Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all articles
Browse latest Browse all 49219

Airtel yatangaza kumi bora wa wiki wa shindano la Airtel Trace Music Stars

$
0
0
Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando (kulia)  na Meneja masoko wa Airtel Tanzania, Bi. Aneth Muga (kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa Airtel Trace Music Stars leo mara baada ya washiriki hao kuongea na waandishi wa habari kwaajili ya kuomba wananchi kuwapigia kura.
Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipotangaza washiriki waliongia nafasi ya kumi bora katika mashindano ya Airtel Trace Music Stars kwa wiki hii. Kulia ni Aneth Muga Meneja Masoko wa Airtel Tanzania anaesimamia mashindano hayo ya Airte Trace Music Stars. Hafla ya kutangaza washiriki hao wa 10 bora aimefanyika makao makuu ya Airtel jijini dar es salaam leo.
Meneja Masoko wa Airtel Tanzania,Bi. Aneth Muga akielezea jinsi ya kupiga KURA kwa washiriki waliofanikiwa kuingia 10 bora ya mashindano ya Airte Trace Music Stars. Kulia ni meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando katika hafla ya kuwatangaza washiriki hao iliyofanyika ofisi za Airtel makao makuu morocco Dar es salaam leo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 49219

Trending Articles