Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46360 articles
Browse latest View live

MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA UMOJA WA WAFUGAJI WILAYANI NKASI, AWATAKA KUZINGATIA ELIMU NA UFUGAJI WA KISASA

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya akizungumza na umoja wa makundi ya wafugaji wa Wilayani Nkasi tarehe 10.03.2013 waliounda umoja wao kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya hiyo Iddi Kimanta kwa lengo la kuboresha maisha ya wafugaji na ufugaji Wilayani humo na Mkoa wa Rukwa kwa ujumla. Mkuu huyo wa Mkoa aliwataka wafugaji hao kutambuana ili kurasimisha kazi yao pamoja na kuirahisishia Serikali katika kudhibiti uhamiaji holela wa mifugo Mkoani Rukwa. Aliwataka pia kusomesha watoto wao badala ya kuwatumia katika shughuli zao za uchungaji wa mifugo kama ilivyo hivi sasa. 
Mwenyekiti wa umoja huo akizungumzia mikakati waliyojiwekea katika kuimarisha ufugaji wa kisasa wenye tija na masoko ya uhakika Wilayani Nkasi.  Umoja huo utakuwa na lengo kusaidia kuondoa migogoro kati ya wakulima na wafugaji, kuelimishana na kuwekeana mikakati juu ya ufugaji wa ng'ombe wachache wenye tija, malisho bora, masoko, madawa na majosho, kudhibiti wafugaji wengine wasiotii sheria na kushirikiana na Serikali katika kuhamasisha na kuendeleza ufugaji wa kisasa nchini. 
Baadhi ya wafugaji wakiwa kwenye Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Community Centre Mjini Namanyere tarehe 10.03.2013. Jumla ya wafugaji 150 walitegemewa kushiriki katika kikao hicho. Hata hivyo idadi hiyo haikutimia. 
Baadhi ya wa wafugaji na viongozi wa Wilaya ya Nkasi walioshiriki kikao hicho. 
Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Iddi Kimanta akizungumza katika kikao hicho ambapo alisema nia ya Serikali yake ni kushirikiana na umoja huo kuhakikisha Wilaya yake inajiimarisha zaidi katika ufugaji wa kisasa na kuendeleza umoja huo ambao una mipango ya kujenga ofisi kubwa na shule ya bweni kwa ajili ya watoto wa wafugaji. Hakusita kuweka wazi kuwa  Serikali yake ya Wilaya haitowavumilia wafugaji waliovamia maeneo ya hifadhi (Game Reserves) na kwamba wanatakiwa waondoke mara moja kabla Serikali haijaanza msako wa kuwaondoa ambao unategemewa kuanza muda sio mrefu.
Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini Ali Kessi akizungumza ambapo alisistizia kuhusu ufugaji wa kisasa wa kupunguza mifugo kwa kufuga mifugo wachache wenye tija pamoja na kupambana na wahamiaji haramu wa mifugo. 
Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kusini Deosderius Mipata akizungumza katika kikao hicho ambapo alisemea uhifadhi wa mazingira ikiwepo utunzaji wa hifadhi ya akiba ya Lwafi Game Reserve ambayo imeshaanza kuvamiwa na wakulima na wafugaji. 
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kwela na Mwanasiasa nguli nchini Ndugu Chrissant Majiyatanga Mzindakaya akishukuru kwa niaba ya wafugaji wenzake wa Wilaya ya Nkasi katika kikao hicho. Ndugu Mzindakaya ambaye pia ni Mmiliki wa kiwanda kikubwa cha nyama Afrika ya Mashariki alielezea fursa kubwa ya masoko ambayo ipo kwa ajili ya wafugaji hao na kusisiktiza juu ya ufugaji bora kufaidi soko hilo. 
Bwana Amidi Baraka Magasha Mfugaji wa Kitalu namba 55/15 Kalambo Ranch akiwasilisha hoja yake katika kikao hicho ambapo aliiomba Serikali kushirikiana kwa karibu na wafugaji kwa ustawi wa sekta hiyo, Aliiomba Serikali na wafugaji wenzake kuweka kipaombele kwenye uhifadhi wa mazingira hususani moto.
(Na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa - rukwareview.blogspot.com)

EDWARD HIZA MHINA AIBUKA NA KITITA CHA TShs MILIONI 5,000,000 KUPITIA DStv REWARDS

$
0
0
Mshindi wa nne wa DStv Rewards Bwana Edward Hiza Mhina (katikati) akipotea hundi ya shilingi milioni tano (5,000,000/=). Kulia ni Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi na Meneja wa Fedha wa kampuni hiyo, Francis Senguji. DStv inatoa kila wiki Tshs 5,000,000 kwa wateja wake ambao watalipia malipo ya mwezi ya akaunti zao za DStv kabla ya kukatika.

Wateja wa DStv ambao wanalipia malipo ya mwezi ya akaunti zao kabla ya kukatika wanaendelea kubahatika na kuibuka washindi wa mamilioni ya pesa kila wiki. Hiyo ni kupitia droo maalumu ya DStv ambayo imepewa jina la DStv Rewards.   Mteja ambaye amebahatika kuibuka na kitita cha Tshs Milioni 5 wiki hii na hivyo kuifanya idadi ya washindi kufikia wanne ni Bw. Edward Hiza Mhina, mkazi wa Dar-es-Salaam.   Bw. Mhina anasema yeye, kwa miaka nenda rudi, amekuwa mteja wa DStv. Familia yake imekuwa ikifurahia kwa pamoja vipindi mbalimbali vinavyorushwa kupitia DStv na hivyo DStv imekuwa sehemu ya familia yao.
Edward Hiza Mhina akiwa ameshikilia mfano wa hundi ya Tshs 5,000,000 ambazo amejishindia kupitia DStv Rewards.

Ameshukuru na kufurahia kuibuka mshindi kwani ni wazi kwamba ni kitu ambacho hakukitegemea. Nilipomuuliza atazitumia vipi fedha alizozipata, Bw. Mhina alisema “Nitajadiliana na familia yangu jinsi ya kuzitumia lakini ninachojua ni kwamba kiasi fulani kitatumika kwenye kuendelea kulipia DStv na zingine tutazitoa kwenye shirika au mashirika yasiyo ya kiserikali kutegemea uamuzi wa familia” WAKATI HUO HUO: Mteja wa DStv, Togani Ngotta,ameibuka mshindi katika droo nyingine ambayo imepewa jina la Spot The Rewards Box ambapo pindi mteja akiwa anatizama televisheni na kufanikiwa kuona kibox fulani chenye nembo ya DStv, anatakiwa kutuma SMS yenye majina yake yote mawili na namba yake ya simu kwenda katika namba +27 711 745 622 ndani ya dakika tano tangu alipokiona “kibox”. Kwa ushindi huo Togani Ngotta ameshinda Subscription ya mwaka mzima (miezi 12) ya DStv.Kwa maana hiyo, Bw.John ataendelea kufaidi DStv bila malipo yoyote kwa kipindi cha mwaka mzima! Mshindi wa Shindano la Spot The Rewards Box, Togani Ngotta (katikati) akipongezwa na Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi (kulia).Anayeshuhudia kushoto ni Meneja Masoko wa MultiChoice Tanzania, Furaha Samalu.

Taarifa kwa Wadau wote wa Ngoma Africa band ! kuwa web ipo katika marekebisho

$
0
0

Waheshimiwa,
Mabibi na Mabwana,

Tunawaomba ladhi na kuwajlisha kuwa tovuti ya bendi yenu www.ngoma-africa.com inafanyiwa marekebisho machache, kwa maana hii basi kuna 
baadhi ya nyimbo hazitasikika kwa mda katika web.

Lakini mnaweza kuendelea kusikiliza at www.reverbnation.com/ngomaafricaband  pia at www.myspace.com/thengomaafrica .
Mara tuu marekibisho ya web yakikamilika tutawajulisha.
Tunawaomba ladhi kwa usumbufu huu,uliotokana na sababu za kiufundi.
Mtumishi wenu mtiifu
Ebrahim Makunja

kiongozi wa Ngoma Africa band aka FFU

ALIYEKUWA AKITAPELI WATU MTANDAONI KWA JINA LA RAFIKIELIMU AJULIKANA.

$
0
0


ALIYEKUWA  AKITAPELI  WATU  MTANDAONI  KWA  JINA  LA  RAFIKIELIMU,
AJULIKANA...Ni  Mhitimu  wa  Chuo  Kikuu  Cha  Sokoine  Morogoro  (
SUA ), Mkaazi  wa  Njombe! Zawadi   Nono  Ya  Fedha  Taslimu, Shilingi
 Laki  Tano  ( Tsh.500,000/=)  Za  Kitanzania, kutolewa  kwa  mtu
atakaye  fanikishwa  kukamatwa  kwa  tapeli  hili  la  mtandaoni.

Hatimaye  yule  tapeli  sugu  wa  mtandaoni  aliyekuwa  akiwatapeli
wananchi  mbalimbali  kwa  jina  la  RafikiElimu  akiwahadaa
kuwapatia  ajira  ajulikana .

INAPOTOKA :   Mnamo  siku  ya  tarehe  11  Machi  2013, tuliripoti
kupitia  blogu  yetu  na  katika  blogu  mbalimbali  nchini  kuhusu
kuwepo  kwa  mtu  anaye  watapeli  wananchi  fedha  kwa  kutumia  jina
 la  taasisi  yetu.  Tapeli  huyu  asiye  na  hata  chembe  ya  huruma
 kwa  masikini  wenzake, aliweka  tangazo  katika  mtandao  wa  Zoom
Tanzania, mnamo  mwanzoni  mwa  mwezi  February  2013  akitangaza
nafasi  za  kazi z a  kuvolunteer  katika  mikoa  mbali mbali  ya
Tanzania  bara. 

 Baada  ya  watu  kutuma  maombi  yao, tapeli  huyo
aliyekuwa  akijitambulisha  kwa  jina  bandia  la  EMMANUEL  ALBERT
na  kwamba  yeye  ni  HR  wa  RafikiElimu,  aliwaambia  kuwa  wamepata
 nafasi, na  kuwatumia   fomu  za  kujaza  kisha kuwataka  wamtumie
shilingi  elfu Tano ( Tshs. 5,000/=)  za  kitanzania  kwa  mpesa
kwenda  namba   0763906931  (  AMBAYO  MBAYA  ZAIDI  AMEISAJILI  KWA
JINA  LA  RAFIKIELIMU )..

Baada  ya  kumtumia  pesa , tapeli  huyo  aliwatumia  barua  na
kuwaagiza  kuripoti  kazini  katika  taasisi  mbalimbali, huku  mmoja
kati  yao  akimuagiza  aje  kuripoti  katika  ofisi  zetu.

Tulibaini  juu  ya  uwepo  wa  utapeli  huu  mara  baada  ya
kutembelewa  na  mmoja  kati  ya  wahanga  wa  utapeli  huo.   Dada
huyo  aliye jitambulisha  kwa  jina  la   HAWA  MUSSA  ambaye  ni
Muhitimu  wa  Chuo  Kikuu  Cha  Dodoma  (  2012 )  aliripoti  katika
ofisi  zetu  siku  ya  tarehe  11  Machi  2013  saa  nne  kamili
asubuhi  na  kuomba  kumuona  HR . Baada  ya  kufanya  naye
mazungumzo  ndipo  tulipo  baini  kuwepo  kwa  utapeli  unao  fanyika
kwa  jina  la  taasisi  yetu. Haraka  haraka  tukaenda  kuripoti
uhalifu  huu  kwenye  kituo  kidogo  cha  polisi  cha  Chuo  Kikuu
Cha  Dar  Es salaam, na  kukabidhiwa  RB namba   UD/RB/849/2013  WIZI
KWA  NJIA  YA  MTANDAO.






Mara  baada  ya  kupata  RB  moja  kwa  moja  tulipost    taarifa   ya
 kuwatahadharisha  wananchi  juu  ya  uwepo  wa  mtu  anaye  tapeli
watu  kwa  kutumia  jina  la  taasisi  yetu,  huku  tukiwaachia
polisi  na  kazi  ya  uchunguzi  wa  tukio  hili  la  uhalifu.  Wakati
 polisi  wakiwa  bado  wanaendelea  na  uchunguzi, siku  ya  Jumatatu
ya  jana,  tarehe  11  Machi  2013  saa  sita  kamili  asubuhi,
tulipokea  simu  kutoka  kwa  mwakilishi  wetu  wa  Mwanza, Dada
HADIJA  SEJA  akiomba  tumpe  namba  za  " MR. EMMANUEL  ALBERT "  (
HR  wa  RafikiElimu   Foundation  ).. Kwa  kuwa  tayari  tulikuwa  na
taarifa  za  jina  hilo, tulimuomba  dada   Hadija  Seja  atutaarifu
kitu  gani  kimetokea. Dada  Hadija  alitupa  taarifa  ya  kusikitisha
 sana, kwamba  kuna  mtu  mmoja  aliyemtaja  kwa  jina  moja tu  la
Gerlad  kutoka  Arusha, amewasili  jijini  Mwanza  kuripoti  katika
ofisi  za  taasisi  ya  RESTLESS  DEVELOPMENT  kwa  ajili  ya  kuanza
kazi. Mtu  huyo  naye  ni  muhanga  wa  tapeli  huyu, na  baada  ya
kumtumia  tapeli  huyo  sh. elfu  tano, tapeli  alimuagiza  aende
kuripoti  jijini   Mwanza  katika  ofisi  za  RESTLESS  DEVELOPMENT (
mabazo  kimsingi  hazipo  Mwanza  ).  Can  You  imagine, huu  ni
unyama  wa  kiwango  gani, kumfanyia  masikini  mwenzako  ushenzi
kama  huo?.


Baada  ya  kupata  taarifa  hii, moja  kwa  moja  tukaamua  sisi
wenyewe  kama  taasisi  kwenda  katika  ofisi  za  VODACOM  makao
makuu  zilizopo  Mlimani  City  ili  kuweza  kumbaini  mtu  anaye
fanya  unyama  huu...

Tunashukuru  sana  Mungu, Vodacom  walitupa  ushirikiano  wa
kutosha..  Kutoka   kwenye  database  za  Vodacom, tuligundua  kwamba,
mtumiaji  wa    0763906931  anaishi  Njombe.  Namba  hii  imesajiliwa
MPESA  tarehe  02  February  2013, hakusajili  kwa  kitambulisho
chake  halisi, bali  kwa  barua  kutoka  kwa   Mwenyekiti  wa
Serikali  za  Mitaa.  Alisajili  akiwa  NJOMBE  na  alipokea  simu
nyingi  sana.  Zaidi  ya  watu  kumi  waliingia  katika  mkenge  wake
na  kumtumia  hizo  shilingi  Elfu  Tano.





Mwanzoni  alikuwa  ana toa  hela  zake  kwa  wakala  ambaye
alisajilia  namba  hii, lakini  baadaye  alisafiri  na  kwenda
tarafa  nyingine  hivyo  basi  kushindwa  kutoa  hela  kwa  sababu
namba  ameisajili  kwa  jina  ambalo  sio  lake. Hivyo  basi  ili
kuweza  kutoa  pesa  ilimbidi, ajihamishie  salio  kutoka  katika
namba  076390631  kwenda  kwenye  namba  yake  halisi  ambayo  ni
0765283703. Hapo  ndipo  tulipo  weza  kumbaini  tapeli  huyu.

Jina  la  huyu  mtu  anaitwa  HASHIM  MKANE  na  namba  yake  halisi
ni  0765283703.  Ni  mkaazi  wa  Njombe  na  amehitimu  Chuo  Kikuu
Cha  Sokoine  ( SUA ) .   Aliwahi  kuomba  nafasi  ya  uwakala  wa
RafikiElimu  katika  wilaya  ya Njombe,  mwezi  Agosti  2012.








Baada  ya  kupata  taarifa  hizi  tuliamua  kutafuta  mbinu  za
kumkamata  kirahisi,ambapo  tulimtumia  barua  pepe, jana  jioni
kisha  ujumbe  mfupi  wa  maneno  ( SMS )  tukimwambia  aje  Dar  Es
salaam  kuhudhuria  semina  ya  siku  tano  ya  mawakala  wa
RafikiElimu ( Tukamtajia  na  malipo  ). Nadhani  alistukia  kwamba
huenda  ameshajulikana, akatuma  ujumbe  mfupi  wa  maneno  uliosomeka
:

 "   Nashukuru  kwa  taarifa  hii  ingawa  nitashindwa    kuhudhuria
kwa  kuwa  taarifa   imechelewa    kufika na  ukichukulia  mimi  ni
mwajiliwa  wa  taasisi  binafsi  hivyo  kuweza  kupata  ruhusa  kwa
siku  moja    au  mbili  ilihali  tunafanya  evaluation  ya  mradi  ni
 ngumu. natumai  kuhudhuria  semina  nyingine  kama  mtaiandaa  "

















Hapa  tukajua  jamaa  ameshastukia  mchezo  na  uwezekano  wa
kumkamata  kwa  njia  hiyo  usingekuwa  rahisi. Hivyo  basi  tumeamua
kuweka    taarifa  hii  mtandaoni  pamoja  na  picha  za  mtuhumiwa
huyu, ili  kwa  yoyote  yule  atakaye  fanikisha  kukamatwa  kwa
mtuhumiwa  huyu  aweze  kupewa   zawadi  nono  ya  shilingi  Laki
Tano  za  kitanzania .  Taarifa  nyingine  zitatumwa  kwenye  magazeti
 na  televisheni  ili  iwe  rahisi  kusambaza  ujumbe  kwa  watanzania
 wengi  na  hivyo  kurahisisha  kutiwa  hatiani  kwa  dhalimu  huyu .
Tafadhali  upatapo  ujumbe  huu, wafahamishe  na  ndugu  jamaa  na
marafiki  zako  woote...

UKIMUONA  MTU  HUYU, TOA  TAARIFA  KATIKA  KITUO  CHOCHOTE  CHA
POLISI  KILICHO  KARIBU  NAWE , KISHA  WASILIANA  NASI  KWA SIMU
0782405936. NA  ENDAPO  TAARIFA  YAKO  ITASAIDIA  KUKAMATWA  KWA
TAPELI HUYU, TUTAKUPATIA   ZAWADI  YA  FEDHA  TASLIMU  ZA  KITANZANIA
SHILINGI  LAKI  TANO ( Tsh. 500,000/ =)..

(  KWA  TAMAA  YA  PESA  KIDOGO,  AMEJIDHALILISHA, AMEDHALILISHA
TAALUMA  YAKE, AMEDHALILISHA  CHUO  CHAKE, AMEWADHALILISHA  WAZAZI,
WAKE, NDUGU , JAMAA  NA  MARAFIKI  ZAKE, KWELI  WAHENGA  WALISEMA
TAMAA  ILIMPONZA  FISI  NA   MCHUMA  JANGA , HUCHUMA  NA  WA KWA

Chinese Business Chamber Conference Meeting of ‘security and investment’ in Tanzania

$
0
0
Chief of Economic and Commercial Relations of Republic of China in Tanzania, Lin Zhiyong (left) welcomes the Deputy Commissioner of Police and Commander of Dar es Salaam Special Police Zone, Suleiman Kova, to the Chinese Business Chamber Conference Meeting of ‘security and investment’ in Tanzania, which was sponsored by Stanbic bank Tanzania. Sited is the Tanzania Investment Center (TIC) Chief Executive Officer Mr Raymond Mbilinyi. Among the issues discussed included security and the proper procedures to follow before investing in Tanzania. The meeting took place at the weekend. Photo by correspondent.

Airtel yamzawadia mkazi wa Rufiji millioni 15 kupitia promosheni ya Amka millionea

$
0
0
Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando (kulia) akimkabithi mshindi wa mwenzi January wa promosheni ya Amka millionea  bi Agnes Hassan Chakame mfano wa hundi ya shilingi million 15 baada ya kuibuka mshindi wa promosheni ya Amka millionea na Airtel na kujishindia kitita cha shilingi million 15. Agnes ni Mkulima na mkazi wa Rufiji mkoa wa pwani. Akishuhudia ni Afisa uhusiano wa Airtel Jane Matinde
Afisa uhusiano wa Airtel Jane Matinde akimkabithi mshindi wa mwenzi January wa promosheni ya Amka millionea bi Agnes Hassan Chakame mfano wa hundi ya shilingi million 15 mara baada kuamka mshindi wa promosheni ya Amka millionea na Airtel na kujishindia kitita cha shilingi million 15. Agnes ni Mkulima na mkazi wa Rufiji mkoa wa pwani. Promosheni ya Amka millionea bado inaendelea ili kujiunga andika neno SHINDA AU MILLIONEA kwenda namba 15595.
Mshindi wa mwenzi January wa promosheni ya Amka millionea bi Agnes Hassan Chakame akionyesha  mfano wa hundi ya shilingi million 15 mara baada kuamka mshindi wa promosheni ya Amka millionea na Airtel na kujishindia kitita cha shilingi million 15. Agnes ni Mkulima na mkazi wa Rufiji mkoa wa pwani.

PRESIDENT KIKWETE OPENS THE THE AFRICAN CONFERENCE ON THE STRATEGIC IMPORTANCE OF INTELLECTUAL PROPERTY (IP) POLICIES TO FOSTER INNOVATION, VALUE CREATION AND COMPETITIVENESS TODAY IN DAR ES SALAAM

$
0
0
President Dr Jakaya Mrisho Kikwete chats with Dr. Francis Gurry, Director General of the World Intellectual Property Organization (WIPO) moments before opening the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.
A standing ovation as President Dr Jakaya Mrisho Kikwete arrives for the opening the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.
opening the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.
Dr. Francis Gurry, Director General of the World Intellectual Property Organization (WIPO), speaks at the opening of the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.
Hon. Dr. Abdallah Kigoda, Minister for Industry and Trade, invites President Kikwete to address the gathering
President Dr Jakaya Mrisho Kikwete opens the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.
A cross section of participants to the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.
 President Dr Jakaya Mrisho Kikwete visits different stalls displaying various handicrafts by Tanzanian entrepreneurs  after  opening the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.

 President Dr Jakaya Mrisho Kikwete greets participants from Ethiopia after  opening the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.
 "....OK I will have this one
 "....So, this is how banana wine looks like

Dr. Francis Gurry, Director General of the World Intellectual Property Organization (WIPO), meets with Eng. George Mulamula, the CEO of the Dar Teknohama (ICT) Business Incubator (DTBi) and Ambassador Liberata Mulamula, Senior Adviser to the President (Diplomatic Affairs) after  the opening of the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.
President Dr Jakaya Mrisho Kikwete poses with Ministers and heads of delegations  after  opening the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness at the Hyatt Regency Kilimanjaro hotel in Dar es salaam today March 12, 2013.


Some twenty African ministers, senior policy makers and enterpreneurs joined President Jakaya Kikwete of the United Republic of Tanzania and WIPO Director General Francis Gurry at the opening of a two-day conference in Dar es Salaam to discuss the role of intellectual property (IP) in stimulating innovation and development.  The conference, organized by WIPO and the Japan Patent Office in cooperation with the Government of the United Republic of Tanzania, is also addressing the importance of innovation in dealing with some of today’s most pressing global challenges, such as public health, food security and climate change.

Speaking at the opening of the Conference, Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete said proper use of intellectual property can contribute to economic development and the eradication of poverty in African countries.  He said “IP policies should be integrated with development policies.” The President appealed to development partners “to explore the possibilities of increasing support to African countries in IP issues.”  He stressed “IP issues should be regarded as development issues. They should not be dealt with in isolation.”

“Africa has a great tradition of innovation and creativity,” Mr. Gurry said in opening the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property (IP) Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness. “And innovation is a central driver of economic growth, development and better jobs. It is the key for firms to compete successfully in the global marketplace.”

Mr. Gurry added that “intellectual property is an indispensable mechanism for translating knowledge into commercial assets – IP rights create a secure environment for investment in innovation and provide a legal framework for trading in intellectual assets.” He noted that investment in knowledge creation, and the maintenance of a robust and balanced IP system, should feature prominently in any strategy to ensure sustainable economic growth, and pledged the Organization’s commitment in assisting countries to develop national innovation strategies. 

Mr. Toshihiro Kose, Director General, Trademark, Design and Administrative Affairs Department, Japan Patent Office, Ministry of Economy, Trade and Industry, said “Japan is fully committed to supporting the development of Africa’s IP systems through its funds-in-trust for Africa and LDCs program that is managed by WIPO.”  Mr. Kose stressed that “effective IP systems stimulate innovation.”  He pointed out that this conference is the largest organized this fiscal year through its funds-in-trust program, adding, “I hope it will be a successful occasion to foster a better environment for accelerating protection and utilization of IP in Africa.”

The conference brings together ministers responsible for IP related matters, ministers for science and technology, heads of IP offices, as well as representatives of research and development (R&D) institutions and innovation centers, entrepreneurs from small and medium sized enterprises (SMEs), major industrial companies operating in Africa, regional economic communities and regional financial institutions to discuss a wide-ranging agenda on how the continent can best capitalize on IP for promoting innovation.

The main topics that will be covered during the conference are:
  • Innovation policies and strategies;
  • Use of existing knowledge and information to promote innovation and technology transfer (including patent databases, technology and innovation support center (TISC), Patentscope, WIPO Re:Search, etc), along with appropriate innovation research training, tools and techniques, to find solutions to problems to today’s most pressing policy challenges;
  • Use of the IP system to promote and capture innovation in Africa and identify the common elements of an effective innovation policy and the IP elements that should be integrated into such a policy.
Ministers and senior officials taking part in the conference will remain in Dar es Salaam to participate in a meeting jointly organized by WIPO and the United Nation’s Economic and Social Council (ECOSOC) on March 14, 2013.  ECOSOC’s Annual Ministerial Review (AMR): Regional Preparatory Meeting for Africa will help determine Africa’s contribution to the annual Ministerial ECOSOC meeting which will take place in July 2013 in Geneva. The meeting will address the role of science, technology and innovation in achieving the development goals of the Africa.

About WIPO
The World Intellectual Property Organization (WIPO) is the leading global forum for the promotion of intellectual property as a force for innovation and creativity to achieve positive change.
A specialized agency of the United Nations, WIPO assists its 185 member states in developing a balanced international IP legal framework to meet society’s evolving needs. It provides business services for obtaining IP rights in multiple countries and resolving disputes. It delivers capacity-building programs to help developing countries benefit from using IP. And it provides free access to unique knowledge banks of IP information.



SPEECH BY H.E. DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA,  AT  THE OPENING OF THE AFRICAN CONFERENCE ON THE STRATEGIC IMPORTANCE OF INTELLECTUAL PROPERTY (IP) POLICIES TO FOSTER INNOVATION, VALUE CREATION AND COMPETITIVENESS, ON 12 MARCH 2013, KILIMANJARO HYATT REGENCY HOTEL, DAR ES SALAAM,


Honourable Dr. Abdallah Kigoda, Minister for Industry and Trade;

Mr. Bruno Jean Richard Ihua, Chairman African Ministers Council on Science and Technology;

Honourable Ministers and Heads of delegation;

Dr. Francis Gurry, Director General of the World Intellectual Property Organization (WIPO);

Mr. Elberic Kacou, UN Resident Coordinator;

H.E. Masaki Okada, Ambassador of Japan to Tanzania;

Mr. Toshihiro Kose, Director General, Trademark, Design and Administration Affairs Department, Japan Patent Office,

Your Excellencies, Ambassadors and Members of the Diplomatic Corps;

Invited guests;

Distinguished participants;                                                                             

Ladies and Gentlemen:


            I thank you Dr. Francis Gurry, the Director General of WIPO, and your entire team for associating me with this all important African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness. I sincerely, thank you for choosing my dear country, Tanzania, to host this Conference. You have made us proud.  We will always remain grateful for affording us this rare honour and privilege.

           I also thank all the participants who have travelled many miles to come to Dar es Salaam to participate at this Conference. I welcome you all to Tanzania and Dar es Salaam in particular.  I believe you have been received well. Please feel at home and enjoy the traditional Tanzanian hospitality.   Your presence here is a clear testimony of your realisation of the strategic importance of intellectual property (IP) to Africa’s development.

Ladies and Gentlemen;                                                                                     

It is a statement of fact that leveraging and protecting Intellectual Property (IP) such as patents, copyrights and other similar forms is a key factor of promoting socio-economic growth and development of nations. It encourages innovation, invention and development of new technologies.  It promotes both domestic and foreign investment, facilitates technology transfer and increases agricultural and industrial production. 

It is an imperative, therefore, that countries must put in place effective IP policies and related laws. Developed countries have fully apprehended the dynamics of intellectual property in inevitably driving developments in their respective countries and in the global arena. Fortunately, many developing countries are increasingly becoming aware of the importance of IP in their development endeavours and are taking appropriate measures in this regard.

I am aware of the arguments from some corners that Intellectual Property may not be as beneficial to developing countries because it limits technology transfer through imitation. I know, also, the assertion that IP increases the prices of medicine, agricultural inputs and many other things.  However, true this may be, embracing IP policies and measures is comparatively, far more beneficial to the overall growth of nations and economies than doing otherwise.  Putting in place appropriate IP policies and measures are critical factors in promoting innovation and competitiveness which play key role in economic growth and sustainable development.

It is for this reason that many African countries have been taking serious steps to embrace, anchor and nurture IP. In recent times IP issues have been assuming centre stage in nations development strategies.   On the whole, the level of commitment by African countries is increasing and accordingly, the support of international community has been forthcoming. The challenge before us is that of lack of adequate experts and institutional capacity to develop effective policies and related laws.

Distinguished participants;

Just like many other African countries, Tanzania is also aware of the benefits and role that intellectual property can play for accelerating the socio-economic development of our country. We know, for sure, that effective and strategic use of intellectual property has assisted many countries across the globe to attain rapid economic development. It has also assisted people in those countries to be creative and innovative, hence became economically competitive. 

Aware of these realities, since 1983 we have intensified our collaboration with WIPO for the purpose of realising the benefits of intellectual property. We have established the Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) with the mandate to administer industrial property laws in the country.  We have also established the Copyright Society of Tanzania (COSOTA) which deals with copyright issues. The two institutions are doing a good job but there is a lot more work to do ahead of them.

We have already formulated our National IP Strategy and we are now in the process of formulating the National IP Policy. WIPO has been very instrumental in the modest achievements we have made todate.  I would like to seize this opportunity to thank the Director General of WIPO for the invaluable financial and technical support extended to us in this regard. Thank you for walking with us in every step we have been taking.  It has made a huge difference.  I trust that the existing cooperation will be sustained and strengthened.

Ladies and Gentlemen;

We know for sure, that once the IP policy is in place and fully implemented, it will assist producers of industrial and agricultural products to compete effectively in the local, regional and global market place. We are fully aware that when products are identified with trade marks to distinguish them from similar products of competitors, they become more competitive in the market.  The example of Ethiopian coffee farmers who have branded their coffee beans and are now reaping premium price for their products gives us inspiration. I am happy to note that WIPO is assisting Tanzania to develop a branding strategy for our distinctive agricultural products.

Apart from industrial and agro products, the IP policy will also support the growth of Creative or Copyright Based Industry in the country. At the moment the industry is growing fast and employs a large segment of the population, particularly our youths.  It has a huge capacity and potential to employ many more in future.  So far the Copyright Society of Tanzania has registered a large number of artists’ and literary work and continues to work tirelessly to curb piracy. We know, however, with an effective IP policy, we can do more, we can do better.  Short of that, stakeholders will be discouraged and it will be a daunting task to cultivate a credible and attractive creative industry.

Ladies and Gentlemen;

As I alluded to earlier, one of the major challenges that many African countries are facing is lack of a critical mass of experts to formulate and enforce effective IP policies and related laws. We, in Tanzania are also facing the same challenge, but have decided to deal with it.  I am happy to say that, the University of Dar es Salaam in collaboration with BRELA and the African Regional Industrial Property Organisation (ARIPO) will soon sign an MoU to launch a masters degree program in IP. This will definitely help in easing and ultimately, eliminate the shortage of experts in the field of IP. 

I would like to take this opportunity to once again congratulate and commend the University of Dar es Salaam, BRELA and ARIPO for the wise and visionary decision to address this important matter. I sincerely, hope that WIPO will extend the necessary support to this initiative and help make it a success.

Ladies and Gentlemen;

 Let me restate that, I have no doubt in my mind that properly anchoring use of intellectual property can contribute immensely to socio-economic development and eradication of poverty in our nations.  Appropriate IP policies and laws coupled with an effective education system, availability of financial resources to pursue technological development and the presence of a network of supporting institutions and legal structures will deliver the desired results and benefits. Because many African countries are lagging behind, there is need to find ways of assisting them in building the capacity to formulate and implement IP policies and measures.  The assistance should go beyond IP policies and embrace other related matters and sectors. In other words, IP policies should be integrated with development policies.  May I use this opportunity to appeal to our development partners to explore the possibilities of increasing support to African countries in IP related issues. IP should be regarded as an integral part of the development issues they are engaged with. They should not be looked differently and dealt with in isolation.

Ladies and Gentlemen;

Before I conclude my speech, it would be remiss of me if I concluded my remarks without recognising and commending the African Regional Industrial Property Organisation (ARIPO) and the African Intellectual Property Organisation (AIPO) for the good work they have doing on the continent. These two regional organisations have been doing a wonderful job in creating awareness of IP matters in Africa despite limited resources and other constraints. I appeal to Member States to ensure that these two gallant organisations are well supported so as to be able to continue to do the good job they are doing. I would like to pledge Tanzania’s support.  We look forward to strengthening our cooperation with these important organisations. I call upon the international community and regional organisations to enhance their support in order to strengthen these organisations and make them more responsive to Africa’s special needs.

Ladies and Gentlemen;

After these many words, I now have the honour and privilege to declare the African Conference on the Strategic Importance of Intellectual Property Policies to Foster Innovation, Value Creation and Competitiveness officially opened. I wish you every success and fruitful deliberations.

                              I thank you for your kind attention.



                                            




Sipho Makhabane kutumbuiza Pasaka Dar

$
0
0
BAADA ya mwaka jana mwimbaji mahiri Rebecca Malope wa Afrika Kusini kutumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka jijini Dar es Salaam, mwaka huu ni zamu yam kali mwingine kutoka nchini humo Sipho Makhabane.

Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, ilieleza kuwa raia huyo wa Afrika Kusini amethibitisha atakuja kutumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka Machi 31 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

“Ni mafanikio mengine kwa tamasha la mwaka huu, mwaka jana tulifanikiwa kumpata Malope, mwaka huu tumepiga hatua nyingine ya kumleta Sipho,” ilisema taarifa ya lisema Mwenyekiti wa kamati hiyo, Alex Msama. Kuthibitisha kushiriki tamasha hilo kwa msanii huyo kunafanya idadi ya wasanii kutoka nje ya Tanzania watakaokuja kutumbuiza hadi sasa kufikia wane.

Wasanii wengine wa nje ya Tanzania ambao tayari wamethibitisha kushiriki tamasha hili ni , Ephraim Sekeleti wa Zambia na Solomon Mukubwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) anayeishi Kenya na kwaya ya Ambassadors of Christ ya Kigali Rwanda inayotamba na albamu ya Mtegemee Yesu. Wasanii wa Tanzania waliothibitisha hadi sasa ni Rose Muhando, Upendo Nkone na John Lissu.

“Ni msanii mwenye uwezo mkubwa na aliyejijengea jina, hivyo ujio wake ni jambo la kufurahia,” ilisema taarifa hiyo na kuongeza kuwa msanii huyo amekuwa akipata mafanikio katika muziki wa Injili  karibu kila mwaka.

Baadhi ya nyimbo zake ni Moya Wami, Indonga, Akukhalwa, Over&Over, Nguy’zolo, Yizwa Nkosiseju, Hlalanami Nkosi Jesu, Yek’intokozo, Injabulo, Hlalanami Jesu, Makadunyiswe, Vuka Mphemlo, Mphefumlo na Moya Wami.Wasanii wa Tanzania ambao watashiriki tamasha hilo mwaka huu ni Rose Muhando, John Lissu, Upendo Nkone, kwaya ya Kinondoni Revival na kundi la Glorious Celebration.

Tamasha la Pasaka litafanyika Dar es Salaam Machi 31 na  litaendelea Aprili mosi kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya, wakati Aprili 3 ni Uwanja wa Samora Iringa na Aprili 6 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na siku inayofuata itakuwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.


MICHUANO YA NSSF:tsn yainyuka free media 5-0

$
0
0
 Mchezaji wa timu ya TSN, Sodi Ahmed (kulia) akimramba chenga Abdallah Fundi, wa timu ya Free Media, wakati wa mchezo wa michuano ya Kombe la NSSF 2013, uliochezwa leo asubuhi kwenye Uwanja wa TCC Chang'ombe jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo timu ya TSN imeibuka na ushindi wa mabao 5-0, mabao hayo yakiwekwa kimiani na wachezaji, Rashid Kagusa, aliyesalimia nyavu mara tatu, Evance Samwel, aliyefunga bao 1 na Said Kabasha, aliyetupia bao 1.
 Beki wa TSN, Sufianimafoto (kushoto) akichuana kuwania mpira na mshambuliaji wa Free Medi, saleh Ally, wakati wa mchezo huo.
 Mshambuliaji wa Free Media, Saleh Ally (katikati) akijaribu kuwatoka mabeki wa TSN, wakati wa mchezo huo.
 Kiungo wa TSn, Rashd Kagusa, akimhadaa mchezaji wa Free Media.
 Mchezaji wa Tsn Sudi Ahmed (kulia) akichuana kuwania mpira na mchezaji wa Free Media wakati wa mchezo huo.
 Mchezaji wa Tsn, Sudi Ahmed ( wa pili kushoto) akichuana kuwania mpira na mchezaji wa Free Media, John Dande, wakati wa mchezo huo.
 Beki wa Tsn, Sufianimafoto, akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Free Medi. 
 Saleh Ally wa Free Medi (kushoto) akiwania mpira na Sufianimafoto.
 Mchezaji wa Tsn, Jemedari Said (katikati) akiwania mpira na mchezaji wa Free Media, Suleiman Jumbe.
 Sufianimafoto, akimzunguka John Dande.......
 Kikosi cha timu ya TSN.
Kikosi cha timu ya Free Media.

waandishi wa habari watakiwa kufanya utafiti wa kina katika habari wanazoziandika.

$
0
0

Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar

Meneja wa Baraza la Habari kanda ya Zanzibar Sleiman Seif Omar ( Bin Seif) amewataka waandishi wa habari kufanya utafiti wa kina katika habari wanazoziandika kama zina ukweli na uhakika.

Hayo aliyasema jana  wakati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali katika ukumbi wa Mansoon Hotel Vuga .Alisema  waandishi wa habari wanapokuwa kazini wawe makini kuandika habari zinazozingatia maadili yote ya habari ikiwemo ukweli na uhakika.

Alisema kuandika habari kwa kuzingatia vigezo hivyo kunamuwezesha mwandishi kuwa muadilifu na kujiamini katika kazi yake. Alisema Baraza la Habari Tanzania kazi yake ni kushajihisha waandishi wa habari na kuiwapa muongozo jinsi wa utafutaji wa habari na kuziandika  vyema ili ziwafikie wananchi wa  taifa hilo .

“Kila mtu ana haki ya kupata habari ila habari hizo ziwe za ukweli na uhakika hivyo mwandishi nalazimika kuzifanyia utafiti wa kina habari anazozipata kabla ya kuziwasilisha kwa wananchi kupitia chombo cha habari”. Alisisitiza Bin Seif.

Meneja huyo aliwaambia waandishi wa habari wawe watafiti wa habari na matukio ili kuziwasilisha kwa wananchi kama tukio hilo lilivyotokea. Nae mwandishi wa BBC Ali Saleh (Alibato ) alisema kuwa waandishi wa habari wanatakiwa kujifunza zaidi ili kuepukana na makosa ambayo hayastahiki kujitokeza na kuitia aibu fani hiyo.

“Habari zipo lakini waandishi wa habari hakuna kutokazana na kutoweza kujifunza kusoma makala, vitabu pamoja kutosikiliza habari mbali mbali za ndani na nje ya nchi”. Alisema Ali Saleh.

Nao waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo walisema hakuna uhuru wa kutosha katika kutoa habari jambo ambalo linawajengea hofu na kutokujiamini katika kazi zao .

Mkutano huo wa  siku moja kwa  Waandishi wa Habari umeandaliwa na Baraza la Habari Tanzania  (MCT) ambao umebeba mada Haki ya Kupata Habari

SIMON MSUVA KUTOKA 'KUDANSI'THT HADI KUWAKIMBIZA MABEKI KATIKA SOKA

$
0
0
 Na www.sufianimafoto.com
KAMA hujawahi kupata fulsa ya kumuona na unasikia tu jina na mambo afanyao uwanjani, huwezi kudhani kama anayetajwa ni mtu mwenye mwili usioendana na mambo makubwa afanyayo ndani ya dimba. 

Ni kijana mdogo, mwembamba, mfupi, mwenye sura yenye haiba ya aibu wakati mwingi na asiye na maneno mengi ya kuzungumza katika kadamnasi lakini nyuma yake kuna vitu vingi vilivyojificha.

Huyu ni winga machachari na mwenye kasi wa Dar Young Africans, Simon Msuva, ambaye amejiunga na timu hiyo msimu huu akitokea Moro United ambayo sasa ipo Ligi Daraja la Kwanza baada ya kushika daraja msimu uliopita ambako pia ina hali mbaya.

Msuva anayefanana kiuchezaji na Mrisho Ngassa, anasifika kwa uwezo wa kupiga chenga, kukimbia na mpira na kupiga krosi kali zenye madhara kwa timu pinzani japokuwa kuna wakati hujisahau na kutaka kufunga mwenyewe hata akiwa eneo gumu kufanya hivyo.

KUTOKA DANSA HADI SOKA:-

Msuva kama ilivyo kwa vijana wengine wanaoweza kujaribu maisha kupitia fani mbalimbali, mwaka 2004 hadi 2005, alikuwa akishiriki kucheza muziki katika kundi la Tanzania House of Talent (THT) akiwa kama mwanafunzi wa 'kudansi'.

Lengo la Msuva lilikuwa kutazama labda angeweza kufikia mafanikio ya maisha yake kupitia muziki na siyo kwa kuimba wala kutunga nyimbo, bali kucheza muziki na hii ni kutokana na kupenda zaidi muziki na kuwa na marafiki wengi walio wanamuziki na zaidi wale wa kudansi.

“Nilidhani kazi ya kucheza muziki ingeweza kunisaidia kunitoa na kufikia malengo yangu, lakini mambo hayakuwa hivyo kwani baada ya muda mfupi tu nikiwa najaribu kushiriki na rafiki zangu wa THT, nikaona kucheza muziki kunaweza kunichukulia muda mwingi kabla ya kupata mafanikio katika maisha,” anasema Msuva.

Baadhi ya vijana ambao Msuva alikuwa akicheza nao muziki THT ni Msami na Malenga ambao anadai walikuwa rafiki zake wa damu wakiwa katika kundi hilo na wote walikuwa na malengo ya kufika mbali kupitia muziki.

AJIKITA UWANJANI:-
Kutokana na kuwa Vipaji viwili na vyote akiamini kuvimudu vilivyo, Mwaka 2006, Msuva alijiunga na timu ya mchangani inayojihusisha na ukuzaji wa vipaji vya vijana wadogo ijulikanayo kwa jina la Wakati Ujao, ambayo aliichezea hadi mwaka 2007 alipojiunga na timu ya Academy.

 Akicheza kama mshambuliaji wa kati na wakati mwingine winga, Msuva aliichezea Academy hadi mwaka 2008, alipojiunga na timu ya kukuza vipaji vya vijana ya Azam ambayo aliichezea kwa mafanikio makubwa.

Ndoto zake za kucheza soka nusura zifikie ukingoni baada ya timu hiyo ya Azam kuvunjika mwaka 2008 mwishoni, jambo lililomfanya Msuva kurejea katika kituo cha Academy kuendelea kujifunza soka.



ANG’ARA COPA COCA COLA:-

Akizungumza na mtandao huu wa www.sufianimafoto.com, baada ya kufanya vizuri akiwa na kikosi cha Academy, mwaka 2009 na 2010, Msuva alichaguliwa kucheza michuano ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 ya Copa Coca Cola, na kupata nafasi ya kuitwa katika timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17.

Akiwa na timu hiyo ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys, Msuva alijiunga na vijana wenzake kuelekea katika mechi ya timu hiyo iliyochezwa Sudan.

ATUA MORO UNITED:-
Baada tu ya kurejea nchini Uwezo, juhudi na kufuata vyema maelekezo ya mwalimu na kuweza kuwika dimbani kwa Msuva akiwa na Serengeti Boys, kulimfanya kinda huyo kuonekana na kuvutiwa na Klabu ya Moro United, waliomsajili katika kikosi chao cha vijana mwaka 2010.

Akiwa Moro United, Msuva alifanya vizuri kiasi cha kuibuka mfungaji bora wa michuano ya vijana wa timu za Ligi Kuu ya Bara maarufu kama Uhai Cup, inayofanyika kila mwaka kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.

Baada ya kuibuka mfungaji bora katika Kombe la Uhai, Msuva alipandishwa hadi kikosi cha kwanza cha Moro United japokuwa hakuwa akipata nafasi mara kwa mara.

ARUDI AZAM:-
Akiendelea kufanya vizuri akiwa dimbani, Mwaka 2011, Msuva alihama Moro United na kuerejea Azam ambako alipelekwa kikosi B huku akiwa na nafasi ya kucheza Ligi Kuu ya Bara. Hata hivyo, pamoja na kurejeshwa katika kikosi cha Azam, Msuva anakiri kuwa yeye alikuwa ni miongoni mwa vijana wa akiba, mpango wa baadaye wa timu hiyo hivyo hakuweza kupewa nafasi katika kikosi cha kwanza.

“Azam walinisajili hadi katika ligi kuu, lakini hawakuweza kunichezesha mechi za ligi kwa kuwa mimi nilikuwa mmoja wa wachezaji waliopanga kuwatumia siku za baadaye baada ya kupata uzoefu zaidi.

“Lengo lao lilikuwa mimi nianze kucheza kuanzia labda mwaka 2014, kwa kuwa umri wangu uliruhusu kuweza kusubiri huku nikiendelea kupata uzoefu kutoka kwa wachezaji wengine wa timu kubwa,” anasema Msuva.

Mwaka jana Msuva alirejea tena Moro United kabla ya kusajiliwa na Yanga mwaka huohuo.

ANAPENDA KUCHEZA NA TEGETE, ANAMKUBALI BARNABA THT:-
Huku akisuasua, Msuva anasema anapenda zaidi kucheza sambamba na mshambuliaji Jerry Tegete, japokuwa anapenda kucheza na washambuliaji wote wa Yanga katika kikosi cha kwanza, sababu kubwa ikiwa ni ujanja wa Tegete awapo katika lango la timu pinzani.

“Washambuliaji wa Yanga wote naona ni wazuri kucheza nao, lakini Tegete ni mjanja zaidi mnapokuwa mnashambulia kwa kuwa ana uwezo wa kucheza mipira inayodharauliwa na adui zetun na pia kucheza mahala ambapo huamini kuwa angeweza kucheza.

“Unaweza kupiga mpira ukadhani (Tegete) hayupo eneo hilo, lakini ghafla unaweza kumuona ameshafika na kuucheza mpira, japoa hana speed kali lakini ni mjanja wa kujipozisheni tu. Pia ni mfungaji mzuri wa mabao ya vichwa,” anasema Msuva.
Kwa upande wa muziki, Msuva anamkubali zaidi Elius Barnaba ambaye naye ni zao la THT kama alivyo yeye. Anapenda jinsi anavyojituma kimuziki kutunga, kuimba na namna anavyoweza kuwasaidia wenzake.

“Namkubali sana Barnaba maana anajituma ipasavyo katika muziki wake na kazi zake nyingi ni nzuri na za kupendeza, yeye ni mfano mzuri kwa vijana wote ambao tunatafuta maisha kupitia sanaa na utamaduni,” anasema Msuva.

HAJAWASAHAU WASHKAJI ZAKE THT:-
Tofauti na mastaa wengine ambao husahau mahali walipotokea, Msuva mara kadhaa amekuwa akiwatembelea rafiki zake wa THT ambao alishirikiana nao katika kucheza muziki na hupiga nao stori kama kawaida.

“Siwezi kusahau nilipotoka, mara nyingi huwa naenda THT na kuzungumza mambo mbalimbali na rafiki zangu ambao wamebaki pale. Hakika ni kitu ninachojivunia siku hadi siku na naamini wao ni sehemu ya mafanikio yangu katika soka,” anasema Msuva.

Msuva anasema, akiwa THT hukutana na kuzungumza na wasanii wote hata wale ambao sasa hawapo kama Barnaba ambaye anakubali kazi zake na kupeana changamoto mbalimbali za kimaisha.

HAPENDI MARAFIKI WANASOKA:-

Unaweza kumuona ni mtu wa ajabu lakini ndivyo ilivyo hata kwa wanasoka wakubwa duniani, Msuva hapendi kujenga urafiki mkubwa na wachezaji wenzake kwa kuwa muda mwingi atakuwa akifikiria zaidi soka pekee na kupoteza mambo mengine katika jamii.

“Niliwahi kushauriwa na 'Kaka yangu' Mtemi Ramadhan, aliniambia kuwa kitu kimoja kikubwa sana katika maisha ya soka, ni kwamba sipaswi kuwa na marafiki wengi ambao ni wanasoka pekee ambao muda mwingi huzungumza lugha moja ya soka tu.

“Kama binadamu, napaswa kuwa na marafiki wanaojishughulisha na mambo mengine ili tu niweze kupanua wigo wangu wa uelewa na mawazo. Nadhani ni ushauri mzuri na naona unanijenga siku hadi siku na kunisaidia,” anasema Msuva.

CHANGAMOTO ZA YANGA, NAFASI KIKOSI CHA KWANZA:-
“Mimi bado ni kijana mdogo, Yanga ni timu kubwa na pia kuwa wachezaji wenzangu wengu tu wakubwa na wazoefu kunizidi, sasa kuna vitu lazima ukumbane navyo unapojiunga na timu kubwa kama hii lakini nashukuru Mungu nimeweza kujiunga na timu kubwa kama hii na kucheza kikosi cha kwanza,” anasema Msuva.

Anasema wachezaji wakongwe na wale wa kimataifa wanaendelea kuwa kioo kwake kwa maisha ya ndani na nje ya uwanja na mara kadhaa huwauliza kuhusu mambo mbalimbali ya soka.

“Mwanzo nilikuwa siamini kama nipo Yanga na wala nilikuwa siamini kuwa nacheza na wachezaji maarufu, lakini sasa nipo nao na naishi nao vizuri na wao ni washauri wazuri kwangu na naamini hadi kufikia hapa nilipo wao wameshiriki kwa kiasi kikubwa sana kunisaidia kwa namna moja ama nyingine,” anasema Msuva.

Mara nyingi Msuva hupokea ushauri kutoka kwa kiungo Haruna Niyonzima, Hamis Kiiza, Athuman Idd Chuji na wakongwe wengine wa Yanga.

SASA SI KAZI BURE:-

Mwanzo wakati anaanza kupata nafasi kikosi cha kwanza cha Yanga, Msuva alikuwa anachezeshwa kama winga nafasi anayoicheza hadi leo hii, lakini mara nyingi alikuwa akikimbia na mpira muda mrefu huku akijaribuku kutaka kufunga hata kama yupo ‘impossible angle’, lakini siku hizi kwa kiasi kikubwa amebadilika, ambapo amekuwa akipiga krosi nyingi na zenye malengo.

“Unajua mimi wakati nasajiliwa Yanga kutoka Moro United, kule nilipotoka nilikuwa nacheza kama mshambuliaji sasa Yanga nachezeshwa kama winga hali inayonifanya niwe natamani zaidi kufunga kila ninapojisahau kuhusu nafasi niichezayo.

“Lakini kwa sasa namshukuru kocha ananielewa na sasa namimi nimemuelewa baada ya kuniambia nisiwe mchoyo wa pasi, niwe nawapa wenzangu pasi mapema na wala siharibu kama ilivyokuwa mwanzo. Nadhani sasa nacheza vizuri tofauti na mwanzo,” anasema Msuva.

ANAVUTIWA NA RONALDO, DOMAYO LAKINI ANAIPENDA MAN UTD:-
Ronaldo
Msuva ni shabiki mkubwa wa mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo na kiungo wa Yanga, Frank Domayo. Anasema anampenda Ronaldo, kutokana na aina ya uchezaji wake lakini Domayo ni zaidi ya mchezaji na rafiki kwake.

Frank Domayo (kulia)
“Domayo ni rafiki yangu katika kikosi cha Yanga pia navutiwa na aina yake ya uchezaji na pia huwa ananishauri mambo mbalimbali na hata mimi hufanya hivyo kwake. Ni mchezaji ambaye naamini atafika mbali katika soka la Tanzania,” anasema Msuva.
Wakati akionyesha wazi mapenzi yake kwa Ronaldo, Msuva ni shabiki mkubwa wa klabu ya Manchester United ya England na hilo haoni haya kulificha na yupo kifua mbele kuitetea klabu hiyo yenye maskani yake katika jiji la Manchester.

“Naipenda Man United, ni timu nzuri yenye kila kitu cha kuiwezesha kutwaa mataji mbalimbali ndani na nje ya England japokuwa tayari imeshatolewa katika Ligi ya Mabingwa Ulaya,” anasema Msuva.

PIA NI KIONGOZI WA MITINDO YA KUSHANGILIA KATIKA KIKOSI CHA YANGA:-
Simon Msuva (katikati) akiongoza wenzake kuwashangili kwa kunyoosha kidole.

Tazama mechi yeyote ya Yanga kwa umakini, mara tu timu hiyo inapopata bao wachezaji wote humwangalia Msuva na kumfuata huku wakimfuatisha kucheza na yeye ndiye mbunifu wa mitindo yote ya uchezaji na hii inawezekana ni kutokana na yeye kuwa mkali wa kudansi hapoa awali.



“Tangu nilipokuwa Moro United, nilikuwa kinara wa kubuni mitindo ya kushangilia. Hapo naweza kubadilisha kutoka mmoja hadi mwingine kulingana tu na mechi yenyewe. Wachezaji wenzangu kabla ya mechi hunifuata na kuniuliza jinsi ya kushangilia mimi huwaelekeza nini cha kufanya,” anasema Msuva ambaye hana mke wala mtoto.

KWA TAARIFA YAKO…

Msuva aliyezaliwa mwaka 1993, na kusoma shule ya msingi ya Lions iliyopo Magomeni, Kinondoni jijini Dar es Salaam anapenda kuigiza sauti za wanamuziki kama Ben Pol na Belle Nine wanaoimba muziki wa kizazi kipya na pia hupenda sana kusikiliza nyimbo za wasanii hao.

Chipukizi huyu anapenda kunyoa nywele zake kwa mtindo wa kiduku, lakini hivi karibuni uongozi wa Yanga ulimpiga mkwara na kumshauri kuondoa staili hiyo ama kunyoa kabisa ili asiweze kuvimba kichwa.

“Nimeambiwa ninyoe nywele zangu, sina tatizo nimezinyoa lakini naamini mimi ni mkubwa na naweza kujiongoza katika mambo mbalimbali bila ya kupotea kama uongozi unavyodhani,” anasema Msuva ambaye bado anaishi na wazazi wake, huko maeneo ya Kimara jijini Dar.
MAKALA HII IMEANDALIWA NA MTANDAO WA www.sufianimafoto.com

DKT. SHEIN AFANYA MAJUMUISHO YA ZIARA YAKE YA MKOA WA KUSINI UNGUJA

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Muhamed Shein akizungumza na Viongozi na Watendaji mbalimbali wa Mkoa wa Kusini Unguja Machi 11/2013 katika majumuisho ya ziara yake ya Mkoa huo,huko katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu,nje kidogo ya mji wa Zanzibar. 
 Badhi ya Viongozi wa Mkoa wa Kusini Unguja wakimsikiliza kwa makini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Muhamed Shein katika majumuisho ya ziara yake ya Mkoa huo,huko katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu,nje kidogo ya mji wa Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

wakuu wa Barclays Afrika wakutana Jijini Dar

$
0
0
Afisa Mtendaji Mkuu wa Barclays wa Huduma za Rejareja za Biashara ya Kibenki,Craig Bond akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wao wa kuelezea mipango yao endelevu ya biashara za kibenki Barani Africa,uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.Wengine pichani ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Barclays Africa,Kennedy Bungane (wa pili kushoto),Mkurugenzi Mkuu wa Barclays Tanzania,Kihara Maina (wa pili kulia) na mwisho ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kitengo cha Bima wa Barclays Africa,Willie Lategan
 Afisa Mtendaji Mkuu wa Barclays Africa,Kennedy Bungane (wa pili kushoto) akisisitiza jambo mbele ya waandisi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wao wa kuelezea mipango yao endelevu ya biashara za kibenki Barani Africa,uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Barclays Tanzania,Kihara Maina (katikati) akizungumza kwenye Mkutano huo uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kitengo cha Bima wa Barclays Africa,Willie Lategan na Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Barclays Africa,Kennedy Bungane. 

Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa kwenye Mkutano huo uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya Wadau wa Barclays wakifatilia kwa makini Mkutano huo.

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WILAYANI ILEMELA MKOANI MWANZA

$
0
0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Charles Kitwanga akipata maelezo Juu ya Uzalishaji wa Chuma kwa Meneja wa Kiwanda cha Chuma cha Nyakato Steel Bw Ramarao Uppala wakatiNaibu Wazir alipofanya Ziara ya Kuangalia Uchafuzi wa Mazingira Mkoani Mwanza. 
 Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Charles Kitwanga akitoa Maelekezo kuhusu Uchafuzi wa Mazingira kwenye kiwanda cha Mwatex kinachotiririsha Maji kwenye  Makaazi ya  Wananchi Wilayani Ilemela Mkoani Mwanza Kulia Mkurugenzi Rasilimali Watu Bw Evodius Gordian.
Naibu Wazir Ofisi ya Makamu waRais Charles Kitwanga akitoa Maelekezo kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Bi Amina Juma wakati alipotembelea kiwanda cha Mwatex Wilayani Ilemela ambacho  kinatiririsha Maji kwenye Makazi ya Wananchi katikati Mkurugenzi wa kiwanda Bw Amin Ladhan wapili Mkurugenzi Rasilimali Watu Bw Evodius Gordian[Picha na Ali Meja]   
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi Charles Kitwanga akiangalia Mfumo wa Maji taka kwenye Kiwanda cha Samaki cha Tanperch Wilayani Ilemela Mkoani Mwanza Kulia Jeneral Meneja Bw Ashak Vannadil

Wazir mkuu Pinda kubariki Tamasha la Pasaka Dar

$
0
0

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Tamasha la Pasaka Machi 31 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Taarifa kwa vyombo vya habari, iliyotolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama ilieleza kuwa tayari Ofisi ya Waziri Mkuu imeshathibitisha kuhusiana na ujio wake kwenye tamasha hilo.
“Tunafurahi kwamba tamasha letu mwaka huu Dar es Salaam mgeni rasmi atakuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, mwaka jana alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Benard Membe,” ilisema taarifa hiyo ya Msama.

Waimbaji mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania wanatarajiwa kutumbuiza kwenye tamasha hilo, ambapo wan je ya nchi ni Sipho Makhabane wa Afrika Kusini, Ephraim Sekeleti wa Zambia na Solomon Mukubwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) anayeishi Kenya, pamoja na kwaya ya Ambassadors of Christ ya Kigali Rwanda.
Kwa upande wa wasanii wa hapa nchini watakaotumbuiza ni Upendo Kilahiro,  Rose Muhando, Upendo Nkone na John Lissu, kwaya ya Kinondoni Revival na kundi la Glorious Celebration.

 Tamasha la Pasaka litafanyika Dar es Salaam Machi 31 na  litaendelea Aprili mosi kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya, wakati Aprili 3 ni Uwanja wa Samora Iringa na Aprili 6 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na siku inayofuata itakuwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. 

MKURUGENZI WA NEPAD ATEMBELEA TFDA LEO

$
0
0
 Mkurugenzi Mtendaji wa TFDA akimkabidhi Zawadi maalum Dr, Mayaki kama ishara ya Kumpongeza kwa  kufanya Ziara yake TFDA.
Mkurugenzi mtendaji wa  Taasisi  iliyopo chini ya  Umoja wa Africa New Partnership for Africa’s Development  Agency  (NEPAD) Dr, Ibrahim Assane Mayaki  Akizungumza na waandishi wa habari leo katika Makao makuu ya Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA alipotembelea katika Ziara yake aliyoifanya TFDA mapema leo. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TFDA  Bw, Hiiti Sillo.

Mkurugenzi mtendaji wa  Taasisi  iliyopo chini ya  Umoja wa Africa New Partnership for Africa’s Development  Agency  (NEPAD) Dr, Ibrahim Assane Mayaki  Akizungumza na waandishi wa habari leo katika Makao makuu ya Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA alipotembelea katika Ziara yake aliyoifanya TFDA mapema leo.
==========  ==============  =======
Mamlaka ya chakula na Dawa  TFDA imetembelewa na Mkurugenzi mtendaji wa  Taasisi  iliyopo chini ya  Umoja wa Africa New Partnership for Africa’s Development  Agency  (NEPAD) Dr, Ibrahim Assane Mayaki ambapo amesema kuwa   amefurahishwa  na  Utendaji kazi wa TFDA katika Udhibiti wa Chakula na Dawa.

Dr  Mayaki  ameisisitiza TFDA kuwa na ushirikiano wa pamoja Africa nzima ili wawe na mtazamo unaofanana ili kuweza kuboresha Bidhaa zote za Afrika kwa ujumla katika Kiwango cha Kimataifa.

“Tunataka  Africa iwe na Mtazamo unaofanana ili kama bidhaa ikliwa haina kiwango cha  ubora basi bidhaa hiyo ikataliwe Africa nzima,”  amesema Dr Mayaki. Aidha Dr Mayaki ameonyesha  kufurahishwa na Maabara ya TFDA ambapo amesema kuwa  ni Maabara  yenye kiwango  kinacho kubalika kimataifa.

Wakatoliki duniani wapata Pope mpya,CARDINAL JORGE MARIO BERGOGLIO

$
0
0


   CARDINAL JORGE MARIO BERGOGLIO (umri 76) kutoka Argentina
  
   Moshi mweupe ukitoka kuashiria Pope mpya amepatikana.

Waumini wa kanisa la kikatoriki duniani wamepata kiongozi mpya Pope
Baada ya makadinali 16 kukutana katika kikao cha siri na kufanikiwa kumchagua Pope mpya  CARDINAL JORGE MARIO BERGOGLIO , umati wa maelfu ya waumini wa madhehebu ya kikatoliki wamekusanyika katika uwanja wa St.Peter's Square huko Rome wakishangilia baada ya kuona moshi mweupe ukifuka juu kuonyesha ishara ya kuwa Makadinali wamemchagua Pope mpya CARDINAL JORGE MARIO BERGOGLIO kutoka Argentina   kuliongoza kanisa hilo.

GOLDIE MEMORIES - 14TH MARCH 2013

$
0
0

It’s a month today 14th MARCH 2013 when you mysteriously disappeared from us, To date you left us puzzled not knowing what to say or think, With all your greatness and accomplishments in life, GOLDIE we Believe God Loves you more than us as he took you away on the 14th FEBRUARY 2013 “THE MEMORY DAY OF ST. VALENTINO” the date stands for “LOVE”, GOLDIE will be missed more for her giving personality, charisma, caring for others, love and most of all her BIG HEART!!. GOLDIE gave it all every day to each and every one of us and our lives have forever been hollowed without her...Thanks to all of you for reaching out to us in this time of our immeasurable loss. 
 REST IN PEACE GOLDIE.
 B.D.D quotes on behalf of MMG. 

UZEE MWISHO CHALINZE MJINI KILA MTU NI BABE BABE!!!AYA VIJANA WA ZAMANI HIZI HAPA KWA AJILI YENU KUTOKA @AK CLASSIC COSMETICS!!

$
0
0
  L'OREAL AGE PERFECT HIZI NI BIDHAA AMBAZO ZINASIFIKA KWA MUDA SASA KWA SWALA ZIMA LA KURUDISHA NGOZI UJANANI!!VIJANA WENGI WA ZAMANI WATAKUWA MASHAHIDI WAZURI WA KAZI KUBWA AMBAYO IMEKUWA IKIFANYA NA L'OREAL PRODUCTS.CREAM HIZI ZIPO ZA AINA MBILI YAANI YA KUPAKA ASBH(DAY) NA YA USIKU (NIGHT).CREAM YA ASBH(DAY) IMEWEKEWA KABISA SUN-BLOCK ILI IWEZE KUKUKINGA NA MIOZI MIKALI YA JUA NA KUIFANYA NGOZI YAKO IONEKANE FRESH NA YAKUPENDEZA!
 HII INAITWA KOLLAGEN INTENSIV NI CREAM AMBAYO IMETENGENEZWA KWA AJILI YA WATU  WENYE UMRI MKUBWA,CREAM HII HUISAIDIA NGOZI KUHARAKISHA MFUMO UNAOCHOCHEA HORMONE ZITOE CELL ASILIA ZA COLLAGEN AMBAZO HUISAIDIA KUIFANYA NGOZI IONEKANE YA ILIYOWAMBIKA VIZURI,NYORORO NA ANG'AVU!!HIVYO CREAM HII HUSAIDIA KUPUNGUZA MIKUNJAMANO USONI(WRINKLES),MABAKA MABAKA NA WEKUNDU/WEUSI UNAOZUNGUKA 
JICHO (MIWANI)

MARYKAY TIMEWISE AGE FIGHTING MOISTURIZERS,MARYKAY KWA MUDA MREFU SASA WAMEKUWA WAKITOA BIDHAA MAHSUSI NA PENDWA KWA NGOZI.MARY KAY AGE FIGHTING MOISTURIZER KAMA ZILIVYO ZINGINE PIA HUSAIDIA KUONDOA MIKUNJO MIKONJO YA USONI(WRINKES) NA KUIWAMBA NGOZI IKAONEKANA BADO WAMO...WATAALAM WA MAMBO WANASHAURI SANA UNAPOTAKA MATOKEO MAZURI BASI UTUMUE NA BIDHAA ZAKE ZINGINE KAMA DAY&NIGHT SOLUTION...ZOTE ZINAPATIKANA AK COSMETICS!!



 WALE MAGWIJI WA  VIPODOZI VYA UKWELI KUTOKA MAJUU (AK CLASSIC COSMETICS) WAMEKUJA NA VITU KWA AJILI YA VIJANA WA ZAMANI!!(UZEE SASA BASII) 
 SASA WAMEKUSHUSHIA BIDHAA ZA KUFANYA NGOZI YAKO KURUDISHWA MPAKA  MIAKA 10 NYUMAA YAANI UNARUDI UJANANI HIVI HIVI!!
 BIDHAA KAMA ZINAVYOONEKANA KWENYE PICHA HAPO ZIPO AINA TATU TOFAUTI UNACHAGUA MWENYEWE IPI UNAPENDEZWA NAYO KUTOKANA NA MAELEZO YAKE!!
 KWA MAELEZO AU MASWALI ZAIDI ZAMA www.akclassic.blogspot.com AU WAPIGIE   0713468393/0753482909.

mpambano wa kukata na shoka.

Viewing all 46360 articles
Browse latest View live




Latest Images