Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46373 articles
Browse latest View live

RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MFUMO WA TAKWIMU HURIA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR ES SALAAM LEO

$
0
0
 Rais Jakaya Kikwete akizungumza na washiriki (hawapo pichani) wa Mkutano wa Kimataifa wa Mfumo wa Takwimu Huria Barani Afrika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo. Katika hotuba yake Rais Kikwete alisema jukumu la utoaji wa taarifa kwa umma si kwa serikali pekee bali hata kwa Sekta binafsi pamoja na taasisi zingine zisizokuwa za serikali zinatakiwa kufuata mfumo huo ili kuleta maendeleo katika nchi husika. Mkutano huo ambao unaudhuriwa na mamia ya washiriki unalengo la kutoa elimu pamoja na kuhamasisha umma kuhusu utoaji wa taarifa kwa uwazi katika sehemu mbalimbali barani Afrika
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akitoa hotuba yake kabla ya kumkaribisha Rais Jakaya Kikwete (kulia meza kuu) katika Mkutano wa Kimataifa wa Mfumo wa Takwimu Huria Barani Afrika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, ili aweze kuufungua mkutano huo. Katika hotuba yake Waziri Chikawe alisema mfumo wa utoaji taarifa kwa uwazi umekuwa muhimu kwani unaleta uwazi pamoja na uwajibikaji katika utoaji wa huduma. Mkutano huo ambao unaudhuriwa na mamia ya washiriki kutoka nchi 23 Afrika, unalengo la kutoa elimu pamoja na kuhamasisha umma kuhusu utoaji wa taarifa kwa uwazi katika sehemu mbalimbali barani Afrika. Wapili kulia meza kuu, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini, Bella Bird. Anayefuata ni Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue.
 Sehemu ya washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa Mfumo wa Takwimu Huria Barani Afrika wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete (hayupo pichani) kwa makini wakati akitoa hotuba yake katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo. Katika hotuba yake Rais Kikwete alisema jukumu la utoaji wa taarifa kwa umma si kwa serikali pekee bali hata kwa Sekta binafsi pamoja na taasisi zingine zisizokuwa za serikali zinatakiwa kufuata mfumo huo ili kuleta maendeleo katika nchi husika. Mkutano huo ambao unaudhuriwa na mamia ya washiriki kutoka nchi 23 barani Afrika unalengo la kutoa elimu pamoja na kuhamasisha umma kuhusu utoaji wa taarifa kwa uwazi katika sehemu mbalimbali barani humo.
 
 Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini, Bella Bird akitoa hotuba yake katika Mkutano wa Kimataifa wa Mfumo wa Takwimu Huria Barani Afrika unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ambao unaudhuriwa na mamia ya washiriki kutoka nchi 23 Afrika, unalengo la kutoa elimu pamoja na kuhamasisha umma kuhusu utoaji wa taarifa kwa uwazi katika sehemu mbalimbali barani Afrika. Wenyeji wa mkutano huo ni Serikali ya Tanzania wakishirikiana na Benki ya Dunia.
Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshika ndege ambayo inapaa bila rubani (Drone) na yenye uwezo wa kuchukua matukio mbalimbali ikiwa angani, wakati alipotembelea Banda la Buni Hub ambalo lipo chini ya Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia, mara baada ya kufungua Mkutano wa Kimataifa wa Mfumo wa Takwimu Huria Barani Afrika unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Wapili kulia ni Mtaalamu wa Benki ya Dunia, Frederick Mbuya akitoa elimu ya ndege hiyo kwa Rais Kikwete, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia kwa Rais Kikwete) pamoja na viongozi wengine walioambatana na Rais huyo. 
Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


BALOZI WA KUWAIT NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE, JIJINI DAR ES SALAAM LEO

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akizungumza na Balozi wa Kuwait nchini,  Jasem Ibrahim Al-Najem  kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Kuwait  na Tanzania. Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ya Waziri Chikawe, jijini Dar es Salaam leo.  
Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Ibrahim Al-Najem  (kulia) akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Kuwait  na Tanzania. Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ya Waziri Chikawe, jijini Dar es Salaam leo.  Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

JIMBO LA UKONGA KUZINDUA KAMPENI ZA CCM KESHO

SECRETARY GENERAL ON A WORKING VISIT TO ROOFINGS GROUP UGANDA

$
0
0
East African Community Secretariat, Kampala, Uganda, 3rd September, 2015: The Secretary General of the East African Community, Amb. Dr Richard Sezibera, on Thursday paid a working visit to Roofings Group Uganda at its 2nd plant located in Namanve, Uganda's upcoming Industrial Area on the outskirts of the capital, Kampala.

The Secretary General was accompanied by Hon. Dr. James Shinyabulo Mutende, Uganda's Minister of State for Industry; Mr. Dennis Karera, the Chair of the East African Business Council (EABC) and the Ag. CEO, Ms. Lilian Awinja; Mr. Hussein Omar, the EABC Uganda Chapter Chair; Dr. Samuel M. Nyantahe, Chairman of Confederation of Tanzania Industries; Amb. Jean Rigi, Burundi's Permanent Secretary for EAC Affairs, and; Commissioner Rona Sserwada from Uganda's Ministry of EAC Affairs.

Welcoming the Secretary General to the Plant, the Chairman and Managing Director of the Roofings Group, Mr. Sikander Lalani, said it was gratifying that Amb. Sezibera's visit to the plant came immediately after the 1
st East African Manufacturing Business Summit held from 1st to 2nd September, 2015 in the Ugandan capital.
 

Lalani said the deliberations at the Summit were all geared towards job creation for the youth, increasing value addition, quality assurance, enhancing tax revenues, fair trade and. most importantly, boosting the region's economic standing in the world.

Lalani told the Secretary General of various issues that must be addressed at the regional level in order to boost the growth of the steel sector, namely: the need to increase the EAC Common External Tariff (CET) on galvanized wire to 25% in the region, and; the Re-bars to have either a fixed import tax rate based on volume at $250 EAC CET per tonne or based on value at 25% CET, whichever is higher.

The CEO also proposed removing cold rolled coils, galvanized coils and pre-painted coils removed from the duty remission schemes of Rwanda and Burundi. He also requested the region to put in place a robust quality assurance system by way of adopting regional standards in the steel sector as well as putting in place a level playing field in tax administration.

He further urged Partner States' governments to prioritize and enhance local/regional content for infrastructural and donor funded projects as a way of promoting the Buy East African, Build East Africa campaign.

Lalani disclosed that the Group was employing people from the region without any discrimination for as long as they have the required skills and ability to deliver.

He also assured the Secretary General that the firm was keen on investing in the entire region depending on the enabling environment in terms of import duty policies, level of playing field and availability of markets.

Minister of State for Industry Dr. Mutende assured the Secretary General and investors in the region that Uganda Government was working to address all the issues impacting on her business environment including a reduction in energy costs.  

EABC Chair Mr. Karera called for an urgent meeting of steel producers and stakeholders before the end of September 2015 to address the issues impacting on business in the sector in the region, adding that a regional code of conduct was being developed and will be considered for adoption at the November EAC Heads of State Summit.

In his remarks, Amb. Dr. Sezibera congratulated Mr. Lalani for the massive and quality investment in Uganda and the wider East African region, adding that some of the issues raised were already being addressed by the EAC Secretariat, the Council of Ministers and EABC.

On the issue of standards, Amb. Sezibera urged the Roofings Group to work closely with the EABC and the EAC Secretariat to sort them out.

TBS KUFANYA MSAKO MKALI NCHI NZIMA KUWABAINI WAUZAJI WA UMEME NURU 'SOLAR POWER PANELS' ZILIZO CHINI YA KIWANGO

$
0
0
 Katibu  Mtendaji wa Taasisi ya Nishati Jadidifu (TAREA), Mhandisi Mathew Matimbwi (katikati), akiwaonesha wanahabari Dar es Salaam leo asubuhi Umeme Nuru (Solar Power panels) ambazo hazina ubora zilizokamatwa zikiwa katika soko la Tanzania baada ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Taasisi hiyo, kufanya uchunguzi na kubaini kuwepo katika soko solar hizo. Kulia ni Ofisa Viwango wa TBS, Henry Massawe  na Ofisa Uhusiano, Roida Andusamile.
 Katibu  Mtendaji wa Taasisi ya Nishati Jadidifu (TAREA), Mhandisi Mathew, akiwaonesha wanahabari Solar Power panels zinazotakiwa kuwa kwenye soko ambazo ni bora.
  Ofisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu shirika hilo kuanza msako mkali wa kuwabaini wafanyabiashara wanaouza Umeme Nuru (Solar Power Panels), zilizochini ya kiwango. Kulia ni  Ofisa Viwango wa TBS, Henry Massawe na Ofisa Udhibiti Ubora wa TBS, Ashura Katunzi.
 Ofisa Udhibiti Ubora wa TBS, Ashura Katunzi akisisitiza jambo wakati akizungumza na wanahabari. Kutoka kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa TBS, Gladness Kaseka,Katibu  Mtendaji wa Taasisi ya Nishati Jadidifu (TAREA), Mhandisi Mathew Matimbwi, Ofisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile.
 Ofisa Viwango wa TBS, Henry Massawe akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari na wadau wengine wakiwa kwenye mkutano huo.

SHIRIKA  la viwango Tanzania limekuwa likifanya ukaguziwa kushtukiza  wa bidhaa zilizopo sokoni na viwandani mara kwa mara, lengo likiwa niku hakikisha kuwa bidhaa hizo zinakidhi matakwa ya kiwango cha bidhaa husika wakatiwote. 

TBS kwakushirikiana naTaasisya NishatiJadididu (TAREA) iliamua kufanya ukaguzi wa kushtukiza kufuatia malalamiko mengi kuhusiana na ubora waVipande vyaumemenuru katika soko la Tanzania ilikutatuatatizo. Mnamo  tarehe 23-06-2015, TBS ilifanya ukaguzi wa Umeme Nuru (Solar Power panels) katika maeneo yafuatayo;
Keko- Mwanga, MtaawaMsimbazi, Mtaawa Congo. 

 TBS ilibaini baadhi
ya wasambazaji  walikuwa na bidhaa za umemenuru zilizo chini ya kiwangonyingizikitokeanchini China.

Jumla ya vipande vya umemenuru 1321 kutokaduka na ghala la Regal Solar Ltd vilizuiwa kuuzwa; na 164 kutokaduka la Nishati Electronics Ltd pia vilizuiwa kuuzwa baada ya ubora wake kutiliwashaka mpaka matokeo ya maabara yatakapotoka. Na vile vile wakaguzi walichukua sampuli kutokaduka la Keoali Power & EquipmentsCo.Ltd.

Matokeo ya maabara yalitoka na kuonesha kuwasampuli hizo zilizochukuli wakati kama duka tajwa zimefeli.


1.    Vipande vya Umeme Nuru vinazosambazwa na Regal Solar Ltd vimefeli kufikia kiwango cha“marking and name plate”, kwa mfano hazijaonyesha nchi zinapotengenezewa,ainaya panel naserial namba; kipimo cha nguvu ya umeme inayotoka ni ndogo ukilinganishanakiwango cha chini cha  nguvu ya umeme inayotakiwa kutoka, na  hii ni kwa vipande vya umemenuru vilivyo na nguvu zifuatazo: 100W, 120W,70W,50W,20W,250W,30W,150W na 170W.

2.    Vipandevya Umeme Nuru vya Nishati Electronics Ltd vimefelikufikiakiwango cha “marking and name plate”,- havijaonyesha nchi zinapotengenezwa kipimo cha nguvu ya umemeinayotokanindogoukilinganishanakiwango cha chini cha nguvu ya umeme inayotakiwa kutoka ,hii ni kwa vipande vya umeme nuru vilivyo na nguvu zifuatazo: 100W,80W,70W,120W,40W,200W,30W. na kwa Vipande vya Umeme Nuru vya 120W na 200W kiwango cha juu cha mfumo wa nguvu ya umeme hakikubainishwa hivyo kukwamisha zoezi la upimaji.
3.    Keoali Power &EquipmentsCo.Ltd vipande vya umeme nuru vimeonyesha kufeli “marking and name plate- havikuoneshanchizilipotengenezwa, ainayaplate, serial namba; havikubainisha kiasi cha juu cha mfumo wa nguvu ya umeme.

Tamko la Shirika
TBS inatoatamko kuwa zoezi hili niendelevu na iwapo msambazaji atabainika kukiuka na kuingiza bidhaa chini ya kiwango  cha Afrika Mashariki EAS364:2005, Shirika litachukua hatua kali zakisheria.

Tunawasihi wafanyabiashara wanaouza bidhaa hafifu za  vipandevya umemenuru kuziondoa madukani mara moja kablaShirika halijaanza zoezi hilo. 

Kushindwa kufanya hivyo kutasababisha hatua kali za kisheria kuchukuliwa dhidi   yao pindi bidhaa hizo hafifu zitakapokutwa madukani.

Vile vile tunapenda kuwafahamisha kuwa zoezi la kuondoa bidhaa hafifu sokoni ikiwa pamoja na nguo za ndani,vilainishi vya mitambo,juisi ( ready to drink) na mikate  ya naendelea. Wananchi wasisite kuwasiliana nasi kupiti nanamba 0800 110 827 kwa kutumia mitandao ya TTCL na Vodacom bila gharama yoyote.
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com

TFDA YAZINDUA MAABARA YA KISASA YA UCHUGUZI WA MADAWA

$
0
0
Mkuu wa Maabara  ya Mikrobilojia wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini  (TFDA)Dk. Adelard Mtenga akitoa maelekezo juu ya kifaa  maalumu cha uchunguzi wa Vifaa tiba ikiwemo nyuzi za ushonaji pamoja na dawa za sindano  ambapo ni kifaa cha kwanza Katika  Nchi za Kusini ,Mashariki na Kati  Barani Afrika. leo Jiji Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu  wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Hiiti  Sillo akikata utepe kufungua mtambo huo leo Jiji Dar es Salaam. Katiti ni mwakilishi mkazi wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk. Mohammed Ally Mohammed kuli ni Mwakilishi wa Shirika la Msaada kutoka Marekani,Ms. Kelly Hamblin.
 Mkurugenzi Mkuu  wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Hiiti  akifafanua jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).
 Mwakilishi wa Shirika la Msaada kutoka Marekani,Ms. Kelly Hamblinakifafanua jambokwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi Mkuu  wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Hiiti  Sillo na Mwakilishi wa Shirika la Msaada kutoka Marekani,Ms. Kelly Hamblin  wakisani makabidhiano ya nyaraka za mradi huo.
 Mkurugenzi Mkuu  wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Hiiti  Sillo na Mwakilishi wa Shirika la Msaada kutoka Marekani,Ms. Kelly Hamblin  wakisani makabidhiano ya nyaraka za mradi huo.
 
Wanahabari wakichukua matukio kwenye hafla hiyo.
Viongozi hao wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya hafla hiyo.Picha na Emmanuel Massaka.

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Nchini(TFDA) imezindua jengo la maabara ambalo litatumika  kufanya uchunguzi wa madawa vyakula na vipodozi ili kubaini baadhi ya vijidudu hatarishi kwa afya ya binadamu.

Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini(TFDA) Bw. Hiiti Sillo wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi na makabidhiano ya Maabara hiyo.

Alisema kuwa Dawa zinazofanyiwa uchunguzi ni zile zinazoingia moja kwa moja kwenye mwili wa binadamu,ili kuhakiki kuwa ziko salama na hazina chembechembe yoyote ya wadudu wenye  kudhuru  afya za binadamu.

“Kifaa hiki kitasaidia kufanya uchunguzi kwa kiwango cha kimataifa na pia hakitaruhusu chembechembe yoyote kupita kwenye dawa na kuathiri afya ya binadamu”alisema.

Naye Mkurugenzi wa uhakiki wa Ubora wa huduma ya afya kutoka Wizara ya afya na Ustawi wa Jamii Daktari Mohamed Mohamed amesema kuwa maabara hiyo inahitaji uangalizi wa kutosha ili kutunza vifaa katika maabara pamoja na kutoa elimu kwa wataalamu wa maabara hiyo.

Ukarabati wa jengo hilo umegharimu jumla ya fedha za kitanzania kiasi cha shilingi milioni 489,ambapo serikali ya Tanzania imechangia kiasi cha shilingi milioni 91 huku shirika la misaada la marekani(USAID) limegharamia shilingi milioni 398.

MAGUFULI ALIVYOITIKISA MTWARA.

Serikali ya CCM Kutoa Mil 150 Kila Kata Dar kwa Wajasiliamali

$
0
0
Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam.

SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imepanga kutoa shilingi milioni 150 kwa kila Kata ya Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali kimikopo ili kukuza biashara zao. Kauli hiyo imetolewa na Mgombea mwenza wa CCM katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Mbezi Centre jijini Dar es Salaam. 

 Alisema ili kuboresha huduma za afya Jimbo la Kibamba Serikali imedhamiria kujenga hospitali kubwa itakayofanya kazi saa 24 pamoja na kuboresha huduma nzima za afya katika hospitali hiyo wakiwemo wataalam. Aliongeza kuwa Serikali kupitia mradi mkubwa wa maji safi na salama imepanga kuongeza huduma za usambazazi maji kwenye eneo la Kibamba na kiujumla mradi mzima utakapokamili hali ya upatikanaji maji itapanga kutoka asilimia 65 ya watu hivi sasa hadi kufikia asilimia 95 jambo ambalo litamaliza kero kabisa ya maji Jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu kwenye uwanja wa Mbezi Centre Kata ya Mbezi jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu kwenye uwanja wa Mbezi Centre Kata ya Mbezi jijini Dar es Salaam.
 Hata hivyo Serikali ya CCM imepanga kuyapima maeneo ya viwanja na kuyakabidhi kwa wananchi jimboni humo ili kuwawezesha wamiliki kuyatumia kama dhamana pamoja na kuwalipa fidia wananchi 8,365 wa Mloganzila ili kupisha uendelezaji wa eneo lililoitajika kwa maendeleo. Mgombea mwenza alifanya mikutano yake ya kunadi ilani ya CCM katika Jimbo la Kinondoni maeneo ya Mbezi, Mburahati, Mwananyamala na Msasani (Namanga) jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam.Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akiwanadi wagombea udiwani wa Jimbo la Kawe kwenye mkutano wa kampeni ulofanyika kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akiwanadi wagombea udiwani wa Jimbo la Kawe kwenye mkutano wa kampeni ulofanyika kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam. IMG_0860Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam. Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam.Hawa Ng'umbi akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Jimbo la Kawe kwenye mkutano wa kampeni ulofanyika kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam. Hawa Ng'umbi akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Jimbo la Kawe kwenye mkutano wa kampeni ulofanyika kwenye Viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es Salaam. *Imeandaliwa na www.thehabari.com

SERIKALI YA AWAMUA YA TANO NI YA VIWANDA

$
0
0
Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni wa kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni wa kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akimtambulisha mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Kawe, Kippi Warioba (kushoto) katika mkutano wa kampeni wa kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akimtambulisha mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Kawe, Kippi Warioba (kushoto) katika mkutano wa kampeni wa kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Kawe, Kippi Warioba akizungumza katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu katika viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Kawe, Kippi Warioba akizungumza katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu katika viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.

 
 MGOMBEA mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu amesema awamu ya Serikali ya Tano itakayoundwa na CCM itakuwa maalum kwa ajili ya ujenzi na ufufuaji wa viwanda nchini ili kuongeza nafasi ya ajira kwa vijana na kuinua kwa kasi uchumi wa nchi. Bi. Suluhu ameyasema hayo alipokuwa akiinadi ilani mpya ya Chama Cha Mapinduzi katika ziara ya kampeni ya jijini Dar es Salaam ya kuinadi ilani hiyo kwa wananchi juu ya nini Serikali ya CCM itafanya endapo itapewa ridhaa tena na wananchi kuunda Serikali na kuongoza nchi baada ya uchaguzi. Alisema watahakikisha wanajenga viwanda na kuvifufua vile vilivyokufa ikiwa na lengo la kuongeza nafasi za ajira kwa vijana na hapo hapo kuwatambua wafanyabiashara ndogondogo ikiwa ni pamoja na kuwajengea uwezo katika biashara zao. 
"...Tunataka awamu ya Serikali ya Tano iwe awamu ya viwanda...tunataka asilimia 40 ya ajira ipatikane kwenye sekta ya viwanda...," alisema mgombea mwenza. Bi. Marry Nagu akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Jimbo la Kawe kwenye mkutano wa kampeni ulofanyika kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Mama Anna Abdallah akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Jimbo la Kawe kwenye mkutano wa kampeni ulofanyika kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Afrika Mashariki Samuel Sitta akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Jimbo la Kawe kwenye mkutano wa kampeni ulofanyika kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Waziri wa uchukuzi, Samuel Sitta akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Jimbo la Kawe kwenye mkutano wa kampeni ulofanyika kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.Burudani yake Isha Mashauri mara baada ya kusikiliza ilani ya CCM kwenye mkutano huo. Burudani yake Isha Mashauzi mara baada ya kusikiliza ilani ya CCM kwenye mkutano huo.Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-rose Bhanji akichukua taswira ya mkutano huo kwa simu yake kwa ajili ya kumbukumbu. Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-rose Bhanji akichukua taswira ya mkutano huo kwa simu yake kwa ajili ya kumbukumbu.
 Alisema pamoja na hayo Serikali itakayoundwa na CCM itaanzisha dawati maalumu la bodaboda na bajaji na kukamilisha usajili wa vikundi vyao ili kuangalia namna ambayo kundi hili la vijana linaweza kufanya shughuli zao bila kubughuziwa. 

Alisema uimarishaji huo wa madawati ya bodaboda na bajaji utaenda sambamba na kuongeza mipaka ya kufanyia kazi, kutambua bodaboda na bajaji kwa rangi kulingana na maeneo zinapofanyia kazi ili zitambulike kwa uraisi. 

 Alisema ili kumaliza kero ya foleni na msongamano wa magari jijini Dar es Salaam, Serikali imepanga kujenga miji mipya maalum na ya kisasa pembezoni wa jiji hili na kwa kuanzia itajenga mjini huo eneo la Kibaha ili shughuli nyingine ziwe zikifanyika katika mji huo na Dar es Salaam kupunguza msongamano, zoezi litakaloenda sambamba na ujenzi wa barabara ndogondogo za mitaani ambao utapunguza msongamano na foleni katika barabara kubwa. 

 Aidha Bi. Suluhu alisema zitajengwa barabara za juu katika makutano ya barabara ikiwa pamoja na kuzijenga barabara ndogondogo zikiwemo za Mbezi Morogoro-Malamba Mawili-Tangi Bovu-Kimara Baruti-Goba na nyinginezo ili kupunguza msongamano katika barabara kubwa.

 Alisema ili kuboresha huduma za afya jijini Dar es Salaam, Serikali ya CCM kupitia ilani yake itaiongezea hadhi na kutoa upendeleo kwa Hospitali ya Mwananyamala ikiwa ni pamoja na kuiongezea watumishi wa kada zote pamoja na mgao wa dawa kulingana na mahitaji yake. Alisema mbali na hapo ilani inaeleza watahakikisha kila kata inakuwa na kituo cha afya na kuhimiza kuwakatia bima wananchi ili waweze kupata huduma hiyo muda wote bila kujali uwezo wa vipato vyao.

 Aliongeza wafanyabiashara nao hawajasahaulika kwani imetenga maeneo sehemu mbalimbali ya ujenzi wa masoko kwa wafanyabiashara ndogondogo, ambapo nafasi takribani 3263 kwa eneo moja zitapatikana na kupewa wafanyabiashara ndogondogo huku jitihada kama hizo zikiendelea maeneo mengine. Kwa upande wa huduma za upatikanaji maji safi na salama zimepewa kipaumbele pia ambapo mradi mkubwa wa kutoa maji Ruvu Juu na Ruvu Chini pamoja na ule wa Mto Ng'ombe utamaliza kabisa kero ya maji kwa jiji la Dar es Salaam baada ya mwaka mmoja ujao.

 Mgombea huyo wa urais anaendelea na ziara yake mkoa wa Dar es Salaam kunadi ilani ya CCM. *Imeandaliwa na www.thehabari.com

LEO JUMAMOSI 5 SEPT 2015 NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA VECHELDE FESTIVAL-UJERUMANI

$
0
0
 Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni ukipenda waiite viumbe wa ajabu Anunnaki Alien's yenye makao kule Ujerumani inatarajiwa kutingisha jukwaa katika maonyesho ya Vechelde Festival nchini Ujerumani leo kuanzia saa 2:00 Usiku katika eneo la Bürgerzentrum Vechelde liliopo mtaa wa Hildesheimer Straße 5 mjini Vechelde jirani mji wa Braunschweig
Bendi hiyo maarufu Ngoma Africa yenye sifa za kuwatia kiwewe washabiki wa muzikikatika maonyesho ya kimataifa kwa kutumia mdundo wao "Bongo Dansi"made in Uswahilini ndio bendi pekee ya kiafrika barani ulaya iliyoweza kudumu kwa miaka 22 na kufanikiwa kukama soko la kutumbuiza katika maonyesho ya kimataifa. 
Kwa sasa bendi hiyo inatamba na CD yake mpya ya"LA MGAMBO"yenye nyimbo mbili za kumuaga rais Jakaya Kikwete na CD hiyo utunzi wake Kiongozi wa bendi Ebrahim makunja aka Kamanda Ras Makunja imeshatua nchini Tanzania tayari kwa kutingisha anga katika vituo vya redio mbali mbali.
wasikilize ffu-ughaibuni at www.reverbnation.com/ngomaafricaband

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENTIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WAFHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, WCF

$
0
0
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake,   Bw. Emmanuel Humba

 Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo

 Mwenyelkiti wa Bodi ya Wadhamini Bw. Emmanuel Humba akipokea chati cha usajili wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi Kutoka kwa Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudentia Kabaka (Cheti cha Usajili kimetolewa na Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii Nchini SSRA)

 Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Humba, (katikati), akitoa hotuba yake. Kulia ni Waziri Kabaka na kushoto ni Mkurugeniz Mkuu, WCF, Masha Mshomba
 Mgeni rasmi, Waziri Kabaka, akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya wadhamini ya Mfuko huo, baada ya uzinduzi rasmi wa bodi
 Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudentia Kabaka akitoa hotuba kwa Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) pamoja na wageni waalikwa kabla ya kuzindua Bodi hiyo Rasmi.



MSANII WA KENYA SARA K KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI HAPA NCHINI

$
0
0
 Mwenyekiti wa kamati  Maandalizi ya Tamasha la Amani, Alex Msama amesema  washiriki wa tamasha hilo ni waimbaji mbalimbali wa injili kama SolomonMkubwa, Rose Mhando, Upendo Nkone, Boniface Mwaitege, kwaya ya  KKT ya  Dar es Salaam pamoja na kwaya mojawapo kutoka Iringa, amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Kulia niKatibu mkuu wa makanisa ya Kipendekote Askofu, David Mwasota akizungumza kuhusiana na tamasha hilo kuwa wananchi wakitokeze kwa wingi bila kujali itikadi zai za dini wala chama ili kuombea uchaguzi mkuu uwe wa amani utakaofanyika Oktoba 4 mwaka huu.Mwenyekiti wa kamati  Maandalizi ya Tamasha la Amani, Alex Msama
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo.

RAIS WA ZANZIBAR DK.ALI MOHAMED SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR

$
0
0
2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati  aliporejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar   katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo,
6
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati  aliporejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar   katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja
  4 
   Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi walioshuhudia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein ,akirejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha  katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja.

1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na  Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakisalimiana na Viongozi wa CCM alipofika kurejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)  katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja.
7
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akisalimiana na Wananchi waliofika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja baada ya kurejesha  fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar   katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo.
8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akisalimiana na Wananchi waliofika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja baada ya kurejesha  fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar   katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo.
5
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha (aliyesimama) akimshukuru Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein kwa kuweza kukamilisha taratibu zote za ujazaji wa Fomu za kugombea Urais wa Zanzibar wakati aliporejesha fomu hizo leo katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja,(kulia) Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (NEC) Ng,Salim Kassim Ali,wakiwepo na wajumbe wa Tume hiyo (kushoto).
3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai baada ya kurejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha  katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja.
Picha na Ikulu.

MATUKIO MBALIMBALI YA MGOMBEA MWENZA WA UKAWA KATIKA PICHA

$
0
0
 Mgombea Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Juma Duni Haji akiwahutubia mamia ya wakazi wa Kisarawe katika mkutano wa kampeni.
 Mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu” akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni. 
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akimtambulisha mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu” wakati wa mkutano wa kampenzi uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Kisarawe mkoa wa Pwani.
Mgombea Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Juma Duni Haji akiwahutubia mamia ya wakazi wa wilayaya Bagamoyo wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Majengo.

 Mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu” 

 Mgombea Mwenza wa Ukawa Juma Duni Haji akipokea kadi ya CCM kutoka kwa mwanachama wa chama hicho, Kasim Msham aliyekihama na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinji Mkoa wa Lindi.(Picha na Francis Dande)
Kadi za CCM zilizorudishwa na wanachama wa Chama hicho na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinjimkoa wa Lindi.
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Majengo wilayani Bagamoyo.
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Majengo wilayani Bagamoyo.i uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Kisarawe mkoa wa Pwani.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar Said Issa Mohamed (kulia) akiteta jambo na mgombea wa jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu”

TAASISI YA MOYO YA JAKAYA KIKWETE YAZINDULIWA LEO DAR ES SALAAM

$
0
0
Waziri wa Afya Dokta Seif Rashid
Na: Neema  Mwangomo, MHN                                              04  Sept  2015
 
Rais JAKAYA  KIKWETE leo amezindua Taasisi ya Moyo ambayo itajulikana kwa jina la  Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ( The Jakaya  Kikwete Cardiac Institute ) ambayo itatoa mafunzo ya Ubingwa wa juu katika fani ya Upasuaji wa Moyo , Usingizi na Tiba ya Moyo kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili( MUHAS).

            Akizindua Taasisi hiyo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa niaba ya Rais JAYAKA KIKWETE , Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta   SEIF  RASHID amesema taasisi hiyo  imeleta ahueni  kwa wagonjwa  wa moyo nchini ambapo kati ya Januari hadi Agosti mwaka huu imehudumia wagonjwa wa nje 14, 257 ,wagonjwa waliolazwa ni 912 na imefanya upasuaji kwa wagonjwa 148.

            Kati ya wagonjwa waliofanyiwa upasuaji ,wagonjwa watano tu ndio waliofariki Dunia ambao ni Asilimia 3. 4 , kiwango ambacho ni kidogo kuliko wastani uliokisiwa na wataalam wa asilimia 13.


            Akifafanua amesema huduma zilizotolewa na taasisi hiyo  zimeokoa kiasi cha Shilingi 1, 915,440,000  iwapo wagonjwa hao  wangepelekwa kutibiwa nje ya nchi.

            Akielezea kuhusu hali ya magonjwa yasiyo na maambukizi amesema magonjwa hayo hujumuisha magonjwa ya Moyo , Kisukari na Saratani na kwamba takwimu za Shirika la Afya Duniani ( WHO) zinaonesha kuwa takribani watu Milioni 17 hupoteza maisha kila mwaka Duniani ambayo ni sawa na asilimia 60 ya vifo vyote vinavyotokea.

            Hata hivyo amesema sababu kuu ya maradhi ya moyo nchini Tanzania kama ilivyo katika nchi nyingine za Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara ni mbili , moja ni homa ya Rumatiki  pamojaa  na magonjwa ya moyo ya kurithi au kuzaliwa nayo  .
           
Inaendelea
Kwa upande wake Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii , Dokta SEIF RASHID amesema , huduma za upasuaji wa moyo katika Hopsitali ya Taifa Muhimbili ilianza Mei 21 , 2008 na mpaka sasa huduma zinazopatikana ni za upasuaji wa moyo , matibabu ya moyo , vipimo vya moyo na uchunguzi wa mishipa na shinikizo.

            Kwa mujibu wa Dokta SEIF RASHID kutoka mwaka 2008  mpaka mwaka 2015  wagonjwa 600 wamefanyiwa upasuaji wa Moyo na hadi kufikia Agosti mwaka huu Taasisi imeweza kufanya upasuaji kwa wagonjwa wa moyo 145 idadi hii inajumuisha wagonjwa waliofanyiwa upasuaji  mkubwa wa moyo na waliozibwa matundu ya moyo bila upasuaji.

            Naye Mwenyekiti wa Bodi Hospitali ya Taifa Muhimbili  Profesa JOSEPH KUZILWA  amesema taasisi hiyo ni ya kisasa , yenye vifaa vya hali ya juu vinavyotumia teknolojia ya kisasa katika uchunguzi na tiba ya magonjwa ya moyo.

            Akielezea mafanikio Profesa KUZILWA amesema kwa kushirikia na Madaktari bingwa kutoka nchi rafiki ,kituo kimefanya upasuaji wa moyo kwa wagonjwa 148 , kimechunguza mishipa ya moyo kwa kutumia kifaa maalum kwa wagonjwa 160 , kimewawekea Stents wagonjwa 9 na kuwawekea vifaa vya mapigo ya moyo wagonjwa 13.

            Jengo hilo lenye thamani ya Shilingi Bilioni 16. 6 limejengwa na Serikali ya China ambapo  serikali ya Tanzania imenunua vifaa vyenye thamani ya Shilingi Bilioni


WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENSIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WAFHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, WCF

$
0
0
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake,   Bw. Emmanuel Humba

 Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo

 Mwenyelkiti wa Bodi ya Wadhamini Bw. Emmanuel Humba akipokea chati cha usajili wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi Kutoka kwa Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudensia Kabaka (Cheti cha Usajili kimetolewa na Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii Nchini SSRA)
 Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Humba, (katikati), akitoa hotuba yake. Kulia ni Waziri Kabaka na kushoto ni Mkurugeniz Mkuu, WCF, Masha Mshomba.

 
 Mgeni rasmi, Waziri Kabaka, akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya wadhamini ya Mfuko huo, baada ya uzinduzi rasmi wa bodi
 Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudensia Kabaka akitoa hotuba kwa Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) pamoja na wageni waalikwa kabla ya kuzindua Bodi hiyo Rasmi.

Khalfan Said Photojournalist K-VIS MEDIA P.Box 77807 Mobile; +255 646-453/+255-653-813-033 Blog:http//khalfansaid.blogspot.com Dar es Salaam, Tanzania

MTANDAO WA WANAWAKE WAHITIMISHA TAMASHA LA UZINDUZI WA ILANI YA UCHAGUZI LEO JIJINI DAR

$
0
0
 Mkurugenzi Mtendaji wa  Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi akizungumza na wananchi juu ya kutambua michango ya kimaendeleo inayofanywa na wanawake kwa kuwawekea kumbukumbu kama ilivyo kwa wanaume, ili kuleta uwiano wa kijinsia leo Jiji Dar es Salaam katika kilele cha tamasha la Jinsia.
 Mkurugenzi Mtendaji wa  Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi akiteta jambo na Ruth Meena.
 Wanawake wakitaja baadhi ya matatizo ambayo yanayowakabili ni pamaoja na suala la upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama maeneo mbalimbali nchini.
Wanawake wameitaka tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) kutofumbia macho suala la matusi na kejeli zinazofanywa na viongozi wa siasa katika kampeni zao. 

 
 Mkurugenzi Mtendaji wa  Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi akiwa katika picha ya pamoja na wa mama walioshiriki maadhimisho hayo leo jijini Dar es Salaam
Sehemu ya wananchi waliofika katika maadhimisho hayo jijini Dar es Salaam (Picha na Emmanuel Massaka).
WATANZANIA wametakiwa kuchagua viongozi ambao sera ya ilani ya vyama vyao, itatatua kero zao na iwe yenye kutekelezeka kwa mustakabali wa maendeleo ya taifa na sio ya kibinafsi.
Wakiwakisilisha maadhimio mbalimbali katika kilele cha Tamasha la Jinsia jijini Dar es Salaam, wananchi kutoka warsha mbalimbali, wamesema kuwa watanzania wametakiwa kuwa makini kwa kuwachagua viongozi ambao watawahaidi sera zinazo tekelezeka na sio vinginevyo.
Wakitaja baadhi ya matatizo ambayo yanawakabili ni pamaoja na suala la upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama maeneo mbalimbali nchini, hivyo watahakikisha wanawauliza wagombea wa ngazi mbalimbali za uongozi ikiwemo udiwani, ubunge na urais, ni kwa kiasi gani watashughulikia suala la huduma ya maji.
Vilevile wamesema chama kitakacho pata ridhaa ya kuiongoza Tanzania kwa awamu ya tano, ifanye mabadiliko ya katiba ambayo yataondoa mfumo kandamizi dhidi ya mwanamke, pia wameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutofumbia macho suala la matusi na kejeli zinazofanywa na viongozi wa siasa katika kampeni zao, jambo ambalo linaweza chochea uvunjifu wa amani nchini, huku wakiwataka tume kutenda haki kwa vyama vyote vinavyo shiriki katika uchaguzi mkuu.
Hivyo wameitaka serikali kutambua michango ya kimaendeleo inayofanywa na iliyofanywa na wanawake kwa kuwawekea kumbukumbu kama ilivyo kwa wanaume, ili kuleta uwiano wa kijinsia, pia wamesema watahakikisha wanaishauri serikali kuandaa sera maalumu itakayo tambua mchango wa wanawake na kuweka kumbukumbu katika makumbusho maalum ya wanawake.
Huku wakiwataka waandishi wa habari kutumia taaluma yao kwa kutoa elimu ya uraia na masuala mbalimbali mtambuka yenye tija kwa maendeleo ya ukombozi wa taifa.
Tamasha hilo la kijinsia lililo andaliwa na wadau mbalimbali wa masuala ya kijinsia kwa kushirikiana na mtandao wa kijinsia TGNP, limefikia kilele leo jijini Dar es Salaam likibeba kauli mbiu ya mifumo kandamizi ya Mageuzi ya mifumo kandamizi hayaepukiki.

SITOKUWA TAYARI KUTOA MATUMAINI HEWA KWA WANANCHI AMBAYO HAYATEKELEZEKI-DKT MAGUFULI

$
0
0
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Ifakara wilayani Kilombero kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa wakati wake utakuwa wa kiutendaji zaidi ili kufanikisha maendeleo ya haraka kwa nchi na wananchi kwa jumla.

  Wananchi wa mji wa Ifakara waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM ndani ya uwanja wa saba saba wilayani Kilombero,wakimshangilia kwa shangwe Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alipowahutubia kwenye mkutano huo.
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimtambulisha mgombea ubunge jimbo la ilombero Ndugu Abubakar Assenga almaarufu kama mtoto wa fundi Cherehani kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika Ifakara wilayani Kilombero.

 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Ifakara wilayani Kilombero kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa wakati wake utakuwa wa kiutendaji zaidi ili kufanikisha maendeleo ya haraka kwa nchi na wananchi kwa jumla.

MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk.John Magufuli amesema iwapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu mwaka huu na kufanikiwa kuunda Serikali yake atahakikisha baadhi ya mambo ya msingi atayaamua kwa kupata ushauri wa marais waliomtangulia,amesema kuwa katika kipindi hiki cha kuomba ridhaa ya wananchi ili awe Rais hatakuwa tayari kutoa matumani hewa ambayo anajua wazi hayatekelezeki kwani ni dhambi na kufafafanua kila anachoahidi anauhakika anao uwezo wa kutekeleza.

Akizungumza kwenye mikutano yake mbalimbali ya kuomba ridhaa ya kuwania urais, Dk.Magufuli aliwambia wananchi wa Ulanga kuwa anatambua dhamana anayoomba kwa wananchi lakini ana uhakika malengo yake ya kuwatumikia Watanzania na kuleta maendeleo yatafanikiwa kwani iwapo atahitaji ushaauri ataupata kwa viongozi waliomtangulia kuongoza nchi.


Alisema sifa kubwa ya Tanzania ni kwamba kuna viongozi wastaafu wengi wakimo marais ambao wametanguli kuongoza nchi kuanzia awamu ya pili, ya tatu na awamu ya nne.


“Iwapo nahitaji ushauri, wapo viongozi wengi wa kunisaidia kuniongoza .Yupo mzee Ali Hassan Mwinyi(Rais awamu ya pili), Rais mstaafu Benjamin Mkapa, Rais Jakaya Kikwete,Rais mstaafu Salimn Amour na Rais mstaafu Aman Abeid Karume.


“Huu ndio utaratibu wan chi yetu kwamba wapo viongozi wa kutosha wa kunipa ushauri katika kutekeleza majukumu yangu ya kuwatumikia Watanzania.Najua msimamo wangu na Serikali nitakayoiunda ni kufanya kazi tu.Narudia tena kwangu mimi ni kazi tu lakini bado ninao wazee wa kunishauri ili nifikie malengo yangu,”alisema.



Alisema kiongozi mzuri ni Yule ambaye anaweka malengo ya kuwatumikia wananchi kwa misingi ya uzalendo na uadilifu na anapoona kuna mambo yanahitaji ushauri kabla ya kufikia uamuzi wapo viongozi wa kumshauri na kumpa mbinu za kufanya.


Dk.Magufuli ameanza awamu ya pili ya kampeni baada ya kumaliza mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na Mkoa mmoja wa Kusini wa Mtwara ambapo jana ameanza ziara Mkoa wa Morogoro.

 Msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli  ukikatiza kwenye dara la muda la Mto Kilombero,ambalo hutumika kupitishia vifaa mbalimbali kwa ajili ya ujenze wa daraja kubwa linalojengwa katika mto huo wa kilombero.
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli  akikagua daraja la Mto kilombero ambalo ujenzi wake unaendelea mpaka sasa. 
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli  akipata maelezo mafupi kuhusia na maendeleo ya ujenzi wa dara hilo ambalo litakuwa mkombozi mkubwa kwa wakazi wa Kilombero,litapunguza kero kubwa ya usafiri miongoni mwao kwa kiasi kikibwa.

 Baadhi ya Viongozi wa Dini wakimwombea sala  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli  mara baada ya kumaliza kuhutubia  jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi Mahenge jioni ya leo.

 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Ifakara wilayani Kilombero kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa wakati wake utakuwa wa kiutendaji zaidi ili kufanikisha maendeleo ya haraka kwa nchi na wananchi kwa jumla.

 Wanafuatilia kwa makini yaliyokuwa yakizungumzwa kwenye mkutano huo wa kampeni za CCM jioni ya leo mjini Ifakara
 
 Mkutano wa kampeni za CCM ulipokuwa ukiendelea katika uwanja wa saba saba mjini Ifakara wilayani Kilombero jioni ya leo.
 Mfuasi wa CCM na bango lake
  Wananchi wa mji wa Ifakara waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM ndani ya uwanja wa saba saba wilayani Kilombero,wakimsikiliza kwa makini mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alipowahutubia kwenye mkutano huo.
  mgombea ubunge jimbo la ilombero Ndugu Abubakar Assenga almaarufu kama mtoto wa fundi Cherehani akizungumza jambo kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika Ifakara wilayani Kilombero jioni ya leo.
 Wananchi wa mji wa Ifakara walaiojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM ndani ya uwanja wa saba saba wilayani Kilombero,wakimsikiliza kwa makini mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alipowahutubia kwenye mkutano huo. 
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akimkabidhi Ilani ya CCM Mgombea Udiwani wa CCM wilaya ya Ulanga jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa shule ya msinfi Mahenge jioni ya leo.
 Wananchi wakifuatilia hotuba ya Magufuli alipokuwa akipita kuwasalimia wananchi wa kijiji cha Lupiro-Ifakara wilayani Kilombero
nanchi wa kijiji cha Lupiro-Ifakara wilayani Kilombero wakiwa wamefunga bara bara wakimsimamisha Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli  awasalimie alipokuwa akitokea Malinyi
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi wa mji wa Ifakara waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Saba saba jioni ya leo.

MAMA SAMIA AMALIZA ZIARA YA KAMPENI MKOA WADAR ES SALAAM LEO

$
0
0
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo la Majohe kwa Warioba, jimbo la Ukonga, Dar esSalaam, leo.
 Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, alipohutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la Ukonga, Dar es Salaam
 Mgombea Ubunge jimbo la Ukonga, Jerry Silaa, akiwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni wa Mgobea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia,uliofanyika katika jimbo hilo leo.
 Maelfu ya waanchi wakimsikiliza Mgombea Ubuge jimbo la Ukonga, Jerry Silaa alipowahutubia mkutano wa kampeni katika jimbo hilo leo
 Wema Sepetu (kushoto) akiwa na wasanii wenzake ambao wamo katika kampeni ya MAMA ONGEA YA MWANAO AMPE KURA DK. MAGUFULI, kumsaidia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, kusaka kura za Mgobea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo la Ukonga leo

 Mmoja wa wasanii hao wa Bongo Movie, akimsalimia kwaraha, Mama Samia wakati wa mkutano huo wa kampeni jimbo la Uknga.
 Wema Seoetu akimsalimia Mama Samia wakati wa mkutano huo
 Wema Sepetu akisalimia maelfu ya wananchi kwenye mutano wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia leo katika jimbo la Ubungo.
 Wasanii waiopo katika mpango wa Mama Ongea na Mwanao ampe kura Dk. Magufuli, wakiwasilimia wananchi katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika jimbo la Ukonga leo
 Mgombea Ubunge jimbo la Ukonga, Jerry Silaa akijadili jambo na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo jimboni humo, Dar es Salaam.
 Wananchi wakishangilia wakati mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan, wakati akiondoka baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika leo jimbo la Ukonga Dar es Salaam.
 Wananchi wakiondoka mmoja baada ya mwingine baada ya mkutano wa kampeni kumalizika leo katika jimbola Ukonga, Dar es Salaam
 Saidi Mabera akilicharaza gita la solo, Bendi ya Msondo ilipotumbuiza leo wakati wa mkutano wa kampeni za CCm uliofanyika leo, Amana, Ilala katika jimbo la Ilala jijijini Dar es Salaam.
 Bamango ya Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, yakiwa yametawala wakati wa mkutano wa kamapeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika leo katika jimbola Ilala jijini Dar es Salaam leo
 Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia alipowasili katika viwanja vya Amana, jimbo laIlala dar es Salaam, kuhutubia mkutanowa kampeni uliofanyika leo
 Katibu wa CCM mkoawa Dar es Salaam, abilah Mihewa akiwatayarisha wananchi kabla ya mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia kuhutubia mkutano wakampeni katikajimbo la Ilala leo
 Mwenyekiti wa Machinga mkoa wa Dar es Salaam, mwenye ulemavu Abubakari Rakeshi akimuombea kura Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Ilala, Dar es Salaam.
Katibu Mwenez wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Juma Simba Gadaffi,  akimkaribisha kuzungumza na wananchi aliyekuwa Katibu Mwenezi wa mkoa huo, Hajji Manara, katika mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika jimbo la Ilala Dar es Salaam leo
 Haji Manara akihutubia wananchi katika mkutao huo
 Haji Manara akisalimiana na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia baada ya kuhutubia wananchi katika mkutano wa kampeni wa CCM uliofanyika leo jimbo la Ilala, Dar es Salaam. Katikati ni Mbunge wa Ilala Azan Zungu
 Mgombea Ubunge jimbo la Ilala Azani Zungu akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo leo
 Mgombea Mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia suluhu Hassan akihutubia wanachi katika mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo la Ilala leo
Wananmuziki wakitumbuiza katika mkuano wa kampeni uliofanyika leo jimbo la Segerea dar es Salaam
 Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia aukiwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo jimbo la Segerea Dar es Salaam
 Shamrashamra zikiwa zimeshamiri kumlaki Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM mama samia alipowasili kwenye mkutano wa kampeni jimbo la Segerea leo
Mgombea Ubunge jimbo la Segerea Bonna Kaluwa, akiomba kura baada ya kutambulishwa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika jibohilo leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

REGGAE TIME YA PRIDE FM......JUSTIN KALIKAWE

$
0
0

Ni zaidi ya miaka 12 sasa tangu kuondokewa na mwanamuziki mahiri wa Reggae kutoka nchini Tanzania, Justine Kalikawe.

Kwangu ni kumbukumbu “mbichi” ya kuondoka kwake, kwa kuwa alifariki tukiwa kwenye mkakati wa kufufua hamasa na umuhimu wa muziki wa reggae nchini.

Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2003. Mwaka ambao ulikuwa na mambo mengi saana kwangu,ndio mwaka ambao nikiwa na Dj Fax (wakati huo sote tukiwa 100.5 Times Fm) tulipanga mikakati ya kuwa na kipindi bora zaidi cha Reggae jijini Dar (ambako radio hiyo ilikuwa ikisikika).

Na nakumbuka tulipanga kukutana na kushauriana na wadau mbalimbali wa Reggae nchini kuhusu namna tunavyoweza kushirikiana kuunyanyua muziki huo uliolenga katika KUELIMISHA, KUBURUDISHA na KUIKOMBOA AKILI YA JAMII ya wanyonywaji.

 Ni katika harakati hizo nilipoweza kuonana na kufanya mahojiano na wasanii kama Jah Kimbute, Ras Inno na nikakosa nafasi kuonana na Justine Kalikawe ambaye alikuwa akikosekana kutokana na ratiba yake ya kurekodi. 
Hivyo nikawa "namvizia" ili kujua muda ambao hashiriki kurekodi nimpate naye aweze kuizungumzia tasnia ya Reggae nchini Tanzania.

Bahati mbaya Justine aliondoka na kwenda nje ya nchi kwa zaiara ya kimuziki na aliporejea hakukaa muda mrefu akakutwa na mauti. 

Huo ndio ukawa mwisho wa ushiriki wake katika mkakati huo.
Lakini wakati anafariki, nilikuwa likizo Bukoba, hivyo siku hiyohiyo nilipata taarifa zilizonishtua sana, lakini nikazikubali na kuanza mikakati ya kushiriki mazishi yake, jambo ambalo nililifanikisha.
Lakini….
Justin Kalikawe ni nani?
Viewing all 46373 articles
Browse latest View live




Latest Images