Little Wonders Nursery & Primary School (Bagamoyo,Kiwangwa/Msata Road)
Ni shule mpya ya kisasa ya bweni,ipo Kiwangwa/msata road nje kidogo ya Bagamoyo umbali wa km 1.5, tunatangaza nafasi za kazi ya Ualimu wa Chekechea(Nursery) na Primary
Chekechea(Nursery)nafasi 5,Sifa za muombaji;
-Cheti cha kufundisha elimu ya Awali
-Cheti cha Kumaliza Form Four au Leaving Certificate
Mwalimu Primary nafasi 4, Sifa za Mwombaji
-Cheti cha Kufundisha Primary kama Grade A au Diploma.
-Cheti cha kumaliza Form Four au Leaving Certificate
*Mshahara ni maelewano ambayo yatafanyika wakati wa interview.
Tafadhali tuma maombi yako ukiambatanisha na namba yako ya simu kwenye