Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 48915 articles
Browse latest View live

Washindi wa Johnnie Walker TM Lugalo Cross Country wakabidiwa zawadi

$
0
0

 Mashindano ya mchezo wa gofu maarufu kama TM Cross Country Golf Challenge jana yalimalizika katika viwanja vya gofu  Lugalo jijini Dar es Salaam kwa hafla ya washindi kukabidhiwa zawadi za vikombe.

Mashindano hayo ambayo yanafanyika kwa mwaka wa nne, yamefadhiliwa na kinywaji cha Johnnie Walker kinachosambazwa na kampuni ya bia ya Serengeti na yaliweza kuwaleta pamoja wachezaji wa gofu wa madaraja mbali mbali.

Jumla ya washindi kumi na tatu wa madaraja tofauti tofauti walifakiwa kujiondokea na vikombe baada ya kuibuka vinara.

Akizungumzia kuhusu mashindano hayo ambayo huusisha kucheza kwenye viwanja mashimo tisa badala ya 18, mwazilishe wake Terence Mwakaliku alisema mashindano hayo hutoa fursa kwa wachezaji wa gofu kucheza mchezo huo kwa namna ya tofauti na walivyozoea.

“Badala ya kucheza kiwanja kimoja baada ya kingine, mashindano haya yanahusisha kuchanganya viwanja na mashimo pia na hivyo kumfanya mchezaji kupata uzoefu wa tofauti,” alisema Mwakaliku

Mwakaliku aliishukuru Johnnie Walker kwa kufadhli masindano hayo na kuongeza kuwa udhamini umesaidia kuboresha mashindano na pia umesaidia kuwavutia wachezaji wengi zaidi kushiriki.

Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya bia ya Serengeti ambao ndiyo walikuwa wadhamini wakuu wa kupitia Johnnie Walker alisema kinywaji hicho kinajivunia kuwa sehemu ya mashindano hayo ya aina yake.

“Katika mashindano haya kinachofanyika ni kubadilisha uwanja wa kuchezea gofu ili tuweze kucheza kwa namna tofauti na tulivyozoea na hivyo kufurahia kucheza kwa namna tofauti kabisa. Kinywaji chetu cha Johnnie Walker ni kinywa ambacho kinatoa ladha Pamoja na uzoefu tofauti kwa watumiaji na tuna furahi kudhamini mashindano haya,” alisema.

Johnnie Walker ni moja kati pombe kali zenye ubora wa hali ya juu na hadhi ya kimataifa. Kinywaji hiki kina jumla ya aina tano ambazo zimeshinda tuzo za ubora wa kimataifa. Aina hizo ni pamoja na JW Red Label, JW Black Label, JW Green Label, JW Gold Label, na JW Blue Label kila moja ikiwa na historia yake ya kipekee.  

Mkurugenzi Mtedaji wa kampuni ya bia ya Serengeti Mark Ocitti (kushoto) akimkabidhi kikombe mshindi wa Daraja C  katika mashindano ya Johnnie Walker TM Cross County Challenge 2021 Danstan Kolimba. Wa pili kushoto ni mwanzilishi wa mashindano hayo Terence Mwakaliku na kulia ni James Mwambona kutoa Simba Courier ambao ni mdhamini mwenza wa masindano.

Baadhi ya washindi wa mashindano ya Johnnie Walker TM Cross County Challenge 2021 wakifurahia ushindi wao mara baada ya kukabidhiwa vikombe katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya gofu Lugalo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.


 Mkurugenzi Mtedaji wa kampuni ya bia ya Serengeti Mark Ocitti (kushoto) akicheza wakati wa mashindano ya Johnnie Walker TM Cross County Challenge 2021 yaliyofanyika katika viwanja vya gofu Lugalo jijini Dar es Salaam. Kulia ni mchezaji ambaye pia ni mwanzilishi wa mashindano hayp, Terence Mwakaliku.


TANZIA:CCM YAOMBOLEZA KIFO CHA BALOZI ABBAS KLEIST SYKES

$
0
0

 


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan amepokea kwa masikitiko, huzuni na majonzi taarifa ya kifo cha Mwanasiasa mkongwe na Kiongozi, Balozi  Abbas Kleist Sykes.

"Ni msiba mkubwa kumpoteza Kiongozi, ambaye licha ya kuwa kijana enzi za kuasisiwa na kuundwa kwa TANU, alishiriki, alishuhudia na aliunga mkono harakati za kupigania Uhuru wa Nchi yetu uliopatikana Disemba 9 mwaka 1961" - amesema Ndugu Samia Suluhu Hassan. 

Balozi Abbas aliyatumia maisha yake ya ujana katika kuijenga TANU, akiwa pamoja na Kaka zake Hayati Abdulwahid Sykes aliyewahi kuwa Rais wa TAA na Marehemu Ally Sykes aliyekuwa Mweka hazina wa Chama hicho.

Msingi uliowekwa na TAA mwaka 1929 ndio ulitumika kuanzisha TANU  Julai 7 mwaka 1954 chini ya uongozi wa Rais wa kwanza wa TANU Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na baadae kuungana na ASP ya Zanzibar kuunda CCM mnamo Februari 5 Mwaka 1977.

Balozi Abbas Sykes  ambae alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kwanza  wa Dar es salaam, ametumikia Taifa akiwa Balozi katika Mataifa ya Canada, Ufaransa, Ubelgiji, Sudan Marekani, Mexico Hispania, Ureno, Morocco, Tunisia na Jamhuri ya Demokrasia ya Saharawi. Kazi aliyoifanya kwa uzalendo, uaminifu na uadilifu mkubwa. Pia, amekuwa Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika Shirika la Elimu na Utamaduni (UNESCO).

Chama Cha Mapinduzi kinatoa pole kwa familia ya Marehemu, Ndugu, Jamaa, Marafiki na Wananchi wote kwa msiba huu.

Mwenyezi Mungu mtukufu kwa uweza wake amlaze mahali pema peponi Balozi Abbas Kleist Sykes.
Hakika Sisi ni wa MwenyeziMungu na Kwake ni Marejeo Yetu.

Imetolewa na:

Shaka Hamdu Shaka
KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA
IDARA YA ITIKADI NA UENEZI
16 Mei 2021

Benki ya Exim yaunga mkono jitihada za Mzee Pinda upandaji wa miti 10,000 Dodoma

$
0
0

 Benki ya Exim Tanzania imeungana na Waziri Mkuu Mstaafu Mh Mizengo Pinda katika kufanikisha kampeni maalum ya kupanda miti 10,000 katika kata ya Zuzu jijini Dodoma ili kuunga mkono juhudi za serikali katika kuhifadhi mazingira.

Jitihada za benki hiyo ni muendelezo wa mpango mkakati wake wa kutunza mazingira ujulikanao kama ‘Exim Go Green Initiative’

Katika kufanikisha kampeni hiyo iliyoratibiwa na taasisi ya Habari Development, benki hiyo pia ilichangia fedha ili kufanikisha ununuzi wa miti katika zoezi hilo muhimu lililohudhuriwa pia na viongozi waandamizi wa serikali waliojitokeza kuunga mkono jitihada za Waziri Mkuu huyo mstaafu.

Baadhi ya viongozi hao ni pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambae kwa sasa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Binilith Mahenge, wafanyakazi wa benki hiyo, walimu na wananchi wa kata hiyo.

Akizungumza wakati watukio hilo, Mh Pinda pamoja na kuipongeza benki ya Exim kwa kufadhili zoezi hilo muhimu, alielezea umuhimu wa kutunza mazingira huku akibainisha baadhi ya changamoto zitokanazo na uharibu wa mazingira kuwa ni pamoja na ukame na mabadiliko ya tabia nchi.

“Ndio maana binafsi nimekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kwamba nashirikiana kikamilifu na wadau mbalimbali zikiwemo taasisi kama benki ya Exim ili kwa pamoja tuhakikishe tunaitengeza Tanzania ya kijani’’ alisema Mh Pinda ambae alitumia pia wasaa huo kuwatembeza wageni hao kwenye miradi yake mbalimbali ikiwemo ya kilimo na utunzaji wa mazingira.

Kwa upande wake Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano, Bw. Stanley Kafu alisema utunzaji mazingira ni sehemu ya vipaumbele vya benki hiyo na ndio sababu imekuwa mstari wa mbele kubuni na kuunga mkono jitihada mbalimbali za utunzaji mazingira nchini ikiwemo upandaji wa miti na utunzaji wa bustani mbalimbali zilizopo katikati ya miji na majiji mbalimbali hapa nchini.

“Mabadiliko ya tabia nchi yanayosababishwa uharibifu wa mazingira yamekuwa na athari kubwa kiuchumi kwakuwa yamekuwa yakizorotesha pia shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo, ufugaji na ustawi wajamii kwa ujumla. Ni wazi kwamba hatuwezi kutenganisha athari hizi na ufanisi wa biashara za kibenki,na hiyo ndio sababu tunashiriki kikamilifu katika kutatua changamoto hii,’’ alifafanua.

Alisema kibiashara pia benki hiyo imekuwa ikitoa kipaumbele kwenye utoaji wa mikopo inayohusisha miradi inayozingatia utunzaji wa mazingira sambamba na kutumia mifumo ya kisasa ya teknolojia ya mawasiliano na utunzaji wa kumbukumbu ili kupunguza matumzi ya karatasi.

Zaidi, aliwasihi wananchi hususani wakazi wa kata ya Zuzu kuzingatia na kuheshimu sheria zinazosimamia na kulinda misitu ili waweze kunufaika na rasilimali hiyo muhimu huku akiahidi kuchimba kisima kwa ajili ya kuwezesha umwagiliaji wa miti hiyo.

Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda  akikamilisha zoezi la upandaji wa mti kwa kumwagilia maji wakati wa uzinduzi wa kampeni maalum ya upandaji wa miti 10,000 jijini Dodoma  inayoratibiwa na na taasisi ya Habari Development kwa kushirikiana na Benki ya Exim Tanzania kupitia mpango mkakati wa benki hiyo ujulikanao kama ‘Exim Go Green Initiative’. Wanaoshuhuda ni pamoja na Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Bw Stanley Kafu (Katikati) . Zoezi hilo lilifanyika katika kata ya Zuzu jijini Dodoma.

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Bw Stanley Kafu akimwagilia mti wakati wa zoezi hilo la upandaji miti.

Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda  (kushoto) akijadili jambo na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambae kwa sasa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Binilith Mahenge (Kulia), Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Bw Stanley Kafu (Katikati) na wafanyakazi wengine benki hiyo wakati wa zoezi hilo la upandaji miti.

Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda  (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wadau mbalimbali waliojitokeza kufanikisha zoezi hilo la upandaji miti.


Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Bw Stanley Kafu akiendelea na zoezi la upandaji miti.

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Exim tawi la Dodoma wakiendelea na zoezi hilo la upandaji miti.

Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda  (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa benki ya Exim wakiongozwa na Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Bw Stanley Kafu (watatu kulia) kwenye makazi ya Waziri Mkuu huyo mstaafu mara baada ya kukamilika kwa zoezi hilo la upandaji miti.

Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda  akiwaelekeza wafanyakazi wa benki ya Exim kuhusu ufugaji wa samaki wakati wafanyakazi hao walipotembelea miradi mbalimbali ya kilimo, uvuvi na ufugaji kwenye makazi ya Waziri huyo mstaafu jijini Dodoma.



Huawei yatoa wito wa Ushirikiano kati ya sekta za umma na binafsi ili kurejesha imani katika teknolojia.

$
0
0

 kampuni ya mawasiliano ya China ya Huawei imetoa wito wa uwepo wa ushirikiano madhubuti baina ya sekta za umma na sekta binafsi ili kurejesha imani baina ya sekta hizo mbili kwa mustakabali mzima wa uboreshaji wa teknolojia.

Wito huo umetolewa hivi karibuni na Makamu Mwandamizi wa Rais na mwanachama wa bodi ya wakurugenzi ya Huawei, Catherine Chen kwenye  Kongamano la Mtakatifu Gallen - mkusanyiko wa viongozi wa sasa na wa baadaye kutoka kote ulimwenguni ambao hufanyika kila mwaka.

Kongamano hilo lililenga kusherehekea kumbukumbu ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake. Katika kongamano hilo, jumla ya watu 1,000 walishiriki kwenye mazungumzo ya siku tatu baina ya vizazi tofauti kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Gallen, kituo cha kimataifa Singapore, Balozi kumi za Uswizi kote ulimwenguni, na mahali pengine mtandaoni.

Wasemaji wengine kwenye kongamano hilo ni pamoja wakuu mbalimbali kutoka sekta binafsi ambao ni pamoja na Christophe Franz, Mwenyekiti wa bodi ya Roche, Ola Källenius, Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi huko Daimler, Satya Nadella, Afisa Mtendaji Mkuu wa Microsoft, na Roshni Nadar Malhotra, Afisa Mtendaji Mkuu wa shirika la HCL.

Washiriki, ambao pia walijumuisha viongozi wa kisiasa, kama vile Kansela wa Austria, Sebastian Kurz, na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa, kama Mwenyekiti wa mpango wa kidijitali Uswizi, Doris Leuthard, walikusanyika kubadilishana maoni yao juu ya mada ya kongamano la mwaka huu, "Uaminifu ni Muhimu" kitu ambacho Huawei imejitolea sana.

Kwa mujibu wa Bi Chen anaamini inahitajika juhudi za pamoja za watunga sera, wasimamizi, na sekta binafsi. "Kwa kua vifaa vingi vinajumuisha mawasiliano, uwepo wa ongezeko la huduma kwa njia za mitandao pamoja na miundombinu muhimu kutegemea upatikanaji wa data kwa wakati halisi, ni lazima kwa serikali zote ulimwenguni kuhakikisha kuwa kila mtu analindwa kwa kiwango cha juu kabisa kiusalama. Kitu pekee kinachoweza kuleta imani katika teknolojia ni uwepo wa sheria moja na jumuishi kwa nchi zote.” Alisema.

Kongamano hilo kwa mwaka huu lilianza Mei 5. Washiriki wa hafla hiyo walikubaliana kwamba uaminifu hujengwa kwa uwazi, na kwamba ni wakati wa kuchukua hatua madhubuti kushughulikia changamoto hiyo na hatari ambazo zimeibuka baada ya janga la COVID-19.

Uaminifu wa umma katika taasisi za kisiasa na kiuchumi, teknolojia zinazoibuka, na vyombo vya habari vimeharibiwa hivi karibuni, haswa kati ya kizazi cha vijana, na hii imezidishwa na janga la COVID-19.

"Sisi, kwa kizazi chetu, tunaunganishwa na idadi kubwa ya watu kupitia mitandao ya kijamii, lakini hii haimaanishi ni kundi la watu ambao tunaweza kuwaamini," alisema Simon Zulliger, mshiriki wa timu ya wanafunzi 35 kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Gallen ambacho kiliandaa kongamano la mwaka huu. Timu hiyo ilielezea maoni yao kuwa kutafuta njia za kuhifadhi na kuimarisha uaminifu ni muhimu kwa kurudisha imani.

Chen anatumaini kwamba kizazi kijacho cha viongozi kitaunda uaminifu na kuunda ulimwengu uliounganishwa kimtandao. "Ninawahimiza waendelee kukuza uhusiano mzuri kati ya jamii, watu, na mazingira yao. Lazima tujenge imani kubwa katika teknolojia, iliyowezeshwa na ya sheria jumuishi, ubunifu na maendeleo. Hapo tu ndipo tunaweza kujitolea kwa matumizi endelevu na ya kuaminika ya teknolojia." alisema.



RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWAAPISHA MAJAJI WA MAHAKAMA YA RUFANI PAMOJA NA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Patricia Salehe Fikirini kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Penterine Kente kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Lilian Leonard Mashaka kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Paul Faustine Kihwelo kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Lucia Gamuya Kairo kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Issa John Maige kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Abraham Makofi Mwampashi kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Katarina Tengia Revocati kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Biswalo Eutropius Kachele Mganga kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Zahra Abdallah Maruma kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Devotha Christopher Kamuzora kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Messe John Chaba kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Frank Habibu Mahimbali kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Majaji wa Mahakama ya Rufani, Majaji wa Mahakama Kuu pamoja na Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uapisho Ikulu Jijini Dar es Salaam.Majaji wa Mahakama ya Rufani pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu wakila Kiapo cha Maadili kwa Viongozi wa Umma mara baada ya tukio la Uapisho wao Ikulu Jijini Dar es Salaam.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Hamis Juma, Spika wa Bunge Job Ndugai, Katibu Mkuu Ikulu Dkt. Moses Kusiluka (wakwanza kulia waliokaa) akiwa katika picha ya kumbukumbu na Majaji wa Mahakama ya Rufani mara baada ya hafla ya kuwaapisha iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU




Mabondia zaidi kupamba Rumble in Dar 2, Wadhamini wanena

$
0
0
Katika kuhakikisha kuwa mabondia wengi wanapata nafasi ya kuonesha vipaji vyao, kampuni ya Jackson Group Sports imewapa nafasi zaidi mabondia wa Tanzania mbali ya bondia Hassan Mwakinyo ambaye atazichapa na bondia wa Zimbabwe, Brendon Denes ambao watawania mkanda wa uzito wa super welter wa Afrika (ABU) kwenye ukumbi wa Next Door Arena, Mei 28.

''Awali, pambano hilo lilikuwa lishirikishe mabondia watatu tu wa Tanzania ambao ni Mwakinyo, Ibrahim Class na Shaban Jongo, hata hivyo, jumla ya mabondia wanne zaidi'',alisema  Afisa Mtendaji Mkuu wa Jackson Group Sports, Kelvin Twissa.

Alisema kuwa Mabondia hao ni Imani Daudi ambaye atazichapa na bondia wa Afrika Kusini Chris Thompson, Hamis Palasungulu ambaye atazichapa na Ardi Ndembo wa Congo Brazzaville na mwanadada Halima Bandola ambaye atazichapa na bondia wa Bulgaria Joana Nwamerue.

Pia katika orodha hiyo yupo Daniel Materu ambaye atazichapa na bondia Pencho Tsvetkov wa Bulgariaa.

Twissa amesema kuwa wameamua kufanya hivyo ili kukuza vipaji kwa mabondia wa Tanzania katika pambano hilo ambapo benki ya KCB imetangaza kudhamini pambano hilo kwa Sh 94.4 millioni.

Twissa amesema kuwa maandalizi ya pambano la raundi 12 linaendelea vizuri na mkanda huo kwa sasa upo wazi.

Alisema kuwa siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine makali ambapo bondia Jongo Jongo naye atawania ubingwa wa ABU dhidi ya Olanrewaju Durodora wa Nigeria.

Pia bondia Ibrahim Class atapanda ulingoni kumsindikiza Mwakinyo kupambana na bondia Sibusiso Zingange kutoka Afrika Kusini.

“Hii ni sehemu ya pili ya Rumble In Dar na tunaitarajia kuwa kali na kusisimua kwani mabondia wanaopigana ni moto wa kuotea mbali,” alisema Twissa.

Kwa upande wake, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki ya KCB Christine Manyenye alisema kuwa wameamua kutoa kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya pambano hili ili kuendeleza mchango wao katika maendeleo ya michezo nchini.

Manyenye alisema kuwa bendi yao pia inadhamini Ligi Kuu ya Tanzania Bara, mashindano ya Ndondo Cup na riadha ambapo ilidhamini mashindano ya Rock City marathon.

Kwa upande wake, Meneja Masoko wa M-Bet Tanzania, Allen Mushi amesema kuwa wameamua kuingia katika ngumi za kulipwa kwa lengo la kupanua wigo wa shughuli zao.

Mushi alisema kuwa M-Bet kwa sasa inadhamini timu ya Ligi Kuu ya KMC na wanajisikia fahari kubwa kudhamini ngumi za kulipwa kwani ni mchezo namba mbili hapa nchini.

Mkuu wa Masoko wa kampuni ya Multichoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo alisema kuwa pambano hilo linatarajia kuonekana katika zaidi ya nchi 32 za Afrika na nchi mbalimbali duniani kupitia DStv app.

Shelukindo alisema kuwa pambano hilo litaonekana kwenye chaneli ya Plus TV ambayo ipo kwenye king’amuzi cha DStv na kuwaomba mashabiki wa ngumi za kulipwa kujiunga nacho. Pambano hilo pia limedhaminiwa na Onomo Hotel na Clouds Media Group.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Jackson Group Sports, Kelvin Twissa pichani kati akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Mpambano wa Hassan Mwakinyo ambaye atazichapa na bondia wa Zimbabwe, Brendon Denes ambao watawania mkanda wa uzito wa super welter wa Afrika (ABU) kwenye ukumbi wa Next Door Arena, Mei 28,2021.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Jackson Group Sports, Kelvin Twissa ( wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wadhamini mbalimbali mara baada ya kuzindua pambano la Rumble in Dar 2 ambapo bondia Hassan Mwakinyo atazichapa na Brendon Denes wa Zimbabwe Mei 28 kwenye ukumbi wa Next Door Arena.
Meneja Masoko wa M-Bet Tanzania, Allen Mushi akifafanua kuwa wameamua kuingia katika ngumi za kulipwa kwa lengo la kupanua wigo wa shughuli zao na kwamba M-Bet kwa sasa inadhamini timu ya Ligi Kuu ya KMC na wanajisikia fahari kubwa kudhamini ngumi za kulipwa kwani ni mchezo namba mbili hapa nchini.
Mkuu wa Masoko wa kampuni ya Multichoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo akifafanuza jambo kwa Waandishi wa habari,kwamba pambano la #RUMBLEINDAR linatarajia kuonekana katika nchi zaidi ya 32 za Afrika na nchi mbalimbali duniani kupitia DStv app.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Jackson Group Sports, Kelvin Twissa,Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki ya KCB Christine Manyenye,Mkuu wa Masoko wa kampuni ya Multichoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzungumza na vyombo vya habari mkoani Dar es Salaam.

RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA KIWANDA CHA USHONAJI CHA JESHI LA POLISI TANZANIA -KURASINI

$
0
0


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akivuta utepe kufungua Kiwanda cha Ushonaji cha Jeshi la Polisi Tanzania kilichopo Kurasini mkoani Dar es Salaam leo tarehe 18 Mei, 2021. Kushoto ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Khamis Hamza Khamis pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimpongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro mara baada ya kufungua Kiwanda cha Ushonaji cha Jeshi la Polisi Tanzania kilichopo Kurasini mkoani Dar es Salaam leo tarehe 18 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akipiga makofi na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Khamis Hamza Khamis pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro mara baada ya kukata utepe kuashiria ufunguzi wa Kiwanda cha Ushonaji cha Jeshi la Polisi Tanzania kilichopo Kurasini mkoani Dar es Salaam leo tarehe 18 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akikagua kazi za upimaji na ukataji wa vitambaa vinavyotumika katika kushona sare za Jeshi la Polisi katika Kiwanda cha Ushonaji Nguo cha Jeshi la Polisi Tanzania kilichopo Kurasini mkoani Dar es Salaam.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akikagua kazi mbalimbali zinazofanywa katika kiwanda hicho cha ushonaji cha Jeshi la Polisi Tanzania kilichopo Kurasini mkoani Dar es Salaam mara baada ya kukifungua leo tarehe 18 Mei, 2021 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam mara baada ya kufungua Kiwanda hicho cha Ushonaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Askari pamoja na Maafisa mbalimbali wa Jeshi la Polisi pamoja na Wageni wengine Kurasini mkoani Dar es Salaam mara baada ya kufungua Kiwanda cha Ushonaji cha Jeshi la Polisi Tanzania. PICHA NA IKULU


VITA VIKALI MSIMU WA 2020/2021 KUELEKEA UKINGONI

$
0
0

 

*Jiunge na Mamilioni ya Washindi na Uwe Miongoni Mwa Wanafamilia ya Meridianbet

VITA vikali kuendelea msimu huu wa 20/21 kwenye ligi mbalimbali barani ulaya. Ikiwa tunaelekea ukingoni kabisa mwa ligi hizo na kujiandaa na usajili mapema mwezi Juni kwa ajili ya msimu ujao, meridianbet inakupa Bonasi Kubwa, Odds za Kibabe na Ofa kedekede. Bashiri na Meridianbet na ushinde!

Jumanne hii katika EPL, Chelsea atamkalibisha Leicester City katika viwanja vya nyumbani Darajani, huku wakipambania nafasi ya tatu ambapo wamepishana pointi mbili. Je, Chelsea watatusua pointi 3 na kuchukua nafasi ya Leicester City? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.77 kwa Chelsea.

Huko huko EPL, Manchester United watamenyana na Fulham katika uwanja wa mashetani wekundu Old trafford. Huku Meridianbet tumewawekea Odds ya 1.35 kwa Manchester.

Jumatano hii kwenye EPL, Everton watakutana na Wolves kwenye uwanja wa Goodison Park, huku Everton wakifukuzia nafasi ya 7 ambayo imeshikwa na West Ham wakiwa wamepishana na Pointi 3. Je, Everton wataweza kutwaa pointi 3 hizo kutoka kwa Wolves? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.00 kwa Everton. 

Alhamisi hii kwenye Ligi ya Belgian First Division A, Genk watachuana na Antwerp kwenye uwanja wa nyumbani wa Cristal arena, huku Genk akiikimbiza nafasi ya tatu ilioshikwa na Anderlecht na wakiwa wamepishana pointi 2 tu. Je, Genk watafanikiwa kunyaka pointi 3 hizo kwa Antwerp ambao wameshika nafasi ya pili kwenye Ligi hiyo? Meridianbet tumewawekea Odds ya 1.80 Genk.

Meridianbet, Odds Kubwa, Bonasi za kumwaga na Ushindi lazima


NMB Miliki Chombo yatinga Kanda ya Ziwa

$
0
0

 

Benki ya NMB imezindua huduma ya Mikopo ya pikipiki za miguu miwili na miguu mitatu kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa na kuahidi kutumia zaidi ya shilingi Bilioni 5 kutoa mikopo kwa vijana zaidi ya elfu 75 nchini.

 Akizungumza katika uzinduzi wa mikopo hiyo kwa vijana waendesha bodaboda na pikipiki za miguu mitatu jijini Mwanza, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna aliwataka wanufaika kujitokeza na kuchagamkia fursa hiyo.

 Alisema ikiwa vijana na watu wengine waliojiunga katika umoja wa waendesha bodaboda na pikipiki za miguu wajitokeze na kuchangamkia fursa hiyo, NMB inaweza kuongeza kiwango cha utoaji mikopo kwa baadae.

 Ruth alisema kwa mara ya kwanza walizindua huduma hiyo jijini Dar es Salaam mwezi uliopita na sasa ni zamu ya jiji la mwanza huku akisisitiza kuwa wote wamepata elimu ya fedha, ikiwemoo nidhamu ya fedha.

 "Hatutaki mikopo hii iwe mizigo kwenu bali baraka kwenu na NMB imedhamiria kufika katika mikoa mingine  hapa nchini kwa ajili ya utoaji wa mikopo hii," alisema Ruth

 Nae, Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara Benki ya NMB - Filbert Mponzialisema uzinduzi wa mpango huo ni pamoja na NMB kuandaa mfumo wa malipo ya Master Boda QR utakaomuwezesha mteja kumlipa bodaboda nauli kiurahisi.

 Ili kupata mkopo huu, lazima kila mwanachama wa umoja wa waendesha bodaboda na pikipiki ya miguu mitatu afungue akaunti ya NMB na kuanza kuingiza fedha anayolipwa na wateja kama nauli walau kuanzia miezi mitatu.

 Mponzi aliwaomba watanzania kukatia vyombo vyao vya moto Bima kupitia benki ya NMB. Akizindua mpango mikopo huo, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Salum Kalli aliwahakikishia usalama waendesha bodaboda na pikipiki za miguu mitatu muda wote watapokuwa kazini.

 Aidha, aliwataka kuheshimu mikopo watakayopatiwa ili iweze kuwasaidia na kusaaidia makundi mengine ya kijamii katika jiji la Mwanza na maeneo mengine.

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB – Ruth Zaipuna, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza – Salum Kalli, Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa Baraka Ladislaus (Kulia Mwisho), Afisa Mkuu wa Rasilimali watu wa Benki ya NMB – Emmanuel Akoonay (wa pili kutoka kulia) Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB – Filbert Mponzi (kushoto Mwisho) na Mkuu wa Idara ya Kadi wa NMB – Philbert Casmir (Mwenye fulana nyeupe) wakifurahia muda mfupi baada ya uzinduzi rasmi wa mikopo ya boda boda na piki piki za miguu mitatu inayoitwa ‘Mastaboda Loan’ leo jijini Mwanza

Mameneja wa NMB matawi ya Mwanza mjini wakitambulishwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mastaboda Loan
Zoezi la kufungua akaunti likiendelea mara baada ya uzinduzi wa Mastaboda Loan.
Sehemu ya waalikwa katika uzinduzi wa Mastaboda Loan.

 

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA KIMATAIFA WA ELIMU BORA

$
0
0
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akihutubia kabla ya kufungus Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. Mkutano huo ulioanza leo unafanyika kwa siku tatu Ukumbi wa Kisenga Jengo la LAPF jijini Dar es Salaam, yaani tarehe 18 hadi 20 Mei 2021.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bw. John Kalage akizungumza leo wakati wa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. Mkutano huo ulioanza leo unafanyika kwa siku tatu Ukumbi wa Kisenga Jengo la LAPF jijini Dar es Salaam, yaani tarehe 18 hadi 20 Mei 2021.


Mratibu wa Taifa TEN/MET, Bw. Ochola Wayoga akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. Mkutano huo ulioanza leo unafanyika kwa siku tatu Ukumbi wa Kisenga Jengo la LAPF jijini Dar es Salaam, yaani tarehe 18 hadi 20 Mei 2021.



Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Gerald Mweli akizungumza kwenye mkutano huo.



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akitembelea Banda la Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Kwenye hafla ya uzinduzi wa Mkutano huo ulioanza leo unafanyika kwa siku tatu Ukumbi wa Kisenga Jengo la LAPF jijini Dar es Salaam, yaani tarehe 18 hadi 20 Mei 2021.


Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mh. Anders Sjöberg akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete (kushoto) akipata maelezo ndani ya Banda la Uwezo kabla ya kufungua Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akitembelea banda la Hakielimu kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wanachama wa TEN/MET.



Sehemu ya wajumbe washiriki wakiwa katika mkutano huo.



Mratibu wa Taifa TEN/MET, Bw. Ochola Wayoga (katikati) akiendesha mjadala katika mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 

Sehemu ya washiriki katika Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete pamoja na meza kuu, akipata picha ya kumbukumbu na wawasilisha mada katika Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi.



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akisisitiza jambo alipokuwa akijibu maswali ya wajumbe wa Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi.

USHINDI MEZANI NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET!

$
0
0

  

*Shinda hadi Mara 36 na Titan Roulette

*Mchezo wa Titan Roulette  

KAMA iliivyo ada,  Meridianbet inakuletea michezo ya aina mbalimbali, Ofa,Odds kubwa na Bonasi kedekede. Meridianbet inakuletea mchezo bomba wenye miondoko ya kizamani unaojulikana kama Titan Roulette. Mchezo huu uliotengenezwa na watenganezaji wa michezo ya kasino maarufu kama Expanse Studios utakaoupata kwenye Kasino ya Mtandoni ya Meridianbet.

Titan Roulette ni mchezo wenye miondoko ya kizamani na wenye maudhui ya Roulette za Ulaya. Mchezo huu wa Roulette ni mchezo unaopendewa na unajulikana sana ulimwenguni. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa nafasi ya ushindi kupitia mchezo wake wa Titan Roulette utaokuletea ushindi zaidi ya mara 36 ya dau uliloliweka kwa alama kuu na zaidi ya mara 18 kama ukibashiri alama 2, zaidi ya alama 9 kama ukibashiri zaidi ya alama 12.  

Tunaposema ushindi, tunamaanisha. Usisubiri kusimuliwa jiunge leo na Meridianbet na ukusanye mshiko wako kwa kupitia http://www.meridianbet.co.tz leo.

Jinsi ya Kucheza Sloti ya Titan Roulette

Ni dhahiri kwamba mchezo wa Roulette ni mchezo rahisi na usiohitaji akili nyingi kwenye uchezaji wake. Mchezo huu una namba 0 hadi 36, na una rangi tatu ambazo ni Kijani, Nyekundu na Nyeusi. 

Unachotakiwa kukifanya ni kubashiri kete iliyopo kwenye gurudumu itaangukia kwenye namba ipi? Sio hivyo tu, Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea machaguo mbalimbali ambayo yatakupa fursa ya kushinda, kama vile Start/Skip, Inside and Outside Bets pamoja na Called Bets. Ushindi kwetu ni lazima, kwa kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet na mchezo wa Titan Roulette utapata mara 2 ya faida yako baada ya mchezo. Jiunge leo na ushinde na Meridianbet. Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

MISS MWANZA HATARI WAPANIA KUBAKIA TENA NA TAJI 2021

$
0
0

  

   Na.Khadija Seif, Michuzi Tv

PAZIA la Kusaka Mrembo atakae iwakilisha Kanda ya ziwa yafunguliwa rasmi.       

Akizungumza na Michuzi Tv Muandaaji wa Shindano Hilo kwa upande wa Mwanza Phinnley Ngeta amesema kwa Sasa wamefungua rasmi Shindano Hilo na wapo tayari kupata warembo wataokidhi vigezo vya kushiriki Miss Mwanza na hatimae kuwania Taji la Miss Tanzania.                

"Tumefunga rasmi Shindano la Miss Mwanza na tunategemea kupata Warembo wazuri wasomi bila kusahau wenye vipaji vingi,hivyo nitamke rasmi na kuwakaribisha warembo kuchukua fomu ili kushiriki kikamilifu."        

 Hata hivyo Ngeta amesema wanatarajia Kufanya usahili mwishoni mwa mwezi May 29 mwaka huu ili kufanya mchujo wa Kwanza na kupata Washiriki watakaoweza kuingia kambini.  

"Tutegemee kupata Mrembo atakaeweza kuiwakilisha vizuri Kanda ya ziwa na ikumbukwe tu Miss Tanzania 2019  Sylivia bebwa alitokea Kanda ya ziwa hivyo tutegemee Tena Taji hilo kubakia Mwanza kwa Mara nyingine tena na Mrembo alikua na nidhamu Sana kiasi Kwamba mpaka Leo ameweza kukaa na Taji Hilo bila purukushani yoyote kuanzia kwenye jamii mpaka kwenye mitandao"             

 Pia amewaomba Wadau wa urembo kujitokeza Kudhamini Shindano Hilo  ili kufanikisha Mchakato mzima.

"Kufanya Shindano Kama hili sio tu kwa ajili ya Warembo tu bali ni Mojawapo ya njia nzuri ya kutangaza vivutio vya Utalii na Kwa Kanda ya ziwa tumebarikiwa vitu vingi ikiwemo vyakula aina ya Samaki Sato kutoka ziwani na vitu vingi."

MBUNGE KUNAMBI AITAKA WIZARA YA UJENZI KUAGIZA TAZARA KUJENGA KITUO KIDOGO CHA TRENI KATA YA CHISANO

$
0
0

Charles James, Michuzi TV

MBUNGE wa Jimbo la Mlimba mkoani Morogoro, Godwin Kunambi ameipongeza Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mpango wake wa kuifanyia upembuzi yakinifu wa Kilomita 220 Barabara ya Morogoro-Njombe Boda huku akiomba kuharakisha mpango huo ili kuleta neema kwa wananchi wake wa Jimbo la Mlimba.

Kunambi ameyasema hayo leo bungeni wakati akichangia bajeti ya Wizara hiyo ambapo amesema kuhusu upembuzi yakinifu wa Barabara hiyo ya Kihansi Mlimba Taweta Madeke tangazo la kutafuta mkandarasi mshauri wa kujenga barabara hiyo lilifanyika miezi mitatu iliyopita na hivyo kumtaka Waziri wa Ujenzi, Dk Leonard Chamurilo kueleza ni lini kazi hiyo ya upembuzi yakinifu itaanza.

Kunambi amesema wananchi wa Jimbo lake ni watumiaji wakubwa wa Reli ya Tazara na hapo awali ilikua na vituo vidogo vya abiria wanaosafiri kusimama kusubiri Treni lakini baadhi yao vimekufa na hivyo kuwapa tabu wananchi hao.

“ Wananchi wangu wa Mlimba ni wadau wakubwa wa Reli ya Tazara kwa sababu ni wafanyabiashara sasa kulikua na vituo vidogo vya abiria kusubiri treni vinaitwa Hot stesheni sasa kulikua na hot stesheni ya kata ya Chisano lakini kwa muda mrefu imekua haifanyi kazi hivyo nikuombe Waziri uagize kituo hiki kidogo kianze kazi.

Waziri nakuomba uagize kituo hiki kidogo kianze kazi ili kupunguza adha ya kunyeeshewa na mvua au kupigwa na jua inayowakumba wananchi wangu kwa kusubiri Treni, na hawa watu ni wafanyabiashara hivyo ni vema Wizara muelekeze Tazara wajenge vituo hivi, tofauti na hapo Waziri nitashikilia Shilingi yako,” Amesema Kunambi.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Benki ya CRDB kuweka historia mpya

$
0
0


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Benki hiyo unaotarajiwa kufanyika siku ya Jumamosi Mei 22, 2021, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC). Kila mwaka Benki ya CRDB imekuwa ikiandaa mkutano huo unaowapa Wanahisa fursa ya kujadili masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupitisha au kuidhinisha maamuzi mbalimbali yenye maslahi kwa Benki. Kulia ni Mkurugeni wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa na kulia ni Katibu wa Kampuni Benki ya CRDB, John Rugambo.


===== ==== ====


Benki ya CRDB inatarajia kufanya Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa siku ya Jumamosi tarehe 22/05/2021 kuanzia saa 3 asubuhi katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC). Mkutano huo unafanyika kufuatana na Sheria ya Makampuni (Companies Act) namba 212 ya mwaka 2002, ambapo kila mwaka Benki ya CRDB imekuwa ikiandaa mkutano huo unaowapa Wanahisa fursa ya kujadili masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupitisha au kuidhinisha maamuzi mbalimbali yenye maslahi kwa Benki.
Akizungumzia katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika hoteli ya Mount Meru Arusha, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Bw. Abdulmajid Nsekela amesema ili kutoa fursa kwa wanahisa wengi zaidi kushiriki mkutano huu muhimu, Benki ya CRDB imeandaa utaratibu kwa wanahisa ambao kwa namna moja au nyingine hawatoweza kufika Arusha waweze kushiriki mkutano wa kwa njia za kidigitali.
“Kwa kuzingatia uzoefu tulioupata kwa kufanya mkutano wa 25 kwa njia ya mtandao, wanahisa walipitisha pia azimio la mkutano wa 26 kufanyika kwa njia zote mbili kwa maana ya kuruhusu wanahisa wanaoweza kushiriki kwa kufika Arusha lakini pia kuruhusu wanahisa wanaoweza kushiriki kwa njia ya mtandao kutumia njia hiyo ambapo itakua ni historia kwa mkutano mkuu wetu kufanyika nama hii” alisema Nsekela.


Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Benki ya CRDB utatanguliwa na semina maalum kwa wanahisa yake ili kukuza uelewa wa masuala mbalimbali ya fedha na uwekezaji katika masoko ya mitaji. Semina hiyo itafanyika siku ya Ijumaa tarehe 21/05/2022 kuanzia saa 3 asubuhi katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC). Mgeni Rasmi katika semina hiyo anatarajiwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mh. Mwigulu Nchemba ambapo mada mbalimbali zitawasilishwa na wataalamu wa masuala ya fedha, sheria na uwekezaji katika masoko ya mitaji.
Kwa mujibu wa Nsekela hii itakua ni mara ya kwanza kwa Mkutano wa Mkuu wa Wanahisa wa Benki ya CRDB kufanyika kwa njia zote mbili ambapo mkutano wa mwaka jana ulikuwa wa kwanza kwa Benki kutumia njia za kidigitali ili kukabiliana na changamoto ya COVID-19. Zaidi ya wanahisa 1400 waliweza kushiriki mkutano wa mwaka jana idadi ambayo haijawahi kufikiwa katika mikutano ya kawaida ambayo hufanyika jijini Arusha kwa miaka yote.


“Nachukua fursa hii kuwakaribisha wanahisa wote katika semina na mkutano mkuu na niwahakikishie wanahisa wote ambao watashiriki kwa njia ya mtandao kuwa tumejipanga vizuri katika kuhakikisha kila wanashiriki kama wanahisa ambao watakua AICC na tumeweka maelezo katika tovuti yetu ya Benki (www.crdbbank.co.tz) ya jinsi gani wanaweza kushiriki hatua kwa hatua” aliongeza Nsekela.
Pamoja na mambo mengine yatakayojadiliwa katika mkutano mkuu huo ikiwemo maboresho ya katiba ya kampuni, shauku kubwa kwa wanahisa ni kufahamu juu ya pendekezo la gawio kwa wanahisa kwa mwaka uliopita ukizingatia kuwa Benki ya CRDB imeendelea kupata matokeo mazuri sokoni ambapo katika hesabu za mwaka wa fedha ulioisha Benki iliweza kupata faida kabla ya kodi ya Shilingi Bilioni 236 ikiwa ni ongezeko la asilimia 15 kutoka Shilingi Bilioni 175 iliyopatikana mwaka 2019.


BOLT: SULUHISHO JIPYA LA UKOSEFU WA AJIRA

$
0
0

 

KAZI yoyote, iwe ni ajira rasmi au kujihusisha na shughuli za uzalishaji kama vile kilimo na ujasiriamali ni msingi muhimu wa maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kimazingira ya jamii au nchi yoyote.

Kazi inawapa watu uhuru wa kiuchumi, fursa ya wa kushiriki katika maamuzi ya kijamii, na kuwaepusha wanajamii na vitendo vya uhalifu.

Tangu kuwasili kwake nchini mwaka 2017, mfumo unaoongoza wa kuagiza usafiri barani Afrika, Bolt imewawezesha maelfu wa madereva, waendeshaji wa vyombo vya moto na wale wanaotafuta ajira kupata fursa mpya za kujipatia na kujiongozea kipato.

Bolt ni mfumo wa kimtandao wa haraka, uhakika na nafuu zaidi wa kusafiri. Mfumo huu unamwezesha msafiri kuomba dereva amfuate moja kwa moja sehemu alipo na kumfikisha sehemu anapotaka kwenda, kwa matumizi ya mtandao.

“Madereva wanatumia mfumo wa Bolt kuanzisha biashara zao wenyewe na kupata mapato ya uhakika yanayowawezesha kuhudumia familia zao,” Remmy Eseka, Meneja wa Bolt nchini Tanzania anasema.

“Badhi ya madereva wanatumia magari na pikipiki zao wenyewe, na wengine wameajiriwa na wamiliki wa vyombo vya moto walioanzisha biashara zao za usafiri,” anaongeza.

Tathmini za Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS – 2018) kuhusu hali ya ajira nchini inaonesha kuwa asilimia 29% ya watanzania wameajiriwa katika sekta ya utoaji huduma – ambayo inajumuisha huduma za usafiri.

Ripoti Kuhusu Soko la Ajira Tanzania (2018) zinaonesha kuwa takriban asilimia 9.8% ya watu wote wazima hawakuwa na ajira katika kipindi hicho.

“Viwango vya ukosefu wa ajira ni kipimo muhimu cha matumizi ya nguvu kazi iliyopo. Ni vinaashiria uwezo wa uchumi kutoa fursa za kazi na ajira kwa wale ambao wana nia ya kufanya kazi lakini pamoja na kuwa wapo tayari na wanatafuta fursa hizo za kazi,b hawazipati” ripoti hiyo inabainisha.

Ripoti nyingine ya NBS “2019 - Takwimu za Tanzania” ya Juni 2020 inaonesha kuwa viwango vya ukosefu wa ajira vilishuka kutoka 10.1% mwaka 2015 hadi 9.6% mwaka 2019. Ripoti hiyo pia inasema kuwa idadi ya waajiriwa ilipanda kutoka 20.5 milioni hadi 22.5 milioni.

Pamoja na kuwa ni muhimu kwa nchi yoyote ile kuhakikisha upatikanaji wa fursa za kazi na ajira kwa watu wote wenye uwezo wa kufanya kazi, idadi kubwa ya watu, sio tu Tanzania bali duniani kote hawana kazi maalum – hivyo wanakoza fursa ya kushiriki katika uchumi wa nchi husika.

Huku idadi kubwa ya vijana ikizidi kungia katika soko finyu la ajira, ni muhimu kwa wadau wote kutafuta mbinu mpya za kuwawezesha kujipatia kipato.

Nchini, idadi kubwa ya watu, hasa vijana wamepata ahueni ya kipato kwa kujihusisha na huduma ya usafiri – iwe katika mabasi ya abiria, taxi au waendesha piki piki (boda boda) na piki piki za magurudumu matatu (bajaji).

Happiness Njunwa, ni dada anayefanya kazi ya kuendesha bajaji jijini Dar es Salaam. Anasema amefanya kazi hiyo kwa mkataba maalum na mwneye chombo kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa, baada ya kukosa ajira za ofisini.

“Mfumo wa kuangiza usafiri kwa njia ya mtandao umetuongezea uhakika wa kupata abiria na kipato. Mfumo huu unatusaidia sana kwa maana unatuunganisha moja kwa moja na watu wanaohitaji usafiri, wakati na mahali ambapo usafiri unahitajika. Umetupunguzia gharama za kuzunguka ovyo au kukaa kijiweni tukisubiri abiria. Sasa kupitia mtandao mteja anaweza kujua usafiri upo wapi na dereva nawe ukajua mteja yupo wapi na anahitaji kwenda wapi,” anabainisha.

Nchini Tanzania, inakadiriwa kuwa zaidi ya wanafunzi 800,000 wanafuzu kutoka vyuo vya elimu ya juu na vya ufundi kila mwaka. Kwa hiyo ukuaji wa teknologia ya kugawana rasilimali kami le inayotumia na mfumo wa kuagiza usafiri kwa njia ya mtandao ni suluhisho sahihi la ukosefu wa ajira kwa vijana.

“Mfumo wao pia ni maalum kwa usalama wa dereva na mteja. Dereva au abiria anaweza kutoa taarifa ya tatizo lolote linalojitokeza haraka kwa njia ya mtandao na kupata msaada haraka katika eneo husika. Hii imetuwezesha madereva wa kike kuwa na uhakika zaidi wa kufanya kazi, hata nyakati za usiku,” alisema Happiness.

“Tunafurahi kutoa fursa za kazi na za biashara zinazowawezesha watu kujipatia kipato na kuboresha maishayao. Pia tunafurahia kuwezesha watanzania wanaoishi Dar es Salaam, Arusha, Mwanza na Dodoma kupata usafiri wa uhakika kwa bei nafuu,” Mkurugenzi wa Bolt anaongeza.

Huku dunia ikikumbuka mchango mkubwa wa maendeleo ulioletwa na wafanyakazi, teknologia mpya kama ile ya Bolt sasa inafungua ukurasa mpya unaobadilisha maana ya kazi, ajira na biashara. Ni njia mpya yenye uwezo mkubwa wa kuwezesha kizazi kijacho kujipatia kipato na kuwa sehemu ya maendeleo ya nchi. 


Mashabiki wawili wa soka washinda Sh145.9m za M-BET

$
0
0
Mashabiki wawili wa soka Tanzania wamejishindia jumla ya Sh145, 957, 650 baada ya kubashiri kiusahihi zaidi jumla ya mechi 12 katika mchezo wa kubahatisha wa Perfect 12 wa kampuni ya michezo ya kubah M-Bet Tanzania.

Meneja Masoko wa kampuni ya M-Bet Tanzania, Allen Mushi amewataja washindi hao kuwa ni Juma Makongo ambaye ni mkazi wa Mwananyamala, Dar es Salaam na Juma Mussa Ngua kutoka mkoa wa Singida.

Mushi alisema kuwa washindi hao wametumia Sh1,000 tu kubashiri mechi hizo 12 za ligi mbalimbali hapa duniani na kuweza kugawana kiasi cha fedha hicho.

Alisema kuwa Makongo na Ngua wanakuwa washindi wa nane tokea kuanza kwa mwaka na kampuni yao imetumia zaidi ya Sh milioni 550 kuwazawadia washindi mbalimbali walioweza kubashiri kwa usahihi na kuibuka washindi.

“Tunafuraha kuwazawadia washindi hawa na tunaamini kuwa wataweza kubadili maisha yao kupitia fedha walizoshinda. M-Bet itaendelea kuwa nyumba ya mabingwa,” alisema Mushi.

Akizungumza baada ya ushindi huo, Ngua ambaye ni shabiki wa Simba alisema kuwa hakuamini kupata kiasi kikubwa cha fedha hicho ambacho atasaidia wazazi wake na kuanzisha biashara.

“Mimi ni mmachinga, sikutegemea kupata kiasi kikubwa cha fedha hiki na nitaanza kujenga nyumba kwa wazazi wangu huku nikiboresha biashara,” alisema Ngua.

Mkuu wa Kitengo cha Michezo ya kubahatisha wa Mamlaka ya Mapato wa Mkoa wa kodi wa Ilala, Shaaban Mwanga aliipongeza kampuni ya M-Bet kwa kuwa walipa kodi wazuri hapa nchini.

Mwanga alisema kuwa michezo ya kubahatisha inachangia kwa kiasi kikubwa sana pato la taifa.


Meneja Masoko wa kampuni ya M-bet Tanzania, Allen Mushi (Kulia) akimkabidhi mfano wa hundi mshindi wa mchezo wa Perfecr 12, Juma Ngua(Katikati). Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo ya kubahatisha wa Mamlaka ya Mapato wa Mkoa wa kodi wa Ilala, Shaaban Mwanga.






Meneja Masoko wa kampuni ya M-bet Tanzania, Allen Mushi (Katikati) akizungumza wakati wa kutangaza washindi wawili wa mchezo wa Perfect 12.Kulia ni mmoja wa washindi, Juma Ngua na kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo ya kubahatisha wa Mamlaka ya Mapato wa Mkoa wa kodi wa Ilala, Shaaban Mwanga


Tigo host Innovation Week Panel Discussion on how technological advancement can enhance business efficiency

$
0
0

DIGITAL LIFESTYLE: "Technology has changed our lives, adoption of mobile money is very huge in TZ" Josina Njambi-Head of Innovation & Development @NMBTanzania during the panel discussion on how technological advancement can enhance business efficiency #IWTz2021 @innovationweektz



"Tigo are enablers for commerce/economy grow" Sameer Hirji - CEO @SelcomTanzania  during the panel discussion on how technological advancement can enhance business efficiency.#IWTz2021 @innovationweektz


LIVING DIGITAL LIFE: "We are happy to work with Tigo ensuring that our community who have small saving & lending groups are able to access an app to enable them to operate in a better way" Marianna Balampama - Country Director PACT #BusinessEnhance#IWTz2021 @innovationweektz


"We have very strong, innovative and remarkable products and service" @SimonAKarikari Managing Director

#UbunifuNdioJadiYetu#MaishaKidigitaliNaTigo #TigoPesa#TigoBusiness#IWTz2021 @innovationweektz



Coca-Cola Kwanza backs Tanzania Police Force’s community engagement efforts on combating crime by donating 2000 Copies of guidelines on crime disclosing and prevention.

$
0
0
Coca-Cola Kwanza Ltd has handed over (Donated) 2,000 copies of Guideline on Crime Disclosing and prevention at wards, Villages, and streets level to Tanzania Police Force as support to strengthen the effort on Community Engagement in combating Social Crime.

The Handover Function held at The Ministry of Home Affairs in Dar es Salaam was attended by high-ranking police officers led by The Inspector General of Police (IGP) Simon Sirro and Coca-Cola Kwanza staffs led by Director of Public Affairs, Communications and Sustainability Director- Mr. Salum Nassor.

Speaking during the handover Function, Mr. Nassor said, “Just like The Police Force, community is at the center of decisions at Coca-Cola Kwanza. Both institutions want to ensure their services is at arm’s length of a Tanzanian, that is why there is Coke every corner of this country same way there are police representatives, but we want to do more”.

“After finding out about IGP’s effort to raise awareness on how to disclose and prevent crime at lower levels of our communities we decided to join hands and support the project as we believe in leaving our mark in lives of our people. Safe communities bring about safe business environment. These copies are worth more than six million Tanzanian Shillings”, he added.

Mr. Nassor went on to invite other stakeholders to work together with the government in value adding projects and promised that Coca-Cola Kwanza will continue to support efforts by the government and its institutions to improve lives of Tanzanians.

The Inspector General of Police thanks Coca-Cola Kwanza for supporting the movement and insisted that The Tanzania Police Force will effectively use the granted copies to educate communities to ensure they understand well the tactics and strategies of disclosure and crime prevention.

“Criminals live with us, it is our duty to disclose the information and work towards a crime free society”, he said. “Companies like Coca-Cola Kwanza know the importance of this and work that Police Force do to ensure it is attained, we are pleased that they have supported our efforts”, he added.

Coca-Cola Kwanza has a vision of improving lives of the people it refreshes, through different youth and women programs, recycling programs and different corporate social responsibilities like one that took place today.
From left: Director of Criminal Investigation Mr. Robert Boaz  Center: Inspector General of Police Mr. Simon Siro,Right: Director of Public Affairs, Communications and Sustainability Mr. Salum Nassor

NMB Bonge la Mpango - Mkazi wa Chamwino anyakua gari aina ya TATA Ace

$
0
0
Hadija Iddi mkazi wa Chamwino mkoani Dodoma amekuwa mshindi wa kwanza kuzawadiwa gari aina ya TATA Ace maarufu kama Kirikuu yenye thamani ya sh. Millioni 25, baada ya kushinda katika kampeni ya Bonge la Mpango inayoendeshwa na Benki ya NMB.

Akimkabidhi gari hiyo Bi. Hadija, Kaimu Afisa Mkuu Ukaguzi wa Ndani wa NMB, Benedicto Baragomwa alisema, Bonge la Mpango inaendelea nchini kote na zawadi mbakimbali zinaendelea kutolewa, hivyo wateja wanaendelee kufungua akaunti na kuweka hela kuanzia sh. 100,000 kwenye akaunti zao za NMB ili waweze kuingia katika kinyanganyiro cha Zawadi mbalimbali zinazotolewa katika kampeni hii ikiwemo, gari ya kifahari aina ya Toyota Fortuner mpya yenye thamani ya Sh.169 milioni, gari ya miguu mitatu(Lifan) na pesa taslimu.

Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa gari hilo, Hadija aliishukuru benki ya NMB na kusema kuwa gari hilo litamsaidia katika shughuli zake za kujiongezea kipato lakini pia akawashauri watanzania kuwekeza katika benki hiyo kwani ndiyo benki bora Tanzania na pia inawajali wateja wake kwani amekuwa shahidi.

"Nimeamini kuwa yanayozungumzwa ni kweli,nimekabidhiwa gari mpya,nimepewa ufunguo na Kadi ya gari vikiwa kamili kabisa, kweli NMB ndiyo mpango mzima,"alisema Hadija.

Wakati huo huo, Meneja wa NMB Kanda ya Kati - Nsolo Mlozi na mwakilishi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania walichezesha droo nyingine kwa ajili ya kuwapata washindi wa wiki, ambapo watu mbalimbali walipata fedha taslimu wakati na Henry Semwanza kutoka Chamwino and Faustine Nyawigrika wa Biharamulo wakijishindia gari ya mataili matatu (Lifan) mpya kila mmoja.

Hadi sasa, NMB imetoa zawadi zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 145 zikiwemo; fedha taslimu, pikipiki za miguu mitatu aina ya LIFAN na Tata Ace kwa washindi wa Bonge la Mpango.

Kwa niaba ya mshindi wa kwanza wa gari aina ya Tata Ace kwenye kampeni ya Bonge la Mpango - Hadija Idd Mkazi wa Chamwino mkoani Dodoma, ambaye ndiye mshindi wa kwanza kujishindia zawadi ya gari aina ya Tata Ace kwenye kampeni hii - Jacqline Kihongozi akifungua gari hilo(Lifan) baada ya kukabidhiwa na Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Benki ya NMB-Benedicto Baragomwa katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika katika Tawi la NMB Chamwino. Akishuhudia ni Meneja wa NMB Kanda ya Kati- Nsolo Mlozi.
Kadi: Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Benki ya NMB-Benedicto Baragomwa akimkabidhi kadi ya gari aina ya Tata Lifan alimaarufu Kirikuu ,Jacqline Kihongozi, aliyepokea kwa niaba ya mshindi wa kampeni ya bonge la Mpango inayoendeshwa na NMB, Hadija Idd Mkazi wa Chamwino mkoani Dodoma ambaye ndiye mshindi wa kwanza kujishindia zawadi ya gari aina ya Tata Ace kwenye kampeni hii. Akishuhudia ni Meneja wa NMB Kanda ya Kati- Nsolo Mlozi.

EPL, LALIGA NA BUNDESLIGA KUTAMATIKA WIKIENDI HII

$
0
0

 

 *Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!

MECHI kibao za ligi mbalimbali kutamatika wikiendi hii, hatma ya timu mbalimbali kujulikana. Huku timu nyingine zikitangazwa mabingwa, nyingine zinapambana kutokushuka daraja. Meridianbet imekuandalia Odds za kijanja sana kukamilisha msimu, bashiri sasa!

Katika La Liga, Ijumaa hii, Levante watakuwa nyumbani kucheza na Cadiz. Ukichagua kubashiri na Meridianbet, utakuta Odds ya 1.85 kwa Levante kwa ajili yako.

Siku ya jumamosi kutakuwa na mechi kadhaa, Kule Bundesliga, Hertha wakutakuwa ugenini kuvaaana na Hoffenheim, Meridianbet imekuandalia Odds ya 2.10 kwa Hoffenheim, bashiri sasa!

Katika Laliga, Celta Vigo baada ya kuwaharibia shughuli Barcelona watakuwa nyumbani kuwaalika Real Betis. Ukibashiri na Meridianbet, utakuta odds ya 2.20 kwa Real Betis. 

Kunako Serie A, Crotone watakuwa nyumbani kucheza dhidi ya Fiorentina, na Meridianbet kwa upendo kabisa tumekuwekea Odds ya 2.05 kwa Fiorentina. 

Na siku ya Jumapili, kule EPL, Vijana wa Rodgers, Leicester City watakuwa nyumbani kuwaalika Tottenham, mechi hii ni muhimu kwa Leicester City ili wacheze UEFA msimu ujao. Leicester City wamewekewa Odds ya 2.10 na Meridianbet. 

Na katika Serie A, Benevento watashuka dimbani tena kuwakabili Torino, ambao wanahitaji alama tatu ili kusalia Serie A msimu ujao. Odds ya 2.00 inakusubiri kwa upande wa Torino ukibashiri na eridiabet. 

Viewing all 48915 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>