Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46373 articles
Browse latest View live

HEIFER INTERNATIONAL TANZANIA YAZINDUA MRADI MKUBWA WA KUENDELEZA SEKTA YA MAZIWA KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

$
0
0
Naibu waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambae pia alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo, Mh Kaika Telele akiongea na wageni waalikwa na wadau wa sekta ya Maziwa Afrika Mashariki uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwl Nyerere Mwishoni mwa Wiki.
 Mkurugenzi Mkuu wa Heifer International Tanzania, Dk Henry Njakoi akiongea na wageni waalikwa na wadau wa sekta ya maziwa nchini na wa kimataifa waliofika katika uzinduzi wa Mradi wa Uendelezaji Sekta ya Maziwa Afrika Mashariki uliodhaminiwa na Mfuko wa Bill na Melinda, Mradi huo mkumbwa ulizinduliwa ijumaa iliyopita katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere uliopo Jijini Dar Es Salaam
 Mkurugenzi Mkuu wa East Africa Dairy Development (EADD), Mh Rakesh Kapoor akichangia mada kwenye uzinduzi wa Mradi wa Kuendeleza sekta ya Maziwa kwa Nchi za Afrika Mashariki mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere, jijini Dar Es Salaam. Mradi huo mkubwa kutoka Heifer International Tanzania umedhaminiwa na Mfuko wa Bill na Melinda Foundation
Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo ambae pia ni Naibu waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mh Kaika Telele akifungua Pazia kuashiria Mradi huo wa Kuendeleza sekta ya maziwa umezinduliwa rasmi katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere uliopo jijini Dar Es Salaam.
 Mjasiliamali wa Maziwa kutoka Mkoani Iringa, Bi Diana akitoa Ushuhuda wake kwa wageni waalikwa kuhusu mafanikio aliyoyapata akiwa kama mdau wa sekta ya maziwa.
Mgeni Rasmi katika Uzinduzi huo ambae pia ni Naibu waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mh Kaika Telele akimpongeza Mjasiliamali wa Waziwa kutoka Mkoani Iringa, Bi Diana wakati wa uzinduzi wa Mradi wa kuendeleza Sekta ya Maziwa Afrika Mashariki.
Mkurugenzi Mkuu wa Heifer International Tanzania, Dk Henry Njakoi akiongea na wageni waalikwa na wadau wa sekta ya maziwa nchini.
 Baadhi ya Wageni waalikwa na Wadau kutoka Sekta ya Maziwa Afrika Mashariki wakifuatilia mada kwa makini wakati wa UZinduzi wa Mradi wa Uendelezaji Sekta ya Maziwa Afrika Mashariki
 Mgeni rasmi katika uzinduzi huo ambae pia ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mh Kaika Telele akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Heifer International Tanzania na EADD pamoja na wadau wa Sekta ya Maziwa Afrika Mashariki.
 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mh Kaika Telele ambae pia alikuwa mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Mradi Mkubwa wa Uendelezaji Sekta ya Maziwa Afrika Mashariki akijadiliana jambo na Mkuu wa Wilaya Kilolo mara baada ya kumalizika Uzinduzi huo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere uliopo Jijini Dar Es Salaam Mwishoni mwa Wiki.

WINDHOEK WAFANYA KWELI SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA BONGO MOVIE KATIKA UKUMBI WA EAST 24 MWISHONI MWA WIKI

$
0
0
Mwenyekiti wa Makampuni yaliyo chini ya Proin Group Of Companies, Bw Johnson Lukaza akipokea cheti cha kuthaminiwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bongo Movie kama mmoja wa wamiliki wa kampuni ya usambazaji wa kazi za filamu nchini  iitwayo Proin Promotions Limited.


 Mtitu akipokea Cheti kutoka Kwa Mwenyekiti.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabibo Beer, Mama Benadetha Rugemalila akiongea na waandishi wa habari wakati wa sherehe hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa East 24 uliopo Mikocheni katika jengo la Arcade.
 First lady wa B Band inayoongozwa na Mwanamuziki Banana Zoro
 Wadau wakifuatilia burudani safi kutoka kwa wasanii mbalimbali waliopanda kwenye jukwaa
 Warembo wa Bongo Movie wakiingia ukumbi tayari kwa Kufurahia Miaka 3 ya Kuzaliwa kwa Bongo Movie.
 Mwenyekiti wa Bongo Movie akitoa maneno kwa wageni waalikwa pamoja na wasanii wa bongo movie na muziki nchini waliohudhuria sherehe hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa East 24.
 Keki ikikatwa kama ishara ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bongo Movie ikiwa imetimiza miaka 3
 Rich Rich akilishwa keki na Mwenyekiti.



 Bi Mwenda akifurahi kukabidhiwa cheti cha sifa ya kuwa msanii mkongwe
 Hawa ndio mabalozi wa Windhoek waliochaguliwa katika sherehe hiyo ya kutimiza miaka 3 ya bongo movie.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mabibo Beer, Mama Benadetha Rugemalila ambae alikuwa mdhamini mkuu wa sherehe hiyo kupitia kampuni ya Mabibo Beer akitoa maneno mawili matatu mara baada ya mabalozi wa Bia ya Windhoek kuchaguliwa
 Amin Akishusha Burudani 
 Linex akiimba kwa hisia
 Shilole hakuwa nyuma na wimbo wake wa chuna buzi
Christian Bela akitoa vionjo safi kabisa katika sherehe hiyo.
 Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Mengele (Nyerere) akihojiwa na waandishi wa habari wakati wa sherehe ya Kutimiza miaka 3 ya Klabu ya Bongo Movie, sherehe iliyofanyika katika Ukumbi wa East 24 uliopo Katika Jengo la Arcade Mikocheni, Mwishoni mwa Wiki
Warembo wakiwa wamebeba Chupa za Windhoek zinazosambazwa na kuuzwa na Kampuni ya Mabibo Beer ambao ndio walikuwa wadhamini wakuu wa Sherehe ya Kutimiza Miaka 3 ya Klabu ya Bongo inayoongozwa na Steve Nyerere.


 Mwenyekiti wa Makampuni yaliyochini ya Proin Group of Companies, Bw Johnson Lukaza akihojiwa na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa sherehe ya kutimiza miaka 3 ya kuzaliwa kwa Bongo Movie.


 Nuruel akiendelea kuimba kwa hisia katika sherehe hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki.


 Burudani pia zilikuwepo

BIG RESULTS NOW' YAKUSANYA MABILIONI KWA KIPINDI CHA NUSU MWAKA

$
0
0
 Msemaji Mkuu wa Wizara ya Fedha, Ingiahedi Mduma, akizungumza wakati wa Semina maalum kwa 'Mablogger', iliyofanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha, leo Machi 28, 2014. Semina hiyo imeandaliwa na Wizara ya Fedha kwa lengo la utaratibu wa kutimiza utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now). 
 Baadhi ya 'Mablogger', wakiwa bize wakati wa semina hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha.
 Baadhi ya 'Mablogger', wakiwa bize wakati wa semina hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha.
Baadhi ya 'Mablogger', wakiwa bize wakati wa semina hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha.
**************************************************
Na Sufianimafoto Reporter, Kibaha 
Serikali imekusanya jumla ya shilingi bilioni 215.0 katika kipindi cha Julai hadi Disemba, 2013 kutokana na hatua mpya za kodi zilizoibuliwa kwenye maabara za “Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa” yaani Big Results Now (BRN), utaratibu unaotumiwa na Serikali katika kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa baadhi ya majukumu yake kwa lengo la kupata matokeo makubwa kwa muda mfupi. 

Haya yamo katika taarifa aliyoitoa msemaji mkuu wa wizara ya Fedha Bi alipokuwa akitoa taarifa ya utaratibu huo kwa wanablogu, katika kikao maalum na wadau hao kilichofanyika nje kidogo ya mkoa wa Pwani, maeneo ya Misugusugu.

Bi Mduma alisema Wizara ya Fedha ni miongoni mwa Sekta zinazotekeleza utaratibu huu hususan katika eneo la utafutaji wa mapato (Resource mobilization), sekta nyingine ni Elimu, Kilimo, Maji, Uchukuzi na Nishati.  

Utekelezaji wa kila sekta unazingatia viashiria vilivyoibuliwa katika uchambuzi wa kimaabara ulioratibiwa na Serikali kwa kushirikiana na wataalam kutoka nchini Malaysia. 

Alisema huu unaiwezesha Serikali kuongeza ufanisi katika kusimamia utekelezaji wa majukumu yake ikiwemo usimamiaji wa miradi kwa kuweka wazi malengo yaliyokusudiwa pamoja na kuainisha  viashiria vya utekelezaji ili kuongeza uwajibikaji kwa kila mshiriki. 

Aidha, viashiria hivi hutumika kupima hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa maeneo ya kipaumbele na hivyo kuweza kupima mafanikio yaliyopatikana. Kadhalika, utaratibu huu unasaidia kurekebisha mapungufu katika utekelezaji kwa kuchukua hatua mapema na hivyo kuwezesha upatikanaji wa matokeo makubwa kwa haraka. 

Bi Mduma amesema wizara yake imedhamirisa utafuta mapato ya ziada kiasi cha shilingi trilioni 3.8 hadi kufikia mwaka 2015/16;

SPEAKER OF EAST AFRICAN LEGISLATIVE ASSEMBLY (EALA) FACES REMOVAL FROM OFFICE!

$
0
0
EALA
According to East African Legislative Assembly rules and understandings, the speakership is rotational. As it is, the current Speaker is from Uganda. Her name is Margaret Nantongo Zziwa [in the photo above]. But before her term expires or come to an end, as the document below indicates, her speakership is in danger. Her removal seems to be eminent although she seems to be determined to hold on her seat. Zziwa, was elected in June 2012 for a five year term.

Below is an excerpt of the removal document!;
On 26th March 2014, a notice of motion for a resolution to remove the East African Legislative Assembly (EALA) Speaker from office was served on the EALA Clerk.

This notice was seconded by Hon. Peter Mathuki from Kenya, Hon. Shyrose Bhanji from Tanzania, Hon. Dr. Odette Nyiramilimo from Rwanda, Hon. Hafsa Mossi from Burundi and supported by 33 signatures which is more than two thirds of the Assembly. These signatures were composed of all 9 Members of Burundi; all 9 Members of Rwanda; 5 Members of Tanzania; 5 Members of Kenya; and 5 Members of Uganda.

On 27th march, a motion for a resolution to remove the speaker of EALA from office was served on the Clerk of the Assembly according to the Rules of Procedure. This motion cited the reasons for the bid to remove her from office as:
-Poor governance and leadership skills;
-Abuse of office; and
-disrespect and intimidation of Members and Staff.
In line with the Assembly Rules of procedure, the Motion requests the Assembly to remove the current speaker; she cannot continue to preside over proceedings of the Assembly since proceedings for her removal have commenced.

In addition to this, the Motion Assembly urged the Assembly to elect a Member to preside at the next sittings of the Assembly.
Immediately after the motion was served, Hon. Zziwa went to Kampala to attend a meeting with President which she had solicited for. She wanted to use female Members of EALA to persuade him to intervene in the matter. Out of 17 women members of EALA only 3 attended. The majority refused to attend the meeting. The women feel that the fact that she is the first woman speaker should not be used as an excuse, because she is incompetent and failed to deliver.

The fact that she knew that the process of her removal was in accordance with the Assembly Rules of Procedure and she still proceeded to seek audience with the President demonstrates her disrespect for the Assembly and desperate attempts to hold onto to her office despite the fact that more than two third of the members have expressed their desire to remove from office. The process to remove Zziwa is now irreversible, the only option left for her is to resign or face the Legal Rules and Privileges Committee, which will interrogate her in public on the issues raised in the Motion.
The next steps to be taken by the Assembly according to the Rules of Procedure are :

• The clerk will put the motion on the order paper;
• Procedure does not allow the Speaker to preside over the proceedings of the Assembly since proceedings for her removal commenced;
• The Assembly may thereafter adjourn for say 30 minutes in order for the Members to confer on the person to chair the House.
• The Clerk will then preside over the election of the person who will chair the sitting.
• The motion will be tabled in the House and seconded in a sitting presided over by the person elected to chair the meeting.
• The Assembly will then elect an elected member to preside over the sittings of the assembly;
• the elected chairperson will then refer to motion for the removal of the Speaker to the Legal, Rules and Privileges Committee.
• The Committee will then interrogate the issues raised in the motion.
• when appearing before the Committee, the Speaker is entitled to appear in person or can be represented by a lawyer or any other person then the Committee is investing his or her removal.
• The Committee will then compile a report, which report will be tabled before the House for debate.
• the Assembly has to pass the motion for removal of the Speaker by not less than two-thirds majority of elected members of the Assembly, after which the Speaker shall cease to hold office.

WALIONG'ARA KWENYE RED CARPET YA UZINDUZI WA ZANZIBALICIOUS WOMEN GROUP @ ZANZIBAR OCEAN VIEW

$
0
0
DSC_0243
Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bi. Mwanaidi Salehe (kushoto) akiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwezeshaji, Bi. Fatma Gharib Bilal wakati wa sherehe za uzinduzi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious uliofanyika mwishoni mwa juma ndani ya Zanzibar Ocean View.(Picha na Zainul Mzige).
DSC_0058
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-kulthum Ansel (kulia) akipozi na MC wa shughuli Bi. Fauziat Abood (katikati) pamoja na mjumbe mmoja wa wajumbe Mariam Yusuph Otembo.
DSC_0063
Pichani juu na chini ni wageni waalikwa wakipata Ukodak kabla ya shughuli kuanza kwenye Red carpet.
DSC_0064DSC_0181
Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson.


DSC_0185DSC_0027DSC_0028DSC_0190DSC_0193DSC_0194DSC_0199DSC_0031DSC_0033DSC_0085DSC_0094DSC_0095DSC_0100DSC_0103DSC_0107DSC_0108DSC_0110DSC_0113DSC_0114DSC_0150DSC_0161DSC_0163DSC_0155DSC_0233DSC_0231DSC_0234DSC_0239DSC_0238DSC_0168DSC_0170DSC_0172DSC_0178DSC_0179DSC_0205DSC_0207DSC_0209DSC_0210DSC_0264DSC_0121DSC_0122DSC_0165DSC_0071DSC_0075DSC_0077DSC_0226DSC_0255  DSC_0253  DSC_0084  DSC_0069  DSC_0079

Ridhiwani kikwete aendelea na kampeni za lala salama chalinze

$
0
0
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza na Baadhi ya Viongozi wa Dini kwenye Kijiji cha Mkange,Kata ya Mkange wakati alipopita  kuwasalimia na kuwaomba ridhaa ya kumchagua kuwa Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Jana Machi 30,2014.
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya Sam wa Ukweli akitoa Burudani kwa wananchi wa Kijiji cha Java,Kata ya Mkange jana Machi 30,2014.
Shangwe kwa wananchi wa Kijiji cha Java,Kata ya Mkange.
Wananchi wa Kijiji cha Java,Kata ya Mkange wakifatilia kwa makini Mkutano wa Kampeni za CCM.
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akisalimiana kwa furaha na wakinamama wa Kijiji cha Java,Kata ya Mkange jana Machi 30,2014.
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa Makini Mzee Hussein Mwindadi ambaye ni Baba wa Diwani wa Kata ya Mkange.
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akitaniana na Mzee Nassor Samnamwanja wa Kijiji cha Mkange,Kata ya Mkange jana Machi 30,2014.
Wakazi wa Kijiji cha Manda Mazingara wakiwa wameshika mabango ya Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati walipokuwa wakimkaribisha Kijijini kwao

WANAHARAKATI WAMUUNGA MKONO JK KUPAMBANA NA UJANGILI

$
0
0
DSC_0079
Mgeni rasmi Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundi (Red Cross), Dr. George Nangale, akizindu rasmi kampeni ya ‘Save The Elephant’ (Okoa Tembo) kwa niaba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, kama jitihada za kumuunga mkono Rais Kikwete katika kupambana na ujangili wa wanyamapori nchini. Kushoto ni Mratibu wa Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania, Bw. Robert Zangi, Wa pili kushoto ni Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB), Geofrey Tengeneza, na Kulia ni Dr. Herry Muhando kutoka International Evangelist.(Picha na Zainul Mzige).

Na. Zainul Mzige.
Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania imezindua kampeni ya ‘Save The Elephant’ (Okoa Tembo) kama jitihada za kumuunga mkono Rais Jakaya Kikwete katika kupambana na ujangili wa wanyamapori nchini.

Mratibu wa taasisi hiyo, Robert Zangi, amesema wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo kwamba wameamua kumuunga mkono Rais Kikwete kutokana na kukithiri kwa matukio ya ujangili wa wanyamapori miaka ya hivi karibuni. Aliongeza kwamba kampeni hiyo itawalenga zaidi watu ambao wanaishi jirani na mbuga za wanyama.

“Watu wanaoishi jirani na mbuga za wanyama ni rahisi kufahamu nani ni jangili na nani ni raia mwema miongoni mwao,” alisema. Aliongeza kusema kwamba kampeni hiyo itawafikia watu wanaoishi jirani na mbuga za wanyama kwa lengo la kuwaelimisha umuhimu wa kupambana na jangili dhidi ya wanyamapori.
DSC_0037
Mratibu wa Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania, Bw. Robert Zangi, akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ‘Save The Elephant’ (Okoa Tembo) kupitia Taasisi yake kama jitihada za kumuunga mkono Rais Jakaya Kikwete katika kupambana na ujangili wa wanyamapori nchini. Wa pili kushoto ni Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB), Geofrey Tengeneza, Wa pili kulia ni Mgeni rasmi Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundi (Red Cross), Dr. George Nangale (kwa niaba ya Rais Kikwete) na Kulia ni Dr. Herry Muhando kutoka International Evangelist.

Kampeni hiyo ina mpango wa miaka mitano ambao kwa kuanzia kutakuwa na matukio matatu makubwa mwaka huu kati ya sasa hivi na mwezi Mei.
Tukio la kwanza, alisema, ni la uzinduzi wa kampeni hiyo na la pili ni kuwasilisha ujumbe wa kampeni kwenye Umoja wa Mataifa nchini Marekani tarehe 9 mwezi Aprili na la tatu litakuwa ni semina juu ya kupambana na mauaji ya Tembo, Vifaru na wanyamapori wengine.
DSC_0030
Meneja Biashara wa Qatar Airways Tanzania, Bw. Basel Haydar (kushoto) pamoja na Meneja Mauzo wa Qatar Airways Tanzania, Bw. Emmanuel Okware.
DSC_0171
Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB), Geofrey Tengeneza akisisitiza jambo ambapo ametoa rai kwa wadau mbalimbali pamoja na mataifa mengine kuunga mkono jitihadi hizi kuhakikisha ujangili unatokomezwa.
Nae Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundi (Red Cross), Dr George Nangale, amesema kwamba wanaunga mkono kampeni hiyo kwani mauaji ya wanyamapori ni majanga na kwamba watu wanaoishi jirani ya mbuga za wanyama wanaweza kusaidia sana kwenye mapambano dhidi ya ujangili.
Nangale alikuwa anamwakilisha mgeni rasmi ambaye alikuwa awe Rais Kikwete.

Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB), Geofrey Tengeneza, alisema ni vizuri kuendelea kuwalinda Tembo na wanyamapori wengine na kuongeza kwamba kampeni hii ni muhimu sana na akaomba jitihada hizi ziungwe mkono na nchi jirani pamoja na mataifa mengine.

DSC_0095
Meneja Biashara wa Qatar Airways Tanzania, Bw. Basel Haydar akizungumzia udhamini wao wa kuwapelekea Marekani wanaharakati wa Kampeni ya "Save The Elephant".
DSC_0106
Meneja Biashara wa Qatar Airways Tanzania, Bw. Basel Haydar (kushoto), akikabidhi mfano wa tiketi ya ndege kutoka shirika la ndege ya Qatar watakaosafirisha msafara wa kampeni ya"Save the Elephant" kuelekea nchini Marekani kwa Mratibu wa Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania, Bw. Robert Zangi ( wa pili kushoto). Wanaoshuhudia tukio hilo ni Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB), Geofrey Tengeneza (wa pili kulia) na Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundi (Red Cross), Dr. George Nangale, (kulia).
DSC_0108
Meneja Biashara wa Qatar Airways Tanzania, Bw. Basel Haydar (kushoto) akipeana mkono na Mratibu wa Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania, Bw. Robert Zangi.
DSC_0032
Meneja Mkuu wa Le Grande Casino, Bw. Costa Cambanis (kushoto) pamoja na timu yake kutoka Le Grande Casino Tanzania.
DSC_0111
Afisa Mtendaji Mkuu wa UBL Bank, Bw. Muhammad Tanveer, akizungumzia udhamini wao kwa wanaharakati wa kampeni ya "Save the Elephant" ambao ni kuwalipia ada za uwanja wa ndege kutoka Dar, Doha, Chicago na Denver Colorado.
DSC_0121
Afisa Mtendaji Mkuu wa UBL Bank, Bw. Muhammad Tanveer (wa pili kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Dola za Kimarekani 1000 kwa Mratibu wa Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania, Bw. Robert Zangi (katikati). Wanaoshuhudia tukio hilo ni mgeni rasmi aliyemwakilisha Rais Kikwete, Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundi (Red Cross), Dr George Nangale (kulia), Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB), Geofrey Tengeneza (wa pili kulia) na kushoto ni Head of Risk wa UBL Bank, Farooq Hashim Randeri.
DSC_0124
Afisa Mtendaji Mkuu wa UBL Bank, Bw. Muhammad Tanveer ( wa pili kushoto) akipongezana na Mratibu wa Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania, Bw. Robert Zangi (katikati) pamoja na Meneja Uhusiano wa Bodi ya Utalii (TTB), Geofrey Tengeneza (wa pili kulia).
DSC_0127
Meneja Mkuu wa Le Grande Casino, Bw. Costa Cambanis, akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni ya "Save the Elephant" inayoendeshwa na Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania ambapo kwa kuunga mkono jitihada hizo za kupamba na ujangili wametoa udhamini wa Malazi kwa timu nzima itakayoenda nchini Marekani.
DSC_0134
Meneja Mkuu wa Le Grande Casino, Bw. Costa Cambanis (kushoto) akipeana mkono na Mratibu wa Taasisi ya Tembo Marathon Tanzania, Bw. Robert Zangi (wa pili kushoto) wakati wa hafla hiyo fupi ilyodhaminiwa na hoteli ya DoubleTree by Hilton ya jijini Dar es Salaam.
DSC_0086
Afisa Mtendaji Mkuu wa UBL Bank, Bw. Muhammad Tanveer (wa pili kushoto) akiwa pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo.
DSC_0067
Pichani juu na chini ni baadhi ya wadau kutoka mashirika ya kimataifa, taasisi za serikali, Frankfurt Zoology Society, WWF pamoja wawakilishi wa balozi mbalimbali nchini waliohudhuria uzinduzi huo.
DSC_0089
DSC_0059
DSC_0042
DSC_0176
Wadau wakisalimiana baada ya uzinduzi rasmi wa Kampeni ya "Save The Elephant".

WAKAZI WA KIJIJI CHA KABWE WILAYA YA NKASI MKOANI RUKWA WAFAIDIKA NA UVUVI WA SAMAKI ZIWA TANGANYIKA

$
0
0
 Pichani ni baadhi ya akina mama wakiwa wametoka kununua samaki kwenye bandari ndogo ya Kabwe,Wilayani Nkasi mkoani Rukwa mapema leo jioni,Akina mama hao wameeleza kuwa wengi wao wamekuwa wakijishughulisha na biashara ya samaki ili kujiingizia kipato katika suala zima la kujikwamua na umaskini.
 Mkazi wa kijiji cha Kabwe,akiwa amebeba dishi lililosheheni samaki aina ya Migebuka,anasema kama uonavyo hiyo shehena ya  migebuka huuzwa shilingi 30,000/=
Wavuvi wakitia nanga kando kando ya bandari ya Kabwe 

Article 2

$
0
0
Thuraya partners with Airtel Africa to bring mobile satellite connectivity to 17 countries across Africa

·         Unique partnership agreement to expand mobile connectivity and help bridge the digital divide in Africa

·         Airtel Africa retail outlets and enterprise team to offer full suite of Thuraya satellite products including the SatSleeve, XT satellite phones and broadband terminals bundled with airtime packages

Dubai, UAE and Nairobi, Kenya, March 312014 - Thuraya Telecommunications Company, a leading Mobile Satellite Services (MSS) operator and Bharti Airtel International BV today announced an agreement to provide Airtel Africa customers with mobile satellite products and services across 17 countries in Africa. The partnership will provide Airtel Africa customers voice and broadband connectivity via Thuraya’s satellite network across the continent’s most remote areas. Commencing from May onwards, Airtel Africa will sell Thuraya’s products and airtime packages at their retail outlets and through their Enterprise account team.

Extending mobile networks into remote or rural areas presents both geographical obstacles and business challenges for connecting people in Africa. Thuraya’s satellite network helps bridge the digital divide by providing an immediate and cost-effective way for Airtel Africa to extend its coverage, while generating new revenue streams and providing vital connectivity. Thuraya’s mobile satellite service can address the diverse voice and data communication needs of Airtel Africa enterprise users across the mining, energy, media, government and humanitarian NGO sectors.

Samer Halawi, Chief Executive Officer of Thuraya said, “Thuraya’s partnership with Airtel Africa is a very positive development in bridging the digital divide in Africa. We recognize the massive impact that access to reliable communications can have on the lives of ordinary people. Thuraya’s robust satellite network will enable Airtel Africa to provide its consumer and enterprise users with reliable, high quality voice and broadband services. Thuraya is well-positioned to support customer-centric mobile operators like Airtel Africa that are looking to extend their network and services with satellite-based solutions.”

Christian de Faria, Chief Executive Officer of Airtel Africa said, "Providing reliable connectivity in many remote parts of Africa can be challenging. This partnership enables us to further extend our coverage and services for businesses and general consumers who live or work in very remote areas. Thuraya’s satellite services will be combined with the reliable, high-quality voice calls and broadband access that our customers are accustomed to experiencing in our urban centers.”

Uingereza ndani ya Tamasha la Pasaka

$
0
0
  MUIMBAJI wa Kimataifa raia wa Uingereza Ayobami David  ni mmoja wa waimbaji watakaoshiriki katika Tamasha la Pasaka linalotarajia kuanza Aprili 20 katika mikoa nane hapa nchini. Ayobami ni muimbaji ambaye anafanya vizuri katika muziki huo wa Kumtukuza Mungu kupitia nyimbo mbalimbali.

Awali Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka inayoongozwa na Mwenyekiti wake, Alex Msama ilijipambanua kwamba tamasha la mwaka huu wanatoka kivingine ili kuendana na kasi ya Sayansi na Teknolojia kwa kuwashirikisha waimbaji wa ndani na nje ya Tanzania. Kwa mujibu wa Msama kwa kuwa wameamua kukuza muziki huo hapa nchini, dhana hiyo itafanyika kila kona ya dunia ili Tanzania ipige hatua zaidi katika tasnia ya muziki huo.

Msama alisema miaka iliyopita walikuwa wakiwatumia katika matamasha yake yaliyoasisiwa tangu mwaka 2000, waimbaji kutoka Kenya, Zambia, Afrika Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na  kwingineko. “Niliyoeleza mwanzoni yanakamilika, kwa sababu nilidhamiria kuliboresha zaidi Tamasha la Pasaka kwa kuwashirikisha waimbaji wa Kimataifa, mashabiki wakae mkao wa kula kupata ladha tofauti katika tamasha la mwaka huu,” alisema Msama.  

Aidha Msama alisema mbali ya Ayobami, Kamati imemuongeza muimbaji wa injili raia wa Rwanda, Lilliane Kabaganza ingawa bado taratibu zinaendelea kuwapata waimbaji wengine wa kimataifa. Mbali ya waimbaji hao wa Kimataifa, wengine ni Rebecca Malope, Keke Phoofolo (Afrika Kusini), Ephraim Sekereti (Zambia), Faraja Ntaboba (DRC) na Sarah K, Paul Mwai (Kenya).Baadhi ya waimbaji wa Tanzania waliothibitishwa kushiriki katika tamasha hilo ni pamoja na John Lisu, Rose Muhando, Upendo Nkone na Upendo Kilahiro.
 

KATIBU MKUU WA CCM AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA,ATEMBELEA ENEO LA UJENZI MPYA WA BANDARI

$
0
0
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akipata maelezo mafupi kutoka kwa wenyeji wake kuhusiana na ujenzi wa hatua za awali za bandari ya Kabwe,wilayani Nkasi mkoani Rukwa.
Mmiliki wa Kampuni ndogo ya Kusindika samaki Bwa.Nassor Shibib,akimpa malezo mafupi  Ndugu Kinana namna ya kuhifadhi samki aina ya Migebuka kabla ya kusafirishwa na kuuzwa katika nchi ya Zambia,Congo,Burundi na Rwanda na wafanyabiashara wa eneo la Kabwe.
 Ndugu Kinana akipata maelezo kutoka kwa Mmiliki wa Kampuni ndogo ya Kusindika samaki Bwa.Nassor Shibib,katika kijiji cha Kabwe,wilayani Nkasi,namna ya kuhifadhi samaki kabla ya kuuzwa katika nchi ya Zambia,Congo,Burundi na Rwanda na wafanyabiashara wa eneo la Kabwe.
 Ndugu Kinana akipata maelezo mbalimbali kuhusiana na suala la uvuvvi katika eneo hilo ambalo linatarajiwa kujengwa bandari
 Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana akiangalia samaki katika kiwanda kidogo cha kuhifadhia samaki na kuuza katika kijiji cha Kabwe,Wilayani Nkasi mkoa wa Rukwa  mapema leo,ambapo pamoja na mengine Ndugu kinana alifanya mkutano wa hadhara ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku 21 katika mikoa ya Rukwa,Katavi na Kigoma,ziara hiyo ikiwa na lengo la kuimarisha Uhai wa chama,kusikiliza kero mbalimbali za wananchi na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata ilani ya CCM.
 Samaki aina ya Migebuka ikiwa imeandaliwa kwa ajili ya kukaushwa kabla ya kuhifadhiwa kwenye majokofu  na kusafirishwa maeneo mbalimbali,ndani na nje ya nchi.
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizungumza jambo na  Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini,Mh.Ally Keisy alipokwenda kukagua ujenzi wa bandari ya Kabwe katika hatua za awali  na kujionea shughuli mbalimbali za uvuvi zinazofanyika katika kijiji hicho kabwe.
 Ndugu Kinana akishiriki ujenzi wa Ofisi ya CCM katika kijiji cha Kabwe,wilayani Nkasi mkoani Rukwa mapema leo jioni.
 Katibu Mkuu wa CCM;ndugu Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Kirando,wilayani Nkasi mapema leo.Kinana alisema kuwa tahakikisha Barabara ya kutoka Sumbawanga mjini kwenda kijiji cha kabwe itatengenezwa kwa kiwango cha lami."Nitaenda na mbunge wenu kushinikisha suala la barabara hii ili ijengwe kwa kiwango cha lami na kuwarahisishia sughuli za  kibiashara"alisema.Alisema kuwa maendeleo hayawezi kuja ikiwa miundombinu ni mibovu hivyo atahakikisha analifikisha kwa waziri mwenye dhamana pamoja na mkuu wa nchi ili kazi hyo ifanyike mapema. 

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia wananchi na wanachama wa CCM,mapema leo jioni katika kijiji cha Kabwe,Wilayani Nkasi.Kinana alisema kuwa, Serikali inatambua  matatizo ya wananchi wa kjijini hapo ikiwemo suala la pembe jeo, maji pamoja na uvamizi wa wavuvi. "Miradi yote inayotekelezwa nchi nzima kwa sasa ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2010, hatubagui kwakua wote ni watanzania"alisema.Alisema kuwa Serikali inatambua kuwa shughuli kubwa ya kijini hapo ni uvuvi hivyo itajitahidi kuwe na utaratibu wa kuwasaiidia kupata mikopo ili waweze kununua zana za uvuvi ili waweze kujiendeleza.
 Mdau Kamanda wa Matukio Richard Mwaikenda akitafuta taswira mwanana kabisa kwenye mkutano wa hadhara mapema leo mchana katika kijiji cha Kabwe,wilani Nkasi mkoani Rukwa.


RAIS KIKWETE AONGEA NA MAMIA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA

$
0
0


 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia mamia ya Watanzania waishio Uingereza alipokutana nao usiku wa Machi 30, 2014 katika ukumbi wa Sattavis Patidar Centre, Wembley, London, aliko katika ziara ya kiserikali ya  siku tatu kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa Uingereza Mhe David Cameron.PICHA NA IKULU

BARAZA LA MADIWANI LA MJI KOROGWE LAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MPANGO TIBA KWA KADI (TIKA)

$
0
0
Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Bw. Lewis Kalinjuna akiongoza kikao cha Baraza la Madiwani katika kupitisha sheria ndogo ya Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwenda katika Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA). Kikao hicho cha mwisho kimefanyika Machi 29, 2014 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Pembeni ni Mwenyekiti wa Hamashauri ya Mji Korogwe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kilole, Mheshimiwa Angello Bendera (kulia), Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji ambaye ni Diwani wa Kata ya Mtonga, Mheshimiwa Francis Komba (kushoto).
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) – Mkoa wa Tanga, Bw. Ally Mwakababu akitoa maelezo machache juu ya TIKA. Pembeni ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji ambaye ni Diwani wa Kata ya Mtonga, Mheshimiwa Francis Komba na Mwenyekiti wa Hamashauri ya Mji Korogwe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kilole, Mheshimiwa Angello Bendera.
Wajumbe wa Baraza la Madiwani wakifuatilia kwa makini.


Waheshimiwa Madiwani wakitoa misimamo yao.
Waheshimiwa Madiwani walipata wasaa wa kuhoji kabla ya kukubali kwa mikono miwili mpango wa Tiba kwa Kadi.
Waheshimiwa Madiwani walipata wasaa wa kuhoji kabla ya kukubali kwa mikono miwili mpango wa Tiba kwa Kadi.
Afisa Matekelezo na Uratibu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) – Singida, Bw. Issaya Shekifu akitoa ufafanuzi jinsi sheria za TIKA zinavyofanya kazi.
Mganga Mkuu wa Halmashauri ya mji Korogwe, Dokta Jerry Mwakanyamale akisoma sheria za uanzishwaji wa Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA) ili zibarikiwe na Baraza la Madiwani ambapo kwa kauli moja wameubariki mpango huo na sasa tika itaanza kupigiwa debe na watu wajiunge ambapo jana katika kikao cha wadau jumla ya milioni 1.3 zilichangwa.

Japan yasaidia Tanzania kuinua kilimo.

$
0
0
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akitia saini hati ya makubaliano ya msaada wenye thamani ya ziadi ya bilioni 6 unaolenga kukuza sekta ya kilimo uliotolewa   na Serikali ya Japan  kupitia Shirika la Kimataifa la Japan (JAICA) leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Balozi wa Japan nchini Masaki Okanda.

 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akikabidilishana nakala ya makubaliano waliosainina na Balozi wa Japan nchini Masaki Okanda (kulia) ambayo yanahusu msaada uliotolewa na Serikali ya Japan  kupitia Shirika la Kimataifa la Japan (JAICA) leo jijini Dar es salaam. 

 Mwakilishi wa Mkuu wa JAICA nchini Yasunori Onishi akikabidilishana nakala za mkataba uliosainiwa na Balozi wa Japan nchini Masaki Okanda (kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) leo jijini Dar es salaam. 

Balozi wa Japan nchini Masaki Okanda (kulia), akiteta jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) baada ya Serikali ya Tanzania kusaini mkataba na Serikali ya Japan leo jijini Dar es salaam.  (Picha zote na Eleuteri Mangi).
========= ========= =========

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO

Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa zaidi ya sh. bilioni sita (6) za Kitanzania ambazo ni sawa na Yen milioni 380 zilizotolewa na Serikali ya Japan kupitia Shirika lake la Kimataifa la Misaada (JAICA) . Kauli hiyo ilitolewa leo jijini Dar es salaam na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa kupokea msaada huo  ambao utatumika kukuza sekta ya kilimo na kupunguza umasikini nchini. Katibu Mkuu Dkt. Likwelile alisema kuwa msaasa huo utatumika kununulia mbolea (UREA) ili kuongeza tija katika uzalishaji mazao na unalenga kuwafikia wakulima wadogo wadogo nchini ili kuwaongezea kipato chao.

Katibu Mkuu huyo alisema kuwa msaada huo umekuja muda muafaka ambapo serikali inachukua hutua za makusudi kuinua sekta ya kilimo ambayo inawaajiri watanzania takribani asilimia 74 nchini.  Aidha, Katibu Mkuu aliishukuru Serikali ya Japan kwa msaaada huo na kumhakikishia Balozi wa Japan nchini Mh. Masaki Okanda kuwa msaada uliotolewa na Japan kupitia JAICA utatumika kulinganana malengo yaliyokusudiwa.

Kwa upande wake  Balozi wa Japan nchini Masaki Okanda alisema kuwa msaada uliotolewa na Serikali yake kupitia JAICA unalenga zaidi sekta ya kilimo na kusaidia kuimarisha miundo mbinu ya barabara na masoko ambayo ndiyo kiini cha ufanisi katika sekta hiyo. Naye Mwakilishi wa Mkuu wa JAICA nchini Yasunori Onishi alisema kuwa mahusiano mazuri yaliyopo kati ya Tanzania na Japan ni wa kihistoria ulianzishwa tangu mwakqa 1974 ambapo mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa unanufaika na misaada hiyo katika kuboresha kilimo.

Akimshukuru Katibu Mkuu Likwalile na Balozi wa Japan nchini  Okanda, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kayandabila alisema kuwa amefurahi Wizara yake kupata masaada huo na ameahidi kuwa utatumika kwa malengo yaliyokusudiwa ili kuleta kilimo chenye tija nchini. Serikali ya Japan nchini kwa kushikiana na Tanzania katika kusimamaia kilimo inaongozwa na nguzo kuu tatu ambazo ni kilimo, miundombinu na utawala bora, hali ambayo itaihakikishia nchi kuwa na uhakika wa mazao bora na hivyo kupunguza umasikini nchini.
Mwisho.


TAARIFA ZIARA YA RAIS KIKWETE UINGEREZA

$
0
0
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898

E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.compress@ikulu.go.tz             

Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT’S OFFICE,

      THE STATE HOUSE,

       P.O. BOX 9120,  

DAR ES SALAAM.

Tanzania.

 
                                                                                      

TAARIFA KWA UMMA


Uingereza inajivunia kuwa nchi inayoongoza katika uwekezaji nchini Tanzania na itaendelea kuisaidia Tanzania katika jitihada zake za kiuchumi na kuleta maendeleo .

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amemuambia Rais Kikwete wakati wa mazungumzo yaliyofanyika 10 Downing Street,  Leo tarehe 31 March, 14, ambapo ndipo yalipo Makao Makuu ya Waziri Mkuu wa Uingereza.

"Tunafurahia sana uhusiano wetu na kujivunia kuwa tunaongoza katika 
Uwekezaji nchini Tanzania" Bw. Cameron amesema na kumhakikishia Rais Kikwete kuwa Uingereza iko tayari kutoa misaada zaidi.

Rais Kikwete amewasili nchini Uingereza tarehe 30 Machi, 2014 kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku 3 kufuatia mualiko wa Bw. Cameroon ambaye pia amemuomba Rais Kikwete aendelee kutoa mchango wake wa mawazo katika masuala ya kimataifa hasa baada ya mwisho wa muda wa malengo ya millennium ya 2015.

"Tunakaribia mwisho wa muda wa malengo ya millennia Mwaka 2015, tutahitaji kuweka vipaumbele vingine baada ya hivyo kama kuondosha umaskini, Maji safi na salama, masuala ya ufisadi na utawala bora, natumaini utaendelea kutoa mchango wako baada ya malengo hayo kufikia tamati" Waziri Mkuu Cameron amemuambia Rais Kikwete ambapo Rais amekubali ombi hilo na kuahidi ushirikiano wake.

Mapema leo asubuhi Rais amekutana na mtoto wa Mfalme Prince Andrew katika makazi ya Malkia ya Buckingham ambapo wamebadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya Kimataifa na Kijamii.

Kabla ya kwenda Buckingham Rais amefungua mkutano kuhusu uwekezaji na kuelezea fursa na nafasi zilizopo za uwekezaji nchini Tanzania na kuelezea kwanini wawekezaji watakuwa wanafanya uamuzi bora kwa kuwekeza Tanzania kuwa ni pamoja na; 

"Fursa nyingi, amani, usalama, soko la kutosha na kubwa kwa vile Tanzania iko katika Umoja wa Afrika Mashariki, Ukanda wa Maziwa Makuu na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika,hivyo kuwa na uhakika wa soko kubwa na pana" amesema.

Katika ziara yake Rais pia amekutana na Mstahiki Meya  wa Jiji la London Mama Alderman Fiona Woolf na kukaribishwa rasmi Jijini London. Mstahiki Meya  anatarajia kutembelea Tanzania, Mwezi Septemba Mwaka huu.

Rais alipowasili London tarehe 30 Machi,2014, alikutana na Watanzania wanaoishi nchini Uingereza na kuwaeleza maendeleo yaliyopo nchini Tanzania.

Rais anaendelea na ziara yake nchini Uingereza

Mwisho.

Imetolewa na;



Premi Kibanga.
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
London Uingereza
31 Machi, 14


SUPER D AMPIKA JUMA BIGLEE KUPAMBANA APRIL 15 CHALINZE

$
0
0
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimwelekeza jinsi ya kutupa makonde bondia Juma Biglee wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala amana CCM Dar es salaam jana.

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimwelekeza jinsi ya kutupa makonde bondia Juma Biglee wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala amana CCM Dar es salaam jana Biglee anajiandaa na mpambano wake april 15 Chalinzo mkoa wa pwani picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

WAWILI WAKAMATWA MKUTANO WA CCM WAKIGAWA VIPEPERUSHI UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE

$
0
0
Vijana hawa wawili walikamatwa kwenye mkutano wa CCM wakigawa vipeperushi vya Chadema bila wasiwasi ,hata hivyo viongozi wa CCM waliokuwa kwenye mkutano huo wa kampeni uliofanyika kijiji cha Mkoko kata ya Msata tarehe 24 Machi 2014, waliwaambia tu wanachofanya  ni uvunjaji wa utaratibu hivyo kuwaomba waondoke eneo la mkutano huo na kusubiri zamu ya mkutano kisha ndio wasambaze vipeperushi vyao.

Ngeleja mgeni rasmi tamasha la Pasaka jijini Mwanza

$
0
0
 
 ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja anatarajia kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Pasaka linalotarajia kufanyika Mei 4 Jijini Mwanza.Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti  wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Abihudi Mang’era kamati imejipanga  kufanya tamasha la kishindo jijini humo kwa sababu maandalizi yake ni ya hali ya juu.

Mang’era alisema tamasha hilo litakuwa ni la aina yake ambako alitoa wito kwa wakazi wa Kanda ya ziwa kujitokeza kwa wingi katika tamasha hilo. Mang’era alisema sambamba na Ngeleja, Naibu Waziri wa Nishati na Madini Stephen Masele anatarajia kuwa mgeni rasmi mkoani Shinyanga Mei 3. Aidha Mang’era  alisema mipangilio ya kuelekea tamasha hilo inaendelea vizuri hivyo wakazi wa Kanda ya Ziwa wakae mkao wa kula kupata neno la Mungu kupitia waimbaji mbalimbali wa Tanzania na nje.

Alisema tamasha hilo jijini Mwanza linatarajia kukongwa na muimbaji raia wa Afrika Kusini, Rebecca Malope na wengineo watakaoteuliwa na kamati ya maandalizi.

MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP 2014 YAANZA KUTIMUA MBIO

$
0
0
MASHINDANO ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii inayowahusisha waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari (NSSF Media Cup) yameanza kutimua vumbi katika uwanja wa TCC, Chang'ombe jijini Dar es Salaam.

Akifungua mashindano hayo, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka, amewataka wanahabari nchini kuhakikisha wanajiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili kujihakikishia maisha ya amani na utulivu baada ya kustaafu.

Alisema kuwa, wanahabari wanapaswa kwenda mbali zaidi katika kulitumia shirika hilo, ili kunufaika na mafao mbalimbali yanayotolewa kwa wanachama.

Katika ufunguzi huo, timu ya soka ya New Habari (2006) Ltd iliumana na Habari Zanzibar katika Soka, ambako hadi  filimbi ya mwisho Habari Zanzibar iliibuka kidedea kwa magoli 4-1, magoli ya Zanzibar yaliwekwa wavuni na Amoor Suleiman aliyeweka wavuni goli moja na Yusuph Juma magoli matatu huku goli la New Habari likiwekwa wavuni na Florian Mwasinde.


Kwa upande wa netiboli, timu ya Jambo Leo iliichapa timu ya Wizara ya Habari Bara kwa jumla ya magoli 59-8, katika pambano la upande mmoja lilipoigwa kwenye viwanja hivyo.

Katika mechi ya pili ya netiboli, Azam Media iliumana na Tanzania Standards Newspaper (TSN), ambako Azam waliibuka washindi kwa magoli 18-13.

Kabaka aliwataka washiriki wa mashindano hayo ya 11 yanayoshirikisha wafanyakazi wa vyombo vya habari kuonesha ushindani, ufundi na nidhamu ili kuongeza hamasa ya michuani hiyo.

Alivitaka vyombo vya habari kuepuka kuingiza wachezaji wasio wanahabari (mamluki), kudumisha lengo la umoja na ushirikiano baina ya shirika hilo kongwe na vyombo vya habari, ikiwamo kuwapa mazoezi wafanyakazi wa vyombo hivyo.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza wakati wa uzinduzi wa mashindano hayo. Wa pili kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Chiku Matesa.

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka (wa pili kulia), akipata maelezo kutoka kwa Ofisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Carolyne Newa wakati alipotemberlea banda la NSSF wakati wa uzinduzi wa mashindano ya NSSF Media Cup 2014 kwenye uwanja wa TCC Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akisalimiana na mshambuliaji wa timu ya New Habari 2006, Joh Dande wakati wa uzinduzi wa michuano ya NSSF Media Cup 2014 kwenye uwanja wa TCC Chang'ombe Dar es Salaam.


 Mchezaji wa New Habari, Jonathan Tito, akimiliki mpira huku akizongwa na mshambuliaji wa timu ya Habari Zanzibar, Hamza Hamza katika mchezo wa ufunguzi wa michuano ya NSSF Media Cup uliofanyika kwenye Uwanja wa TCC, Chang’ombe jijini Dar es Salaam jana. Habari Zanzibar ilishinda 4-1.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Chiku Matesa (kulia), akibadilishana mawazo na Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka wakati wa uzinduzi wa michuano hiyo.
 Mchezaji wa timu ya netiboli ya Jambo Leo (kushoto), akimiliki mpira wakati timu hiyo ilipopambana Habari-Maelezo. Jambo leo ilishinda  ilishinda 60-8
 Mchezaji wa timu ya netiboli ya Jambo Leo (kushoto), akimiliki mpira wakati timu hiyo ilipopambana Habari-Maelezo. Jambo leo ilishinda  ilishinda 60-8
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka  akizundua michuano ya netiboli ya NSSF Media Cup.
Kikosi cha Jambo Leo.






 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Chiku Matesa akisalimiana na wachezaji wa timu ya Azam Media wakati wa ufunguzi wa michuano ya NSSF Media Cup 2014.
Wasanii wa kikundi cha Dar Greater wakitumbuiza wakati wa hafla hiyo.

PICHA MBALIMBALI ZA MATUKIO YA RAIS KIKWETE NCHINI UINGEREZA

$
0
0
  Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akibofya kitufe kuzindua rasmi mpango wa bima ya afya na maafa wa WESTADI wa mfuko wa Jamii wa NSSF jijini London, akiwa na Mkurugenzi wa NSSF Dkt RAmadhani Dau na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya mfuko huo Bw. Abubakar Rajabu (kushoto) . Mwenye miwani kati ni Bw. Aboubakar Faraji aliyekuwa mwongoza sherehe wa siku hiyo ambapo Dkt Kikwete alikutana na kuzungumza na Watanzania waishio Uingereza.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Bw. Hague alipomtembelea ofisini kwake jijini London kwa mazungumzo Machi 31, 2014
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron alipomtembelea ofisini kwake 10 Downing Street jijini London kwa mazungumzo Machi 31, 2014
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na Duke of York ambaye pia ni  Balozi wa Biashara wa Serikali ya Uingereza  HRH Prince Andrew katika kasri ya Malkia ya Uingereza ya Buckingham Palace jijini London Machi 31, 2014
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron alipomtembelea ofisini kwake 10 Downing Street jijini London kwa mazungumzo Machi 31, 2014
  Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Meya wa Jiji la London Mstahiki Alderman Fiona Woolf alipomtembelea ofisini kwake Mansion House jijini London Machi 31, 2014

 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wadau mbalimbali wa biashara na uchumi  wa Uingereza aliokutana nao katika ukumbi wa  Chatham House  jijini London Machi 31, 2014.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wafanyabishara wakubwa na wawekezaji wa Uingereza aliokutana nao katika mkutano wa biashara na uwekezaji katika makao makuu ya Wizara ya Mambo ya Nje na Jumuiya ya Madola jijini London Machi 31, 2014
Viewing all 46373 articles
Browse latest View live




Latest Images