Quantcast
Channel: JIACHIE
Browsing all 49017 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLUTNUMZ, WIZKID, DAVIDO, MR EAZI, JOHN BOYEGA, ABRANTEE & MORE...

Following its seminal debut ceremony last July, which saw the likes of Wizkid, Fuse ODG, CEO Dancers and Anthony Joshua take home the biggest prizes of the night, having been voted for by over half a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NBS YAMUAGA MKUU WA UTAWALA WA BENKI YA DUNIA

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa (kulia) akimkabidhi zawadi aliyekuwa Mtaalamu Mkuu Utawala kutoka Benki ya Dunia, Dkt. Verena Knippel wakati wa hafla fupi ya kumuaga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUHUMIWA 4,809 WA DAWA ZA KULEVYA WAKAMATWA

*Heroine, Cocaine, bangi, mirungi na kemikali bashirifu vyakamatwa * Mashamba ya bangi ekari 569.25 na mirungi ekari 64.5 yateketezwa WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika kipindi cha miezi minne,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONESHO YA SABASABA 2017: HUDUMA ZA PSPF NI "CHAP CHAP", AFISA WA POLISI ASEMA

Modesta Mchopa wa PSPF, (kulia), akimpatia taarifa za michango mwanachama wa Mfuko huo, Afisa wa polisi, E.M Peter, aliyefika kwenye banda la Mfuko huo leo Julai 5, 2017. Afisa huyo wa polisi amesifu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAPUNGUZA TOZO YA ARDHI KWA ASILIMIA 5

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuanzia mwaka huu wa fedha, Serikali imepunguza gharama za malipo ya awali ya thamani ya ardhi iliyopimwa kutoka asilimia 7.5 hadi asilimia 2.5.“Serikali inaendelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMREF YAFANYA MKUTANO NA WADAU KATIKA MAHADHIMISHO YA MIAKA 60

 Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mamhoud Thabiti Kombo, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa wadau wa Amref  Uliofanyika jijini Dar es Salaam leo  Mkurugenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA WA JIJI NA MEYA WA KINONDONI WATEMBELEA BANDA LA (LAPF) MAONYESHO YA...

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Mh. Isaya Mwita akizungumza na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe wakati alipotembelea katika banda la Mfuko wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

British Council Yatoa Fursa Kujipima Kiingereza

Mkurugenzi Mkazi wa British Council nchini Tanzania Bi. Angela Hennely akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam, kuhusu ofa ya jaribibo la mtihani wa Kiingereza inayotolewa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halmashauri Zashauriwa Kuiunga Mkono Serikali Katika Tanzania ya Viwanda

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage akiwatambulisha Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Issaya Mwita (kulia) na Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Benjamin Sitta kwa ugeni...

View Article


WAZIRI MKUU AAGIZA KUSIMAMIWA KWA UTEKELEZAJI WA SHERIA ZA NCHI ZENYE LENGO...

Copyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRISHO MPOTO ATANGAZWA KUWA BALOZI WA PROPERTY INTERNATIONAL

 Mrisho Mpoto akiwa ameshika tuzo ya ,Property International mara baada ya kutangazwa kuwa balozi wa kampuni ya Property International katika maonesho ya kimataifa ya Biashara Mtendaji Mkuu wa Property...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: MWANAMUZIKI SHAABAN DEDE AFARIKI DUNIA LEO

Mwanamuziki mkongwe Shaaban Dede amefariki dunia leo saa mbili asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu kwa takriban wiki mbili, mwanae Hamad Dede amethibitisha....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KINDAMBA ATEULIWA KUWA AFISA MTENDAJI MKUU WA TTCL

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Bw. Waziri Waziri KindambaCopyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJUSO VYA MAGAZETI YA ALHAMIS LEO JULY 6,2017

Copyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article

Fahamu miundombinu ya serikali mtandao

Copyright 2007 ©MICHUZI JR

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANISPAA YA UBUNGO KUANZA UJENZI WA BARABARA YA KWENDA SHULE YA SHERIA

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi kayombo akielekeza jambo wakati wa ziara ya kikazi ya kutembelea na kukagua barabara ya Mawasiliano kuelekea Shule ya Sheria (Law school Of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usaili wa kuwasaka warembo wa Miss Grand Tanzania wiki ijayo

Usaili wa kuwatafuta washiriki wa mashindano ya kumtafuta mrembo wa Miss Grand Tanzania utafanyika Julai 10, mwaka huu katika ukumbi wa Dar es salaam Convention Centre, jijini Dar es Salaam.Zoezi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AZITAKA TAASISI ZA MAENDELEO YA FEDHA NA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amezitaka Taasisi za Maendeleo ya Fedha za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuimarisha ushirikiano na kubadilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GLOBAL EDUCATION LINK INAENDELEA NA UDAHILI VYUO VIKUU VYA NJE

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.MAMLAKA  wa Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA)imejizatiti katika kufanya marekebisho ya sheria ikiwa ni katika kuboresha zaidi manunuzi ya zabuni kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWIJAGE:WATANZANIA PENDENI BIDHAA ZA NGOZI ZINAZOZALISHWA TANZANIA.

 .Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage  akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Biashara na Uhusiano wa Kiwanda cha Bora  Sylivery  Buyaga (wa pili kulia)  juu ya kiwanda  hicho...

View Article
Browsing all 49017 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>