Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46201 articles
Browse latest View live

SERIKALI YASITISHA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KUPISHA ZOEZI LA KUMALIZA UPUNGUFU WA MADAWATI NCHINI

0
0
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

SERIKALI imetoa tamko la kuhairisha mashindano ya umoja wa michezo na Taaluma kwa shule za Msingi na Sekondari Tanzania (Umitashumta na Umisseta) ili kupisha zoezi la kumaliza upungufu wa madawati kwa shule za msingi na sekondari hadi hapo yatakapotangazwa tena.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo, Waziri wa ofisi ya Rais Tamisemi, George Simbachawene amesema mashindano hayo yameahirishwa ili kupisha zoezi la kumaliza upungufu wa madawati kwenye shule za msingi na sekondari kwani wadau muhimu wa mashindano hayo wote wanahitajika katika kumaliza tatizo hilo.

Amesema kuwa mpaka jana zilikuwa zimebaki siku 17 tu ambazo Rais John Magufuli alikuwa amezitoa kwa ajili ya kumaliza tatizo la upungufu wa madawati nchini hivyo amewataka wadau wote wa mashindano hayo kuvuta subira hadi hapo zoezi hilo litakapomalizika ndipo waendelee na mashindano hayo.

Amesema mashindano hayo yanashirikisha viongozi wote katika ngazi ya halmashauri, mikoa na wizara ambapo viongozi hao ndio wanaoshiriki katika kusimamia na kufanya ufutiliaji wa zoezi la utengenezaji wa madawati kama alivyoagiza Rais Magufuli.

“Kwa vile muda uliobaki kutekeleza agizo la Mheshimiwa Rais la utengenezaji wa madawati ni finyu kwa maana siku 17 tu, serikali imeona ni busara sana kuahirisha michezo hiyo ili nguvu zote zielekezwe kwenye utengenezwaji wa madawati na michezo hiyo itafanyika tarehe nyingine itakayopangwa na kutangazwa,” amesema Simbachawene.

Ameongeza kuwa, “Nitoe wito kwa walimu wetu waendelee kuwahimiza wachezaji wote walioteuliwa kuendelea na mazoezi katika shule zao wanazosoma, hii itakuwa ni sehemu ya kujitayarisha kwa ajili ya mashindano hayo muhimu mara yatakapopangwa.”

Michezo ya Umisseta ilipangwa kufanyika kitaifa Jijini Mwanza ambapo ilitakiwa ianze June 13 hadi 22 mwaka huu huku ile ya Umitashumta ilipangwa kuanza June 25 hadi Julai 5 mwaka huu ikiwashirikisha jumla ya washiriki 6,200.

MANISPAA YA ILALA KUKUSANYA MAPATO KWA KUTUMIA KIKOSI KAZI.

0
0
 Mkurugenzi wa Manispaa  ya Ilala, Isaya Mngurumi akizungumza na wandishi wa habari juu ya hatua zilizochukuliwa na Manispa hiyo kwa wadaiwa Sugu wa mapato na ushuru mbalimbali, (Kulia) ni Meya wa Manispaa hiyo Charles Kuyeko na Naibu Meya , Omary Kambilamoto.
Naibu Meya , Omary Kambilamoto Akishusha mabango yaliyowekwa bila kulipa ushuru.

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala imeunda kikosi kazi maalum cha kukusanya mapato ili kuweza kufikia malengo waliyojipangia ya Sh. Bilioni 55.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mungurumi amesema kikosi hicho kimeweza kukusanya sh.bilioni moja kwa wiki huku ikiwa lengo ya kukusamya sh.bilioni 15 kwa mwezi mmoja.

Amesema kuwa katika ukusanyaji wa mapato hayo wamebaini kuwepo kwa watu wenye leseni feki za biashara pamoja na vibali feki vya ujenzi wa maghorofa katika manispaa ya Ilala.
Mungurumi amesema kuwa watu wamejenga maghorofa bila   kuwa na  sehemu ya  kuegesha magari  ambapo ni kosa na kutakiwa wote waliofanya hivyo kujisalimisha.

Aidha amesema kuwa wataendelea kupambana watu wanaokwepa kodi za manispaa ambazo ndizo zinazofanya kuboresha huduma kwa wananchi ya kuweza kupata maji safi na salama, upatikanaji wa madawati pamoja na ujenzi wa miundombinu mbalimbali.

Naye Meya wa Manispaa hiyo, Charles Kuyeko amesema kuwa manispaa inafatilia vyanzo vyote vya mapato ili kuweza kufikia malengo yao.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Isaya Mungurumi akizungumza na waandishi wa habari juu kikosi kazi cha ukusanyaji mapato katika manispaa hiyo leo jijini Dar es Salaam,

Rais Magufuli awaapisha Mawaziri Mhe. Mwigulu Nchemba na Mhe. Charles Tizeba

0
0


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

Simu: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Tovuti : www.ikulu.go.tz              

Faksi: 255-22-2113425


OFISI YA RAIS,
      IKULU,
 1 BARABARA YA BARACK OBAMA,  
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 13 Juni, 2016 amewaapisha mawaziri wawili kufuatia mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri aliyoyafanya Jumamosi tarehe 11 Juni, 2016.

Mawaziri walioapishwa leo Ikulu Jijini Dar es salaam ni Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba aliyeapishwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.

Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi anakwenda Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, akitokea Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.Waziri mwingine ni Dkt. Charles John Tizeba ambaye ameapishwa kuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Dkt. Charles John Tizeba ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Buchosa aliteuliwa na Rais Magufuli kuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi kuanzia tarehe 11 Juni, 2016.

Hafla ya kuapishwa kwa Mawaziri hao imehudhuriwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa.

Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
13 Juni, 2016 .

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Mwigulu Nchemba akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Tizeba akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.PICHA NA IKULU.

ESRF YAKUTANISHA WANAZUONI KUANDAA RIPOTI YA MAENDELEO YA BINADAMU TANZANIA

0
0
MAANDALIZI ya Ripoti ya pili ya Maendeleo ya Binadamu (THDR) inayotarajiwa kuzinduliwa Juni 2017 yamefikia katika ngazi ya mwisho ya ukusanyaji wa maoni ya kitaalamu katika mada mbalimbali zinazojadiliwa katika ripoti hiyo.

Maandalizi hayo yanayowezeshwa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Kijamii (ESRF) kwa msaada wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) na wadau wengine yanafanyika kwa mfumo wa warsha ya siku mbili jijini Dar es salaam, jana Jumatatu na

Katika warsha hiyo ya rasimu ya pili na ya mwisho kabla ya uhariri, inajadiliwa na wanazuoni kupitia mada 11 ambazo zitakuwapo katika taarifa hiyo ya Maendeleo ya Binadamu ya mwaka 2017.

Warsha hiyo ya siku mbili itatoa msingi wa Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu nchini kwa kuangalia Sera ya hifadhi ya jamii katika muktadha wa mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania.

Miongoni mwa mada zilizojadiliwa jana baada ya ufunguzi wa kongamano hilo uliofanywa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Kijamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida ni usambazaji wa maji kwa kuangalia sera, fedha na upatikanaji wake; elimu; sera ya jamii na mabadiliko ya kiuchumi; na hifadhi ya jamii.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Kijamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida akifungua warsha ya siku mbili iliyowakutanisha wanazuoni kuandaa Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu Tanzania ya mwaka 2017 jijini Dar es Salaam. (Picha na Modewjiblog)

Akifungua kongamano hilo Dkt. Kida aliwataka wadau wote kutambua kwamba kazi wanayoifanya ni ya muhimu sana kwa taifa kwani imekuwa chanzo cha upangaji wa mipango ya maendeleo na namna inavyostahili kuwa.

Alisema mpango wa pili wa maendeleo nchini kuelekea uchumi wa kati umechukua fikra na falsafa nyingi kutoka katika taarifa ya Maendeleo ya Binadamu iliyofanyiwa mwaka 2014 na kuzinduliwa mwaka 2015.

Mpango wa maendeleo wa pili wa miaka mitano uliozinduliwa wiki iliyopita umetumia vionjo vingi kutoka katika ripoti iliyopita na hivyo ni vyema wadau wakachangia mada hizo na kuzipa uhai mkubwa zaidi kwa manufaa ya Ripoti ijayo alisema Dkt. Kida.

Aidha aliwataka wahusika wote kuwa karibu na ESRF wakati wa uandishi wa mwisho ya ripoti hiyo baada ya kumalizika kwa kongamano hilo.
Mtafiti mwandamizi mshiriki na Mshauri wa kiufundi wa mradi wa THDR, Marc Wuyts akizungumzia mada ya uhusiano wa sera ya jamii na mabadiliko ya kiuchumi katika warsha hiyo ya siku mbili inayoendelea jijini Dar esSalaam.

Akizungumza uhusiano wa sera ya jamii na mabadiliko ya kiuchumi (Situating Social Policy in social economic transformation: A conceptual Framework) Mtafiti mwandamizi mshiriki na Mshauri wa kiufundi wa mradi wa THDR, Marc Wuyts alisema iko haja ya kutambua kwamba mabadiliko ya kiuchumi yatafanikiwa kwa kuongeza ufanisi na tija ya kiuchumi kabla ya kugawa manufaa yake kuimarisha huduma za kijamii.

Alisema kukosekana kwa maunganisho na kuanza kutekeleza sera za jamii na kusahau misingi ya kuinua uchumi, ndio uliokwamisha siasa za Ujamaa na kujitegemea za Rais Julius Nyerere.

Alisema ipo haja kubwa ya kutambua muunganiko na kipi kinafaa kuanza kwanza ili kufanikisha maendeleo na ustawi wa binadamu na kutahadharisha kwamba tafiti yoyote ambayo haitazingatia ukuaji wa uchumi kwanza hayatapeleka taifa hili katika uchumi wa kati.

Alisema utekelezaji wa mpango wa Mkukuta utafanikiwa ikiwa kutaangaliwa namna ya kuunganisha mpango huo na sera ya maendeleo ya kupeleka taifa katika uchumi wa kati.

Kumekuwa na dhana kwamba utekelezaji wa sera zinazonyanyua hifadhi ya jamii kunaimarisha uchumi lakini huwezi kutumia ambacho hujakizalisha.
Profesa Flora Kessy kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es salaam akizungumzia upatikanaji wa maji, usambazaji, gharama na sera zake wakati wa kujali vipengele muhimu katika taarifa ya Maendeleo ya Binadamu ya mwaka 2017 katika warsha ya siku mbili inayoendelea jijini Dar es Salaam.

Mtaalamu huyo alisema kwa kufanya kitendo hicho unakuwa unakwamisha maendeleo ya kiuchumi kwa kuwa umetumia ambacho hujakizalisha.

Imani kuwa elementi zilizomo katika hifadhi ya jamii zinachochea ukuaji wa uchumi, ndio kisa kilichuokwamisha siasa ya ujamaa.

Mtaalamu huyo anaamini katika mada yake kwamba ujamaa ulijali zaidi kuwaweka watu katika hali bora na kusahau kushughulika na masuala ya kiuchumi na hivyo kuikwamisha siasa hiyo.

Alisema ustawi wa jamii kama usipoangaliwa hukwamisha ukuaji wa kiuchumi.

Mtaalamu mwingine Profesa Flora Kessy kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es salaam alizungumzia upatikanaji wa maji, usambazaji, gharama na sera zake (Water Provision in Tanzania- Access Financing and Policy Trends).
Profesa wa Elimu na Menejimenti yake, kutoka Shule Kuu ya Elimu, Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), Herme Mosha akichambua kipengele cha elimu katika kuendeleza maarifa nchini wakati wa warsha hiyo ya siku mbili iliyowakutanisha wanazuoni kuandaa Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu Tanzania ya mwaka 2017 jijini Dar es Salaam.

Katika mada yake alisema kwamba bado kuna tatizo kubwa la utumiaji wa maji katika usafi na pia matumizi ya vyoo. Alisema japokuwa kumekuwepo na maendeleo katika matumizi ya vyoo, asilimia 11.5 hawana vyoo kabisa.

Aidha alitaja mikoa ya Mara, Arusha na Manyara kuongoza kwa kutokuwa na vyoo huku akisema wastani asilimia 7.5 hawana vyoo na Mara ikiongoza katika kundi hilo.

Mikoa yote hiyo ni ya wafugaji labda tabia zao za kuhamahama na mifugo yao zinachangia. Pia profesa huyo alisema kwamba matumizi ya maji unaweza kuona kama yapo ya kutosha kwa kuangalia suala la uoshaji mikono.

Alisema watu hawaoshi mikono kwa maji na sabuni na mkoa wa Dare s salaam unaongoza sana katika hilokwa wastani wa asilimia 21 huku maeneo mengine yakiwa katika wastani wa 7 hadi 9. Alisema upatikanaji wa maji ni muhimu katika kuonesha maendeleo ya binadamu.
Pichani juu na chini ni sehemu ya washiriki wakiwasilisha maoni yao katika warsha ya rasimu ya pili na ya mwisho kabla ya uhariri, inayojadiliwa na wanazuoni hao kupitia mada 11 ambazo zitakuwapo katika taarifa ya Maendeleo ya Binadamu ya mwaka 2017.

Naye Profesa wa Elimu na Menejimenti yake, kutoka Shule Kuu ya Elimu, Chuo Kikuu cha Dar es salaam Herme Mosha, akichambua elimu katika kuendeleza maarifa alizungumzia tatizo la hesabu nchini na kutaka juhudi za makusudi kuchukuliwa kukabiliana nalo kwani maendeleo ya rasilimali watu katika stadi ni muhimu sana kufikia uchumi wa kati.

Alipongeza serikali kwa kuweka uwiano mzuri wa jinsia katika shule na pia ongezeko la fedha kwa ajili ya maabara na uboreshaji wa elimu nchini.

Aidha amesema kwamba maamuzi ya makusudi ya serikali kurejesha vyuo vya kufunza stadi badala ya kuwa vyuo vikuu utasaidia kuwepo kwa wataalamu wanaostahili katika kufanikisha mapinduzi ya viwanda.

Mwenyekiti wa warsha hiyo ya siku mbili Prof. Amon Mbelle akitoa mwongozo wakati wa kupitia na kufanyia maboresho rasimu ya pili na ya mwisho kabla ya uhariri wa Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu Tanzania ya mwaka 2017 jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Kijamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida.
Pichani juu na chini ni sehemu ya wanazuoni wanaoshiriki kwenye warsha ya siku mbili ya kupitia na kufanya maboresho katika Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu Tanzania ya mwaka 2017 inayoendelea jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Kijamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wanazuoni wanaoshiriki kwenye warsha ya siku mbili ya kupitia na kufanya maboresho kwenye Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu Tanzania ya mwaka 2017 jijini Dar es Salaam.

Msemaji wa serikali azungumza na Diaspora.......Jukwaa Langu Juni 13 2016

0
0

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga
Photo Credits: Wavuti.com
Katika kipindi hiki, tumezungumza na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga ambaye ameeleza kuhusu nafasi na wajibu wa serikali kwa waTanzania waishio Diaspora.Pia amegusia wajibu wa waTanzania hao kwa nchi yao na kujibu maswali mbalimbali
Karibu

KUTOKA MAGAZETINI LEO

0
0

DAWASCO YAAHIDI KUPUNGUZA KIWANGO CHA UPOTEVU WA MAJI KWA ASILIMIA 45

0
0

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dawasco, Cyprian Luhemeja, akizungumza na waandishi wa habari juu ya operesheni ya kudhibiti mabomba ya maji ya nayovujisha pamoja na Kuwaunganishia maji jijini Dar es Salaam
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dawasco, Cyprian Luhemeja akiongoza operesheni ya kudhibiti mabomba ya maji ya nayovujisha jijini Dar es Salaam.
Mafundi wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dawasco wakiendelea na operesheni ya kudhibiti mabomba ya maji ya nayovu, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dawasco,Cyprian Luhemeja akimkabidhi ndoo ya maji Bi Asha Muhamed malabaada ya kumrejeshea maji nyumbani kwake Sinza leo jijini Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii).



SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limesema linatarajia kupunguza kiwango cha upotevu wa maji hadi kufikia asilimia 45 mwishoni mwa mwezi huu.

Akizungumza wakati wa operesheni ya kudhibiti mabomba ya maji ya yanayovujisha pamoja na Kuwaunganishia maji wateja waliokatiwa kutokana na madeni katika mtaa wa Sinza jijini Dar es Salaam, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dawasco, Mhandisi, Cyprian Luhemeja, amesema kuwa wamefanikiwa kupunguza upotevu wa maji kutoka asilimia 62 hadi kufikia asilimia 47 kutokana na opresheni ambazo wamezifanya.

Amesema kuwa, kwa siku mitambo ya inazalisha maji yenye thamani ya Sh.Bilion 11 ukipoteza maji kwa asilimia 45 ni sawa na kupoteza Sh.Bilioni 5. Amesem, upotevu wa maji unapunguza juhudi za Serikali za kupunguza tatizo la maji vijijini kutokana na hasara kubwa inayopatikana kwa upotevu wa maji. Amesema kuwa wanatumia kubwa gharama ya kutibu maji kwa dawa lakini maji hayafiki kwa wateja kwani yanaishia njiani kutokana na miundombinu mingi kuwa ya zamani.

Luhemeja amesema suala la kutengeneza miundombinu yote inayopoteza maji njiani na wameanzia eneo la Sinza E katika mitaa 26 kutengeneza mabomba hayo. Aidha amesema katika hatua nyingine alitoa ofa ya kumlipia kiasi cha Sh.200,000 Asha Muhammed mkazi wa Sinza E aliyekatiwa maji kwa kudaiwa ankara kwa muda mrefu na kushindwa kulipa kutokana na ugumu wa maisha.

Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Sinza E, Kassim Kabulluh, alisema eneo lake lilikuwa na kero kubwa ya maji kuvuja na kusababisha uharibifu wa barabara.

Profesa Muhongo aelezea mikakati Sekta za Nishati na Madini, Benki ya Dunia yafurahishwa na utekelezaji wake

0
0
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akiongoza kikao kilichoshirikisha Watendaji kutoka Benki ya Dunia pamoja na watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini na taasisi zake ikiwa ni pamoja na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) na Wakala wa Serikali wa Uagizaji wa Mafuta ya Pamoja (PBPA). Mtendaji Kutoka Benki ya Dunia anayeshughulikia mazingira Vladislav Vucetic, akielezea mikakati ya benki hiyo katika ushirikiano wake na Serikali ili kupanua sekta za nishati na madini. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Profesa Justin Ntalikwa (kushoto waliokaa mbele) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya Nishati Dkt. Juliana Pallangyo ( wa pili kutoka kushoto waliokaa mbele) wakifuatilia kwa makini maelekezo
Na Greyson Mwase, Dar es Salaam

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ameelezea mikakati ya Serikali katika uboreshaji wa sekta za nishati na madini na kuongeza kuwa Serikali ipo tayari kushirikiana na Benki ya Dunia (WB) katika uboreshaji wa sekta hizo ili ziwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi.

Profesa Muhongo aliyasema hayo alipokutana na Watendaji kutoka Benki ya Dunia pamoja na watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini na taasisi zake ikiwa ni pamoja na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) na Wakala wa Serikali wa Uagizaji wa Mafuta ya Pamoja (PBPA)

Akizungumzia Sekta ya Nishati nchini Profesa Muhongo alisema kuwa serikali imeweka mikakati mbalimbali ya kuhakikisha kuwa Sekta ya nishati inakuwa na mchngo mkubwa katika ukuaji wa uchumi na kutoka katika kundi la nchi masikini duniani na kuingia katika kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025 kama Dira ya Maendeleo ya Taifa ifanvyofafanua

Aliongeza kuwa, Serikali kwa mara ya kwanza imetenga asilimia 40 ya bajeti yake katika miradi ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ya umeme na kuendelea kufafanua kuwa katika bajeti ya Wizara ya mwaka wa fedha 2016/17, Wizara imetenga asilimia 94 ya bajeti yake katika miradi ya maendeleo, ambapo katika Idara ya Nishati asilimia 98 itakwenda kwenye miradi ya umeme.

Waziri Muhongo alisema kuwa ili kuimarisha Sekta ya Nishati, Wizara imepanga kupanua sekta ya nishati kwa kukaribisha wawekezaji binafsi kuwekeza katika sekta ya uzalishaji na uuzaji wa umeme pamoja na kuwapo kwa mwongozo utakaowawezesha kuzalisha umeme.

Alindelea kusema kuwa Wizara inatarajia kuimarisha usambazaji wa umeme vijijini kwa kushirikiana na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na TANESCO.

Profesa Muhongo aliendelea kutaja mikakati mingine kuwa ni pamoja na kuimarisha mradi wa usambazaji wa umeme wenye msongo wa kilovolti 400 kupitia Iringa, Mbeya, Tunduma hadi katika eneo la Kabwe nchini Zambia na kusisitiza kuwa upembuzi yakinifu unatarajia kukamilika mapema Desemba mwaka huu kabla ya kuanza kwa mradi.

Aliendelea kutaja miradi mingine kuwa ni pamoja na mradi wa usambazaji umeme kupitia Mbeya, Sumbawanga, Mpanda, Kigoma, Nyakanazi na kuiomba Benki ya Dunia kushirikiana na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) ili kufanikisha mradi huo.

“Kuna mradi wa kuunganisha Tanzania na Uganda ujulikanao kwa jila la Tanzania – Uganda inter-connector unaounganisha Mwanza, Geita, Nyakanazi, Kyaka- Bukoba hadi Masaka nchini Uganda.

Akizungumzia Sekta ya Gesi Profesa Muhongo alieleza kuwa serikali imeweka mkakati wa kuhakikisha nishati ya gesi inatumika ipasavyo katika uzalishaji umeme pamoja na kusambazwa katika matumizi ya majumbani.

Aliongeza kuwa serikali imeweka mikakati ya kusambaza gesi majumbani kwa ajili ya matumizi ya kupikia katika mikoa ya Dar es salaam, Lindi, Mtwara na katika maeneo mengine ya Pwani.

Akielezea Sekta ya Madini Profesa Muhongo aliiomba Benki ya Dunia kusaidia katika ununuzi wa vifaa vya madini kwa wachimbaji wadogo pamoja na katika kuwapatia elimu kuhusu mazingira, uchenjuaji wa madini na kuongeza ajira hususan katika maeneo ya madini yaliyopo vijijini

Naye Mtendaji Kutoka Benki ya Dunia anayeshughulikia mazingira Vladislav Vucetic alisema Benki ya Dunia ipo tayari kushirikiana na Serikali katika uendelezaji wa sekta za nishati na madini ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.

TUKUMBUSHANE TU KUHAKIKI SIMU YAKO

0
0

ZAIDI YA WAKAZI 4000 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI PANGANI

0
0
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mh Martine Shigella mwenye suti katikati akitazama mradi wa Maji  wa Boza-Kimang’a wa kwanza kushoto ni Mhandisi wa Maji Wilaya ya Pangani,Mohamed Seif na kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Ahmed.
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mh Martine Shigella mwenye suti akiingia kwenye tanki la kuhifadhia maji.

ZAIDI ya wakazi 4009 wa Kijiji cha Boza Kimang’a wilayani Pangani Mkoani  Tanga watanufaika na mradi wa huduma ya maji kupitia program ya maji na usafi wa mazingira vijijini (NRWSSP) katika mpango wa vijiji vya nyongeza.


Hayo yalisemwa juzi na Mhandisi wa Maji wilaya ya Pangani, Mohamed Seif wakati akitoa taarifa ya ujenzi wa mradi wa maji Boza-Kimang’a kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella aliyefanya ziara ya kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo.

Alisema kuwahadi sasa kisima kirefu kimekwisha kuchimbwa na usanifu wa mradi huo umefanyika na mkandarasi aliyeshinda zabuni ya ujenzi wa miundombinu ya kusambaza maji Saxon Building Contractor na kusimamiwa na Mtaalamu mshauri Don Consult Limited.

Mhandisi huyo alisema mradi huo ambao umeanza February 19 mwaka huu na kutarajiwa kukamilika Novemba 19 ukigharimu kiasi cha sh.milioni 884.4 ambapo shughuli zitakazofanyika ni uchimbaji wa kisima kirefu,ujenzi wa nyumba ya kuhifadhia mashine,ujenzi wa matenki mawili ya kuhifadhia maji.

Aliongeza kazi nyengine ni ujenzi wa vituo 16 vya kuchotea
maji,kununua na kufunga mashine za kusukuma maji,kununua na kufunga mabomba ya viungio ikiwemo kuvuta umeme kwenye eneo hilo la mradi.

Akizungumza wakati akizundua mradi huo,Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella aliwataka wananchi kuhakikisha  wanautunza vema ili uweze kuwasaidia wao na vizazi vijavyo ikiwemo kuacha kuharibu vyanzo vya maji.


Picha na stori kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha.

Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an Zanzibar Masjid Loota Kiembesamaki Zanzibar leo

0
0



Mgeni rasmin katika Uzinduzi wa Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qura-an Zanzibar yalioandaliwa na Jumuiya ya Kihifadhi Quran Zanzibar Naibu Kadhi Mkuu Zanzibar Shekh.Hassan Othma Ngwali(katikati) Amiri wa Jumuiya ya Kuhifadhi Quran Zanzibar Mwalim Suleiman Omar Naimi Amiri Kuhifadhisha Quran Zanzibar Shekh. Mohammed Alawi Ally, wakifuatilia mashindano hayo yaliowashirikisha Wanafunzi wa Vyuo vya Quran Zanzibar,Tanga Pwani na Morogoro. 

Viongozi wa Jumuiya ya Kuhifadhisha Qur-an Zanzibar wakifuatilia mashindano hayo yanayofanyika katika Masjid Loota Kiembesamaki Zanzibar na kuwashirikisha Vijana wa Umri mbali.
Viongozi wa Kamati ya Kuhifadhi Qur-an wakiwa katikac Masjid Loota Kiembesamaki wakifuatilia Wanafunzi wakisoma Qur-an wakati wa mashindano hayo yalioandaliwa na Jumuiya ya Kuhifadhisha Qur-an Zanzibar.

Mshiriki wa Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an kutoka Zanzibar Mwanafunzi Shakir Hamad Juma. akisoma Qur-an katika mashindano hayo yalioandaliwa na Jumuiya ya Kuhifadhi Qur-an Zanzibar. yaliowashirikisha Wanafunzi 27 Kutoka Zanzibar, Tanga, Pwani na Morogoro.Imetayarishwa na Mtandao wa Zanzinews.com.

Washiriki wa Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an Zanzibar wakiwa katika Masjid Loota wakisubiri zamu zao kushiriki mashindano hayo. yanayoshindanisha Wahifadhi Qur-an Juzuu 5.10,20 na 25.
Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia mashindano ya kuhifadhi Qur-an yanayofanyika katika Masjid Loota Kiembesamaki Unguja Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Majaji wa Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an Zanzibar wakiwa makini kufuatilia usomani wa Wanafunzi hao katika mashindano hayo.
Watoa Aya za Qur-an kwa Washiriki wa Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an Zanzibar wakitoa Aya kwa Washiriki hao.
Mshinriki wa Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an Juzuu 10 kutoka Zanzibar Mwanafunzi Khayyam Mohammed mwenye umri wa miaka 13. akisoma Qur-an wakati wa mashindano hayo yanayofanyika katika Masjid Loota Kiembesamaki leo 14/6/2016.
Mwanafunzi kutoka Zanzibar Mussa Hamad mwenye umri wa miaka 9 akishiriki katika mashindano hayo ya kuhifadhi Juzuu 10, yanayofanyika katika Masjid Loota kiembesamaki Unguja

RAIS DK. SHEIN AONANA NA BALOZI WA CHINA

0
0


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Sein,akisalimiana na Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Watu wa China anayefanyia kazi Zanzibar Mhe,Xie Yunliang alipofika Ikulu Mjni Zanzinar leo kwa ajili ya kuaga,[Picha na Ikulu.] 14/06/2016. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Sein,akizungumza na Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Watu wa China anayefanyia kazi Zanzibar

DDCA yasaidia kupunguza tatizo la upatikanaji wa maji nchini.

0
0
 Mkuu wa kitengo cha Masoko na Uhusianao wa Wakala wa Uchimbaji Visima na Mabawa (DDCA) Bw. Nungu Egwagwa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu miradi iliyokwisha tekelezwa na wakala huo tangu kuanzishwa kwake ikiwemo kuwezesha upatikanaji wa maji yenye ujazo wa mita zaidi ya milioni 23,000  kutokana na uchimbaji wa visima na Mabwawa.Kushoto ni Afisa Masoko na Uhusiano Bi. Ashura Katuga kutoka wakala huo.

Frank Mvungi-Maelezo

Wakala wa Uchimbaji visima na Mabwawa (DDCA) Umewezesha kupatikana kwa maji yenye ujazo wa mita zaidi ya milioni 23,000 kutokana na uchimbaji wa visima na mabwawa uliofanywa na wakala huo katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mkuu wa kitengo cha masoko na Uhusianao wa wakala huo Bw. Nungu Egwagwa wakati akitoa taarifa kuhusu miradi iliyokwisha tekelezwa na wakala huo tangu kuanzishwa kwake.

Akifafanua Egwagwa amesema kuwa lengo la wakala huo ni kusaidia kutatua tatizo la upatikanaji wa maji kwa kuchimba visima na mabwawa kwa gharama nafuu ambazo wananchi walio wengi wanamudu.

“Tunachokifanya ni kutoa huduma zaidi kuliko kufanya biashara kama Taasisi ya Serikali tukiwa na dhamira ya kusaidia wananchi kuwa na visima na mabwawa yenye ubora unaotakiwa”.Alisisitiza Egwaga.

Akizungumzia miradi iliyotekelezwa na Wakala huo, Egwaga amesema kuwa mpaka sasa Wakala umekwishajenga mabwawa 23 katika kipindi cha januari 1997 hadi june,2016 katika mikoa mbamimbali ikiwemo Tanga,Shinyanga, Tabora, Mtwara naPwani.Akitaja mikoa mingine ambako mabwawa hayo yamejengwa Egwaga alisema kuwa ni Ruvuma,Manyara,Mbeya, mwanza, Lindi na Mara.

Akitoa mfano wa miradi ya uchimbaji visima Egwaga alisema kuwa moja ya miradi iliyotekelezwa ni ule wa kuchimba visima katika chuo Kikuu cha Dodoma hali iliyosaidia kuondoa kabisa tatizo la maji katika chuo hicho na katikamanispaa ya Dodoma.

Pia Egwaga alitoa wito kwa watanzania kutumia huduma zinazotolewa na wakala huo ikiwemo kufanya utafiti wa maeneo yanayofaa kuchimba visima virefu,kujenga malambo na mabwawa,kupima wingi na ubora wa maji yatokayo kwenye visima na ujenzi wa miradi midogomidogo ya mifumo ya usambazaji maji.

Madhumuni ya DDCA ni kuongeza kasi ya kutafuta na kuviendeleza vyanzo vya maji kwa gharama nafuu ili kuboresha huduma ya upatikanaji maji safai na salama na kutosha kwa matumizi mbalimbali yakiwemo ya majumbani,mashambani,mifugo,ufugaji samaki na viwandani.

NAIBU WAZIRI WA NCHI MAZINGIRA NA MUUNGANO AWAZAWADIA WASHINDI WA TAMASHA LA AJIRA NA UJASIRIAMALI

Next: BALOZI wa China nchini Tanzania, Dkt. LU Younqing, akitolewa damukwenye maabara kuu ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), wakati wa siku ya uchangiaji damu nchini, Juni 14, 2016. Balozi huyo aliongoza maafisa katikaofisi yake na madaktari wa Kichina wanaojitolea kwenye hospitali hiyo ili kuunga mkono juhudi za kupunguza upungufu wa damu.(PICHA NA KVIS MEDIA/KHALFAN SAID) NA K-VIS MEDIA/KHALFAN SAID BALOZI wa China nchini Tanzania, Dkt. LU Youqing, leo Juni 14, 2016 ameungana na Wataznania kujitokeza kuchangia damu kwenye Hospitaliya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam, wakati taifa likiwa limeitangaza siku hii ya leo kama siku ya taifa ya kuchangia damu. "Nimekuwa nikisoma kwenye magazeti Muhimbili yakabiliwa na upungufu wa damu, ndio maana leo nimekuja kuchangia damu." Alisema Balozi huyo wakati akinywa chai ya rangi baada ya kutolewa damu.Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, mtu aliyetolewa damu hupaswa kunywachai ya rangi au kinwaji chochote baridi kama juisi au soda. Balozi huyo hakuchangia damu peke yake bali maafisa wa ubalozi aliofuatana nao, Bw.XU Jingchum kutoka idara ya Diplomasia ya umma na habari, na Bw.Song. Hali kadhalika madaktari kadhaa wa Kichina wanaojitolea pale hospitali ya Taifa Muhimbili nao walijitolea damu. Baada ya kutolewa damu Balozi huyo mcheshi, alikabidhiwa cheti na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Makwaia Nakani, kama isharaya kutambua mchango wake wa damu. Baada ya kukabidhiwa balozi huyo alikaribishwa kwa chai ya rangi. Awali Balozi huyo alifanya mazungumzo mafupi na uongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, (JKCI), ambayo jengo lake lilijengwakwa msaadawa serikali ya China. Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Profesa Mohammed Janabi, aliishukuru China kwa msaada wake katika sekta ya Afya na kutolea mfano madaktari wa China ambao kwa sasa wanafanya kazi kwenye Hospitali hiyo. Naye Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Makwaia Makani alimpongeza balozi huyo wa China kwa niaba ya nchi yake kwa msaada mkubwa ambapo China imekuwa ikiisaidia Tanzania katika maeneombalimbali ikiwemo sektaya afya. "Timu ya madaktari kutoka China, wamekuwa wakifanya kazi kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili tangu mwaka 1968 bila kuchoka siotu kutibuwagonjwa bali pia kuleta utaalamu zaidi kwa wataalamu wetu." Alisema Makwaia. Balozi Dkt. LU, akitolewa damu huku waandishi wa habari wakiwa "bize" katikakutekeleza wajibu wao. Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, MHN, Bw. Makwaia Makani (kulia), akimkabidhi cheti cha shukrani Balozi Dkt. LU baada ya kutoa damu Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kidiplomasiana habari wa Ubaloziwa China, XU Jingchun, naye akitoa damu Balozi wa China Dkt. LU(Kulia), akimuonyesha alama ya dole, Mtanzania aliyejitokea kuchangia damu kwenye maabara kuu ya MNH Madaktari wa Kichina wanaofanya kazi kwenye hospitali ya taifa Muhimbili, wakichangia damu, (wapili kushoto) ni mkurugenzi wa idara ya Uhusiano wa kidiplomasia na habari wa ubalozi wa China hapa nchini, XU Jingchun Muuguzi Mkuu daraja II wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), Lucy Warioba, akitazama ujazo wa damu wakati zoezi la utoaji damu likiendelea kwenye maabara kuu ya Hospitali Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, (JKCI), Profesa Mohammed Janabi (kushoto), akizungumza jambo wakati balozi wa China nchini, Dkt. LU Youqing alipotembelea kwa nia ya kujitolea damu, Juni 14, 2016 Mkuu wa idara ya Damu, Hospitali ya Taifa Muhimbili, ambaye pia ni Daktari bingwa wa Damu, Dkt. Alex Magesa akiwaeleza waandishi wa habari jinsi damu inavyohitajika sana katika shughuli za tiba. "Kwa sasa mahitaji ya damu kwenye hospitali yetu yamekuwa yakiongezeka kutokana na ongezeko kubwa lawagonjwa, mathalan, tunahitaji damu kati ya lita 100 hadi 130 kwa siku, lakini kiasi ambacho tumekuwa tukipata ni lita 60 hadi 100 tu kwa siku, hapoutaona kuna upungufu wa lita kati ya 20 hadi 40". Alisema Dkt. Alex. Baadhi ya madaktari wa Kichina waliokoMuhimbili kwa sasa Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Balozi wa China akipata chai huku akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, MNH, Bw. Makwaia Makani na maafisa wenginewa juu wa hospitali hiyo. Mkuu wa kitengo cha Mahusiano ya Umma, cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Aminieli Aligaisha (Kushoto), akitazama jambo fulani na maafisa hawa kutoka Ubalozi wa China, XU Jingchun na Bw. Song(kulia)
0
0

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mh Luhanga Mpina Akikabidhi Zawadi kwa Washindi Waliojishindia Zawadi Mbalimbali Kutoka Kampuni ya Huawei Kwenye Tamasha la Ajira na Ujasiriamali Lililofanyika Chuo Kikuu Mzumbe Mkoani Mbeya.

Chuo kikuu cha Mzumbe jijini Mbeya kiliendesha kongamano la Ujasiliamali ambalo lilihuishwa na shindano la “badirika kwa vitendo” ambapo Wanafunzi sita walijishindia zawadi mbalimbali zikiwemo simu za mikononi toka kampuni ya Huawei.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mh Luhanga Mpina Katika Picha ya Pamoja na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group Ruge Mutahaba na Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG group Imani Kajula na washindi waliojinyakulia Zawadi Mbalimbali.Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group Ruge Mutahaba Ambaye naye alitoa Mada Mbalimbali Namna ya Kukabiliana na Changamoto ya Ajira Hapa NchiniAfisa Mtendaji Mkuu waEAG group Imani Kajula Akitoa Mada kwenye Tamasha La Ajira na Ujasiriamali Lililofanyika Mkoani Mbeya.Katika hafla hiyo ya usiku, Wanafunzi hao sita Elisha Tullo, Nelson Mkolozi, Goodlove Msigwa, Agness Ngusa, Leornard Meshack walieleza walichojifunza na jinsi watakavyotumia ujuzi wao. Mshindi wa kwanza alikuwa ni Elisha Tullo na wa pili alikuwa Goodlove Msigwa.


Washiriki wa Tamasha Hilo wakisikiliza Kwa Makini Mda Mbalimbali Zilizowasilishwa Kwenye Tamasha la Ajira na Ujasiriamali Lililofanyika Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Mbeya Kuona picha zaidi za washindi na usiku wa wajasiliamali tembelea Facebook page www.facebook.com/Faharinews.

BALOZI wa China nchini Tanzania, Dkt. LU Younqing, akitolewa damukwenye maabara kuu ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), wakati wa siku ya uchangiaji damu nchini, Juni 14, 2016. Balozi huyo aliongoza maafisa katikaofisi yake na madaktari wa Kichina wanaojitolea kwenye hospitali hiyo ili kuunga mkono juhudi za kupunguza upungufu wa damu.(PICHA NA KVIS MEDIA/KHALFAN SAID) NA K-VIS MEDIA/KHALFAN SAID BALOZI wa China nchini Tanzania, Dkt. LU Youqing, leo Juni 14, 2016 ameungana na Wataznania kujitokeza kuchangia damu kwenye Hospitaliya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam, wakati taifa likiwa limeitangaza siku hii ya leo kama siku ya taifa ya kuchangia damu. "Nimekuwa nikisoma kwenye magazeti Muhimbili yakabiliwa na upungufu wa damu, ndio maana leo nimekuja kuchangia damu." Alisema Balozi huyo wakati akinywa chai ya rangi baada ya kutolewa damu.Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, mtu aliyetolewa damu hupaswa kunywachai ya rangi au kinwaji chochote baridi kama juisi au soda. Balozi huyo hakuchangia damu peke yake bali maafisa wa ubalozi aliofuatana nao, Bw.XU Jingchum kutoka idara ya Diplomasia ya umma na habari, na Bw.Song. Hali kadhalika madaktari kadhaa wa Kichina wanaojitolea pale hospitali ya Taifa Muhimbili nao walijitolea damu. Baada ya kutolewa damu Balozi huyo mcheshi, alikabidhiwa cheti na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Makwaia Nakani, kama isharaya kutambua mchango wake wa damu. Baada ya kukabidhiwa balozi huyo alikaribishwa kwa chai ya rangi. Awali Balozi huyo alifanya mazungumzo mafupi na uongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, (JKCI), ambayo jengo lake lilijengwakwa msaadawa serikali ya China. Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Profesa Mohammed Janabi, aliishukuru China kwa msaada wake katika sekta ya Afya na kutolea mfano madaktari wa China ambao kwa sasa wanafanya kazi kwenye Hospitali hiyo. Naye Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Makwaia Makani alimpongeza balozi huyo wa China kwa niaba ya nchi yake kwa msaada mkubwa ambapo China imekuwa ikiisaidia Tanzania katika maeneombalimbali ikiwemo sektaya afya. "Timu ya madaktari kutoka China, wamekuwa wakifanya kazi kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili tangu mwaka 1968 bila kuchoka siotu kutibuwagonjwa bali pia kuleta utaalamu zaidi kwa wataalamu wetu." Alisema Makwaia. Balozi Dkt. LU, akitolewa damu huku waandishi wa habari wakiwa "bize" katikakutekeleza wajibu wao. Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, MHN, Bw. Makwaia Makani (kulia), akimkabidhi cheti cha shukrani Balozi Dkt. LU baada ya kutoa damu Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kidiplomasiana habari wa Ubaloziwa China, XU Jingchun, naye akitoa damu Balozi wa China Dkt. LU(Kulia), akimuonyesha alama ya dole, Mtanzania aliyejitokea kuchangia damu kwenye maabara kuu ya MNH Madaktari wa Kichina wanaofanya kazi kwenye hospitali ya taifa Muhimbili, wakichangia damu, (wapili kushoto) ni mkurugenzi wa idara ya Uhusiano wa kidiplomasia na habari wa ubalozi wa China hapa nchini, XU Jingchun Muuguzi Mkuu daraja II wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), Lucy Warioba, akitazama ujazo wa damu wakati zoezi la utoaji damu likiendelea kwenye maabara kuu ya Hospitali Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, (JKCI), Profesa Mohammed Janabi (kushoto), akizungumza jambo wakati balozi wa China nchini, Dkt. LU Youqing alipotembelea kwa nia ya kujitolea damu, Juni 14, 2016 Mkuu wa idara ya Damu, Hospitali ya Taifa Muhimbili, ambaye pia ni Daktari bingwa wa Damu, Dkt. Alex Magesa akiwaeleza waandishi wa habari jinsi damu inavyohitajika sana katika shughuli za tiba. "Kwa sasa mahitaji ya damu kwenye hospitali yetu yamekuwa yakiongezeka kutokana na ongezeko kubwa lawagonjwa, mathalan, tunahitaji damu kati ya lita 100 hadi 130 kwa siku, lakini kiasi ambacho tumekuwa tukipata ni lita 60 hadi 100 tu kwa siku, hapoutaona kuna upungufu wa lita kati ya 20 hadi 40". Alisema Dkt. Alex. Baadhi ya madaktari wa Kichina waliokoMuhimbili kwa sasa Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Balozi wa China akipata chai huku akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, MNH, Bw. Makwaia Makani na maafisa wenginewa juu wa hospitali hiyo. Mkuu wa kitengo cha Mahusiano ya Umma, cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Aminieli Aligaisha (Kushoto), akitazama jambo fulani na maafisa hawa kutoka Ubalozi wa China, XU Jingchun na Bw. Song(kulia)

0
0

BALOZI wa China nchini Tanzania, Dkt. LU Younqing, akitolewa damukwenye maabara kuu ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), wakati wa siku ya uchangiaji damu nchini, Juni 14, 2016. Balozi huyo aliongoza maafisa katikaofisi yake na madaktari wa Kichina wanaojitolea kwenye hospitali hiyo ili kuunga mkono juhudi za kupunguza upungufu wa damu.(PICHA NA KVIS MEDIA/KHALFAN SAID)

NA K-VIS MEDIA/KHALFAN SAID


BALOZI wa China nchini Tanzania, Dkt. LU Youqing, leo Juni 14, 2016 ameungana na Wataznania kujitokeza kuchangia damu kwenye Hospitaliya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam, wakati taifa likiwa limeitangaza siku hii ya leo kama siku ya taifa ya kuchangia damu.

"Nimekuwa nikisoma kwenye magazeti Muhimbili yakabiliwa na upungufu wa damu, ndio maana leo nimekuja kuchangia damu." Alisema Balozi huyo wakati akinywa chai ya rangi baada ya kutolewa damu.Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, mtu aliyetolewa damu hupaswa kunywachai ya rangi au kinwaji chochote baridi kama juisi au soda.

Balozi huyo hakuchangia damu peke yake bali maafisa wa ubalozi aliofuatana nao, Bw.XU Jingchum kutoka idara ya Diplomasia ya umma na habari, na Bw.Song. Hali kadhalika madaktari kadhaa wa Kichina wanaojitolea pale hospitali ya Taifa Muhimbili nao walijitolea damu.

Baada ya kutolewa damu Balozi huyo mcheshi, alikabidhiwa cheti na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Makwaia Nakani, kama isharaya kutambua mchango wake wa damu. Baada ya kukabidhiwa balozi huyo alikaribishwa kwa chai ya rangi.

Awali Balozi huyo alifanya mazungumzo mafupi na uongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, (JKCI), ambayo jengo lake lilijengwakwa msaadawa serikali ya China. Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Profesa Mohammed Janabi, aliishukuru China kwa msaada wake katika sekta ya Afya na kutolea mfano madaktari wa China ambao kwa sasa wanafanya kazi kwenye Hospitali hiyo.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Makwaia Makani alimpongeza balozi huyo wa China kwa niaba ya nchi yake kwa msaada mkubwa ambapo China imekuwa ikiisaidia Tanzania katika maeneombalimbali ikiwemo sektaya afya. "Timu ya madaktari kutoka China, wamekuwa wakifanya kazi kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili tangu mwaka 1968 bila kuchoka siotu kutibuwagonjwa bali pia kuleta utaalamu zaidi kwa wataalamu wetu." Alisema Makwaia.
Balozi Dkt. LU, akitolewa damu huku waandishi wa habari wakiwa "bize" katikakutekeleza wajibu wao.
Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, MHN, Bw. Makwaia Makani (kulia), akimkabidhi cheti cha shukrani Balozi Dkt. LU baada ya kutoa damu
Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kidiplomasiana habari wa Ubaloziwa China, XU Jingchun, naye akitoa damu
Balozi wa China Dkt. LU(Kulia), akimuonyesha alama ya dole, Mtanzania aliyejitokea kuchangia damu kwenye maabara kuu ya MNH
Madaktari wa Kichina wanaofanya kazi kwenye hospitali ya taifa Muhimbili, wakichangia damu, (wapili kushoto) ni mkurugenzi wa idara ya Uhusiano wa kidiplomasia na habari wa ubalozi wa China hapa nchini, XU Jingchun.
Muuguzi Mkuu daraja II wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), Lucy Warioba, akitazama ujazo wa damu wakati zoezi la utoaji damu likiendelea kwenye maabara kuu ya Hospitali
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, (JKCI), Profesa Mohammed Janabi (kushoto), akizungumza jambo wakati balozi wa China nchini, Dkt. LU Youqing alipotembelea kwa nia ya kujitolea damu, Juni 14, 2016
Mkuu wa idara ya Damu, Hospitali ya Taifa Muhimbili, ambaye pia ni Daktari bingwa wa Damu, Dkt. Alex Magesa akiwaeleza waandishi wa habari jinsi damu inavyohitajika sana katika shughuli za tiba. "Kwa sasa mahitaji ya damu kwenye hospitali yetu yamekuwa yakiongezeka kutokana na ongezeko kubwa lawagonjwa, mathalan, tunahitaji damu kati ya lita 100 hadi 130 kwa siku, lakini kiasi ambacho tumekuwa tukipata ni lita 60 hadi 100 tu kwa siku, hapoutaona kuna upungufu wa lita kati ya 20 hadi 40". Alisema Dkt. Alex.
Baadhi ya madaktari wa Kichina waliokoMuhimbili kwa sasa
Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete
Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete
Balozi wa China akipata chai huku akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, MNH, Bw. Makwaia Makani na maafisa wenginewa juu wa hospitali hiyo.


Mkuu wa kitengo cha Mahusiano ya Umma, cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Aminieli Aligaisha (Kushoto), akitazama jambo fulani na maafisa hawa kutoka Ubalozi wa China, XU Jingchun na Bw. Song(kulia)

Kaya 60 zimeondolewa katika mpango wa Tasaf III Halmashauri ya Mji Kibaha

Previous: BALOZI wa China nchini Tanzania, Dkt. LU Younqing, akitolewa damukwenye maabara kuu ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), wakati wa siku ya uchangiaji damu nchini, Juni 14, 2016. Balozi huyo aliongoza maafisa katikaofisi yake na madaktari wa Kichina wanaojitolea kwenye hospitali hiyo ili kuunga mkono juhudi za kupunguza upungufu wa damu.(PICHA NA KVIS MEDIA/KHALFAN SAID) NA K-VIS MEDIA/KHALFAN SAID BALOZI wa China nchini Tanzania, Dkt. LU Youqing, leo Juni 14, 2016 ameungana na Wataznania kujitokeza kuchangia damu kwenye Hospitaliya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam, wakati taifa likiwa limeitangaza siku hii ya leo kama siku ya taifa ya kuchangia damu. "Nimekuwa nikisoma kwenye magazeti Muhimbili yakabiliwa na upungufu wa damu, ndio maana leo nimekuja kuchangia damu." Alisema Balozi huyo wakati akinywa chai ya rangi baada ya kutolewa damu.Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, mtu aliyetolewa damu hupaswa kunywachai ya rangi au kinwaji chochote baridi kama juisi au soda. Balozi huyo hakuchangia damu peke yake bali maafisa wa ubalozi aliofuatana nao, Bw.XU Jingchum kutoka idara ya Diplomasia ya umma na habari, na Bw.Song. Hali kadhalika madaktari kadhaa wa Kichina wanaojitolea pale hospitali ya Taifa Muhimbili nao walijitolea damu. Baada ya kutolewa damu Balozi huyo mcheshi, alikabidhiwa cheti na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Makwaia Nakani, kama isharaya kutambua mchango wake wa damu. Baada ya kukabidhiwa balozi huyo alikaribishwa kwa chai ya rangi. Awali Balozi huyo alifanya mazungumzo mafupi na uongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, (JKCI), ambayo jengo lake lilijengwakwa msaadawa serikali ya China. Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Profesa Mohammed Janabi, aliishukuru China kwa msaada wake katika sekta ya Afya na kutolea mfano madaktari wa China ambao kwa sasa wanafanya kazi kwenye Hospitali hiyo. Naye Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Makwaia Makani alimpongeza balozi huyo wa China kwa niaba ya nchi yake kwa msaada mkubwa ambapo China imekuwa ikiisaidia Tanzania katika maeneombalimbali ikiwemo sektaya afya. "Timu ya madaktari kutoka China, wamekuwa wakifanya kazi kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili tangu mwaka 1968 bila kuchoka siotu kutibuwagonjwa bali pia kuleta utaalamu zaidi kwa wataalamu wetu." Alisema Makwaia. Balozi Dkt. LU, akitolewa damu huku waandishi wa habari wakiwa "bize" katikakutekeleza wajibu wao. Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, MHN, Bw. Makwaia Makani (kulia), akimkabidhi cheti cha shukrani Balozi Dkt. LU baada ya kutoa damu Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kidiplomasiana habari wa Ubaloziwa China, XU Jingchun, naye akitoa damu Balozi wa China Dkt. LU(Kulia), akimuonyesha alama ya dole, Mtanzania aliyejitokea kuchangia damu kwenye maabara kuu ya MNH Madaktari wa Kichina wanaofanya kazi kwenye hospitali ya taifa Muhimbili, wakichangia damu, (wapili kushoto) ni mkurugenzi wa idara ya Uhusiano wa kidiplomasia na habari wa ubalozi wa China hapa nchini, XU Jingchun Muuguzi Mkuu daraja II wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), Lucy Warioba, akitazama ujazo wa damu wakati zoezi la utoaji damu likiendelea kwenye maabara kuu ya Hospitali Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, (JKCI), Profesa Mohammed Janabi (kushoto), akizungumza jambo wakati balozi wa China nchini, Dkt. LU Youqing alipotembelea kwa nia ya kujitolea damu, Juni 14, 2016 Mkuu wa idara ya Damu, Hospitali ya Taifa Muhimbili, ambaye pia ni Daktari bingwa wa Damu, Dkt. Alex Magesa akiwaeleza waandishi wa habari jinsi damu inavyohitajika sana katika shughuli za tiba. "Kwa sasa mahitaji ya damu kwenye hospitali yetu yamekuwa yakiongezeka kutokana na ongezeko kubwa lawagonjwa, mathalan, tunahitaji damu kati ya lita 100 hadi 130 kwa siku, lakini kiasi ambacho tumekuwa tukipata ni lita 60 hadi 100 tu kwa siku, hapoutaona kuna upungufu wa lita kati ya 20 hadi 40". Alisema Dkt. Alex. Baadhi ya madaktari wa Kichina waliokoMuhimbili kwa sasa Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Balozi wa China akipata chai huku akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, MNH, Bw. Makwaia Makani na maafisa wenginewa juu wa hospitali hiyo. Mkuu wa kitengo cha Mahusiano ya Umma, cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bw. Aminieli Aligaisha (Kushoto), akitazama jambo fulani na maafisa hawa kutoka Ubalozi wa China, XU Jingchun na Bw. Song(kulia)
0
0
Na: Lilian Lundo – MAELEZO

Jumla ya Kaya 60 katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha zimeondolewa katika mpango wa kunusuru kaya maskini nchini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF III) kutokana na kutokidhi vigezo.

Akiongea kwa njia simu Afisa Habari wa Halmashauri hiyo Innocent Byarugaba amesema kuwa jumla ya kaya 2,388 zimekuwa zikinufaika tangu kuanza kwa awamu hiyo lakini kwa sasa ni kaya 2,328 ndio zitaendelea kunufaika na ruzuku hiyo baada ya kaya 60 kuondolewa katika mpango huo.

“Katika awamu hii, kaya 60 zimeondolewa katika mpango huo baada ya kutokidhi vigezo, ikumbukwe kuwa fedha hizi za ruzuku zina masharti tofauti na ruzuku za awamu ya kwanza na pili ambapo kama mnufaikaji hajakidhi vigezo hakuna namna nyingine zaidi ya kumuondoa kwenye mpango,” alisema Byarugaba.

Byarugaba aliendelea kutaja vigezo ambavyo vimefanya kaya hizo kuondolewa kwenye mpango huo kuwa ni pamoja na kaya zilizoshindwa kufuatilia watoto wao kwenda shule, kaya zilizoshindwa kuwapeleka watoto chini ya miaka mitano kliniki na zile kaya ambazo hazikustahili kupata ruzuku lakini ziliingia kwenye mpango.

Vile vile Byarugaba amesema kwamba, mpango huo unalenga kuwainua wananchi katika sekta ya afya, elimu pamoja na kuwawezesha wananchi kupata milo mitatu.Tangu kuanza kwa TASAF III jumla ya Tshs. milioni 572,840,680 zimeshatolewa kwa walengwa.

Aidha Fedha hizo zimekuwa zikitolewa kwa awamu tofauti tofauti ambapo jumla ya Tshs. milioni 87, 608, 295 zimegawiwa katika awamu ya sita kwenye mitaa 40 huku kaya 2,328 zikinufaika ukiondoa kaya 60 zilizoondolewa.

Awamu ya kwanza Fedha zilizotolewa ni Tshs. Milioni 106,574,159, awamu ya pili Tshs. milioni 96,354,886, awamu ya tatu Tshs. milioni 94,426,568, awamu ya nne Tshs. milioni 95,276,818 na ya tano Tshs. milioni 92,599,954.

AZAM KUWEKA WAZI MAJINA YA WACHEZAJI WATAKAOACHWA NA WATAKAOINGIA JULAI MOSI

0
0
Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamii

UONGOZI wa klabu ya Azam umeweka wazi kuanzia Julai 01 watataja majina ya wachezaji watakaoachwa na timu hiyo pamoja na wanaotarajiwa kujiunga nao, hilo linakuja katika kuimarisha kikosi hicho chenye maskani yake Chamazi hasa baada ya kushindwa kufikia malengo waliyoyaweka ya kucheza klabi bingwa Afrika mwakani.

Akizungumza na waandishi wa habaru, Afisa habari wa Azam, Jaffari Iddy Maganga amesema kuwa wanataka kutengeneza kikosi ambacho kitakuja kuwa na ushindani mkubwa na kufikia malengo waliyojiwekea hususani kucheza klabu bingwa na kufika mbali zaidi. "Azam tumetolewa mapema kwenye kombe la Shirikisho tuhakamishia nguvu zetu kwenye ligi lakini tukaishia kushika Nafasi ya pili".

Amesema Jaffari, Julai Mosi wataweka wazi wachezaji watakaowaacha kwenye timu ya wakubwa na ni wachezaji wangapi wataongezwa kutoka timu ndogo ikiwa pamoja kuwataja wachezaji watakaosajiliwa ili kuboresha kikosi chetu.

"Tutawatumia zaidi wachezaji wetu wa kikosi B kwani umefika muda wa kuwapa nafasi za kucheza timu kubwa kwani wameonesha uwezo wa hali ya juu sana katika michuano ya vijana na wana uwezo mkubwa,"amesema.

Ukiachilia hilo, amewataka mashabiki wa Azam kuwa na subira na kuacha kusikiliza maneno ya watu zaidi ni kuwa wachezaji kwa sasa wapo mapumziko ila watarejea hivi karibuni kwa ajili ya kujiunga na kuanza mazoezi ya pamoja.

KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI ZA JUU MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA

0
0

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira, akizungumza wakati wa hafla ya kufunga mafunzo ya uongozi ngazi ya juu na kuwatunuku Maafisa Magereza 98 Cheo cha Mrakibu Msaidizi. Katika hotuba yake Katibu Mkuu aliwaasa wahitimu hao wakaitumie taaluma walioipata chuoni hapo kwenda kuwahudumia Watanzania kwa uadilifu. Hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya Chuo cha Maafisa Magereza, Ukonga jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP John Minja, akihutubia wakati wa hafla ya kufunga mafunzo ya uongozi ngazi ya juu na kuwatunuku Wahitimu 98 wa Cheo cha Mrakibu Msaidizi. Hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya Chuo cha Maafisa Magereza, Ukonga jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Gwaride la Maafisa Wahitimu wa kozi ya Uongozi ngazi ya Juu wa Jeshi la Magereza likijiandaa kupita mbele ya Jukwaa la Mgeni kwa heshima kama wanavyoonekana wakiwa wakakamavu katika picha. Sherehe za kufunga Mafunzo hayo zimefanyika leo Juni 14, 2016 katika Viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania kilichopo Ukonga, Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira akikagua Gwaride la Wahitimu kama inavyoonekana katika picha.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira akimvisha cheo cha Mrakibu Msaidizi wa Magereza mmoja wa Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi ngazi za juu aliyefanya vizuri katika masomo ya Medani kwa niaba ya Wahitimu wote wa kozi hiyo(kulia) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja akishuhudia tukio hilo la uvishaji cheo.
Maafisa Wandamizi wa Jeshi la Magereza pamoja na Wageni Waalikwa kutoka Taasisi mbalimbali wakifuatilia kwa karibu Gwaride la Wahitimu.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, CGP John Casmir Minja akitoa maelezo mafupi juu ya Uendeshaji wa Jeshi la Magereza kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira(hayupo pichani).
Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja(wa pili kulia) akimuongoza Mgeni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira kuelekea eneo la hafla ya kufunga rasmi Mafunzo ya Uongozi ngazi za juu wa Jeshi la Magereza(wa kwanza kulia) ni Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania, ACP. Erasmus Kundy(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

Serikali yapiga marufuku uagizaji wa transfoma za umeme kutoka nje ya nchi.

0
0
Jonas Kamaleki-Maelezo

Serikali imeliagiza Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kutoagiza transfoma nje ya nchi na badala yake kutumia zinazotengenezwa hapa nchini na kampuni ya Tanalec.

Agizo hilo limetolewa leo Bungeni Dodoma na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Dkt. Medard Kalemani alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Tunduru Kusini, Mhe. Daimu Iddi Mpakate aliyetaka kujua ni lini Serikali itatoa pesa kukamilisha miradi ya umeme wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA).

Dkt. Kalemani alisema uzalishaji wa transforma ni mkubwa ikilinganishwa na mahitaji ya bidhaa hizo kwa mwezi, hivyo hakuna sababu ya kuagiza transforma hizo kwa bei kubwa wakati zinapatikana hapa nchini.

Kuhusu suala la kugharamia nguzo kwa Mpango wa REA Dkt. Kalemani alisema mteja hatakiwi kutozwa gharama yoyote ziadi ya Tshs. 27,000 fedha ya kuunganishiwa umeme kwa mpango huu.Dkt. Kalemani alisema kuwa Serikali inatekeleza Mradi wa REA Awamu ya II katika Wilaya ya Tunduru na kazi hii inategemewa kukamilika mwishoni mwa mwezi Juni, 2016.

Alisema Kazi ya kupeleka umeme katika wilaya hiyo ni pamoja na ujenzi wa njia ya umeme msongo wa kilovoti 33 yenye urefu wa Kilomita 293. 2, na ujenzi wa njia nyingine yenye msongo wa kilovoti 0.4 yenye urefu wa kilomita 76.1 na ufungaji wa transfoma 38 pamoja na kuwaunganishia umeme wateja wa awali 3,330

“Gharama ya Mradi kwa Mkoa wa Ruvuma ikiwemo Wilaya ya Tunduru ni Tsh. Bilioni 32.56,” alisema Dkt Kalemani na kuongeza kuwa mkandarasi amekwishalipwa bilioni 27.22 sawa na asilimia 83.6 ya fedha.
Dkt. Kalemani amesema kuwa katika Wilaya ya Tunduru ni vijiji vinne ambavyo vimeunganishiwa miundombinu ya umeme na kufanyiwa majaribio kabla ya kuwashiwa umeme.

Kwa mujibu wa Dkt. Kalemani mkandarasi anaendelea kufunga transforma na Mita za Luku katika vijiji 34 vilivyosalia kwa Wilaya ya Tunduru ili viweze kupatiwa huduma ya umeme ifikapo tarehe 30 Juni, 2016.

Askari 1,657 Wapandishwa Vyeo kwa Mwaka wa Fedha 2014/15

0
0
Jonas Kamaleki-Maelezo

Serikali imewapandisha vyeo askari polisi 1,657 wa vyeo vya uongozi mdogo kwa mwaka wa fedha 2014/2015 kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma.

Akijibu swali la mbunge wa Kojani, Mhe. Hamad Salim Maalim kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Naibu waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi , Mhe. William Ole Nasha amesema askari hupanda vyeo kama ilivyo kwa watumishi wengine wa umma na vyeo hivi huambatana na kuongezeka kwa maslahi yao kulingana na cheo alichopandishwa.

Ole Nasha amekiri kuwepo kwa ucheleweshwaji wa ulipaji wa mishahara inayolingana na vyeo katika jeshi la polisi na kufafanua kuwa yapo matatizo ya kiufundi yanayojitokeza wakati wa zoezi la kurekebisha mishahara ambayo husababisha baadhi ya askari kutorekebishiwa mishahara yao.

Aliongeza kuwa juhudi hufanyika ili kutatua tatizo hilo mara mhusika anapowasilisha malalamiko yake Makao Makuu ya Jeshi hilo.Naibu Waziri huyo alisema Kitengo cha Maslahi Polisi Makao Makuu hupokea malalamiko yao na kuwasiliana na Mamlaka za ulipaji ili kutatua tatizo husika.

Ole Nasha ametoa wito kwa skari yeyote ambaye amepatwa na tatizo kama hilo awasiliane na viongozi katika Kamandi yake au Makao Makuu ya Polisi Idara ya Maslahi ili kupata ufumbuzi wa tatizo hili haraka iwezekavyo.

Kuhusu suala la ucheleweshwaji mishahara kuchangia katika vitendo vya polisi kujihusisha na rushwa, Ole Nasha alisema hilo suala halipo kwani polisi wanafanya kazi kwa kuzingatia maadili ya kazi na kwamba malalamiko ya ucheleweshwaji yanapotokea hushughulikiwa.
Viewing all 46201 articles
Browse latest View live




Latest Images