Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46373 articles
Browse latest View live

WAGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI JIMBO LA TUNGUU KWA TIKETI CCM WANDAA BONANZA LA MICHEZO MBALIMBALI KWA WANAWAKE WA JIMBO HILO

$
0
0
 Washiriki wa mchezo wa kukuna nazi wakishindana katika Bonanza la michezo ya Jimbo la Tunguu yaliyofanyika kiwanja cha Bungi Mkoa wa Kusini Unguja.
 Mmoja wa washiriki akifurahia kumaliza kukuna nazi.
 Mshiriki wa mbio za Baskeli Zainab Juma akimaliza mbio hizo akishikilia nafasi ya nne.
 Mgombea uwakilishi Jimbo la Tunguu kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Simai Mohommed Said akiteta kitu na Mwenyekiti wa CCM Jimbo Tunguu Khatib Ramadhan Iddi (katikati) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhan Abdallah Ali.
 Mwenyekiti wa CCM Jimbo Tunguu Khatib Ramadhan Iddi akizungumza na washiriki wa CCM Bonanza lililofanyika Bungi Mkoa wa kusini.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhan Abdallah Ali akimpa zawadi kepte wa tim ya Nage ya Bungi (B) Shida Saidi. (Kulia) mgombea Upunge wa Jimbo la Tunguu Khalifa Salim Suleiman. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

HON. PRESIDENT OF INDIA PRESENTING AN AWARD FOR BEST MEDICAL TOURISM FACILITY TO APOLLO HEALTH CITY, HYDERABAD

$
0
0
Mr. Radhey Mohan (Vice president – International Marketing, Apollo Health City, Hyderabad), Dr. Mahesh Verma (Ministry of Tourism & Civil Aviation), Hon. Sh. Pranab Mukherjee (Hon. president of India), Ms. Sangita Reddy (Joint Managing Director, Apollo Hospitals Group) and Mr. Vinod Zutshi (Secretary – Ministry of Tourism, Govt. of India).

Hon. President of India presenting an Award for Best Medical Tourism facility to Apollo Health City, Hyderabad. This is the third consecutive year that Apollo Health City, Hyderabad is receiving this prestigious award.

WITO KWA AJILI YA MKUTANO MKUU WA ZIADA

$
0
0
     
                     2015-09-28


Jumuiya ya Watanzania Sweden  
Mahali: Näsby Alle´6

183 55 Näsby Park

Siku: Jumamosi

Tarehe: 31-10-2015

Saa: 9:00 jioni

    

      Kwa watanzania tunatoa taarifa ya wito wa Mkutano Mkuu wa ziada kwa ajili ya kuchagua viongozi watakao chukua majukumu ya kuwaongoza watanzania waishio nchini Sweden, na kujenga uhusiano na taasisi mabali mbali na vyama vyengine viliopo nchi jirani.

     Uongozi wa kamati ya maandalizi ya Jumuiya ya Watanzania inawataarifu kwamba nafasi za uongozi huo ni kama zifuatazo;

 Uenyekiti

Unaibu

Ukatibu pamoja na bodi ya utawala wa chama.

  Tunawaomba watanzania wajutokeze kwa wingi katika mkutano huo ili tuweze kuboresha umoja wetu na kujenga maadili bora kwa watanzania, kujitolea kwenu ndio mafanikio ya taifa letu.


Asanteni

Kamati ya matayarisho


RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA KUHIFADHIA MADAWA LA HOSPITALI YA CCBRT JIJINI DAR ES SALAAM IJUMAA OKTOBA 3, 2015

$
0
0
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid na katikati yao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa  kwa  Mtendaji Mkuu wa CCBRT Bw. Erwin Telemans alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete viongozi mbalimbali  alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wadau alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi wa nchi wafadhili  alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mabalozi alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi akiwa ameongozana na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa na mabalozi na watoto wanaopata matibabu wakikata utepe kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuashiria kufunguliwa jengo l bohari ya madawa  huku akishuhudiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa
 Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa
 Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa

 Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa

 Rais Kikwete akinyunyizia maji mmea a Mbuyu uliopandwa kama kumbukumbu
 Rais Kikwete akifunua kitambaa chenye jina la aina ya huo mbuyu
 
 Rais Kikwete akipokea mchoro wa kitambaa uliotengenezwa na kinamama waliopona ugonjwa wa Fistula

 Watendaji na wagonjwa wa Fistula wakishuhudia

 Rais Kikwete akiwa na mtoto ambaye mama yake anatobiwa Fistula hospitalini hapo
 Rais Kikwete na wadau wengine wakipozi kwa furaha na kinamama walio katika matibabu ya Fistula kutoka kila pembe ya Tanzania
 Rais Kikwete akiwapongeza kinamama hao kwa kuwa mashujaa na kujitokeza kutibiwa ugonjwa wa Fistula ambao unatibika
 Rais Kikwete akifurahi na mzazi na mtoto anayesubiri kufanyiwa upasuaji wa mdomo-sungura
 Rais Kikwete akiongea na mtoto ambaye baada ya kupata  matibabu ya kuondoa mtoto wa jicho hapo CCBRT  ameweza kuona kwa mara ya kwanza maishani mwake
 Rais Kikwete  na wote wakimshangilia mtoto ambaye baada ya kupata  matibabu ya kuondoa mtoto wa jicho hapo CCBRT  ameweza kuona kwa mara ya kwanza maishani mwake

 Rais Kikwete akimpongeza mtoto ambaye baada ya kupata  matibabu ya kuondoa mtoto wa jicho hapo CCBRT  ameweza kuona kwa mara ya kwanza maishani mwake
 Sehemu ya kupumzikia iliyopo karibu na hio canteen mpya iliyozinduliwa
 Sehemu ya kupumzikia iliyopo karibu na hio canteen mpya iliyozinduliwa
 Mtendaji Mkuu wa CCBRT Bw. Erwin Telemans akiongea katika sherehe za  kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen
 Baadhi y wageni waalikwa na wafadhili wa mradi huo
 Mshauri wa ufundi wa hospitali ya CCBRT Dkt. Brenda D'Mello akitoa maelezo ya shughuli za hapo

 Sehemu ya kupumzikia iliyopo karibu na hio canteen mpya iliyozinduliwa
 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid 
 Rais Kikwete akitoa hotuba yake ya kuzindua majengo hayo
 Rais Kikwete akitoa hotuba yake ya kuzindua majengo hayo
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba na  Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa baada ya  kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba na  Mtendaji wa  Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Bw. Erwin Telemans baada ya  kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen
 Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa akimshukuru Rais Kikwete kwa   kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen
 Rais Kikwete, Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa, Waziri wa Afya na Mtendaji Mkuu baada ya  kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

 Karibuni vinywaji baridi waheshimiwa...."Anasema mmoja wa wahudumu
 Rais Kikwete akiongea na mabalozi mbalimbali
 Rais Kikwete na wadau wa hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja
  Rais Kikwete na watendaji  wa hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja
  Rais Kikwete na wafadhili  wa hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja
  Rais Kikwete na wajumbe wa Bodi ya  hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja
 Rais Kikwete akiagana na Balozi wa Ujerumani na mabalozi wengine baada ya sherehe hiyo

NEC YAPOKEA KARATASI ZA MFANO WA KURA

$
0
0
Na Lydia Churi-NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini ambao ni wasimamizi wa Uchaguzi kuhakikisha wanakagua vifaa wanavyopokea vinavyosambazwa hivi sasa kwa ajili ya Uchaguzi ili kuondoa dosari zinazoweza kujitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu. 


Mkurugenzi wa Ununuzi na Ugavi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Eliudi Njaila ameyasema hayo leo jijini Dar es salaam wakati wakiwaonyesha waandishi wa habari karatasi za mfano za kupigia kura zilizopokelewa na NEC kwa ajili ya kuanza kusambazwa nchini kote.


Njaila amesema karatasi hizo za kupigia kura zitakapowafikia wakurugenzi wa Halmashuri wazikague na hasa kuangalia nembo ya NEC kama ipo sahihi pia waangalie majina ya wagombea na vyama wanavyoviwakilisha kama viko sahihi na vinakidhi mahitaji ya majimbo yao ya Uchaguzi.


 Aidha aliongeza kuwa karatasi hizo za kura zitasambazwa katika kata zote ambapo kila kata itapewa karatasi za mfano wa kupigia kura 200 na zitagawiwa kwa wagombea wa ngazi  zote ili wawaelimishe wanachama wao namna ya kupiga Kura na kuonyesha mgombea yupo katika namba ipi kama ilivyoonyeshwa katika karatasi hizo.


Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Ununuzi na Ugavi wa NEC, karatasi hizo za mfano wa kupigia Kura kwa ajili ya wagombea wa Urais, Ubunge na Udiwani zitasambazwa kuanzia sasa na ifikakapo Oktoba 7 zitakuwa zimeshafikishwa nchi nzima.


Tume imekuwa ikiendelea kupokea vifaa mbalimbali kwaajili ya Uchaguzi Mkuu na Mara vinapowasili katika ofisi za Tume vinasafirishwa na kupelekwa katika majimbo yote ya Uchaguzi nchini. Hadi sasa vifaa vyote vimekwisha sambazwa isipokuwa karatasi halisi za kupigia kura ambazo zitasambazwa siku chache kabla ya siku ya Uchaguzi. 

Mgombea Ubunge Jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza AMJADI,Awahutubia Wananchi wa Jimbo Hilo katika Mkutano Wake wa Kampeni Viwanja vya Mabanda ya Ngombe Chumbuni Unguja.

$
0
0

Msoma Utenzi akisoma Utenzi maalum wakati wa Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni wa Jimbo la Chumbuni Unguja uliofanyika katika Viwanja vya Mabanda ya Ngombe Chumbuni Zanzibar.
Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi akiwa katika viwanja vya mkutano akishangilia na Picha ya Mgombea wake wa Ubunge kupitia CCM Ndg. Ussi Salum Pondeza AMJADI wakati wa mkutano huo
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakiwa katika viwanja vya mkutano wa Kampeni ya Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo hilo uliofanyika viwanja vya Mabanda ya Ngombe Chumbuni Unguja.
Wagombea Ubunge Uwakilishi na Udiwani wakiwapungia mikono Wananchi waliohudhuria mkutano huo wa kampeni wakati msoma utenzi akitaja majina ya Wagombea.
Wanachama wa CCM wa Tawi la Masumbani Jimbo la Chumbuni wakifuatilia mkutano huo wa kampeni uliofanyika viwanja vya mabanda ya ngombe chumbuni Unguja.
Mgombea Ubunge Jimbo la Mfenesini Kanali Mstaaf Masoud akimtunza msoma Utenzi wakati wa mkutano wa Uzinduzi wa Jimbo la Chumbuni Unguja. 
Katibu wa CCM Jimbo la Chumbuni akisoma utaratibu wa mkutano huo wa kampeni wa jimbo hilo. 
Aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Chumbuni Unguja Mhe Machano Othman, akiwasalimia Wananchi wa Jimbo hilo na kuwaombea Kura Wagombea wote wa CCM wanaogombea katika Jimbo la Chumbuni kuazi Mbunge Mwakilishi na Madiwani kuwa kura ya Ndio kuendelea maendeleo katika jimbo hilo walioyawacha wao.kwa sasa anagombea Jimbo la Mfenesini nafasi ya Uwakilishi 
Mgombea Ubunge Jimbo la Mfenesini Kanal Mstaaf Masaud, akiwasalimia Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakati wa Mkutano wa Kampeni ya Uzinduzi ya Jimbo zilizofanyika katika viwanja vya mpira mabanda ya ngombe chumbuni Unguja. 

Mwenyekiti wa Wazazi Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Haji Ameir akizungua mkutano wa Kampeni wa Jimbo la Chumbuni Unguja uliofanyika katika viwanja vya mpira mabanda ya ngombe chumbuni na Kuwatambulisha Wagombea wa CCM wa Jimbo hilo.na kuwaombea Kura siku ya Uchaguzi Mkuu kwa kura ya Ndio, pamoja na Rais wa Zanzibar Dk Shein, na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli.
Wanachama wa CCM wakiwa katika viwanja vya Kampeni wakishangilia na Vipeperushi vya wagombea wa Jimbo la Chumbuni Unguja.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Haji Ameir akimtambulisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza AMJADI, wakati wa mkutano wa Kampeni wa Jimbo la Chumbuni uliofanyika katika viwanja vya Mabanda ya Ngombe Chumbuni.

Mgombea Ubunge Jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza AMJADI akiwataka Wananchi wa Jimbo la Chumbuni kujiandaa na Maendeleo katika Jimbo hilo katika kipindi chake cha miaka mitano kuweza kulibandilisha Jimbo hilo katika maendeleo kwa Vijana na Wazee katika sekta mbalimbali zikiwemo za Elimu, Maji, Kujiajiri Wenyewe na Afya. amewataka kumpigia Kura ya Ndio kuweza kuwaletea maendeleo hayo. 

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chumbuni akimwaga Serazake kwa Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakati wa mkutano wake wa kampeni katika viwanja vya mpira mabanda ya ngombe chumbuni Unguja.
Wanachama wa CCM wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa Jimbo la Chumbuni Unguja
Wanachama wa CCM wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa Jimbo la Chumbuni Unguja wakati akihutubia Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo Ussi Salum Pondeza AMJADI, uliofanyika viwanja vya mabanda ya ngombe chumbuni Unguja.
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakifuatilia Mkutano wa Kampeni wa Jimbo hilo uliofanyika viwanja vya mabanda ya ngombe chumbuni.

Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Chumbuni Miraj Kwaza akiwahutubia Wananchi wa Jimbo la Chumbuni Unguja wakati wa mkutano wa kampeni wa Jimbo hilo na kusoma baadhi ya vipengele vya Ilani ya Uchaguzi ya CCM jinsi itakavyotekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo ya Dk Shein. 

Wanachama wa CCM wakishangilia wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Jimbo la Chumbuni Unguja



 Msanii wa Bendi ya Yamoto, akitowa burudani kwa Wanachama wa CCM wa Jimbo la Chumbuni wakati wa Mkutano wa Kampeni wa Jimbo hilo.
Wanachama wa CCM wakishangilia wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Jimbo la Chumbuni Unguja
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Haji Ameir, akimtambulisha Mgombea Udiwani wa Wadi ya Chumbuni, Ndg. Mussa Haji Idrisa kwa Wananchi  wa Jimbo hilo 
Mgombea Udiwani Wadi ya Chumbuni Ndg Mussa Haji Idrisa. akiwasalimia Wananchi wakati akitambulishwa na kuomba Kura.
Mgombea Udiwani Wadi ya MuembemakundiNdg Haji Juma, akiwasalimia Wananchi wakati akitambulishwa na kuomba Kura.
Mgombea Udiwani Wadi ya MuembemakundiNdg.Haji Juma.  akiwasalimia Wananchi wakati akitambulishwa na kuomba Kura.

Imetayarisha na OthmanMapara.Blogspo. Zanzinews.com
Email othmanmaulid@gmail.com
Mobile. 0777424152 or 0715424152 

TATIZO LA KIUFUNDI HALINA LENGO LA KUWAKOMOA WANANCHI-MRAMBA

$
0
0
Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam.
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kukatikatika kwa umeme linapata hasara ya Sh. Milioni 500 kwa siku na kwamba watanzania waelewe ni matatizo ya kiufundi halina lengo la kuwakomoa wananchi.
 
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mkurugenzi Mtendaji wa  Tanesco, Felichesmi Mramba alisema hali ya kukatika umeme inayoendelea nchini ni kutokana na marekebisho ya baadhi ya mitambo ya kuzalisha umeme na mifumo ya gesi inayomilikiwa na kampuni binafsi inakwamisha upatikanaji huduma hiyo kwa uhakika.
 
Alisema suala hilo halihusiani na siasa bali ni matatizo ya kitaalamu ambayo hata shirika linapata hasara na wakati mgumu kwa kushindwa kuwapatia huduma sahihi wateja wao.
 
“Baada ya bomba la gesi kukamilika, visima viwili kati ya vine vilianza kuingiza gesi kwenye bomba Agosti 22, mwaka huu kule Mtwara na ilifika jijini Dar es Salaam, Septemba 5, mwaka huu … hata hivyo gesi hiyo ilifika ikiwa na msukumo wa bars 2 na kwamba ilichukua wiki mbili kufikia bars 37 kuwezesha kuwasha mitambo ya megewati 90” alisema na kuongeza kuwa.
 
“Mtambo wa Kinyerezi kazi inaendelea hadi wataalamu watakaporidhika kwamba mabomba yote ni masafi na yanaweza kuanza kuwashwa tayari kwa kutoa huduma… kukamilika kwa mitambo hiyo kutatuhakikishia jumal ya megawatio 305 zaidi ya umeme unaopatikana sasa”alisema Mkurugenzi Mramba.
 
Akifafanua zaidi alisema mbali na umeme wa gesi hali ya mabwawa yanayozalisha umeme kwa sasa hayana maji ya kutosha baadhi yanaelekea kukauka.
 
Alitaja mabwawa hayo na kiwango chake cha maji kuwa, Mtera Uwezo wake wa juu ni megawati 800, uzalishaji wake wa sasa ni sifuri (0), Kidatu 204 kwa sasa 27, Kihansi, 180 kwa sasa 51.5 New Pangani Falls, 68 kwa sasa 17, Hale 21 kwa sasa 4 na Nyumba ya Mungu ni 8 kwa sasa 5.5.
 
Alisema shirika linasikitishwa na taarifa za uzushi zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii kwamba mitambo ya Kinyerezi ni chakavu haiwezi kufanyakazi kwamba siyo kweli zina nia ya kulichafua shirika hilo.

TASMA KUNOGESHA TAMASHA LA ‘KANDANDA DAY’ OKTOBA 17 MWAKA HUU

$
0
0
CHAMAcha Madaktari wa michezo Tanzania (TASMA) kinatarajia kunogesha tamasha la ‘Kandanda day’ kwa kufanya kliniki siku ya Oktoba 17,mwaka huu katika Viwanja vya TCC Chang’ombe,jijini Dar es Salaam.

Msemaji Mkuu wa tamasha hilo,Mohamed Mkangara,alisema kwamba TASMA kwa kushirikiana na kamati ya kandanda Day wameamua kufanya kliniki hiyo ya wazi ili kuwapa fursa wadau wa michezo kupata mafunzo na kupima afya zao.


“Kamati ya Kandanda day,imeona kuna haja ya kushirikiana na ndugu zetu wa TASMA,ili kutoa elimu ya afya,kwa wadau wa michezo nchini ambao watapata fursa ya kupima afya zao bure,na baadaye watapata burudani ya kuangalia burudani ya mechi kati ya timu Dizo One na timu Ismail,”alisema 

Mkangara na kuongeza:

“Kikubwa tunawashukuru sana TASMA kwa kuitikia mwito wetu wa kushirikiana nasi katika siku hiyo muhimu, hususan kwa wapenda soka nchini,halikadhalika wadhamini wetu kampuni ya Bin Slum Tyres kwa kutusaidia zoezi hili la kliniki.”


Kwa upande wa Katibu Mkuu wa TASMA, Dk. Nassoro Matuzya,alisema kwamba maandalizi yote kuhusiana na clinic hiyo yanaendelea vizuri na ametoa mwito kwa wadau wa michezo nchini hususan wa soka,kujumuika kwa wingi katika viwanja hivyo.


“Kwa upande wetu tunawashukuru kamati ya Kandanda,kutujumuisha katika tamasha hilo kutoa elimu pamoja na kutoa huduma ya upimaji afya kwa Watanzania wanamichezo na wadau wa michezo nchini,kwa hiyo tunapenda kuwakaribisha wadau wajitokeze kwa wingi katika siku hiyo,”alisema Matuzya.


Tamasha la mwaka huu mbali na kiliniki pia kutakuwa na shughuli mbalimbali za soka na burudani zikiendelea,ambazo zimepata kuongezewa nguvu na udhamini kutoka kampuni ya matairi ya Binslum.SBS kupitia kinywaji chake cha Pepsi.Michuzi Media group,Blogu ya Saleh Jembe.kampuni ya kutoa mikopo ya Bayport pamoja na kampuni ya kuchapisha matangazo ya SDS.


Kiliniki itaanza asubuhi saa mbili kamili kwa wadau wa michezo kupata mafunzo kutoka kwa madaktari wa TASMA na kufuatiwa na michezo ya soka na burudani.

MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI,AANZA KWA KISHINDO MKOA WA PWANI.

$
0
0
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mkuranga jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni.Dkt Magufuli amemaliza kampeni zake mkoa wa Lindi na baade ameendelea na kampeni zake ndani ya mkoa wa Pwani,ambapo anatarajia kujinadi maeneo mbalimbali ya mkoa Pwani katika kuwaomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika awamu ya tano,katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyia Oktoba 25 mwaka huu.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita chama cha Mapinduzi,Dtk John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Mkuranga,Ndugu Abdallah Khamis Ulega mbele ya umati wa wakazi wa Mkuranga jioni ya leo kwenye kutano wa kampeni.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita chama cha Mapinduzi,Dtk John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Mkuranga,Ndugu Abdallah Khamis Ulega mbele ya umati wa wakazi wa Mkuranga jioni ya leo kwenye kutano wa kampeni
Sehemu ya Umati wa Mkuranga wakishangila jambo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli uliofanyika jioni ya leo.
Sehemu ya Umati wa Mkuranga wakishangila jambo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli uliofanyika jioni ya leo.
Dkt. Magufuli akiwa ameshika kadi za Wananchama wa upinzani walioamua kuhamia CCM katika mkutano wa kampeni
Dk Magufuli akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Mgombea ubunge Jimbo la Nchinga, Said Mtanda katika mkutano wa kampeni Kata ya Nangaru.
 Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Kilwa Kusini, wakati wa mkutano wa kampeni za CCM  mjini Kilwa Masoko.

Wananchi wa Kibiti wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa kampeni na kuwaomba kura wananchi hao ili wamchague akawe Rais wa awamu ya tano kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa Oktoba 25 mwaka huu.

Wananchi wa Nchinga wakifuatilia mkutano wa kampeni
Wananchi wa Kata ya Nangaru, Jimbo la Nchinga, wakishangilia baada ya kumuona Dk Magufuli akiwasili kwenye mkutano wa kampeni za CCM, katika Kata ya Nangaru, Jimbo la Nchinga, wMkoa wa Lindi
Wanafuatilia mkutano wa kampeni
Wananchi wa Kata ya Nangaru, Jimbo la Nchinga, wakifuatilia mkutano wa kampeni za CCM, katika Kata ya Nangaru, Jimbo la Nchinga, Mkoa wa Lindi
Wananchi wa jimbo la Kilwa Masoko wakiwa wamekusanyika mapema leo mchana wakisubiri kusikiliza sera za Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli.
Baadhi ya wananchi wakiwa wamefunga barabara wakitaka Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli awasalimia na pia kuwasikiliza matatizo yanayowakabili katika eneno hilo,wakati akitokea mkoani Lindi mara baada ya kumaliza kampeni zake na kuendelea na kampeni zake mkoa wa Pwani jioni ya leo. 
Wananchi wa Kibiti wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa kampeni na kuwaomba kura wananchi hao ili wamchague akawe Rais wa awamu ya tano kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa Oktoba 25 mwaka huu. 
Sehemu ya umati wa wakazi wa Mkuranga wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi CCM
Wananchi wa Mkuranga wakishangilia jambo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika jioni ya leo mjini humo
Wakazi wa Mkuranga wakifuatilia kwa makini mkutano wa kampeni

MO TO ATTEND LARGEST NORDIC-AFRICAN BUSINESS SUMMIT

$
0
0
DSC_0310
Mr. Mohammed Dewji, Group Chief Executive Officer, Mohammed Enterprises Tanzania (MeTL Group).
For the fifth consecutive year, The Norwegian-African Business Association (NABA) will host the largest Nordic-African business summit. 500 Scandinavian and African experis from finance, renewable energy, agriculture, ITC, fisheries, oil and gas sectors will gather at RaddisonBLU Scandinavian Hotel in Oslo on Thursday, 29 October 2015 to discuss how Nordic capabilities can be linked with African opportunities.

Africa's future economy hosts the world's youngest and fastest growing urban population. Africa's economy must facilitate rapid growth and change in the coming years. This is why "Nordic competence linked to African opportunities" is the main theme at this year's Nordic-Africa Business Summit.The summit is being held for the fifth consecutive year. Due to its great success, the Norwegian-African Business Summit has now become the Nordic-African Business Summit.

"Norway has a responsibility to further develop trade relations with the African continent, and this event is one of the initiatives we have to assist Scandinavian industries in navigating the new investment landscape in African countries. This year we are incredibly proud to welcome Ashish J. Takkar, Bob Diamond og Mohammed Dewji". Eivind Fjeldstad, CEO of NABA.
More than 20 African ambassadors from Europe will attend the conference. The conference will have parallel sessions on finance, ICT, renewable energy, agriculture and aquaculture, and oil and gas. Overall, 35 speakers and 500 participants will attend the NABA summit, including the following key speakers:

- Ms. Monica Mæland, Norwegian Minister of Trade and Industry
- Mr. Ashish Thakkar, CEO, Mara Group
- Mr. Bob Diamond, CEO, Atlas Merchant Capital
- Mr. Jaakko Kangasniem, Managing Director, Finnfund
- Ms. Koosum Kalyan, Director, MTN Group
- Mr. Mohammed Dewji, Group Chief Executive Officer, Mohammed Enterprises Tanzania (Metla Group)
- Mr. Adam Ikdal, Managing Director, Boston Consulting Group (BCG)
- Mr. Rob Hersov, Founder, Invest Africa
- Mr. Ladi Delano, CEO, Bakrie Delano Africa (BDA)

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6TH OCTOBER 2015

$
0
0
KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF

TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS

FORUM IN NAIROBI, KENYA,

6TH OCTOBER 2015


Ladies and Gentlemen;

I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising this important forum.   It will surely go a long way towards strengthening the overall relations between our two countries.

Doing Business in Tanzania

Ladies and Gentlemen;

We are gathered here this morning to discuss issues of bread and butter: Kenya – Tanzania investment and business opportunities and relationships.  Honestly, I don’t know what to tell you about the business opportunities in Tanzania or the business environment in Tanzania because some of you, if not many, are already doing business in Tanzania.  Our records show that Kenya is the fifth largest investor in Tanzania and the leading in Africa followed by South Africa.  There are 518 investment projects from Kenya worth USD1,685.49 million, employing 55,762 Tanzanians.     


Manufacturing accounts for 45 percent of the total value of Kenya’s investment while real estate accounts for 13 percent, tourism 12 percent and transport and logistics 11 percent. The remaining 19 percent is distributed in small portions among other sectors.


With regard to trade between our two countries, records show that we have been doing very well. Kenya’s exports to Tanzania increased from USD 301.5 million in 2009 to USD 333.6 million in 2013. During the same period Tanzania’s exports increased from USD 179.3 million in 2009 to USD227.1 million in 2013. I am told at this level of trade volume that our two countries account for nearly 90 percent of intra East African trade. This demonstrates in empirical terms how much our two countries need each other and how significant we are in the East African integration agenda. 



Mr. President;

Ladies and Gentlemen;

Let me state clearly and loudly that our two countries can do better than what we are doing at the moment. Tanzania can absorb more investment from Kenya sell more and vice versa. There are, in Tanzania, plenty of opportunities in oil and gas, energy manufacturing, agriculture, mining, tourism, real estate, transport, ICT, hearth care, education and several others which you may know better than me. Our two countries enjoy cordial relations which is good for business. Also, we are members of the East African Community one of whose main objectives is to promote trade and investments between member states. The EAC arrangements under the Customs Union, the Common Market and Monetary Union have opened the borders, for trade which is constantly making life easy for business in the East African region.

Since the socio–economic reforms which began in the mid 1980’s, Tanzania has been pursuing sound economic policies. As a result, there is strong macro-economic performance and stability for over two decades now.  On the average Tanzania’s economy grow at around 7 percent over the last decade and we expect a 7.3 percent growth this year. The GDP has trebled from USD 14.1billion in 2005 to USD 49.1 billion in 2014. And so, has the GDP per capita from USD 375 in 2005 to USD 1,066 in 2014.  The population of Tanzania is estimated to be around 48 million with a sizeable and a growing middle class. With more than 50 percent of the people below the age of 30 who have better access to primary and tertiary education there is an assured labour force and a market. Moreover, Tanzania’s membership of SADC and Kenya’s membership of COMESA, gives the Kenyan investor an extended market beyond the East African Community and COMESA. I gather only 4 of the 14 SADC member states are in COMESA.   

Mr. President;

Ladies and Gentlemen;

As we all know, Tanzania has enjoyed peace and stability since independence. We are a vibrant democracy and committed to advancing good governance, rule of law and human rights. The fight against corruption, terrorism, narcotic drugs, and other vices in society is unrelenting. We espouse friendly business policies and investments are safe. No more nationalization and investors are allowed to repatriate profits and dividends. The government stands ready to take more measures to improve the business environment. We are doing exactly that and more. There is regular consultation between the government and private sector under the auspices of the Tanzania National Business Council which I chair. This has proven to be very useful. Issues are discussed openly freely discussed and solutions found. 

Conclusion

Mr. President;

Ladies and Gentlemen;

I could go on and on since I have a lot to say, but allow me to conclude by expressing my sincere gratitude to the business community in Kenya for being valuable partners. I believe the discussions here today will further encourage Kenyan private sector to do more business with Tanzania. I whole heartedly welcome you to do so. Tanzania is more than ready to do business with you.

Please   come one, come all.


Thank you very much, Asanteni sana.

MWENYEKITI WA MAKAMPUNI YA PROIN PROMOTION ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO

$
0
0
 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Promotion Ltd Bw. Johnson Lukaza (kushoto) alipotembelea banda la Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo katika maonyesho ya Wiki ya Vijana yanayofanyika kitaifa mkoani Dodoma leo.Kulia ni Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo.
 Katibu Mtendaji wa Bodi ya Ukaguzi wa Filamu na Michezo ya kuigiza Tanzania Bibi. Joyce Fissoo(kushoto) akielezea jambo kwa Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Promotion Ltd Bw. Johnson Lukaza (wa pili kutoka kushoto) alipotembelea banda la Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo katika maonyesho ya Wiki ya Vijana yanayofanyika kitaifa mmkoani Dodoma leo. Kulia ni Msaidizi wa Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Promotion Ltd Bi. Marrystella Louis.
 Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari – MAELEZO sehemu ya Habari Bw. Vicent Tiganya (kulia) akitolea maelezo picha mbalimbali za kumbukumbu ya historia ya Tanzania  kwa Mwenyekiti wa Makampuni yan Proin Promotion ltd Bw. Johnson Lukaza leo mjini Dodoma katika maonyesho ya Wiki ya Vijana kitaifa.Nyuma ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filam Tanzania Bibi. Joyce Fissoo.

 Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu Tanzania Bw. Sengerema Sylivester akiangalia baadhi ya Filamu zinazosambazwa na Kampuni ya Proin Promotion ltd leo mjini Dodoma.Kutoka kulia ni Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo na M.fanyakazi wa Proin Promotion Bw.Lusubilo Mwanguku
Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu Tanzania Bw. Sengerema Sylivester akisalimiana na mshindi wa Shndano la kuibua vipaji vya waigizaji (TMT) linaloendeshwa chini ya Kampuni ya Proin Promotion, Bw. Denis Laswai leo mjini Dodoma wakati wa maonyesho ya Wiki ya Vijana ambapo Kampuni hiyo imeshirikiana na Bodi ya Filamu katika maonyesho hayo.

Picha na: Frank Shija, WHVUM

RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KIGODA

$
0
0
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS




TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa miaka 62.


Katika salamu za rambirambi ambazo amemtumia Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Peter Kayanza Pinda, Rais Kikwete amesema: “Kwa hakika, nimeshtushwa na kuhuzunishwa mno na taarifa za kifo cha Waziri Kigoda ambacho nimetaarifiwa kuwa kimetokea India ambako alikuwa anapata matibabu tokea mwezi uliopita.”


Ameongeza Rais Kikwete katika salamu zake hizo za rambirambi: “Kama unavyojua, namfahamu vizuri Mheshimiwa Kigoda. Alikuwa Waziri wangu. Nimefanya kazi naye  kwa karibu na kwa miaka mingi ndani ya Serikali yetu. Alikuwa mtumishi hodari, mtumishi mwaminifu na mwadilifu kwa wananchi wa Tanzania, na hasa wananchi wa Jimbo la Handeni, ambao aliwawakilisha kwa miaka mingi akiwa Mbunge wao. Tutakosa utumishi wake mahiri sana.”


“Nakutumia wewe Mheshimiwa Pinda, Waziri Mkuu wa nchi yetu salamu za rambirambi za dhati ya moyo wangu kuomboleza kifo cha Mheshimiwa Kigoda. Aidha, kupitia kwako namtumia rambirambi nyingi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Anna Semamba Makinda na Wabunge wote kwa kuondokewa na mwenzao.”


Ameongeza Rais Kikwete: “Nakuomba pia unifikishe salamu zangu za rambirambi kwa wananchi wa Jimbo na Wilaya ya Handeni ambao wamepoteza Mbunge wao aliyewatumikia kwa ustadi mkubwa kwa miaka mingi. Aliwawakilisha vizuri na kujali sana maslahi yao. “


Amesisitiza Rais Kikwete: “Kupitia kwako, Waziri Mkuu pia naitumia familia, ndugu, jamaa na marafiki wa Mheshimiwa Kigoda kwa kuondokewa na mhimili wa familia na rafiki yao mpenzi. Yajulishe makundi yote hayo kuwa niko nao katika msiba huu mkubwa, uchungu wao ni uchungu wangu na majonzi yao ni majonzi yangu. Nawaombea kwa Mwenyezi Mungu awape subira na nguvu ya uvumilivu katika kipindi hiki kigumu na cha majonzi. Pia naungana nao kumwomba Mwenyezi Mungu aiweke pema peponi roho ya Dkt. Abdallah Omari Kigoda”. Amen.


Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu,

DAR ES SALAAM.

13 Oktoba, 2015 

WIKI YA VIJANA MJINI DODOMA

$
0
0
 Naibu Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo  Mheshimiwa Juma Nkamia (kushoto) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga(kulia) wakibadlishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wa maandalizi ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru kinachotarajiwa kufanyika Oktoba 14 katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dokta Jakaya Mrisho Kikwete atakuwa mgeni rasmi.
 Mfugaji wa Vipepeo kutoka mkoani  Tanga Jane William akitoa ufafanuzi leo kwa wananchi waliofika katika maonyesho ya wiki ya vijana kwenye Uwanja wa Barafu mjini Dodoma  jinsi ya ufugaji wa vipepeo kwa ajili ya biashara. Moanyesho hayo ni sehemu ya maadhimisho ya kilele cha Mwenge wa Uhuru ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dokta Jakaya Mrisho Kikwete atakuwa mgeni rasmi.
 Katibu Mtendaji  wa Bodi ya Filamu Bibi Joyce Fissoo akitoa maelezo kwa Maafisa Utamaduni mbalimbali juu ya hatua wanazozichukua katika kukagua filamu za kuziwekea madaraja na stika za Mamlaka ya Mapato Tanzania ili kujenga uchumi wa  Nchi. Maelezo hayo ameyatoa leo mjini Dodoma wakati wa wiki ya vijana ikiwa ni kuelekea kilele cha Mwenge wa Uhuru ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dokta Jakaya Mrisho Kikwete atakuwa mgeni rasmi.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga(kulia ) akipata ufafanuzi wa hotuba na maandishi mbalimbali yaliyomo katika kitabu cha Mwalimu Nyerere cha Freedom and Unity  leo mjini Dodoma wakati wa maonyesho ya wiki ya vijana . Kushoto ni Afisa Mipango  Msaidizi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Edgar Atubonekisye (kulia) . Maonyesho hayo yanaenda sanjari na Kilele cha Mwenge wa Uhuru ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete atakuwa mgani rasmi tarehe 14.10.2015 mjini Dodoma.

KUMBUKUMBU YA KIFO

$
0
0
     SEKELA IRENE MULUNGU (Pichani)
 Mama yetu kipenzi, ni miaka kadhaa sasa imepita tokea ulipotuacha wapweke hapa duniani, kumbukumbu ya marehemu mama yangu aliyefariki tarehe (14thOktoba,1998).

Tunakukumbuka na tutaendelea kukuenzi kipenzi chetu. Unakumbukwa na wanao wapendwa,Juliana,Jane,na Jeremiah.Unakumbukwa na bibi,mama wadogo,wajomba,wajukuu,wakwe,ndugu,jamaa na marafiki.

MWILI WA DR KIGODA KUWASILI LEO NCHINI

$
0
0
MAREHEMU Dk Abdalala Kigoda enzi za uhai wake(Pichani) 

 Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Abdalala Kigoda aliyefariki  nchini India unatarajia kuwasili leo mchana tayari kwa ajili ya mazishi.

Ofisa habari wa Bunge, Prosper Minja ameiambia Mwananchi kuwa mwili huo utawasili saa nane mchana kwa ndege ya Emirates na kwenda kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya jeshi ya Lugalo.

Minja amefafanua kuwa shughuli za kuaga mwili huo zitafanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee kuanzia saa mbili asubuhi ambapo wananchi,wabunge na viongozi mbalimbali watapata fursa ya kutoa heshima zao za mwisho.

“Taratibu zote za kuaga zitafanyika Karimjee na hapo ndipo tunategemea watu wa kada mbalimbali watafika kutoa heshima zao za mwisho kwa Dk Kigoda”amesema Minja.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mussa Uledi ameeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa mazishi kufanyika siku ya Alhamisi.
“Kuna kamati maalum inayohusika na msiba nadhani ikifikia uamuzi itatoa taarifa ila ninachofahamu mazishi yatafanyika Alhamisi nyumbani kwako Handeni” amesema Uledi.

RAIS KIKWETE KUWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO

$
0
0
Na Mwandishi Wetu
 RAIS Jakaya Kikwete Alhamis Wiki hii anatarajiwa  kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani.  

Mradi huo wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo utakaokuwa wa aina yake Afrika Mashariki na Kati, unatarajiwa kugharimu dola za Marekani bilioni 10.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Dk Florens Turuka, Rais Kikwete ataweka jiwe hilo la msingi kwa ajili ya uzinduzi wa awamu ya kwanza ya mradi; ambayo ni ujenzi wa wa bandari hiyo iliyopo wilayani Bagamoyo.

Turuka alisema, mradi mzima wa ujenzi utajumuisha eneo hekta 800 kwa ajili ya ujenzi wa bandari na eneo la hekta 1,700 kwa ajili ya ukanda wa viwanda.

Eneo hilo  litaendelezwa chini ya makubaliano ya Serikali ya Tanzania, Kampuni ya China ya Merchants Holdings International (CMHI) na Mfuko wa Taifa wa Dharura wa Oman (SGRF).

Chini ya ushirikiano huo, Serikali inawakilishwa na Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) na Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji kwa Mauzo ya Nje,(EPZA), Oman itawakilishwa na SGRF na China CMHI.


“Pamoja na bandari na ukanda wa viwanda, mradi huu pia utahusisha ujenzi wa miundombinu kama vile reli, mitandao ya barabara, umeme, umeme, gesi na mitandao ya mawasiliano,” alisema Dk Turuka.

Mradi huo unatarajiwa kuibadili Tanzania na kuwa kituo kikuu cha usafirishaji kwa wafanyabiashara wa ndani na wa kimataifa ambao wataunganishwa na viwanda vitakavyozalisha bidhaa zilizoongezewa ubora.

Kwa mujibu wa Dk Turuka, wazo la kuwepo mradi huo, limetokana na uhusiano wa muda mrefu wa kidiplomasia baina ya Tanzania, China na Oman katika kuhamasisha uimarishaji wa viwanda Afrika jambo litakalosaidia kuongeza ajira nchini.

Kuanzishwa kwa mradi huo, kuliibuka tangu mwaka 2008, Rais Jakaya Kikwete alipotembelea China na kuzungumza na Rais wa nchi hiyo, Hu Jintao, na kuafikiana kujenga bandari hiyo.

Sherehe za kuweka jiwe la msingi zitahudhuriwa na wageni wa kimataifa na wa ndani wakiwemo wawekezaji katika mradi huo.
Wengine wanoatarajiwa kuhudhuria ni, wana diplomasia na ujumbe kutoka kwa Sultani wa Oman utakaoongozwa na Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano nchini humo, Shehe Abdullah Al Saadi.

Ujumbe kutoka China utaongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa CMHI ambaye pia ni Makamu wa Rais Mtendaji wa kampuni ya China Merchant Group Dk Hu Jianhua.

ASILIMIA 75 YA WANAWAKE HUKUTWA WAKIWA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI

$
0
0
 Afisa Elimu kutoka  Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya Moza Makumbuli akuzungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu  ya  chanzo kikubwa cha uvunjifu wa amani  nchini unatokana na vijana wanaotumia dawa za kulevya, katika Kongamano la vijana wa kitanzania  kweye ukumbi wa Karemjee  jijini Dar es Salaam. 
Baadhi ya vijana walio shikiriki katika mkutano huo kweye ukumbi wa Karemjee jijini Dar es Salaam
 Picha na Emmanuel  Massaka wa Global ya jamii

IMEELEZWA kuwa chanzo kikubwa cha uvunjifu wa amani  nchini unatokana na vijana wanaotumia dawa za kulevya.

Hayo yamelezwa  Jijini dar es Salaam na Mwenyekiti wa Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Care & Help Bi Karyn David wakati wa Kongamano mahususi lilojadili changamoto za kijamii na uchumi zinazowakabili vijana wa kitanzania hasa wa kike.

Aidha Bi. Karyn amesema kwa sasa jamii imekuwa ikikumbana na tatizo la uvunjfu wa amani kutokana na vijana kujihusisha na utumiaji wa dawa za kulevya.

Amendelea kufafanua kuwa Madhara ya dawa za kulevya ni makubwa kwani yanachangia kuleta utegemezi kwa kuwafanya vijana kushindwa kufanya kazi za kuwaletea maendeleo.

Amebainisha kuwa taarifa za Tume ya Udhibiti wa Dawa za kulevya,kwa manispaa yaKindoni,kwa mwaka 2014 imeonyeshwa kwamba kati ya watumiaji wa dawa za kulevya wa jinsi ya kike asilimia 75 kati yao wengi wakiwa na maambukizi  ya virusi vya Ukimwi.

Amesema kwamba maisha ya kijana wa kike wa Kitanzania huanza kupoteza Mwelekeo tokea siku za utotoni za kijana husika, Kwa upande wake  Mratibu  wa uaswa wa Jinsia katika mwitikio wa udhibi wa virus vya Ukimwi toka Tume ya kupambana na Ukiwi nchini TACAIDS,bwana Jacob Kayomba.
Amesema kwa sasa Jamii inapashwa kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya kwa kudai ndio yamekuwa chanzo kikubwa cha ugonjwa wa ukimwi.

PSPF YAVUNA WANACHAMA KUTOKA KIKUNDI CHA WAJASIRIAMALI WA VOWET

$
0
0
Meneja wa Mfuko wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS), wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mwanjaa Sembe, (aliyesimama), akiwaongoza wanachama wapya waliojiunga na mpango huo, wakati wa warsha ya siku moja iliyowakutanisha maafisa na mabalozi wa PSPF, na wanakikundi wa Sauti ya Wanawake Wajasiriamali Tanzania, (VOWET), kwenye ukumbi wa Belmonte jijini Dar es Salaam, Oktoba 13, 2015. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)

Na K-VIS MEDIA


MFUKO wa Pensheni wa PSPF, umezidi k”kupenya’ kwenye sekta binafsi na kuvuna wanachama zaidi kupitia mpango wake wa uchangiaji wa hiari yaani PSS, ambapo wanakikundi wajasiriamali wa kundi la Sauti ya Wanawake Wajasiriamali Tanzania (Voice of Women Entrepreneurs Tanzania-VOWET).
Wanachama hao wapya walijiunga baada ya kushiriki warsha ya siku moja ambayo ilifanyika kwenye ukumbi wa Belmonte ulioko jingo la makao makuu ya PSPF, jijini Dar es Salaam Oktoba 13, 2015, ambapo Mabalozi wa Mfuko huo, Msanii wa majigambo, Mrisho Mpoto na Mwanamitindo wa Kimataifa anayeishi na kufanyia kazi zake jijini New York Marekani, Flaviana Matata, walishiriki kutoa “Darasa” kuhusu umuhimu wa Watanzania walio katika sekta bionafsi kuchangamkia fursa kupitia kuiunga na uamancaha wa Mfuko huo kupitia mpango wa PSS.
Mabalozi hao waliongozwa na Meneja wa Mpango wa PSS, Mwanjaa Sembe, na Afisa Masoko Mwandamizi wa Mfuko huo, Magire Werema, ambao wote kwa pamoja walifafanua na kueleza kwa kina faida za kuwa mwanachama wa Mfuko huo, ambapo kwa muda mfupi baada ya kujiunga Mwanachama anawezakufaidi mafao mbalimbali yatolewayo na Mfuko huo ikiwemo mikopo ya nyumba, Fao la Elimu, na mengine mengi.
Kufuatia :Darasa” hilo, wanachama wa VOWET walijiunga na Mfuko huo kupitia mpango wa PSS


 Meneja wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS), wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mwanjaa Sembe, akitoa mada
 Magire Werema, Afisa Masoko Mwandamizi wa PSPF
 Balozi wa PSPF, Mwanamitindo wa Kimataifa aishie nchini Marekani, Flaviana Matata
 Balozi wa PSPF, Msanii maarufu Tanzania, Mrisho Mpoto akitoa mada
 Mjumbe wa Bodi ya Sauti ya Wanawake Wajasiriamali Tanzania, VOWET, Anne A. Ottieno, akiuliza swali
 Wanachama wa VOWET, wakijaza fomu za kujiunga na Mpango wa Uchangiaji wa Hiari PSS, wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF wakat wa Warsha hiyo
 Mwanachama wa VOWET, akijaza fomu tayari kuwa Mwanachama wa PSPF, kupitia mpango wa PSS
 Afisa Masoko Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Rahma J Ngassa, (kushoto), akiteta jambo wa Balozi wa Mfuko huo, Flaviana Matata
 Rahma akiteta jambo na Meneja wa Flaviana Matata, Shamim Mwasha(kulia)
 Meneja wa Mpango wa PS, Mwanjaa Sembe, (kushoto), akimsikiliza Mjumbewa Bodi ya VOWET, Anne Ottieno wakati akijiandaa kujaza fomu za kujiunga na Mpango huo



 Flaviana (wapili kulia), akiwaelekeza wanachama wa VOWET, jinsi ya kujaza fomu za kujiunga na Mpango wa PSS


RAIS KIKWETE AFUNGUA HOSPITALI YA UTAFITI NA TIBA DODOMA

$
0
0

  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi ufunguo wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa ya The Benjamin Mkapa Ultra modern Hospital Waziri wa Afya Kebwe Steven Kebwe kama ishara ya kuikabidhi Wizara ya Afya hospitali hiyo leo wakati wa hafla ya ufunguzi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,na Rais wa Awamu ya Tatu Mh.Benjamin William Mkapa wakikata utepe kufungua rasmi la Hospitali ya utafiti wa Magonjwa iliyojengwa katika chuo kikuu cha Dodoma na kupewa jina The Benjamin Mkapa Ultra Modern Hospital.Hospitali hiyo itatumika kwa mafunzo,tafiti na tiba ya magonjwa makubwa hususan figo na moyo.



Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwajulia hali baadhi ya wagonjwa waliolazwa katika hospitali mpya ya The Benjamin Mkapa UltraModern Hospital mjini Dodoma leo(picha na Freddy Maro)
Viewing all 46373 articles
Browse latest View live




Latest Images