Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46334 articles
Browse latest View live

MWIGULU NCHEMBA AUNGURUMA KALENGA, AMNADI MGOMBEA UBUNGE WA JIMBO HILO GODFREY MGIMWA MKOANI IRINGA


MWIGULU NCHEMBA ,MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA WASHIRIKI MAZISHI YA WANANCHI WATATU KIJIJI CHA KIDAMALI MKOANI IRINGA

$
0
0
Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba na akishiriki mazishi ya wananchi watatu waliofarika kwa ajali ya gari,mazishi hayo yamefanyika jioni ya leo katika kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi mkoani humo.
 Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga,mkoani Iringa,Ndugu Godfrey Mgimwa akishiriki mazishi ya wananchi watatu waliofarika kwa ajali ya gari,mazishi hayo yamefanyika jioni ya leo katika kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi mkoani humo.
Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Kidamali wakishiriki kwenye mazishi ya wananchi watatu waliofariki kwa ajali ya gari,iliotokea jana,mazishi hayo yamefanyika jioni ya leo ambapo.Katika mazishi hayo  wanachama wa Chama cha CHADEMA na CCM walishiriki na kutoa ubani wao kwa wafiwa,ambapo CCM walitoa kiasi cha shilingi Miloni moja na CHADEMA shilingi Elfu Hamsini.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba na Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga,mkoani Iringa,Ndugu Godfrey Mgimwa wakiteta jambo kabla ya kwenda kutoa pole na kushiriki mazishi ya Wananchi watatu wa kijiji cha Kidamali,waliofariki kwa ajali ya gari hapo jana mkoani humo.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba na Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga,mkoani Iringa,Ndugu Godfrey Mgimwa wakiwasili katika kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi,wakati walipokwenda kushiriki mazishi ya Wananchi watatu wa kijiji hicho waliofariki kwa ajali jana.
 Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga,mkoani Iringa,Ndugu Godfrey Mgimwa akizungumza jambo na baadhi ya akina mama waliofika kutoa pole kwenye msiba wa wananchi watatu waliofarika kwa ajali ya gari jana,kwenye kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi na pia kushiriki mazishi yao yaliyofanyika leo kijijini humo.

CHADEMA YAENDELEA NA KAMPENI ZAKE ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGO MKOANI IRINGA

$
0
0
 Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema taifa, John Heche, akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Lumuli, wakati wa kampeni za kumnadi mgombea wa ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga kupitia chama hicho, Grace Tendega uliofanyika kijijini hapo jana.

 Meneja wa Kampeni za mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Alphonce Mawazo, akimwelezea mtoto Zakina Miwela, anayesoma darasa la pili katika Shule ya Msingi Lumuli, ambaye ni mtoto wa kiongozi wa CCM wa kijiji hicho, anavyoonekana bila viatu na sare zake kuchanika, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kijijini hapo jana.
 Meneja wa Kampeni za mgombea ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Alphonce Mawazo na mgombea, GraceTendega, wakizungumza na akinamama wa kijiji cha Lumuli, katika kikao maalumu baada ya mkutano wa kampeni, zilizofanyika kijijini hapo jana.
Mgombea  wa CHADEMA akipokelwa Lumuli;

Shirikisho la Madini Thailand kuisaidia Tanzania kuwa kitivo cha Madini Afrika

$
0
0
Na Asteria Muhozya, Bangkok, 
 Kutokana na kuwa na hazina kubwa ya madini ya aina mbalimbali hususani madini ya vito na usonara tofauti na nchi nyingi za Kiafrika, yakiwemo madini ya Tanzanite, Shirikisho la madini ya vito na usonara la Thailand, limehaidi kuisaidia Tanzania kuikuza sekta hiyo, katika nyanja za kibiashara na kiuchumi ili kuifanya Tanzania kuwa, kitivo kikubwa cha madini barani Afrika, huku ikianzia na kuboresha maonesho ya kimataifa ya madini ya vito na usonara ya Arusha yanayofanyika kila mwaka. 
 Aidha, nia ya shirikikisho hilo imetokana na uwepo wa makampuni mengi ya wafanyabiashara wa Thailand kupenda madini yanayotoka Tanzania ikiwa pia ushirikiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Thailand.
  Hayo yamesemwa kwa nyakati tofauti na Viongozi wa Shirikisho la madini ya vito na usonara Thailand na kiongozi kutoka Idara ya Ukuzaji Biashara ya Kimataifa katika Wizara ya Biashara ya Thailand. 
 “Tunataka kuisaidia Tanzania kutengeneza fursa nyingi zaidi za kibiashara katika tasnia hii. Tanzania ina kila sababu ya kufanikiwa katika hili, kuna madini mengi na bora ya kuifanya kuwa kituo kikubwa cha madini Afrika”. Amesema Tom Broke, Makamu wa Rais wa Shirikisho la madini ya Vito na usonara Thailand. 
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Idara ya Ukuzaji Biashara ya Kimataifa katika Wizara ya Biashara ya Thailand, Bibi Nuntawan Sakuntanaga, ambaye amelitembelea banda la Tanzania na kufurahishwa na aina za madini zilizowasilishwa, amehaidi kuboresha maonesho hayo ili kuziwezesha nchi zenye hazina kubwa kama Tanzania kuweza kushiriki maonesho hayo kwa kiwango kikubwa. 
 “Tanzania inashiriki katika maonesho haya kwa mara ya kwanza, tunataka kuwasaidia katika hili, ili muweze kujenga mtandao mkubwa zaidi wa kibiashara kwasababu mna kila sababu ya kufanikiwa kutokana na umuhimu wenu katika sekta hii. Sisi sote tunawahitaji ninyi.” Amesema Bibi. Sakuntanaga. 
 Hivyo, amewataka wafanyabiashara wa Kitanzania kujenga mtandao wa kibiashara na wadau wengine duniani kutokana na ubora wa madini yanayopatikana nchini. 
 Wakati huo huo, Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania, (TAMIDA) Bw. Sam Mollel, amewaomba viongozi wa Shirikisho hilo kuhakikisha kuwa wanaboresha mazingira ya kibiashara kati ya Tanzania na Thailand ili kuwawezesha wafanyabiashara wa madini kushiriki kwa wingi na kuleta bidhaa nyingi zaidi katika maonesho mengine nchini humo ikiwemo kufanya biashara na Thailand. 
 Kwa upande wake kamishna Msaidizi Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Hamis Komba, ameeleza kuwa, jambo hilo ni fursa kubwa kwa Tanzania na wadau wa madini nchini ambayo wanahitaji kuitumia kikamilifu kutokana na nafasi kubwa ambayo Tanzania imepewa katika maonesho hayo na utayari wa nchi ya Thailand kutaka kushirikiana na Serikali na wafanyabiashara wa madini wa Tanzania. 
 Ameongeza kuwa, maonesho ya madini ya Arusha ni fursa nyingine kwa Tanzania kutokana kuwa nchi pekee katika ukanda wa Afrika, ambayo inafanya maonesho ya vito vya madini na usonara, Afrika. 
 “Tumejidhatiti kujifunza kutoka kwao na tumefarijika kuona namna wafanyabiashara mbalimbali wanavyothamini madini yetu na maonesho yetu ya Arusha. Hiyo ni hatua ya kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha madini”. Amesema Kamishna Komba.
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Idara ya Ukuzaji Biashara ya Kimataifa katika Wizara ya Biashara ya Thailand, Bibi Nuntawan Sakuntanaga, akiangalia madini aina ya Tanzanite, alipotembelea banda la Tanzania. Wa kwanza kulia ni Kamishna Msaidizi wa Madini, Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Hamis Komba,  wa tatu kulia ni Makam wa Rais wa Shirikisho la madini ya vito na usonara, Thailand Bw. Tom Broke, wengine wanaoshuhudia ni wawakilishi wa Tanzania katika maonesho hayo.

 Mkurugenzi Mtendaji Idara ya Ukuzaji Biashara ya Kimataifa katika Wizara ya Biashara ya Thailand, Bibi Nuntawan Sakuntanaga, katika picha ya pamoja na ujumbe wa Tanzania katika maonesho ya 53 ya ‘Bangkok Gems and Jewelry Fair’’.

Wafanyabiashara wa madini kutoka nchi mbalimbali wakiangalia madini ya almasi katika banda la Tanzania. Wanaohushudia ni Bib.Teddy Goliama kutoka idara ya uthamini madini ya almas wizara ya nishati na madini na wa pili ni Bw. Gregory Kibusi mchimbaji wa madini.

Maongezi kati yangu nawe kuhusu Katiba Mpya

HALMASHAURI YA JIJI : JE HAWA NI SAHIHI KUWEPO KATIKA ENEO HILI?

$
0
0
Hili ni eneo la Ubungo ambapo Kumekuwa na kero kubwa ya wafanya bishara wadogo wadogo kuegesha biashara zao za kila aina pembezoni mwa njia za wapita kwa miguu jambo ambalo linasababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji hao wa barabara hiyo.

Licha ya usumbufu huo  na kero hiyo, eneo hilo kutokana na msongamano wa watu wengi sana, limekuwa ndio maskani kwa vibaka ambao hujipatia kipato chao bila hata ya jasho kwa kujichanganya humo kama raia wa kawaida na kufanya wizi.

Wakizungumza watumiaji mbalimbali wa barabara hiyo wamelilalamikia Jiji na Manispaa husika kwa kushindwa kuwataftia eneo husika wafanyabiashara hao wadogo wadogo na kwamba kutokana na uzembe huo mkubwa wakuto wazuia nao wameamua kuendelea kuleta kero

"Eneo hili kwa kweli linatia Aibu sana kwa sababu hapa ndipo Lango kuu la kuingia jijini na mara watu wanapo ingia wanakutana na kero hii ambayo mimi binafsi naita ni uchafu, nasikitika sana kuona Jiji na Halmashari husika wameshindwa kabisa kudhibiti na kuwataftia eneo husika hii ni aibu" Alizungumza mmoja wa watumiaji wa barabara hiyo ambaye hupita mara kwa mara.

Hizi ni Picha zilizopigwa moja kwa moja katika eneo hilo...   

  
 Hawa nao wanauza Viatu pande hizi kwa bei nafuu...
 Wengine wanauza samaki katika eneo ambalo kiafya sio sahihi
 Wenye kuuza Nguo za ndani katika eneo kama hili nao wapo ingawa napo kiafya sio nzuri yaweza sababisha magonjwa ya ngozi kwa sababu watu wengi wanaonunua huishia kuvaa moja kwa moja bila hata kufua
 Hawa wametundika Suluali pembezoni mwa Barabara


 Eneo hili lina vumbi na huku wakiwa wameanika T-Shirt zao na kuuza kitendo kinacho sababisha kupatwa vumbi na kuhatarisha afya za watumiaji.
 Wengine wanauza Urembo pamoja na makasha ya simu
 Hii kali sana hawa Jamaa wanauza DVD kwa Tsh 500 hadi 1,000 bei ya juu sasa swali linakuja hapa kuna kazi za Nje na ndani ya Tanzania Je Haki miliki Mpo? na watu wa mapato hili mnalionaje?
 Wauza Radio kwa Bei nafuu sana nao wapo
 Huu ni uzibe wa Barabara kuu na wapita kwa miguu lakini vya kuzibia vimejaa nguo mbalimbali je Hiyo ni sehemu halali ya kufanyia Biashara?
 Katika eneo hili la Ubungo sio pembezoni mwa barabara pekee lakini hadi mabondeni biashara zinaendelea kwa kasi.
 Hawa nao wapo wanauza Vioo vya kujitazamia pamoja na vifaa vya kuegeshea nguo
 Mikanda ya nguo mbalimbali nayo inauzwa katika eneo hili
 Miwani ya wakubwa na watoto nayo ipo kwa bei poa
 Ma bukta yakutosha yanauzwa eneo hili , yakiwa yamepigwa vumbi la kutosha
 Hii ndiyo hali Halisi ya eneo kutoka Ubungo Darajani karibia na mitambo ya Gesi hadi eneo la watu wanaopandia magari ya kwenda Mwenge? Je Halmashauri ya Jiji hamlioni hili? Je Manispaa husikia nanyie hamlioni hili? Au hili ni eneo halali limepitishwa kwa ajili ya kufanya biashara hizi?



 Picha na Dar es salaam yetu

FURSA KUTOKA GLOBAL TALENT SEARCH

RADIO UHURU WALIVYO UAGA MWAKA 2013 KWA RAHA ZAO

$
0
0
 Usiku wa kuamkia leo, wafanyakazi wa Uhuru FM, Redio ya wananchi waliamua kujiachia kivyao vyao katika Bonge la tafrija la kuuaga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka mpya. Tafrija hiyo iliyoongozwa na Kaimu Mkurugenzi wao Angela Akilimali ilifana na kupongezwa na kila mfanyakazi kwa jambo hilo jema la kuwakutanisha wafanykazi na kufurahi pamoja. Pichani ni wafanyakazi hao wakigonga chiaaaaaaz!!
 burudani ilitawala tafrija hiyo...
 Kila mmoja aliinuka na kucheza
 Kaimu Mkurugenzi Maama Angela Akilimali nae hakutaka kubaki kitini aliongoza safu ya kusakata kwaito.
 Wengine wali show love namna hiii
 Dj Fast Edie nae alishow love na boss bila wasi wasi.
 Burudani iliendelea....
 Kaimu Mkurugenzi alifungua mvinyo wa kutakiana heri.


 Alougawa kwa kila mfanyakazi
 Msosi ulifika wakati wake na kila mtu alijongea kunako meza na kujipatia kile roho inapenda.
 Burudani ilikuwa mwanzo mwisho...
 Wazee wao waliwatazama vijana wakiburudika
 Ilikuwa Balalaaaaaa....
 Limonga Jastin Limonga (kulia) aliwaongoza vijana kucheza Msondo
Picha ya pamoja ya waalikwa wote ilipigwa.

Lowassa wasili bukoba kushiriki mazishi ya balozi Kazaura.

$
0
0
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli,Mh.Edward Lowassa akisalimiana na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Kagera,Alhaj Haruna Kichwabutu alipowasili mjini Bukoba mapema leo kwa ajili ya mazishi ya Balozi Fulgence Kazaura.Picha na Mdau



HUU NI USHAMBA NA ULIMBUKENI ULIOKITHIRI KWA YANAYOTENDEKA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA, SI SAWAA HATA KIDOGO.!

$
0
0
 Katika hali isiyokuwa ya kawaida,Mashabiki wa timu ya Simba wameanza tena kung'oa viti vya kukalia uwanjani hapa na kuwatupia MashabiKi wenzao wa Timu ya Yanga waliofurika kwa wingi uwanjani hapa,kwa kile kinachodaiwa kuwa hawataki kukaa nao sehemu moja.

Lakini kwa hali ilivyo hivi sasa Uwanjani hapa,ni dhahiri kabisa kuwa Mashabiki hao wa Yanga wanaweza kuujaza Uwanja huu hasa kwa jinsi wanavyozidi kuingia Uwanjani hapa.Uongozi wa Vilabu hivi viwili vikubwa hapa nchini unatakiwa kukaa chini na Mashabiki wao na kuwakanya kuhusiana na uharibifu wa Miundombinu wanaoufanya Mashabiki wao katika Uwanja huu wa Taifa,kwani kuendelea kwa vitendo hivi kunazorotesha sana soka letu.Picha zote na Othman Michuzi wa MICHUZI MEDIA GROUP.

 Mashabiki wa Timu ya Simba wakiendelea kuwarushia viti Mashabiki wa timu ya Yanga kabla hata ya mtanange wenyewe kuanza uwanjani hapa.
 Viongozi wa timu ya Yanga wakiwaomba Mashabiki wao kuhama katika eneo hilo na kwenda kujibana katika eneo walilotengewa kama wana Yanga.  
 Mashabiki wa timu ya National Al Ahly wakiongea na Askari Polisi kuomba wakalizuie tatizo hilo.
 Askari Polisi wakiongea na Viongozi wa Timu ya Yanga ili waweze kwenda kuwaomba mashabiki wao waaondoke katika upande ule unaodaiwa kuwa ni wa Mashabiki wa Simba. 
 Mambo yalianza kama masihara huku wengine wakitaniana kabisa.

singo mpya ya msanii wa bongofleva Marlaw-NO GO

$
0
0
Sikiliza kipaji hicho kilichokuwa kimya kwa muda mrefu,sasa ameibuka na singo yake iitwayo NO GO

KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA ZAZIDI KUSHIKA KASI,CCM YAJITABIRIA KUNYAKUA JIMBO.

$
0
0
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga,Mkoani Iringa kupitia tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akiwa amebebwa juu na wananchi/Wanakijiji wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Nzihi,Iringa Vijijini mapema leo jioni,alipokwenda kuzungumza nao na kuomba ridhaa yao ya kuwaongoza kama Mbunge.
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga,Mkoani Iringa kupitia tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akipeana mikono na baadhi ya Wazee wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Nzihi,Iringa Vijijini mapema leo jioni,alipokwenda kuzungumza nao kwenye mkutano wake wa hadhara katika suala zima la kuomba kura na kupata ridhaa ya wanakijiji hao kuongozwa na yeye akishinda kiti hicho cha Ubunge wa jimbo la Kalenga. 
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga,Mkoani Iringa kupitia tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akiteta jambo na baadhi ya Wazee wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Inzihi,Iringa Vijijini mapema leo jioni,alipokwenda kuzungumza nao kwenye mkutano wake wa hadhara katika suala zima la kuomba kura na kupata ridhaa ya wanakijiji hao kuongozwa na yeye akishinda kiti hicho cha Ubunge wa jimbo la Kalenga.
 Baadhi ya Wazee wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Inzihi,Iringa Vijijini,wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga mapema leo jioni.
 Baadhi ya Wazee wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Inzihi,Iringa Vijijini,wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga mapema leo jioni.
 Wanachama wa chama cha CCM na wananchi wakishangilia jambo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanywa na CCM mapema leo jioni,ambapo mgombea wa chama hicho,Godfrey Mgimwa alifika na kujinadi kuomba kura na ridhaa ya kuongoza jimbo hilo.  
 Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa,Mh.Gervas Ndaki akiwa amepiga magoti ikiashiria kutoa heshima kwa wananchi kwa ajili ya kuwaomba kura kwa ajili ya Mgombea wa CCM,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika kijiji cha Ilala Simba kata ya Nzihi mkoani humo.


 Anafaaaaaa.......akina mama wakishangilia
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga,Mkoani Iringa kupitia tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akizungumza na Wananchi/Wanakijiji wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Inzihi,Iringa Vijijini mapema leo jioni,akiomba kura na ridhaa yao ya kuwaongoza kama Mbunge. Ndugu Mgimwa alisema kuwa Wananchi Wamuamini kwani anafahamu changamoto zilizopo na majibu ya kuzitatua anayo "Nimefanya utafiti  wa kutosha hivyo najua changamoto zinazotukabili,nipeni nafasi ili niweze kuzitatua kupitia Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2010" alisema Mgimwa
 Wananchi wakishangilia mara baada ya Mgombea wa CCM kuwasili katika kijiji cha Magubike,Kata ya Nzihi mapema leo jioni.
 Huyu ndiyo chaguo letuuuuu...
 Akisalimiana na akina mama wa kijiji cha Magubike
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga,Mkoani Iringa kupitia tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akipokelewa kwa shangwe mapema leo jioni katika kijiji cha Magubike,kabla ya kuzungumza nao kwenye mkutano wake wa hadhara,katika safari nzima ya kuomba kura na ridhaa ya kuwaongoza kwa nafasi ya Ubunge. 
 Hapa ni ushindiiii tuuuu.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mapema leo jioni katika kijiji cha Magubike,ikiwa ni sehemu ya kumnadi mgombea wa chama hicho,Ndugu Godfrey Mgimwa ambaye anagombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kalenga.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mapema leo jioni katika kijiji cha Magubike,katika suala zima la kumnadi mgombea wa chama hicho,Ndugu Godfrey Mgimwa ambaye anagombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kalenga.
Baadhi akina mama wa kijijii cha Magubike wakisikiliza sera zilizokuwa zikitolewa na Mgombea Ubunge wa jimbo la Kalenga,Ndugu Godfrey Mgimwa.

AL AHLY YA MISRI YAFYATA MKIA KWA YANGA,YANYUKWA BAO 1 - 0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO

$
0
0
 Mshambuliaji wa timu ya Yanga,Mrisho Ngassa akiondoka na mpira huku Beki wa Timu ya Al Ahly ya Misri akitafuta namna ya kumzuia katika Mchezo wa Mashindano klabu bingwa Barani Afrika,uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam hivi sasa.Yanga imeshinda bao 1 - 0.
 Kiungo mchezeshaji wa Yanga,Haroun Niyonzima akitafuta namna ya kuwatoka mabeki wa Timu ya Al Ahly ya Misri katika Mchezo wa Mashindano klabu bingwa Barani Afrika,uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam hivi sasa.Yanga imeshinda bao 1 - 0.
 Kiungo mchezeshaji wa Yanga,Haroun Niyonzima akizuiwa na Beki wa Timu ya Al Ahly ya Misri,Ramy Abdel Aziz katika Mchezo wa Mashindano klabu bingwa Barani Afrika,uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam hivi sasa.Yanga imeshinda bao 1 - 0.
Kipa wa timu ya Al Ahly ya Misri,Sherif Ekramy Ahmed akida moja ya hatari iliyokuwa ikielekezwa langoni kwake na Mshambuliaji wa Yanga,Hamis Kiiza.
 Kikosi cha Yanga 
 Kikosi cha Al Ahly

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI 

DESPITE POACHING TANZANIA'S TOURISM SECTOR GENERATES NEARLY 4 BILLION USD ANNUALLY

$
0
0
DSC_0549
Embassy of the Federal Republic of Germany in Dar, Charge d’Affaires, Mr Hans Koeppel speaks to Hyatt Regency the Kilimanjaro Hotel, General Manager, Trevor Saldanha during the cocktail party organized by the Germany Embassy in Dar to honour for tour operators who are going to Berlin to attend International Travel show.(All photos by Zainul Mzige).

By Damas Makangale and Caroline Alexandra, MOblog Tanzania
Despite news of wildlife poaching in Tanzania the current statistics show that the country is generating nearly 4 billion USD in the tourism sector; equal to 13% of the GDP MOblog can report.

Speaking to invited dignitaries at the cocktail party organized by the Embassy of the Federal Republic of Germany in Dar es Salaam, Chargé d’affaires Mr. Hans Koeppel said that after gold, tourism is the largest source of foreign exchange bringing 1.7 billion USD.

He said that for nearly 50 years the ITB has been the driving force in the worldwide travel industry with more than 170,000 visitors. Among these 113,000 trade visitors and 11,000 represented companies from 180 countries.

DSC_0569
Minister for Natural Resources and Tourism Lazaro Nyalandu speaks to invited dignitaries to bid a farewell to Tanzanian tour operators and tourism associations members who are leaving the country to Berlin to attend a top travel destinations to the world’s tourism professionals in Berlin.
DSC_0558
Minister for Natural Resources and Tourism Lazaro Nyalandu and some of the invited dignitaries to bid a farewell to Tanzanian tour operators and tourism associations members who are leaving the country to Berlin to attend a top travel destinations to the world’s tourism professionals in Berlin.

Mr Koeppel further noted that it opens its doors on Wednesday 5th March through to Sunday 9th March 2014. “About 80 Tanzanian companies such as hotels, tourism associations and tour operators are going to present Tanzania as a top travel destination to the world´s tourism professionals represented in Berlin,” “Next week you will have the chance to promote Tanzania’s image as a top tourist destination with highly attractive and unique sites.” He noted.

He further said that regular participation in the ITB for the last decades has given Tanzania access to lucrative markets not only in Europe but worldwide. “German tourists to Tanzania rank only fourth by numbers, but the picture changes when you look at the length of the stay as well as the return travels,” he added. Mr Koeppel underscored that their common goal is strengthening the cultural and economic ties of the two countries and the ITB offers a golden opportunity to foster the exchange of German tourists and Tanzanian citizens.
DSC_0560
He said that from its humble beginnings nearly 50 years ago, the ITB has evolved to be the world’s leading travel trade show. Exhibitors from 180 countries on 160,000 square meters attract 170,000 visitors and generate 5 billion Euros in revenues.

“Nevertheless, I am happy that around 80 Tanzanian tourism companies will be part of the ITB since there is still great potential in the German market,” “In order to tap into this potential, to mine this green gold vein, we need to start by securing its pillars. Safety comes first: this golden rule applies to any major endeavor,” “But especially to tourism. 

It is therefore in all of our foremost interest to keep peace and prevent any strike – as for instance the bombings in Zanzibar this week - from putting our common endeavor at risk,” he said.He clarified that natural resources and wonders are under pressure by climate change and the recent poaching boom will need local and international cooperation to curb the malpractices.
DSC_0553
On his part, Minister for Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu said that the ITB will host the world. He responded to wildlife poaching by saying that there needs to be a government call for a global ban in the trade of ivory and rhino horn, as a new wave of poaching is threatening its elephant and rhino population.

Nyalandu said a new census at the Selous-Mikumi ecosystem, one of the country's biggest wildlife sanctuaries, revealed the elephant population had plummeted to just 13,084 from 38,975 in 2009, representing a 66-percent decline. He said elephant slaughter in Tanzania declined sharply after 1987 when the government launched a major anti-poaching operation, which led to an increase in herds from 55,000 in 1989 to 110,000 in 2009. But the poaching has revived in recent years, driven by fast-rising demand for Ivory and Rhino Horn in Asia in tandem with growing Chinese influence and investment in Africa.


DSC_0587
Cake by Hyatt Regency the Kilimanjaro Hotel.
DSC_0593
Minister Nyalandu and Mr Koeppel cut a cake during the official cocktail party hosted by the Germany Embassy to tour operators.
DSC_0598
DSC_0600
"This is for you Madam, I wish you a safe Journey and All the Best"... Minister Nyalandu.
DSC_0606
Managing Director of Flight Link, Capt. Munawer Dhirani (left) poses for photograph with the Managing Director of Savannah Tours Ltd. Mr. Cliff F. D'Souza during bid a farewell to Tanzanian tour operators and tourism associations members who are leaving the country to Berlin to attend a top travel destinations to the world’s tourism professionals in Berlin.
DSC_0498
Minister for Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu introduced by the Mr Hans Koeppel to some of the Germany Embassy officials.
DSC_0509
DSC_0481
Minister for Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu shares a light moment with Brazilian Ambassador to Tanzania, Hon Francisco Carlos Soares Luz at the cocktail party hosted by the Germany Embassy to bid a farewell to tour operators who are going to Berlin, for the International Travel show (ITB).
DSC_0513
Tanzania Tourist Board (TTB), Dr Aloyce Nzuki exchanges views with Executive Director of Tanzania Investment Centre (TIC) Juliet Kairuki at the cocktail to bid farewell to 80 Tanzanian companies such as hotels, tourism associations and tours operators who are going represent Tanzania at a top travel destination in Berlin the function was held at Hyatt Kilimanjaro hotel on Wednesday this week.
DSC_0469
Embassy of the Federal Republic of Germany in Dar, Charge d’Affaires, Mr. Hans Koeppel shares a light moment with Hyatt Regency the Kilimanjaro Hotel, General Manager, Trevor Saldanha at the cocktail party hosted by the Germany Embassy to bid a farewell to tour operators who are going to Berlin, for the International Travel show (ITB).
DSC_0483
Minister for Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu exchanges views with the Managing Director of Savannah Tours Ltd. Mr. Cliff F. D'Souza together with Brazilian Ambassador to Tanzania, Hon Francisco Carlos Soares Luz.
DSC_0465
Above and below are Some of the tourism associations members and tours operations at the function to bid a farewell to them.
DSC_0524
DSC_0490
DSC_0471

SHY-ROSE AIOMBA SERIKALI YA TANZANIA KUWEZESHA WATANZANIA WAIFAHAMU EAC NA FAIDA ZAKE

$
0
0

1069410_488216681262565_60269170_n

Katibu wa Wabunge wa Tanzania Katika Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. Shy-Rose Bhanji (pichani) amerejea nchini baada ya ziara ya siku 10 ya Wabunge wa EALA nchini Kenya na hicho ndicho alichokisema kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nimerejea nchini baada ya ziara ya siku 10 nchini Kenya. Ziara hii ya wabunge wa EALA ilikuwa kwa mwaliko wa Serikali ya Kenya lengo likiwa kuhamasisha wananchi wa Kenya kupata ufahamu mkubwa juu ya Mtangamano wa Jumuiya na faida zake. Tulipata nafasi ya kuonana na wananchi, wafanyabiashara, wabunge, maseneta, magavana, asasi za kiraia na makundi mengine.

Ziara hii imenifungua macho zaidi kwamba bado tuna kazi kubwa mbele yetu kuhakikisha kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki inakuwa ni ya Wananchi (people Centred Integration).
Kama nilivojionea mwenyewe kwa upande wa maeneo mbalimbali tuliyoyafikia bado mwamko wa ufahamu wa masuala ya EAC mdogo sana na kiu wa kuifahamu ni kubwa.

Hata hivyo Serikali ya Kenya kwa kuhakikisha wananchi wengi zaidi wanashiriki kikamilifu juu ya masuala ya Jumuiya imefufua mpango huu wa wabunge wa EALA kufika Kenya kuendelea na zoezi la uhamasishaji.

Ni imani yangu kwamba na Serikali ya Tanzania itaiga mfano huu mzuri wa kuwaalika wabunge wa EALA kufika nchini ili kuwafikia makundi mbalimbali hapa nchini kwa lengo la kuhamasisha. Hata kwa upande wa Tz bado ufahamu wa wananchi wengi zaidi juu ya masuala ya Integration ni changamoto kubwa.

Lengo kuu la uanzishwaji wa EAC ni kuinua hali ya kiuchumi kwa wananchi wa EA ambao sasa ni takriban millioni 140. Na iwapo mwamko wa wananchi ni mdogo basi lengo hili litachukua muda mrefu sana kufikiwa au kutokufikiwa kabisa.

KAIMU KATIBU MTENDAJI WA BARAZA LA SANAA TANZANIA AZINDUA CD YA WASANII KUHUSU KATIBA MPYA

$
0
0
 Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari pamoja na wasanii Februari 28,2014 katika ukumbi vijana kinondoni jijini Dar es Salaam, kuhusu viongozi mbalimbali wa Sanaa hapa nchini kwenda mkoani Dodoma Bungeni kupeleka ujumbe wa matakwa ya wasanii kuingizwa katiba Katiba mpya. Kutoka kulia ni Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili, Addo November, Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (Basata), Godfrey Mngereza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (Tamunet), John Kitime.
 Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (Basata), Godfrey Mngereza akibonyeza kitufe kuzindua rasmi CD yenye wimbo wa kuhamasisha wabunge la katiba kuweka kipengele cha kulinda haki bunifu za wasanii nchini wimbo huo umetungwa na wasanii mbalimbali.uzinduzi huo lifanyika Februari 28,2014 katika ukumbi vijana kinondoni jijini Dar es Salaam.
Wasanii mbalimbali pamoja na waandishi wa habari wakishuudia uzinduzi huo.PICHA NA PHILEMON SOLOMON

JUMUIYA YA MARADHI YASIOAMBUKIZA (ZNCDA) YAZINDULIWA RASMIN ZANZIBAR.

$
0
0
  Kaimu Katibu wa Jumuiya ya Maradhi yasioambukiza Zanzibar (ZNCDA) akitoa maelezo ya Jumuiya yao katika uzinduzi wa Jumuiya hiyo uliofanyika viwanja vya Kibanda maiti Mjini Zanzibar leo Machi 01-2014.
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya maradhi yasiyoambukiza Nchini Denmack(NCD) Bibi. Susanne Volqvartz ambao ni wafadhili wa (ZNCDA) akitoa salamu ya Jumuiya yake  katika sherehe ya uzinduzi wa  Jumuiya ya Maradhi yasioambukiza Zanzibar ulifanyika viwanja vya Kibanda maiti Mjini Zanzibar.
  Mgeni rasmin Mkurugenzi wa Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Muhammed Dahoma akizindua Jumuiya ya Maradhi yasioambukiza Zanzibar (ZNCDA) katika sherehe zilizofanyika viwanja vya Kibanda maiti Mjini Zanzibar.
Picha No. 1515- Mgeni rasmin wakati mwenye bahasha katika picha ya pamoja ya viongozi wa (ZNCDA) na wafadhi wao kutoka Denmak.
(PICHA NA MAKAME MSHENGA WA MAELEZO-ZANZIBAR).

1st African Tourism Exhibition in Germany „Soul & Spirit of AFRICA“ 17th - 20th July (4days) Tübingen, Germany

$
0
0
 Ladies and Gentlemen,Exhibitors,

It's an honour for me to inform you about the 1st African Tourism tradefair in Germany "Soul and Spirit of Africa " with focused on AFRICA ONLY! This tradefair is  initiated and organized by AfrikAktiv org. in cooperation with chamber of commerce and Industry , International African Festival Tübingen and supported by  African Ambassadors in Germany, Lord major and city of Tübingen / Reutlingen.

1st African Tourism Exhibition tradefair  "Soul and Spirit of Africa " will take place from Thursday 17th July - Sunday 20th July 2014 at the African Village (Festplatz –Tubingen) near Stuttgart -South Germany (located in Baden-Württemberg and occupied by Swabian locals – Germany´s treasure of SME enterprizes, technocrats, Inventors, Global players in Automobile.. and Business Tycoons).

Please, be informed- Exhibitors dealing in Tourism goods and services to register and participate, so that together we can establish a stable plattform for Tradefair Exhibition with focus only on Africa in Germany. As experts in Intern Business Adm- Marketing, Founder & CEO -Intern. African Festival Tübingen, the biggest and fastest growing in south Germany, there´s no doubt that The 1st AFRICAN TOURISM EXHIBITION will attract thousands of professional and public visitors this year.

Join me,  let us make African Tourism accessible for global travelers – this is a golden opportunity and sustainable development for our continent and it´s people. Apart from Exhibitors, I look forward to partner with African trade & investment chambers, Trade fair organizations in and out of Africa.

Any country that wishes to gain more exposure, attract more visibility, to be seen as FOCUS COUNTRY 2014,  PARTNER, SPONSOR and SUPPORTER  should contact us for more VALUABLE INFORMATION. JOIN ME, lets´s make African Tourism accessible for Eurozone & global travelers

Contact 

SUSAN TATAH  (Chief Executive Officer - AFRIKAKTIV)  www.afrikafestival.net / Email: kontakt@afrikfestival.net Tel: +49 152 -106 -10374

BERNARD MWAKASANGA AJIFUA KUMKABILI IDI BONGE MARCH 23

$
0
0
Bondia Bernard Mwakasanga 'Shoka ya Bucha ' wa uzito wa juu akipiga panch bag kwa ajili ya maandalizi ya mpambano wake na Idi Kipandu 'Idi Bonge' mpambano utakaofanyika katika ukumbi wa frends corner Manzese March 23.
Bondia Bernard Mwakasanga 'Shoka ya Bucha ' wa uzito wa juu akipiga panch bag up cat kwa ajili ya maandalizi ya mpambano wake na Idi Kipandu 'Idi Bonge' mpambano utakaofanyika katika ukumbi wa Frends corner Manzese March 23 .


Bondia Bernard Mwakasanga 'Shoka ya Bucha ' wa uzito wa juu akijifua kwa ajili ya mpambano wake na Idi Bonge March 23 .

Bondia Bernard Mwakasanga 'Shoka ya Bucha ' wa uzito wa juu akinua chuma  kwa ajili ya mpambano wake na Idi Bonge March 23 Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Na Mwandishi Wetu
Bondia Bernard Mwakasanga 'Shoka ya Bucha ' wa uzito wa juuameingia kambini kwa ajili ya kujifua kuwinda mpambano wake wa march 23 katika ukumbi wa frends corner Manzese Dar es salaam.

 ambapo atapambana na Iddi Kipandu 'iddi Bonge' mpambano huo ambao unasubiliwa kwa hamu kubwa sana na mashabiki mbalimbali wa mchezo huo sasa homa yake imezidi kupamba moto baada ya kila mmoja kumtambia mwenzake kuwa atammaliza raundi za awali

akizungumza katika GYM yake iliyopo Gongolamboto Mwakasanga ameseme Iddi Bonge ni kama nyama ya bucha hivyo mimi ni shoka nitapasua kichwa chake hivyo watu waje wajionee ninavyo fungua bucha manzese siku hiyo

mpambano huo ambao utakuwa na mapambano makali ya utangulizi kwa mujibui wa mratibu wa mpambano huo Waziri Rosta ameongezea kuwa bondia Fadhili Mjia 'stoper' ataoneshana kazi na Juma Selemani uku Twalibu Mchanjo akikutana na Mohamed Babeshi, wakati Hassani Mandula akipambana na Ally Bugingo mpambano mwingine utawakutanisha Amani Bariki na Selemani Motto, na Halidi Manjee akioneshana umwamba na Shabani Mtengela huku Mustafa Dotto akizichapa na Ismail Ndende na Salimu Chagogo atazikunja na Salumu Kombe 
aliongeza kuwa ulizi na usalama wa mali zako ni wa huwakika hivyo familia nzima nmnawza kuja kushudia mpambano huo wa masumbwi bila shaka
Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuhamasisha

makala ya International Women's Day March 8th 2014

$
0
0
Senior Journalist; Producer of Documentaries and Social Justice Defender in the middle in the striped black and white shirt with leaders of Community based Groups (CBOs)at a training workshop on Economic Justice.


========  ======  ======
Ø  To get training on building group dynamics, advocacy, Human Rights and basic Legal Literacy which would give them the skills to lobby for a GENDER PROGRESSIVE NATIONAL LOANS POLICY which would be a Regulatory Mechanism for women to get access to soft loans which would take into account the fact that most women do not have collaterals in order to be “Loan Worthy”.


Ø  Assistance from marginalized women- friendly/supportive CSOs and trade unions during crisis for example when there are threats to the banda of Mama Lishe or when women who do  business in the informal sector get harassed by the police or by Municipal Authorities.

Ø  Not to get alienated from the mainstream business sector- their presence and initiatives need to be affirmed and respected.


Ø  To get support in their quest for a Gender Progressive National Loans Act, although most of the Marginalized Women do not believe it is possible.

  
Ø  To undertake awareness raising initiatives and peer education among the PLHIV community on HIV treatment and care and STI prevention because it is their Right to get information on protection from other infections.


Ø   For women engaged in sex workers to get alternative skills as exit points for when they decide to exit from sex work.

  
Ø  To get assistance and skills in dealing with official matters like obtaining letters from Local Government Authorities to be able to open bank accounts, to be able to get housing without hassle from bigoted landlords, to get their children registered in schools because single mothers tend to undergo discrimination and to get access to loans from lending agencies without bias, discrimination or extortion of monies or extortion of sex.


Ø  To obtain skills in saving their earnings, planning for retirement because small scale business women and farmers do not have pension schemes.

  
Ø  To get positive images of small scale business women and of women in the agricultural sector portrayed in the media as hardworking, voting citizens who should not be treated as second class citizens, and often, as invisible citizens.


Ø  To get protection for the land they own which could be appropriated by municipalities for foreign investors.



Ø  To get affirmation that they exist, that they have rights like other citizens including the right to respect because there is a prevailing culture in our communities to despise low income or poor peoples, especially poor women.


Ø  To operate without discrimination or harassment from Village or Local Government Authorities.

  
Ø  To be given access to training on business administration; book keeping; marketing; modern agricultural techniques; saving etc.


Ø  To have a say, and to own the processes that are currently being put in place like the New Constitution Process.


Ø  To have access to the Members of Parliament of their areas and to be given a hearing by their parliamentary representatives, who often avoid women who call on them for help and support!




The Nature of Poverty and of Economic Injustice


In the past, economic institutions and economy analysts relied heavily on income levels as the basis to measure poverty.


 However, there is now universal agreement that dimensions of poverty far transcend this traditional definition.

In the current overview, poverty is a deprivation of essential assets and opportunities to which every human is entitled. (Source: Evan Carmichael- Social Discussions on Poverty Reduction, ILO).


Everyone should have access to basic education and primary health services.

Poor households have the right to sustain themselves by their labor and be reasonably rewarded, as well as having some protection from external shocks. (Source: The Beijing Platform of Action for Economic Justice)


 Beyond income and basic services, individuals and societies are also poor—and tend to remain so—if they are not empowered to participate in making the decisions that shape their lives. Poverty is thus better measured in terms of basic education; health care; nutrition; breaking free of Gender Based Violence; water and sanitation; as well as income, employment, and wages.


 Such measures must also serve as a proxy for other important intangibles such as feelings of powerlessness and lack of freedom to participate. (Source: Marjorie Mbilinyi while analyzing the Marginalization of Women in Economic Justice/TFMB/TGNP Meeting, 2009).


In practice, the most broadly used standard for measuring poverty will continue to be the adequate consumption of food and other essentials.


This yardstick (the poverty line) varies from country to country, depending on income and cultural values.


While national measurements are essential for measuring the impact of efforts to reduce poverty, the Economic Justice’s priority is on ‘Eradication of absolute poverty in the Tanzanian context’ with international comparison also being necessary.


The poor are not a homogenous group. Just as the nature of poverty is diverse, so, too, are its causes and victims.


The poor may not have acquired essential assets because they live in a remote or resource poor area; or because they are vulnerable on account of age, health, living environment, or occupation.


They may be denied access to assets because they belong to an ethnic or sexual minority or a community considered socially inferior, or simply because they are female or disabled. (Source: Temeke District Research, TFMB/TGNP, 2008).


At a broader level, poverty may stem from situations where gross inequality of assets persists because of vested interests and entrenched power structures. Finally, essential assets may not be available to the poor because of the lack of political will, inadequate governance, and inappropriate public Policies and Programs. (Source: TFMB/TGNP2008).


 The primary responsibility for finding solutions to poverty lies with countries themselves, but success will depend on the united efforts of government and civil society, and on strong and sustained support to the community.

 For all stakeholders, the strategies chosen to reduce poverty must be comprehensive enough to address all of its many causes. (Source: ADB POVERTY POLICY).


There is often conflict while addressing Poverty Eradication. The conflict can be between the body politic and the governance; conflict with multinationals; conflict with oppressive economic structures like Policy and Legislation and often, conflict with Patriarchy. 

Viewing all 46334 articles
Browse latest View live




Latest Images