Quantcast
Channel: JIACHIE
Browsing all 49124 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili Tamasha la Krismasi

KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga mkoani Iringa inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA MAGEREZA NCHINI WAMETAKIWA KUACHA KUFANYA KAZI KWA MAZOEA

 Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi, Mhe. Mbarak Abdulwakil akihutubia kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza uliofanyika leo Desemba 16, 2015 katika Ukumbi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Waziri Mkuu wa Japan pamoja na...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mjumbe maalum wa Waziri Mkuu wa Japan Seiji Kiara Ikulu Jijini Dar es Salaam. Mjumbe huyo amekabidhi ujumbe wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZEE TAFF WAMWOMBA WAKIFAMBA AGOMBEE TENA NAFASI YA URAS

Msemaji wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Ahmed Olotu (mzee Chilo) akisoma waraka wa kupinga uamuzi wa Rais wa Shirikisho hilo Simon Mwakifwamba kwa kutogombea tena nafasi ya Urais wa Shirikisho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO MKUU WA TFF WAAHIRISHWA

Mkutano Mkuu wa kawaida wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) uliokuwa ufanyike Tanga ikiwamo shughuli ya uwekaji jiwe la msingi kwenye kiwanja cha TFF jijini Tanga sasa umeahirishwa kwa muda...

View Article


TFDA Yafunga Kiwanda Bubu Kagera

Copyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEWA NA RAIS WA KAMPUNI YA KIMATAIFA YA CNOOC KUTOKA...

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Kimataifa ya CNOOC kutoka Nchini China Cui Hanyun wakati alipofika Ikulu mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LACHANGISHA DIRHAM MILIONI MOJA KWA AJILI YA “WE...

 Shirika la ndege likiwatunuku timu ya soka kutoka Serbia kama bingwa wa michuano ya kombe la dunia la mashirika ya ndege upande wa soka. Bendi ya vijana wenye ulemavu wa kusikia kutoka taifa la Falme...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHAGAMA: AZITAKA HALMASHAURI ZOTE NCHINI KUTEKELEZA MAELEKEZO YA SERIKALI YA...

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge; Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Bibi Jenista Mhagama (Mb), akiangalia Sehemu ya mtaro wa maji katika eneo la Tegeta, Basihaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MO DEWJI FOUNDATION YATOA MSAADA WA MIL. 110/- KWA TAASISI INAYOWASAIDIA...

Meneja Mwendeshaji wa Taasisi ya MO Dewji, Francesca Tettamanzi (kulia) akikabidhi mfano hundi ya Shilingi Milioni 110 kwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Tumaini la Maisha inayohudumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO ATOA MWELEKEO WA UTENDAJI...

  Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akizungumza na watendaji wa Wizara ya Ujenzi pamoja na Taasisi zake kuhusu ufanyaji kazi kwa uadilifu kwa kuzingatia maslahi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa marehemu Dotto Mzava wa Jamii Forums wasafirishwa leo kuelekea Same...

 Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dotto Mzava likishushwa Kwenye gari maalum mara baada ya kuwasili katika kanisa la Wasabato Manzese uzuri kwaajili ya sala ya kuombea kabla ya Mwili kusafirishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU

Copyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 24

Copyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA MSAFARA LAFANA IFAKARA, VIJANA WENGI WAJENGEWA UWEZO WA KUTIMIZA...

 Baadhi ya vijana wakiwa wanaendelea kufanya usafi maeneo ya Uwanja wa Taifa wa Ifakara eneo ambapo Tamasha hilo la Msafara lilifanyika. Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Yahya Naniya(aliyevaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waraghabishi wa kijiji cha Nyandekwa na Harakati za Kumkomboa Mwanamke

Baadhi ya waraghabishi wa kijiji cha Nyandekwa Wilayani Kahama wakiongea na waandishi wa habari waliofika kijijini hapo kwa ajili ya kujionea matokeo mbali mbali baada ya waraghabishi kuwasaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMTEMBELEA WAZIRI MKUU MSTAAFU JAJI WARIOBA

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu ,Jaji Joseph Sinde Warioba wakati alipokwenda nyumbani kwa mstaafu huyo kumbelea Desemba 16, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) .Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wateja wa Airtel kushinda mamilioni ya pesa kupitia promosheni ya “Airtel...

Meneja uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando pamoja na Meneja Masoko wa Airtel Bi Anethy Muga kwa pamoja wakizindua promosheni mpya ya “Airtel MKWANJIKA” itakayowawezesha wateja wote wa Airtel nchi nzima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA NAMED FINALIST IN BEST TOURIST BOARD AFRICA CATEGORY FOR ANNUAL...

By:  Geofrey Tengeneza.Tourism sector in Tanzania is continuing to perform well at international arena after the country’s responsible organ for marketing Tanzania as a tourist destination Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 18

Copyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article
Browsing all 49124 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>