitia barua yenye kumbukumbu namba KDC/LGC/M/3 VOL. II/71 ya tarehe 31/07/2014.  
Waandishi wa Habari wakiwajibika.

 
Dokta Eli Nangawe akijibu maswali mbele ya waandishi wa habari.

CBE YAENDESHA MAFUNZO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA 72 KUTOKA MIKOA MBALIMBALI JIJINI DAR

$
0
0
 Mkurugenzi Mkazi wa Marie Stopes Tanzania, Ulla Muller akielezea jambo wakati akifunga mafunzo ya awali ya IT kwa watumishi wa huduma za (MKOBA) wa uzazi wa mpango kutoka Mikoa mbalimbali nchini Tanzania.hafla hiyo ya ufungaji mafunzo ilifanyika 2 Agositi 2014 katika chuo cha C B E jijini Dar es Salaam.Pichani kulia ni Mhadhiri Msaidizi (ICT), Godfrey Mwandosya, Mkuu wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.Alex Mwijika, Kaimu Mkuu wa Idara Mathematics (ICT), Nzomwe Mazana.Mafunzo hayo yalitolewa na CBE kwa watoa huduma za Afya 72 kutoka Mikoa mbalimbali nchini.
 Mhadhiri Msaidizi ICT, Ogakhan Nyamu akisisitiza jambo wa hafla hiyo.
 Watumishi huduma za (MKOBA) na uzazi wa mpango kutoka Mikoa mbalimbali nchini Tanzania walioitimu mafunzo ya IT wakimsikiliza Mkurugenzi Mkazi wa Marie Stopes Tanzania, Ulla Muller, wakati akifunga mafunzo hayo.PICHA NA PHILEMON SOLOMON.

RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI WASHINGTON

$
0
0
Rais Kikwete akimsalimia mmoja wa watoto waliokuwepo kumlaki
Rais Kikwete akilakiwa na wanajumuiya
Rais Kikwete, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe, Balozi wa Tanzania Marekani Mhe Liberata Mulamula na Bi Rose Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora wakijadiliana jambo meza kuu
Sehemu ya wanajumuiya na wageni toka sehemu mbalimbali wakiwa katika mkutano huo
Washiriki wa mkutano huo
Wanajumuiya wakiwa wametulia mkutanoni
Wanajumuiya
Wanajumuiya toka kila kona ya DMV na sehemu mbalimbali za Marekani.
Sehemu ya viongozi wa Jumuiya na wanajumuiya
Wote wametulia wakifuatilia kinachoendelea
Wanajumuiya
Wanajumuiya
Wanajumuiya
Sehemu ya nyomi ya wanajumuiya
Wanajumuiya pamoja na baadhi ya viongozi























Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bw Charles Singili akiongea na kunadi bidhaa mpya ya Diaspora Banking ambayo benki hiyo imeanzisha



Mwanajumuiya akiomba ufafanuzi wa maswala kadhaa yanayowasibu
Wanajumuiya wakifurahia jambo
Swali toka kwa mwanajumuiya
Wanajumuiya wakisikilia kwa makini kinachoendelea
Mwanajumuiya akiuliza swali
Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akifafanua mambo kadhaa kuhusu Diaspora Banking
Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akiendelea kutoa ufafanuzi
Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akieleza faida za Diaspora Banking
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki akiongea
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki akifafanua jambo
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV BW Iddi Sandaly akiongea
Rais Kikwete akifafanua jambo. Kushoto ni Mama Salma Kikwete na kulia ni Balozi Mulamula
Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha Power Breakfast Gerald Hand akirekebisha mitambo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akifafanua jambo
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV BW Iddi Sandaly akimtambulisha Bi Rose Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Nyomi
Mawziri na wabunge waliohudhuria
Sehemu ya waliohudhuria

Rais Kikwete akihuytubia wanajumuiya wa DMV
Hotuba ikiendelea
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Viongozi na wanachama wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Wajumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Watanzania DMV

mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star yazinduliwa jijini mwanza

$
0
0
 Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa huo jana.
  Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula akisalimiana na wachezaji wa timu za Mwanza wakati akizindua rasmi mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa huo jana.

YEMI: NAKUJA KUMTEKETEZA SHILOLE

$
0
0
MKALI wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade amesema yupo tayari kuja kumteketeza mkali wa miondoko ya mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ katika Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Mkali wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade.

Akizungumza na Over The Weekend, kwa njia ya simu, Yemi ambaye ametokea kujizolea umaarufu mkubwa kupitia wimbo wa Johnny, alisema kuwa amejipanga vya kutosha na haoni kama kuna mwanamuziki atakayemsumbua hapa Bongo huku akisisitiza anakuja kumteketeza Shilole ambaye aliambiwa kuwa anatisha Bongo.

“Tanzania ni nchi nzuri najua na wanamuziki wake wapo vizuri, nimeambiwa kuna mwanamuziki anaitwa Shilole mwambieni tu nakuja kumteketeza na shoo zangu huwa hazina mpinzani.
“Nitafanya shoo ya mwaka ya kihistoria siku hiyo na lazima nimchukue Johnny wangu uwanjani hapo na kurudi naye kwetu Nigeria,” alisema Yemi.
Zuwena Mohamed ‘Shilole’.

Yemi anatarajiwa kushuka Dar kesho Jumanne saa tano kamili usiku na Shirika la Ndege la Kenya Airways, tayari kwa kupiga shoo ya kufa mtu ambapo ataungana na wakali kutoka Bongo kama Ali Kiba, Shilole, R.O.M.A, Meninah, Navy Kenzo, Nyandu Toz, P-Plan, Juma Nature na kundi zima la TMK Wanaume Halisi pamoja na Rais wa Manzese, Madee.

Pia kutakuwa na burudani tofauti katika tamasha hilo ambazo ni ndondi, mechi kali kati ya timu ya Azam FC dhidi ya Mtibwa Sugar FC, Wabunge Mashabiki wa Simba dhidi ya Yanga, Bongo Fleva dhidi ya Bongo Movie na Wanamuziki wa Injili.

Miss Tanzania 2012, JAT kusomesha albino 50

$
0
0
Taasisi ya ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred ijulikanayo kwa jina na Brigitte Alfred Foundation (BAF) ikishirikiana na taasisi ya Junior Achievement Tanzania (JAT) inazindua rasmi mafunzo ya ujasiriamali kwa jamii ya Albino.
 
Akizungumza katika uzinduzi huo jana, Brigitte alisema kuwa taasisi yake kwa kushirikiana na JAT itaanza na mafunzo kwa albino 50.
 
Brigitte alisema kuwa mafunzo hayo yanalenga sehemu kuu mbalimbali ambazo ni kujitambua (Life skills), kutathmini aina mbalimbali za biashara (Business Analysis), namna ya kutunza pesa ( How to save), kuandika mchanganuo wa biashara (Business Plan), kutembelea sehemu mbalimbali zinazoendana na biashara atakayoifanya na jinsi ya kuanza biashara.
 
Alisema kuwa BAF ikishirikiana na wadau mbalimbali na pia itagharimia gharama za mafunzo na mahitaji mbalimbali ya kuboresha hali yao.
 
“Mafunzo haya yatachukua muda wa mwaka mmoja yaani watashiriki na yataanza rasmi Agosti 18, kila mshiriki wa mafunzo haya atapatiwa kitabu chenye masomo yote ili aweze kuendelea kujisomea,” alisema Brigitte.
 
Mkurugenzi wa JAT, Maria Ngowi alisema kuwa wamejipanga kufanikisha mpango huo na wanaamini albino watakaopata mafunzo hayo watafanikiwa katika maisha yao ya kila siku.  Ngowi alisema kuwa JAT imejikita katika Nyanja tatu ambazo ni ujasiria mali, elimu ya kuzalisha, kuiwekeza na kutunza fedha na elimu ya kazi.
 
Alisema kuwa taasisi yao ni sehemu ya taasisi kubwa ulimwenguni inayoitwa Junior Achievement International ambayo iko katika nchi 120 duniani huku afrika ikiwa katika nchi 17.
 
Kaimu Katibu Mkuu wa Tanzania Albino Society (TAS), Mohamed Chanzi alimshukuru Brigitte na JAT kwa kuwajali na kuomba wadau mbali mbali kuwaunga mkono.
 
“Wamelenga kutusaidia kimaisha, kwani msaada wa elimu ni mkubwa kulinganisha misaada mingine, naomba wadau wawaunge mkono,” alisema Chanzi.
 

Matukio katika Picha Nane Nane Lindi

$
0
0
 Mratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Edga Senga akipokea maelekezo kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dr. Florence Turuka kuhusu masuala ya Maafa alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika Mkoani Dodoma, Tarehe 3 Agosti, 2014.
Mratibu Msaidizi wa Tovuti ya TAYOA Bw. John J. Mindu akimweleza Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr. Florence Turuka kuhusu tovuti ya vijana ya vijanatz. Com inayoelezea masuala ya Biashara, Afya, Ajira kwa vijana ili waweze kujiendeleza, wakati alipotembelea Banda hilo katika Maonesho   ya Wakulima NAne Nane tarehe 3 Agosti, 2014.

SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI CHA BUNGE MAALUM LEO

$
0
0
 Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samuel Sita akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi cha Bunge hilo kilichokaa leo kupanga ratiba ya Bunge hilo linaloanza  jumanne 5 Agosti 2014 baada ya kuarishwa tarehe 25 Aprili 2014. Picha na Owen Mwandumbya

washriki wa shindano la miss Kinondoni 2014 waanza kujifua

$
0
0


Washiriki wa shindano la Redd’s miss Kinondoni 2014 wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mazoezi yanayofanyika kwenye Hotel ya Picolo jijini Dar es Salaam, Jumla ya warembo 20 wapo mazoezini kujiandaa na shindano litakalofanyika ijumaa 15/08/2014 katika Fukwe za Escape One kwa kiingilio cha 10,000 na 30,000 kwa VIP.

INTRODUCING OFICIAL VIDEO SONG FINGO FROM NYANGI


SUMAYE AFUNGUKA YA MOYONI WAKATI WA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO

$
0
0
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh Frederick Sumaye alipokuwa akizungumza jana kwenye uzinduzi wa albamu mpya ya Mwimbaji mahiri wa nyimbo za Injili nchini,Rose Muhando iliyojulikana kwa jina la Shikilia Pindo la Yesu,uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar.

Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba Wapigwa msasa kuhusu Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana

$
0
0
 Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba Mkoani Dodoma Bw. Boniface Mandi akiongea na Timu ya Maafisa Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo  kabla ya kufungua Mafunzo ya Vijana wa Wilaya  hiyo kuhusu Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, kulia ni Afisa Vijana Bi Amina Sanga.
 Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba Mkoani Dodoma Bw. Boniface Mandi akifungua  Mafunzo  ya Vikundi vya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba kuhusu Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.Mafunzo hayo yanatolewa na kuratibiwa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

 Vijana wa Wilaya ya Nchemba Mkoani Dodoma wakimsiliza mwezeshaji (hayupo pichani) Bi. Amina Sanga katika Mafunzo ya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kuhusu Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana
Afisa wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Amina Sanga akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba Mkoani Dodoma Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana na kitabu cha Mwongozo Sanifu wa Mafunzo ya Vijana Walio nje ya Shule.Picha zote na Benjamin Sawe

Reviewed & Re-Released: "Ni Raha Tu"-AY [Original And Remix]-Listen And Download

$
0
0
Ni Raha Tu-AY 
Ni Raha Tu-AY| Ni Raha Tu-AY Feat.Complex[/caption] As the world was welcoming the new millennium with illusion global threat of Y2K, the east African nation of Tanzania was also going through its own share of changes. The scene resembled of a man standing in the middle of a burning lake of himself, unable to escape with time running out faster than a rocket. 

The country had lost her founding father, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere a year earlier. Everyone was devastated and worried. The future of the nation without him was certain but doubtful. It seemed like the engines for the country had suddenly gone off. Darkness had fallen! Dar-es-salaam, in particular, was then a city under a smutty darkness. Five years earlier [1995], the first multi-party elections had taken place. 

The seasoned journalist and diplomat, Benjamin William Mkapa had taken the oath with muted promises of changing the economical gateways. He asked everyone to tighten his or her belt. He had a daunting task of changing the sickening sensation of life plunging downward that had occupied the minds of millions of Tanzanians. Benjamin Mkapa’s economical policies [under the wings of his party-CCM] were not clearly understood. Few people, to this date, have grasped well what he wanted to do. All I know is; he wanted the country to be self-reliant. 

Mkapa thought [and I agree with him] that for a country as wealthy as Tanzania to be like a poor and lonesome global peddler is ridiculous. People who had lots of money during the tenure of the second President of the United Republic, Ali Hassan Mwinyi [Mzee Ruksa], suddenly were broke. Money was simply not available and jobs weren’t visible. They were trying times that got nicknamed “ukapa”. 

People who had felt delicious and were able to laugh at practically anything during the Mzee Ruksa era were no longer laughing. Their living quarters suddenly had somber moments close to funeral homes. In the midst of all that, a young man with a wide boyish smile had taken a journey from the nearby city of Morogoro to Dar-es-salaam. Unlike his many trips to the “big city” before in the 90s, this time he wasn’t going to visit. 

He was determined like a brave soldier to realize his dreams. He wanted to conquer the city [and the nation] not just an artist but also a great artist. From the distance, he had formed a vision to become a pioneer in how Tanzania’s music can be business mixed with pleasure. That boy with a boyish smile and charm is whom we know today as AY although he still answers to his real name, Ambwene Yessayah. 

 Before he boarded those fast moving mini-buses [Toyota Coasters] to Dar-es-salaam, he had all signs of fears and anxiety. You could understand him. Dar is a big city. It’s the city that thrives on its rough-edged traditions. No wonder it first adopted the nickname “Bongo” before the whole country became known for the same name. 

He had decided to conquer the fear of the unknown head-on. Apart from few relatives in Dar-es-salaam, he personally knew and was in close contacts with very few people. Lucky for him, he had lived in many cities and towns in Tanzania. His parents were civil servants and according to Nyerere’s Ujamaa na Kujitegemea policies, people were moved from coast to coast in the name of efficiency and integration. 

Him having lived in many regions of Tanzania would become an “asset” for him in years to come. He found himself able to relate well with anyone across the nation. Lots of regions can claim him being their “homeboy”. In Dar he had maintained close contact with two friends whom he had gone to school with in central and midlands Tanzania. These were Snare and Buff G with whom later they would form one of the most talented music “gang”; The East Coast Team. 

That is where he met Hamisi Mwinjuma [MwanaFA] who would become his best friend and music collaborator todate. These friends officially welcomed him in the city that had engines in its blood. As he later on watched trains chuffed out in their clouds of smoke and steam, he became more confident that his dreams wouldn’t disappear as a smoke. 

He firstly settled in Upanga, the neighborhood that was known to harbor the wealthy and famous. By then, Upanga was one of the most desirable “hoods” in the city. For AY and his friends, Upanga was just like any other “hood”. They were broke. The statutes and concrete benches meant nothing than decorations. Daring to be unique was in their vocabularies but it was muted.

Days became nights. AY spent those days and nights fine-tuning his dreams while watching ceiling boards at nights and dust movements during the day. Without any good source of income, life became tougher. His brain was working as if he had just taken steroids to boost his memory. He could almost hear helicopters wheeling like vultures over the kill even though none of these were real. The shadows looked like stalking gray cats. With fatigue oozing from every pore from lack of sleep and deep thoughts, you could find him in Masaki [another Porsche neighborhood] or Mwenge. Reason? Those two locations had two among the earliest recording studios in Dar-es-salaam. I am talking about MJ Records and Bongo Records. These studios were not only new; they had also embraced what we now call Bongo Fleva/ Bongo Hip-Hop. He finally found himself spending most of his time at Bongo Records the joint that would become almost his “training camp”. P-Funk [the owner and senior producer at Bongo Records] enjoyed his presence and always opened the doors for him. He, therefore, got a chance to listen to lots of tracks and beats. However, in his mind, his presence at Bongo Records was still like quick-moving shadows of clouds skimmed over the empty landscape. He needed some sort of redemption. His “redemption” came when one day during those “blind visits” at Bongo Records, he wrote and climbed on the booth to record Ni Raha Tu. Yes he wrote it right there and then. When I asked him what happened that he went to Bongo Records/ Studio without prepared lyrics, with a wider smile he confessed, “Jeff, in those days just hanging out at studios such as Bongo Records, was cool. Few people were allowed to be near P-Funk Majani. Something, however, was different in Ni Raha Tu. It wasn’t “conscious”. By then Tanzania’s artists had the USA’s East Coast and West Coast mentality except they didn’t dwell in the violence part as it was in the US. They wrote deep about what is happening in their hood and how they view their society in deep thoughts. AY thought enough of that has been said and he wanted to introduce something new. He believed in working hard and partying hard. He believed in power of thoughts. If you think you are sad, probably you are! He believed that the “traditional” public-relations approach through music was okay but wouldn’t have worked the way he envisioned it at that time. Regardless of “Ukapa” that was going on, AY thought people could still accept the harsh reality and have fun. It was party and happy times. Raha Tu! If there was competition he had figured out how to outmaneuver the competition by taking strategic steps. It worked. It was during those countless days and hours at Bongo Records, P-Funk Majani gave him the name that will later come to not only shape how he does music but also how he handles music business. P-Funk called him “Mzee wa Commercial” after realizing AY could flow with literally any kind of beats. Throw upon him any kind of beat and he will hang on with it. P-Funk thought this young man could commercialize anything musical. He was right, as it became evident years later till now. After the studio sessions etc, it wasn’t an easy game to push Ni Raha Tu forward. The media was polarized with “deep conscious stuff”. It was hip-hop to the core. Here was one young fella with a different kind of gig. He pushed forward anyway. It didn’t matter if he was swimming in the wind-whipped waters of the bay or not. Back then; Bongo Fleva program on Clouds FM hosted by DJ Steve B was one of the hottest places to drop a new single. DJ Steve B was one of the most sought after DJs by artists. So he handed his work to Clouds FM and patiently waited in the next day session. For him, unfortunately, he had to stick his ears to the radio longer. Steve B had finished his Bongo Fleva session and his song didn’t see the airwaves. His mind became like a rough sea winds that swept like lost souls. He was almost devastated. Here was the song that he believed it was his break-through but it never saw the light of the day. He obviously pushed his bottom lip forward in thoughts. It was a look of disbelief, rage and frustration all over again. He didn’t sleep well and the next day, in the early morning hours he was awake and alert. The meter band on his radio was still on 88.4FM. The session was Rise and Shine. Seven, a young Presenter/ DJ called Seven was coming in to “wake up’ the almost never sleeping citizens of Dar. To AY’s surprise, she started with Ni Raha Tu. He stood still at the middle of his almost empty room in a pleased surprise. All of sudden he felt that wonderful sense of going home. A blush of pleasure rose to his cheeks. It was a small but satisfying victory. Almost every program for that day on Clouds FM and other radio stations played Ni Raha Tu. If nickname “Mzee wa Commercial” was a blessing or a curse, it would take him couple of months before he realized if he is going to live up to his name or not. It took him time to make money. The first smile to the bank teller came after a show in Mwanza at Deluxe Club in 2001. Another artist, Solo Thang, connected him to that deal. To get to Mwanza he had to take a bus via Nairobi. Those were the days different. Mwanza was very far away from Dar-es-salaam. As he sat in the bus, he said a little prayer that gave him the calmness as if he had taken the strange drug of calm. Few crocuses of hope poked through the surface. After his wild performance at Deluxe he got paid 60,000 TZS. That was his first amount of money through his performance as an artist. He felt the wonderfully feeling of happiness rising inside him. He loved every minute of it. AY slowly started changing the platform of music in Tanzania by cleverly incorporating the “business sense” of it. He is one of the first artists in Tanzania to get deals on products endorsements. Throughout his career he has worked with the corporate clients such as Vodacom, Airtel, Samsung, Konyagi, Uganda Waragi etc to name just a few.. Years later, he would live up to his nickname more than anyone. He now works as an artist while managing other artists and booking agent for other artists. He owns a company, Unity Entertainment. He is an executive producer for a hit TV show Mkasi. It all started with Ni Raha Tu. Here are two versions of Ni Raha Tu. First is AY as a solo artist and second is a remix with the late Complex [RIP]. Enjoy and spread the words…stay tuned for another Review and Re-Release coming soon. NI RAHA TU-AY[Original Version] NI RAHA TU-AY Feat.Complex [Remix]

YEMI ALADE KUTUA BONGO LEO

$
0
0
Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Mkali wa ngoma ya Johnny, Yemi Alade, hatimaye anatarajiwa kutua Bongo saa tano usiku, leo Jumanne, Agosti 5, 2014 tayari kwa kukinukisha kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini ambalo limebakiza siku chache kabla ya kutimua vumbi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Agosti 8, 2014.
Mkali wa ngoma ya Johnny kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade.
Akipiga stori na Showbiz, mratibu wa tamasha hilo, Luqman Maloto alisema Alade anatarajiwa kutua kwa ndege ya Shirika la Kenya Airways akitokea Lagos, Nigeria na kuwataka mashabiki wa mwanamuziki huyo, kujitokeza kwa wingi kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere.

“Kama tulivyowaahidi kwamba mwaka huu kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini tunamdondosha Yemi Alade, mwanamuziki huyo atatua leo usiku tayari kwa kazi iliyomleta Bongo, kuzikonga nyoyo za mashabiki watakaohudhuria kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini na kumtafuta Johnny wake,” alisema Maloto.

Katika tamasha hilo, mbali na burudani ya nguvu kutoka kwa Yemi Alade, pia Ali Kiba atakamua shoo ya nguvu sambamba na wasanii wengine kibao wa Bongo wakiwemo Navy Kenzo (Nahreel na Aika), Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Madee, R.O.M.A Mkatoliki, Meninah, Juma Nature na kundi zima la Wanaume Halisi, mshindi wa Shindano la Amani Talent Search, Paschal Dominick ‘P-Plan’ na Scorpion Girls (Jini Kabula na Isabela).
Yemi Alade.
Maloto aliongeza: “Package ya burudani katika tamasha hilo lenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya kuisaidia Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), haitaishia hapo, kutakuwa na burudani kibao kama vile mpira wa miguu na ndondi ambapo mwaka huu Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba atazichapa na Mbunge wa Nzega, Hamis Kigwangala. “Tutakuwa na mwanamuziki Khalid Chokoraa ambaye atazichapa ulingoni na Said Memba huku Bingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Thomas Mashali akizitwanga na ‘mbunge mtarajiwa’, Mada Maugo.

“Ushindani mkali pia utawekwa na mastaa wa Bongo Movie, Cloud 112 na Jacob Steven ‘JB’ ambao siku hiyo watazipiga katika pambano la raundi 4, pia kutakuwa na mechi za mpira wa miguu kati ya Wabunge Mashabiki wa Yanga dhidi ya wenzao wa Simba, timu ya Bongo Movie itapepetana na Bongo Fleva sambamba na Azam watakaokipiga dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro.”

Tamasha hilo limedhaminiwa na ampuni ya Vodacom, Pepsi, Azam TV, E FM (93.7), Clouds FM (88.5), Sycorp pamoja na Times FM (100.5).

Wakulima Mbeya Waneemeka na Elimu ya uzalishaji wa Mboga Mboga kutoka TAHA

$
0
0
Mh. Dr. Christine Ishengoma Mkuu wa Mkoa wa Iringa akipokea taarifa kuhusu mfumo wa taarifa za masoko kutoka TAHA unavyofanya kazi zake kutoka kwa Cyrila Antony Afisa wa Masoko
Mkuu wa mkoa wa Iringa  Mh. Dr. Christine Ishengoma akisikiliza maelezo kutoka kwa Mtaalamu wa kilimo wa TAHA Bw Ringo kuhusu uzalishaji wa zao la nyanya 
Elimu ikiendelea kutolewa
 Vitalu na green houses
 Aina Mbalimbali za matunda ambazo zimezalishwa na wakulima kutokana na elimu Bora waliyo ipata kutoka TAHA
 Mwananchi akipata maelezo kutoka kwa Mtaalamu wa TAHA
 Teknolojia ya umwagiliaji kwa mfumo wa kilimo cha matone ambao pia unaonesha utengenezaji bora wa matuta, nafasi na usafi
Hivi ni  Vitalu vya TAHA na Barton Tanzania
 Vitalu vya mboga na green house kama zinavyoonekana katika picha
 Watangazaji wa Radio Sweet FM ya Mbeya wakishangaa ubora wa karoti ambayo ni daraja la kwanza inapopelekwa sokoni
 Zao la chines
Zao la karoti lililopandwa kwenye vitalu vilivyopo ndani ya viwanja vya Nanenane Mbeya kwenye Banda la TAHA
 Mwananchi akifurahia maelezo kuhusu zao la karoti daraja la kwanza

********************
Wakulima na wananchi mkoani Mbeya wameendelea kuneemeka na elimu ya bure ya uzalishaji wa mazao ya mboga, viungo na matunda inayotolewa na Asasi ya wakulima, wafanyabiashara na watoa huduma ya mazao ya horticulture nchini Tanzania (TAHA).

Wakulima hao wameneemeka na elimu hiyo inayotolewa na maafisa wa ufundi wa kilimo kutoka TAHA kwa ushirikiano na wale wa Barton Tanzania ambao kwa pamoja wameweka kambi katika viwanja hivyo ili kuhakikisha jamii ya wakulima wa mboga kutoka ukanda wa Nyanda za Juu Kusini wanapata elimu ya msingi bora ya uzalishaji wa mboga wenye tija.

"Mpaka sasa tumetembelewa na wananchi na wakulima wasiopungua 460 ambao wamefika katika banda letu hapa Nanenane kwenye viwanja vya John Mwakangale wakitaka kujifunza mbinu na misingi ya awali ya uzalishaji wa mazao ya horticulture, hiyo ni ishara njema kwani inaonesha ni kiasi gani wananchi  wanatafuta mbinu fasaha inayoweza kuwakwamua kutoka katika uzalishaji wa mboga wa kawaida mpaka uzalishaji wa tija unaozingatia viwango vya kitaifa na kimataifa" Alisema Likati Thomas afisa Mawasiliano kutoka TAHA.
Akifafanua zaidi kuhusu elimu ya kilimo cha uzalishaji wa mboga kwenye banda la TAHA afisa mawasiliano huyo alisema kuwa wamepanda mazao tofauti katika ploti zilizopo kwenye eneo lao ambapo wakulima na wananchi wanaopata fursa ya kutembelea eneo hilo ujifunza teknolojia mbalimbali za uzalishaji kama vile uzalishaji unaozingatia Mbegu bora zenye tija.

Teknolojia nyingine ni pamoja na upandaji mazao unaozingatia nafasi kati ya miche na miche, umwagiliaji kwa njia ya matone(drip irrigation) unaozingatia uhifadhi wa maji na mazingira pamoja na ulimaji wa matuta yaliyoinuka ili kutoa nafasi kwa mizizi ya mimea kupenyeza kwenye udongo ili kujitafutia lishe.

Mbali na elimu hiyo ya uzalishaji wa mboga, wananchi wa Mbeya wanaotembelea banda hilo pia wanapata fursa ya kujifunza elimulishe kutoka kwa mtaalamu wa masuala ya lishe wa TAHA Bi. Lawrencia …..ambaye amekuwa akiwafundisha wananchi juu ya umuhimu wa ulaji wa mboga na faida zake kwa afya ya miili yetu.


Viewing all 46401 articles
Browse latest View live




Latest Images