Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46362 articles
Browse latest View live

WAZIRI WA KILIMO ,CHAKULA NA USHIRIKA STEPHEN WASIRA AZURU MKOA WA KILIMANJARO NA ARUSHA KUOMBA KUDHAMINIWA

$
0
0

wa kwanza kushoto ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira; akiwa ndani ya ofisi za CCm mkoa wa kilimanjaro wakati alipoenda kuomba kuthaminiwa na wananchi  ili kuweza kupata nafasi ya kugombea nafasi ya Urais kati kati ni mwenyekiti wa mkoa wa kilimanaro Deogratius  Luta kulia ni katibu wa ccm mkoa huo Idd Juma Mohamed.



Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiwa anaongea na mmoja wa kada wa ccm aliyejitokeza kumdhamini

 waziri wakilimo na ushirika Stephen Wasira akiwa anaongea na wananchi waliojitokeza kumthamini katika mkoa wa Arusha,picha na woinde shizza


MULONGO AZINDUA MASHINDANO YA U13 TAIFA JIJINI MWANZA

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh Magessa Mulongo leo hii kwenye uwanja wa CCM Kirumba amefungua mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13.

Akifungua mashindano haya Mh Mulongo amewataka vijana hao kujituma katika michezo na masomo kwa kuwa vyote vinakwenda sambamba.

Amelisisitizia Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuongeza juhudi katika kuimarisha soka la vijana.

Katika salam zake za utangulizi Rais wa TFF Jamal Malinzi ameeleza kuwa lengo la mashindano haya ni kuibua timu ya vijana wa umri wa miaka 13 ambao watahamishiwa kwenye shule ya Alliance, watakua pamoja hapo kusoma na kufundishwa mpira.
Mpango wa TFF ni kuwa hadi kufikia mwaka 2019 timu hii itakuwa imara kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya fainali za Afrika umri chini ya miaka 17,fainali ambazo zitafanyika Tanzania.

Mikoa yote 25 ya Tanzania bara inashiriki mashindano haya na mkoa wa Dar es salaam umewakilishwa na timu tatu Kinondoni Ilala na Temeke.

TFF inaishukuru Symbion Power kwa ushirikiano wa kuendeleza mpira wa vijana


IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

MCC, Makampuni 10 ya Kimarekani yamaliza ziara ya kuangalia fursa za biashara na uwekezaji nchini Tanzania

$
0
0
Makamu wa Rais wa Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) Kamran Khan ( wa pili kulia)  akifafanua jambo wakati wa mkutano kati ya Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda (katikati) na wawakilishi wa makampuni 10 ya Kimarekani, walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Bw. Khan aliongoza ziara ya wawakilishi hao wa makampuni ya kimarekani, Wizara ya Biashara ya Marekani na MCC ili kuangalia fursa za uwekezaji katika sekta ya nishati nchini Tanzania.
====  =======  =======
Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), Wizara ya Biashara ya Marekani na  makampuni 10 ya Kimarekani hivi leo wamemaliza kwa mafanikio mkubwa ziara yao ya kuangalia fursa za biashara na uwekezaji katika sekta ya nishati katika nchi za Tanzania.
Ziara hii ya kwanza na ya aina yake katika historia ya miaka 11 ya MCC, ililenga kukuza mauzo ya nje ya bidhaa zinazozalishwa na makampuni ya Kimarekani na kuongeza uwepo wa makampuni hayo barani Afrika kwa kutambulisha kwayo fursa mbalimbali zilizopo za uwekezaji katika sekta ya nishati. 

Aidha, ziara hii ililenga kuchangia katika kufikia malengo ya Mpango Maalumu wa Serikali ya Marekani wa Kusaidia Maendeleo ya Sekta ya Nishati barani Afrika uitwao “Power Africa” unaolenga kuongeza mara mbili kiwango cha upatikanaji wa umeme katika nchi za Afrika zilizo kusini mwa jangwa la Sahara. 
Makampuni haya yalipata fursa ya kukutana na viongozi waandamizi wa Serikali ya Tanzania ikiwa ni pamoja na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, pamoja na wawakilishi wa sekta binafsi ya Tanzania na asasi zisizo za kiserikali
Aidha, wajumbe wa ziara hii walikutana na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mark Childress na Naibu Waziri wa Nishati wa Marekani Christopher A Smith. Aidha wajumbe walipata maelezo kuhusu fursa za uwekezaji katika sekta ya nishati nchini Tanzania kutoka kwa wawakilishi wa MCC, Wizara ya Biashara ya marekani, Shirika la Marekani la Ushirikiano wa Kimataifa (USAID) na Chama cha Wafanyabiashara wa Kimarekani nchini Tanzania.
“Sekta ya nishati ya Tanzania ipo tayari kwa wawekezaji wan je, tungependa makampuni ya Kimarekani yajionee yenyewe na kusikia kutoka kwa viongozi waandamizi wa nchi hii kuhusu fursa zilizomo nchini humu,” alisema Kamran Khan, Makamu wa Rais wa Idara ya Usimamizi

NAIBU WAZIRI WA MAILIASILI NA UTALII,MOHAMED MGIMWA AFUNGUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA KILIFAIR 2015.

$
0
0
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mohamed
Mgimwa akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Moshi Club kwa ajili ya kufungua rasmi maonesho ya kimatifa ya Kitalii yajulikanayo kama KiliFair 2015.
Naibu waziri wa Maliasili na Utalii,Mohamed
Mgimwa akisalimiana na Naibu waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo wa Zanzabar Bi Hindi Khamis walipokutana katika maonesho hayo.
Mgeni rasmi katika maonesho hayo,Naibu
waziri wa utalii,Mohamed Mgimwa akiwa katika picha ya pamoja na iongozi wengine akiwemo kaimu mkuu wamkoa wa Kilimanjaro,Dkt Charles Mlingwa,katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Seveline Kahitwa,Mhifadhi mkuu KINAPA,Erastus Rufunguro.
Naibu waziri wa Maliasili na Utalii,Mohamed
Mgimwa akiwa ameambata na naibu waziri wa habari,utamaduni ,utalii na Michezo Zanzibar,Bi Hindi Khamis alipokuwa akitembelea banda la maoensho ya utalii la Zanzibar.
Naibu Waziri ,Mgimwa akizungumza na mmoja wa
wafanyakazi wa kampuni ya utalii ya Zara tour 
Naibu Waziri ,Mgimwa akinywa kahawa
alipotembelea banda la kampuni ya ndege ya Ethiopian
Airlines.
Waoneshaji wengine walibuni mbinu zaidi
wakiwatumia wafugaji jamii ya maasai katika maonesho
hayo.
Mhifadhi mkuu wa hifadhi ya taifa ya Mlima
Kilimanjaro KINAPA,Erastus Rufunguro akiwa katika picha ya pamoja na
mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya Asante Tour ,Cuthbert pamoja na
mkurugenzi wa Kilifair ,Tom.
Naibu waziri Mgimwa akizungumza na
Cuthbert.
Naibu Waziri wa maliasili na utalii
akisalimiana na Meneja Biashara wa kampuni ya Kibo Palace ,Charity
Githinji ,wakati Naibu waziri alipotembelea banda
hilo.
Baadhiya wafanyakazi wa kampuni ya Kibo
Palace wakiwa katika banda lao la maonesho 
Naibu waziri wa utalii Zanzibar Bi Hindi
akipokea zawadi toka Kibo Palace.
Manaibu waziri wa utalii,Tanzania bara na
Zanzibar,Mgimwa na Bi Hindi wakiwa katika picha ya pamoja na
wakurugenzi wa Kilifair Dominic Shoo na Tom.
Mkurugenzi wa kampuni ya Kilifair ambao ndio
waandaji wamaonesho hayo ,Dominic Shoo akizungumza wakati wa ufunguzi
wa maonesho hayo .
Naibu waziri wa habari,utamaduni,utalii na
Michezo Zanzibar ,Bi Hindi Khamis akizungumza wakati wa ufunguzi wa
maonesho hayo.
Baadhi ya wageni waliofika kwa ajili ya
maonesho hayo.
Naibu Waziri ,Mgimwa akitoa hotuba yake ya
ufunguziwa maonesho ya kimataifa ya utalii ya Kilifair 2015
yanayofanyika katika viwanja vya Moshi Club.
Viongozi wakiwa katika picha ya
pamoja.
Naibu waziri Mgimwa akiteta jambo nammoja wa
wakurugenzi wa kampunu ya Kilifair Dominic Shoo.
Kikundi cha burudani toka nchini Kenya
kikitoa burudani katika maonesho hayo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii
Kanda ya Kaskazini.

RSA wakisaidia kitengo cha mawasiliano cha usalama barabarani

$
0
0
MABALOZI wa Usalama Barabarani nchini Tanzania (Road Safety Ambasadors-RSA) wamekabidhi misaada kwenye Ofisi ya Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini (Traffic Control Center-TCC). 

 Vifaa hivyo ambavyo ni vitendea kazi katika kituo cha taarifa cha Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini, vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa RSA, John Seka ikiwa ni michango ya mabalozi hao. 

 Akizungumza katika hafla hiyo ya kukabidhi, Seka alisema lengo la msaada huo ni wa Mabalozi wa Usalama Barabarani ni kutaka kuboresha mawasiliano ya Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani. 
Juu ni picha mbalimbali za mabalozi wa RSA wakikabidhi vifaa hivyo kwa maofisa wa Kitengo cha Taarifa cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi.
 Alivitaja vifaa vilivyokabidhiwa kuwa ni pamoja na Radio mbili za mawasiliano za kidijitali, Simu ya mawasiliano aina ya Tablet iliyounganishwa na makundi ya RSA ya Facebook, Whatsapp na Telegram, Mtungi wa Maji ya Kunywa, Viti vya kukalia, Feni na Zulia la Ofisi ya TCC. 

 Aidha Seka alitaja msaada mwingine ni Birika la kuchemsha maji ya chai, Mfumo wa kutunza betri kwa ajili ya Tablet (Power Bank) na Gharama za Upakaji wa Rangi wa ofisi ya TCC ikiwa vyote vinalenga kuhakikisha ofisi ya TCC inafanya kazi kwa ufanisi na bila vikwazo ili kurahisisha mawasiliano kati ya RSA na TCC. 

WAZIRI MEMBE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS MKOANI LINDI LEO

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwasalimia wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati akitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akizungumza na wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati akitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe na mkewe Dorcas wakilakiwa na wana CCM na wakazi wa Lindi alipowasili katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, kutangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba.
Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwa na bango lenye ujumbe wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (hayupo pichani), alipotangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba, katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati.

MTANGAZA NIA YA UBUNGE JIMBO LA KAWE KUPITIA CCM, WAKILI ELIAS NAWERA AHIMIZA VIJANA KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA

$
0
0
 Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Wakili Elias Nawera ambaye ametangaza nia ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM akizungumza na wananchi hasa vijana kwenye fainali ya mpira wa miguu kati ya timu ya Halisi FC na Stand United zilizofanyika viwanja vya Tanganyika Peackers Kawe Dar es Salaam jana ambapo aliwaomba ifikapo Julai 4 mwaka huu kujitokeza kwa wingi kujiandika katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Mgombea nafasi ya ubunge Iringa mjini, Ramadhan Yusuph 'Potipoti' ambaye ametangaza nia akizungumza na wananchi wa Kawe katika fainali hizo.
Mgombea nafasi ya ubunge Iringa mjini, Ramadhan Yusuph 'Potipoti' ambaye ametangaza nia akizungumza na wananchi wa Kawe katika fainali hizo.

Watangazania ya ubunge, Wakili Elias Nawera na Ramadhan Yusuph 'Potipoti' (kulia), wakiteta jambo katika fainali hizo.
Vijana wa Kawe wakiangalia fainali hiyo.
Mchezo ukiendelea. Stand Unated ilishinda mabao 5-4.
Mchezo ukiendelea.
Mashabiki wa timu ya Stand Unated wakiwazihaki wenzao wa Halisi FC baada ya kuwafunga kwa kubeba jeneza na msalaba wake.
Mashabiki wa timu ya Halisi FC wakishangia kwa kucheza baada ya timu yao kupata bao la pili.
Watoto wakifuatilia mashindano hayo.

Dotto Mwaibale

TIMU ya Stand United, imeibuka bingwa baada ya kuichapa Halisi FC kwa changamoto ya mikwaju 5-4 katika fainali iliyofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.

Kwa ushindi huo, Stand imezawadiwa jezi seti mbili na sh.  400,000 wakati mshindi wa pili alipata jezi seti moja na sh. 100,000.

Akizungumza kabla ya kuanza kwa fainali hiyo, Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Wakili Elias Nawera ambaye ametangaza nia ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM aliwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ambapo kwa Mkoa wa Dar es Salaam itakuwa ni Julai 4, mwaka huu.

"Ndugu zangu pamoja na mashindano haya ambayo yanatuunganisha na kutupa burudani naomba Julai 4, mwaka huu kujitokeza kwa wingi kujiandikisha bila kujali muda mfupi utakaokuwepo" alisema Nawera.

Akizungumzia kuhusu watu wanaovamia maeneo ya wazi waliyotengwa kwa matumizi mengine alisema watu wa kwanza kuchukua hatua ni wananchi wenyewe mahali alipo.

Katika fainali hizo, pia alihudhuria mgombea nafasi ya ubunge Iringa mjini, Ramadhan Yusuph 'Potipoti' ambaye ametangaza nia.
(Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)





LOWASSA APATA WADHAMINI ZANZIBAR, ATEMBELEA KABURI LA KARUME

$
0
0
Waziri Mkuu wa zamani na mbunge wa Mon duli, Edward Lowassa, akiwasili ofisi za CCM, wilaya ya kati ya kati mkoa wa Kusini Unguja Jumapili Juni 7, 2015, kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada hya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwea kjuwania urais kupitia CCM. (Picha na K-VIS MEDIA)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, 9wapili kulia), mkewe mama Regina Lowassa, (kulia) na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa mjini, Borafia Silima, (kushoto), wakitoa heshima mbele ya kaburi la hayati Mzee Abeid Amaan Karume, makao makuu ya ofisi ndogo za CCM, Kiqsiwandui, Zanzibar Jumapili Juni 7, 2015. Lowassa yuko Zanzibar kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomun za kuwania urais baadaye mwaka huu. (Picha na K-VIS MEDIA)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, 9wapili kulia), mkewe mama Regina Lowassa, (kulia) na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa mjini, Borafia Silima, (kushoto), wakitoa heshima mbele ya kaburi la hayati Mzee Abeid Amaan Karume, makao makuu ya ofisi ndogo za CCM, Kiqsiwandui, Zanzibar Jumapili Juni 7, 2015. Lowassa yuko Zanzibar kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomun za kuwania urais baadaye mwaka huu. (Picha na K-VIS MEDIA)
la3
Waziri Mkuu wa zamani na Mbun ge wa Monduli, Edward Lowassa, akisalimiana na Naibub Katibu Mkuu bwa CCM, (Zanzibar), Vuai Ali Vuai, alkipofika kumsalimia makao makuu ya ofisi ndogo za CCM, Kisiwandui, Jumapili Juni 7, 2-015. (Picha na K-VIS MEDIA)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbun ge wa Monduli, Edward Lowassa, akisalimiana na Naibub Katibu Mkuu bwa CCM, (Zanzibar), Vuai Ali Vuai, alkipofika kumsalimia makao makuu ya ofisi ndogo za CCM, Kisiwandui, Jumapili Juni 7, 2-015. (Picha na K-VIS MEDIA)
la5

SERIKALI: TUNAENDELEA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA MAENDELEO YA VIJANA

$
0
0
Mgeni rasmi wa hafla ya uzinduzi wa Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha kwa Vijana wa mkoa wa Dar es Salaam (YEID) amabaye pia ni Afisa Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Godfrey Nyaisa (wapili kulia) akiwa katika picha yenye bango linalohamasisha vijana kujiandikisha katika Daftari la kudumu la Wapiga Kura juzi jijini Dar es Salaam.
NJ2
Afisa Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Gofrey Nyaisa akizungunza na vijana wa mkoa wa Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzio wa Programu ya Kukuza ajira zenye Staha kwa vijana wa mkoa huo (YEID)  juzi jijini hapa.Program hiyo inatekelezwa kwa ushirikiano wa asasi za kirai za Open Mind Tanzania (OMT), Tanzania Youth Vision Association (TYVA) na Youth for Africa (YOA).
NJ3
Mratibu wa Programu ya kukuza Ajira zenye Staha Dar es Salaam, kupitia Elimu ya Biashara na Maendeleo ya Ujasiriamali Bw. Dominic Ndunguru akizungumza na washiriki wa hafla ya uzinduzi wa Programu hiyo juzi jijini Dar es Salaam. Programu hii inaendeshwa kwa ubia wa asasi za kiraia za Tanzania Youth Vission Associataion (TYVA), Open Mind Tanzania (OMT)  na Youth For Africa (YOA).
NJ4
: Baadhi ya Vijana waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha Dar es Salaam wakiangalia baadhi ya huduma zitolewazoi na asasi mbalimbali za Vijana walipofanya maonyesho yaliyoenda sambamba na uzinduzi huo juzi katika viwanja vya Don Bosco Youth Center jijini Dar es Salaam
NJ6
Afisa Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Gofrey Nyaisa akikabidhi Cheti kwa mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya Maendeleo ya Biashara na Ujasiriamali Bi. Lilian Daniel wakati wa hafla ya uzinduzi wa Programu ya Kukuza ajira zenye Staha kwa vijana wa mkoa wa Dar es Salaam (YEID) juzi jijini hapa. Jumla ya vijana 105 kutoka katika masnispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni walipata mafunzo hayo yanayoendeshwa na asasi za kiraia za Tanzania Youth Vission Associataion (TYVA), Open Mind Tanzania (OMT)  na Youth For Africa (YOA).

…………………………………………………………………………..
Na: Frank Shija, WHVUM
Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na wadau wote walio na dhamira na mueleko wa dhati katika kuhakikisha tunatatua changamoto za ajira kwa Vijana nchini.
Kauli hiyo imetolewa juzi jijini Dar es Salaam na Afisa Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Godfrey Nyaisa alipokuwa mgeni rasmi wakati wa hafla ya uzinduzi wa Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha kwa Vijana wa mkoa wa Dar es Salaam (YEID).
Nyaisa amesema kuwa Serikali imeendelea kuchukulia kwa uzito stahiki suala la ajira kwa vijana ikiwemo kuanzisha program mbalimbali kwa lengo la kumsaidia kijana aweze kujikwamua kiuchumi na kuondokana na changamoto za ajira zinamzomkabili kijana.
Aliongeza kuwa mpaka sasa Serikali imekwisha tekeleza mambo mbalimbali ikiwemo kuwapa mafunzo vijana ambapo jumla ya vijana 1550 wamekwisha pati wa mafunzo ya ujasiriamali na stadi za maisha kupitia mfuko wa maendeleo ya vijana na kusongeza kuwa mafunzo hayo ni endelevu.
“Niseme tu Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wote wenye dhamira ya dhati ya kumletea maendeleo kijana ili aweze kujikwamu” Alisema Nyaisa.
Awali akimkaribisha mgeni rasmi Mratibu mwenza wa Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha kwa Vijana wa mkoa wa Dar es Salaam (YEID) kupitia Elimu ya Biashara na Maendeleo ya Ujasiriamali Bw. Dominic Ndunguru amesema kuwa imekuwa ni faraja kwao kupata ushirikiano kama huo kutoka Serikali hii na kuongeza kuwa hii ni dalili njema kwao kuwa Programu hiyo itakuwa na matokeo chanya na kwa muda mfupi.
Ndunguru alisema kuwa Programu hiyo ya Kukuza Ajira zenye Staha ilianza kama majaribio tokea mwaka 2014 na kuonyesha mafanikio hivyo ni furaha kwao kuone leo (juzi) inazinduliwa rasmi ikiwa tayari imeleta matunda kwa vijana.
Aliongeza kuwa kupitia Programu hiyo vijana watapata fursa ya kupata bure elimu ya Ujasiriamali na Maendeleo ya Biashara, taarifa mbalimbali zinzaohusu vijana, na fursa ya kushiriki mafunzo ya stadi za maisha na matumizi ya Tehama.
Kwa upande wake mmoja wa Vijana walionufaika na Programu hiyo Bi. Lilian Daniel kutoka Manispaa ya Temeke ameelezea kufurahishwa kwake na ujio wa Programu hii kwa kuwa imemfanya apate ujasiri wa kuthubutu kufanya maamuzi katika masuala mbalimbali.
Ameongeza kuwa Programu hiyo itasaidia sana kwa kuwa inatoa fursa ya kupata elimu ya bure hivyo kwa wasiokuwa na uwezo wa kuendelea na elimu ya Sekondari na ata vyuo wanayo fursa ya kuelimika kupitia Progra hii iliyozinduliwa rasmi leo. Alisema Lilian
Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha kwa mkoa wa Dar es Salaam ambayo kwa kiingeraza inaitwaYouth Employability Initiative in Dar es Salaam (YEID) inatekelezwa kwa ubia baina ya asasi tatu za kirai ambazo ni Tanzania Youth Vision Association (TYVA), Open Mind Tanzania na Youth for Africa (YOA) katika Manispa za Ilala, Temeke na Kindoni jijini Dar es Salaam.

JAPAN HANDS OVER MICHAKAINI 'A' PRIMARY SCHOOL BUILDING

$
0
0
Photo 6
The front view of the newly constructed Classroom block.
Photo 7
The rear view of the newly constructed Classroom block.
Photo 1
Ambassador of Japan H.E. Mr. Masaharu Yoshida posing with from left Chaiman of Parent Committee of Michakaini Primary School, Mr. Nassor HArith Mohammed, Hon. Ms. Mwanajuma Majjid Abdallah - South Pemba Regional Commissioner, Headteacher Ms. Neema Mwalim Khamis, Secretary of the Committee and Head Teacher, in front of the newly constructed classroom block.
Photo 2
Ambassador of Japan H.E. Mr. Masaharu Yoshida with Prof. Ibrahim Lipumba, CUF Chairman, posing with Michakaini primary school pupils in front of the newly constructed classroom block.
Photo 3
Ambassador of Japan H.E. Mr. Masaharu Yoshida with Hon. Ms. Mwanajuma Majjid Abdallah - South Pemba Regional Commissioner, during the Handing over ceremony.
Photo 4
Ambassador of Japan H.E. Mr. Masaharu Yoshida with Prof. Ibrahim Lipumba, CUF Chairman, during the Handing over ceremony.
Photo 5
Ambassador of Japan H.E. Mr. Masaharu Yoshida congratulates Eng. Mansour Kassim, during the Handing over ceremony. Also in the phor Prof. Ibrahim Lipumba.


By Our Correspondent
The Government of Japan which has been extending support to local communities in various sectors including health, education and water supply under the Grant Assistance for Grassroots Human Security Projects (GGHSP) scheme since 1991, over the weekend has handed over two-storey Classroom Block at Michakaini 'A' Primary School in Chakechake town, South Pemba Region
The building which cost about US Dollars 159,037 is a response to a request by the Parents Committee of Michakaini A Primary School to ease congestion at the school.
The building which was constructed under the GGHSP scheme was handed in the presence of Hon. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba – Chairman of the Civic United Front (CUF) andHon. Ms. Mwanajuma Majjid Abdallah – Regional Commissioner, South Pemba Region.
Speaking during the handover ceremony at Michakaini ‘A’ Primary School Ambassador of Japan, Masaharu Yoshida said Reconstruction of a Two-storey Classroom Block at Michakaini A Primary School in Chakechake Town, South Pemba Region; it is another contribution from Japan to the people of Tanzania.
“This project was recommended to us by Professor Ibrahim Lipumba, chairman of the Civic United Front (CUF), and I’m happy that he is here today to witness this handing over ceremony.” He lamented.
Narrating a sad story of the school he said situation at Michakaini „A‟ primary school, where pathetic with more than 1,300 pupils sharing only 12 classes, an average of 110 pupils in one class.
Due to the shortage of classes, the school decided to divide the pupils into two sessions, the morning session and the afternoon session.
However, even after two sessions, the average number of pupils per class was still very high at about 58 pupils per class.
“In some classes, the number was more than 80 pupils per class. These pupils could not get lectures of good quality and supervision. I’m glad that after our intervention, whereby the Government of Japan extended a grant assistance of US$ 159,037 (by then approximately equivalent to 250 million Tanzanian shillings), three classrooms, which were old and in a very bad condition, were demolished and the two-storey classroom block with a total of seven classrooms was constructed. “he said.
With these new classrooms, the average number of pupils per class is expected to be at 44 pupils per class.
Therefore, this project will help to create better condition that almost reaches the teacher-pupil ratio of 1:40 recommended by Primary Education Development Plan (PEDP III).
The ambassador believed that the new block will improve the quality of education and supervision to all pupils and will help their dreams to come true.
He also reiterated that the Government of Japan would like to provide continuing support for basic human needs in Tanzania.

USHAHIDI WAKWAMISHA KESI DHIDI YA UKATILI KWA ALBINO

$
0
0
image004 (8)
Mtaalamu wa masuala ya vyombo vya habari jamii na Mkufunzi Bi Rose Haji Mwalimu (aliyesimama) wakati wa ufunguzi kijiji cha Usagara, wilayani Misungwi mkoani Mwanza hivi karibuni.

Na Modewjiblog team, Mwanza
Tabia ya watu kukwepa kutoa ushahidi mahakamani ni sababu mojawapo ya wahalifu wa mauaji ya albino kutotiwa hatiani na kuachiwa huru.
Hayo yameelezwa katika warsha zilizoendeshwa mfululizo wilayani Misungwi, Kahama na Bariadi za ushirikishwaji wa jamii katika kuzuia na kutokomeza ukatili, unyanyasaji na unyanyapaa kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (albinism) nchini.

Wakichangia mada kuhusu changamoto zinazowakabili watu wenye ulemavu wa ngozi, washiriki wamesema kwamba imekuwa ni kawaida kwa watu kutokuwa tayari kutoa ushahidi mara wanapoitwa mahakamani kwa sababu zisizokuwa na mashiko.

Sababu hizo ni kuogopa kuuawa na wahusika na shinikizo kutoka kwa wanafamilia. “Mara nyingi tumeshuhudia watu wanaoitwa mahakamani kutoa ushahidi hawaendi siku kesi inaposikilizwa hata kama aliandikiwa na mahakama kufanya hivyo, wengine huamua kuhama kabisa eneo analoishi kwa kukwepa lawama kutoka kwa jamii au familia na kuogopa kuuawa baada ya kugundulika kuwa katoa ushahidi,” alisema mmoja wa washiriki.

Kuachiwa kwa watuhumiwa wanaodaiwa kuhusika na ukatili hususan kukatwa viungo na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi kumezua mjadala mkubwa katika jamii kwamba jeshi la polisi haliwajibiki kikamilifu au kuhisiwa kuwa na ushirikiano wa namna fulani na watuhumiwa hao.
DSC_0577
Afisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye Albinism la Under The Same Sun (UTSS), Kondo Seif akisisitiza jambo kwa washiriki katika warsha ya siku tatu iliyofanyika katika kijiji cha Nyakasungwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza hivi karibuni.


“Mtuhumiwa anapoachiwa huru wanajamii wanaona kama polisi imepewa rushwa kuwachia, hawaelewi kwamba wao wenyewe wameshiriki kwa mtuhumiwa huyo kuwa huru kwa sababu hawana ujasiri wa kujitokeza mahakamani kama walivyoweza kutoa maelezo ya awali kwa polisi,” wamedai washiriki hao.
Tanzania imekumbwa na wimbi kubwa la ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu jambo ambalo limelitia doa taifa.
Kwa mujibu wa Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa Mashambulizi hayo ambayo yanahusishwa na matumizi ya viungo vya miili ya watu wenye ulemavu wa ngozi kwa imani za kishirikina yamepoteza maisha ya watu wapatao 73 wenye ulemavu huo nchini kuanzia mwaka 2000.
“Huku kwetu imani za kishirikina zimeenea na waganga wa jadi ni wengi sana. Ni kawaida kabisa kwa mtu wa sehemu hizi kwenda kwa mganga wa kienyeji ili apigiwe ramli endapo kuna mtoto mgonjwa au kifo kimetokea katika kaya badala ya kwenda kituo cha afya,” alisema Bahame Maduhu, mwenyekiti Kata ya Nkololo wilayani Bariadi.
Maduhu amesema kwamba watu wajanja wamechukua udhaifu wa wanajamii kutoka kanda ya Ziwa kuamini ushirikina kiasi kwamba waganga wengine wenye tamaa za kutajirika kutoka sehemu mbalimbali za nchi wamehamia katika ukanda huo.
image004 (1)
Washiriki wakiandaa mpango kazi kwa ajili ya utekelezaji ili kudhibiti ukatili dhidi ya ukatili ya watu wenye ulemavu wa ngozi katika kijiji cha Nkololo, Kata ya Nkololo wilayani Bariadi.
“Waganga hasa wanaotumia ramli na mapepo machafu ndio wenye kuendesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ili kukamilisha huduma za wateja wao ambao hutaka utajiri, kuchimba madini, uvuvi na biashara nyingine, alieleza mwenyekiti huyo.
Kuzorota kwa hali ya usalama kwa watu wenye ulemavu wa ngozi serikali ililazimika kuwahamishia katika vituo maalum kwa ajili ya ulinzi.
Hata hivyo kwa sababu za msongamano hali ya vituo hivyo imezorota kutokana na kukosekana kwa huduma muhimu hususan za afya, chakula, mavazi na malazi .
Vituo hivyo ni Mitindo, Misungwi mkoani Mwanza, Buhangija mkoani Shinyanga, Kabanga mkoani Kigoma na Shule ya Msingi Pongwe mkoani Tanga.
Hadi sasa ni vigumu kuelewa sababu za ukatili huo lakini kwa mujibu wa washiriki wa warsha hizo utamaduni uliojenga imani za ushirikina zilizoota mizizi katika jamii, elimu duni, biashara za uvuvi, uchimbaji wa madini, utapeli uliojipenyeza katika tiba asili na unyanyapaa zimetajwa kuwa miongoni mwa chanzo cha ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi.
image004 (2)
Hali hii imelisukuma Shirika la Kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kuandaa warsha nne mfululizo zilizowakusanya wanajamii 160 kutoka vijiji 12 zenye lengo ya kubaini matatizo na kutafuta suluhisho katika jamii kwa kuihusisha jamii yenyewe katika kupambana na ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi.
Miongoni mwa walioshirikiana na UNESCO kutoa elimu hiyo ni wataalamu kutoka Shirika la Serikali la Haki za Binadamu (CHRAGG), Baraza la Tiba Asili Muhimbili na shirika la kimataifa linaloshughulikia masuala ya watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Under The Same Sun’ (UTSS).
Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza ilitoa vijiji vitatu ambavyo ni Nyanzenda, Nyakalilo na Nyakasungwa; Mwanza kijiji cha Luchili, Idetemya na Fela. Wilaya ya Bariadi ilishirikisha kijiji cha Nkololo, Nkindwabiye na Gasuma wakati Msalala ilitoa vijiji vitatu ambavyo ni Ndala, Busungo na Chela.
image004 (3)
DSC_0558
Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili Dakta Edmund Kayombo akielezea umuhimu wa waganga wa jadi kujisajili katika warsha ya siku tatu iliyofanyika katika kijiji cha Nyakasungwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kuhusu ushirikishaji jamii katika kuandaa na kutekeleza mikakati itakayochangia kuzuia na kutokomeza unyanyasaji na dhulma zinazofanywa dhidi ya watu wenye albinism iliyoshirikisha waganga wa asili, wauguzi na wakunga, viongozi wa dini, walimu pamoja na watu maarufu iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO).
unnamed
Mshiriki wa warsha ya ushirikishwaji jamii kudhibiti ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi akiwasilisha mpango kazi wa kikundi kazi.
image004 (5)
Baadhi ya washiriki kutoka kata ya Nkololo wakifuatilia kwa makini maelezo ya warsha ya siku tatu kuhamasisha ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi.
image004 (6)
image004 (7)
Picha ya pamoja ya washiriki wa warsha inayoshirikisha wanajamii kuandaa mpango mkakati wa kudhibiti ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi iliyofanyika Usagara wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza.

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE ATEMBELEA VISIWA VINNE WILAYANI MULEBA MKOANI KAGERA

$
0
0

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana,  akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Mpira wa Muleba mjini mkoani Kagera

KTIBU  NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akihutubia wananchi katika  mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Mpira wa Muleba mjini mkoani Kagera.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wenyeji wao wa kisiwa cha Iroba-Bumbile walipokuwa wakiwasili.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wakiwasili kwenye Kisiwa cha Iroba-Bumbile wilayani Muleba mkoani kagera,nyuma yake ni Katibu wa NEC,Itikadi na Unezi Nape Nanauye.

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwa  na Mbunge wa jimbo la Muleba Kusini Mh. Profesa Anna Tibaijuka wakijadiliana jambo katika boti wakati wakijiandaa kusafiri kwenda kisiwa cha Iroba-Bumbile,wilayani humo mkoani Kagera.

Sehemu ya umati wa watu kwenye mkutano huo wa Katibu Mkuu wa CCM.
 Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, akiwahutubia wananchi wake kwenye mkutano wa hadhara uliofayika kijiji cha Katunguru,  leo kwenye Uwanja wa Mpira wa Muleba mjini mkoani Kagera.


Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akisalimiana na Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akisaini kitabu ha ugeniPichani kati ni Prof Anna Tibaijuka akiwakaribisha wageni wake walipowasili eneo la bandari ya Katungura pamoa katibu wa Naec Taidana kukia ni 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana na ujumbe wake wakipewa maelekezo mafupi kabla ya kuondoka kuelekea kwenye kisiwa cha Iroba-Bumbile kwenda kuwasalimia wananchi na kusikiliza matatizo yao pamoja na kuyatafutia ufumbuzi.Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanda boti kutoka kijiji cha Kywamkwikwi kwenda Kisiwa cha Iroba-Bumbile
Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini Ndugu Prof.Anna Tibaijuka akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana pamoja Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Sehemu ya eneo la Kisiwa cha Iroba -Bumbile kama kionekavyo pichani.Baadhi ya Wananchi wakisubiri kupokea msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana na ujumbe wake.



Baadhi ya Wananchi wa kisiwa cha Iroba-Bumbile wakiwapogea wageni wao kwa furaha.

Katibu Mkuu wa CCM ,Ndugu Kinana akisalimaiana na baadhi wenyeji wa kisiwa cha Iroba-Bumbile.





Katibu wa NEC Itikadi na Uenexi Nape Nnauye Ndugu Kinana akiwahutubia wananchi wa kisiwa cha Iroba-Bumbile wilaynai Bumbile
Ndugu Kinana akiwahutubia wananchi wa kisiwa cha Iroba-Bumbile wilaynai Bumbile
Mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage, akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana uliofanyika leo kwenye kisiwa cha Iroba-Bumbile .Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwapungia mkono wananchi alipowasili kwa mtumbwi katika kijiji cha Katunguru, baada ya kutembelea visiwa zaidi ya vinne, katika wilaya ya Muleba,kulia kwake ni Prof Tibaijuka ambaye ni Mbunge wa jimbo la Muleba kusini,Kinana yuko kwenye ziara ya siku kumi kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, na uhai wa Chama katika wilaya hiyo mkoani Kagera.Katibu wa NEC, Itkadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia wananchi katika Kijiji hicho cha Katunguru. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na wananchi katika kijiji hicho cha KatunguruSehemu ya umati watu waliokuwa wamekusanyika kwenye mkutano huo.


MAJAJI WAWATAJA WASHIRIKI 18 WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015

$
0
0
Baada ya zoezi la kupokea na kusahihisha fomu za washiriki wa shindano la mama shujaa wa chakula 2015 kukamilika, takribani washiriki 18 kutoka mikoa tofauti nchini wamefanikiwa kupita katika mchujo wa kwanza kabla ya washiriki watatu kuyaaga mashindano hayo na kubakia 15 ambao ndiyo wataingia kijijini kwa ajili ya kumpata mshindi.

akizungumza na waandishi wa habari mmoja wa majaji waliohusika katika zoezi la kusahihisha fomu za washiriki, Zephania Mugittu alisema kuwa idadi ya washiriki waliowasilisha fomu zao ni 26,500 ambapo fomu zilizokidhi viwango zikiwa 2,317 tu.

Jaji huyo aliongeza kuwa fomu za washiriki 21 ndiyo zilizovuka alama zaidi ya asilimia hamsini huku vigezo vya umri, shughuli za kilimo cha mazao ya chakula, uvuvi na ufugaji vikiwabakiza washiriki 18 wenye alama za juu kutoka mikoa tofautitofauti.

Naye Ofisa Mahusiano ya Ushawishi  wa Oxfam Tanzania  Suhaila Thawer alimalizia kwa kusema washiriki 18 wote  watatembelewa maeneo waliyopo kuhakikisha kama wanafanya kazi hizo kweli na baadae kuanza rasmi mchakato wa kumpata Mama Shujaa wa Chakula 2015.


Washiriki hao 18 ni Getrude Bundala Deonatus(35) Ukerewe Mwanza, Winnie  L. Mallya (24) Kilimanjaro Moshi, Dina Samwel Sumari (62) Meru Arusha, Tatu Ramadhani Kilua (48) Lushoto Tanga, Edna Gabriel Kiogwe (40) Ilala Dar es salaam, Neema Hilonga (35) Hanang  Manyara,  Pili Kashinje Itamba (30) Kaskazini(U), Eva Mageni Daudi (31) Bagamoyo Pwani, Hawa Athumani  Mkata (56) Masasi Mtwara, Wandutha Daud Kitoelth (48) Mkalama Singida, Shida Daudi Mwedugo (35) Chamwino Dodoma, Hellen Materu (36) Iringa Mjini, Upendo Paulo Mhomisoli (35) Njombe, Savera  Xeveri Mutahyabarwa (65) Bukoba Mjini Kagera, Carolina Humphrey Chelele (48)  Kilombero Morogoro, Stella Fabian  Masulya (42) Ukerewe Mwanza,  Regina Kapili Stephano (19)  Mpanda  Katavi, Rehema Daniel  Lukali (46) Sumbawanga Rukwa.
Meneja Utetezi na Ushawishi wa Oxfam, Eluka Kibona akifungua mkutano wa kuwatangaza washindi wa waliongia katika shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015
 Majaji, Kutoka Kulia ni Zephaniah Muggitu wa Digital Consulting Ltd, Jairos Mahenge Mhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu, Dora Myinga Mkulima na Mjasiliamali, Mwandiwe Makame Mkulima na Mfugaji, Roselyn Kaihula kutoka Ekama Development

Ofisa Mahusiano ya Ushawishi  wa Oxfam Tanzania Suhaila Thawer akitoa maelezo mafupi ya Jinsi watakavyo watembelea washindi 18 katika maeneo walipo ili kuona shughuri zao na baadae kuwapata washiriki 15 ambao ndio wataingia katika mshike mshike wa kumpata Mama Shujaa wa Chakula 2015

Bw. Jairos Mahenge ambaye Pia alikuwa ni Mmoja wa Majaji akizungumzia kwa ufupi changamoto walizokutana nazo wakati wa Mchakato mzima wa kuhakiki fomu za kuwapata washiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula.
 Zephaniah Muggitu ambaye alikuwa ni mmoja wa majaji akielezea mchakato mzima wa kuwapata washindi 18 ulivyokuwa
 Dora Myinga ambaye pia alikuwa ni jaji akiwataja washindi 18 walioingia katika shindano la safari ya kumpata  Mama shujaa wa Chakula
 Mwandiwe Makame aliyekuwa jaji akishukuru Serikali kwa Jitihada za kuendeleza Kilimo Tanzania.

WEKEZA KWA WAKULIMA WANAWAKE WADOGO WADOGO INALIPA 
 
 

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL ATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA MSINGI PASUA MJINI MOSHI.

$
0
0
Mwenyekiti wa shule ya msingi Pasua Shaban Machivya akizungumza wakati wa kikao cha wazi kilichofanyika katika shule hiyo.
Msathiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa kikao cha wazazi wa watoto wanaosoma katika shule hiyo.
Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi Jafary Michael akimkabidhi mwenyekiti wa Shule ya msingi Pasua Shabani Machivya msaada wa Kompyuta kwa ajili ya shule hiyo.
Kompyuta zilizotolewa na msathiki Meya wa manispaa ya Moshi,Jafary Michael kwa ajili ya shule ya msingi Pasua.
Baadhi ya wazazi waliofika katika mkutano wa wazazi na shule,
Mstahiki Meya akizungumza.
Baadhi ya wazazi wa watoto wanaosoma katika shule ya msingi Pasua wakimsikiliza Mwenyekiti wa shule hiyo Shaban Machivya (hayupo pichani)
Mwenyekiti wa shule ya msingi Pasua ,akisisitiza jambo katika mkutano huo.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini

THE NEW TELECOM COMPANY GETS A LICENSE TO ENTER THE TANZANIAN MARKET

$
0
0


The Board Chairman, Mkulima African Telecom Company Limited , MTC-AMOTEL, Professor Robert Mabele (second right) in a group Photo with other MTC-AMOTEL staffs during the award licencing ceremony held at Head Office of TCRA, Mawasiliano Tower in Dar es Salaam on Friday. Right is the CEO of MTC-AMOTEL, Dr Sinda Hussein Sinda, National Marketing Manager, Mr Edward Shigula (centre), Head of Commercial, Elibariki Massawe and Director of Legal and Corporate Affairs, Maria Mkemwa.
Professor Robert Mabele- The Board Chairman, Mkulima African Telecom Company Limited, MTC-AMOTEL receives the certificate from Director General of TCRA, Prof. John Nkoma (centre) in Dar es Salaam on Friday. Looking is TCRA Director of Legal Affairs, Ms Elizabeth Nzagi.
The Board Chairman, Mkulima African Telecom Company Limited , MTC-AMOTEL, Professor Robert Mabele- speaks with reporters in during the award licencing ceremony held at Head Office of TCRA, Mawasiliano Tower in Dar es Salaam on Friday.
TCRA Communications Manager, Mr Innocent Mungy speaks to welcome guests for the ceremony.
Professor Robert Mabele- The Board Chairman, Mkulima African Telecom Company Limited, MTC-AMOTEL clarifies a point to reporters during the ceremony.
TCRA Senior officials during  the ceremony.
TCRA Senior officials during  the ceremony.

Director General of TCRA, Prof. John Nkoma speaks before presenting certificates to Mkulima African Telecom Company Limited, MTC-AMOTEL in Dar es Salaam on Friday.

The Board Chairman, Mkulima African Telecom Company Limited, MTC-AMOTEL, Professor Robert Mabele clarifies a point to reporters during the ceremony.
THE NEW TELECOM COMPANY GETS A LICENSE TO ENTER THE TANZANIAN MARKET

Tanzania Telecommunication Regulatory Authority has issued a license to a new telecom company called Mkulima African Telecommunication Company (MTC) Limited. The company is the first Mobile Virtual Network Operator (MVNO) in Tanzania. The company will trade under the brand name "African Mobile Operators Telecom-(AMOTEL)". According to AMOTEL Chief Executive Officer, Dr. Sinda Hussein Sinda told the journalists that   MVNO Business model is a recent phenomenon in African telecom markets. However, the business model is growing faster especially in mature telecom markets in many developing countries. Dr. Sinda further clarified that an “MVN” provides mobile services to end-users without owning its own frequency spectrum; a radio access network (RAN) and backhaul network, as it buys such capacity from a host MNO. The MVNO may or may not own core network assets – such as Home Location Register (HLR), Mobile Switching Centre (MSC) and Gateway GPRS Support Node (GGSN) but its essential network assets are a service delivery platform and a Business Support System (BSS) for Customer Relationship Management (CRM) and Billing. The degree of freedom available to the MVNO to differentiate itself via innovative services and pricing depends on the breadth of the core network platform it operates and the agreements contracted with the host MNO. Also commonly handled within the MVNO framework are “second brands” of incumbent MNOs and “branded resellers” that resell an MNO’s products and services under their own brand and are essentially a specialized marketing and sales channel.
In addition, an MVNO is a business model that emerges when the traditional mobile value chain is ruptured. Seemingly saturated markets, increasing competition and higher end-user expectations with regard to quality-of-service (QoS) and innovation – along with greater sophistication and heterogeneity/diversity in terms of end-user service and content demand – are the current market challenges facing today’s mobile operators in Tanzania. While experiencing cost pressures, ever-increasing technological complexity and shortage of skills and resources, they need to identify new ways of real differentiation and unique value proposition, outperforming their competitors on time-to-market. That is why; new players (MVNOs) can participate in the mobile value chain and extract value leveraging their valuable assets. It is against this background, the Management of Mkulima African Telecom Co Ltd (MTC) launches its MVNO under the business name or brand name “AMOTEL”.

During the license award ceremony held at TCRA head office Mawasiliano Tower yesterday, the Chairman of the governing board of AMOTEL, Prof. Robert Mabele, said that the company  plans to officially start operations this year 2015.  This company is wholly owned by the local Tanzanians, namely Professor Robert Mabele (Reputable Economist & majority shareholder), Mr. Elibariki Naumu Masawe (majority shareholder) and he is a successful business man in Dar es Salaam.  Other shareholders include Dr. Sinda Hussein Sinda (the current CEO & shareholder), Hon. Said Mtanda (Member of Parliament), Mr.  Philemon Mangu (telecom guru), Mr. Goodwill Nambaya (IT specialist), Mrs Maria Nimrod (Lawyer), Mrs Angelina Felician, Nordic Foundation Tanzania and Xelon Insurance Limited. Speaking at the license award ceremony, the TCRA Director General, Prof. John Nkoma cautioned  a new licensee that the telecom industry in Tanzania has reached a turning point characterized by stiff competition. He advised the new actors in the industry to abide by the rules, regulations and guidelines issued by TCRA.


WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI.

$
0
0
Viongozi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA wakifuatilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama (hayupo pichani) wakati wa utolewaji wa maoni juu ya bei mpya ya huduma ya maji.
Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Moshi waliofika katika ukumbi wa Hindu Mandal kwa ajili ya kutoa maoni.
Mkuu wa mkoa a Kilimanjaro,Leonidas Gama akizungumza katika mkutano huo ulioandaliwa na EWURA.
Mkukaguzi wa hesbu wa  ndani wa Mamlaka ya Maji safi na maji taka mjini Moshi ,MUWSA ,Benson Maro pamojana na Meneja rasilimali watu  wa MUWSA,Michael Konyaki wakichukua kumbukumbu wa yale yaliyokuwa yakizungumzwa katika mkutano huo.
Meneja fedha wa MUWSA ,Jpyce Msiru akichukua kumbukumbu wa mambo mbalimbali yaliyokuwa yakizungumzwa katika kikao hicho  kulia kwake ni kaimu mkurugenzi wa MUWSA .Mhandisi Patrick Kibasa.
Kamu mkurugenzi wa MUWSA,Mhandisi Patrick Kibasa akitoa hoja juu ya mapendekezo ya bei mpya ya utolewaji wa huduma mpya ya maji.
Watumishi wa MUWSA,Idd Semkunde na Jacob Ollotu wakifutilia mkutano huo/
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA) Sharry Raymond.
Mhandsi ,Patrick Kibasa akitoa ufafanuzi juu ya mambo mbalimbali yaliyoulizwa na wananchi waliofika katika mkutano huo.
Baadhi ya viongozi kutoka manispaa na watumiaji wa huduma ya maji wakifuatilia kwa makini.
Baadhi ya wananchi waliohudhulia mkutano huo.
Mmoja wa wananchi waliofika kutoa maoni yao aliyefahamika kwa jina la Maulid Darabu akiwasilisha maoni yake katika mkutano huo.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Knada ya Kaskazini.

GREEN WASTE PRO LTD WASHINDI TUZO YA MAZINGIRA

$
0
0
DSC_0048
Meneja wa uendeshaji wa kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd, Abdallah Mbena akitoa maelezo ya baadhi ya vifaa (havipo pichani) wanavyotumia katika kusafisha manispaa ya Ilala kwa Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kushoto) wakati wa sherehe za kilele cha maadhimisho ya wiki ya mazingira duniani zilizofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam.
DSC_0203
Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kulia) kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Said Meck Sadiq akimkabidhi cheti na kikombe kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd iliyopewa zabuni ya kusafisha manispaa ya Ilala, Hawa Sindo ambao wameibuka mshindi wa kwanza wa usafi wa mazingira mkoa wa Dar es Salaam katika sherehe za kilele cha wiki ya mazingira duniani zilizofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Grace Mushi kutoka Green Waste Pro ltd.
DSC_0204
Bi.Hawa Sindo (kushoto) akiwa na mfanyakazi mwenzake Grace Mushi ambao wote ni wafanyakazi wa kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kupokea tuzo ya mazingira.
DSC_0224
Msanii wa Bongo Movie nchini ambaye pia ni Balozi wa usafi na Mazingira wa Manispaa ya Ilala 2015/2016, Mohammed Mwikongi (wa tatu kushoto) akipozi na baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd iliyopewa zabuni ya kusafisha manispaa ya Ilala walioibuka kidedea mshindi wa kwanza wa usafi wa mazingira mkoa wa Dar es Salaam katika sherehe za kilele cha wiki ya mazingira duniani zilizofanyika ndani ya viwanja vya Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam. Wa tatu kulia ni Meneja wa uendeshaji wa kampuni ya Green Waste Pro Ltd, Abdallah Mbena.
DSC_0232  DSC_0274
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi ambaye alimuwakilisha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa tuzo za mazingira kwa mkoa wa Dar es Salaam katika sherehe za kilele cha wiki ya mazingira duniani zilizofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar.

BENKI YA EXIM IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA SOKO KUU LA MANISPAA YA IRINGA.

$
0
0
 Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim Tanzania tawi la Iringa wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Meya wa manispaa hiyo Bw. Amani Mwamwindi (wa pili kulia) wakati wafanyakazi hao walipojitokeza kufanya usafi kwenye soko kuu la manispaa ya Iringa mwishoni mwa juma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mazingira duniani. Hatua hiyo ni sehemu ya kampeni ya benki hiyo ijulikanayo kama ‘Go Green Initiative’ iliyojikita zaidi kwenye utunzaji wa mazingira.
 Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim Tanzania tawi la Iringa wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Meya wa manispaa hiyo Bw. Amani Mwamwindi (wa pili kulia) wakati wafanyakazi hao walipojitokeza kufanya usafi kwenye soko kuu la manispaa ya Iringa mwishoni mwa juma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mazingira duniani. Hatua hiyo ni sehemu ya kampeni ya benki hiyo ijulikanayo kama ‘Go Green Initiative’ iliyojikita zaidi kwenye utunzaji wa mazingira
Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim Tanzania tawi la Iringa wakifanya usafi wa mazingira kwenye soko kuu la manispaa hiyo mwishoni mwa juma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mazingira duniani. Hatua hiyo ni sehemu ya kampeni ya benki hiyo ijulikanayo kama ‘Go Green Initiative’ iliyojikita zaidi kwenye utunzaji wa mazingira.

BENKI YA FINCA IMEWEKEZA BILIONI 22.

$
0
0
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
BENKI ya FINCA imewekeza Bilioni 22 ambayo imevuka kiwango cha masharti ya  uanzishwaji wa mabenki hapa nchini.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi  Mtendaji wa Benki ya FINCA, Edward Greenwood wakati wa kufunga Taasisi ya mikopo kwa wafanyabiashara wenye kipato cha chini  na kuzindua Benki ya Finca katika ofisi za benki hiyo leo jijini Dar es Salaam.

 Mkurugenzi  Mtendaji wa Benki ya FINCA,Edward Greenwood amesema kuwa watatoa huduma bora kwa watanzania katika maeneo mbalimbali hapa nchini mchini.

Aidha amesema kuwa wataendelea kutoa mikopo kwa riba ya asilimia 16 na kuendelea kuboresha huduma zao katika benki hiyo.

Greenwood amesema kuwa dhamira yao kubwa katika ufunguzi wa benki hiyo ni kupunguza ugumu wa maisha ya wananchi hapa nchini kwa kutoa kiwango kidogo zaidi kuliko ilivyozoeleka kwa taasisi nyingine za kifedha ili kila mfanyabiashara aweze kufaidika na mikopo katika benki hiyo.
Mkurugenzi  Mtendaji wa Benki ya FINCA, Edward Greenwood akizungumza wakati wa kuzindua Benki ya FINCA jijini Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi wa Fedha wa benki ya FINCA, Thabiti Ndilahomba akizungumzia kuhusiana na kutoa huduma bora kwa watanzania katika uzinduzi wa benki ya FINCA jijinI Dar es Salaam leo.
 Katikati ni Mkurugenzi  Mtendaji wa Benki ya FINCA, Edward Greenwood na Mkurugenzi wa Fedha wa benki ya FINCA, Thabiti Ndilahomba wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Benki ya FINCA. Picha na Avila Kakingo.

50 Scholars from Around the World Come to the Dhow Countries Music Academy, Zanzibar to discuss the Music of Africa

$
0
0

50 Scholars from Around the World Come to the Dhow Countries Music Academy, Zanzibar to discuss the Music of Africa



From 10-13 June 2015 the Dhow Countries Music Academy will host the largest gathering of international scholars in the study of the Music of Africa ever to be held in Tanzania. The Conference will bring together scholars from Tanzania, Ghana, Nigeria, South Africa, Namibia, Kenya, Germany, United States, Canada, United Kingdom and France to hear 40 academic papers on studies of African Music.



The Conference is titled Memory, Power and Knowledge in African Music and Beyond. It has been organized by the World Music Program of Hildesheim University, Germany and is hosted by the Dhow Countries Music Academy, Zanzibar. The Volkswagen Corporation is sponsoring this conference.



Two major Keynote Presentations will be part of the Conference. These will be presented by Professor Christopher Ballantine of the University of Kwazulu-Natal in South Africa titled Song, Memory, Power and the South African Archive and Professor Philip V. Bohlman of the University of Chicago, U.S.A. titled Africa Aporio: Ethnomusicology in Search of Lost Time. Both of these scholars are widely published and well noted in the field of Ethnomusicology.



The Dhow Countries Music Academy is honored to have been selected to host this extremely high-level of scholars in the field of African Music Study. The DCMA Taarab-Kidumbak Ensemble, returning from a performance at the International Africa Festival in Germany, will perform for the Conference participants on Thursday 11th June.


Dhow Countries Music Academy

P.O. Box 4055

Zanzibar / Tanzania

Tel. +255 (0) 777 416 529

Landline +255 (0) 24 223 4050




Viewing all 46362 articles
Browse latest View live




Latest Images