Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46379 articles
Browse latest View live

MKURUGENZI MKUU WA JB BELMONT HOTEL AFARIKI DUNIA LEO

$
0
0

UONGOZI WA HOTELI YA JB BELMONT YA JIJINI DAR ES SALAAM ,UNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MKURUGENZI MKUU WA HOTELI HIYO,NDG. JUSTICE BAGUMA (PICHANI) ALIEFARIKI ASUBUHI YA LEO WAKATI AKIWAHISHWA HOSPITALI KWA MATIBABU YA UGONJWA WA SHAMBULIO LA MOYO ULIOKUWA UKIMSUMBUA.

GLOBU YA JAMII IMEPOKEA KWA MASIKITIKO MAKUBWA TAARIFA HIYO,NA INAUNGANA NA WAOMBOLEZAJI WENGINE KWENYE MSIBA HUO MKUBWA.

TAARIFA KAMILI  ITAFUATA BAADAE JUU YA TARATIBU YA MSIBA HUO.

WAZIRI HUVISA TEREZYA ATEMBELEA KIWANDA CHA BIA CHA SERENGETI

$
0
0
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Terezya Huvisa akimsikiliza Operesheni Meneja wa Kiwanda cha Bia cha Serengeti Shekhor Mokosare, Waziri  alifanya  Ziara ya kukagua na kuangalia  Uchafuzi wa Mazingira  Unaodaiwa kufanywa na Kiwanda cha Bia cha Serengeti cha Jijini Dar es Salaam [Picha na Ali Meja].
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akimsikiliza Bi Mwaka Washokela kuhusu Malalamiko ya Umwangaji wa  Maji Machafu ya  Kiwanda cha Bia cha Serengeti katika Mtaa wa Chamwenyewe, Chang'ombe Jijini Dar es Salaam.
-Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akionyeshwa Mfumo wa Maji Taka na Meneja Mazingira Bw Dominick Mariki wakati  Waziri alipofanya Ziara ya Kutembelea Kiwanda cha  Bia cha Serengeti (SBL) cha  Jijini Dar es Salaam ambacho Wananchi wanakilalamikia kinawamwagia Maji Machafu katika Mtaa wa Chamwenyewe Chang'ombe.

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NGUVU ZA ATOMIKI DUNIANI (IAEA) YUKIYA AMANO WAZINDUA JENGO JIPYA LENYE VIFAA VYA KISASA KUSHUGHULIKIA MAGONJWA YA KANSA NCHINI .

$
0
0
Waziri mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda (katikati) akiwaonyesha wageni mbalimbali waliohudhuria uzinduzi wa jengo jipya la kuwahudumia wagonjwa wa kansa  katika Hospitali ya Kansa Ocean Road  kitabu cha Mkakati wa Kitaifa wa Kudhibiti na kupambana na Kansa nchini.
Waziri mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda (katikati) akikata utepe kwa kushirikiana na Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Kimataifa la nguvu za Atomiki  Duniani Yukiya Amano (wa pili kutoka kushoto) kuashiria uzinduzi rasmi wa  jengo jipya lenye  vifaa vya kisasa kwa ajili ya  kuwahudumia wagonjwa wa kansa katika Taasisi ya Kansa leo Ocean Road jijini Dar es salaam. Wengine ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (kushoto), Mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya Kansa Ocen Road Prof. Twalib Ngoma (wa tatu kutoka kushoto) na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Seif Rashid.
 Baadhi ya wataalam wa Taasisi ya Kansa ya Ocean Road  wakiwa ndani ya moja ya chumba cha jengo jipya lililozinduliwa jijini Dar es salaam chenye moja ya mashine yenye uwezo wa kuwahudumia wagonjwa 1600 kwa mwaka. Mashine hiyo imetolewa na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA)
 Sehemu ya nje ya jengo jipya la Taasisi ya Kansa ya Ocean Road lenye vifaa vya kisasa lilozinduliwa leo jijini  Dar es salaam. Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Kimataifa la nguvu za Atomiki  Duniani Yukiya Amano akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  jijini Dar es salaam mara baada ya kuzinduliwa kwa jengo jipya la Taasisi ya Kansa Ocean Road lililojengwa na serikali ya Tanzania huku  shirika hilo likitoa msaada wa mashine mbili kwa za kutambua athari za ugonjwa wa kansa kwenye mwili wa binadamu.

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)  jijini Dar es salaam mara baada ya kuzindua jengo jipya la Taasisi ya Kansa Ocean Road lililojengwa na serikali ya Tanzania lenye uwezo wa kuhudumia wa 257 kwa gharama ya shilingi bilioni 7.2 huku Shirika la nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) likichangia mashine 2 za kutambua sehemu zilizoathiriwa na ugonjwa wa kansa katika mwili wa binadamu zenye uwezo wa kuhudumia wagonjwa 1600 kila moja kwa mwaka.

MASHALI VS CHEKA WASANI KUCHEZA MEI MOSI

$
0
0


Mabondia Thomas Mashali kushoto akitunishiana misuli na Fransic Cheka wakati wa kutangaza mpambano wao wa masumbwi wa kugombea ubingwa wa IBF Africa utakaofanyika Mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam.

Rais wa TPBO  Yassin Abdallah kulia akijibu maswali ya waandishi wa habari wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakati wa utambulisho wa ubingwa Wa IBF kati ya Thomasi Mashali kushoto na Fransic Cheka ayupo pichani katikati ni Promota wa mpambano huo Tanaka Adam.



Mabondia Thomas Mashali kushoto akitunishiana misuli na Fransic Cheka wakati wa kutangaza mpambano wao wa masumbwi wa kugombea ubingwa wa IBF Africa utakaofanyika Mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam katikati ni Promota wa mpambano huo Tanaka Adam.
Mabondia Thomas Mashali kushoto akitunishiana misuli na Fransic Cheka wakati wa kutangaza mpambano wao wa masumbwi wa kugombea ubingwa wa IBF Africa utakaofanyika Mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam.

Mabondia Thomas Mashali kushoto akitunishiana misuli na Fransic Cheka wakati wa kutangaza mpambano wao wa masumbwi wa kugombea ubingwa wa IBF Africa utakaofanyika Mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam .
Bondia Franisic Cheka kushoto na Thomasi Mashali wakiwa wameushika mkanda wa ubingwa wa IBF Africa watakaogombania mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba wakati wa kutambulisha mpambano huo katikati ni Promota wa mpambano huo Tanaka Adam na Khalid Kibavu .
Mabondia Thomas Mashali kushoto akitia saini mkataba wa makubaliano wa kucheza mpambano na Fransic Cheka kulia katikati ni Promota wa mpambano huo Tanaka Adam .

Promota wa Mpambano wa ubingwa wa IBF Tanaka Adam katikati akiwaelekeza mabondia Thomas Mashali kushoto na Fransic Cheka jinsi ya kusaini ya mkataba wa makubaliano wa mpambano wao utakaofanyika mei mosi mwaka huu picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

4th Edition International African Festival 2013,Tubingen,Germany , Call for Artsts and Exhibitors

$
0
0
header top

4th Edition International Tubingen African Festival 2013, near Stuttgart –South Germany

more than just a festival!  more than just a festival! 
 Open   Call For Artists and Exhibitors

4 newsletter

 
Business, Sport, Music, Market, children and youth village…
 
The International African Festival Tubingen, known as AFRICACTIV, has grown from a local to international audience, striving for quality. The vision goes beyond just a festival of cultural celebration to promoting African investments on a bilateral strategy by creating a market for SME African enterprises to penetrate the European market with products such as handcrafts, textile and designs, fashion and beauty as well as exposing the competence of African scholars in all works of arts - literature, theater, music, film etc.
 
AFRICACTIV, a culture of family
 
4 newsletter2
  
This event is especially dedicated to the African Diaspora world-wide “It harnesses a unique culture of family, an embodiment of togetherness, passion of good music and charms. Our program offers the opportunity for Africans world-wide to take a holiday in Tubingen. Our programs are tailored made to suit every need and public -families, kids and youths, students, entrepreneurs… The festival is compacted and displayed on the beautiful meadow at the Tubingen festival ground, giving you the opportunity to enjoy the festival thereby throwing an eye on your kids.

 
4 newsletter3
 
Tubingen is a beautiful University city located in the south of Germany, near Stuttgart
 
Tubingen is known as the home of scholars. It has a remarkable culture - a replica of Zanzibar. Since 2010, a group of Africans resident in this area, decided to make Tubingen a holiday place for all African diaspora to meet and celebrate our culture. Last years celebration – the 3rd Edition hosted more than 15.000 visitors world-wide a grandiose occasion that took place for 4day presentating a true picture of africa. The 4th Edition is currently being planned for thursday 8th to Sunday 11 of August 2013 - 4days nonstop, 30.000 diaspora world-wide will attend this event, so be there!
 
International Diaspora Award – Final call for artist 2013
 
4 newsletter4
 
Register now, sending a live video about your band per mail
 
This program is a showcase of Africa´s young talents and dynamism, each year we give out awards to Africans in every works and fields – Music, photography, designers, literature and more as a compensation for hard work and creativity. African traders, musicians, writers, photographers, designers, companies and entrepreneur, African football associations etc…from anywhere in the world are welcome to apply for opportunities to showcase their talents: Register, participate and win an award, all free of charge!

Music (Bands and groups with at least 5 musicians)

Music genre (African – Soukouss, Makossa,"Bongo Dansi" "Muziki wa Dansi" ,Rumba,high-life, Meringue etc, Reggae, Zouk, Samba)

Drumming; Traditional dance groups, theater, acrobatics – associations and schools
Help keep AFRICACTIV –Festival (Entry free!)
This festival shall be FREE ENTRY to all the Diaspora and the public despite the high cost, thus providing access and the possibility for all Africans to get together without inflicting extra cost on them, especially those travelling from far. You can help keep this festival entry free by your freewill donation, sponsorship (public / private) be a volunteer.

Your benefits as a sponsor / donor/ Volunteer is a win-win situation by inserting your logo on the festival flyers, banners, posters, homepage and newsletter, 15.000 visitors attended the 3rd edition 2012, and at least 50.000 are expected to attend 2013 at the 4. Edition The festival has a magazine called (AFRICACTIV- MAGAZIN).
This magazine reports about the festivals program and the activities of the Diaspora in the south of Germany. It´s a non-profit project and generates its funds by providing places for advertisement. It has 20.000 copies that are distributed free of charge in all local African shops, businesses, and tourism and travelling agencies as well as households. We appreciate your contribution and support by placing your advertisement in our magazine.
Contact us- AFRICACTIV e.V

makamu wa pili wa rais wa zanzibar,balozi seif ali idd azindua rasmi Mkutano wa 3 wa wadau wa NSSF jijini Arusha.

$
0
0
Mgeni Rasmi katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) utakaoanza kufanyika kuanzia Februari 13,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Gaudencia Kabaka akisoma hotuba yake mbele ya wageni waalikwa mbalimbali usiku huu waliofika kwenye hafla ya Ufunguzi wa Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) utakaoanza kufanyika kuanzia Februari 13,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Dkt. Ramadhan Dau akizungumza machache usiku huu wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) utakaoanza kufanyika kuanzia Februari 13,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Mgeni Rasmi katika hafla ya Uzinduzi wa Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd akipongezwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NSSF,Ndg. Aboubakar Rajab mara baada ya kutoa hotuba yake ya ufunguzi wa Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) utakaoanza kufanyika kuanzia Februari 13,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crenscentius Magori akitangaza majina ya washindi wa tuzo mbali mbali za NSSF kutoka mashirika,makampuni pamoja na watu binafsi .
Mgeni Rasmi,Mh Balozi Seif Ali Idd akikabidhiwa zawadi yake ya kumbukumbu ya heshima.  
Zawadi ya kumbukumbu ya heshima pia ilikwenda kwa Mh. Waziri Kabaka.
Baadhi ya Washindi wa Tuzo mbali mbali za NSSF wakipokea tuzo zao  kutoka kwa Mgeni Rasmi katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd.Aidha zilitolewa zawadi pia kwa makampuni kadhaa kutokana na vigezo vyao hasa kwenye sekta ya uajiri,ambapo kampuni ya Vodacom,Exim Bank,Ifakara Health Institute,chuo cha St.Augustine pamoja na TPA-Bandari walinyakuwa zawadi 
Mgeni Rasmi katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Dkt. Ramadhan Dau.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Dkt. Ramadhan Dau akiagana na Mke wa Makamu wa pili wa Zanzibar,Mama Asha Seif Idd.
Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Gaudencia Kabaka (kulia) akibadilishana mawazo na Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Ajira,Ndg. Eric Shitindi (katikati) pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NSSF,Ndg. Aboubakar Rajab.
Mkurugenzi Mkuu wa PPF,William Erio (kulia) akimtambulisha Meneja Mahusiano wa PPF,Lulu Mengele kwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh. Zitto Kabwe.
Baadhi ya Wafanyakazi wa NSSF.
Wakurugenzi Wakuu wastaafu.
Baadhi ya Wahariri wa vyombo vya habari hapa nchini wakihudhuria hafla hiyo iliyofana kwa kiasi kikubwa.

King Kikii na Wazee Sugu  wakiwatumbuiza wageni waalikwa mbalimbali
Kigoma All Stars wakitigita stejini.

Mambo ya inua Kitambaa cheupee kuonesha ishara ya upendo.

Mgeni Rasmi katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd (wa tatu kulia)  na Mkewe,Mama Asha Seif Idd (wa pili kushoto) wakiwasili kwenye hoteli ya Mount Meru,Jijini Arusha usiku huu tayari kwa ufunguzi wa Mkutano huo utakaoanza kufanyika kuanzia Februari 13,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.Wengine pichani ni Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Gaudencia Kabaka (katikati),Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Dkt. Makongoro Mahanga (wa pili kulia),Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NSSF,Ndg. Aboubakar Rajab (nyuma ya Waziri Kabaka) pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Dkt. Ramadhan Dau (kulia).Picha zaidi Bofya Hapa.

Rais Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa maofisa waandamizi wa Jeshi la Polisi

$
0
0


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi muda mfupi baada ya kufungua mkutano wao wa Mwaka uliofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Mjini Dodoma jana Jioni,Kauli Mbiu ya mkutano Huo ni” Tujenge Uwezo wa Jamii na Polisi kukabiliana na Vurugu kwa Kuimarisha Utii wa Sheria Bila Shuruti,”.Walioketi Mbele ni.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt.Emmanuel Nchimbi,Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Saidi Mwema,Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Makinda na Naibu Spika Johna Ndugai.

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa maofisa waandamizi wa Jeshi  la Polisi ulifanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijadiliana jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani Dkt.Emmanuel Nchimbi pamoja na Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Saidi Mwema muda mfupi baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Mjini Dodoma jana. Picha na Freddy Maro wa Ikulu

Wallet imepatikana.

$
0
0


Kama nilivyokuambia mchana nimemfuatilia yule mtu aliyepiga simu chuo
kusema ana vitu vyangu. Nimekuta ni kijana aliyemaliza form four
anafanya kibarua Tanesco akingoja matokeo. 

Amaniomba msamaha sana kwa
usumbufu nioupata kwani angetakiwa anitafute na kunirudishia mapema.
Kanirudishia wallet yangu na kila kitu isipokua fedha ambazo anasema
wenzake walizigombania mara tu walipoiokota pale petrol station. 

Pia 
anasema alichelewa kunitafuta kwa sababu wenzake walimshawishi kuwa 
anaweza kujiingiza kwenye matatizo ya kudaiwa fedha nyingi iwapo
angejitokeza na kusema kuwa ni yeye kaikota.

Kwa mara nyingine nikushukuru sana wewe na wengine wote walionisaidia
kutangaza na kufuatilia upatikanaji wake. Mungu awabariki sana.

Mathew Mndeme

Mwei yazidi kunufaisha wanawake wasiokopesheka vijijini

$
0
0
 Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mrisho Gambo (aliyebeba mtoto) akiwa katika picha ya pamoja na wanakikundi cha Nguvu Kazi pamoja na maofisa wa Vodacom muda mfupi baada ya Mkuu huyo wa Wilaya kukabidhi mikopo nafuu isiyo na riba wala dhamana kwa vikundi kumi vya wanwake wajasiriamali wa kata ya Kwa mndolwa vyenye wanawake wajasriamali wadogowadogo zaidi ya 90. Mikopo hiyo imetolewa na Vodacom Foundation kupitia mradi wake wa Mwei.

 Meneja wa Vodacom Foundation Grace Lyon akiongea katika hafla ya kuwapatia mikopo ya Mwei wanawake wajasiriamali zaidi ya 90 wa Kijiji cha Kwa Mndolwa Wilayani Korogwe. Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mrisho Gambo na Meneja wa Uhusiano wa NJe wa Vodacom Salum Mwalim. Mikopo hiyo isiyo na riba wala dhamana imetolewa kwa wanawawake hao mwishoni mwa wiki kijijini hapo.
 Akina mama wajasiriamali wa kata ya Kwa Mndolwa Wilayani Korogwe wakimtumbuiza Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mrisho Gambo(hayupo pichani) muda mfupi baada ya Mkuu huyo wa Wilaya kuwasili katika kijiji cha Kwa Mndolwa mwishoni mwa wiki kuongoza hafka ya kukabidhi mikopo nafuu kwa wanawake zaidi ya 90 iliyotolewa na Vodacom Foundation kupitia mradi wake wa Mwei
 Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mrisho Gambo akiongea katika hafla ya kuwapatia mikopo ya Mwei kutoka Vodacom Foundation wanawake wajasiriamali zaidi ya 90 wa Kijiji cha Kwa Mndolwa Wilayani Korogwe. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa NJe wa Vodacom Salum Mwalim na Meneja wa Vodacom Foundation Grace Lyon (Kulia). Mikopo hiyo isiyo na riba wala dhamana imetolewa kwa wanawawake hao mwishoni mwa wiki kijijini hapo
Mkuu wa wilaya ya Korogwe Mrisho Gambo akimsikiliza Meneja Uhusiano wa nje wa Vodacom Salum Mwalim wakati wa hafla ya kuwapatia mikopo ya Mwei wanawake wajasiriamali zaidi ya 90 wa Kijiji cha Kwa Mndolwa Wilayani Korogwe.
 Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mrisho Gambo akimkabidhi Hadija Tengeza wa kijiji cha Kwa Mndolwa mkopo wa Mwei kutoka Vodacom Foundation uliowanufaisha wanawake wajasariamali zaidi ya 90 wa kijijini hapo. Wengine picha kutoka kushoto ni Kaimu Katibu Tawala wa Korogwe Martha Munuo, Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim, Afisa wa Vodacom Foundation Ally Mbuyu na Meneja wa Vodacom Foundation Grace Lyon(kulia).

 Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mrisho Gambo (wa kwanza kushoto) na Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim wakifuatilia maongezi na Meneja wa Vodacom Foundation Grace Lyon(wa kwanza kulia) wakati Mkuu huyo na msafara wake ukiwasili katika kijiji cha Kwa Mndolwa kuongoza hafla ya utoaji mikopo ya Mwei mwishoni mwa wiki, Zaidi ya wanawake 90 wamenufaika na mikopo hiyo nafuu isiyo na riba wala dhamana.

3rd Wedding Anniversary Of Mr & Mrs Bahati Singh

$
0
0

Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehma kwa kutuwezesha
kufika tarehe 14 Februari ikiwa tumetimiza Miaka Mitatu Ya Ndoa Yetu
na kubarikiwa kupata Watoto Wawili yaani Lemmysa na Bahati. 

Mimi 
Bahati Singh nashukuru kwa Upendo na Mapenzi ya dhati aliyonayo Mke 
Wangu Zeenat "Mama Iffe" yuko bega kwa bega nami wakati wote wa Tabu 
na Raha Allah amuongoze na aweze kuzidisha Mapenzi, Upendo na Furaha 
Kwangu na Familia kwa ujumla.. Zeenat is Strong Women, Full of Wisdom 
na anaenilelea Wanangu Watano (Rahim, Joseph, Asha, Lemmysa na
Bahati).. I Love you Zeenat Miaka 100...
Asante.

KIGOMA ALL STARS - NSSF OFFICIAL SONG

Watanzania wahudhuria tamasha la Feel the Beat of Sub Zero jijini Johannesburg

$
0
0
  Caroline Lupilli, aliyevaa koti nyekundu akiwa na dada yake Ellen Lupilli, mwenye kijaketi cha kijivu  Mshindi kupitia Choice FM – Eric Massinda, mwenye T shirt ya njano na miwani, aliyeongozana na rafiki yake Alex Galinoma, mwenye T shirt ya njano.
  Mshindi kupitia Castle Lite Facebook – Edger Marumbo, mwenye T shirt nyeusi akiwa na kaka yake Christopher marumbo mwenye t shirt ya blue ya mistari.

WAPENZI WA KINYWAJI CHA BAILEYS WAZIDI KUFURAHIA MSIMU WA VALENTINE

$
0
0
 – Baadhi ya wateja wakipata ufafanuzi kuhusu kinywaji cha Baileys kutoka kwa mmoja wa mabalozi wa kinywaji hicho kinachosambazwa na Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Diana Josephat (mwenye blauzi nyekundu)

 Mmoja wa wapenzi wa kinywaji cha Baileys  Bi. Pamela Nyambo akipokea zawadi ya glasi kutoka kwa mmoja wa mabalozi wa kinywaji hicho kinachosambazwa na Kampuni ya bia ya Serengeti. 
 Balozi wa kinywaji cha Baileys kutoka Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Erick Salva akimkabidhi zawadi ya “t-shirt” Tunu Jongolo ambaye alijishindia zawadi hiyo baada ya kununua chupa ya Baileys.

 Gillian Mbori mmoja wa mabalozi wa kinywaji cha Baileys kutoka Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) akitoa ufafanuzi kwa wana habari kuhusu kinywaji cha Baileys akihusianisha na siku ya wapendao.

 Mmoja wa washindi wa chakula cha jioni  Bw. John Kyatika akipokea vocha ya kupata chakula cha jioni yeye pamoja na mwenzi wake leo katika  siku ya wapendanao  katika mgahawa wa Akemi uliopo jijini Dar es Salaam kutoka kwa mmoja wa mabalozi wa kinywaji cha Baileys Frank Kapama kutoka Kampuni ya bia ya Serengeti. 

– Queen Ramson (mwenye blauzi ya kijani) akipokea zawadi ya chupa ya Baileys kutoka kwa balozi wa kinywaji hicho kinachosambazwa na Kampuni ya bia ya Serengeti .

Warsha ya Maafisa wa Mazingira wa Majiji ya Mwanza,Mbeya,Arusha,Tanga kuhusu Kukuza Uelewa wa Kuandaa Tarifa ya Hali yaa Mazingira ya Majiji

$
0
0
 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw Sazi Salula akiwa katika Picha ya Pamoja na Washiriki wa Warsha ya Maafisa wa Mazingira wa Majiji ya Mwanza,Arusha,Tangana Mbeya Warsha imefanyika kwenye Hotel ya Giraffe Jijini Dar es Salaam.
 -Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Sazi Salula akifungua Warsha ya Maafisa Mazingira wa Majiji  kuhusu kukuza uelewa wa kuandaa taarifa ya Hali ya Mazingira   kwa  Majiji ya Mwanza,Arusha, Mbeya na Tanga. Warsha hiyo iliyofanyika Giraffe Hotel, Dar es Salaam
 Baadhi ya Maafisa Mazingira wa Majiji Wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais[pichani hayupo] alipokua anafungua Warsha ya Majiji kuhusu Kukuza Uelewa wa Kuandaa Tarifa ya Hali ya Mazingira ya Majiji iliiofanyika kwenye Hotel ya Giraffe Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofis ya Makamu wa Rais Sazi Salula akizungumza na Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Mazingia UNEP Bi Clara Makenya Mara baada ya Ufunguzi wa Warsha ya Maafisa wa Mazingira waMajiji.[Picha na Ali Meja]  

SWAHILI FASHION WEEK


montage charity ball 2013

mkutano wa tatu wa Wadau wa nssf wazidi kurindima jijini arusha

$
0
0
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Dkt. Ramadhan Dau akisisitiza jambo mbele ya  Wadau zaidi ya 1000 kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya Tanzania, kwenye mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaondelea hivi sasa ukiwa ni siku ya pili,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha,ambapo kauli mbiu yake kwa mwaka huu ni Sekta ya hifadhi ya Jamii Tanzania,Njia panda-Nini kifanyike.
Mbunge wa jimbo la Perahamio-Songea,Mh Jenista Mhagama akiomba kupewa ufafanuzi kuhusiana  na Sera na Sheria za fedha ziko salama kiasi gani katika mifuko ya hifadhi ya jamii,kwenye mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaondelea hivi sasa ukiwa ni siku ya pili,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha,ambapo kauli mbiu yake kwa mwaka huu ni Sekta ya hifadhi ya Jamii Tanzania,Njia panda-Nini kifanyike.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA),Irene Isaka,akifafanua kuhusiana na mambo mbalimbali yahusuyo mifuko ya hifadhi ya jamii,ikiwemo sambamba na namna gani inavyoweza kukuza uchumi na kuleta maendeleo makubwa ndani ya jamii.
Mchambuzi Mkuuwa masuala ya Kifedha kutoka Benki kuu ya Tanzania (BOT),Bi.Liku Katekamba akitoa ufafanuzi kuhusiana na usalama wa fedha ndani ya mifuko ya hifadhi ya jamii,na pia amewataka Wanachama kuwa na imani ya mifuko yao ya hifadhi ya jamii.


Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crenscentius Magori akiteta jambo na Mkuu wa Kitengo cha mahusiano NSSF,Eunice Chiume  wakati  wa mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaondelea hivi sasa ukiwa ni siku ya pili,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha,ambapo kauli mbiu yake kwa mwaka huu ni Sekta ya hifadhi ya Jamii Tanzania,Njia panda-Nini kifanyike.



Pichani ni sehemu ya Wadau mbalimbali  zaidi ya 1000 waliohudhuria Mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaondelea hivi sasa ukiwa ni siku ya pili,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha,ambapo kauli mbiu yake kwa mwaka huu ni Sekta ya hifadhi ya Jamii Tanzania,Njia panda-Nini kifanyike.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Ongea na Janeth yashow love na watoto wa KIWOHEDE Siku ya Valentines Day.

$
0
0

Mkurugenzi Mkuu wa kituo hicho akitambulisha wageni kwa watoto wanaolelewa kituoni hapo.
Mmoja wa watoto wanaolelewa na kituo hspo akitoa shukrani kwa Bi. Janeth Sostenese pamoja na Crew kwa kuonyesha upendo wa dhati kitu ambacho ni adimu kwao kutokana na mazingira waliyotoka.
Mtangazaji wa Kipindi cha Ongea na Janet akizungumza na watoto wa kituo cha Kiwohede ambapo amewataka kudumisha upendo baina yao na kujiona kama watu wengine, pia amewaasa kukazania elimu ambayo itawakomboa na kuweza kuwa kama yeye hapo baadae na amewaahidi kuendelea kuwa nao pamoja.
Janeth Sostenesi na Crew nzima ya Ongea na Janeth wakikabidhi msaada wa fedha taslim kwa mwakilishi wa watoto hao ikiwa ni upendo wake katika siku hii ya wapendanao.
Baadhi ya Watoto wa kituo cha Kiwohede wakifurahia msaada huo kutoka kwa kipindi cha Ongea na Janeth.
Crew nzima ya Ongea na Janeth katika picha ya pamoja na watoto wanaoishi katika mazingira magumu wa kituo cha Kiwohede.




Mwendeshaji wa Kipindi cha Ongea na Janeth kinachorusshwa na Clouds Tv na DStv Bi. Janeth Sostenesi akisaini daftari la wageni katika kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Kiwohede kilichopo Buguruni jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwasili kwa ajili kufurahi na watoto hao katika sikukuu ya wapendanao pamoja na kukabidhi msaada.
Bi. Janeth Sostenesi akijaribu moja ya bidhaa za mikono zinazotengenezwa na watoto wa kituo cha Kiwohede. Kushoto Mratibu Mipango wa Kituo hicho Bi. Stella Mwambenja.
Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Kiwohede Bi. Justa Mwaituka akizungumza na Mtangazaji wa Kipindi cha Ongea na Janeth pamoja Crew nzima inayotengeneza kipindi hicho kuhusiana na maendeleo yaliyokwisha fikiwa mpaka sasa na mipango ya baadae ya kuboresha mazingira ya kituo hicho.
Mtangazaji wa kipindi cha Ongea na Janet na crew yake wakiimbia na kufurahi pamoja na watoto wa kituo cha Kiwohede siku ta Valentines Day.
Janeth Sostenesi akishow love na Mkurugenzi Mkuu wa shirikila lisilo la kiserikali la Kiwohede Bi. Justa Mwaituka.

fLAVANITe iNadondosha "KWAITO SPECIAL NITE 2013" nDani yA MZALENDO PUB, MILLENNIUM TOWERS, JUMAMOSI HII.

MAMA SALMA kikwete amfariji HAWA GHASIA, MTWARA LEO

$
0
0
 
 Mama Salma Kikwete pichani kulia akimpa pole Mama Hawa Ghasia kutokana na  msiba wa baba yake,Mzee Abdulrahman Ghasia, leo katika  Kijiji cha Naumbu, Mtwara. (picha na Bashir Nkoromo).

Viewing all 46379 articles
Browse latest View live




Latest Images