Ofisa Mtenda Mkuu wa Benki ya TPB Plc Sababa Moshingi,(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani Dar es Salaam juzi baada ya Benki kuu kuamua kuziunganisha Beki ya wanawake Tanzania TWB nakuwa benki moja.katikati ni Mkurugenzi wa mpango mkakati Muondakweli Kaniki,na kulia ni Mwanasheria wa Benki ya (TPB)Mystica Mapunda Ngongi.Picha na Prona Mumwi
![]()
![]()

