Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46389 articles
Browse latest View live

ZANZIBAR YAANZISHA MRADI MKUBWA WA KIULINZI KATIKA MAENENO MBALIMBALI YA MJI WA ZANZIBAR

$
0
0
Na Ramadhani Ali Maelezo ZANZIBAR                            

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanzisha mradi mkubwa wa kiulinzi  katika maeneo mbali mbali ya Mji wa Zanzibar katika kukabiliana na vitendo vya uhalifu vinavyoendelea kuongezeka kila siku.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara maalum Haji Omar Kheir ameeleza hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.

Alisema katika siku za karibuni Zanzibar imeshuhudia vitendo vya uhalifu ikiwemo ujambazi, uporaji, hujuma, kuwamwagia watu tindikali pamoja na matokeo ya uchomaji moto mali za umma, taasisi na watu binafsi.

Hali hiyo imeleta wasi wasi mkubwa kwa wananchi na wageni wanaoitembelea Zanzibar  kitu ambacho kinaweza kuathiri biashara ya Utalii inayoingiza fedha nyingi za kigeni.

Alieleza kuwa mradi huo utahusisha uwekaji wa Kamera za kiulinzi katika maeneo yote ya Mji Mkongwe na baadhi ya maeneo ya kuingiilia mji wa Zanzibar na maeneo yenye taa za kuongezea magari.

Alizitaja Kampuni ya Raviltalco ya Romania na Rome Solutions iliyosajiliwa Zanzibar kuwa wamepewa kazi hiyo na zaidi ya kamera 900 zitafungwa katika maeneo hayo.

Alisema kampuni ya ZTE ya China imetoa kamera 10 kwa ajili ya kutunzia kumbukumbu na kuangalia matukio yanayochukuliwa na kamera na kampuni ya  ZEST kwa kukshirikiana na Kampuni ya HUAWEI ya China wameahidi kuchangia vifaa vyenye thamani ya Dola za Marekani 20,000 ambavyo vinahusisha kamera 16 na mitambo yake.


Aliwaeleza waandishi wa habari kuwa ZTE  baada ya kupata ombi la Makamu wa Pili wa Rais alipotembelea nchini China waliahidi kuongeza idadi ya kamera hadi kufikia 252.

Aliongeza kuwa pamoja na ufungaji  wa kamera hizo, Serikali imeagiza vifaa vyengine vya kusaidia ulinzi katika maeneo ya nchi kavu na baharini na magari ya zimamoto.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara maalum alisema lengo la  Serikali ni kuhakikisha wananchi wanakuwa salama na biashara ya utalii inaimarika.

“Naomba niwahakikishie wananchi  na wageni wetu kuwa Zanzibar ni eneo la usalama na litaendelea kuwa salama,” alisisitiza Waziri Haji Omar Kheir.

Akizungumzia madai ya baadhi ya wananchi kunyimwa vitambulisho vya Mzanzibari Mkaazi  amesema  hakuna mwananchi  aliefika ofisini kwake kudai kunyimwa kitambulisho hicho isipokuwa  kinachojitokeza ni malalamiko ya wanasiasa.

Aidha amepinga vikali juu ya kuhusishwa Kambi za Jeshi kutoa vitambulisho vya mzanzibari mkaazi na kusema kuwa hiyo sio kazi yao na vipo vyombo vilivyowekwa kisheria kufanya kazi hiyo.

                            
IMETOLEWA NA HABARI MAELEZO ZANZIBAR


WAZIRI wa Ardhi William LUKUVI AFANYA ZIARA mkoani IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

$
0
0
 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akiongea na wananchi waliojitokeza kuwasilisha kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mkoani Iringa. Alisisitiza kuwa Mkoa wa Iringa uharakishe kupima ardhi ya wananchi ili kupunguza migogoro ya ardhi. 
Sehemu ya umati wa wananchi wa Mkoa wa Iringa wakimsikiliza Waziri Lukuvi aliposikiliza kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo Manispaa ya Iringa. 
Sehemu ya umati wa wananchi wa Mkoa wa Iringa wakimsikiliza Waziri Lukuvi aliposikiliza kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo Manispaa ya Iringa. 
Sehemu ya umati wa wananchi wa Mkoa wa Iringa wakimsikiliza Waziri Lukuvi aliposikiliza kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo Manispaa ya Iringa.

 
  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akiwasili kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kupokelewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayoub huku Meya wa Manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi akishuhudia. Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayoub (kushoto) akitoa taarifa migogoro ya ardhi inayoukumba Mkoa huo na utekelezaji wake. Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayoub akitoa taarifa migogoro ya ardhi inayoukumba Mkoa huo na utekelezaji wake. Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Iringa wakifuatilia kwa kina taarifa ya migogoro iliyokuwa ikisomwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayoub (hayupo pichani). Meya wa Manispaa ya Iringa, Amani Mwamwindi akizungumza katika kikao hicho kilichowashirikisha watendaji wa mkoa wa Iringa. Ofisi za NHC mkoa wa Iringa kama zinavyoonekana leo hii, ambapo Waziri Lukuvi alitembelea na kuagiza Shirika la Nyumba nchini kuhakikisha kuwa linaboresha mazingira ya Manispaa ya Iringa kwa kuhakikisha kuwa linajenga nyumba bora, pia aliagiza Shirika hilo kufanya utafiri ili liweze kujenga nyumba za gharama nafuu zaidi ili ziwanufaishe wananchi wengi zaidi. Meneja wa NHC mkoa wa Iringa, Humphrey Kishimbo akitoa taarifa ya utendaji ya NHC mkoa wa Iringa kwa Waziri Lukuvi wakati Waziri huyo alipotembelea Shirika hilo leo asubuhi. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza akifutilia taarifa hiyo. 
Baadhi ya watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na wale wa mkoa wa Iringa wakifuatilia taarifa ya utendaji wa Shirika iliyokuwa ikitolewa na Meneja wa NHC mkoa wa Iringa, Humphrey Kishimbo (hayuko pichani).
Baadhi ya watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na wale wa mkoa wa Iringa wakifuatilia taarifa ya utendaji wa Shirika iliyokuwa ikitolewa na Meneja wa NHC mkoa wa Iringa, Humphrey Kishimbo (hayuko pichani). 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akizungumza na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na wale wa sekta ya ardhi na Sekretarieti ya Mkoa wa Iringa ambapo alisisitiza Shirika la Nyumba nchini kuhakikisha kuwa linaboresha mazingira ya Manispaa ya Iringa kwa kuhakikisha kuwa linajenga nyumba bora, pia aliagiza Shirika hilo kufanya utafiri ili liweze kujenga nyumba za gharama nafuu zaidi ili ziwanufaishe wananchi wengi zaidi.. 
Baadhi ya watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na wale wa mkoa wa Iringa wakifuatilia taarifa ya utendaji wa Shirika iliyokuwa ikitolewa na Meneja wa NHC mkoa wa Iringa, Humphrey Kishimbo (hayuko pichani). 
Ofisi za NHC mkoa wa Iringa kama zinavyoonekana leo hii, ambapo Waziri Lukuvi alitembelea na kuagiza Shirika la Nyumba nchini kuhakikisha kuwa linaboresha mazingira ya Manispaa ya Iringa kwa kuhakikisha kuwa linajenga nyumba bora, pia aliagiza Shirika hilo kufanya utafiri ili liweze kujenga nyumba za gharama nafuu zaidi ili ziwanufaishe wananchi wengi zaidi. Waziri Lukuvi akikagua mafaili yaliyopo katika masjala ya Ardhi ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ili kujionea utendaji wa wanfyakazi wa kitengo cha ardhi. 
Waziri Lukuvi akionyeshwa Master Plan ya Manispaa ya Iringa ambayo iko katika mchakato wa kukamilika kwaajili ya kuanza kutumika kuupanga vyema mkoa huo.
............................................................. 

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi ameanza ziara ya siku tatu Mkoani Iringa ambapo aliongea na watendaji wa Mkoa wa Iringa kuhusiana na migogoro ya ardhi inayoukumba Mkoa huo . Aidha, Waziri Lukuvi alipata fursa ya kukagua shughuli za Shirika la Nyumba la Taifa na kusikiliza migogoro ya ardhi inayowakabili wananchi wa Manispaa ya Iringa na wilaya za jirani za Kilolo na Mufindi. Katika ziara hiyo, Waziri Lukuvi amerejea kauli yake aliyoitoa katika mikoa aliyokwishafanya ziara kwa kuwaonya na kuwaagiza Maafisa ardhi, wapima, wathamini na maafisa mipango miji kuacha mara moja kujinufaisha kwa kuwadhulumu wananchi haki zao za ardhi. Aidha ameutaka Uongozi wa Mkoa wa Iringa kuharakisha upimaji wa ardhi ya wananchi na utoaji wa hati na kutenga muda wao ili kuweza kusikiliza kero za wananchi ili kupunguza migogoro ya ardhi.

LOWASSA AZIDI KUJIZOLEA WADHAMINI JIJINI DAR

$
0
0
Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala, Ernest Chale akikabidhi fomu za Wadhamini kwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa leo Juni 27, 2015. Jumla ya WanaCCM 44,299 wa Wilaya ya Ilala Wamemdhamini Mh. Lowassa ili apate ridhaa ya CCM kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akifurahia jambo wakati Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ndg. Ramadhan Madabida (hayupo pichani) akizungumza jambo, wakati Mh. Lowassa alipofika ofisi ya CCM Mkoa huo, Mtaa wa Lumumba, leo Juni 27, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ndg. Ramadhan Madabida akizungumza jambo kumuhusu, Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa (kulia), wakati alipofika kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Dar es Salaam kusaini kitabu leo Juni 27, 2015, wakati akiwa katika ziara yake ya kutafuta saini za WanaCCM wakumdhamini ili apate ridhaa ya CCM kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wanaCCM 212, 150 kwa Mkoa wa Dar es Salaam

Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu akiwasalimia wananchi wake.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza na kuwashukuru wanaCCM wa Wilaya ya Ilala waliomdhamini ili apate ridhaa ya Chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 27, 2015.


Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu akiwasalimia wanaCCM wa Wilaya ya Ilala, Jijini Dar.





Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa akiwasalimia WanaCCM wa Wilaya ya Ilala, waliokusanyika kwa wingi kwenye Uwanja wa CCM Tawi la Kota, Mchikichini Jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala, Assah Simba akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa kuwasalimia na kuwashukuru wanaCCM wa Wilaya ya Ilala waliomdhamini ili apate ridhaa ya Chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 27, 2015.
Sehemu ya Vijana wa CCM wakifatilia kwa makini salam za Mh. Lowassa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na baadhi ya kinamama wenye ulemavu wa Miguu waliokuwepo kwenye hadhara hiyo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na kinamama wa CCM Wilaya ya Ilala.
Umati wa Watu ukiwa umejipanga barabarani kumuona Mh. Lowassa akipita kuelekewa Ofisi ya CCM Wilaya ya Temeke, Jijini Dar leo Juni 27, 2015.
MwanaCCM Wilaya ya Temeke akisini fomu ya Udhamini mbele ya Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa.
Katibu wa CCM Wilaya ya Temeke, Robert Kerenge akikabidhi fomu za Wadhamini kwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa leo Juni 27, 2015. Jumla ya WanaCCM 72, 100 wa Wilaya ya Temeke Wamemdhamini Mh. Lowassa ili apate ridhaa ya CCM kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akisalimia wananchi wake.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza na kuwashukuru wanaCCM wa Wilaya ya Temeke kwa kumdhamini ili apate ridhaa ya CCM kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Jiji la Dar leo ilikuwa ni shangwe tupu kwa kila alieweza kumuona Mh. Lowassa akipita kwenye njia zilizo jirani na maeneo yao ya kazi.
Dereva akipuliza tarumbeta kuonyesha furaha yake kwa Mh. Lowassa.
Mh. Lowassa akiwasili kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni, Mkajuni jijini Dar.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza jambo na Mtoto Shadrack Samuel (5) alitaka kumsalimia na kumuona leo Juni 27, 2015. 
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiteta jambo na Mwanasiasa Mkongwe hapa nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru leo Juni 27, 2015. 
Mbunge wa Kinondoni, Iddi Azzan akisalimia wananchi wake.
Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Mkoa wa Dodoma akiwasalimia wanaCCM wa Kinondoni jijini Dar.
Mwanasiasa Mkongwe hapa nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akizungumza machache na WanaCCM wa Wilaya ya Kinondoni, Waliomdhamini Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa. ambapo kwa wilaya ya Kinondoni amepata udhamini wa wanaCCM 95, 251 na kufanya jumla kuu kuwa 212, 150 na kuifanya Dar es salaam kuwa Mkoa wa kwanza kuwa na idadi kubwa ya WanaCCM waliomdhamini Mh. Lowassa.
Wadau Mkutanoni.

Mama Regina Lowassa akisalimia wanaCCM wa Kinondoni.
Mwanasiasa Mkongwe hapa nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akisani fomu ya udhamini mbele ya Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa ikiwa ni ishara ya kumuunga mkono mgombea huyo. zoezi hili limefanyika jioni ya leo Juni 27, 2015 kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni, Mkwajuni Jijini Dar. ambapo kwa wilaya ya Kinondoni amepata udhamini wa wanaCCM 95, 251 na kufanya jumla kuu kuwa 212, 150 na kuifanya Dar es salaam kuwa Mkoa wa kwanza kuwa na idadi kubwa ya WanaCCM waliomdhamini Mh. Lowassa.

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akizungumza jambo mbele ya umati wa WanaCCM wa Wilaya hiyo leo Juni 27, 2015.
WanaCCM wa Kinondoni wakisikiliza kwa Makini Salamu za Mh. Lowassa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza na kuwashukuru wanaCCM wa Wilaya ya Kinondini Jijini Dar es Salaam kwa kumdhamini ili apate ridhaa ya CCM kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Jumla ya WanaCCM 212, 150 wamdhamini Mh. Lowassa jijini Dar.
.
Baadhi ya WanaCCM wa Mkoa wa Dar es Salaam, wakimshangia Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ndg. Ramadhan Madabida (hayupo pichani) .
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, Mkewe Mama Regina Lowassa pamoja na Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu wakiwa sambamba na wanaCCM wengine wakati wakiwasili kwenye Ofisi za CCM Tawi la Ilala Kota, Mchikichini jijini Dar leo, Juni 27, 2015.



TIMU YA VITO FC YAAGWA NA KUAHIDI KUREJEA NA USHINDI

$
0
0
Balozi wa Finland nchini Tanzania Bibi. Sinikka Antila akifurahia jambo na wachezaji wa Timu ya VITO FC kutoka Kilwa mkoani Lindi, ambayo ilikuwa inaagwa jana kwaa ajili ya kuelekea nchini Finland kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Helsinki itakayoanza kutimua vumbi tarehe 05 Julai jijini Helsinki Finland. Timu hiyo imepata ushiriki huo kupitia Asasi ya kirai ya Sports Development Aid (SDA) ikiwa na lengo la kutumia michezo kama nyenzo ya kuhamasisha jamii kuwapeleka watoto wao wakapate elimu.2
Meneja Mradi wa Sports Development Aid (SDA) Bw. Mohamed Chigogolo akielezea jambo wakati wa hafla ya kuwaaga watoto wanaoenda kushiriki michuano ya Kombe la Helsinki nchini Finland, hafla hiyo imefanyika jana katika ukumbi wa Ubalozi wa Finland jijini Dar es Salaam.Katikati ni Afisa Michezo Mwandamizi kutoka Wizara ya Habari, Vijana, na Michezo Bw. Nicholaus Bulamile na Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Bw. Boniface Wambura.3
Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Bw. Boniface Wambura akipeana mkono wa mmoja wa wachezaji wa timu ya Vito FC ya wilayani Kilwamkoa wa Lindi wakati wakiagwa kwa ajili ya kuelekea nchini Finland jana jijini Dar es Salaam. Timu hiyo inaelekea nchini humo kushiriki mashindano ya Kombe la Helsinki ambayo yanahusisha jumla ya timu za watoto walio na umri chini ya miaka 12.Mshindano hayo yanatarajiwa kuanza tarehe 05 Julai 2015 na kushirikisha zaidi ya timu 1000.4
Balozi wa Finland nchini Bibi. Sinikka Antila akipeana mkono wa mmoja wa wachezaji wa timu ya Vito FC ya wilayani Kilwamkoa wa Lindi wakati wakiagwa kwa ajili ya kuelekea nchini Finland jana jijini Dar es Salaam. Timu hiyo inaelekea nchini humo kushiriki mashindano ya Kombe la Helsinki ambayo yanahusisha jumla ya timu za watoto walio na umri chini ya miaka 12.Mshindano hayo yanatarajiwa kuanza tarehe 05 Julai 2015 na kushirikisha zaidi ya timu 1000.6
Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Bw. Boniface Wambura akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Vito FC ya Kilwa mkoani Lindi wakati wa hafla ya kuwaga kwa ajili ya kuelekea nchini Finland jana jijini Dar es Salaam. Timu hiyo inaelekea nchini humo kushiriki mashindano ya Kombe la Helsinki ambayo yanahusisha jumla ya timu za watoto walio na umri chini ya miaka 12.Mshindano hayo yanatarajiwa kuanza tarehe 05 Julai 2015 na kushirikisha zaidi ya timu 1000.Picha na Frank Shija, WHVUM.

RAIS KIKWETE AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI WA NGAZI YA JUU KWA MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA LEO UKONGA, JIJINI DAR

$
0
0
9
Rais Kikwete akimkabidhi Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja  ithabati rasmi kwa ajili ya Chuo cha Mafunzo cha Ukonga iliyotolewa na  Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya ufundi(NACTE)Dkt. Adolf Rutayuga wakati wa sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga.  11
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akimvisha Cheo cha Mrakibu Msaidizi wa Megereza,  Amina Juma Lidenge kwa niaba ya wahitimu wenzake 104  wakati wa sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam.12
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku cheo Mwanafunzi Alyefanya Vizuri Katika Masomo ya darasani Inspekta Saidi Jacob Seni  wakati wa sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam.
10
Askari Magereza wa enzi za Mkoloni wakionesha ukakamavu wao mbele ya Rais Kikwete  wakati wa sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam.
7
Rais Jakaya Mrisho kikwete akifunga  Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015. PICHA ZOTE NA IKULU

2
Rais Jakaya Mrisho kikwete akisalimiana na maafisa wanaoshughulikia kitengo cha SACCOS cha Magereza kwenye banda la maonesho ya sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015.
   8
Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe akipogea ithabati rasmi kwa ajili ya Chuo cha Mafunzo cha Ukonga kutoka kwa Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya ufundi(NACTE)Dkt. Adolf Rutayuga wakati wa sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga.
13
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la wahitimu  104  wakati wa sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015
14
3
Rais Jakaya Mrisho kikwete na  Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mathias Chikawe na Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja  wakifurahia samani katika  banda la maonesho ya sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga.
4
Rais Jakaya Mrisho kikwete  na Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja  wakiwa na Wakuu wa Jeshi la Magereza wa nchi za SADC na Kenya waliohudhuria  sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015
1
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mathias Chikawe na Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja  wakiwa katika picha ya pamoja na Makamishna Wakuu wa Magereza Wastaafu. Kutoka kulia ni Mhe. Augustine Nanyaro, Mhe. Nicas Pius Banzi, Kamishna Generali Mkuu wa sasa John Minja, Rais Kikwete, Alhaj Jumanne Mangara, Mzee John Mwanguku, na Kamishna wa Huduma za Urekebishaji Mstaafu Mama Aziza Mursali sherehe za Kufunga Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015.
5
6
Rais Jakaya Mrisho kikwete na  Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mathias Chikawe na Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja  wakiwa na wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi ya Ngazi za Juu Kwa Maafisa wa Jeshi la Magereza katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam leo Juni 27, 2015

CHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU WAFIKIA MUAFAKA.

$
0
0
1
Baadhi ya wadau wa filamu nchini ambao ni TRA, Bodi ya Filamu Tanzania na Chama cha Wasambazaji wa Filamu wakiwa katika kikao ili kujadili changamoto katika tasninia hiyo mapema juzi jijini Dar es Salaam. Picha zote na Frank Shija, WHVUM.2
Afisa Utafiti Mwandamizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Ephraim Mdee akifafanua jambo wakati wa kikao na wawakilishi wa Chama cha Usambazaji wa Filamu nchini TAFDA walipokutana hivi karibuni ili kujadili changamoto zitokanazo na ueneaji wa Filamu kutoka nje ya nchini.Kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wasambazaji wa Filamu Tanzania Bw. Emmanuel Myamba (Pastor Myamba).3
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akisisitiza jambo wakati wa kikao na wawakilishi wa Chama cha Usambazaji wa Filamu nchini TAFDA walipokutana hivi karibuni ili kujadili changamoto zitokanazo na ueneaji wa Filamu kutoka nje ya nchini.Katika kikao hicho Serikali na wadau hao walifikia muafaka wakushirikiana kwa pamoja ili kuongeza kasi ya kukabiliana na maharamia ya kazi za filamu nchini.Kulia ni Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Bw. Simon Mwakifamba na kushoto ni Afisa Utafiti Mwandamizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Ephraim Mdee.5
Mmoja wa wajumbe wa Chama cha Wasambazaji wa Filamu Tanzania TAFDA Bw. Suleiman Ling’ande (katikati) akichangia mada wakati wa kikao na wawakilishi wa Chama cha Usambazaji wa Filamu nchini TAFDA walipokutana hivi karibuni ili kujadili changamoto zitokanazo na ueneaji wa Filamu kutoka nje ya nchini.Katika kikao hicho Serikali na wadau hao walifikia muafaka wakushirikiana kwa pamoja ili kuongeza kasi ya kukabiliana na maharamia ya kazi za filamu nchini.

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA LEO JIMBO LA NYAMAGANA,KESHO KUUNGURUMA LIVE JIMBO LA ILEMELA JIJINI MWANZA I

$
0
0
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasli katika Uwanja wa CCM Kirumba, kuzungumza na Mamalishe, Machinga na waendesha bodaboda, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama, katika jimbo la Nyamaagana mkoani Mwanza leo.

  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na mamalishe, wamachinga na waendesha bodaboda alipokutana nao kuzungumzia maendeleo ya shughuli zao, katika Uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza leo.

 Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Nyamagana, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipozungumza nao leo katika Ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Mwanza

 Wananchi wakiwa wamesimama juu ya daraja la zamani, wakati Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipokagua ujenzi wa daraja la Isegenge katika Kata ya Mahina, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua ujezi wa  daraja la Isegenge katika Kata ya Mahina, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Wananchi mara baada ya kukagua ujenzi wa  daraja la Isegenge katika Kata ya Mahina, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika katika eneo la soko la Igoma, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo.

  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na msafara wake wakiondoka katika eneo la mradi wa maji mara baada ya kuukagua na kupata maelezo mafupi juu ya mradi huo wa maji wa Fumagila katika Kata ya Kishiri, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua Ofisi ya CCM  Kata ya Buhongwa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza katika mkutano wa hadhara aliofanya baada ya kuzindua Ofisi ya CCM  Kata ya Buhongwa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo 

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwasili kuzindua Shina la wakereketwa wa CCM ambao ni wajasiriamali  na waendesha bodaboda  katika kata ya Nyegezi, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo.

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza baada ya kuzindua Shina la wakereketwa wa CCM ambao ni wajasiriamali  na waendesha bodaboda  katika kata ya Nyegezi, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo . 
  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakati wa uzinduzi  Ofisi ya CCM  Kata ya Buhongwa, Kinana akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza leo

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika katika eneo la soko la Igoma, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza leo.

VIONGOZI WA CCM MWANZA WAZUNGUMZIA JITIHADA ZAO ZA KUKAMILISHA DARAJA LA ISEGENG'E


NYALANDU AKAMILISHA UDHAMINI MKOANI SINGIDA

$
0
0
ny1
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na mkewe Faraja, wakiwa wamezungukwa na umati mkubwa wa watu wakati alipokwenda kuomba udhamini kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Ilongero, Jimbo la Singida Kaskazini mkoani Singida, jana. Katika tukio hilo maelfu ya wananchi walijitokeza kutaka kumdhamini katika harakati zake za kuwania kuteuliwa na CCM kuwania urais. Nyalandu ambaye pia ni mbunge wa jimbo hilo, lakini aliwataka radhi na kuomba kudhaminiwa na wanachama 45 tu kama matakwa ya CCM yanavyoelekeza.ny2
KATIBU wa CCM Wilaya ya Singida, Mwamvua Kilo, akizungumza wakati akimkaribisha Nyalandu kuzungumza na maelfu ya wananchi.ny3
Nyalandu akizungumza na wananchi.ny4
WANANCHI na wanachama wa CCM wakisikiliza kwa makini wakati    Nyalandu akizungumza masuala mbalimbali na kutumia fursa hiyo kuhamasisha umoja na mshikamani ndani ya Chama.
ny5
WANANCHI na wanachama wa CCM wakisikiliza kwa makini wakati    Nyalandu akizungumza masuala mbalimbali na kutumia fursa hiyo kuhamasisha umoja na mshikamani ndani ya Chama.ny6
WANACHAMA wa CCM wakiimba nyimbo wakati Nyalandu alipokuwa akiingia kwenye viwanja vya Ilongero kuomba udhamini.ny7ny8
VIONGOZI wa dini mkoani Singida, wakimpa Nyalandu mkono wa pongezi baada ya kutoa hotuba iliyokonga nyoyo za wananchi wakati alipokamilisha kazi ya kuomba udhamini. Mgombea huyo amepata wadhamini katika mikoa yote nchini.
ny10
UMATI ukimsikiliza Nyalandu

LOWASSA AHITIMISHA ZIARA YA KUTAFUTA WANACCM WA KUMDHAMINI MKOANI MOROGORO LEO

$
0
0
Sehemu ya WanaCCM na wakazi wa Mji wa Morogoro, wakiwa wamekusanyika nje ya Ofisi za CCM Mkoa huo, kumlaki Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, pindi alipowasili kwenye ofisi hizo kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa amehitimisha zoezi hilo la kutafura Wadhamini, leo Juni 29, 2015 katika Mkoa wa Morogoro na amedhaminiwa na WanaCCM 104,038.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Fikiri Juma, pindi alipowasili kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Morogoro, leo Juni 29, 2015 kwa ajili ya kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro, Innocent Kalageris. Mh. Lowassa amehitimisha zoezi hilo la kutafura Wadhamini, leo Juni 29, 2015 katika Mkoa wa Morogoro na amedhaminiwa na WanaCCM 104,038.
Mapokezi ya Mh. Lowassa Mkoani Morogoro.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisaini kitabu cha wageni kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Morogoro, leo Juni 29, 2015. Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro, Innocent Kalageris na kushoto ni Mke wa Mh. Lowassa, Mama Regina Lowassa. Mh. Lowassa amehitimisha zoezi hilo la kutafura Wadhamini, leo Juni 29, 2015 katika Mkoa wa Morogoro na amedhaminiwa na WanaCCM 104,038.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwapungia WanaCCM wa Mkoa wa Morogoro wakati alipowasili tayari kwa kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa amehitimisha zoezi hilo la kutafura Wadhamini, leo Juni 29, 2015 katika Mkoa wa Morogoro na amedhaminiwa na WanaCCM 104,038.
Umati wa WanaCCM wa Mkoa wa Morogoro ukiwa umefurika kwa wingi wake kwenye viwanja vya CCM Mkoa wa Morogoro, kumsikiliza Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa.
WanaCCM wa Mkoa wa Morogoro wakifatilia kwa makini.
Mzee Steven Mashishanga akiyarudi magoma kabla ya kupanda jukwaani kuzungumza machache na kuwasalimia WanaCCM wa Mkoa wa Morogoro.
Mzee Steven Mashishanga akizungumza machache na kuwasalimia WanaCCM wa Mkoa wa Morogoro.
Dkt. Juma Ngasongwa akitoa neno.
Mh. Lowassa akipena mkono na Dkt. Juma Ngasongwa. 
Askofu Mamio akisalimia.
Wadau Mkutanoni.
Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM kutoka Zanzibar, Mzee BoraAfya akitoa salamu zake kwa WanaCCM wa Mkoa wa Morogoro waliokuwa wamekusanyika kwenye Uwanja wa CCM Mkoa huo, leo Juni 29, 2015.
Mzee Msindai katika ubora wake.
Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa akiwasalimia WanaCCM wa Mkoa wa Morogoro,  leo Juni 29, 2015.

Taswira mbalimbali za WanaCCM wa Mji wa Morogoro Mjini na maeneo ya jirani katika zoezi la kupokea orodha ya majini ya WanaCCM waliomdamini Mh. Edward Lowassa.
Wapiga picha wakitafuta taswira zilizo bora kabisa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akifatilia kwa makini taarifa ya Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Kulwa Mironge wakati akitaja idadi ya WanaCCM waliomdhamini. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro, Innocent Kalageris.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam, Salum Madenge akisalimia wanaCCM wa Mkoa wa Morogoro.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akifurahia jambo.
Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa akifurahia jambo.
 Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Kanali Mstaafu Isack Mwisongo akizungumza jambo na kutoa historia kidgo ya Chama cha Mapinduzi.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro, Innocent Kalageris akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, kutoa shukrani zake kwa wanaCCM waliomdhamini.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akipokea orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015, kutoka kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Kulwa Mironge, leo Juni 29, 2015. Mh. Lowassa amehitimisha zoezi hilo la kutafura Wadhamini, leo Juni 29, 2015 katika Mkoa wa Morogoro na amedhaminiwa na WanaCCM 104,038.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akionyesha fomu yenye orodha ya majina ya wanaCCM waliomdhamini, kwa kadamnasi iliyokuwepo kwenye Uwanja wa CCM Mkoa wa Morogoro, leo Juni 29, 2015, baada ya kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Kulwa Mironge.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza machache na kutoa shukrani kwa WanaCCM waliomdhanini ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania, kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.


Tanzania yapongezwa kwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto

$
0
0
Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo. Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo. Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.Ofisa Mwakilishi Makao Makuu ya Haki za Binadamu duniani, Dk. Jyoti Sanghera. Ofisa Mwakilishi Makao Makuu ya Haki za Binadamu duniani, Dk. Jyoti SangheraBaadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo. Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo. Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo. Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizoOfisa Mwakilishi Kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo. Ofisa Mwakilishi Kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizoOfisa Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni nchini (WHO), Dk. Rufaro Chatora akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo. Ofisa Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni nchini (WHO), Dk. Rufaro Chatora akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.[/caption] [caption id="attachment_58962" align="aligncenter" width="800"]Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo. Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.[/caption] [caption id="attachment_58963" align="aligncenter" width="800"]Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo. Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.[/caption] [caption id="attachment_58964" align="aligncenter" width="600"]Ofisa mwakilishi kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Dainius Puras akizungumza kwenye mkutano huo. Ofisa mwakilishi kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Dainius Puras akizungumza kwenye mkutano huo.[/caption] [caption id="attachment_58965" align="aligncenter" width="658"]Mmoja wa waratibu wa mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania akitoa mwongozo wa majadiliano. Mmoja wa waratibu wa mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania akitoa mwongozo wa majadiliano.[/caption] [caption id="attachment_58966" align="aligncenter" width="588"]Ofisa Habari wa Kituo cha Taarifa cha Umoja wa Mataifa (UN), Stella Vuzo akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari vilipozungumza na viongozi wawakilishi walioshiriki katika mkutano huo., Ofisa Habari wa Kituo cha Taarifa cha Umoja wa Mataifa (UN), Stella Vuzo akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari vilipozungumza na viongozi wawakilishi walioshiriki katika mkutano huo.,[/caption] [caption id="attachment_58967" align="aligncenter" width="800"]Ofisa Mwakilishi Makao Makuu ya Haki za Binadamu duniani, Dk. Jyoti Sanghera (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa majadiliano. Wengine ni waofisa mbalimbali walioshiriki mkutano huo wa majadiliano. Ofisa Mwakilishi Makao Makuu ya Haki za Binadamu duniani, Dk. Jyoti Sanghera (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa majadiliano. Wengine ni waofisa mbalimbali walioshiriki mkutano huo wa majadiliano.[/caption] [caption id="attachment_58968" align="aligncenter" width="800"]Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa majadiliano. Akiwa na Maofisa wawakilishi kutoka taasisi anuai za kimataifa zilizoshiriki majadiliano hayo. Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa majadiliano. Akiwa na Maofisa wawakilishi kutoka taasisi anuai za kimataifa zilizoshiriki majadiliano hayo.[/caption]Na Joachim Mushi, Dar es Salaam TANZANIA inajivunia mafanikio makubwa ya kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito pamoja na idadi ya watoto chini ya miaka mitano wanaopoteza maisha kila mwaka. Mafanikio hayo yameifanya Tanzania kutolewa mifano kimataifa ikiwa ni kati ya nchi zilizovuka malengo ya kupunguza idadi hiyo vifo iliyojiwekea kuzifikia. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando katika hotuba yake iliyosomwa na mwakilishi wake akifungua mkutano wa majadiliano na wadau mbalimbali wa utetezi wa haki za binadamu unaokutana kuangalia namna ya kupunza idadi ya vifo vinavyotokana na uzazi na vile vya watoto chini ya miaka mitano. Majadiliano hayo yanayofanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili huku yakijikita kuangalia namna wadau wa haki za binadamu wanavyoweza kuchangia katika kuboresha huduma za afya na hatimaye kumlinda mtoto chini ya miaka mitano na vifo kwa ujumla. Dk. Mmbando alisema Tanzania imefanikiwa kupunguza vifo vya uzazi na watoto, kutoka idadi ya vifo 166 vilivyokuwa vikitokea kwa kila akinamama 1,000 wanaojifungua mwaka 1990 na kupungua hadi kufikia idadi ya vifo 54 kwa kila akinamama 1,000 mwaka 2012. Alisema mafanikio hayo ni makubwa kwani yalivuka malengo iliyokuwa imejiwekea, huku nchi ikitolewa mfano kati ya mataifa yaliyofanikiwa kiasi kikubwa kupungu vifo vya kesi za uzazi na huduma za afya kwa ujumla. Aidha pamoja na hayo alisema bado kuna changamoto mbalimbali za upatikanaji wa huduma za afya kutoka eneo moja hadi lingine, hasa maeneo ya vijijini jambo ambalo Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali inakabiliana na changamoto hizo. Alizishukuru taasisi za Umoja wa Mataifa (UN) kwa msaada zinazoutoa kupitia taasisi zake mbalimbali kuisaidia Serikali ya Tanzania kuboresha huduma za afya katika nyanja tofauti, jambo ambalo ndio chachu ya mafanikio zaidi. Awali akizungumza katika ufunguzi wa mkutano huo, Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, aliipongeza Tanzania kwa mafanikio makubwa iliyoyapata katika kupunguza vifo vya uzazi pamoja na watoto chini ya miaka mitano na pia kuwalinda watoto katika kupata huduma bora za afya. Aliongeza kuwa mafanikio hayo yanatokana na uongozi mzuri wa Serikali pamoja na nia thabiti ya viongozi kutambua tatizo na utayari wa kulisimamia kuhakikisha linapata ufumbuzi, lakini pia usalama wa raia na shughuli zao. “…Napenda nitumie nafasi hii kuwasilisha shukrani na dhati kutoka UNICEF kwa Wananchi wote wa Tanzania kwa kuendelea kulinda haki za watoto, nawapongeza kinamama, nawapongeza kinababa na viongozi kwa ujumla kwa kulilinda hili…kimsingi tunaitaji mchango wenu kufanikiwa zaidi,” alisema Dk. Gulaid akiwahutubia washiriki wa mkutano huo. Mkutano huo wa siku mbili unashirikisha wajumbe na wawakilishi kutoka taasisi za kimataifa na kitaifa zinazoshughulikia masuala ya haki za binadamu, afya na watoto umeandaliwa na Tume ya Kimataifa ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kushirikiana na Taasisi za Umoja wa Mataifa. *Imeandaliwa na Mtandao wa www.thehabari.com

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA VISIWA VYA UKEREWE JIJINI MWANZA

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa, wilayani Ukerewe waliojitokeza kwa wingi kumpokea ,Kinana ameweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika katika kisiwa hicho akiwa kwenye ziara ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya Irungwa
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa.
 Wananchi wa Kata ya Irugwa wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana




 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (katikati) akiwapingia mkono wananchi waliojitokeza kumpokea kwenye kisiwa cha Ukara.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifuturu ndani ya meli ya Mv.Nyerere akiwa njiani kuelekea Nansio Ukerewe,Wengine pichani ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Mhe.Antony Diallo (katikati) na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa Nansio waliojitokeza kwa wingi kumpokea. (Picha na Adam Mzee)

MKUU WA MAJESHI MSTAAFU JENERALI MIRISHO SARAKIKYA APEWA TUZO YA HESHIMA NA TANAPA KWA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO MARA 38

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akimkabidhi tuzo maalum ya heshima Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Sarakikya akiwa na mkewe kwa kupanda mlima Kilimanjaro mara 38, Jenerali Sarakikya pia  amepewa Kadi maalum ya kuingia mbuga zozote za TANAPA Bure yeye pamoja na familia yake, lakini katika hatua nyingine  atalipiwa gharama zote za kushiriki mkutano wa masuala ya utalii kuhusu milima mirefu zaidi duniani  yeye pamoja na mke wake huko nchini Marekani, Katika mkutano huo Jenerari Sarakikya anatarajiwa kutoa  mada kuhusu mlima Kilimanjaro.

Jenerali Mirisho Sarakikya  amekabidhiwa tuzo hiyo katika hafla ya utoaji wa tuzo za TANAPA za waandishi wa habari za utalii iliyofanyika kwenye hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza usiku wa kuamkia leo  ambapo waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali  wamepewa tuzo hizo. Katika picha kushoto ni Dr. Allan Kijazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi za mbuga za Taifa.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza katika hafla ya utoaji wa tuzo za TANAPA za waandishi wa habari kwenye hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza usiku wa kuamkia leo.
Meneja  wa Mawasiliano TANAPA Bw. Pascal Shelutete akitoa utaratibu wa utoaji wa tuzo hizo.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akikabidhi tuzo kwa Fredy Sikagonamo mwandishi bora wa  habari za utalii vipindi vya redio katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru na kushoto ni Dr. Allan Kijazi Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akikabidhi tuzo kwa Magessa Maggesa  mwandishi bora wa habari za utalii kwa vipindi vya Televisheni kutoka Stars TV katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru na kushoto ni Dr. Allan Kijazi Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akikabidhi tuzo kwa Jimmy Mengere kutoka Chanel Ten  Morogoro, mwandishi bora wa habari za utalii kwa habari za Utalii aliyeandika kuhusu wanyama wanavyouwawa kwa ajali katika mbuga ya Mikumi.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akikabidhi tuzo kwa Kasilda Mlimila Mwandishi bora wa habari za utalii za Televisheni kutoka Star TV Morogoro  kwa kuandika kukauka kwa mto Ruaha Mkuu , kulia ni Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga, katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru na kushoto ni Dr. Allan Kijazi Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akikabidhi tuzo kwa Jackson Kalindimya Mwandishi bora wa habari za Utalii Magazeti  katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru na kushoto ni Dr. Allan Kijazi Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akikabidhi tuzo kwa Humphrey Mganga  mwandishi bora wa habari za utalii katika magazeti katikati ni  Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru na kushoto ni Dr. Allan Kijazi Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA.

Dkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo.

$
0
0
 Dkt  MUSA LEONARDMDEDE akitoa neno katika kongamano la vijana wa katoliki 
 baadhi ya vijana wakimsikiza mdede katika kongamano hilo.
 baadhi ya viongozi wa vijana hao wakiwa makini kumsikiliza mdede.





mdede akiingia katika ukumbi uliokuwa unafanyika sherehe

na fredy mgunda,iringa.

Vijana kikatoliki waliokuwa kwenye kongamano lililofanyika katika kijiji cha ulete wamewataka wananchi wa jimbo la kalenga kuelekeza macho na masikio yao kuhakikisha wanamchagua kijana mwenzao ambaye ameonekana kuwa na uwezo wa kuwa kiongozi bora na kuwaletea maendeleo katika jimbo hilo.


Wakizungumza katika kongamano hilo vijana hao walisema kuwa hawajapata kuona kijana anayejiamini na kuonesha wazi mbinu za kulikomboa jimbo katika nyanja ya kimaendeleo.


“Jimbo la kalenga linawasomi wengi lakini jimbo hilo bado halina maendeleo ya kuridhisha licha ya kuwa na vitega uchumi vingi ambavyo vingeweza kuiongezea mapato na kukuza uchumi wa jimbo hilo,kwa mipango na mbinu ambazo mose madede amezionyesha zinatufaa kabisa wananchi wa jimbo la kalenga”. walisema vijana hao.


Lakini waliongeza kwa kuwataka vijana na wananchi wa jimbo la kalenga  kutofanya makosa katika uchaguzi wa mwaka huu kwa kumchagua kiongozi anayewafaa na kujiamini kwa kuwaletea maendeleo na kuwatetea wananchi wake.


Nao viongozi wa vikalia tosamaganga walimsifu kijina moses kwa kujiamina na kuwaonyenyesha vijana wenzao kwa maneno na ujumbe wa kuwapa njia muhimu za kufikia malengo yao katika maisha.


Waliongeza kwa kusema kuwa baadhi ya vijana waliokosa hutuba ya moses mdede wamekosa kitu cha muhimu sana lakini akawaomba vijana hao wakirudi nyumbani kwao basi wafikishe ujumbe kwa wananchi na vijana waliokosa kongamano hilo kwa kuwa wao ndio mabadiliko ya sasa.


“Vijana mbadilike msiwe kama vijana wa zamani nchi hii inahitaji viongozi wenye weledi wa kuwaongoza wananchi na kuwalete maendeleo  mdede anafaa na anasifa zote za kuwa kiongozi kwa kuwa anasifa zote za kuwaongoza wanachi wa jimbo la kalenga hivyo wananchi msifanye makosa”.walisema  viongozi hao.


Kwa upande wake sister kiliana sanga wa ulete alisema kuwa hajawahi kukutana na kijana mwenye uwezo mkubwa wa kifikra na mipango madhubuti ya kuleta maendeleo ya jimbo la kalenga.


Naye moses mdede aliwataka vijana kujitambua na kushemu maamuzi yao wakati wananfanya kitu sahihi kwa wakati sahihi kuwataka wasikubali kuchaguliwa kiongozi katika uchaguzi wa mwaka huu.


“Sasa ifike wakati vijana muwe na maamuzi ya kujichagulia viongozi sahihi vijana ni taifa la leo sio la kesho hivyo ukimchagua kiongozi kwa kununuliwa ujue kuwa atakapo ingia madarakani atawaongoza anavyowataka yeye na sio kuwaletea maendeleo kwa kuwa ameingia madarakani kwa kuwanunua”.alisema mdede


mdede aliwataka vijana kuacha kulalamika kila wakati na badala yake wafanye kazi kwa kujituma ili wajiletee maendeleo na kuacha tabia ya kufaata mkumbo katika kutafuta maisha bora.


“Viongozi wa dini  nyie mnaka mara kwa mara na waumini wenu hiyo mnapaswa kuwapa elimu ya maisha na kuwajua viongozi wazuri kwa kuwa nyie mnakaramu hiyo,mfano leo hii mmekaa na vijana hao na kuwapa mafunzo mbalimbali hivyo mnapaswa kuwaambia ukweli juu ya mstakabadhi wa serikali yetu ambayo imepoteza matumaini”.alisema mdede.


Lakini  MDEDE aliwataka vijana kuwa mstari wa mbele katika kuinua uchumi wa nchi.


MDEDE aliyasema katika kongamano la vijana wa katoliki katika kata ya ulete Iringa vijijini ambapo amewataka vijana kutambua umuhimu wao katika jamii ili kuleta madadiliko chanya kwa taifa .



Aidha Dkt MUSA amesema kuwa wazee ni hazina kwa taifa kwa ushauri wa mambo mbali mbali ya kiuongozi   lakini nguvu ya vijana inahitajika ili kulikwamua taifa kutoka hapa lilipo na kusonga mbele.

MWENDESHA MASHTAKA MKUU MISRI KWA MRIPUKO WA BOMU

$
0
0
 

 

Gari la mwendesha mashtaka wa Misri likiwa limeharibiwa vibaya na mripuko.

Na Mwandishi wetu. 

Mwendesha mashtaka mkuu wa Misri Hisham Barakati amefariki baada ya mripuko mkubwa wa bomu kuushambulia msafara wake mjini Cairo mapema Jumatatu wakati akielekea kazini.

Shambulizi hilo limefuatia wito wa wapiganaji wa jihadi kuwashambulia maafisa wa mahakama kuwaadhibu kutokana na ukandamizaji dhidi ya wafuasi wa makundi ya Kiislamu.


Waziri wa sheria wa Misri Ahmed al-Zind ameliambia shirika la habari la Ufaransa AFP kuwa Barakati amefariki dunia. Wazitri wa uwekezaji Ashraf Salman naye amethibitisha kifo cha mwanasheria huyo mkuu wa serikali ya Misri, ambaye ndiyo afisa wa ngazi ya juu wa kwanza kuuawa tangu wapiganaji wa jihadi walipoanzisha uasi kufuatia hatua ya jeshi kumuondoa madarakani rais Muhammad Mursi mwaka 2013.


Pigo kwa rais Al-Sisi

Mauaji ya Barakati yatakuwa pigo kwa rais Abdel-Fattah Al-Sisi, mkuu wa zamani wa jeshi aliempindua Mursi na kushinda uchaguzi kwa ahadi ya kuwamaliza wapiganaji wa Kiislamu. Mripuko huo wa bomu uliharibu magari kadhaa na kuvunja vioo vya madirisha ya maduka katika wilaya ya Heliopolis, na ripoti zinasema magari matano yaliharibiwa kabisaa katika mripuko huo.


Katika hospitali alikokimbizwa Barakati kwa ajili ya matibabu, mlinzi wake aliejeruhiwa vibaya aliwaleza waendehsa mashtaka jinsi mripuko ulipoushambulia msafara wa Barakati wakati akielekea kazini, na kusema ilikuwa kama vile kumetokea tetemeko la ardhi.


Mashuhuda waliokuwepo eneo la tukio hilo wamesema moja ya magari yaliyoungua kabisaa lilikuwa la Barakat. Mkuu wa kitengo cha mabomu Jenerali Mohammed Gamal ameliambia shirika la AFP kwamba mripuko huo ulikuwa ama wa bomu la kutegwa kwenye gari au bomu lililofichwa chini ya gari.


Magari mengine yaliyoharibiwa katika mripuko dhidi ya msafara wa Barakat.


Maafisa wa mahakama walengwa

Barakati amefariki kutokana na kushindwa kufanya kazi kwa vioungo kulikosabishwa na majeraha mabaya, amesema daktari aliekuwa anamtibu. Mripuko huo umekuja baada ya kundi mshirika wa Dola la Kiislamu - Wapinzani wa Giza - kutoa wito wa mashambulizi dhidi ya maafisa wa mahakama kufuatia kunyongwa kwa watu sita wanaodaiwa kuwa wanamgambo.


Wanamgambo wenye silaha katika mkoa wa Sinai ambako wapiganaji wa jihadi wana makao yao, waliwapiga risasi na kuwauwa majaji wawili pamoja na mwendesha mashtaka mwezi Mei. Kundi hilo lilitoa mkanda wa video jana Jumapili ukidai kuonyesha shambulizi hilo katika mji wa El-Arishi mkoani Sinai.



Barakati amewashtaki maelfu ya wafuasi wa makundi ya Kiislamu tangu jeshi lilipompindua Mursi mwaka 2013, ambapo mamia wamehukumiwa adhabu ya kifo.

Article 17

$
0
0
CYBER DEFENCE EAST AFRICA 2015 SUMMIT

“PROTECTING THE INTERCONNECTED WORLD”

NRDEA in collaboration with TCRA together are organizing the Cyber Defense East Africa Summit which will be held at Mlimani City Conference Hall from 11th to 13thAugust 2015 with the theme “PROTECTING THE INTERCONNECTED WORLD. The guest of honor will be Hon.

Ambassador Ombeni Sefue the Chief Secretary to the Cabinet and head of the public service. Experienced   Speakers on Business transformation, technology and cyber security from within and outside the country will attend and   speak at the event.  Business leaders including CEOs’, Directors, CIOs’, CFOs’, Auditors, lawyers; information security experts from various industries in east Africa will also exchange their business knowledge and network with the rest of the participants.

With over 6 leading security and technology vendors/companies in the world will be available for exhibition and showcase their product with open discussion from any participants.


To get a ticket call +255 719 253 037 / +255 222 110 895 or send an email to info@nrd.co.tz


USAFIRI UNAOTUMIKA KUSAFIRISHA ABIRIA MKOANI GEITA ENEO LA BUSERESERE NI HATARISHI

$
0
0
Gari Aina ya Pro Box Ikiwa tayari kusafirisha abiria
 Wakazi wa Mkoa wa Geita maeneo ya buseresere na katoro wapo katika hatari kubwa ya maisha yao kutokana na usafiri wanaoutumia kutoka eneo moja kwenda jingine.Mwakilishi wa kikundi cha usalama barabarani Fungo Agustus ametutumia Tukio hili ambalo ni hatari kwa abiria mkoani Geita.

Gari ndogo aina ya Pro Box zimeingia kwa wingi mkoani Geita na kutumika kubebea abiria katika mazingira ambayo si salama na ni hatarishi kwa abiria hao.Abiria wamekuwa wakipakiwa kwenye mabuti ya kuwekea mizigo tena kwa msongamano mkubwa.Zifutazo chini ni picha za kinachoendelea kwenye usafirishaji eneo la Buseresere.                         

 Abiria wakiwa wamekusanywa kwenye buti eneo la kubebea mizigo huku wakiwa sambaba na watoto wadogo.
 Aina nyingine ya Gari ndogo inayotumika kubebea abiria
 Mizigo na Watoto wakiwa wamekusanywa pamoja na mizigo nyuma ya Gari hiyo

TIMU YA WATU 21 YA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WASHUKA KUTOKA MLIMA KILIMANJARO,WACHANGISHA MILIONI 800 KWA AJILI YA ELIMU TANZANIA.

$
0
0
Timu ya watu 21 ya wafanyakazi ,Ndugu na Marafiki wa Kampuni ya kuchimba dhahabu ya Acacia wakishuka kutoka mlima Kilimanjaro ambako walipanda kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia elimu.
Afisa Mtendaji mkuu wa Kampuni ya uchimbaji wa Dhahabu ya Acacia,Brad Gordon akiwa na Meneja wa Ustawi wa kampuni Asa Mwaipopo wakifurahia mara baada ya kushuka toka kaika kilele cha Uhuru ambako watu 19 kati ya 21 ndio walifanikiwa kufika kileleni.
Meneja wa Kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano kwa Umma wa kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Acacia,Necta P Foya akishangilia wakati akishuka toka mlima Kilimanjaro.
Timu ya watu 21 iliyopanda Mlima Kilimanjaro kutoka kampuni ya Kuchimba Dhabu ya Acacia wakiwa katika Uniform maalumu wakielekea lango la kutokea katika mlima la Mweka huku wakiimba nyimbo mbalimbali .
Mkuu wa wilaya ya Tarime ambaye alikuwa ni mgeni rasmi katika mapokezi ya timu ya watu 21 iliyopanda mlima Kilimanjaro,G;orious Luoga (wa tatu toka kushoto) akiimba na wapandaji hao.
Wapandaji wakiimba mara baada ya kufika katika lango la Mweka,hapa wakiongozwa nyimbo mbalimbali na mmoja wa asakari wa Hifadhi ya taifa ya Mlima Kiliamanjaro.
Afisa mtendaji mkuu wa Kampuni ya kuchimba Dhahabu ,Brad Gordon akifurahia na wafanyakazi wa kampuni hiyo,Meneja wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma,Necta Foya na Fredrick Njoka .
Timu ya watu 21 waliopanda mlima Kilimanjaro,wakiwa katika picha ya Pamoja katika lango la Mweka mara baada ya kushuka toka Kilele cha Uhuru.
Baadhi ya washiriki wa zoezi hilo la kupanda Mlima Kilimanjaro.
Mkuu wa Wilaya ya Tarime ,Glorious Luoga akiteta jambo na Afisa Mtendaji mkuu wa kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Acacia.
Makamu wa Rais wa Kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Acacia,Deo Mwanyika akizungumza wakati wa hafla fupi ya mapokezi kwa timu iliyoshiriki kupanda Mlima Kilimanjro kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya shule za Msingi.
Mkuu wa wilaya ya Tarime,Glorious Luoga akizungumza katika hafla hiyo.
Afisa Mtendaji mkuu wa Kampuni ya Acacia ,Brad Gordon akikabidhi mfano wa hundi ya kiasi cha Shilingi Milioni 8,000,000 kwa mkuu wa wilaya ya Tarime ,Glorious Luoga ,zilizochangwa kupitia mpango wa CanEducate kwa ajili ya kusaidia elimu Tanzania.
Mkuu wa wilaya ya Tarime,Glorious Luoga akiwa amenyanyua juu  mfano wa Hundi.
Kaimu Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,Charles Ngemba akizungumza wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya timu ya watu 21 wakiwemo wafanyakazi ,Ndugu na marafiki wa kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Acacia ,.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

FACEBOOK YAFUNGUA OFISI AFRIKA KUSINI

$
0
0

Kwa mara ya kwanza Facebook imefungua ofisi yake barani Afrika, Johannesburg nchini Afrika kusini ikiwa ndio makao makuu.


Mwanadada Nunu Ntshingila ndiye atakae ongoza ofisi hiyo itakayo jikita katika kutafuta njia mbali mbali za kuongeza ushirikiano na wafanya biashara wa barani humo.


Tayari watumiaji wa facebook barani Afrika ni milioni 120, ofisi hiyo mpya inalenga kuongeza idadi ya watumiaji wake nchini Kenya, Nigeria na Afrika Kusini.


Nunu Ntshingila ndiye mkurugenzi mkuu wa ofisi hiyo ambae amesema kuwa mkakati wa kupanua uwekezaji wao hasa katika matangazo ni mipango mikubwa ya kutanua biashara pamoja na bara la Ulaya na maeneo ya Mashariki ya Kati.


Barani Afrika kuna mtumiaji mmoja kati ya watano wa intanenti na inatarajiwa idadi hiyo kukua mara mbili zaidi kwa watumiaji wa simu za mkononi ifikapo mwaka 2020.


Asilimia 80% ya wanao tumia facebook ni wale wenye kupata huduma hiyo kupitia simu zao za mikoni.


Facebook anasema pia ina mipango madhubuti ya kuongeza wateja kutoka nchi za Senegal, Ivory Coast, Ghana, Tanzania, Rwanda, Uganda, Zambia, Msumbiji na Ethiopia ili kufikia malengo yake.
Kwa msaada wa mtandao.

BANDA LA NSSF LAWA GUMZO MAONYESHO YA KIMATAIFA YA 39 (SABASABA) VIWANYA VYA MWALIMU NYERERE DAR ES SALAAM

$
0
0
Mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba akihudumiwa na Meneja Kiongozi Masoko na Ushirikiano wa, Bi. Eunice Chiume (wa kwanza kulia mbele).  Mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba akihudumiwa na Meneja Kiongozi Masoko na Ushirikiano wa, Bi. Eunice Chiume (wa kwanza kulia mbele).Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba.  Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakiwa katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.Baadhi ya wateja kwenye banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiangalia machapisho anuai ndani ya banda hilo. Baadhi ya wateja kwenye banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiangalia machapisho anuai ndani ya banda hiloBaadhi ya wateja kwenye banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiangalia vipeperushi anuai ndani ya banda la NSSF. Baadhi ya wateja kwenye banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiangalia vipeperushi anuai ndani ya banda la NSSF. 
------------------------------------------
WANACHAMA wote wa NSSF na wasio Wanachama Mnakaribishwa kujionea na kupata huduma mbalimbali zikiwemo, taarifa za jumla zinazohusu kujiandikisha uanachama, uwekezaji unaofanywa na Shirika, Maelezo kuhusu Bima ya afya itolewayo na NSSF,na kupata Kadi mpya. 

 Wageni wote wanaweza kujua kuhusu namna ya kuwasilisha maoni yao kupitia mfumo wetu mypa wa HaapyOrNot uliopo katika ofisi za Kinondoni, Ilala, Temeke na GDE- Waterfront Kwa kutumia mfumo huo mwanachama na asiye mwanachama anaweza kutuambia amefurahia huduma au Hapana pindi anapotembelea Ofisi za NSSF. 

 Pia wastaafu wote wanaofaidika na Pensheni za NSSF wataweza kupata pensheni kupitia mfumo mpya wa HIFADHI SMART ambapo mstaafu ataweza kupata fedha zake sehemu yoyote. 

 Vilevile wanachama na wasio wanachama mnakaribishwa ili muweze kujua kuhusu Huduma yetu mpya ya HIFADHI FASTA ambayo mwanachama sasa anaweza kulipa michango yake kupitia mtandao wa SELCOM wireless hivyo kumrahisishia yeye kuepuka usumbufu wa kutembea umbali mrefu ili aweze kuwasilisha michango yake.
Viewing all 46389 articles
Browse latest View live




Latest Images