Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46379 articles
Browse latest View live

KAMANDA MPINGA AHITIMISHA KILELE CHA SHINDANO LA UCHORAJI KWA AJILI YA KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI KATIKA SHULE ZA MSINGI JIJINI DAR

$
0
0

Hii ni zawadi ya heshima (tuzo) iliyotolewa na kampuni ya Puma Energy Tanzania na kukabidhiwa kwa mshindi wa kwanza,Mwanafunzi wa darasa la sita kutoka shule ya Msingi Bunge,Veronika Inocent.


Mkurugenzi Mkuu kutoka kampeni ya Puma Energy Tanzania Ltd,Philippe Corsaletti akimkabidhi tuzo/zawadi ya Begi na cheti mwanafuzi wa darasa la sita kutoka shule ya Msingi Bunge,Veronika Inocent baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika Kilele cha shindano la Uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini Dar Es Salaam kwa mwaka 2016,hafla hiyo fupi iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania ilifanyika mapema leo katika viunga vya shue ya msingi Bunge.

Mashindano hayo yalihusisha shule kumi kwa upande wa Dar Es Salaam ambazo ni    Mwananyamala,Kisutu,Bunge,Kisiwani,Mchangani,Mnazini,Mwananyamala B,Mikocheni,Mtendeni,Kisutu,Kisiwani na Ugindoni,Shule nyingine tatu ni kutoa mkoa wa Geita ambazo zitashiriki na mchakato wa kuwapata washindi,matokeo ya washindi wa mwisho yatatangazwa wakati wa kilele cha cha wiki ya Usalama barabarani ambayo inatarajia kufanyika hivi karibuni 
Mwanafuzi wa darasa la sita kutoka shule ya Msingi Bunge,Veronika Inocent akilia kwa furaha mara baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika Kilele cha shindano la Uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini Dar Es Salaam kwa mwaka 2016,hafla hiyo fupi iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania ilifanyika mapema leo katika viunga vya shue ya msingi Bunge.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini,Kamanda Mohamed Mpinga pamoja na Waandaji kutoka kampuni ya Puma Energy Tanzania na AMEND wakitafuta washindi watatu wa shindano la uchoraji katika masuala mazima ya kuhamasisha usalama barabarani 2016.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini,Kamanda Mohamed Mpinga akimkabidhi Mwanafunzi wa darasa la sita,Shaaban zawadi ya Begi na Cheti,kutoka shule ya msingi Bunge baada ya kuibuka mshindi wa tatu katika Kilele cha shindano la Uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini Dar Es Salaam kwa mwaka 2016,hafla hiyo fupi iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania ilifanyika mapema leo katika viunga vya shue ya msingi Bunge.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini,Kamanda Mohamed Mpinga akimkabidhi Mwanafunzi wa darasa la sita Antonia Anthony zawadi ya Begi na Cheti,kutoka shule ya msingi Mwananyamala baada ya kuibuka mshindi wa pili katika Kilele cha shindano la Uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini Dar Es Salaam kwa mwaka 2016,hafla hiyo fupi iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania ilifanyika mapema leo katika viunga vya shue ya msingi Bunge.
Picha ya Pamoja na Washindi watatu shindano la Uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini Dar Es Salaam kwa mwaka 2016.

Baadhi ya Wanafunzi walioshiriki na kuibuka na zawadi kutoka Kampuni ya Puma Energy Tanzania . 
Mkurugenzi Mkuu kutoka kampeni ya Puma Energy Tanzania Ltd,Philippe Corsaletti alisema kuwa shindano hilo linalenga kusaidia kuelimisha Wanafunzi wa shule za msingi katika masuala ya Usalama barabarani."Mpangp wetu wa usalama barabarani kwa mashule hapa Tanzania ulianza toka mwaka 2013 na mpaka sasa shule za msingi zipatazo 30 zimeshiriki,ikiwa ni jumla ya wanafunzi 38,638",alisema Philippe.Alisema kuwa shindano hilo pia linalenga kumpatia Mwanafunzi nafasi ya kushiriki mawazo

ILALA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MADAWATI,YABAINI WANAFUNZI HEWA 599 KATIKA SHULE 6

$
0
0



Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema akifafanua jambo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mapema leo ofisini kwake Ilala,jijini Dar wakati alipotangaza kupatikana kwa wanafunzi hewa 599 katika shule 6 za wilaya hiyo ambapo uchunguzi wa wanafunzi wengine hewa bado unaendelea.
Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema akisisitiza jambo wakati alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Ilala wakati alipotangaza kupatikana kwa wanafunzi hewa 599 katika shule 6 za wilaya hiyo, Kulia ni Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bw. Edward Mpogolo.
Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Ilala wakati alipotangaza kupatikana kwa wanafunzi hewa 599 katika shule 6 za wilaya hiyo.

.............................................................
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema ametangaza kupatikana kwa wanafunzi hewa 599 katika shule 6 za wilaya ya Ilala ambazo hakuzitaja, Mjema amesema baada ya uchunguzi huo kufanyika,wamebainika wanafunzi idadi hiyo,ambapo wahusika wote watachukuliwa sheria ikiwamo na hatua za kinidhamu,kwani hayo ni makosa kama yalivyo makosa mengine

Wilaya ya Ilala ina shule za sekondari za serikali 46 na za sekondari 49 ukiacha shule za taasisi binafsi ,zoezi la ukaguzi bado linaendelea katika shule zote za msingi wilayani humo mpaka Septemba mosi mwaka huu ndiyo litamalizika.

Akizungumzia suala la Madawati mkuu wa wilaya huyo, amewapongeza wadau wote waliochangia madawati mpaka kuhakikisha uhaba wa madawati katika wilaya ya Ilala unakwisha, huku kukiwa na ziada ya madawati 2821

Ameongeza kuwa kazi kubwa inayofuatia kwa sasa ni kuongeza vyumba vya madarasa ambapo kazi hiyo inaendelea vizuri .

Mh. Sophia mjema pia amemshukuru Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa kuanzisha mkakati wa wadau kuchangia madawati, jambo ambalo limesaidia tatizo hilo kushughulikiwa kikamilifu na wadau mbalimbali, lakini pia akampongeza Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Paul Makonda kwa usimamizi thabiti wa utekelezaji wa mkakati huo. jambo ambalo limesaidia wilaya ya Ilala kumaliza kabisa tatizo la uhaba wa madawati katika shule za zake za msingi

RAIS MSTAAFU DK JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BI SHAKILA, MBAGALA CHARAMBE JIJINI DAR LEO.

$
0
0
s Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar .
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akiweka udongo kwenye kaburi la Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.
Rais Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Said ,huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar,wa pili kushoto akishuhudia ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye.
Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Mbagala Charambe,jijini Dar,kushoto ni  Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye.
 Mke wa Rais Mstaafu awamu ya nne,Mama Salma Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Said ,huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.

Rais Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete (wa pili kulia) na Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye (pili kushoto) wakishiriki maziko ya aliyekuwa Mkongwe,mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarabu hapa nchini,Bi Shakila Saidi ambaye mazishi yake yamefanyika leo huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.
Makamu wa Rais Mh,Samia Suluhu akijadiliana jambo na mmoja wa waombolezaji nyumbani kwa marehemu,kabla ya maziko kufanyika.Bi Shakila,amefariki ghafla nyumbani kwake,huko Mbagala Charambe. 
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akiwa na baadhi ya waombolezaji wengine wakiwemo wasanii wa muziki wa kizazi kipya na wanamuziki wakongwe wakiwa kwenye mazishi ya Bi Shakila,hukko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.
Baadhi ya Waombolezaji wakiwa nyumbani kwenye mazishi ya Bi Shakila,aliyefariki ghafla nyumbani kwake,huko Mbagala Charambe. 
Baadhi ya Waombolezaji wakiwa nyumbani kwenye mazishi ya Bi Shakila,aliyefariki ghafla nyumbani kwake,huko Mbagala Charambe. 
Mwili wa marehemu Bi Shakila ukiswaliwa tayari kwa maziko 
Waombelezaji wakiwa wamebeba Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Bi Shakila wakielekea mazikoni,jioni ya leo huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar. 
Mwili ya Bi Shakila tayari umeishapumzishwa kwenye nyumba yake ya Milele
Safari ya mwisho ya Bi Shakila Said .
Rais Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete (wa tatu kulia) akijalidiliana jambo na Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye (pili kushoto).
 Baadhi ya wanamuziki wakongwe na bongofleva wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kushiriki mazishi ya Bi Shakila huko nyumbani kwake Mbagala Charambe jijini Dar
 Rais Mstaafu awamu ya nne Dkt Jakaya Kikwete akizungumza na waombolezaji.
Katibu MKuu wa Shirikisho la Wanamuziki nchini,John Kitime akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Said ,huko nyumbani kwa marehemu Mbagala Charambe,jijini Dar.

NEW MUSIC VIDEO ( BABBI - FOLLOW ME)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa awasili Mpanda kwa ziara ya kikazi mkoani humo eo

$
0
0
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiwapungia wananchi wa Mkoa wa Katavi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kuanza ziara ya kikazi mkoani humo leo Agosti 20, 2016. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa na Vijana wa CCM baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kuanza ziara  ya kazi mkoani Katavi leo Agosti 20, 2016. 
   Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na baadhi ya  wananchi wa mkoa wa Katavi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kuanza ziara ya kazi mkoani humo leo Agosti 20, 2016.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na baadhi ya  wananchi wa mkoa wa Katavi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kuanza ziara ya kazi mkoani humo leo Agosti 20, 2016.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU AHUDHURIA MSIBA MWANAMUZIKI MKONGWE BI.SHAKILA SAID

$
0
0

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye mara baada ya kuwasili msibani kwa Bi. Shakila, Mbagala Chalambe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha maombelezo ya msiba wa marehemu Shakila Said.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwafariji ndugu wa marehemu Shakila nyumbani kwa marehemu Mbagala Chalambe.
Sehemu ya waliohudhuria msiba wa Bi. Shakila Said
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza jambo na Issa Muhidin Michuzi kwenye msiba wa Bi. Shakila.
Swala ya maalum kabla ya kwenda kuzika
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akishiriki dua maalum ya kumuombea Marehemu Shakila Said ambaye alikuwa mwanamuziki maarufu wa muziki wa Taarab nchini.

Mwili wa Marehemu ukipelekwa makaburini tayari kwa maziko.BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA WATENDAJI WA IDARA YA MAZINGIRA.

$
0
0

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa mkutano na Watendaji wa Ofisi yake Idara ya Mazingira mara baada ya kupata taarifa za maendeleo, mipango na mikakati ya Idara hiyo, kulia ni Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akifafanua jambo kwenye mkutano wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Watendaji wa Idara ya Mazingira (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa mkutano na Watendaji wa Ofisi yake Idara ya Mazingira Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa mkutano na Watendaji wa Ofisi yake Idara ya Mazingira, kushoto ni Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba na kulia ni Katibu Mkuu Oisi ya Makamu wa Rais Bw. Mbaraka Abduwakil Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi Idra ya Mazingira Bi. Esther Makwaia akiwasilisha taarifa ya hali ya Mazingira nchini kwenye mkutano na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu, Ikulu jijini Dar es Salaam
.................................................

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mkutano wa kazi na watendaji wa ofisi yake ya Idara ya Mazingira kujadili kwa kina namna ya kukabiliana na hali tete ya uharibifu wa mazingira unaoendelea nchini.

Katika mkutano huo uliofanyika leo, Ikulu, Dar es salaam ambao ulihudhuriwa pia na Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira January Makamba, Makamu wa Rais ameawaagiza watendaji wa idara hiyo waache kukaa ofisini na badala yake waende kutoa elimu kwa wananchi kuhusu namna ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira katika maeneo mbalimbali nchini.

Alisema hali ya uharibifu wa mazingira ikiachwa iendelee kama ilivyo inaweza ikasababisha madhara makubwa kwa jamii na Taifa kwa ujumla, hivyo ni muhimu kwa makundi yote wakiwamo wataalam wa mazingira na wadau wa maendeleo kuelekeza nguvu zao katika kukabiliana na tatizo hilo.

Alisema baadhi ya watendaji wamekuwa ni sehemu ya uharibifu wa mazingira na kuonya wataobainika kufanya vitendo hivyo watachukuliwa hatua kali ili kukomesha tabia hiyo.Baadhi ya watendaji waliotoa taarifa kuhusu hali ya mazingira nchini wamekiri kuwa hali ya uharibifu wa mazingira siyo nzuri hasa kwenye mikoa ya Dodoma, Shinyanga, Manyara, Geita, Singida na Kilimanjaro.

Inakadiriwa kuwa takribani hekta 400,000 za misitu zinaharibiwa kila mwaka hali ambayo inapelekea baadhi ya wanyama kutoweka.Watendaji hao wameiomba serikali iongeze bajeti ya kutosha ili waweze kukabiliana na tatizo la uharibifu wa mazingira ikiwemo utoaji wa elimu kwa wananchi.Makamu wa Rais ametumia siku ya mapumziko ili kujadiliana na kuweka mipango na mikakati ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini. Mkutano huo wa kazi unaendelea tena hapo kesho.

WEKUNDU WA MSIMBAZI WAANZA LIGI KWA KISHINDO, WAIFUMUA NDANDA FC BAO 3-1

$
0
0

Kipa wa Simba, Vincent Agban akiruka na kuusindikiza kwa macho mpira ukiingia wavuni baada ya kupigwa kichwa safi kabisa na Mshambuliaji wa Timu ya Ndanda, Omary Mponda na ikiwa ni goli la kufutia machozi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania uliochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Simba imeshinda Bao 3-1.

Mshambuliaji wa Timu ya Simba, Shiza Kichuya akiachia shuti lililopelekea kuipatia Timu yake bao la tatu dhidi ya Timu ya Ndanda, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania uliochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Simba imeshinda Bao 3-1.

Mshambiaji wa Simba, Laudit Mavugo akiondoka na kijiji cha wachezaji wa Ndanda katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania uliochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Simba imeshinda Bao 3-1.


Beki wa Simba, Mohamed Hussein akiondoka na mpira.
Kocha Mkuu wa Timu ya Ndanda, Hamimu Mawazo na Bechi lake la ufundi.

Kocha Mkuu wa Timu ya Simba, Joseph Omog na benchi lake la ufundi.

Hatari langoni mwa timu ya Ndanda.




































































BI SHAKILA ENZI ZA UHAI WAKE

$
0
0
 Aliyekuwa msanii mahiri wa Taarab, marehemu Shakila Said wakati wa uhai wake akipongezwa na Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete wakati wa Tamasha la wasanii kumuaga Kikwete usiku baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa chama hicho, mjini Dodoma Julai 23, mwaka huu. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
 Shakila akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Abdulrahman Kinana
Akitafakari jambo

TAASISI 145 HAZIJAWASILISHA TAARIFA IWAPO WANA WATUMISHI HEWA AU HAWANA WATUMISHI HEWA,MWISHO KUWASILISHA TAARIFA ZAO NI AGOSTI 26,2016

$
0
0
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.  Angellah J.  Kairuki (Mb) akitoa taarifa kwa Vyombo vya Habari  kuhusu zoezi la kuondoa watumishi hewa katika orodha ya malipo ya mishahara serikalini ofisini kwake mapema leo.
 Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.  Angellah J. Kairuki (Mb)  alipozungumza leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.  Angellah J.  Kairuki (Mb) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusu utekelezaji wa agizo la kuondoa watumishi hewa katika orodha ya malipo ya mishahara Serikalini ofisini kwake mapema leo.





Kama mnavyokumbuka, mnamo tarehe 15 Machi, 2016 Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliwaagiza Wakuu wa Mikoa na Waajiri wote kwa ujumla kuchukua hatua ya kuhakikisha katika Mikoa au Taasisi zao hakuna watumishi hewa ifikapo tarehe 30 Machi, 2016.

Katika kutekeleza agizo hilo la Mheshimiwa Rais, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imekuwa ikifuatilia utekelezaji wa agizo hili na mnamo tarehe 26 Mei, 2016 waajiri wote waliagizwa kuwasilisha taarifa za mwisho za zoezi la kuwabaini na kuwaondoa watumishi hewa katika orodha za malipo ya mshahara (payroll) ifikapo mwisho wa Mwezi Juni, 2016. Waajiri wote walielekezwa kutuma taarifa tajwa kwa kuzingatia muundo wa uandaaji na uwasilishaji wa taarifa hizo kwa kuainisha mambo yafuatayo:-
·        Jina la Taasisi;
·        Fungu (Vote);
·        Cheki Namba ya Mtumishi;
·        Jina Kamili la Mtumishi;
·        Cheo cha Mtumishi;
·        Jina la Tawi la Benki ambalo mshahara wa mtumishi umekuwa ukipitishwa/ukilipwa;
·        Akaunti Namba ya Benki ya Mtumishi;
·        Tarehe ambayo Mtumishi aliondolewa kwenye Mfumo wa Taarifa ya Kiutumishi na Mshahara;
·        Kiasi cha fedha zilizolipwa kwa mtumishi husika tangu alipotakiwa kuondolewa hadi tarehe aliyoondolewa kwenye Mfumo;

·        Sababu ya kuondolewa kama utoro, kufariki dunia, kuacha kazi, kustaafu n.k.

·        Hatua zilizochukuliwa na mwajiri dhidi ya watumishi hwa waliobainika kama kurejesha fedha, na Maafisa wengine wa Taasisi husika waliosababisha uwepo wa Watumishi Hewa kuwachukulia wahusika hatua za kinidhamu/kisheria.

Aidha, waajiri 264 kati ya waajiri wote 409 wamewasilisha taarifa zao kuhusu uwepo wa watumishi hewa. Kati ya waajiri 264 waliowasilisha taarifa zao, waajiri 63 wamethibitisha kwamba hawana watumishi hewa katika Taasisi zao na waajiri 201 wana watumishi hewa mmoja (1) na kuendelea.

Katika kufanikisha zoezi hili Ofisi yangu imechukua hatua kadhaa ikiwemo kuendelea kutoa mafunzo ya mara kwa mara kwa Maafisa Utumishi wenye dhamana ya kutumia Mfumo wa Malipo ya Mshahara, kukuza uwajibikaji kwa Maafisa wanaosimamia malipo ya mishahara kwa kuwachukulia hatua za kinidhamu/kisheria wanaobainika kusababisha watumishi hewa, kufanya uhakiki wa kushtukiza na kuanza safari ya kuunganisha Mfumo wa Malipo ya Mishahara na mifumo mingine mikubwa kama ya NIDA, RITA na Baraza la Mitihani la Taifa, na kuwezesha mfumo kuwaondoa moja kwa moja (automatically) watumishi waliofikisha umri wa kustaafu kwa lazima.

Pamoja na taarifa hiyo, zipo Taasisi 145 ambazo hazijawasilisha taarifa iwapo wana watumishi hewa au hawana watumishi hewa. Waajiri ambao hawajawasilisha taarifa zao wamegawanyika katika makundi yafuatayo:-
·        Mabaraza mbalimbali                                        11
·        Bodi mbalimbali                                                  10
·        Vyuo Vikuu                                                          25
·        Hospitali                                                                3
·        Ofisi za Makatibu Tawala wa Mikoa                 12
·        Mamlaka mbalimbali                                            6
·        Tume mbalimbali                                               10
·        Mamlaka za Serikali za Mitaa                           38
·        Taasisi za Umma na Wakala                            30

Aidha, kuanzia tarehe 15 Agosti, 2016 Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inaendesha zoezi la uhakiki wa kushtukiza katika Taasisi sabini (70) za Serikali zikiwepo Wizara, Idara za Serikali Zinazojitegemea, Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi za Umma kwa madhumuni ya kujiridhisha kwamba taarifa za watumishi hewa zilizowasilishwa na waajiri ni sahihi.

Vilevile, napenda kuwataarifu pia kwamba taarifa kamili ya watumishi hewa itatolewa baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa waajiri ambao hawajawasilisha taarifa hizo na kukamilika kwa zoezi la uhakiki wa Taasisi sabini (70) linaloendelea sasa. Naagiza Taasisi zote hazijawasilisha Taarifa za Watumishi Hewa kufanya hivyo kabla au ifikapo tarehe 26 Agosti, 2016.

Ofisi hii itawasilisha taarifa rasmi ya watumishi hewa kwa Mheshimiwa Rais ikiwa na orodha na majina ya Taasisi ambazo zimewasilisha taarifa ya watumishi hewa na na zile ambazo hazijawasilisha taarifa hizo.

Taarifa hizo ziwasilishwe kwa kuzingatia mfumo uliotolewa katika barua ya tarehe 26 Mei, 2016 kwa nakala ngumu na nakala laini (Soft Copy/Hard Copy) kupitia anuani ya barua pepe ps@utumishi.go.tz. Na kwa nakala ngumu iwasilishwe Ofisi ya Katibu Mkuu (Utumishi).

Imetolewa na Mhe. Angellah J. Kairuki (MB.) WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
 NA UTAWALA BORA,
20 AGOSTI, 2016

GHALA LA KAMPUNI YA BOSS SHOPPING CENTRE LTD LATEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0




Askari wa Kikosi cha Uokoaji cha Zimamoto wakizima moto uliokuwa ukiteketeza ghala la Kampuni ya Boss Shopping Centre Ltd zilimo kuwa zikihifadhiwa bidhaa mbalimbali eneo la Viwanda Chang'ombe jijini Dar es Salaam leo mchana.
wananchi wakijadiliana jambo eneo la tukio.
Kazi ya uokoaji ikiendelea.

Askari wa uokoaji wakiwa kazini.
Mmoja wa wamiliki wa ghala hilo akisaini fomu ya uzimaji wa moto huo.
Moto ukiendelea kuwaka






Wananchi wakiwa eneo la tukio.




Na Dotto Mwaibale


MOTO mkubwa umeteketeza ghala la Kampuni ya Boss Shopping Centre Ltd lililokuwa likitumika kuhifadhia bidhaa mbalimbali maeneo ya viwandani Chang'ombe jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari eneo la tukio mmoja wa wamiliki wa ghala hilo ambaye hakupenda kutaja jina lake kwa kuwa hakuwa msemaji alisema moto huo ulianza saa 9 mchana.Tumepata hasara kubwa katika ghala hili tulikuwa tukihifadhi friji, TV, sabufa kwa ujumla ni Boss Bland Home" alisema.

Alisema chanzo cha moto huo bado hakijafahamika.

Baadhi ya waokoaji walikuwepo eneo la tukio walilalamikia Kikosi cha Uokoaji cha Zimamoto kwa kufika eneo la tukio bila ya kuwa na maji ya kutosha hivyo kushindwa kuhudhibiti moto huo kwa wakati ambapo ilizuka taharuki na kwa wamiliki wa viwanda vilivyokuwa jirani na ghala hilo.

Jitihada za gazeti hili kumpata Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro ili kuzungumzia tukio hilo hazikuzaa matunda baada ya kumpigia simu ambayo ilikuwa ikiita bila ya kupokelewa.

TBL GROUP SUPPORTS GOVERNMENT’S INDUSTRIALISATION DRIVE

$
0
0

TBL Group remains committed to making a significant contribution to the Tanzanian economy. Speaking in Mwanza, the company’s Managing Director Roberto Jarrin who was presenting an overview of his company’s contribution to the country’s economy to journalists said, “In addition to contributing Tshs.384 Billion to the Government‘s revenue in 2015, we remain steadfast in our resolve to support all the industries that are linked to our business. 

That is, from the farmers in the field to the consumers who buy our products.” In this regard, TBL Group will spend in excess of Tshs. 27billion/- in the agriculture sector through enabling thousands of Barley, Grapes, Sorghum and Maize farmers to grow in many ways. This will include: providing them with seeds, extension services as well as facilitating them with access to credit. Banks that provide support to TBL’s partners in the agriculture sector include: CRDB, the National Microfinance Bank (NMB) and the Bank of Africa (BOA). The company also plans to inject Tshs 150bn /- into the transportation sector this year for the collection and transporting of agricultural products from warehouses to its plants as well as the distribution of its finished products across the country. TBL Group’s financial year runs from April 1, 2016 to March 30, 2017. 

The managing director goes on to say that TBL Group will continue to play a key role in the development of the commercial farming of barley, sorghum and maize crops in the country. The company sources Barley, Sorghum (both red and white), Sifted Maize Flour and Grapes from local farmers which are then used in the manufacture of its products. Jarrin reiterated his company’s commitment to enhancing the lives of farmers through connecting them to organisations such as the World Food Programme which then buys their surplus cereals - mostly sorghum and maize - which TBL Group is unable to purchase.


Barley farming is a source of livelihood for more than 3000 farmers in rural Tanzania. This barley which is converted into Malt – a key ingredient in the manufacturing of beer – is enough to meet most of TBL Group’s requirements for its Arusha and Mwanza breweries. The balance that is needed for its Dar es Salaam and Mbeya Plants is bought on the world market for the country does not produce enough barley to meet local requirements. Insofar as grape farming is concerned, over 700 farmers in Dodoma are on the TDL Grape Farming program in Bihawana, Mpunguzi,, Mvumi, Hombolo, Mbabala, Veyula, Makang’wa, Mzakwe and Mbalawala villages.

 These small farmers receive agricultural training and technical assistance from TDL viticulturists in partnership with experts from Makutupora Viticulture Training and Research Center (MVTRC). In addition to being on this scheme, small scale grape farmers’ children have access to scholarships offered by the Konyagi Social Trust - Zabibu na Shule Kwanza. This initiative provides the children, especially girls, with an opportunity to access formal education. Farming and the creation of employment aside, TBL Group is the country’s largest taxpayer, having contributed Tshs 2.3 trillion/- in taxes to the government over the past 10 years. 

“Our Group’s contribution to the development of Tanzania through the collection and payment of tax continues to be recognised by various stakeholders in the country through the various accolades accorded to us by the Tanzania Revenue Authority (TRA) over the past four consecutive years,” says Jarrin. Jarrin who was presenting an overview of his company’s contribution to the Tanzanian economy stated that TBL Group, which is the country’s poster child of a privatisation success story, invests approximately Tshs 150 billion/- per year in the upgrading of its breweries and distilleries to world class standards. ” 

The company has 10 large scale manufacturing plants in Tanzania. Insofar as its breweries are concerned, Mwanza, Mbeya, Arusha and Dar es Salaam consistently rank among the best in SABMiller’s African operations. TBL Mwanza and Mbeya feature among the top 10 and 15 breweries in the world. He says his company’s beer business has a 78% market share of the formal beer market which is primarily driven by Safari, Kilimanjaro, Ndovu, Castle Lager and Castle Lite brands. The company’s leading spirits and wines - Konyagi, Valeur and Dodoma Wine - command a combined market share of 73% this segment. For their part Traditional Beers – Chibuku and Nzagamba - account for 8% of Group’s volume and have an overall traditional beer market share of 8%. 

A recent study of the informal alcohol beer sector in Tanzania that was done by CanBack - a leading firm in the field of analytics - shows that traditional beers account for 50 per cent of the total alcohol market in the country. Jarrin further says that DarBrew Limited offers traditional beer consumers with a sanitized option to informal alcohol through its Chibuku and Nzagamba brands which are available in various pack sizes and brands. The company has also taken the initiative of recruiting informal alcohol brewers of Chibuku as sales agents through its Chibuku Mamas Programme; 130 women have been enlisted on the programme to date. 

On where he sees the business going, the TBL Group Managing Director says that beer business has stagnated due to among other things: the fact that; Beer is expensive relative to the vast majority of Tanzanians’ income for the vast majority of Tanzanians earn about Tsh 5,000/- a day; the prevalence of a large informal alcohol market and the lack of incentives that encourage local production of key raw materials such as malt as well. 

Some of the solutions that the beer industry believes would contribute to the growth of the sector are tax increases that are below the rate of inflation; production (formalising and commercialising) of traditional beer in more sanitised conditions as well as excise remission on locally produced malt. Malt is a by-product of Barley which is a key ingredient in the making of beer. 

“Despite the prevailing conditions, we are a strong proponent of the current industrialisation drive because we have proven that it is possible to produce at World Class Standards in Tanzania, says Jarrin.

UWT NA CCM MUFINDI WAMPONGEZA RAIS DR MAGUFULI

$
0
0

Mwenyekiti wa UWT wilaya ya Mufindi Bi Marcelina Mkini akizungumza katika kikao cha baraza la wanawake wilaya ya Mufindi hivi karibuni


Na MatukiodaimaBlog

UMOJA wa wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mufindi mkoani Iringa umempongeza Rais Dr John Magufuli kwa utendaji kazi mzuri wenye lengo la kuwakomboa watanzania hasa wanyonge huku ukiwataka viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kuwa na huruma na watanzania .

Washauri CHADEMA kuachana na harakati zao za umoja wa kupinga udikteta Tanzania (UKUTA) Kuwa harakati hizo si za kimaendeleo bali ni harakati zenye lengo la kuchafua sifa ya kazi inayofanywa na serikali ya Rais Dr Magufuli jambo ambalo si la kulifumbia macho .

Mwenyekiti wa UWT wilaya ya Mufindi Bi Marcelina Mkini alisema hayo leo mbele ya wanahabari wakati akitoa pongezi zake kwa Rais Dr Magufuli kukabidhiwa mikoba ya uenyekiti wa CCM Taifa na jinsi alivyoleta matumaini kwa wananchi kutokana na zoezi la kutumbua majipu ,alisema hivi sasa wana CCM wanatembea kifua mbele tofauti na awali ambapo sifa ya fisadi ilionekana kuwanyima raha wana CCM.

Bi Mkini alisema kuwa UWT Mufindi inampongeza Rais Dr Magufuli kwa kuonyesha utendaji kazi wa vitendo zaidi na hivyo kupelekea Taifa la Tanzania kuendelea kuwa moja kati ya mataifa ya mfano kwa kuwa na Rais bora mchapakazi.

Hata hivyo alisema wao kama UWT hawaungi mkono wala hawapendezwi na siasa chafu zinazopangwa kufanywa na CHADEMA kwa kisingizio cha kupinga udikteta Tanzani jambo ambalo halipo na kuwa wanaopinga kasi ya Rais katika kuwatumikia wananchi na kutaka watu wafanye maandamano yasiyo na tija wao ni madikiteta ila watanzania wapenda maendeleo anachokifanya Rais Dr Magufuli ni ukombozi kwao.

“ Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais wetu mpendwa Dr John Magufuli ni serikali ya kazi na vitendo zaidi kwa ajili ya kuwasaidia watanzania kupiga hatua ya kimaendeleo na ni vema kutambua kuwa uchaguzi mkuu ulimalizika mwaka jana na sasa si wakati wa kampeni za kuchafuana ni wakati wa kila mmoja kuwatumikia wananchi …..sasa ukiona chama kinalazimisha maandamano kwa sasa ni kukosa kazi ya kufanya na huo ni zaidi ya udikteta lazima viongozi wa vyama vya siasa kuwa na huruma kwa watanzania badala ya kuwatumikisha maandamano yasiyo na faida kwao”

Aliwataka wanawake wote wilayani Mufindi kuwazuia vijana wao kujishughulisha na maandamano hayo ya UKUTA na badala yake kuwapa elimu ya kujiunga na vikundi vya ujasiliama mali ikiwa ni pamoja na kuvisajili ili kuweza kunufaika na mpango mzuri wa Rais Dr Magufuli wa kutoa fedha kiasi cha Tsh milioni 50 kwa kila kijiji .

Pia alisema wao UWT Mufindi kwa kuunga mkono kazi nzuri ya Rais wataendelea kuhamasisha wanawake kujiunga na vikundi vya kiuchumi ikiwa ni pamoja na kuonyesha mfano kwa wilaya nyingine.

Kuhusu zoezi la kutumbua majipu na wafanyakazi hewa alisema zoezi hilo linapaswa kuendelea zaidi na kuwa Rais ni mwenyekiti wa chama Taifa bado wanaomba muda ukifika wa kutumbua majipu ndani ya CCM asiache kufanya hivyo kwani sifa ya chama imekuwa ikichafuliwa na viongozi wachache ambao kama mwenyekiti mwenyewe wa Taifa alivyosema kuwa wapo wanaohujumu chama wakiwa ndani ya chama .
Katibu wa CCM wilaya ya Mufindi Jimson Mhagama akisoma taarifa ya wilaya hiyo kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwavi (kulia). katikati ni Mwenyekiti wa wilaya ya mufindi Bw Kaguo

.Katibu wa CCM wilaya ya Mufindi Bw Jimson Mhagama pamoja na kumshukuru Rais kwa kuzuia maandamano ya UKUTA alisema kuwa haoni faida ya maandamano hayo hivyokuwaomba wananchi wa Mufindi kuelekeza nguvu zao katika shughuli za maana na kuachana na maandamano hayo na kama yapo basi viongozi wa Chadema na familia zao ndio waandamane na si vinginevyo ili kama kupigwa na kukamatwa basi wakamatwe wao ambao wananufaika na maandamano hayo .

HATUA ZICHULIWE KWA WATUMISHI WANAOIBA DAWA-MAJALIWA

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea hospitali ya wilaya ya Mpanda akiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa wa Katavi Agosti 21, 2016.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mkewe Mary (kulia kwake)wakizungumza na wakagonjwa wakati walipotembelea hospitali ya wilaya ya Mpanda wakiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa w Katazi Agosti 21, 2016.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mkewe Mary (kulia kwake)wakizungumza na wakagonjwa wakati walipotembelea hospitali ya wilaya ya Mpanda wakiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa w Katazi Agosti 21, 2016.

Waziri Mkuu,Kassim Majlaiwa na mkewe Mary wakitazama watoto mapacha wa kiume waliozaliwa na Bi Sikudhani Raashidi usiku wa kuamkia Agosti 21, 2016 katika hospitali ya wilaya ya Mpanda wakati walipoiembelea Agosti21, 2016. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Mbunge wa Viti Maalum, Anna Lupembe.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary wakimtazama mtoto Nchambi Peter aliyeungua moto wakati walipotemblea hospitali ya wilaya ya Mpanda Agosti 21, 2016. Kulia ni Mam wa mtoto huyo, Dotto Makengele. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri nchini kuwachukulia hatua watumishi wote wa sekta ya afya wanaojihusisha na wizi wa dawa.

“Fuatilieni na kuwachukulia hatua watumishi wa Zahanati wanaoiba dawa. Hawa hawana nafasi ya kuendelea kufanya kazi kwa sababu ni wauaji,” alisema.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana jioni (Jumamosi, Agosti 20, 2016) wakati akipokea taarifa ya mkoa wa Katavi mara baada ya kuwasili mkoani hapa kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.

Alisema kila kiongozi kwenye eneo lake ahakikishe dawa zinazopelekwa na Serikali kwa ajili ya kuwahudumia wananchi zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa.

Pia ameitaka Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kujenga duka la dawa mkoani Katavi kwa ajili ya kurahisisha upatikanaji wa dawa katika mkoa huu pamoja na mikoa jirani.

Wakati huo huo Waziri Mkuu aliwataka Waratibu wa Elimu katika ngazi ya Kata na Wakuu wa shule za sekondari wasiokuwa na shahada waende wakasome kama wanahitaji kuendelea kuwa na wadhifa huo.

Alisema Mratibu wa Elimu katika ngazi ya Kata ni lazima awe na shahada ili aweze kutekeleza majukumu yake ya kusimamia utolewaji wa elimu katika shule za sekondari na msingi.

Kwa upande wa walimu wakuu katika shule za msingi, Waziri Mkuu alisema ni lazima wawe na diploma, hivyo aliwataka walimu wakuu wote wasiokuwa na diploma kwenda kusoma kabla hawajaondolewa kwenye wadhifa huo.

Alisema Serikali imetenga zaidi ya sh. bilioni tano kwa mwezi ambazo ni posho ya madaraka, ambapo Waratibu Elimu Kata wanapewa sh 250,000 kwa mwezi huku Wakuu wa shule za sekondari na walimu wakuu katika shule za msingi wanapewa sh. 200,000.

Awali Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali (Mstaafu) Raphael Muhuga alisema mkoa umeendelea kuongeza bajeti ya dawa ili kuhakikisha dawa zinapatikana katika ngazi zote za kutolea huduma.

“Mwaka 2012 bajeti ya dawa na vifaa tiba ilikuwa sh. Milioni 558 ambayo ilitosheleza upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa asilimia 70. Katika bajeti ya mwaka 2016/2017 mkoa umetengewa jumla ya sh bilioni 1.3 ambayo tunaamini itamaliza tatizo la upatikanaji wa dawa na vifaa tiba,” alisema.

Mkuu huyo wa mkoa alisema mfumo mpya wa usambazaji dawa kupitia MSD umesaidia dawa, vifaa tiba na vitendanishi kupelekwa moja kwa moja hadi katika ngazi ya zahanati hali iliyosaidia dawa kufika kwenye vituoZIARA YA vya kutolea huduma kwa asilimia 100.

Mapema leo Waziri Mkuu amefanya ziara katika hospitali ya Manispaa ya Mpanda ambapo amesema Serikali itahakikisha hospitali hiyo inaongezewa huduma zaidi kwa sababu ni ya wilaya ila inahudumia wagonjwa wa mkoa wote.


IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAPILI, AGOSTI 21, 2016.

Dk.Shein Aonana na Madaktari Bingwa kutoka Hospitali ya Chuo Kikuu cha El Shatby Nchini Misri

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Prof.Saber Waheeb,Kiongozi wa Ujumbe wa Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini Misri,walipofika ikulu mjini Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini Misri,ukiongozwa na Prof.Saber Waheeb (wa pili kulia) leo ulipofika ikulu Mjini Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Prof.Saber Waheeb,Kiongozi wa Ujumbe wa Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini Misri,baada ya mazungumzo walipofika ikulu mjini Zanzibar jana [Picha na Ikulu.]

MAGAZETINI LEO

TANAPA KUTUMIA TUKIO LA KUPATWA KWA JUA KUTANGAZA HIFADHI ZAKE.

$
0
0
 Na Dixon Busagaga wa Michuzi Blog.

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limesema litatumia fursa ya tukio la kupatwa kwa jua kama njia mojawapo ya kutangaza hifadhi za taifa hususani zinazopatikana katika mikoa ya nyanda za juu kusini na Magharibi mwa Tanzania.

Tukio la kupatwa kwa jua linataraji kuonekana vizuri ukilinganisha na maeneo mengine Duniani katika eneo la Rujewa wilayani Mbarali mkoani hapa,eneo ambalo liko jirani na Hifadhi za taifa za Ruaha,Kitulo na Katavi.

Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) Pascal Shelutete  alisema maandalizi kwa ajili ya kupokea wageni wanao tarajia kufika nchini kwa ajili ya tukio hilo ambalo limekuwa likitokea kwa nadra.

“ Wataaam na wanasayansi wa kitaifa na kimataifa wathibitisha kuwa  eneo pekee ambalo tukio hilo litaonekana vizuri kuliko maeneo yote duniani ni Tanzania katika mikoa ya nyanda za juu kusini,eneo ambalo lina vivutio utalii vinavyopatikana katika hifadhi zetu za Katavi.Kitulo na Ruaha”alisema Shelutete .

“Shirika limejipanga kuhakikisha kuwa wageni wanoukuja kwa ajili ya tukio hilo pia wanapata fursa ya kuingia katika moja ya hifadhi zetu,niwaomba wadau wa sekta ya utalii nchini kutumia nafasi hii adhimu kukutana na wageni wanaokuja ili kuuza bidhaa zao za utalii”aliongeza Shelutete.
 
Naye mkuu wa hifadhi ya taifa ya Ruaha Christopher Timbuka alisema kituo kikubwa ambacho kimethibitishwa kutumika kwa ajili ya watu kujionea vizuri tukio hilo ni katika eneo la rujewa wilaya ya mbarali ambako maandalizi yote muhimu yamefanyika.

Kwa upande wake mhifadhi wa idara ya  utalii Tutindaga Mdoe alisema baada ya tarifa za tukio hilo kuthibitishwa idadi ya wageni imeanza kuongezeka na kwamba wameandaa mahema na eneo la vyakula na vinywaji kwa wageni watakaofika kushuhudia tukio hilo katika eneo la Bonde la Ihefu lililopo katika hifadhi ya taifa ya Ruaha.

Utafiti mdogo uliofanywa na gazeti hili katika eneo hilo maarufu kwa kilimo cha mpunga umebaini asilimia kubwa ya nyumba za kulala wageni tayari zimejaa kwa tarehe ya tukio hilo.

RC NDIKILO AWASIMAMISHA MAAFISA ARDHI WAWILI IDARA YA ARDHI MKURANGA

$
0
0
 
Mkuu wa mkoa wa Pwani mhandisi Evarist Ndikilo, mwenye kifimbo akionyeshwa na baadhi ya maafisa ardhi ,ramani ya eneo linalomilikiwa na mmiliki Youth with A mission shamba namba 1691 huko Mwandenge ambalo heka 30 imemegwa kwa ajili ya kupatiwa kampuni ya bakhresa food products pasipo uongozi wa halmashauri kujulishwa mchakato unavyokwenda(picha na Mwamvua Mwinyi) 

Na Mwamvua Mwinyi,Mkuranga

MWENYEKITI wa kamati ya ulinzi na usalama mkoani Pwani,mhandisi Evarist Ndikilo,amewasimamisha kazi mara moja,maafisa ardhi wawili wa halmashauri ya wilaya ya Mkuranga kutokana na kutumia vibaya ofisi hiyo.

Mwenyekiti huyo amemsimamisha kazi afisa ardhi mteule wa halmashauri hiyo Riziki Chagie na afisa ardhi Mussa Kichumu ili kupisha uchunguzi utakaofanywa na taasisi ya kudhibiti kupokea na kutoa rushwa(TAKUKURU) na vyombo vingine vya dola. Aidha amelielekeza Jeshi la polisi kuwakamata mara moja ,watumishi hao na kuwaweka ndani ili hatua nyingine ziweze kufuata mkondo wake.

Aidha mhandisi Ndikilo,ameiagiza TAKUKURU chini ya mkuu wa taasisi hiyo mkoa Susan,ihoji mchakato mzima uliowashirikisha watumishi hao .Na kuangalia nyaraka upya na mazingira yaliyowafikisha kumega ardhi ya mmiliki halali Youth with A mission shamba namna 1691 pasipo kushirikisha uongozi wa halmashauri.

Sambamba na hayo ameitaka taasisi hiyo kuhoji wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine walishiriki katika mchakato huo ndani ya halmashauri hiyo ambapo atatoa nyaraka na vithibitisho kwa ajili ya uchunguzi. Ameeleza kuwa endapo uchunguzi huo utabaini kuna mtumishi ameshiriki , ametumia ofisi yake vibaya ama ushauri wowote wa kijinai basi sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho kwa watumishi wengine.

Mhandisi Ndikilo ambae pia ni mkuu wa mkoa wa Pwani,aliyasema hayo wakati kamati ya ulinzi na usalama mkoa ilipokwenda kufuatilia taratibu zilizotumika kumegwa hekari 30 katika shamba namba 1691 lililopo Mwandege na kupewa kampuni ya Bakhresa food products kwa kiasi cha sh.mil 458.

Sambamba na hayo alimuagiza katibu tawala mkoani humo(RAS)Zuberi Samataba, kutenga fedha za kuhamisha watumishi wengine idara ya ardhi katika halmashauri hiyo kwani waliopo wanadaiwa kugeuza ofisi hiyo kitega uchumi kwa maslahi yao binafsi.

Mhandisi Ndikilo alisema,kamati ya ulinzi na usalama mkoa iliketi na kupitia nyaraka zote baada ya kumuagiza mkuu wa wilaya kupeleka taarifa ya wilaya ,taarifa ya kutoka kwa mmiliki wa shamba hilo. Kamati hiyo pia iliihitaji taarifa ya mkurugenzi wa halmashauri hiyo,taarifa ya afisa ardhi mteule wa ardhi na kisha walijadiliana kwenda kutembelea eneo husika na kukaa pamoja baina ya pande zote.

Alisema kamati ya ulinzi na usalama mkoa, ililazimika kwenda kufuatilia taarifa iliyoipata kuhusu kumegwa kwa heka 30 za shamba la Youth with A mission na kugawiwa kwa kampuni ya bakhresa food products ambae amelipia kiasi cha sh .mil 458 pekee ikiwa ni katika mchakato wenye mazingira ya kutatatanisha. Kamati hiyo ilishangazwa kampuni hiyo kutoa gharama ya mil.458 wakati kwa thamani ya heka 30 kwasasa ingekuwa atoe bil.4.749 ambazo zingeweza kutumika katika matumizi mbalimbali ya jamii ikiwemo kujengea madarasa,stend,shule ama kununulia madawati .

Mhandisi Ndikilo alieleza kuwa watumishi hao wapo chini ya serikali na halmashauri lakini walikuwa vinara wakubwa kusimamia mchakato huo. “Katika barua ya halmashauri baada ya kamishna wa ardhi kuanza kuhoji juu ya shamba hilo kuna barua ilisainiwa na R.M .Chagie,barua ya tr 8,feb 2016 kwa niaba ya mkurugenzi ,kichwa cha habari cha habari kikisema ombi la kampuni ya bakhresa kumilikishwa shamba namba 1691”

“Barua ya mtumishi huyo alimalizia na kumshauri kamishna kwamba shamba hilo lenye hekari 81,linalomilikiwa kihalali na hati ni mmiliki halali Youth with A mission na ni vigumu kugawiwa kwa mmiliki mwingine labda kama litatwaliwa kwa manufaa ya umma na fidia stahili kwa kufutwa sheria zote’alinukuu . Inasema ni vema muombaji huyu bahkresa ashauriwe kuwasiliana na mmiliki ili kufanya mapatano binafsi na wizara ihusike katika kufanya uhamisho wa umiliki pekee.

Afisa mteule aliyesimama kwa niaba ya halmashauri baada ya kuwasilisha taarifa hiyo ,kamishna msaidizi wa ardhi kanda ya mashariki na timu yake ilikwenda Mkuranga tr 5 may mwaka huu kuthibitisha taarifa hiyo na kuambatana na maafisa ardhi wa Mkuranga na kufanya ukaguzi na mahojiano na mkurugenzi wa taasisi hiyo Jeremiah Kiwinda.

Nae Musa Kichumu kwa niaba ya mkurugenzi aliandika baada ya ukaguzi huo,timu hiyo imeagiza kupatikana kwa uthibitisho wa uraia wa mkurugenzi wa taasisi hiyo na nakala halisi wa umiliki,miktasari ya kijiji,nakala halisi ya ramani na mipango miji. Kisha ilikuja barua iliyoambatanishwa na barua ya ombi la bakhresa kuomba eneo katika shamba hilo,na barua nyingine kutoka wizara husika inayosema kuna uendelezaji wa shamba hilo na umiliki ni halali hivyo eneo limegwe kwa kuanzia heka 3 kwa matumizi ya soko la umma.

Mhandisi Ndikilo alisema, mchakato mzima hauna maslahi mapana kwa halmashauri wala wilaya bali kwa nutunisha mifuko kwa baadhi ya watumishi. Alielezea kuwa wamesitisha mchakato huo unaoendelea kutokana na watumishi hao kuubeba na kuwa vinara wakubwa bila ya kuushirikisha uongozi wa halmashauri wala wilaya. Mhandisi Ndikilo,alipeleka salamu maalumu kwa watumishi wasio waadilifu na wanao vuruga taratibu za kazi, kujitafutia kipato kinyume na sheria na kuacha kushirikisha viongozi wao wa kazi ,kuwa wataishia katika utaratibu huo .

Alimtaka mkurugenzi wa halmashauri ya Mkuranga,kusiamamia watumishi wake na kuchukua hatua kwani mamlaka anayo kwa kufuata sheria . Mwenyekiti wa halmashauri hiyo,Juma abeid alisema walikuwa hawakushindwa kutatua jambo hilo, kutokana ni dogo kwao hivyo ameishangaa kamati ya ulinzi na usalama mkoa.

Kufuati kauli hiyo mhandisi Ndikilo,alimwambia suala hilo sio jepesi kama anavyofikiria na kumuonya kuacha tabia ya kuzungumza maneno ya mzaha kwenye mambo mazito. Mhandisi Ndikilo alisema kutokana na kauli hiyo ndio inazidi kuwatia shaka kwani serikali ya mkoa haifanyikazi kwa kukurupuka wala kubahatisha.

“Hii ni wikendi ,tupo hapa kwani hatuna kazi za kufanya,usiwe mwepesi wa kuongea mambo bila kufikiria,kwahili unanipa wasiwasi ,naomba uache kamati na vyombo vya usalama vifanye kazi yake”alisema mhandisi Ndikilo. Mkurugeni wa Youth with A mission ,Jeremiah Kiwinda ,alisema hakupewa nafasi na kushinikizwa kumega hekari 30 kwa ajili ya kupewa bakhresa food products na mipango ataitekeleza haikusikilizwa.

Kiwinda alisema wakati wanaanzisha taasisi hiyo walipitia ngazi ya kijiji,wanatambulika wilayani,wamesajiliwa na kumiliki eneo kihalali tangu mwaka 1992 na kusajiliwa rasmi mwaka 1999. Mkurugenzi wa halmashauri ya Mkuranga,Injinia Munde Mshamu ,alieleza mchakato uliokuwa ukifanywa na watumishi hao unatia shaka hivyo ameusimamisha hadi atakapojiridhisha.

Alisema hatua ya ufuatuatiliaji,kuanzia mchakato wa ramani,barua zakuhoji inatia mashaka makubwa kwani taarifa iliyowasilishwa na afisa ardhi mteule Chagie na afisa ardhi Musa ilipaswa ifuate hadidu rejea alizowapa akiwa kama mkuu wao wa kazi. Alisema watumishi hao wamekuwa wakitumia nafasi walizonazo na kuvuka nafasi za wengine ambao wangeshirikiana ikiwemo vikao vya madiwani,mkurugenzi na idara ya fedha ambayo ilikuta fedha imeingizwa bila kujua ilipotoka .

Injinia Mshamu alisema suala hilo limeenda kiharaka bila kufuata taratibu za vikao ya kulijadili na badala yake limepelekwa haraka kwa kusimamiwa na watumishi wawili wa idara ya ardhi pasipo kushirikishwa. Nae mbunge wa jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega alimshukuru mkuu wa mkoa kwa kuwa karibu kufuatilia na kusimamia masuala nyeti kama hayo.

Alikana kuhusiaka na kupanga kiwango cha fedha alicholipishwa kamapuni ya Bakhresa food products kama inavyodaiwa. Ulega anasema anajua thamani ya hela na anajua pesa hivyo hawezi kuhusiaka kwa hilo ambapo amelijua likiwa katika hatua za mwisho.

Alisema wakati aliposiki halmashauri imepata fedha kwa mujibu wa sheria ndipo aliposhukuru kupatikana kwa fedha hiyo mil. 458.Shamba namba 1691 lililopo Mwandege ,mali ya taasisi ya Youth with A mission,linamilikiwa kihalali zaidi ya miaka 15 iliyopita na kuendeleza hekari 24 kati ya hekari 81 zilizopo,ambapo kupitia halmashauri iliomba hekari 3 kwa ajili ya ujenzi wa soko ambapo ilipewa.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA KIJI CHA KATUMBA WILAYANI MPANDA,AZINDUA MNARA ULIOJENGWA NA WAKIMBIZI WALIOPEWA URAIA WA TANZANIA

$
0
0
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua mnara uliojengwa na wakimbizi waliopewa uraia wa Tanzania ili kumshukuru Mungu kwa kupewa uraia huo wakati  alipokitembelea kijiji Katumba mkoani Katavi Agosti 21, 2016. Kushoto kwake ni mkewe Mary na kushoto i Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Mstaafu, Raphael Mbuga.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakifurahia baada ya kuzindua mnara uliojengwa na wakimbizi waliopewa uraia wa Tanzania ili kumshukuru Mungu kwa kupewa urais huo wakati Waziri Mkuu alipokitembelea kijiji Katumba mkoani Katavi Agosti 21, 2016. Kushoto kwake ni mkewe Mary na kushoto i Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Mstaafu, Raphael Mbuga.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi baada ya kuzindua mnara uliojengwa na wakimbizi waliopewa uraia wa Tanzania katika kijiji cha Katumba  mkoani Katavi  Agosti 21, 2016 ili kumshukuru Mungu kwa kupewa uraia huo. Kushoto kwake ni mkewe Mary na kulia ni Mkuu wa mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Raphael Mbuga.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Makazi ya Wakimbizi ya Katumba mkoani Katavi, Bwbana Igwe  baada ya kuwasili kambini hapo kuzunguma na wananchi akiwa katika ziara ya mkoa wa Katavi Agosti 21, 2016.  Wapili kulia ni mkewe Mary. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa kijiji cha Katumba mkoani Katavi wakati alipoingia kwenye kijiji hicho kuzungumza na wananchi akiwa katika ziara ya mkoa wa Katavi Agosti 21, 2016. Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Raphael Mbuga
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa kijiji cha Katumba mkoani Katavi wakati alipoingia kwenye kijiji hicho kuzungumza na wananchi akiwa katika ziara ya mkoa wa Katavi Agosti 21, 2016. Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Raphael Mbuga
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akionyesha Mpango wa Mafunzo ya Ujasiriamali katika jimbo la Nsimbo mkoani Katavi aliouzindua  kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Katumba akiwa katika ziara ya mkoa huo Agosti 21, 2016. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia Mkutano wa hadhara katika kijiji cha Katumba mkoani Katavi Agosti 21, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Katumba mkoani Katavi wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo akiwa katika  ziara ya mkoa wa Katavi Agosti 21, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya baiskeli za wananchi wa kijiji cha Katumba wilayani Mpanda wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Mkutano wa hadhara kijijini hapo akiwa katika ziara ya mkoa wa Katavi Agosti 21, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMEWATAKA WATENDAJI WA IDARA YA MAZINGIRA KTIKA OFISI YAKE WAJIPANGE VIZURI KWA AJILI YA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA KIMAZINGIRA MJINI DODOMA

$
0
0
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa kuhitimisha kikao cha kazi kilichodumu kwa siku mbili ambao alipokea na kujadili masuala mbali mbali yanayohusu mazingira, kulia ni Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba.
 Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akichangia jambo wakati wa kikao kazi cha Idara ya Mazingira kilichoongozwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu  Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Watendaji wa Idara ya Mazingira na Wakuu wa Vitengo, waliokaa pamoja na Makamu wa Rais kushoto ni  Waziri Nchi  Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba na kulia ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais  Ndugu Mbaraka Abdulwakil.
                                   .....................................................................
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji wa Idara ya Mazingira katika ofisi yake wajipange vizuri kwa ajili ya kufanya tathmini ya athari za kimazingira mjini Dodoma wakati serikali ikijiandaa kuhamia kwenye mji huo.

Makamu wa Rais ametoa kauli hiyo 21-Aug-16 alipokuwa akifunga mkutano wa kazi wa siku mbili na watendaji wa Idara ya Mazingira ambapo walijadili namna ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira unaoendelea kote nchini.
Ameeleza kuwa hatua hiyo itasaidia kuuweka mji wa Dodoma salama kimazingira ikiwemo ubora wa miundombinu za maji taka.

Makamu wa Rais amesema kutokana na idadi kubwa ya watu hasa watumishi ambao watahamia Dodoma bila miundombinu imara hali ya uchafuzi wa mazingira itakuwa si nzuri hivyo ni muhimu kwa watendaji hao kuweka mipango na mikakati madhubuti ya kuhakikisha mji wa Dodoma hautaathirika kimazingira.

Kuhusu utendaji kazi wa watumishi wa ofisi yake amewataka watumishi wote kufanya kazi kwa ushirikiano na kwa uwazi katika matumizi ya fedha za miradi na hasa  inayohusika na uhifadhi wa mazingira jambo ambalo litaondoa manung'uniko miongoni mwa watumishi na wananchi kwa ujumla.

Amesema ushirikiano huo miongoni mwa watumishi utasaidia kwa kiasi kikubwa ufanisi katika kazi za kila siku ili kufikia malengo waliyojiwekea.
Makamu wa Rais amesema ataendelea na utaratibu wa kukutana na watumishi kila baada ya miezi 4 katika ngazi ya viongozi kama hatua ya kujitathmini katika mipango ya kazi waliyojiwekea.
Viewing all 46379 articles
Browse latest View live




Latest Images