Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46371 articles
Browse latest View live

WAWEZESHAJI WA KITAIFA WA STADI ZA MAISHA KANDA YA ZIWA WAPIGWA MSASA

$
0
0
 Afisa Vijana Kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni, na Michezo Bw. Godfrey Massawe akizungumza na vijana (hawapo pichani) wakati wa Mafunzo ya Wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha  kwa vijana wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa leo Jijini Mwanza. Mafunzo haya yamehusisha vijana kutoka Mkoa wa Simiyu, Mara, Kagera, Shinyanga na Mwanza.
 Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni, na Michezo Bw. James Kajugusi akisalimiana na vijana waliofika katika Mafunzo ya Wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha kwa vijana wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa leo Jijini Mwanza.
 Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni, na Michezo Bw. James Kajugusi akizungumza na vijana (hawapo pichani) wakati wa Mafunzo ya Wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha kwa vijana wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa leo Jijini Mwanza.
 Mtaalamu wa masuala ya Vijana Bw. Benny Lugoe akitoa mada kuhusu viwango vya Stadi za Maisha kwa Wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa leo Jijini Mwanza.
 
 Wawezeshaji wa Kitaifa wa masuala ya Stadi za Maisha kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakisikiliza kwa makini mada iliyokua ikiendelea wakati wa Mafunzo ya Wawezeshaji wa Kitaifa leo Jijini Mwanza. Kulia ni Mtaalamu wa masuala ya Vijana Bw. Robert Semkiwa.
 Wawezeshaji wa Kitaifa wa masuala ya Stadi za Maisha kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakijadiliana wakati wa mafunzo kwa vijana hao leo Jijini Mwanza.
 Mmoja wa Wawezeshaji wa Kitaifa wa masuala ya Stadi za Maisha Bw. Amos Owade akichangia mada wakati wa Mafunzo kwa Wawezeshaji wa Kitaifa leo Jijini Mwanza. Kushoto ni Bibi. Virginia Chacha
Mwezeshaji wa Kitaifa wa masuala ya Stadi za Maisha Bibi. Stella Mbura akiwasilisha hoja mbalimbali walizojadili katika makundi wakati wa Mafunzo ya Wawezeshaji wa Kitaifa leo Jijini Mwanza.
Picha na:Genofeva Matemu – Maelezo, Mwanza


PROFESA MBARAWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MKOANI PEMBA KWA TIKETI YA CCM AKIZINDUA KAMPENI

$
0
0
Profesa Mbarawa mgombea ubunge jimbo la mkoani Pemba kwa tiketi ya CCM akizungumza na wananchi wa Mkoani Pemba wakati wa kuzindua kampeni za chama cha CCM mkoani humo jana.

KWA VIGEZO HIVI WE SI KIBARUA NI MUAJIRIWA KISHERIA

$
0
0
   Na  Bashir  Yakub
MAKALA  haya  yataeleza   tofauti  kati  ya  kibarua  na  ajira  ili  isiwe  unaitwa  kibarua  kumbe  kisheria  umeajiriwa  na  unastahili  stahiki  zote  za  kiajira. 

Wako  watu  wengi  wanafanya kazi  lakini  hawajui  wanafanya  kazi  katika  mwavuli  upiyawezekana  mtu  akawa  amefanya  kazi  miaka  mingi  lakini  bado  kazi  anayofanya  haitambuliki  anaifanya  kama  nani.   

Na  mara  nyingi  hii  hujitokeza  katika  kazi  zile   ambazo  si  za  kitaaluma,Kazi  zisizo    za  kitaaluma   ni  kama   kufanya  kazi  za  ndani, kusaidia  mashambani,  kusaidia  katika ujenzi  na  nyingine  zinazofanana  na  hizo. 

  Lakini  pia  siku  hizi  kutokana  na ongezeko  la  ukosefu  wa ajira  hata kazi  ambazo  ni  za  kitaaluma  nazo  zimekumbwa  na janga  hili.
 Kwa sasa katika  ofisi  nyingi    wapo  watu  wanafanya  kazi  za  kitaaluma  lakini  haijulikani  kama  wameajiriwa  au  ni  vibarua. 

Wapo  watu  wamekaa  maofisini  hata  miaka  mingi   wakiitwa   wafanya  mazoezi ( intern) Wapo  wahasibu, madaktari, walimu, wachumi,  na  wengine  wengi.   

Waajiri  hupenda  sana  hali  hii  kwakuwa   huwapatia  faida  kubwa,  Kwanza  huwalipa  kiduchu  watu  hawa     lakini  pili hukwepa  kulipa  stahiki zao  nyingine  za  kiajira  kama  malipo  ya  muda  wa  ziada,matibabu, likizo, kuumia  kazini  na  stahiki  nyinginezo.

1.NINI  MAANA  YA  AJIRA.
Ajira    ni  mahusiano  ya  kikazi  kati  ya  mwenye  kazi  na  mfanyakazi  ambapo  mwenyekazi  huwa  na  mamlaka   ya kutawala,  kudhibiti, na  kuelekeza  namna ,  jinsi, na  wakati  gani  kazi  husika  ifanyike. 

 Wako  watu  wanafikiria  na  kujua  kuwa  ili  kazi  iitwe  ajira  ni  lazima  yawepo  maandishi  ya  kimkataba, hapana  hili  si  lazima, muhimu  ni  kama  inavyoelekezwa  katika tafsiri  hapo  juu. 

 Hii  ina  maana  ili  kazi  iitwe ajira  vipo  vigezo  vinavyozingatiwa na  hasa hivyo  nilivyotaja  kwenye  tafsiri, kimsingi  yapo  mambo  matano  ambayo   yakitokea  kazi  yoyote  unayofanya  itaitwa  ajira  na  utastahili  kupata  haki  zote  za  kiajira  kama  muajiriwa, tutaona mambo  hayo  hapa  chini.
2.   JE  WE  NI  KIBARUA  AU  MUAJIRIWA.
Yapo  mambo  matano   yatakayokujulisha kuwa we  si  kibarua  bali ni  muajiriwa.
( a ) Kwanza  ikiwa  una  mkataba  maalum   unaoeleza   aina  kazi  unayofanya,  sehemu  ya  kazi,   pesa  unazolipwa, , muda  wa  kazi, likizo  na mengine  usiambiwe  wewe  ni  kibarua. 

Makubaliano  ya  kimaandishi  ya  namna  hii   yanakupa  hadhi  ya   muajiriwa  na  unastahiki  haki  zote  za  muajiriwa  kwakuwa  we utakuwa  ni  muajiriwa  na  si  kubarua.
( b ) Pili  ikiwa  vitendea  kazi  unavyotumia   vinamilikiwa  na  mwenye  kazi,  mfano  we  ni  dereva  na  gari  si  la  kwako  ni  la  tajiri, unafanya  usafi  lakini  vifaa  vyote  vya  usafi  ni  vya  tajiri,  unafanya  kazi  za  ndani na  kila  kitu  ndani  ni  cha  tajiri. Basi  ikiwa  hilo  liko  hivyo  ni  kigezo  kuwa  hiyo  ni  ajira  na  si  kibarua.
( c ) Tatu  ikiwa  mamlaka  ya  kuamua  kazi  ifanyike  vipi,  kwa  namna  gani   na  kwa wakati  gani  anayo  yule  aliyekupa  kazi  basi  nacho  ni  kipimo  kuwa  hiyo  ni  ajira.  Kwa  mfano  bosi  na  sekretari  wake.  Kwakuwa  bosi  ndiye  huagiza  kazi  ifanyike  vipi, kwa  namna  gani n.k  bosi  huyo  hawezi  kusema  kuwa  hajamuajiri  huyo  sekretari.  Hii  ni  tofauti  na  pale  unapomleta  fundi  ujenzi  nyumbani.  Utamuonesha  kazi  lakini   hutakuwa  na  uwezo  wa  kumuelekeza  afanyeje  kazi  kwakuwa   yeye ndiye  fundi na  anajua namna ya  kufanya  kazi  yake.
( d ) Nne  suala  la  nani  anawajibika  na  hasara  inapotokea  nalo ni  kipimo  iwapo  umeajiriwa  au  ni  kibarua.  Kwa  mfano  ukimkodisha  dereva  hata  kwa  miaka  miwili  ikiwa  kila    gari  linapoharibika  au  kupata ajali  hutengeneza  yeye  hawezi  kusema  umemuajiri,  lakini  ikiwa   utatengeneza  wewe  unayemkodi  dereva  basi  itakuwa  ni kipimo  kuwa  yupo  katika  ajira.

( e ) Tano   ni  faida.  Nani  hunufaika  na  faida  nacho  ni kipimo  ikiwa  umeajiriwa   au  ni  kibarua.
Haya  ndiyo  mambo  makuu  yatakayokuashiria  ikiwa  umeajiriwa  au  unafanya  kibarua  na  si  mengineyo.

MWANDISHI   WA   MAKALA  HAYA   NI   MWANASHERIA  NA  MSHAURI   WA  SHERIA  KUPITIA  GAZETI  LA  SERIKALI   LA   HABARI   LEO  KILA  JUMANNE  , GAZETI  JAMHURI   KILA  JUMANNE  NA  GAZETI  NIPASHE  KILA  JUMATANO.    0784482959,        0714047241              bashiryakub@ymail.com

MATEMBEZI MOSHI – DAR YA KUSAFISHA MAZINGIRA

$
0
0
Kiongozi wa msafara wa wanamazingira waliotembea kwa miguu wakiokota taka za plastiki pembezoni mwa barabara kutoka Moshi mkoani Kilimanjaro na kuja jijini Dar es Salaam, Felix Garbe (kushoto) akimkabidhi ufagio Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ubungo Kibo Dar es Salaam, Sophia Yusuf ikiwa ni ishara ya kuhamasisha wakazi wa Dar es salaam kuchukua jukumu la kutunza mazingira. Tukio hilo lilifanyika baada ya wanamazingira hao kuwasili jijini Dar es Salaam baada ya safari iliyowachukua muda wa wiki tano kumalizika.
 (Picha: Hisani ya Nipe Fagio)

SOUTH AFRICAN ARTIST K.O (CARACARA) TO TOUR DAR ES SALAAM AND PARTNER WITH LOCAL ARTISTS

$
0
0
K.O
PRESS RELEASE
DAR ES SALAAM The multi award-winning artist K.O with hit single Caracara is to tour Dar es Salaam from the 13th to the 17th of September 2014. In his tour the artist will look into forming collaborations with local Tanzanian artists. K.O has already collaborated with leading female Tanzanian artist Vanessa Mdee in their hit song “Aint No Body”. He will use his stay in the country to tour various media houses and host strategic meet and greet sessions with Tanzanian artists and various stakeholders within the music industry.

This is K.O’s first tour of Tanzania is touring Tanzania as part of his East Africa tour. He is expected to visit Kenya right after Tanzania and perform at the Ebony lounge in the Nairobi Westlands. K.O expressed his desire to spread his music to East Africa and also gain new partnerships and collaboration within the regions. 

“Tanzania is quickly becoming the hub of the new African sound. The artists here are extremely talented a good number of them have managed to gain international recognition. I am looking forward to exploring the opportunities available to create new music with my fellow artists from Tanzania”, he said. 

The internationally acclaimed performer is considered to have birthed the new sound of South African Hip Hop/Rap sound. His first single ‘Mission Statement’ received significant airplay across Southern African and East Africa, but his follow-up single Caracara (featuring Cashtime Life artist KiD X) has received international recognition! During his first year of his debut album ‘Skhanda Republic’ K.O was voted hottest MTV MC of the year 2014 and 2nd African artists to watch by BBC1 Xtra. 

He has also received amongst others, 2 MTV MAMA nominations and 5 Channel O music video nominations.
K.O has also had the opportunity to partner with global social media giant Twitter to launch its audio service called Audio Card, a Twitter App that allows users to stream audio within a tweet. K.O has formed a continuous relationship with Twitter who worked closely with him in lauching K.O’s latest single ‘Sun of a Gun’. 

K.O is managed by Cashtime Life, an all-encompassing lifestyle and entertainment company based in South Africa. His Tanzania tour is managed by LAS Consultancy and any media house or artist interesting in connecting with him are invited to email info@lasconsultancy.co.tz

EALA TO PLAY MORE CENTRAL ROLE IN IMPLEMENTATION OF SDGs

$
0
0
  The Speaker of EALA (right) and a section of Members pay key attention to the proceedings earlier today.
 Members pose for a group photo.
 Hon Leonce Ndarubagiye (left), Rt. Hon Daniel F. Kidega (middle) and Hon Dora Byamukama in reflection at the start of the two day meeting on SDGs in NairobiEast African Legislative  Assembly
 
PRESS RELEASE
EALA TO PLAY MORE CENTRAL ROLE IN IMPLEMENTATION OF SDGs

…Regional legislators engaged in two day sensitisation workshop in Nairobi as Globe prepares to adopt SDGs in New York



East African Legislative Assembly, Nairobi, Kenya, September 7 2015: As the clock on the timeframe for Millennium Development Goals (MDGs) ticks away, the regional Assembly is gearing up to take a more central role in the implementation of the Post 2015 Agenda through the Sustainable Development Goals (SDGs).

EALA Members have today commenced on a two day sensitization workshop on promoting SDGs with a mantra to ensure the region realizes the set objectives of reducing poverty, achieving food security and enhancing gender equality amongst other development initiatives.
 

Addressing the legislators, EALA Speaker, Rt. Hon Daniel F. Kidega maintained that Parliaments had a fundamental role to play in ensuring implementation of the SDGs.

"We must take a more prominent role in ensuring full realization of the SDGs. I can guarantee you that the fate of the SDGs will be equally sealed if Parliaments do not enact their own action plans and take up the mantle on some of the relevant areas to their mandate", Rt. Hon Kidega said. 

The theme of the workshop is the "Role of EALA in implementing the SDGs: Promoting peaceful and Inclusive Societies for Sustainable development".

The two day meeting brings together Members of EALA and resource persons from institutions working round the clock to ensure Africa's concerns are taken on board fully when SDGs are rolled out.

The Institutions are Society for International Development, Africa Platform and the Institute for Economic Affairs.  Its objectives include updating the Assembly on the status and details of MDGs and the post 2015 plus 2063 and the Vision of the EAC.  

The meeting also analyses performance at the EAC level, hindrances and challenges learnt from MDGs while focusing on EALA mandate in promoting good governance, Transparency and Accountability.    

The sensitization workshop is also to explore strategies to ensuring the Global Development Framework (Post 2015 Agenda) is implemented and realized.

The Speaker said that EALA would hold Partner States accountable and enhance its oversight role in the dispensation.

For example, on legislation, can we check if each of our Partner States have enacted laws in the areas on SDGs. If the laws are in place, are they being implemented? Has the public been sensitized about these laws? How much have we budgeted for the effective implementation of laws?

He noted that it was important for the East African Community to allocate and appropriate more resources in the area of SDGs.  He remarked that EALA was keen to enact a regional piece of legislation relevant to the realization of the SDGs.

The Head of the Africa Platform Secretariat, Paul Okumu remarked that it was time for African countries to fully implement laws and policies around development.  He said a number of SDGs were in one way or another already encapsulated in policy frameworks.

"We need to understand that developing countries want to ensure an open democratic space where we can all make decisions and have a vote.  This is why the arena such as SDGs that bring together all countries is vital," He said.

He remarked that the continent may face challenges as the goals may be complex to realise. 

"Some of the areas have not been completed such as that dealing with Climate change", he added.

Associate Director of Society for International Development, Ali Hersi said it was necessary to have concrete binding commitments from Partners.  He said the role of EALA was key in ensuring concrete steps are realised as the region moves to the comprehensive development goals.

He noted that it was important for the Continent to take its place and mark its space in the Development Agenda dispensation.

Analysts contend that as the world transitions from a focus on MDGs to the more comprehensive SDGs, the need for effective, accountable and transparent institutions at all levels to achieve the goals will increasingly take centre stage.

The United Nations is expected to hold a global Summit in New York on September 25th-27th , 2015 to adopt the Post 2015 Development Agenda.

Lack of accountability has been identified as a major weakness in MDGs implementation.  From the Paris Accord to Accra Declaration to the recent Busan statements, the international Community has continued to express hope that countries' institutions be sufficiently capacitated to ensure internal supervision of national Government's international engagements.

 -ENDS-

NOTES TO EDITORS
The proposed Sustainable Development Goals include the following:
  1. End poverty in all its forms everywhere
  2. End hunger, achieve food security and improved nutrition, and promote sustainable agriculture
  3. Ensure healthy lives and promote wellbeing for all at all ages
  4. Ensure inclusive and equitable quality education and promote lifelong learning opportunities for all
  5. Achieve gender equality and empower all women and girls
  6. Ensure availability and sustainable management of water and sanitation for all
  7. Ensure access to affordable, reliable, sustainable and modern energy for all
  8. Promote sustained, inclusive and sustainable economic growth, full and productive employment, and decent work for all
  9. Build resilient infrastructure, promote inclusive and sustainable industrialisation, and foster innovation
  10. Reduce inequality within and among countries
  11. Make cities and human settlements inclusive, safe, resilient and sustainable
  12. Ensure sustainable consumption and production patterns
  13. Take urgent action to combat climate change and its impacts (taking note of agreements made by the UNFCCC forum)
  14. Conserve and sustainably use the oceans, seas and marine resources for sustainable development
  15. Protect, restore and promote sustainable use of terrestrial ecosystems, sustainably manage forests, combat desertification and halt and reverse land degradation, and halt biodiversity loss
  16. Promote peaceful and inclusive societies for sustainable development, provide access to justice for all and build effective, accountable and inclusive institutions at all levels
  17. Strengthen the means of implementation and revitalise the global partnership for sustainable development.

MKAKATI KABAMBE KUIMARISHA MAZINGIRA YA BIASHARA, UTALII MBIONI-TNBC

$
0
0
 Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Hatua thabiti za utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa Nane wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) zinatarajiwa kujulikana wiki chache zijazo.

Maazimio hayo yanalenga hasa kuimarisha mazingira ya biashara nchini na sekta ya utalii.

Akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa TNBC, Bw. Raymond Mbilinyi (Pichani) alisema hatua za utekelezaji maazimio mbalimbali ya kuimarisha sekta hizo zitajulikana katika mkutano wa 9 wa baraza hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 2 mwezi ujao (Oktoba).

“Mapendekezo mengine ni ya kiutawala zaidi ambayo ni rahisi lakini kuna maswala mengine yatahitaji mabadiliko ya sheria mbalimbali na haya yatatakiwa kufuata taratibu zinazotakiwa,” alisema Bw. Mbilinyi na kumshukuru Rais Kikwete kwa kuendesha mkutano huo.

Akielezea baadhi ya maeneo yanayohitaji kuboreshwa alisema kuwa pamoja na kuwa na kitengo maalum cha kuhakikisha watanzania wanashiriki kikamilifu katika ujenzi wa uchumi.

“Hii ina maana kuwa watanzania wasibaki kuwa watazamaji tu bali wawe washiriki katika shughuli za uchumi,” alifafanua.

Alisema eneo lingine linaloshughulikiwa ni kuwa na eneo au kituo kimoja ambacho kitarahisisha wafanyabiashara kulipia leseni za biashara na kuwa tayari kuna kikosi kazi kinachoangalia swala hilo litatekelezwaje.

“Kikosi kazi hiki kitaangalia jinsi bora ya kutekeleza hili na ikiwezekana kutumia njia ya mtandao ili kufanya mambo kwa kisasa zaidi,” alifafanua.

Mapendekezo mengine yanayofanyiwa kazi ni pamoja na kuvutia utaalamu kutoka nje ambao hauko hapa nchini ili kuwezesha vyuo vikuu hapa nchini kutoa wahitimu wenye sifa zinazotakiwa na soko la ajira.

Kwa mujibu wa Bw. Mbilinyi, wadau wa mkutano huo pia walishauri kutumia vyema swala la soko la nyumba linalokua kwa kasi hapa nchini kwa kuangalia uwezekano wa kuruhusu wawekezaji toka nje kumiliki nyumba.

Mkutano huo pia wa tarehe 2 Oktoba utaangalia jinsi bora ya kutumia ardhi kwa maendeleo ya wengi.  

“Tanzania tuna ardhi kubwa lakini haijapimwa…hili litafanyiwa kazi,” alisema na kuongeza kuwa mpango wa MKURABITA ni muhimu ukapewa kipaumbele.

Kwa upande wa sekta ya utalii, alisema washiriki wa mkutano walipendekeza kutumiwa kwa utaratibu wa ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi katika kuendeleza sekta hiyo kwa mfano katika ujenzi miundombinu kama viwanja vya ndege.

“Wadau pia wanataka sekta hii iunganishwe kwenye mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ili kuipa msukumo mkubwa zaidi kimaendeleo…hili pia litazingatiwa na kufikishwa katika mkutano ujao,” alisema.

Mapendekezo hayo yatafanyiwa kazi na wataalamu wa sekta ya umma na binafsi.

ZOEZI LA KUGAWA CHAKULA LAENDELEA KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA

$
0
0
Wakimbizi kutoka nchini Burundi  walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.
Byesige Josephat (anayemimina mafuta) na Hezron Mtangirwa(kushoto), wakimbizi kutoka Burundi waliohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu wakipima mafuta ili waweze kuyagawa kwa wakimbizi wenzao jana ,baada ya kugawiwa mafuta na Shirika la Umoja wa Mataifa, linaloshughulikia chakula (WFP), ambalo lina kituo chake katika kambi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma. 
 Kinamama wakimbizi toka Burundi wakipata mgao wao wa unga unaotolewa kwa wakimbizi wanaohifadhiwa katika Kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma.  Serikali kwa kushirikiana na Mashirika ya Kimataifa imeendelea kuhakikisha kuwa wakimbizi hawa toka Burundi wanapata chakula cha kutosha kwa ajili ya mahitaji yao.
 
Mkimbizi Irene Ntibelenda (katikati) akiwa pamoja na ndugu yake Sengiyu Mvajeme (kulia) baada ya kupokea mgao wa chakula unaotolewa na  Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililo  na Kituo chake katika kambi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu, mkoani Kigoma. Kushoto ni mtoto wake aitwaye Nsengiyumva Idiphonce.
 Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Josef Ntukugurya akifunga shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kupokea unga huo kutoka kwa Shirika la Umoja wa Mataifa, linashughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu, mkoani Kigoma .
Sehemu ya shehena ya chakula ukiwepo unga wa mahindi na mafuta ya kupikia ikiwa katika ghala la kuhifadhia chakula lililopo katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma.  Chakula hiki hutolewa na Jumuiya ya Kimataifa kama kupitia Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP) ili kusaidia wakimbizi wanaohifadhiwa hapa nchini.
(PICHA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI – WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI)


WADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA FEDHA ZA MISAADA YA MABADILIKO YA TABIANCHI

$
0
0
Mwenyekiti wa bodi ya ForumCC, Euster Kibona akifungua semina ya kujadili ripoti ya matumizi ya fedha za misaada hasa kwenye mabadiliko ya tabianchi iliyofanyika leo  jijini Dar es Salaam.
 Mratibu wa Forum CC, Rebecca Muna akitoa maelezo kuhusu ForumCC kwenye semina na wadau wa mazingira  waliofika kujadili changamoto za bajeti ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imewashirikisha baadhi ya wadau wa mazingira hapa nchini na nje ya nchi 
 Judy Ndichu ambaye ni mjumbe wa mazingira kutoka nchini Kenya akitoa somo kwa washiriki wa semina hiyo kuhusu changamoto zinazopatikana kwenye bajeti zinazotolewa kwenye mabadiliko ya tabianchi.

 
 
Wajumbe wakifuatilia kinachoendelea kwenye mkutano huo
Picha ya Pamoja

MKUTANO MKUU WA TFF DISEMBA 19, 2015

$
0
0

Kikao cha Kamati ya Utendaji cha Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kilichokaa tarehe 06/09/2015 kilipanga tarehe ya Mkutano Mkuu wa TFF kuwa ni Disemba 19-20, 2015.
Ajenda za Mkutano zitakuwa ni kwa mujibu wa katiba ya TFF.

OLJORO KUCHUANA NA ARUSHA FC, UFUNGUZI WA LIGI YA NYERERE CUP SEPTEMBA 10

$
0
0
 ARUSHA-Timu ya maafande wa Jkt Oljoro inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania bara inatarajia kuchuana vikali na ndugu zao timu ya Arusha FC katika ufunguzi wa ligi maalum ya Nyerere cup inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi septemba 10 jiji Arusha.

Tiyari timu ya Arusha FC na Jkt Oljoro zimethibitisha kushiriki michuano hiyo huku kila mmoja akijitamba kuonyesha ubabe dhidi ya mwenzake na pia wakitumia mechi hiyo kutambulisha wachezaji wao kwa wapenzi wa Soka wa jiji Arusha.

Mechi hiyo ya ufunguzi kati ya Oljoro na AFC itakayochezwa jioni  katika uwanja wa Sheik Amri Abeid, ni kwa ajili ya kufungua michuano ya Nyerere cup  itakayoshirikisha Jumla ya timu Sita za vijana chini ya umri wa miaka 13, lengo kubwa ikiwa ni kumuenzi muasisi wa Taifa hili Hayati Mwl, Julius K. Nyerere.

Akizitaja timu shiriki katika ligi hiyo, mratibu wa maadhimisho hayo Bertha Ismail alisema kuwa ni pamoja na Nyota Accademy, Future Star, Kijenge Youth zingine ni Rolling stone, Young Life na Pallot.

“Maadhimisho haya huwa yanafanyika Octoba 14 kila mwaka lakini kwa mwaka huu tunafanya mwezi Septemba ili maadhimisho haya yasiathiriwe na zoezi la Uchaguzi ambapo pamoja na kumuezi Muasisi wa Taifa letu lakini ligi hii pia inalenga kuhasisha wananchi wafanye uchaguzi kwa amani bila vurugu ili sekta ya utalii hapa nchini izidi kukua”

“Katika maadhimisho haya yatakayofunguliwa na mkurugezi wa jiji la Arusha Iddi Juma yana “kauli mbiu ni Uchaguzi wa amani 2015: Taifa Moja kwa Maendeleo ya utalii” ambapo wadau mbali mbali wa maendeleo ya nchi yetu na utalii kwa ujumla watahudhuria ufunguzi na kilele ambayo ni septemba 19 na atakaefunga ni mkurugenzi wa hifadhi ya Taifa (TANAPA)  Allan Kijazi”

LISHE MAALUMU KWA WANAUME WENYE TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

$
0
0
 Ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Kufahamu  kwa  kina  kuhusu  tatizo  la  ukosefu  &  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni muhimu  sana  kutembelea    link  hii  hapa  chini.
LISHE  YA  NGUVU  ZA  KIUME  NI  NINI  ?
Lishe  ya  nguvu  za  kiume  ni  lishe  maalumu  kwa  wanaume  wenye  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
Lishe  ya  nguvu  za  kiume  ni  mcahanganyiko  wa  dawa  asilia    ya   nguvu  za  kiume  iitwayo  JIKO  pamoja  na  dawa  &  vyakula  dawa  vingine  thelathini  ambavyo  vyote  kwa  pamoja  vinatibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
Lishe  hii ni  maalumu   husaidia  kuimarisha  afya  ya  mfumo  wa  nguvu  za  kiume pamoja  na  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  matatizo  yote  katika  mfumo  wa  nguvu  za  kiume.
Lishe  hii  huwasaidia  hata  wanaume  ambao  tatizo  la ukosefu  &  upungufu  za  kiume  kwao, linatokana  na  ugonjwa  wa  kisukari.
Mtu  pekee  ambaye  lishe  hii  haiwezi  kumsaidia ni  Yule  ambaye   tatizo  lake  linatokana  na  maradhi  katika  tezi  na  maradhi  katika  figo.
Kufahamu  zaidi  kuhusu  lishe  maalumu  pamoja  na  namna  inavyo  tumika, tafadhali  tembelea :

VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI

$
0
0

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.

Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.

Azam FC watakua wenyeji wa Tanzania Prisons kaika uwanja wa Chamazi Complex, Stand United FC chama la wana watawakaribisha Mtibwa Sugar katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, Toto Africans watawakaribisha Mwadui FC uwanja wa CCM Kirumba na Mbeya City watacheza na Kagera Sugar katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

Jumapili Ligi Kuu itaendelea kwa mchezo mmoja tu utakaochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ambapo mabingwa watetezi wa kombe hilo Yanga SC watawakribisha wagosi wa kaya Coastal Union.

Katika hatua nyingine klabu ya Kagera Sugar ya mkoani Kagera itatumia  Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora kwa mechi zake za nyumbani dhidi ya Toto Africans (Sept 26), JKT Ruvu (Sept 30), Tanzania Prisons (Oct 4) na Yanga (Oct 31).

Mabadiliko hayo yamefanyika kupisha shughuli ya uwekaji nyasi bandia inayoendelea kwenye uwanja wao wa Kaitaba mjini Bukoba unaofanywa na wataalamu kutoka Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA).

EXPRESSION OF INTEREST JOINT DEVELOPMENT OF PLOT NUMBER 552 IN UPANGA AND PLOTS NUMBER 296 - 299 IN MIKOCHENI, DAR ES SALAAM

$
0
0

EXPRESSION OF INTEREST
JOINT DEVELOPMENT OF PLOT NUMBER 552 IN UPANGA AND PLOTS NUMBER 296 - 299 IN MIKOCHENI, DAR ES SALAAM

The ELCT-ECD Investment Trust is a commercial entity of the Registered Trustees of The Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) - Eastern and Coastal Diocese (ECD). The core objectives of the Trust are:-To be the vehicle that will be used to achieve greater investment by the ELCT-ECD for its well being so as to support itself financially, to advice the  ELCT-ECD where and when to invest and how much to invest, To mobilize financial resources from the general public and in certain specific communities and groups in society, locally and internationally, in order to meet the costs of implementing development programmes and activities and  to cooperate with relevant national and international institutions in order to participate jointly in eradicating poverty.

The Investment Trust is offering an investment opportunity to develop its plots which are located in Dar es Salaam - Central District Business area.

The first release of joint development is proposed to be at plot number 552 in Upanga just opposite Muhimbili National Hospital, Mindu Street.  The plot is 2,878.59 square meters. The other plots are number 296 - 299 at Mikocheni close to Mwalimu Nyerere bus station, these plot are 3,960 square meters. The plots are prime for commercial, residential, diplomatic residences, and offices. In addition, the plots are surrounded by all basic infrastructure including electricity, water and tarmac roads.
 
In that regard, the Board of Trustees of ELCT - ECD INVESTMENT TRUST invites expression of interest from different investors/partners under the following clusters; A: Embassies, International Organizations/Agencies B: Social Security Funds, International Financial Agencies C: Real estate developer Companies/organizations. Individual are strongly discouraged to apply. For further information please call Mr. Godfrey Benjamin, Telephone No. 0719 367 002

Please note that the Board of Trustees can correct and re-design or reject the project proposal. All interested investors/partners are advised to send their profile/project ideas through the under mentioned address or e-mail:  info@elctecd.org before 30thSeptember 2015.

The Secretary to the Board of Trustees
ELCT - ECD Investment Trust
15 Soikoine Drive
Luther House Building near Azania Front Cathedral
First Floor
P.O.BOX 837
DAR ES SALAAM

MAGUFULI AITIKISA MUHEZA MCHANA HUU,MAELFU YA WANANCHI WAJITOKEZA KUMLAKI

$
0
0
 Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wananchi wa Muheza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga
 Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli akisisitiza jambo kwa Wananchi wa Muheza waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga
Wananchi wa Muheza na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi mapema leo mchana wakimsikiliza Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli,alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga
 Mgombe Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimkabidhi Ilani ya chama cha CCM,Balozi Rajab Adadi ambaye anagombea Ubunge jimbo la Muheza,mbele ya maelfu ya watu waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga
 Wananchi wakishangilia jambo 
 Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli akitoka kwwenye uwanja wa CCM mjini Muheza mara baada ya kuwahutubi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga.

PICHA NA MICHUZI JR-MUHEZA.



SHEREHE ZA MKONDO WA BAA ZANOGESHA PROMOSHENI YA TUSKER FANYA KWELI KIWANJANI

$
0
0
 Mkazi wa Mikocheni na mpenzi wa kinywaji cha Tusker Bw. Gaspar Makongoro (38) (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) wakati wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam katika promosheni ya Tusker fanya kweli kiwanjani .Anaeangalia (kulia) ni balozi wa bia hiyo Veronica Mbilinyi.
 Msimamizi wa Mauzo wa Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya Sinza na Mwenge Anitha Moshi akimvalisha fulana mkazi wa Changanyikeni Honest Oscar kwenye hafla ya kuzipongeza baa 7 zilizo kwenye mkondo mmoja ambazo kwa pamoja ziliibuka baa za wiki kwenye shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani lililofanyika katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam. Baa hizo ni Amigos, Massawe, Dagaa dagaa, Sina Contena, Saa junction, Chua pub na Lucy pub.
 Mkazi wa Sinza Bw. Nasib Ngoya (kulia) akionyesha zawadi yake  ya mfuko wenye fulana aliopewa katika hafla ya kuzipongeza baa 7 zilizo kwenye mkondo mmoja ambazo kwa pamoja ziliibuka baa za wiki kwenye shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani lililofanyika katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam. (Katikati) ni Mtangazaji wa redio Efm na mshereheshaji wa Kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash na Anaeshuhudia (kushoto) ni Meneja mipango na Matukio-SBL Lulu Mduma.
 Mpenzi wa kinywaji cha Tusker na mkazi wa Sinza Rosemary John (Kulia) akifurahi kwa pamoja na Meneja Mipango na matukio-SBL Lulu Mduma (kushoto) baada ya kukabidhiwa zawadi ya fulana kwenye promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani ambayo ilifunga kambi katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam kusherekea ushindi wa baa zaidi ya sita zilizo kwenye mkondo mmoja ambazo kwa pamoja ziliibuka washindi wa wiki wa promosheni hiyo inayoendeshwa na bia ya Tusker. Baa hizo ni Amigos, Massawe, Dagaa dagaa, Sina Contena, Saa junction, Chua pub na Lucy pub.
 
 Mkazi wa Sinza, Prosper Minja akipokea zawadi yake ya fulana toka kwa Meneja Mipango na Matukio-SBL Lulu Mduma katika shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam ambapo baa 7 zilizopo kwenye mkondo mmoja ziliibuka baa za wiki kwenye promosheni hiyo ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani baa hizo ni Amigos, Massawe, Dagaa dagaa, Sina Contena, Saa junction, Chua pub na Lucy pub.

KAMPUNI ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na Kampuni ya bia ya Serengeti kwa udhamini wa bia bora Afrika ya Tusker wiki hii imekuja na mvuto wa aina yake baada ya kuzikutanisha na kuzifanyia sherehe baa mbalimbali zilizopo kwenye mkondo/mtaa  mmoja.

Tukio hilo ambalo lilionekana kuwafurahisha wapenzi wa bia ya Tusker lilifanyika wikiendi ya Jumamosi katika mtaa wa Legho, Sinza jijini Dar es salaam ambapo baa zaidi ya 6 zote kutoka Sinza ziliungana kushiriki katika sherehe hizo. Baa hizo ni:- Amigos, Massawe, Dagaa dagaa, Sina Contena, Saa junction, Chua pub na Lucy pub.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa sherehe hizo, Meneja Masoko  wa bia ya Tusker Bi. Nandi Mwiyombella alisema mpaka kufikia sasa kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani imepokelewa vyema na wateja wa bia hiyo jijini Dar na hata mikoani ambapo kampeni hiyo pia inaendelea. 

“Promosheni hii ni muendelezo wa Kampeni ya Tusker Fanya Kweli  kama inavyoonekana kwenye mabango na matangazo ya radio pia ni kampeni inayolenga kuleta muamko wa hamasa kwa watanzania waweze kutekeleza malengo yao waliyoyapanga“.

Alisema kuwa katika maisha baadhi ya malengo yanayotarajiwa  ni pamoja na kujenga nyumba, kufunga ndoa, kununua gari  kuanzisha biashara na kadhalika. Mafanikio ni hatua na kila hatua inastahili pongezi na kusherehekea matunda ya mafanikio hayo,bia ya Tusker inatambua juhudi za watanzania ambapo juhudi lazima ziendane na utekelezaji na katika kufanya hivyo basi mtanzania anapiga hatua hivyo kupitia Kampeni hii Bia ya Tusker inampongeza mtanzania kwa kila hatua anayopiga. 

Tunaamini kwamba kupitia Kampeni hii ujumbe huu utawafikia watanzania wote kwa urahisi zaidi.Bia ya Tusker inatoa hamasa na kusema tufanye kweli na Tusker inatambua kila hatua ya maendeleo iliyopigwa.

Bi. Mwiyombella aliongeza kuwa sherehe za Tusker Fanya Kweli Kiwanjani pia zinalenga kujenga uaminifu kwa wateja na kurudisha shukrani kwao huku wakisherekea kwa pamoja na bia waipendayo ya Tusker. Sherehe hizi za mkondo wa baa tofauti ni muendelezo wa kampeni ya Fanya Kweli Kiwanjani; ikiwa na mkusanyiko wenye ari na muamko zaidi na hivyo ni burudani zaidi sambamba na zawadi nyingi zaidi kwa wateja.

Kampeni ya Fanya Kweli Kiwanjani itaendelea mpaka mwisho wa mwezi wa kumi huku sherehe za mkondo wa baa zikitegemewa kuwafikia pia mashabiki wa bia ya Tuskerwaliopo Arusha na Mwanza kabla ya kampeni kufikia tamati.

WAWANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA KANSA YA KIZAZI WAPATA FARAJA

$
0
0
 Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kulia)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kutangaza mfumo ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na Vodacom Foundation ambayo imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha wakina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI). Kushoto kwake ni Mkurugenzi mtendaji wa T-Mark Tanzania,Diana  Kisaka,Kaimu mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya Ocean road, Beatrice Erasto na Meneja mradi wa T-Mark Tanzania,Doris Chalambo.
 Kaimu mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya Ocean road, Beatrice Erasto akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa mkutano wa kutangaza mfumo ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na Vodacom Foundation ambayo imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha wakina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI).katikati ni Mkurugenzi mtendaji wa T-Mark Tanzania,Diana  Kisaka na Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza.
 Wakina mama wanaotibiwa ugonjwa wa kansa ya kizazi katika hospitali ya Ocean road wakifurahia jambo na Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kulia) baada ya kutangaza mfumo wa kusaidia matibabu kwa kina mama hao  ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na Vodacom Foundation ambayo imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha akina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI).
Baadhi ya wageni waalikwa na wakina mama wanaotibiwa ugonjwa wa kansa ya kizazi katika hospitali ya Ocean road, wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari uliohusu taasisi zisizo za kiserikali za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na Vodacom Foundation  wakitangaza mfumo wa kusaidia matibabu kwa wakina mama hao  ulioshirikisha taasisi hizo   ambapo  Vodacom Foundation imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha wakina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI).

 
.  Ni kutokana na kuanzishwa kwa huduma ya kuwasaidia
.  Kupitia Vodacom Foundation,T-Marc Tanzania na Pink ribbon red ribbon

Wanawake wanaougua maradhi ya Kansa ya kizazi nchini wamepunguziwa adha ya kusumbuka na gharama za matibabu zinazowakabili.Unafuu huo unatokana na ushirikiano wa taasisi tatu ambazo zimeamua kushirikiana kulivalia njuga tatizo hili ili kuleta unafuu kwa akina mama hususani wenye maisha duni na waishio vijijini.Taasisi hizo ni Vodacom Foundation ,T-MARC Tanzania na taasisi ya kimataifa ya Pink Ribbon Red Ribbon.

Taasisi ya Vodacom imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha akina mama wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam ilipo taasisi ya uchunguzi na matibabu ya Kansa ya Ocean Road (ORCI) kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali na kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

Msaada huu kwa kuanzia utawalenga akina mama wanaoishi sehemu ambazo taasisi ya Pink Ribbon Red Ribbon inaendesha miradi yake ambayo ni katika mikoa ya Iringa,Mbeya na Mwanza.

Katika ushirikiano huu T-MARC inahusika na kuwapata walengwa kwa ushirikiano na taasisi za afya kwenye mikoa hiyo ambapo baada ya kupatikana wataunganishwa na  mabalozi wa mradi huu kutoka taasisi ya Comprehensive Community-Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) ambao watapatiwa fedha za kusafirisha walengwa kutoka T-MARC kwa njia ya M-Pesa kwa ajili ya kununua tiketi za usafiri na watakapofika jijijini Dar es Salaam watapokelewa na ufuatiliaji ,gharama za uchunguzi  na gharama za matibabu yao yatafanywa na T-MARC ambayo itahakikisha pia wamalizapo uchunguzi na matibabu wanarejeshwa makwao.Huduma hii pia itatolewa kwa wagonjwa wataopenda kutibiwa katika hospitali ya Bugando iliyopo jijini Mwanza ambayo itaanza kutoa huduma kwa wagonjwa wa Kansa katika siku za karibuni.

Akiongea wakati wa uzinduzi wa mradi huu ambao umelenga kuwasaidia wanawake wenye hali ya maisha ya chini uliofanyika leo katika taasisi ya Ocean Road, Meneja wa Miradi wa T-MARC  Doris Chalambo alisema tayari mradi umehudumia akina mama 17 Kutoka mikoa ya Iringa na Mbeya na wanaendelea vizuri kupata matibabu na afya zao zinazidi kuimarika.

Chalambo alisema “Ugonjwa wa Kansa ya kizazi ni tishio hapa nchini na unasababisha vifo vya akina mama wengi na takwimu zinaonyesha  unachukua asilimia 38.4  ukiondoa  wagonjwa wa kansa za aina nyingine.Tanzania pia ni nchi yenye vifo vingi vya Kansa barani Afrika,hivyo lazima tukubali kuwa Kansa hivi sasa ni moja ya magonjwa tishio nchini na unahitaji kuuvaria njuga kwa nguvu zote ili kuutokomeza na kwanusuru wananchi na vifo vinavyotokana na ugonjwa huu”

Aliongeza kusema kuwa Mkoani Mbeya mradi huu  tayari umesaidia akina mama na wanapoelimishwa kujua dalili za ugonjwa wanajitokeza ili wafanyiwe uchunguzi kabla ya ugonjwa kuongezeka na kufikia hatua ya kutotibika na alisema  wengi wameelewa ugonjwa huu na hawaufichi na kuuona kama ugonjwa wa aibu kama ilivyokuwa hapo awali anapotokea mgonjwa anafanya jitihada za kutafuta matibabu haraka.

“Kupitia msaada huu wa Vodacom Foundation na Pink Ribbon Red Ribbon wanawake wote waliojitokeza kuchunguzwa na kukutwa wameisha athirika kwa kiasi kikubwa wanaendelewa kusaidiwa gharama za matibabu”.Alisema Chalambo.

Kwa upande wake Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza amesema kuwa msaada wa Dola za Marekani milioni 87,400 umelenga kusaida matibabu  ya akina mama na kupunguza vifo vinavyosababishwa na ugonjwa wa kansa ya Kizazi “Tukio hili la leo pia linatupa fursa ya kutoa elimu kwa jamii ya Tanzania kuhusiana na ugonjwa wa Kansa ya Kizazi na nini kifanyike kukabiliana nao kama ambavyo wenzetu wa Pink Ribbon Red Ribbon wameanza kuuvalia njuga kwa ajili ya kuutokomeza hapa nchini”.Alisema

Naye mkuu wa kitengo kinachohusika na ugonjwa wa Kansa ya Kizazi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dk……Kamala amesema kuwa wananchi wengi wameanza kuuelewa ugonjwa huu na wanajitokeza kwa wingi kufanyiwa uchunguzi wanapohisi dalili tofauti na ilivyokuwa katika siku zilizopita.

 “Hivi sasa vipo vituo 130 kwenye mikoa 17 nchini vya uchunguzi wa kansa ya kizazi  na uchunguzi huo na matibabu ni bure na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ina dhamira ya kuhakikisha huduma hizi zinaboreshwa zaidi ila changamoto kubwa imekuwa ni  gharama kubwa za kununua mashine za uchunguzi na matibabu ya ugonjwa huu,tunatoa wito kwa akina mama kuanzia umri wa miaka 30 hadi 50 kujitokeza kufanyiwa uchunguzi wanapohisi dalili kwa kuwa ugonjwa ukigundulika mapema ni rahisi kutibika na  jambo hili likizingatiwa litaokoa maisha ya  wengi”.Alisema.

MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI.

$
0
0
 Mratibu wa Mradi wa kuzalisha gesi ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa 4 katika fani ya Uhandisi wa Mazingira, Chuo Kikuu cha Ardhi John Rutahirwa Akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu moja ya mtambo wa kukusanyia maji taka kutoka majumbani eneo la mradi wa kuzalisha gesi Vingunguti.Gesi hiyo itaanza kutumika mwezi Desemba mwaka huu.
 Meneja Uhusiano wa DAWASCO Bi.Neli Msuya (kulia) akiwa na Mtaalam anayehusika na ujenzi, mafunzo na usimamizi wa mfumo wa mradi wa kuzalisha Gesi Vingunguti ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya Uhandisi wa Mazingira, Chuo Kikuu cha Ardhi Rukia Yange wakionyesha moja ya kifungashio cha Gesi itakayotumika majumbani Kutokana na maji taka yanayokusanywa eneo la Vingunguti.Mradi huo unalenga kuwapunguzia  wananchi gharama za uhifadhi wa maji taka na kuwapatia nishati ya gesi kwa gharama nafuu itakayowasaidia kuondokana na matumizi ya mkaa.
 Jumanne Saidi Fundi ujenzi wa vyoo na msimamizi wa mradi wa majaribio wa Biogasi Vingunguti akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu kazi ya ufungaji wa miundombinu ya kuzalisha gesi katika eneo la Vingunguti.
 Mtaalam anayehusika na ujenzi, mafunzo na usimamizi wa mfumo wa mradi wa kuzalisha Gesi Vingunguti ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya Uhandisi wa Mazingira, Chuo Kikuu cha Ardhi Rukia Yange akitoa maelezo kwa waandishi wa habari kuhusu maji taka yanayokusanywa eneo la Vingunguti ambayo yatazalisha nishati ya Gesi na kuwahudumia wanaoishi kuzunguka mabwawa ya Maji Taka Vingunguti.
 
 Mtambo wa kuzalisha Gesi katika katika eneo la Mradi wa Majaribio eneo la Vingunguti unaokusanya maji taka moja kwa moja kutoka katika makazi ya wananchi.Mtambo huo kwa mujibu wa maelezo ya watalaam wa mradi huo una uwezo wa kukaa ardhini kwa kipindi cha miaka 50.
 Moja ya choo cha kisasa kilichojengwa katika moja ya familia kwa ajili ya mradi wa kuzalisha Gesi katika eneo la Vingunguti.
Eneo la  Mtaa wa mji mpya Vingunguti ambako mabomba ya kupitishia maji taka kutoka kwenye vyoo vya wananchi ambayo huenda moja kwa moja kwenye mtambo wa kuzalishia Gesi.
Picha na Aron Msigwa - MAELEZO.
 
Na.Aron Msigwa - MAELEZO.
WAKAZI wa mtaa wa mji mpya, kata ya Vingunguti, Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam wako mbioni kuanza kunufaika na mradi wa uzalishaji wa Gesi inayotokana na maji taka ya vyoo vyao na yale ya yaliyo katika mabwawa makubwa ya kuhifadhia maji taka yaliyo katika eneo hilo.

Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo unapojengwa mradi wa majaribio wa kuzalisha Gesi, Mratibu wa Mradi huo ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa 4 katika fani ya Uhandisi wa Mazingira, Chuo Kikuu cha Ardhi John Rutahirwa amesema kuwa wananchi wataanza kutumia gesi itakayozalishwa kuanzia mwezi Desemba mwaka huu.

Amesema kazi ya kufanikisha ujenzi wa miundombinu ya mradi huo inaendelea chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Maji Taka (DAWASA) kwa kushirikiana na Wanafunzi wa fani ya Uhandisi wa Chuo Chuo Kikuu cha Ardhi na Taasisi isiyo ya kiserikali ya wanafunzi wanaosomea fani ya uhandisi wa Mazingira (CDI) ya Chuo kikuu cha Cambridge, Uingereza.

Amesema wanafunzi wanaosomea fani ya Uhandisi wa Mazingira wa Chuo Kikuu cha Cambridge,Uingereza kwa kushirikiana na baadhi ya wanafunzi wanaosomea Uhandisi wa Mazingira wa Chuo Kikuu cha Ardhi nchini Tanzania walikuja na wazo na kubuni mradi huo wenye lengo la kuboresha maisha kupitia maji taka.

Amesema chini ya uratibu wa DAWASA yenye jukumu la kusimamia miundombinu ya maji taka na Taasisi ya mikopo la Bridge for change  ya Tanzania inayotoa mikopo midogo midogo kwa wananchi walianza kufanya mapitio kwa  kila nyumba ili kuona namna wanavyoweza kutumia changamoto ya maji taka katika eneo hilo kwa kuigeuza kuwa fursa.

Amefafanua kuwa wakihusisha wataalm wa mradi na viongozi wa mtaa wa vingnguti mji mpya, walianza  kuzungumza na kujadiliana na wakazi wa eneo hilo ili kuwezesha kazi ya  kuunganisha vyoo vyao katika mtandao wa mabomba ya kusafirisha maji taka kuelekea kwenye mtambo wa kuzalisha gesi.

Amefafanua kuwa  chini ya mradi huo maji taka yote kutoka kutoka katika  nyumba zilizounganishwa kupitia mabomba yanakusanywa  na kusafirishwa moja kwa moja  kwenye  mtambo wa kuzalisha gesi.

Kwa upande wake Mtaalam anayehusika na ujenzi, mafunzo na usimamizi wa mfumo wa mradi huo ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya Uhandisi wa Mazingira Chuo Kikuu cha Ardhi Rukia Yange amesema mradi huo ambao uko kwenye majaribio unalenga kuwapunguzia  wananchi gharama za uhifadhi wa maji taka kwa kuwapatia nishati ya gesi kwa gharama nafuu itakayowasaidia kuondokana na matumizi ya mkaa.

Amesema kwa kuanzia utawanufaisha  watu 150 wa eneo hilo na kuongeza kuwa kuanzia Desemba mwaka huu wataanza kuiweka gesi hiyo katika vifungashio maalum vitakavyoanza kusambazwa majumbani mwao tayari kwa matumizi.

Amesema gesi hiyo itamwezesha mwananchi kuitumia kwa kipindi cha mwezi mmoja na kupunguza  matumizi makubwa ya mkaa na uharibifu wa mazingira.

Aidha, amesema gharama za mwananchi kuunganishwa katika mfumo huo inaanzia shilingi 150,000/ kwa wale walio na vyoo vinavyoruhusu mfumo huo na  shilingi 700,000/= kwa mwananchi anayetaka kujengewa choo kipya katika eneo lake la makazi gharama ambazo hulipwa kidogo kidogo kupitia utaratibu wa mikopo nafuu ulioanzishwa.

Naye Meneja Uhusiano wa DAWASA  Bi. Neli Msuya akifafanua kuhusu mradi huo amesema suala la ujenzi wa miundombinu ya kuchukualia maji taka na matumizi ya gesi itakayozalishwa litakwenda sambamba na utoaji wa elimu kwa wananchi hao juu ya matumizi na uhifadhi wa gesi hiyo.

Amefafanua kuwa DAWASA inaendelea kuendesha mafunzo ya uzingatiaji wa usalama katika matumizi ya gesi hiyo pamoja na suala la usafi, utunzaji na ulinzi  wa miundombinu ya kusafirishia maji taka iliyojengwa katika eneo hilo ili iweze kudumu kwa kipindi kirefu.

Ameeleza kuwa mbali na mradi wa kuzalisha gesi DAWASCO kwa kushirikiana na wadau wa matumizi ya Nishati endelevu na uhifadhi wa mazingira inatarajia kuanzisha mradi wa kuzalisha mbolea itakayotokana na maji taka yaliyohifadhiwa katika eneo hilo.

"DAWASA tukishirikiana na wadau mbalimbali tuna mpango wa kuyatumia maji taka haya yaliyohifadhiwa kuzalisha mbolea itakayotumiwa na wakulima katika shughuli za kilimo,tunalenga kuibadilisha changamoto hii ya maji taka kuwa fursa itakayowanufaisha wananchi badala ya kuwa kero kwao" Amesisitiza.

Wakiuzungumzia mradi huo baadhi ya wakazi wa mtaa wa mji mpya ambao vyoo vyao vimeunganishwa kwenye mfumo wa kusafirishia maji Taka wamesema mradi huo ni ukombozi katika maisha yao kwa kuwa umewapatia vyoo bora na kuwaondolea adha na gharama ya uhifadhi wa maji taka    waliyokuwa wakiipata hapo awali kutokana na ujenzi holela wa makazi yao.

Wameongeza kuwa mradi huo umewasaidia katika uhifadhi wa mazingira na kuondoa tatizo la utiririshaji wa muda mrefu wa maji taka uliosababishwa na uwepo wa mifumo mibovu ya vyoo vyao.

Wamesema kuwa kutokana na uimarishaji wa mifumo ya kusafirisha maji uliofanywa na DAWASA kwa kushirikiana na Taasisi isiyokuwa ya Kiserikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Cambrige (CDI) na Taasisi ya utoaji wa mikopo ya Bridge for Change  wameondoa hofu waliyokuwa nayo ya kupata magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu na kutoas wito kwa wananchi  katika maeneo mengine kujiunga na mradi huo.

WAZIRI MKUU AKABIDHI MAGARI YA KUBEBA WAGONJWA

$
0
0
 WAZIRI MKUU Mizengo Pinda(Pichani) amekabidhi magari mawili ya kubeba wagonjwa yenye thamani ya sh. milioni 150 kwa uongozi wa Wilaya ya Ngorongoro ili yapelekwe kwenye kituo cha afya cha Enduleni na hospitali ya Wasso ambayo inatumika kama hospitali ya wilaya.

Waziri Mkuu amekabidhi magari hayo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoitoa Septemba 2013 alipofanya ziara ya kikazi ya mkoa wa Arusha na kubaini adha ya usafiri iliyokuwa ikiwapata wakazi wa kata za Wasso na Enduleni zilizoko wilayani Ngorongoro.

Akizungumza na watumishi wa idara ya afya na wananchi waliohudhuria makabidhiano hayo leo mchana, (Jumanne, Septemba 8, 2015), Waziri Mkuu alisema aliyapata magari hayo kwa wafadhili kutoka Japan na sehemu nyingine ambayo haikuitaja.

“Nikiwa ziarani Japan, Machi mwaka huu, nilikutana na Watanzania waishio Japan nikawaomba kama wanaweza kunisaidia gari la wagonjwa hata kama limetumika sababu najua kule magari yaliyotumika huwa yanakuwa hayajachoka. Watanzania wale walikubali na kuamua kunisaidia kutekeleza ahadi yangu,” alifafanua Waziri Mkuu.

Alisema mara baada ya ziara yake, alipeleka maelekezo ya kupata magari kwa ajili ya Wasso na Enduleni kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii lakini kutokana na upatikanaji mgumu wa fedha za bajeti, ombi hilo halikufanikiwa ndipo akaona atafute njia nyingine ya kuwasaidia wakazi hao.

“Ahadi ya Serikali ya kuwapatia gari la wagonjwa wakazi wa Wasso na Enduleni bado iko palepale lakini niliona ni vema wakati wakiendelea kusubiri fedha zipatikane, bora tutafute njia nyingine ya kuwasaidia kupunguza tatizo la usafiri kwa wagonjwa linalowakabili wakazi hao,” aliongeza.

Waziri Mkuu alikabidhi funguo za magari hayo mawili kwa Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Bw. Hashim Mgandilwa pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Bw. John Kurwa.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Bw. Felix Ntibenda Kijiko na viongozi wengine wa mkoa wa Arusha na waganga wakuu vituo vya Enduleni na Wasso.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMANNE, SEPTEMBA 8, 2015.

RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AKABIDHI HUNDI KWAAJILI YA KUFIDIA WACHUMAJI WA KARAFUU

$
0
0
Rais wa Zanzibar Dk. Alli Mohamed Shein akikabidhi hundi ya TZS 60,000,000/- kwa Mkurugenzi wa Shirika la Bima Zanzibar kwa ajili ya malipo ya fidia kwa wachumaji wa Karafuu watakaopata ajali Zanzibar.
Watendaji wa Shirika la ZSTC wakitoa msaada wa vifaa kwa vikundi vya Ushirika vya Uwatikaji miche Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la ZSTC akiwa ameshika tunzo ya Kimataifa ya ubora wa bidhaa na huduma kutoka Spain.
Viewing all 46371 articles
Browse latest View live




Latest Images