Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46371 articles
Browse latest View live

DIASPORA YA MONTGOMERY COUNTY YAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI

$
0
0

 Bwn. Daniel Korona akisherehesha hafla futi ya kumuaga Balozi wa Umoja wa Afrika aliyemaliza muda wake Mhe. Amina Salum Ali iliyoandaliwa na Jumuiya ya Diaspora kutoka Afrika wanaoishi Montgomery county iliyofanyika siku ya Jumatano Sept 2, 2015 Silver Spring, Maryland.
Kulia ni mwongozaji maswali Bi. Soffie Ceesay ambaye ni mwanachama mwanzilishi wa Montgomery County's African Affairs Advisory Group na African Immigrant Caucus akimuuliza Mhe. Amina Salum Ali maswali mbalimbali likiwemo nini anajivunia kwenye uongozi wake kama Balozi wa kwanza wa Umoja wa Afrika nchini Marekani. Balozi Amina Salum Ali alieleza ni ushirikiano wa nyanja mbalimbali mabazo nchi za Afrika zimenufaika na kupata mafanikio na uhusiano wa AU na Marekani kwa kuwezesha kupata Balozi wao nchini Marekani na kikubwa kabisa katika historia ya AU na yeye  kama Balozi kuwezesha Rais Barack Obama kwa mara ya kwanza katika historia kama Rais wa Marekani kuhutubia Umoja huo.

Isiah Leggett ambaye ni Montgomery County Executive akimtunukia cheti Mhe. Balozi Amina Salum Ali

Balozi Amina Salum Ali akitoa shukurani zake ambapo leo anaondoka kurudi Tanzania baada ya kumaliza muda wake kama Balozi wa kwanza wa Umoja wa Afrika nchini Marekani kazi aliyoifanya tangia 2006.
 Wahudhuriaji 
 Wageni waalikwa kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.

PROPHET SHEPHERD BUSHIRI MINISTRIES

$
0
0
Hii ni kufuatia mkutano mkubwa wa Injili unaoendelea jijini Pretoria (Encounter Conference 2015) ulioandaliwa na Huduma ECG inayoongozwa na Major Prophet Shepherd Bushiri na kurushwa LIVE na Prophetic Channel.

 Wanaohudumu katika mkutano huu ni Major Prophet Eubert Angel, Major Prophet Shepherd Bushiri na Dr. Ramson Mumba na miongoni mwa washiriki WAKUU wa mkutano ni Pastor Sayo Mwanyongo wa kanisa la ECG Dar es Salaam. 

Baada ya mkutano huu kuisha Pastor Sayo Mwanyongo kwa kibali alichopewa na Baba yake Major Prophet Shepherd Bushiri amewaandalia wakazi wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani Mkutano mkubwa wa Injili utakofanyika katika viwanja vya kanisa la ECG Dar es Salaam, lililopo Makongo Juu karibu na Chuo Kikuu cha Ardhi kuanzia Ijumaa tarehe 4 hadi Jumapili tarehe 6 kuanzia saa nane mchana. Mada ya mkutano huu ni Chukua Miujiza ya Kushangaza kwa Nguvu!. 

Katika mkutano huo watu wote wataombewa wakiwemo wagonjwa na wote waliofungwa na nguvu za giza na kupakwa mafuta ya Lion of Judah yaliyoandaliwa na Major Prophet Shepherd Bushiri. Pia siku ya Jumapili washiriki wote wa mkutano watapata fursa ya kushiriki chakula cha Bwana. Huu sio mkutano wa kukosa! Watu wote mnakaribishwa!

EAGER WAKAA KUJADILI JINSI YA UNDELEZAJI WA NISHATI YA JOTOARDHI

$
0
0
 Naibu Kiongozi wa Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER) Bw. John Heath akiwaelimisha wadau mbalimbali wa Kampuni inashughulikia Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi. Warsha inayofanyika tarehe 2-4 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.
 Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi. Boniface Njombe akichangia mada katika warsha kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi. Warsha iliyofanyika siku ya tarehe 2 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.

 
 Baadhi ya wadau mbalimbali kutoka Kampuni ya Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na TANESCO wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa mada kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi, warsha iliyofanyika siku ya tarehe 2 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau mbalimbali kutoka Kampuni ya Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na TANESCO wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya warsha iliyofanyika siku ya tarehe 2 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.

PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWEGA-MAELEZO.

BALOZI OMBENI SEFUE AMEWATAKA WAHANDISI KUWA WAADILIFU

$
0
0
 Baadhi ya Wahandisi wahitimu kutoka katika vyuo na taasisi mbalimbali wakiapa kiapo cha utii kwa Taaluma yao mbele ya Kamishna wa Viapo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi yanayoendelea jijini Dar es salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Wahandisi kutoka maeneo mbalimbali nchini wakati wa ufunguzi wa Siku ya Wahandisi nchini mwaka 2015 jijini Dar es salaam. 
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akikabidhi vyeti na miongozo mbalimbali ya utendaji wa kazi kwa Wahandisi baada ya kuapishwa nchini leo  jijini Dar es salaam.
 
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi nchini Tanzania (ERB) Mara baada ya ufunguzi wa Siku ya Wahandisi 2015 leo  jijini Dar es salaam. Picha na Lorietha Laurence Maelezo) 

Na Lorietha Laurence
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amewataka wahandisi nchini  kuwa waadilifu na kuweka bidii na maarifa katika kazi zao ili kuleta mapinduzi ya uhakika kwa taifa.

 Akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa 15 wa Wahandisi wenye kauli mbiu ya “Utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya mwaka 2025 mtazamo wa Mhandisi” leo (Alhamisi 3. Septemba, 2015) Jijini Dar es Salaam, Balozi Sefue alisema  fani ya uhandisi ni muhimu kwa kuwa inagusa maisha ya kila ya jamii.
 “Mhandisi ni mtu muhimu katika  maendeleo ya nchi kwa kuwa sekta nyingi zinategemea ujuzi wake  ikiwemo Nishati ,Madini, barabara, maji, uvuvi na kilimo na nyingine nyingi” alisema Balozi sefue.

 Aliongeza kuwa kwa kutambua  umuhimu wa wahandisi katika  maendeleo ya nchi, Serikali imeweka mikakati mbalimbali ikiwemo kuweka maabara katika shule za umma ili kuwavutia wanafunzi kupenda masomo ya sayansi na baadaye kusomea uhandisi pamoja na  kuanzishwa vyuo vya umma vya uhandisi.

Kwa mujibu wa Balozi Sefue alisema Serikali itaendelea kutenga fedha kwa ajili ya  mafunzo kwa njia ya  vitendo kwa wanafunzi watakaosoma masomo ya uhandishi katika ngazi mbalimbali.

Aidha Balozi Sefue aliupongeza Ubalozi wa Norway nchini kwa mchango wake kiasi cha dola milioni 2 za kimarekani zilizosaidia kuwawezesha wahandisi wa kike 217 kusajiliwa na hivyo kuongeza idadi ya wahindisi wanawake nchini.

 “Ninawaomba watoto wa kike wa Tanzania wapende masomo ya sayansi ili baadaye waweze kusomea uhandisi na hivyo kuongeza idadi ya wahandisi nchini na kuchochea maendeleo zaidi” alisema Balozi Sefue.

Naye Katibu ya Bodi ya Wahandisi Nchini, Mhandisi. Prof. Ninatibu Lema ameiomba serikali kujenga mazingira mazuri kwa wahandisi wa serikali na wa sekta binafsi ili kuleta matunda mazuri kwa nchini.

Kwa upande wake Msajili wa Bodi ya Wahandisi, Mhandisi Steven Mlote alisema ili dira ya maedndeleo ya mwaka 2025 iweze kukamilika ni budi udahili wa wahindisi uongezeke kwa kuwa uhitaji wake kwa sasa ni mkubwa.

“Mpaka sasa tuna wahandisi 15364 waliosajiliwa na Bodi ya Usajili nchini idadi ambayo ni ndogo ukilinganisha na uhitaji wa watu katika kuleta maendeleo kupitia sekta mbalimbali” alisema  mhansisi Mlote.

Katika Mkutano huo wahandisi 96 waliapa kiapo cha uadilifu mpango uliozinduliwa na Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt.John Magufuli wakati wa mkutano wa 13 wa wahandisi uliofanyika September 05 2013.

MABADILIKO MAKUBWA YA KISERA KUINUA WAJASIRIAMALI WADOGO NA WA KATI

$
0
0
Mkuu wa utafiti na machapisho ESRF profesa Fortunata makene akifungua warsha
Mkuu wa utafiti na machapisho ESRF, Profesa Fortunata Makene akifungua warsha.
mwasilishaji wa mada Hosana Mpango akizungumza
Mwasilishaji wa mada Hossana Mpango akizungumza na washiriki (hawapo pichani) kwenye warsha hiyo.
washiriki wa warsha ya siku moja ya ujasirimali mdogo na wa kati katika muktadha wa fedha
Washiriki wa warsha ya siku moja ya ujasiriamali mdogo na wa kati katika muktadha wa fedha iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF).

Na Mwandishi wetu
SERIKALI imetakiwa kufanya mabadiliko makubwa ya kisera kuwezesha kukua kwa viwanda vidogo na vya kati nchini.

Kauli hiyo imo katika utafiti uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) kuhusu ukuaji wa sekta hiyo katika muktadha wa upatikanaji wa fedha.

Akiwasilisha utafiti huo mmoja wa watafiti Hossana Mpango alisema kwamba kwenye utafiti wao wamebaini mgongano mkubwa wa kisera na utendaji, unaosababisha kukwama kwa maendeleo ya sekta hiyo.
 

Alisema ingawa kuna tatizo kubwa la ajira ambalo limefanya watu wengi kukimbilia kujiajiri wenyewe, kuna changamoto kubwa katika sekta hiyo hasa sera na uwapo wa mlolongo wa taasisi zinazopishana mamlaka na huku wakiwa ndio wanatoa leseni.

Alizitaja taasisi hizo zinazopishana mamlaka kama Shirika la Viwango nchini (TBS), Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) mamlaka ya kodi (TRA) halmashauri mbalimbali nakadhalika.

Alisema mabadiliko ya kisera yatawezesha kutengeneza muundo unaojali ukuaji wa sekta hiyo hasa kwa kuangalia kodi zinazolipwa ambazo kwa sasa ni za aina moja bila kuangalia uwekezaji unaohusika.

Sekta hiyo ya wajasirimali wadogo na wa kati yenye watu milioni 3 kwa mujibu wa utafiti wa mwaka 2012 inakabiliwa na tatizo la kutokua kutokana na vikwazo mbalimbali vikiwemo pia kukosekana kwa mafunzo ya ujasirimali na uwezo wa kupata fedha za mtaji.

"Ni dhahiri upatikanaji wa fedha kutoka nje ili kuendeleza mtaji ni tatizo. Lakini tatizo hili linakuwagumu zaidi kutokana na riba kubwa, uchelewefu wa kupata mikopo, rushwa katika utoaji na ukosefu wa nidhamu ya fedha kwa wakopaji” alisema Hossana.

Alisema pamoja na mambo hayo kuna matatizo mengine makubwa yanayokwamisha ukuaji wa sekta hiyo. Matatizo hayo mengine ni gharama kubwa zinaootokana na haja ya kukidhi masharti ya uendeshaji wa viwanda hivyo vidogo na vya kati, tozo zinazojirudia, ukosefu wa soko na elimu ndogo ya wajasirimali.

Alisema mabadiliko ya kisera yatasaidia kuimarisha sheria na kuweka sawa mwelekeo wa sekta hiyo kwa kuzingatia kwamba inahitaji mchango mkubwa wa nje ili kukua.

Alisema mathalani ingawa kuna SACCOS, taasisi hizo zinashindwa kwenda kukopa kutokana na riba kubwa na kuwapo kwa mfumo wa kodi na makato mengine yakiwemo ya tozo usiokuwa na tija.

Alisema suluhu nyingine inayostahili kufanywa ni kwa taasisi za kifedha kufuata tabia njema za kimataifa za utoaji wa mikopo unaozingatia pamoja na mambo mengine ukubwa wa mikopo na malipo kwa kuangalia manufaa ya kiuchumi.

"Ili viwanda hivi vya chini na kati kukua masuala ya kifedha na yasiyo ya kifedha ni lazima yaangaliwe na kushughulikiwa..." alisema.

Matatizo mengine ni pamoja na sekta hiyo kukosa msaada huku taasisi mbalimbali zinazohitaji kushirikiana zikifanya vitu kila mmoja na wake.
Taasisi hizo ni SIDO, TRA, WDF, YDF, BRELA na pia miundombinu inayokera katika maeneo hasa ya vijijini.

Pia ili kukuza sekta hiyo ni vyema serikali ikatengeneza miundombinu inayojkidhi haja ya ukuaji wa sekta hiyo kama maghala, masoko, barabara, maji, umeme kwa lengo la kupunguza gharama za kufanya biashara.

Pia utafiti huo ulishauri kwamba serikali ni lazima kutenga fungu ambalo litatumiwa na taasisi kama SIDO, NEEC na hata maofisa biashara wa wilaya kwa ajili ya mafunzo ya ujasirimali na uendeshaji wa biashara.

Mapema Mkuu wa idara ya utafiti na machapisho wa ESRF Profesa Fortunata Makene, aliwataka washiriki wa warsha hiyo kutoa michango katika kuboresha uelewa ili serikali iweze kutatua kizungumkuti cha ukuaji wa sekta hiyo.

MGOMBEA MWEZA SAMIA AKIENDELEA NA KAMPENI JIMBO LA TEMEKE DSM

$
0
0
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia suluhu Hassam akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni aliofanya jana, Septemba 3, 2015 katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo).

2. Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia akishangiliwa na wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam, Septemba 3, 2015. (Picha na Bashir Nkoromo).
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhai Madabida akimkaribisha mgombea Mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, kuhutubia mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Buza, jimbo la Temeke katika mkoa huo.
 Mgombea ubunge wa Temeke Abbas Mtemvu akiomba kura baada ya kunadiwa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kata ya Buza katika jimbo hilo, septemba 3, 2015.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimwelekeza jambo mgombea Ubunge jimbo la Temeke Abass Mtemvu wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Buza katika jimbo hilo, septemba 3,2015.


 Shamrashamra za wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni za mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM katika kata ya Buza jimbo la Temeke.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akiwatuza vijana wakundi la Fataki, baada ya kutumbuiza kwa ngonjera zao wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani dar es Salaam

GGM YATOA MSAADA WA MIL.30 KATIKA SHULE YA MSINGI GEITA

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Mgodi wa Geita-GGM Bw. Terry Mulpeter, akikabidhi Msaada wa vifaa vya ukarabati wa madarasa ya shule ya Msingi Geita  vyenye thamani ya shilingi milioni 30 katila kijiji cha Mpomvu Mkoani Geita,Kulia ni Mkuu wa Shule Leah Mihayo akipokea msaada huo.

SUPERSPORT KWENDA LAIVU ALL AFRICAN GAMES

$
0
0
D3A_3549
Meneja Mkuu wa SuperSport kwa ukanda wa Kusini mwa Afrika, Graeme Murray akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika (hawapo pichani) katika hoteli ya OutriggerHotel & Beach Resort nchini Mauritius.

Na Modewjiblog, Mauritius
WAKATI leo michezo ya 11 ya All African games chaneli ya SuperSport imetangaza rasmi kwamba watashika usukuni wa kurusha matangazo ya michezo hiyo kupitia SuperSport 9 Michezo hiyo imeanza juzi.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa uzalishaji wa SuperSport, Alvin Naicker wakati akizungumza na waandishi wa habari katika mkusanyiko mkubwa wa MultiChoice uliohusisha waandishi wa habari, masupastaa na chaneli wanazofanya kazi nazo katika hoteli ya OutriggerHotel & Beach Resort nchini Mauritius.

Akiwa mtu kati Naicker alisema kwa kujiamini kwamba urushaji wa matangazo hayo ni sehemu ya uuzaji wa sura ya michezo ya Afrika katika mabara mengine.

Akiwa katika mazungumzo hayo ambayo yalioongozwa na mmoja wa watu wanaotoa burudani kubwa ya utangazaji ndani ya SuperSport, Carol Tshabalala alisema hali hiyo inatokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa katika sekta nzima ya burudani na michezo na kampuni ya MultiChoice.
D3A_3571
Mkuu wa masoko wa SuperSuport, Motheo Matsau akifurahia jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika visiwa vya Mauritius.

Katika mazungumzo hayo ambapo pia alikuwapo Mkuu wa masoko wa SuperSuport, Motheo Matsau, Meneja mkuu wa SuperSport kwa ukanda wa Kusini mwa Afrika, Graeme Murray na mgeni maalum Anthony Baffoe, mchezaji wa zamani wa kimataifa na Mratibu mkuu wa FIFA na CAF, Naicker alisema ubora wa chaneli yake unatokana na kuweza kunoa vipaji vya watangazaji wake kufikia kiwango cha juu kabisa cha ubora.
 

Kama mwekezaji mkubwa wa masuala ya michezo katika bara la Afrika, SuperSport imepata matokeo ya kuridhisha na yenye tija.

“Mwaka 2006 tulipeleka kundi dogo la watu 26 Abudja kutangaza mpira lakini leo hii tunaringia kuwa na asilimia 100 ya watangazaji wenyeji wakifanyakazi zao katika nchi za Nigeria na Ghana,”alisema Murray.

Baffoe naye aliongeza kwamba mchango wa SuperSport umeongeza zaidi ya utangazaji na kuwezesha kuongezeka kwa kiwango cha uprofesheni katika ligi mbalimbali barani Afrika.
D3A_3677
Mchezaji wa zamani wa kimataifa na Mratibu mkuu wa FIFA na CAF, Anthony Baffoe akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani).

“SuperSport iliweka msingi wa utoaji leseni kwa klabu, kuwaelimisha watawala, kuweka viwango vya msingi katika viwanja, kusaidia kuanzishwa kwa umoja wa wachezaji, kuwafanya wachezaji kuwa wadau muhimu katika ligi na kuwaruhusu wajipange kwa maisha nje ya soka,” alisema.

Murray alielezea jinsi watangazaji walivyoweza kujishirikisha katika ligi za wenyeji kama mfano bora namna ambavyo Supersport imesaidia michezo katika bara hili

“Tulianza kushirikiana na Ligi Kuu ya Nigeria mwaka 2006 na imeendelea kukua mwaka hadi mwaka,” alisema. “Tuliweza kuingia katika Super Eagles’ League ya Nigeria na ligi ya kikapu ya Nigeria, ligi zote mbili zinafanya vyema kuliko hapo awali.

Tumekuwa washirika wa Ligi Kuu ya Kenya kuanzia mwaka 2008 na Ligi Kuu ya Ghana toka mwaka 2012. Inatakiwa kukumbukwa kwamba kabla ya kuingia kwetu Kenya hakuna hata mechi moja ya ligi iliweza kutangazwa katika runinga na sasa ligi inazidi kukua.”
D3A_3659
Mkuu wa uzalishaji wa SuperSport, Alvin Naicker akisisitiza jambo katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani).

Aidha SuperSport katika siku za karibuni imekamilisha mkataba na waendeshaji wa Ligii kuu ya Zambia kuendelea kuonekanakana katika Supersport kwa miaka mitano ijayo.

Aidha chaneli ya SuperSport inajipanga kuanzisha jarida nchini Zambia litakalouza soko la Zambia kwa mataifa ya Afrika.

Mkuu wa masoko wa SuperSport, Motheo Matsau pia ameongeza kwamba kunahitajika kuuza kwa michezo bara la Afrika na kwa yakini kama maendeleo yaliyopo hayataonekana kwa dunia , itakuwa hakuna maana, kinachojalisha ni kwa kadamnasi ya kimataifa kujua kwamba Afrika ina vipaji bora kabisa katika michezo.

Alisema kupitia matangazo ya chaneli hiyo kunaonesha kwamba mauzo yanaleta faida kama ulivyo mchezo wenyewe na hilo ndilo linafanya Super Sport kuwa chaneli bora zaidi duniani.

Wakati mtu akitoka katika mafunzo ya utangazaji ya chaneli hii anajua michezo na ajui namna ambavyo masuala ya utangazaji yanavyofanyakazi. Watu hawa wanakuwa mabalozi wetu na vyanzo muhimu sana vya habari.Tunatia SuperSport uhai kwa kuwakutanisha watu hawa.”

Naicker katika mazungumzo hayo alisisitiza kuendelea kuwepo kwa mahusiano mazuri kati ya SuperSport na wadau wa michezo wa bara la Afrika.

“Sisi si kwamba tunalipa fedha kwa ajili ya kupata kibali cha kutangaza au kupiga picha za video tukio la burudani hii, lazima kuwepo na utoaji wa elimu, mchakato unaostahili kukabiliwa na pande zote mbili.

Tunapaswa kujua muda gani unastahili kuchezwa na mambo gani ambayo hayastahili kuyatangaza. Tumetengeneza kijarida cha utangazaji ili kila mmoja aweze kusoma kuwasaidia wengine katika mchakato wa namna matangazo yanavyorushwa na ushawishi wake lojistiki, usahihi wa muda na upangaji fixtures. Tunataka ujenga ushirikiano wenye ufanisi kwa muda mrefu,” alisema.

Naicker pia alitumia nafasi hiyo kuelezea furaha yao ya kupata zabuni ya kutangaza michezo ya olimpiki ya mwaka 2016.
D8A_1013
Carol Tshabalala wa Supersport akiendesha mkutano na waandishi wa habari.
“Tutakuwa chaneli nyingi za michezo hiyo, kiwango cha chini kabisa zikiwa ni chaneli 6 kwenye SuperSport bouquet,” alisema.

“Tutarusha kila tukio ambalo mwafrika ana nafasi ya kutwaa medali. 

Tumetengeneza makundi ya watangazaji na timu zao kufuatilia timu za Kiafrika katika tukio hilo kubwa. Aidha tayari tumeshaanza mazungumzo na mamlaka kubwa za michezo katika nchi za bara la Arika kujua watu ambao wanaweza kutwaa medali ili kuanza kuandaa stori zao kuelekea michezo ya Olimpiki.”

“Tunajivunai si tu kuwa watangazaji wazuri wa michezo katika bara la Afrika, bali duniani,” anasema Naicker.

Kwa kuwatumia masupastaa wa Afrika kama akina Sammy Kuffour kuelezea masuala ya kiufundi na utaalamu wa ndani unachokiona, kusaidia kunyanyua michezo kutoka katika ngazi za awali chini kabisa kwa kuwa na miradi maalumu, SuperSport inaongoza katika kuelezea mafanikio ya Afrika katika michezo kwa mataifa mengine duniani.

Mwandishi wa habari hizi na wengine kutoka nchi mbalimbali za Afrika wapo nchini Mauritius katika moja ya maonesho makubwa ya watoa burudani kwa njia ya televisheni na video ya MultiChoise wanaotumia mtandao wa DSTV na GoTv.
D3A_3541
Carol Tshabalala wa SuperSport.

MUHTASARI WA MAAMUZI YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI DHIDI YA RUFAA ZA UBUNGE NA UDIWANI

$
0
0
MUHTASARI WA MAAMUZI YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI DHIDI YA RUFAA ZA UBUNGE NA UDIWANI


1.   Rufaa za Wabunge

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea Rufaa za Wabunge 55 na imeshatolea maamuzi rufaa 42  bado rufaa za Wabunge 13 ambazo vielelezo vyake vinasubiriwa kutoka kwenye Halmashauri husika. 

Kulikuwa na Rufaa 16 za Wabunge waliokuwa wameenguliwa. Kati ya hizo Wabunge 13 wamerudishwa kuendelea na kampeni na rufaa 3 Tume ilikubaliana na maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi hivyo hao hawatarudishwa kwenye orodha ya Wagombea. Aidha, rufaa 24 zimekataliwa na Tume ambapo maamuzi ya Wasim

amizi wa Uchaguzi yataendelea kubaki kama yalivyo na wagombea wataendelea kugombea. Pia kuna rufaa 2 ambazo Tume haijazijadili kwa kuwa hazikufuata utaratibu wa kuwasilisha Tume yaani kupitia kwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo husika hivyo, maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi yatabaki kama yalivyo na wagombea wataendelea kugombea kama walivyoteuliwa. (Jedwali 1)

2.   Rufaa za Madiwani

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea Rufaa za Madiwani 200 na imeshatolea maamuzi rufaa 82  bado rufaa za Madiwani 118 ambazo zinaendelea kufanyiwa kazi. Kulikuwa na Rufaa 16 za Madiwani waliokuwa wameenguliwa. Kati ya hizo Wabunge 15 wamerudishwa kuendelea na kampeni na rufaa 1 Tume ilikubaliana na maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi hivyo hao hatarudishwa kwenye orodha ya Wagombea. Aidha, rufaa 64 Tume ilikubaliana na maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi hivyo yataendelea kubaki kama yalivyo na wagombea wataendelea kugombea. (Jedwali 2)

Jedwali 1 (Tarehe 31/08/2015)

Na.

Jimbo

Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

1

Rungwe

Frank George Maghoba

ACT Wazalendo

Saul Henry Amon

CCM

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






2

Kinondoni

Karama Masoud Suleiman,

 ACT Wazalendo

Azzan Iddi Mohamed

CCM

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa ACT Wazalendo katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Kinondoni.






3

Peramiho

Mwingira Erasmo Nathan

CHADEMA

Jenista Joakim Mhagama

CCM

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Peramiho.






4

Lindi Mjini

Barwany Salum Khalfan

(CUF)

Kaunje Hassani Selemani

(CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






5

MLALO

GOGOLA SHECHONGE GOGOLA (CUF)

RASHID ABDALLAH SHANGAZI (CCM)

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa CUF katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Mlalo.






6.

MAFIA

KIMBAU OMARY AYOUB (CUF)

DAU MBARAKA KITWANA (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






7.

MJI WA HANDENI

DAUDI KILLO LUSEWA (CHADEMA)

KIGODA ABDALLAH OMARI (CCM)

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Mji wa Handeni.






8.

NJOMBE KUSINI

EMMANUEL GODGREY MASONGA (CHADEMA)

EDWARD FRANS MWALONGO (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






9

NJOMBE KUSINI

EMMANUEL GODFREY MASONGA

(CHADEAMA)

WILLIAM EDWARD MYEGETA

(DP)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






10.

NJOMBE KUSINI

EMMANUEL GODFREY MASONGA

(CHADEMA)

EMILIAN JOHN MSIGWA

(ACT -wazalendo)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






11.

KINONDONI

KALUTA, AMIRI ABEDI

(CHAUMMA)

AZZAN IDD MOHAMED

(CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






12.

MICHEWENI

KHAMIS JUMA OMARI (CCM)

HAJI KHATIB KAI (CUF)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






13.

CHALINZE

SHOO GASPER AIKAELI (ACT –Wazalendo)

KIKWETE RIDHIWANI JAKAYA (CCM)

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa ACT Wazalendo katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Chalinze.






14.

CHALINZE

TORONGEY MANGUNDA  MATHOYO (CHADEMA0

KIKWETE RIDHIWANI JAKAYA

(CCM)

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Chalinze.






15.

KASULU MJINI

MACHALI MOSES JOSEPH

(ACT – Wazalendo)

NSANZUGWANKO DANIEL NICODEMUS

(CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






16.

MWANGA

KILEWO HENRY JOHN (CHADEMA)

PROF. MAGHEMBE JUMANNE ABDALLAH (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






17.

Tarime Mjini

Esther Nicholas Matiko

(CHADEMA )

Deogratius Meck Mbagi

(ACT – Wazalendo)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






18.

Ulanga

Celina Ompeshi Kombani (CCM)

Ikongoli Pancras Michael (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






19.

Nzega Mjini

Mezza Leonard John (CUF)

Bashe, Mohammed Hussein (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

20

Nkenge

Bagachwa Salim Abubakar (CUF)

Kamala Diodorus Buberwa (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






21.

Ulanga

Celina Ompeshi Kombani (CCM)

Isaya Isaya Maputa (ACT – Wazalendo)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

22.

Bukene

Elias Michael Machibya (CCM)

Simbi Alex Mpugi (CUF)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






23.

Ileje

Janeth Zebedayo Mbene (CCM)

Emmanuel Amanyisye Mbuba (NCCR – Mageuzi)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






24

Ileje

Emmanuel Amanyisye Mbuba

(NCCR – Mageuzi)

Janeth Zebedayo Mbene (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






25

Kigoma Kusini

Bidyanguze Nashon William (ADA – TADEA)

Msimamizi wa Uchaguzi (RO)

Tume imekubali Rufaa ya mrufani kwani aliwasilisha fomu 4 za uteuzi zenye jumla ya wadhamini 52. Hivyo, Tume imemrejesha Mgombea wa ADA TADEA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Kigoma Kusini .






26

BUMBULI

DAVID JOHN CHAMYEGH

(CHADEMA)

JANUARY YUSUF MAKAMBA    ( CCM)

Tume imekubali rufaa na imemrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Bumbuli aendelee na Kampeni.







27

DODOMA  MJINI

KIGAILA BENSON SINGO (CHADEMA)

MAVUNDE PETER ANTONY (CCM)

Tume imekataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.






28

LUDEWA

MSAMBICHAKO BARTHOLOMEO A. MKINGA ( CHADEMA)

FILIKUNJOMBE DEO HAULE (CCM)

Tume imekubali Rufaa na imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na imemrejesha Mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Ludewa. Aendelee na Kampeni.






29

KINONDONI

MTULIA MAULID SAID ABDALLAH CUF

AZZAN IDD MOHAMED CCM

Tume imeikubali rufaa na imemrejesha Mgombea wa CUF katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Kinondoni aendelee na Kampeni.






30

MTAMA

SELEMANI SAIDI MTULUMA

UPDP

MCHINJITA RASHID ISIHAKA

CUF

Tume imekataa rufaa na inakubaliana na maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi hivyo Mrufani ameondolewa kwenye ugombea kihalali na kisheria.






31

UKONGA

JERRY WILLIAM SILAA (CCM)

WAITARA MWIKABE (CHADEMA)

Tume imeikataa  imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kuwa Waitara Mwikwabe ni Mgombea halali. Wagombea waendelee na kampeni.






32

SENGEREMA

FRANCISCO K. SHEJUMABU

(UDP)

TABASAM H. MWAGAO (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na inakubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi hivyo, Tabasam H. Mwagao ni mgombea halali.






33

SENGEREMA

TUMAINI MWALE KABUSINJA (NCCR – Mageuzi)

HAMIS MWAGAO TABASAM (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi hivyo, Tabasam H. Mwagao ni mgombea halali.






34

MOSHI MJINI

KIRETI KAMASHO ISSAC  (SAU)

JAPHARY RAPHAEL MICHAEL (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa ya mrufani, kwa kuwa hajatoa uthibitisho kuwa mrufaniwa siyo raia wa Tanzania. Tume imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi hivyo,Japhary Raphael Michael ni mgombea halali.






35

MADABA

BUSARA LOSTOON KAISARI (ACT – Wazalendo)

Msimamizi wa Uchaguzi

Tume imekubali Rufaa na kumrejesha BUSARA LOSTOON KAISARI, Mgombea wa ACT Wazalendo katika orodha ya Wagombea wa Jimbo la Madaba.






36

TANGA MJINI

NUNDU OMARI RASHID (CCM)

KIDEGE HAMAD AYUBU MHAMED (ACT – Wazalendo)

Tume imekubaliana na, uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kwa hivyo rufaa imekataliwa. Wagombea wanaendelea na kampeni







37

TANGA MJINI

NUNDI OMARI RASHID (CCM)

MUSSA BAKARI MBAROUK (CUF)

Tume imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kwa hivyo, rufaa imekataliwa na Wagombea wanaendelea na   kampeni.


Tarehe 02/09/2015

38

ARUMERU MASHARIKI

NASSARI JOSHUA SAMWEL (CHADEMA)

PALLANGYO JOHN DANIELSON (CCM)

Tume  imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kwa hivyo, rufaa imekataliwa na wagombea wanaendelea na Kampeni..








39

SHINYANGA MJINI

STEVEN JULIUS MASELE (CCM)

PATROBAS PASCHAL KATAMBI (CHADEMA)

Tume imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi kwa hivyo, rufaa imekataliwa. Wagombea waendelee na kampeni.


40

MTAMBWE

KHAMIS SEIF ALLI (CCM)

ALI SALIM OMARI (AFP)

Rufaa hii haikujadiliwa na Tume kwa sababu utaratibu wa uwasilishaji fomu za rufaa haukufuatwa.






41

MGOGONI

ISSA JUMA HAMAD(CCM)

SULEIMAN ALI YUSUF

Rufaa hii haikujadiliwa kwa sababu utaratibu wa uwasilishaji fomu za rufaa haukufuatwa.









Jedwali 2 Tarehe 01/07/2015

Na.

Jimbo

Aliyekata Rufani

Aliyekatiwa Rufani

Uamuzi wa Tume

1.

CHIKUNJA/NDANDA

KASTOR JOSEPH MMUNI

(CHADEMA)

MPONDA FILEMON NOAMECK DISMAS (NLD)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.

2

KIMAMBA ‘A’/KILOSA

SILAS RAMADHANI KASSO (CUF)

AIRU MUSTAPHA KAISI (ACT-WAZALENDO)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi


3

NYAMISANGURA/TARIME MJINI

BASHIRI ABDALLAH SELEMANI (CHADEMA)

NCHANGWA SAMWELI MAGOIGA

(CCM)

Tume imekubali rufaa na kumrejesha mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Kata ya Nyamisungura


4

OLMOLOG/LONGIDO

MATHIAS ORKIREYE MOLLEL

(CCM)

DIYOO LOMAYANI SYOKINO LAIZA

(CHADEMA)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.


5

MWISENGE/MUSOMA

LADISLAUS MANYAMA MAGESA

(CCM)

BWIRE NYAMERO BWIRE (CHADEMA)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi


6

BOMANI/TARIME MJINI

MECCO KAZIMOTO KABILA

(CHADEMA)

MASUBO GODFREY MICHAEL

(CCM)

Tume imekubali rufaa na kumrejesha mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Kata ya BOMANI.


7.

ISYESYE/JIJI LA MBEYA

MDEMU MELAS PAUL (CCM)

IBRAHIM JOHN MWAMPWANI

(CHADEMA)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi.


8

MBARIKA/MISUNGWI

IZENGO TUMAINI PETER

(CHADEMA)

ZUBERI MANZA NGUKULA (ACT-WAZALENDO

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi


9

KILAGANO/WILAYA YA SONGEA

BATHLOMEO SIXMUNDI MKWERA

(CHADEMA)

EMANUEL EMILIAN NGONYANI

(CCM)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi


10

ISAMILO/Jiji la Mwanza

TIBA DEUS TIBA

(TADEA)

YAHAYA IDDI NYALENGA

(ACT-WAZALENDO)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi


11

BENDERA/SAME

MICHAEL RICHARD MCHARO

(CHADEMA)

CHRISTOPHER MAIKO MZIRAI

(CCM)

Tume imekubali rufaa na kumrejesha mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Kata ya Bendera.


12

MBWEWE

MAHAMBA BAKARI RAMADHANI

(CCM)

MOHAMEDI JUMA RAJABU

(CUF)

Tume imetengua  uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea CUF kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya Mbwewe

13

MABIBO

JOSEPH WILLIAM KESSY

(CCM)

DASTAN ATHANASIO ERNEST

(CUF)

Tume imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea wa CUF katika orodha ya Wagombea wa Kata ya Mabibo. Wagombea waendelee na kampeni.


14

WANGING’OMBE

HINGI ROSINA GABRIEL

(CHADEMA)

NYAGAWA GEOFREY KILUNDO

(CCM)

Tume imeikataa rufaa na wagombea wote wanaendelea na kampeni za uchaguzi







15

TALAWANDA/CHALINZE

SHABANI MAULIDI SEMINDU

(SAU)

ZIKATIMU SAIDI OMARI

(CCM)

Tume imetengua  uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya Talawanda.






16

KIWANGWA/CHALINZE

OMARI RASHIDI DAVID

(CHADEMA)

MALOTA HUSEIN KWAGGA

(CCM)

Tume imekataa rufaa na  imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






17

LUGOBA/CHALINZE

UCHECHE IDDI MRISHO

(CHADEMA)

MWENE ISSA REHEMA

(CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubaliana na uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






18

ISYEYE/MBEYA JIJI

MDEMU MELAS  PAUL (CCM)

SANKE ENOCK SESO (APPT-Maendeleo)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






19

ISYEYE/MBEYA JIJI

MDEMU MELAS  PAUL (CCM)

MWASEBA SARAH MWASAMBOMA (NCCR-Mageuzi)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na wagombea wote wanaendelea na zoezi






20

ISYEYE/MBEYA JIJI

MDEMU MELAS  PAUL (CCM)

FABIAN ERNEST DEO (ACT-WAZALENDO)

Tume imkataa rufaa na imekubaliana na maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi.






21

KASHAI/BUKOBA MJINI

KABAJU NURULHUDA ADULKADIR (CHADEMA)

SAMORA A. LYAKURWA   (CCM)

Tume imekubali rufaa na kumrejesha mgombea wa CHADEMA katika orodha ya Wagombea wa Kata ya Kashai. Wagombea waendelee na kampeni.









22

MBWEWE/CHALINZE

MAHAMBA BAKARI RAMADHANI (CCM)

PAPA JUMA HAMISI  (CHADEMA)

Tume imetengua  uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea CHADEMA kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya Mbwewe






23

KIWANGWA/CHALINZE

MALOTA HUSSEIN KWAGGA (CCM)

OMARI RASHID DAVID (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na  imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






24

MCHANGANI/TUNDURU KASKAZINI

MAWILA MOHAMED YASIN

CUF

HAIRU HEMED MUSSA

CCM

Tume imetengua  uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea MAWILA MOHAMED YASIN CUF kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya Mchangani.






25

BUGORORA/MISENYI

SWALEH AHMADA MLISA

(CHADEMA)

PROJESTUS M. RUZIGIJA

(CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






26

SIRARI/TARIME

SAGARA AMOS NYABIKWI (CCM)

NYANGOKO PAUL THOMAS

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






27

KIBASUKA/  TARIME

ISAYA NYANGOYE TARRIMO   (ACT-Wazlendo)

LOICE CHACHA MANYATA  (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi






28

Kibasuka/ Tarime

ISAYA NYANGOYE MATIKO      (ACT- Wazalendo)

KELEMANI NYAKIHA KEHEMGU (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






29

IYELA/ JIJI LA MBEYA

EMMANUEL ELIAH LYATINGA (CCM)

CHARLES CHANGANI MKELLA  (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






30

IGANJO

WASHAHA JAIVU MIHALI (CCM)

DAVID EDWARD MWANGONELA (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






31

ISYESYE

MDEMU MELAS PAUL

CCM

MWASEBA SARAHA MWASAMBOMA


Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






32

MIYUJI/ MANISPAA DODOMA

WALLACE DANIEL LUSSINGU

DAVID WILLIAM MGONGO

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

33

MNADANI

EUSTACE RWENYANGILA RUBANDWA

FARIDA ISSA MBARUKU

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






34

THEMI/ JIJI LA ARUSHA

LABORA PETRO NDARPOI

CCM

MELANCE EDMOND KINABO

CHADEMA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.











35

LUFILYO/ BUSOKELO

MWAMAFUPA LUCAS GIDION

CCM

RICHARD AFRICA MWANGOMALE

CHADEMA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






36

SOMANDA/ BARIADI

HERI MCHUNGA ZEBEDAYO

CHADEMA

ROBERT LWEYO MGATA

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.








37

ULEMO/ IRAMBA

ELIKANA MAKALA SHOMIA

SAMWELY F. SHILA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






38

KIEGEANI/ MAFIA

SELEMANI DARUSI ALLY

HASSAN MOHAMED SWALHU

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






39

ISYESYE/ JIJI LA MBEYA

MDEMU MELAS PAUL

SANKE ENOCK SESO

Tume imepitia vielezo vya mrufani na kujiridhisha rufaa haina msingi. Hivyo  Tume imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na wagombea wote wanaendelea na zoezi






40

PERA/ CHALINZE

MAJIDI MUSSA ISALE

(CHADEMA)

LEKOPE

LAINI

LANG’WESI

(CCM)

Tume imekubali rufaa na imetengua  uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo na kumrejesha Mgombea wa CHADEMA kwenye orodha ya wagombea udiwani Kata ya Pera






41

MWAYA/ ULANGA

LILONGERI FADHILI FURAHA

(CCM)

MOHAMEDI KAPELEWELE RASHIDI

(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






42

KIRUSHYA/ NGARA

SOSPETER SALAZIEL KAPFHUM

(CHADEMA)

SENTORE

MIBULO JACOB


Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






43

IYELA/ JIJI LA MBEYA

EMMANUEL ELIAH LYATINGA

KELVIN HENRY MYEMBA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






44

MBEZI MKURANGA

RAMADHANI MOHAMED MBWELA

CUF

RASHID MOHAMED SERUNGWI

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.







45

SHUNGUBWENI/MKURANGA

KULWA SELEMANI MSUMI

CUF

KAMBWIRI OMARI SHAIBU

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






46

CHIFUTUKA/BAHI

NOLLO MWINJE MNZAJILA

CCM

RUBENI SALI LUHENDE

CHADEMA

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






47

KITUNTU/KARAGWE

MODEST KATARE KALOKOLA

CHADEMA

ZIDINA TAYEBWA MURUSHID

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






48

VIANZI/MKURANGA

NAZIRU JUMA CHUMU

CUF

NASSOR ALLY CHUMA

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.








49

IPALA/DODOMA MJINI

SHUKRANI AMOSI MHALINGA

NCCR-MAGEUZI

GEORGE STEPHEN NGAWA, VICTORIA, MATAGI MAGABE, AMANI CHIBWANA MADELEMU

CCM na ACT-WAZALENDO

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






50

LUKANDE/WILAYA YA ULANGA

MAJIJI NOVATUS SILVATUS (CCM)

MHAWI AWDHI AMIRI (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






51

MONDO/CHEMBA

SAMBALA SAID OMAR (CCM)

ATHUMAN HUSSEIN KIDUNDA (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






52

UPONERA/ULANGA

MWENTI MARIA MAGNUSI (CCM)

EMELIANA ZAKARIA MHAWI (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.






53

BUSIS/SENGEREMA

BUZANGI FLAVIAN ARBOGAST (ACT –Wazalendo)

DICKSON YONA SAMWEL (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.


01/09/2015


















Na

JIMBO

Aliyekata Rufaa

Aliyekatiwa Rufaa

Uamuzi wa Tume

54

MINZIRO/ MISENYI

TWAHA YUNUSU LUBYAYI (CCM)

GEORGE MUKASA KAZIBA (CHADEMA)

Hakuna ushahidi kuthibitisha kuwa Mrufaniwa si mkazi wa kawaida wa Kata ambayo anagombea.  aliiwasilisha barua kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kuthibitisha Pingamizi lake kwa kupitia kwa Mtendaji wa Kijiji na Mwenyekiti.  Rufaa hina msingi Serkretatieti inapendekeza ikataliwe. Wagombea waendelee na kampeni.

55.

MAWASILIANO/ULANGA

SALUM DOTTO MOHAMED (ACT-WAZALENDO)

INNOCENT VICTOR MWACHIPA (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

56

MADUKANI

BAHAJI HUSSEIN ALLY (CCM)

SAIDI LUGA KITEGILE (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

57.

VIANZI

SEIF RAJABU LUMU (CHADEMA)

ANDASON FRANCIS MBANGUKA (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

58.

MUNDEM/BAHI

FELIX THOMAS MBUNA (CHADEMA)

GORDEN M. ENYAGALO (CCM)

Tume imekubali rufaa na kutengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi. Imemrudisha mgombea wa CHADEMA. Wagombea waendelee na kampeni.

59.

KILOSA MPEPO/ HALMASHAURI YA MALINYI

KIWANGA KILIAN   BONAVE NTURA (CHADEMA)

HAMISA YUSUPH KYELULA (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

60.

LUPILO/WILAYA YA ULANGA

MAHUNDU AYUBU HASSAN (CCM)

MADUNDA ABDALA MKALIMOTO (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

61

NYARUYEGE/ BUSANDA

CHARLES KALEMELA MAKONA (CHADEMA)

MALIMI SAMSONI SAGUDA (CCM)

Tume imekubali rufaa na imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea wa CHADEMA. Wagombea waendelee na kampeni.

62

MKURANGA

MWARAMI SHAHA MKETO (CUF)

SAID MOHAMED KUBENEA (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

63.

CHIROMBOLA

FUNDI YAHAYA CHUMA

MGUBA HILGAD ITATIRO

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

64.

MKONGOTEMA/ MADABA

OSWARD P. NJIKU

VITUS M. MFIKWA

Tume imekubali rufaa na imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na imemrejesha mgombea  kugombea udiwani katika kata ya Mkongotema.

65.

CHIKUNJA/ NDANDA

KASTOR JOSEPH MMUNI –(CHADEMA)

OMARI MOHAMED MKOKO-(CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

66.

NKINGA/MANONGA

SALI ALPHONCE LWAMBO (ACT-WAZALENDO)

ISACK GILBERT KIBONA- (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

67

KILINDI

MOHAMEDI S. LUGENDO- CUF

MOHAMED BAKARI MKOMWA-

CCM

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

68.






NYAMISANGURA/ TARIME MJINI

DIDAS NCHAMA MAKARANGA(ACT –WAZARENDO)

SAMWEL NCHANGWA MAGOIGA  (CCM)

Tume imekubali rufaa na imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea  Didasi Nchana Makaranga kugombea kwenye Kata ya Nyamisangura.

69.









IGWACHANYA /WANG’INGOMBE

MHABUKA HENRY AMOS-(CHADEMA)

MAHWATA ANTHON EMANUEL (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.


70.









KEMAMBO

JOHN MASYAGA MANG”ERANYI

(CHADEMA)

BOGOMBA RASHID CHICHAKE(CCM)

Tume imekubali rufaa na imetengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na imemrejesha Mgombea wa CHADEMA kugombea udiwani.

71





MAJENGO/MOSHI DC

MINJA PETER PANTALEO –(CHADEMA)

SABITIPA MWALIMU MCHOMVU – (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

72





MOROGORO JUU

EMIRY ALPHONCE KIDEVU-(CCM)

YASSINI KONDO KUNGWA-(CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

73


KYERWA/ RUTUNGURU

RICHARD BURCHARD KABARA –(CHADEMA)

FRUGENCE MUZORA FREDERICK – (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

74

MWEMA/TARIME

PETRUES JOSEPH ITAARA (CHADEMA)

NTOGORO PETER KURATE (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

75

KITAJI/MUSOMA MJINI

FRANK DIONIS WABARE (CCM)

HAILE SIZZA TARAI (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

75

UBENA/CHALINZE

MUYUWA NICHOLOUS GEORGE (CCM)

MHOKA AUGUSTINO EVARISTO (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

76

UBENA/CHALINZE

MUYUWA NICHOLOUS GEORGE (CCM)

MGAMA ASHRAF ATHUMANI (ACT-WAZALENDO)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

77

BUJULA/WILAYA YA GEITA

KANIJO AMINA SWEDI

KONGEJA YOHANA MULELE

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

78

MBERE/ILEJE

CHAGHI ANDREA KALINGA

OMARI AMBILIKILE KAMENDU

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

79

HUNYARI/BUNDA

SUMERA KIHARATA MZUMARI (CCM)

MAKIMA HAMAROSI JOSEPHAT (CHADEMA)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.

80

KEMAMBO/TARIME VIJIJINI

JOHN MASYAGA MENG’ENYA (CHADEMA)

BOGOMBA RASHID CHICHAKE (CCM)

Tume imekataa rufaa na imekubali uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi.


81

BOMANI/TARIME

MECCO KAZIMOTO KABILA (CHADEMA)

MASUBO GODFREY MICHAEL (CCM)

Tume imekubali rufaa na kutengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea agombee Udiwani.

82

MADABA

OSWALD P. NJIKU (CHADEMA)

VISTUS M. MFIKWA (CCM)

Tume imekubali rufaa na kutengua uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi na kumrejesha mgombea agombee Udiwani.



DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA JUMUIYA YA WAZAZI YA CCM

$
0
0
 Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akiingia kwenye Ukumbi wa Karemjee kuzungumza na Wajumbe wa  Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM.

  Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wajumbe hao. Dkt. Magufuli amewaomba wajumbe hao kufanya kazi kwa uadilifu na kuihubiri Amani ya nchi yetu ili maendeleo bora yaweze kupatikana.

  Wajumbe wa  Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi Taifa wakimshangilia Mgombea wa CCM-Dkt. John Magufuli
 Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Ushindi Adam Malima kabla ya kuanza kwa mkutano wao.


 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Abdalah Majura akizungumza katika mkutano huo.
Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe hao.

AFRICA CLIMATE TALKS IN DSM

$
0
0
 PRESS RELEASE 

Dar es Salaam, 3 September 2015: Africa Climate Talks (ACT!) begins here today, (Thursday) to discuss the impacts and implications of climate change in Africa, and effective solutions.  The three-day discussions are part of Africa’s planning for the United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCCC) Conference of Parties (COP21) where a new global climate agreement is the expected outcome at COP21 in Paris in December.

Under the theme, 'Democratizing Global Climate Change Governance and Building an African Consensus toward COP 21 and Beyond,' the discussions, dubbed the Africa Climate Talks (ACT!) are being organized by the UN Economic Commission for Africa (UNECA) Africa Climate Policy Centre and the University of Dar es Salaam to address key issues ahead of COP21.

 These issues include the impacts of climate change on Africa, the implications and stakes for Africa in the climate change negotiations as well as the solutions that Africans are developing in response to climate challenges
Climate change has significant and unequivocal implications for Africa’s development, and poses complex and changing challenges for the continent.  Although Africa contributes only 3.8% of total greenhouse gas emissions, its countries are among the most vulnerable. The continent’s poorer countries and communities will suffer earliest and hardest from the effects of climate change, impacting important climatesensitive sectors such as agriculture.

Climate change will continue to increase the prevalence of droughts, floods and storms, exacerbate poverty, and food insecurity; and weaken economic growth in Africa.  Changes in agricultural, livestock and fisheries productivity will occur as well as an increase in the spread of waterrelated diseases such as malaria.

Climate variability lies behind much of the prevailing poverty, food insecurity, and weak economic growth in Africa today.  Climate change will increase this variability:
·         The severity and frequency of droughts, floods and storms will increase, leading to more water stress.
·         Changes in agricultural, livestock and fisheries productivity will occur, and
·         The continent will face further food insecurity as well as a spread of waterrelated diseases, particularly in tropical areas.

Some 200 million of the poorest people in Africa are food insecure, many through their dependence on climate sensitive livelihoods – predominantly rainfed agriculture. Temperature increases and changes in mean rainfall and evaporation are likely to become ever greater and more damaging to livelihoods through the 21st century. 

Given this background, what is the world doing about climate change and why is the Paris Conference of Parties (COP 21) so important, especially for Africa?
ACT! aims to raise public awareness of climate change, hear perspectives of linkages between climate change issues and Africa's development, and consider the potential implications of COP 21 outcomes for Africa. As a platform for democratizing
Addressing climate change has become central to the continent’s development agenda. Various policy solutions and actions have been developed and implemented in response to climate change. These have ranged from the Clean Development Mechanism, the National Adaptation Action Plans (NAPAs), the National Action Plans (NAPs) to the REDD and REDD++ responses.

All these responses developed within the context of the Kyoto Protocol of the UNFCCC, and sought to limit the emission of greenhouse gasses into the atmosphere while at the same time supporting efforts to adapt to the effects of climate change that were already expressing themselves in different ways.
Countries across the globe committed to create a new international climate agreement by the conclusion of the U.N. Framework Convention on Climate Change (UNFCCC) Conference of the Parties (COP21) in Paris in December 2015. In preparation, countries have agreed to publicly outline what post-2020 climate actions they intend to take under a new international agreement, known as their Intended Nationally Determined Contributions (INDCs). The INDCs will largely determine whether the world achieves an ambitious 2015 agreement and is put on a path toward a low-carbon, climate-resilient future.

NOTE TO THE EDITOR:
The UNFCCC COPs have become important spaces for the continuing global effort to refine and strengthen the international collaborative and regulatory framework on climate change and to improve global climate governance and COP21, Africa is engaged in global negotiations on climate change which on the whole are largely driven by global and external interests.

. The impact of global climate governance to date has been mixed. Successive Assessment Reports (ARs) of the Intergovernmental Panel on Climate Change (IPCC) note that while progress has been made in many areas of defining the global response to climate change, this is not sufficient.

 More still needs to be done and urgently to avert catastrophic climate change. The global climate governance framework needs to become more robust in order to create a solid foundation to guide humanity’s climate response, and time is of the essence.

This series of interconnected sub-regional and Africa-wide events will contribute to Africa's preparation for the 21st session of the Conference of the Parties (COP 21) to the UNFCCC, engaging Africans from all walks of life. ACT! aims to raise public awareness of climate change, hear perspectives of linkages between climate change issues and Africa's development, and consider the potential implications of COP 21 outcomes for Africa. ACT! for the West, Central and North Africa regions and the West African small island developing States (SIDS) will take place in Dakar, Senegal, on 1-3 October 2015. ClimDev-Africa is a joint Programme of the African Union Commission (AUC), the UN Economic Commission for Africa (ECA) and the African Development Bank (AfDB).

MAKAMU WA RAIS DKT. AFUNGUA KONGAMANO LA AFRIKA KUHUSU MAKUBALIANO YA RASIMU MPYA YA DUNIA, JIJINI DAR.

$
0
0
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Afrika kuhusu Makubaliano ya Rasimu mpya ya Dunia inayohusu Usimamizi wa Masuala ya Tabianchi. Kongamano hilo lilianza jana Sept 3, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar esSalaam. 
 Baadhi ya Washiriki wa Kongamano hilo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mh.  Dianna Melrose, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Afrika kuhusu Makubaliano ya Rasimu mpya ya Dunia inayohusu Usimamizi wa Masuala ya Tabianchi. Kongamano hilo lilianza jana Sept 3, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar esSalaam.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mh.  Dianna Melrose, waksikiliza majadiliano wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Afrika kuhusu Makubaliano ya Rasimu mpya ya Dunia inayohusu Usimamizi wa Masuala ya Tabianchi, baada ya ufunguzi wa Kongamano hilo lililoanza jana Sept 3, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar esSalaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo baada ya ufunguzi jana. Picha na OMR 


SPEECH BY H.E. DR. MOHAMMED GHARIB BILAL, VICE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBILIC OF TANZANIA,  AT THE CONFERENCE OF AFRICA CLIMATE TALKS:


A REGIONAL DIALOGUE ON COP21 AND THE NEGOTIATION OF A NEW GLOBAL CLIMATE GOVERNANCE FRAMEWORK HELD AT THE MWALIMU JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE,

DAR ES SALAAM

 3RD  SEPTEMBER, 2015
Excellencies;

President of SADC Parliamentary Forum;

EU representative;

Honourable Ministers;

Executive Secretaries;

Secretary Generals;

Vice Chancellors;

Distinguished Delegates;

Members of Press

Invited Guests;

Ladies and Gentlemen. 
Let me start by expressing my heartfelt appreciation for inviting me to be the guest of honour at this important Conference on Africa Climate Talks. This conference is a clear signal that Africa is ready to shift from being just a mere spectator at COP meetings to a key player. This comes after the realization that the Kyoto Protocol has not benefited Africa as the other regions because of poor preparation before the negotiations. But also, the African ministers who attend COP meetings face challenges arising from lack of a common stand on African issues. Africa’s stakes are high; it bears the greatest proportion of risks and impacts posed by climate change, which incidentally is disproportionate to its share of responsibility for global warming.


Ladies and Gentlemen;

Africa has demonstrated a strong commitment to the global process. Observations show the international negotiations to tackle this problem have been embraced by Africa, even where there should be reservations.  Africa is the only global region with the greatest proportion of people living below USD $2 a day that imposes a cap to consumption opportunities. If economic strategies have to be built around low carbon intensive pathways, how will this affect and restrict growth in terms of per capita GHG emissions in Africa? Low carbon growth is definitely a positive thing, if invested in and provided with adequate support to ensure implementation in terms of finance, capacity and technology transfer. Unfortunately, all the previous pledges in relation to support for implementation have fallen short and in some cases remained illusive promises.


Distinguished Delegates;

Ladies and Gentlemen;

The President of the United States of America recently stated that Climate change is the hardest challenge to solve politically and is fast becoming the weapon of mass destruction. This is an incontrovertible truth. Climate science is clearer than many leaders would like to believe. For humanity to have a chance of staying below the 2°C threshold, a small reduction in COemissions will not be enough. The unpalatable truth is that emissions will have to fall to zero later this century in order to stop any further rise in the atmospheric concentration of CO2. Climate science has been compelling us to act. 97% of scientific findings show that climate change is real and humans are responsible. These findings are evidence-supported; peer-reviewed; and fact-based. Signs of climate change are evident everywhere. There is sea level rise; extreme weather events; prolonged droughts; food insecurity and climate change related conflicts, among others. For the developing countries, these challenges are interacting with existing vulnerabilities to worsen the already bad situation. Climate science is telling us that there is still a window of opportunity; however, this window is closing very fast.


Distinguished Delegates;

In spite of what may be achieved in Paris, we are all fully aware that the post-Kyoto agreement that will be negotiated will not remove all climate challenges facing the world today. However, it will be a step in the right direction.  If we fail to act now, it will be a moral and policy failure. How can our children and grandchildren understand our failure to act in the face of such compelling evidence of impending disaster? Science defines the law of gravity and also defines the freezing, melting and the boiling points. How do we fail to understand when the same science tells us that any temperature increase beyond 2°C is catastrophic? Definitely, something is wrong here.


Honourable Delegates;

Ladies and Gentlemen;

As we fast approach COP 21, it is encouraging to learn that industrialized nations are finally realizing the impact and magnitude of climate change. The United States and China- the world’s greatest emitters- have realized the importance of the issue of clean energy and have announced their emission targets. At the G-7 summit held from 7th – 8th June 2015, the G-seven governments declared that the 2°C limit requires “de-carbonization of the global economy over the course of this century.” They stated clearly that humanity must not merely reduce, but must end, carbon dioxide emissions from fossil fuels this century. This is an important announcement, which must be taken note of. At the Vatican gathering in April this year, which included world-leading climate scientists and Nobel Laureates, Pope Francis and the religious leaders of all the world’s major religions urged the world to take wisdom from faith and climate science in order to fulfil moral responsibilities to humanity and to the future of Earth. In the same vein, the United Nations Secretary General, Ban Ki-moon, clearly stated that climate change action now is both a practical need and a moral imperative.  We should heed their call.


Distinguished Delegates;

Ladies and Gentlemen;

The convergence of thinking on the need to take action implies that urgent and concrete steps are needed to address climate change, as set out in the Intergovernmental Panel in Climate Change (IPCC’s) Fifth Assessment Report. In this regard, the 2015 UN Climate Conference in Paris (COP 21) is a crucial conference, because it needs to achieve a new international agreement on climate, applicable to all countries with the aim of keeping global warming below 2°C. It also implies that the required reduction in emissions of 40 to 70% by 2050 as set by the United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCCC) is a challenge that can only be met by a global response. Although the recent efforts are still substantially short of achieving the universally-agreed goal of keeping the warming increase below 2° C, the developments represent an important first step in increasing momentum for ambition raising and open the way for further improvements in the run-up towards the global agreement to be adopted at COP 21 in Paris.  


Honourable Delegates;

Ladies and Gentlemen;

We are gathered here today to explore how Africa can take up its position and play an active role at the COP 21 Conference in Paris at the end of this year. I understand that this conference is one of the interconnected sub-regional events that will be part of the preparatory process for Africa’s contribution to COP 21. It will seek to define an African climate change narrative and further build confidence and consensus around key issues. Fortunately, a lot of our African negotiators understand the intricacies and the complexities of climate change negotiations. However, it is clear that although they understand these intricacies and complexities, they have- in the past- faced major challenges in their attempt to change any aspect of climate change negotiations. Africa has many African scholars who are well grounded in the science and politics of climate change. Therefore, the problem of Africa doesn’t seem to be capacity as such. The main problem- if one may say- is that they do not have real political backing from visionary leaders in Africa. It is to expect too much for the developed countries to do this for us. We need to change and the change has to start from within. The preparation has to begin from within. The vision has to be crafted from within and we have to go to Paris to champion a narrative and cause that is consistent with our own development aspirations.  


Distinguished Delegates;

Ladies and Gentlemen;

Finally, let me point out the crucial issue of the Intended Nationally Determined Commitments (INDC) that was a cornerstone of the Lima Call for Action during COP 20 and has emerged as a key expectation of the Paris climate negotiations. Regrettably, it should be noted that the framing of the INDC is still heavily skewed towards mitigation, as opposed to the equal weighting repeatedly requested by parties from developing countries for mitigation and adaptation. Although the Parties have been invited to consider the topic of adaptation in their INDCs, countries are not explicitly expected to put forward “finance commitments” as part of their INDCs. On the contrary, the document does request developed countries to provide finance for ambitious mitigation actions in developing countries. Africa should ensure that the new agreement reflects the principle of common but differentiated responsibilities and respective capabilities, in light of different national circumstances as reiterated in Lima. It is therefore imperative that Africa should have a clear understanding of the negotiation process so as to better contribute to it and participate in its implementation in a meaningful way.  


Honourable Delegates;

Invited Guests;

Ladies and Gentlemen;

May I conclude by observing that success at COP 21 is critical to the post-2015 global climate regime that could keep climate change under control. It is my hope that this conference will contribute to Africa’s preparedness in forging a strategy that ultimately will result in a monitoring and evaluation framework for Africa’s climate negotiations. It is my belief that this conference will definitely put Africa’s main players on climate change on a better footing as we strive to get the best for the continent from the new agreement on climate change, scheduled to replace the Kyoto Protocol.

 Since we are negotiating a new agreement, nobody in Africa will benefit if we make the same mistakes that we made in the Kyoto Protocol negotiations. It is therefore important that COP 21 succeeds. If a new climate agreement is not reached, the world’s sustainable development path will be jeopardized.  


With these remarks, it is my singular honor and pleasure to  declare The Conference Open and I wish you successful deliberations.


Thank you for your kind attention.

WAMILIKI WA LESENI WAASWA KUITUMIA SHERIA YA MADINI

$
0
0
Aliyesimama mbele ni  Mjiolojia kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi – Dodoma, Affa Edward, akifungua mafunzo ya huduma za utoaji wa leseni za madini kwa njia ya mtandao (Online Mining Cadastre Transactional Portal – OMCTP). Mafunzo hayo yamefanyika leo Septemba 3, 2015 katika Ukumbi wa Ofisi hizo mjini Dodoma.
 Kulia aliyesimama Mchimbaji madini mdogo kutoka Dodoma, Bwana Dominic Mwaria, akiuliza swali kwa Mwezeshaji wa Semina (hayupo pichani), kuhusu huduma za utoaji wa leseni za madini kwa njia ya mtandao (Online Mining Cadastre Transactional Portal – OMCTP). Semina hiyo imefanyika leo Septemba 3, 2015 katika Ukumbi wa Ofisi za Madini mjini Dodoma.
Mhandisi Migodi kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Nuru Shabani, akiwasilisha mada mbalimbali kuhusu matumizi ya mfumo mpya wa huduma za utoaji leseni za madini kwa njia ya mtandao (Online Mining Cadastre Transactional Portal – OMCTP) kwa Wachimbaji madini wadogo, wakati wa Semina maalumu iliyofanyika leo Septemba 3, 2015 katika Ukumbi wa Ofisi za Madini, mjini Dodoma.



Na Veronica Simba - Dodoma

Mhandisi Migodi kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Nuru Shabani amewataka wamiliki wa leseni za uchimbaji madini nchini kuisoma na kuifahamu vyema Sheria ya Madini ya mwaka 2010 ili kuepusha migogoro inayojitokeza katika utendaji wao wa kazi.




Mhandisi Shabani ametoa rai hiyo leo Septemba 3, 2015 mjini Dodoma kwa wachimbaji madini wadogo, wakati akiwasilisha mada mbalimbali kuhusu mfumo mpya wa utoaji leseni za madini kwa njia ya mtandao katika Semina iliyoandaliwa na Wizara ya Nishati na Madini kupitia Kitengo cha Leseni.

“Napenda kusisitiza kuwa, kwa wale wamiliki wa leseni za madini, msiridhike na kumiliki leseni tu. Mnapaswa muisome na kuielewa vema sheria ya madini ya mwaka 2010 ili kuepusha migogoro inayotokea kutokana na kukosa uelewa wa haki na taratibu mnazopaswa kuzingatia katika kazi yenu,” alisema.


Aidha, akielezea umuhimu wa mchimbaji mdogo wa madini kumiliki leseni husika, Mhandisi Shabani alisema Sheria ya Madini inatambua na kumpa mmiliki wa leseni halali huduma mbalimbali stahiki tofauti na baadhi ya watu wanavyodhani kuwa muhtasari unaotolewa na Kijiji ndiyo wenye kutambulika na kuthaminiwa zaidi.


Alisema kuwa muhtasari wa kijiji unatumika katika kusaidia kujenga mazingira rafiki, wezeshi na ya amani baina ya wananchi wa eneo husika na mmiliki wa leseni na mchimbaji wa madini katika eneo hilo lakini hautambuliki kisheria.


Hata hivyo, Mtaalamu huyo wa madini aliahidi kuyafikisha mahala stahiki mapendekezo yaliyotolewa na baadhi ya washiriki wa semina husika kuwa muhtasari wa kijiji upewe uzito unaostahili na kutambuliwa kisheria katika kushughulikia masuala mbalimbali yanayohusu kada hiyo kutokana na umuhimu wake.


Vilevile, Mhandisi Shabani, aliitaka jamii kufahamu kuwa hakuna sheria inayomlazimisha mmiliki yeyote wa leseni ya madini kutoa huduma kwa jamii kama vile kujenga shule au huduma nyinginezo kama kigezo cha kupewa ruhusa ya kuendelea na shughuli zake katika eneo husika.


“Mmiliki wa leseni anashauriwa kuzingatia umuhimu wa kujenga mahusiano mema na jamii inayomzunguka kwa kutoa huduma mbalimbali kwa jamii husika, lakini jamii kwa upande wake haipaswi kumlazimisha muhusika kutoa huduma kwao kama kigezo cha wao kumruhusu aendelee na shughuli zake,” alifafanua Mhandisi Shabani.


Wizara ya Nishati na Madini ilizindua mfumo wa kutoa huduma za leseni kwa njia ya mtandao mapema mwezi Juni mwaka huu mjini Dodoma ili kutoa huduma za haraka, kuongeza uwazi na kumuwezesha mteja kusimamia leseni zake mwenyewe.


Ni kwa kuzingatia umuhimu wa matumizi ya mfumo huo mpya kwa wadau wa sekta ya madini nchini, Wizara kupitia Kitengo cha Usimamizi wa Leseni inaendesha zoezi nchi nzima kuwaelimisha wadau hao namna mfumo huo unavyofanya kazi.

MTUHUMIWA WA MAUAJI YA KUTISHA YALIYOTOKEA MKOANI ARUSHA AKAMATWA

$
0
0
Na Woinde Shizza, wa libeneke la kaskazini blog
Mtuhumiwa mauaji ya kutisha ya kumkata viungo vya mwili marehemu zikiwemo sehemu za siri, viganja vya mikono na matiti mauaji yaliotokea kwenye hoteli ya A Square Belmot amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha.

Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini Arusha.

Sabas alisema kuwa alipohojiwa na polisi alikiri kushiriki mauaji hayo na ndipo alipowapeleka kuwaonyesha polisi alipovitupa viungo vya marehemu eneo la mto misheni usa river nje wilayani meru.

Alisema kuwa marehemu ametambuliwa jina kamili Alfred Kimbaa mwenye umri wa miaka18 mkazi wa mianzini jijini hapa huku mtuhumiwa ambaye jina lake limetambuliwa kwa Elijus Lyatuu mkazi wa Dar es Salaam ambaye marehemu alikuwa akiuza duka la kaka yake alietambuliwa kwa jina moja la Lyatuu anaeishi jijini Dar es salaam.

Alisema kuwa mtuhumiwa ni mwanafunzi wa mwaka wa tano chuo cha falsafa cha kanisa katoliki Segerea na alipofika Arusha kwa mara ya kwanza aliishi na marehemu chumba kimoja kabla ya mgogoro kuanza na ndipo alipofikia kumuua marehemu na kuiacha maiti yake katika hotel nae kutokomea kusikojulikana hadi alipokamatwa juzi.

Alisema kuwa mtuhumiwa Elijus alimua marehemu kwanza kabla ya kuanza kucharanga viungo ndio maana chumbani alikokutwa marehemu hakukua na damu.

“Tukio hili lisihusishwe na imani za kishirikina kwani kulikuwa na mgogoro kati ya mtuhumiwa na marehemu uliopelekea mtuhumiwa kufanya tukio hilo”alisema Kamanda Sabas

Upelelezi ukikamilika na taratibu za jeshi la polisi zinaendelea na zikikamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.

Pombe Yahusishwa, Ajali Mbaya ya Bodaboda..! Askari Nao Jee..?

$
0
0
Kamera ya mtandao huu imelimulika tukio baya la ajari iliyohusisha pikipiki mbili eneo la Club Royal karibu na lango la kuingilia chuo cha Utumishi wa Umma cha Tabora zamani UHAZILI.

Mfuatiliaji wa tukio alibainisha dereva mmoja alikuwa anatokwa na harufu ya pombe kitu kilichodhihirisha kuwa alikuwa amelewa huku kamchukua abiria na akiendesha chombo cha moto.

Mashuhuda waliuambia mtandao huu kuwa wanalalamikia jeshi la polisi kuto kujitokeza mapema eneo la tukio licha ya kuwa hapana umbali unaozidi mita 100 kutoka eneo la tukio, mfuatiliaji wa tukio aliwahoji kama kuna yeyote aliyetoa taarifa kituoni dhidi ya tukio hilo lakini hakupata majibu.
Kasendeka, mhanga wa ajali iliyohusisha pikipiki mbili maarufu kama bodaboda. 
Kasendeka, mhanga wa ajali iliyohusisha pikipiki mbili maarufu kama bodaboda eneo ilipo Club Royal karibu na lango kuu la kuingilia Chuo Cha Utumishi cha Tabora zamani kikifaahamika kama UHAZILI.
Kasendeka akiwa anazinduka ziduka, akili inakuja baada ya kuzimia kwa muda kidogo kufuatia ajali iliyohusisha pikipiki mbili eneo la ilipokuwa Club Royal. 
Kasendeka akiwa anazinduka ziduka, akili inakuja baada ya kuzimia kwa muda kidogo kufuatia ajali iliyohusisha pikipiki mbili eneo la Club Royal karibu na lango/ geti la kuingilia Chuo Cha Utumishi wa Umma zamani UHAZILI.
Ajali-bodaboda-tabora (5)Abiria na mhanga wa ajali hiyo akiwa anaugulia maumivu baada ya ajali iliyotokea muda mfupi maeneo ya Club Royal karibu na geti kuu la kuingilia Chuo Cha Utumishi wa Umma zamani UHAZILI 
Abiria na mhanga wa ajali hiyo akiwa anaugulia maumivu baada ya ajali iliyotokea muda mfupi maeneo ya Club Royal karibu na geti kuu la kuingilia Chuo Cha Utumishi wa Umma zamani UHAZILI
Ajali-bodaboda-tabora (2)Ajali-bodaboda-tabora (3)Mashuhuda wa tukio la ajali iliyohusisha pikipiki mbili maeneo ya Club Royal 
Mashuhuda wa tukio la ajali iliyohusisha pikipiki mbili maeneo ya Club Royal
Kasendeka akiwa anaangalia pikipiki yake baada ya ajali hiyo muda mfupi alipozinduka. 
Kasendeka akiwa anaangalia pikipiki yake baada ya ajali hiyo muda mfupi alipozinduka.
Askari wa Jeshi la usalama barabarani akijongea eneo la tukio. Inakadiriwa ni zaidi ya dakika 15 au zaidi zilipita ndipo askari alijitokeza eneo la tukio licha ya tukio hilo kutokea umbali wa mita za makadirio zisizozidi 100. 
Askari wa Jeshi la usalama barabarani akijongea eneo la tukio. Inakadiriwa ni zaidi ya dakika 15 au zaidi (Kwa mujibu wa mashuhuda) zilipita ndipo askari alijitokeza eneo la tukio licha ya tukio hilo kutokea umbali wa mita za makadirio zisizozidi 100 kutoka kituo kukuu cha Polisi mjini Tabora.
Askari akifuatilia tukio hilo baada ya dakika zinazokadiriwa na mashuhuda wa tukio kuwa ni zaidi ya 15 toka ajari imetokea. 
Askari akifuatilia tukio hilo baada ya dakika zinazokadiriwa na mashuhuda wa tukio kuwa ni zaidi ya 15 toka ajari imetokea.
Askari akimhoji Kasendeka kabla ya kwenda naye kituoni huku mhanga mmojawapo kuwa tayari alishakimbia eneo la tukio na kuisaliti pikipiki eneo la tukio. 
Askari akimhoji Kasendeka kabla ya kwenda naye kituoni huku mhanga mmojawapo kuwa tayari alishakimbia eneo la tukio na kuisaliti pikipiki eneo la tukio.
Ajali-bodaboda-tabora (1) 
Picha na Aloyson

TANGAZO KWA WAANDISHI WA HABARI

$
0
0
IDARA YA HABARI (MAELEZO) INAPENDA KUWATANGAZI WAANDISHI WA HABARI NA WAPIGA PICHA ZA KIHABARI WA NDANI NA NJE NCHI KUWA FOMU KWA AJILI YA USAJILI WA WANAHABARI WATAKAORIPOTI HABARI WAKATI WA UCHAGUZI MKUU WA 2015 KWA AJILI YA VITAMBULISHO ZIMEANZA KUTOLEWA KUANZIA TAREHE 02/9/2015. MWISHO WA KUPOKEA FOMU NI TAREHE 11.9.2015.
FOMU ZINAPATIKANA KWA MSAJILI WA MAGAZETI.

MAMA SAMIA AKIWA KATIKA JIMBO LA KIBAMBA JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0
 Wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suhlu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Mbezi Centre,  jimbo la Kibamba wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ua CCM, Mama Samia Suluhu, akiwasalimia wananchi, alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Vwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, Dar es Salaam.
 Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia, akiwa tayari kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo Viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam,  Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na kushoto ni Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCm jimbo la Kibamba Dk. Fenela Mkangara.
  Wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suhlu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Mbezi Centre,  jimbo la Kibamba wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akishangaa umati wa wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika katika wilaya hiyo leo.

 
Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Lina Sanga akionyesha manjonjo yake alipotumbuiza katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia uliofanyika viwanja vya Mbezi Centre, Dar es Salaam, leo
 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda akiwahutubia wananchi katika mkutano wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilayani humo.
 Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, Angela kairuki, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, akimwelekeza jambo, Mbunge wa Afrika Mashariki Angela Kizigha, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre jimbo la Kibamba Dar es Salaam. Kushoto ni Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba Dk. Fenela Mkangara
 Wasanii wa bendi ya Yamoto, wakishambulia jukwaa, wakati wa mkutano wa kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, Kibamba jijini Dar es Salaam
 Mama Salia akiwatuza wasanii wa bendi hiyo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassani akihutuba mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Kibamba, Dk. Fenella Mkangara katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimboni humo leo. 
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

SERIKALI YA AWAMU YA TANO YAOMBWA KUREKEBISHA ADHABU YA KIFO

$
0
0
Kushoto ni Mkurugenzi wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wajane na kusaidia watoto,Utti Mwang’amba akizungumza na waandishi habari juu ya  serikali ya awamu ya tano kurekebisha sheria ya kifo kwa makundi maalum iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam, Pamoja na wajumbe waliohudhuria katika mkutano huo.
Waandishi wa habari wakifatilia taarifa katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo  leo jijini Dar es Salaam.

Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
TAASISI  ya Children Education Society (CHESO) imeitaka serikali ya awamu ya tano kurekebisha sheria ya adhabu ya kifo  ili kulinda makundi maalum wakiwamo watoto na akina mama wajawazito.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar Es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo, Richard Shilamba amesema Serikali ya awamu ya tano wanaiomba kuondoa adhabu ya kifo katika makundi maalum kutokana na kuwa na mahitaji maalumu.

Amesema makundi hayo wakiwemo akina mama wanaonyonyesha watoto, watu wenye ugonjwa wa akili, pamoja na wazee na badala yake watafutiwe adhabu nyingine.

Shilamba amesema nchi mbalimbali ikiwemo Marekani zimeweza kufuta sheria ya adhabu ya kifo katika makundi maalum na kufanya hivyo hakujaweza kuadhiri masuala yote ya sheria.

Nae Mkurugenzi wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa wajane na kusaidia watoto,Utti Mwang’amba amesema wanawake wajawazito akifungwa na kutambua maisha yake ni kifo kinaweza kuadhiri ujauzito wake hivyo kwa wanawake wa jamii hiyo wanaweza kubadilisha adhabu nyingine na sio ya kutumikia kifungo kisicho na ukomo.

Katibu Mtendaji wa Kisarawe  wa Taasisi Paralegals Organisation, Halima Sasi amesema kuna wajibu wa kuangalia sheria ya watoto, makosa yenye adhabu ya kifo.

Halima ameiomba serikali ya awamu ya tano kurekebisha sheria kuangalia sheria ya kumuwezesha mtoto wa makosa ya mauaji kesi yake kuendeshwa katika mahakama za watoto .

TANZANIA KUSHIRIKI KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA VITO BANGKOK

MPIGIENI KURA MAGUFURI-MAMA SALMA KIKWETE

$
0
0
 Na Magreth Kinabo –Maelezo,Lindi
MKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wananchi wa Jimbo la Lindi Mjini  kuhakikisha kwamba wanapiga kura ya ndiyo kwa mgombea wa kiti cha urais,Dkt. John Magufuli , mgombea kiti cha Ubunge Hassan Kaunje na wagombea viti cha udiwani  ili waweze kupata maendeleo.
 
Kauli hiyo imetolewa jana jioni na Mama   Kikwete ,ambaye  pia  ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya     Taifa ya  Chama Cha Mapinduzi(NEC) wa Wilaya Lindi ,wakati wa uzinduzi  wa kampeni ya chama hicho ya wilaya hiyo ili  iliyoambatana na uzinduzi wa Ilani ya CCM kwa lengo la kuinadi  na kuwanadi wagombea hao iliyofanyika kwenye uwanja wa Fisi.
 
“Leo nimekuja kufanya kazi hii moja  ya kuhakikisha mgombea wa kiti cha urais,  anashinda akiwemo  mgombea wa kiti cha ubunge na wagombea  wa viti  vya  udiwani,” alisema Mama Kikwete huku akiinadi picha ya mgombea wa kiti cha urais  na kumnadi mgombea wa kiti cha Ubunge  na wagombea viti vya  udiwani katika kata mbalimbali kupitia chama hicho.
 
 Mama Kikwete  aliongeza kwamba  ikiwa kila mtu atatoka na kufanya kampeni ya nguvu jimbo hilo litapata kura ya ndiyo viti hivyo. 
 
Alisema  wananchi hao endapo  watafanya hivyo ifikapo Oktoba 25, mwaka huu, watakuwa wamefanya kazi iliyokamilika na watapata maendeleo kwani amani inapatikana  mahali ambapo kuna maendeleo. 
 
Pia aliwataka wananchi hao kuhakikisha watunza kadi zao za kupigia kura, wasije wakapoteza nafasi hiyo muhimu. 
 
Mama Kikwete aliwataka wananchi hao, kukipa chama hicho kura ya ndiyo kwa sababu kina ilani, ni chama makini  na kinafanya kazi kwa mipango.
Akizungumzia kuhusu ilani ya chama hicho,Mama Kikwete alisema,ina mambo makubwa manne, ambayo ni kuondoa umasikini, kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira, kuendeleza vita ya kupambana na rushwa na ubadhirifu wa mali ya umma.
 
Katika uzinduzi huo, Mama Kikwete alimkabidhi  vitendea kazi mgombea wa kiti cha Ubunge  ,ambavyo  ni Katiba ya CCM na ilani hiyo ili  aweze kufanya kazi  huku akishangiliwa na mamia ya watu walijitokeza uwanjani hapo wengi wao wakiwa ni vijana.
 
Pia aliwapokea wanachama wapya  12 kutoka Chama Cha Wananchi(CUF) walioongozwa na Laibu Kais, ambaye alikabidhi kadi na bendera ya chama hicho  na kuahidi kupeperusha bendera ya CCM  kila kata.
 
Kaisi na  waliokuwa wagombea wenzake wa kiti cha Ubunge 10 wameungana ili kumwuunga mkono Kaunje, hatua ambayo ilipongenzwa na Mama Kikwete.
 
“ Kura zipotosha huwezi kuhama kwenda chama kingine, bali mnaungana na kuwa kitu kimoja ni maneno mazuri ya kuiga mfano,” alisisitiza Mama Kikwete.
 
Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM, mkoa wa Lindi, Mzee Ally Mtopa aliwakemea watu wanaosema kuwa chama hicho hakijafanya  maendeleo, ambapo  alisema mtu anayesema  hivyo, sawa na kumdharau baba yake aliyempeleka shule.
Viewing all 46371 articles
Browse latest View live




Latest Images