Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all articles
Browse latest Browse all 49395

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendekeo ya Makazi Mh. William Lukuvi (MB) akitenda jambo na Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Mkuregenzi Mkuu wa Shirika hilo Bwn. Nehemiah Mchechu (kulia) na Meneja wa Shirika hilo Mkoa wa Dodoma, Bwn. Itandula Gambalagi.

$
0
0
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Lukuvi (MB) akiwaonyesha waheshimiwa wabunge taarifa iliyoambatana na Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi yake kwa mwaka wa fedha 2015/16
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendekeo ya Makazi Mh. William Lukuvi (MB),  Bungeni  Dodoma leo Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2015/16
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendekeo ya Makazi Mh. William Lukuvi (MB)  akibadirishana mawazo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Bwn. Nehemiah Mchechu, baada ya kuwasilisha Bungeni  bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyimba na Maendeleo ya Makazi leo  Dodoma.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendekeo ya Makazi Mh. William Lukuvi (MB)  akitenda jambo na Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Mkuregenzi Mkuu wa Shirika hilo Bwn. Nehemiah Mchechu (kulia) na Meneja wa Shirika hilo Mkoa wa Dodoma, Bwn. Itandula Gambalagi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 49395


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>