Marafiki wa Wafanye Watabasabu, watabasamu na watoto wagonjwa Hospitali ya Taifa Muhimbili. Mratibu, Nathan Mpangala, anatoa shukrani za kumwaga kwa marafiki waliochangia mawazo, muda na zawadi. Pia Rich Mavoko kwa kuruhusu wimbo wake kutumika kwenye video hii. Share TABASAMU kwa kusambaza video hii.
↧