Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46360 articles
Browse latest View live

TAARIFA KWA UMMA: RATIBA YA UZIMAJI WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI

$
0
0
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA


TAARIFA KWA UMMA
RATIBA YA UZIMAJI  WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI

Ndugu wananchi, napenda kuchukua nafasi hii kuwataarifu kuwa Awamu ya Pili ya Uzimaji wa Mitambo ya Utangazaji ya Analojia itaanza rasmi mwezi Machi mwaka huu. Awamu hii ya Uzimaji inaanza baada ya Serikali kujiridhisha na matokeo ya tathmini ya uzimaji wa mitambo ya utangazaji ya analojia awamu ya kwanza kwenye miji saba ya Dar e salaam, Tanga, Mwanza, Dodoma, Mbeya, Moshi na Arusha. Tathmini hiyo imeonyesha kuwa asilimia 89% ya watanzania kwenye miji hiyo wamehamia kwenye mfumo mpya wa utangazaji wa dijitali. 

Ninaamini kuwa asilimia kumi na moja ya watanzania waliobaki kwenye miji hiyo watakuwa wameingia katika mfumo wa dijitali hadi hivi sasa.
Ndugu wananchi, Awamu ya Pili ya Uzimaji wa Mitambo ya Utangazaji ya Analojia itaanza mwezi Machi mwaka huu katika miji tisa na kukamilika mwezi Oktoba 2014. Miji hiyo ni Singida, Tabora, Musoma, Bukoba, Kigoma, Morogoro, Kahama, Iringa na Songea. 

Natoa wito kwa wadau na wananchi wote kushirikiana na Serikali katika kutekeleza vema zoezi hili la uzimaji wa mitambo ya utangazaji ya analojia kwa manufaa ya Taifa letu na wananchi wote kwa ujumla.
Asanteni sana.

Imetolewa na:
Prof. Makame M. Mbarawa (MB.)
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
DAR ES SALAAM



21/02/2014

Serikali yatangaza tarehe ya usaili kwa waombaji wa nafasi za Kilimo na Mifugo.

$
0
0
Serikali inapenda kuwaarifu waombaji wa nafasi za kazi kwa tangazo la tarehe 27 Novemba, 2013 wa kada za Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Udereva kuwa usaili utaanza tarehe 4 Machi, 2014 takriban katika mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar.

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi amesema hayo leo ofisini kwake wakati akiongea na baadhi ya wadau waliomtembelea kwa lengo la kufahamu masuala mbalimbali ya uendeshaji wa mchakato wa ajira serikalini.

Amesema usaili huo unaoanza tarehe 4 Machi katika mikoa takribani yote nchini utahusisha jumla ya wasailiwa 6,087 wa fani za Kilimo, Mifugo, Uvuvi na udereva kwa kada ambazo sio za Maofisa. Amefafanua kuwa vigezo vya kupanga mikoa ya usaili vimetokana na anwani ambazo waombaji waliwasilisha katika barua zao za maombi husika ya kazi.

Daudi alibainisha kuwa kila mwombaji aliyekidhi vigezo na kuchaguliwa kwa ajili ya usaili anapaswa kwenda kufanyia usaili katika mkoa aliopangiwa kama anwani yake inavyoonyesha katika tangazo kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira, isipokuwa kwa waombaji wa mkoa wa Katavi wao wataenda kufanyia usaili mkoa wa Rukwa na waombaji waliotumia anwani za mkoa wa Singida wao watafanyia usaili mkoa wa Manyara kutokana na sababu zisizozuilika.

Aliongeza kuwa kwa mwombaji ambae hatazingatia anwani, siku na muda aliopangiwa na kuamua kwenda mkoa mwingine tofauti na utaratibu uliopangwa ajue wazi hatasailiwa kwa kuwa ratiba na idadi ya majopo ilishapangwa kwa kila mkoa na haitabadilishwa ili kuweza kurahisisha kazi hiyo kukamilika  kwa ufanisi.

Aidha, amewataka waombaji wote wa tangazo hilo kutembelea tovuti ya Sekretarieti ya Ajira  ambayo ni http://www.ajira.go.tz/  wao wenyewe ili kuweza kujua kiundani endapo wamechaguliwa kufanya usaili, kufahamu tarehe, mahali na muda wa kuanza usaili ili kuepuka usumbufu usiokuwa na lazima.
Daudi aliendelea kufafanua kuwa kwa waombaji waliotumia anuani za mkoa wa Dar es Salaam kwa nafasi ambazo sio za maofisa usaili utafanyika tarehe 11 Machi, 2014.

 Aidha, kwa nafasi za Maofisa Kilimo, Mifugo na Uvuvi wote usaili wao utafanyika jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 10 hadi 14 Machi, 2014.
Katibu  amewataka waombaji wote kuhakikisha pindi wanapoenda kwenye usaili wawe wamejiandaa vya kutosha ikiwemo kubeba nyaraka muhimu hususani vyeti halisi vya taaluma zao maana vitahitajika kwa ajili ya uhakiki siku ya usaili. Aidha, amewasihi waombaji wa matangazo mengine ya nafasi za kazi kuwa na subira wakati uchambuzi ukiendelea na pindi utakapokamilika wahusika watataarifiwa.

Alimaliza kwa kuwasisitiza wadau wa Sekretarieti ya Ajira kuwa pindi wanapoona matangazo ya kazi, ikiwemo kuitwa kwenye usaili au kupangiwa vituo vya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari hususani baadhi ya mitandao ya kijamii wajiridhishe kwanza kwa kuangalia taarifa hizo katika tovuti ya Sekretarieti ya Ajira, ili kuepuka taarifa zisizokuwa za kweli ambazo zimekuwa zikitolewa nyakati nyingine na baadhi ya watu wasio waaminifu kwa lengo la kupotosha Umma.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.
Ofisi ya Rais-Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa  Umma. 21 Machi, 2014
Kwa maelezo zaidi; wasiliana na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA UTALII WA UTAMADUNI NA KUMBUKIZI YA VITA YA MAJIMAJI MJINI SONGEA-RUVUMA

$
0
0
-Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Bi M.K Tarishi akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu, kulia ni Kaimu Katibu Tawala wa Ruvuma Bw. Severin Tossi
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Bi M.K Tarishi akihutubia wakati wa ufunguzi wa Tamasha la Utamaduni na Kumbukizi ya Vita ya Majimaji katika ukumbi wa Songea Club,kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Songea Bw Joseph.J. Mkirikiti  na kulia ni Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Bw Severin Tossi.
Philip Maligisu, Mhifadhi Kiongozi Makumbusho ya Majimaji akitoa maelezo kwa wajumbe katika eneo ambalo lilikuwepo kanisa katoliki la kwanza nchini.

==========  ========  ========

HOTUBA YA KATIBU MKUU,  WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, BI. TARISHI M.K WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA  UTALII WA UTAMADUNI NA KUMBUKIZI YA VITA YA MAJIMAJI TAREHE 25 FEBRUARI 2014, UKUMBI WA MALIASILI, MJINI SONGEA-RUVUMA

 ==========  ========  ========


Awali ya yote, nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kuifikia siku ya leo. Ninayo furaha kubwa kupewa heshima ya kuwa Mgeni Rasmi katika ufunguzi   wa maadhimisho  haya muhimu kwa historia ya nchi yetu.  Nimefurahi kwa sababu hii imekuwa ni  fursa kubwa na ya pekee kwangu kukutana  na kufahamiana na  wadau  wa urithi  wa utamaduni kutoka Kanda ya Kusini hususan mkoa wa Ruvuma.  Kupitia  fursa hii, nitapata nafasi ya  kubadilishana uzoefu  nanyi  wadau wetu  muhimu mnaotusaidia katika jukumu la kuhifadhi, kulinda, kuendeleza rasilimali za urithi wa utamaduni na utalii katika ukanda huu wa Kusini.  


Ndugu wageni waalikwa na wadau wetu,

 Nimefurahishwa pia na utaratibu huu wa  wadau kukutana na kujadili namna ya kuendeleza utalii wa utamaduni   na kuenzi mchango wa Mashujaa wetu wa Vita ya Majimaji. Utaratibu huu ni  mzuri  kwa sababu   unatekeleza Sera na Sheria zetu ambazo zinaelekeza  ushirikishwaji wa wadau  katika kuhifadhi na kuendeleza kumbukumbu za kihistoria na kutunza maeneo ya urithi wa utamaduni.  Aidha, napenda kuwakumbusha kuwa  sote kwa ujumla wetu tunawajibika kuuenzi kwa kutambua na kutumia kiundelevu  urithi wa utamaduni  uliopo katika maeneo yetu.   Kila mdau  anayo  nafasi  katika  kuendeleza na kuimarisha rasilimali  hizi  kwa manufaa ya Taifa letu.


Ndugu wadau wenzangu,

Nimefahamishwa kuwa katika maadhimisho haya tutapata fursa ya kutembelea baadhi ya vivutio vya utalii vilivyopo katika Mkoa wa Ruvuma. Aidha, nimefahamishwa kuwa baada ya kutembelea vivutio hivyo, kutakuwa na warsha ya wadau  ambapo  jumla ya  mada  nne  zinazolenga katika matumizi endelevu ya urithi wa utamaduni na uendelezaji  wa utalii katika Ukanda huu zitawasilishwa na kujadiliwa.  Nimefahamishwa pia kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuwawezesha mfanye ulinganifu baina ya hali mtakayokuwa mmeiona wakati mkitembelea vivutio vya utalii na mada zitakazowasilishwa ili muweze kutushauri kulingana na hali halisi ya vivutio husika.


Ndugu Wadau,

Napenda niwakumbushe kuwa wakati mtakapokuwa mnatembelea vivutio vya utalii na  kujadili  mada zitazowasilishwa,  zingatieni  kuwa lengo kuu la Serikali  ni kushirikisha wadau wote katika kutunza, kuhifadhi, kuendeleza urithi wa utamaduni na utalii  ili kuchangia katika kujenga uchumi imara, endelevu na unaolenga katika kuboresha maisha ya Watanzania wote. 


Wadau  mnayo nafasi kubwa ya kuchangia katika  majadiliano   haya  kwani mawazo na michango yenu ndio itasaidia kufikia lengo linalokusudiwa. Ninaamini kuwa  kupitia uzoefu wenu,  mtaweza kutushauri sisi watendaji tunaohusika na usimamizi wa shughuli za kuendeleza urithi wa utamaduni na utalii.  Nami nawaahidi kuwa Ofisi  yangu itashirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Ruvuma    kushughulikia  ushauri  wote mtakautoa. 




Ndugu wadau,

Naomba nichukue fursa hii kumkaribisha rasmi Profesa Audax  Z.P Mabulla,  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Makumbusho  ya Taifa la Tanzania   katika Wizara ya Maliasili na Utalii  na kumwaahidi kuwa Wizara iko tayari kumwezesha ili aweze kutekeleza majukumu ya utunzaji wa urithi wa utamaduni  na kuwawezesha  Watanzania kufurahia na kuuenzi urithi  wetu ikiwa ni  pamoja na kuendeleza kusimamia na kuratibu hili tamasha la Utalii wa Utamaduni na Kumbukizi ya Vita ya Majimaji.   


Ndugu wadau,

Mwisho nimalizie kwa kuwashukuru tena nyote kwa kukubali kushiriki katika maadhimisho  haya.  Baada ya kusema hayo machache, ninawatakie  maadhimisho  mema na kutamka kwamba  maadhimisho ya Utalii wa Utamaduni na Kumbukizi ya Vita ya Majimaji kwa mwaka 2014 yamefunguliwa rasmi.


MWANAFUNZI CHUO CHA AFYA BUGANDO AJISHINDIA GARI YA BEFORWARD KUPITIA MTANDAO WA FACEBOOK'

$
0
0
Bwa.Marco Hingi akifurahia mara baada ya kujishindia gari hilo aina ya Noah kutoka kampuni ya Be Forward
Meneja  Masoko wa Be forward Tanzania,Bwa Kohei Shibata (kulia) na  Meneja Mkuu wa kampuni hiyo  Isaac  Mbinile  wakimkabidhi ufunguo wa gari mshindi wa gari  aina ya Noah  Marco Hingi (katikati) ambaye ni mwanafunzi wa kutoka  hosipitali ya  bungando, jijini mwanza.
 Meneja Mkuu wa kampuni ya uagizaji na usambazaji  magari  ya Be forward Tanzania Issac Mbinile (kushoto) akiongea na waandishi wa habari  wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi gari aina ya noah mshindi (kulia). hafla hiyo ilifanyika leo makao makuu ya kampuni hiyo   katika bustani za Palm Resdency , mkabala na hospitali ya  saratani 'ocean road' jijini dar es salaam.

mshindi wa gari hilo akiongea   wakati wa hafla hiyo



Meneja Masoko wa kampuni ya Be Forward,Kohein Shibataa akizungumza mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar baada ya kutoa gari aina ya Noah kwa mshindi.
Kampuni ya uagizaji wa magari yaliyotumika kutoka JAPAN ya BEFORWARD imeendesha shindano la kuwapata washindi 25 duniani kote waliojielezea jinsi wanavyoweza kuitumia kampuni hiyo katika shughuli za maendeleo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook ambapo mtanzania MARCO HINGI ameibuka mshindi na kujishindia gari.

Akizungumza jijini DSM Afisa masoko wa kampuni hiyo KOHEI SHIBATA amesema shindano hilo liliendeshwa wakati wa sikukuu ya CHRISMASS ambapo wateja waliotembelea ukurasa wa facebook wa befoward walipata nafasi ya kuulizwa maswali na kujibu mambo kadha wa kadha  

Kati ya washindi hao Tanzania imepata nafasi mbili ambapo mwanafunzi wa chuo cha afya cha BUGANDO MWANZA bwana MARCO HINGI ameibuka mshindi


Makabidhiano ya zawadi ya gari aina ya NOAH yenye thamani ya shilingi milioni 11.8 yamefanyika leo jijini DSM kati ya Afisa masoko wa kampuni hiyo KOHEI SHIBATA na Mshindi MARCO HINGI ambapo SHIBATA amesema hiyo ni moja ya mikakati yao ya kuongeza mauzo kwa kuwafanya wateja kuwa na imani nao kama anavyoeleza meneja mkuu ISAAC MBINILE  

Kwa upande wake MARCO HINGI ambaye ni mwanafunzi wa chuo cha  afya BUGANDO mwanza amesema aliwaomba BEFORWARD kumpatia gari la kubebea wagonjwa kutokana na mradi wake alioubuni wa kusaidia mama wajawazito vijijini.


Aidha HINGI ameongeza kuwa baada ya kujibu swali la BEFORWARD walijitokeza watu wengi waliolipenda wazo lake kwa kuandika ‘like’ na hatimaye kuibuka mshindi.HINGI amesema atalitumia gari hilo kubebeea wagonjwa katika mradi huo waliouanzisha mkoani MWANZA

TASWIRA ZA LAKE GAS INDIAN FOOD FESTIVAL ILIVYOFANA JUMAPILI JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0
 Dj akiwa makini kuhakikisha watu wanaburudika na miziki 
mizuri ya Kihindi wakati wa Tamasha la  LAKE GAS INDIAN FOOD 
 lililofanyika Jumapili Oysterbay jijini Dar es salaam
 Mandhari ya eneo la tukio
 Palipendeza
 Mama na mwanae akionekana ni mwenye furaha
 Mstahiki Meya wa Kinondoni Mhe Yusuf Mwenda
 akipokea zawadi ya unga kutoka kwa mwakilishi wa banda la Azam
 Mstahiki Meya wa Kinondoni Mh.Yusufu Mwenda(kushoto)
akifatiwa na balozi wa India Mhe.  Debnath Shaw na familia zao.

MTEMVU AKABIDHI MIKOPO YA MAGARI, BAJAJI, PIKIPIKI NA FEDHA TASLIMU KWA VIKOBA TEMEKE

$
0
0
 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akimkabidhi ufunguo wa gari aina ya Noah katibu Mkuu wa Saccos ya Tujikwamue ya Chang'ombe, Dar es Salaam, Itika  Mwankenja katika hafla ya Taasisi ya PFT ya kukabidhi mikopo ya magari, bajaji, pikipiki na fedha kwa vicoba mbalimbali, Temeke, Dar es Salaam juzi. Mtemvu ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Itika akiangalia wakati Mtemvu akiliwasha gari hilo.
 Mtemvu akikabidhi mkopo wa bajaji kwa moja ya wana vicoba
 Mwenyekiti wa Mpakani B Vicoba, Mwaimuna Ali akikabidhiwa funguo wa bajaji kwa niaba ya wenzie
 Ni furaha iliyoje kwa kikundi hicho kupata mkopo wa bajaji
 Moja ya Vicdoba ikipatiwa mkopo wa pikipiki
Viongozi wa VICOBA ya VAMAU wakipatiwa funguo za pikipiki baada ya kukopeshwa na PFT

MWILI WA BALOZI KAZAURA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA LEO

$
0
0


 Waombolezaji wakisukuma jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), marehemu Balozi Fulgence Kazaura ulipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni hii , kutoka India. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akwafariji ndugu wa marehemu

 Ndugu wakifunua jeneza kuutengeneza mwili wa marehemu Kazaura.


 Mwili ukipakiwa kwenye gari tayari kupelekwa kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya Kairuki, Mikocheni

MAONESHO YA 53 YA KIMATAIFA YA MADINI YA VITO NA USONARA YAFUNGULIWALIWA RASMI

$
0
0
Ujumbe wa Tanzania katika maonesho ya 53 ya Kimataifa ya Bangkok katika picha ya pamoja na Rais Rais wa Rais wa Shirikisho la madini ya vito na usonara la Thailand Bw. Somchai Phornchindarak (aliyeshika kinyago cha mamba kilichochongwa kutokana na mawe ya madini yanayopatikana nchini Tanzania. Kinyago hicho kimechongwa na Kituo cha 'Tanzania Geomological Center' kilichopo Arusha.) Wa tatu kutoka kushoto ni Makamu wa Rais wa Shirikisho la madini na usonara la Thailand Bw. Peter Brooke.
Balozi wa Afrika ya Kusini nchini Thailand Mhe. Ruby Marks (katikati) katika picha ya pamoja na wafanyabiashara ya madini( wa kwanza kushoto, Bw. Sam Mollel mwakilishi kutoka Tanzania Geomological Center (wa tatu kulia) Bw. Musa Shanyangi Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Kamati ya Vito ya Shirikisho la Wachimbaji Tanzania (FEMATA), Bw. Gregory Kibusi.(nne kulia).
Kamishna Msaidizi wa Madini ,Wizara ya Nishati na Madini , Mhandisi Hamis Komba akiongea jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara ya Thailand Mhe. Srirat Rastapana mara baada ya kufungua maonesho ya 53 ya “Bangkok Gems & Jewelry Fair” mapema leo. Nyuma ya Kamishna ni Bw. Edward Rweymamu ni Mthamini wa Madini ya Almas Wizara ya Nishati na Madini. Kushoto Mhe. Dora Mushi mfanyabiashara wa madini kutoka Arusha.
Rais wa Shirikisho la madini ya vito na usonara la Thailand Bw. Somchai Phornchindarak akiangalia madini ya Almas katika banda la Tanzania. Anamwelekeza jambo ni Mwenyekiti wa Kamati ya Vito ya Shirikisho la Wachimbaji Tanzania (FEMATA), Bw. Gregory Kibusi. Wengine wanaoshuhudia ni baadhi ya ujumbe wa Tanzania unaoshiriki maonesho hayo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (TAMIDA) Sam Mollel wa pili kulia akionesha Hati ya Maridhiano ya kuendeleza ushirikiano wa tasnia ya madini ya vito na usonara baada ya kusaini kati yake na Rais wa Rais wa Shirikisho la madini ya vito na usonara la Thailand Bw. Somchai Phornchindarak. Wanaoshuhudia ni Kamishna msaidizi wa Madini, Mhandisi Hamis Komba (Wa kwanza kulia) na Makamu wa Rais wa Shirikisho la madini na usonara la Thailand Bw. Peter Brooke.

Okoa gharama na muda wa ujenzi wa nyumba yako

$
0
0
Wakati Watanzania, katika miaka ya karibuni wamekuwa wakijitahidi kuboresha maisha yao hususan katika suala zima la ujenzi wa nyumba zilizo bora na za kisasa, upande wa pili wa harakati hizi umekuwa ni wa changamoto nyingi ambazo zimekuwa zikiwakabili wananchi katika kuzifikia ndoto zao hizo, hasa kwa upande wa gharama za vifaa vya kufanikisha ujenzi huo, lakini pale ambapo wameweza kujitahidi kuweza kufikia gharama hizo,

Katikati ya sintofahamu hii, kumekuwa na Watanzania ambao wamekuwa wakijitahidi kuwaza ni namna gani wataweza kuwasaidia wananchi wenzao katika kukabiliana na changamoto hizo, ambapo miongoni mwao ni wamiliki wa kampuni ya Mega Woodcraft Products (T) Ltd, kampuni ambayo imelenga kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya ujenzi nchini kwa kutambulisha mfumo wa kisasa wa ujenzi wa

Kifupi, Mega Panel, ni Mega Panel ni polystyrene (EPS) iliyoimarishwa kwa wavu wa chuma cha pua uliopakwa zinc na kuunganishwa kwa nguvu ya umeme ili kuwa kiini cha mkingiko wa waya zilizopenyeza kwenye polystyrene ambapo polystyrene iliyochomekwa katikati ya wavu wa chuma cha pua huzuia moto na umeme na ingawa panel hii ni nyepesi ina sifa ya kuifanya iwe kifaa cha ujenzi imara na kinachodumu. 

Inaweza kufungwa na kujengwa haraka na ni imara kuliko matofali au matofali yenye uwazi.Mfumo huu wa ujenzi ilianza Marekani, licha ya kuwa kitu kigeni nchini, lakini umeshatumika katika nchi kadhaa na kuonyesha mafanikio makubwa nchi kama Japan, China ,Korea, Afrika Kusini, Msumbiju, Botswana na ata majirani zetu Kenya wanatumia mfumo huu wa ujenzi ,

Manufaa ya ujezi huu ni ujenzi mwepesi na rahisi, hutumia asilimia hamsini (50%) tu ya ujenzi ukilinganisha na ujenzi wamatofali, hupunguza asilimia thelathini (30%) ya saruji , hupunguza gharama za usafirishaji na unajenzi (installation cost), haitaji msingi mkubwa kwa sababu Mega Panels ni nyepesi sana ukilinganisha na matofali hivyo ni rahisi kuongezea gorofa (Vertical extension),  kutoka kwenye nyumba ya chini ni rahisi kujengea maumbo maalum (design configuration), imara sana kutonana na wavu wa chuma cha pua (wire mesh reinforcement), hupunguza joto kwa asilimia ishirini(20%) kutokana na polystyrene, pamoja na mambo yote hayo  mfumo huu ni rafiki wa ikolojia.

Aidha, paneli hizi ambazo zinapatikana katika ukubwa wa aina mbalimbali kwanzia ukuta wa nje (load bearing wall) ukuta wa ndani (pattion wall) dari (roof panels/ slab panels) kwa ukubwa wa 1.2 mtrs X 2.8 mtrs), zimethibitika kuwa pia na uwezo wa kuhami bamba, ukuta na hata paa, pale zilikotumika, huku pia zikiwa na uwezo wa kuhami sauti, kuhami msingi na vitu vingine vingi. 

Ili kujua zaidi kuhusu mfumo huu, wasiliana na Mega Panels kupitia tovuti yao www.mega.co.tz , ikiwa ni pamoja na mbinu za ujenzi wake nk. na ikiwa bado una maswali zaidi, unaweza kuwatembelea Mega Woodcraft Products (T) Ltd ofisini kwao, mtaa wa Bungoni, kiwanja namba 508, au kwa barua pepe jonathan@mega.co.tz

MSAADA TUTANI: Ninataka Kujitoa Kwenye Klabu Ya Wasagaji Matajiri

$
0
0
Habari za leo ndugu, ninakuomba unisaidie kuweka waraka wangu kwenye blogu yako, ili watu wenye uwezo wa kunisaidia hata kwa ushauri tu, waweze kunisaidia kwani nipo katika wakati mgumu sana sasa hivi  Natanguliza shukurani zangu za dhati kwako.

Kwa ufupi mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26 . Ninaishi Dar Es salaam na kazi yangu ni mfanyabishara. Baada ya maisha kunipiga sana, niliamua kwenda kuomba ushauri kwa mdada mmoja jirani yetu ambaye yeye mambo yake yalikuwa yamemnyookea sana.

Dada huyo aliniunganisha na mmama mmoja ambaye alikuwa anaishi Masaki, mama huyo akanipeleka kwenye klabu ya wanawake wasagaji ambao ni matajiri ambako niliingizwa kwenye utaratibu wa ibada (matambiko ) yao. Hekalu la wanawake hawa matajiri lipo katika wilaya ya Kinondoni.

Waganga wakuu wa hekalu hilo wapo watatu, kuna wanaume wawili ambao ni vijana vijana tu na mwanamke mdada mmoja ambaye yupo kwenye umri wa kama miaka arobaini hivi na ushee.

Watu hawa watatu ni wachawi wenye nguvu za ajabu sana na pindi unapojiunga na klabu hii, unakula kiapo cha kutii na kufuata masharti yao katika siku zote za maisha yao. Wanao kiuka masharti yao huwa wanapata matatizo makubwa sana.

Katika hekalu hilo, zinafanyika ibada za uchi za kila mwisho wa wiki na huwa zinahusisha mamia ya wanawake. Niliingia katika klabu hii tangu mwaka jana (2013) mwanzoni, kweli nilipoingia nilitajirika sana baada ya muda mfupi tu. Kila kitu nilichokitaka katika maisha yangu nilikipata.

Hata hivyo pamoja na kupata mali na utajiri kupitia klabu hii, mimi ninataka kujitoa ingawa nashindwa kwa sababu naogopa kupata adhabu ya kuvunja kiapo cha watu hawa.

Ninataka kujitoa kwa sababu, kwanza sina amani moyoni mwangu. Nafsi yangu inanisuta sana kupata mali ambazo zinatokana na kujiunga na klabu ambayo memba wake wanamuabudu shetani, vilevile ninajiona mkosaji sana kwa ninacho kifanya kwa sababu ni kama nimekuwa muabudu shetani.

Tatizo linalo nikabili ni kwamba, ninataka kujitoa lakini ninashindwa kwa sababu ninaogopa kupata adhabu ya kukiuka masharti ya klabu( dini ) hii ambayo kwa kweli ni magumu sana kwangu.

Ni tamaa tu ndio iliyo niponza, naomba mnisaidie ndugu zangu japo hata kwa kunipa ushauri. Vilevile ninawasihi akina dada wa hapa Dar Es salaam, ambao nawaona kwa wingi sana wanaingia katika klabu hii.

Kuweni makini sana wadada wenzangu, hakuna hela wala mali za bure, kila kitu kina gharama yake, utakapo fika wakati wenu wakulipa gharama zake, mtakielewa ninacho kizungumzia hapa.

Nipeni ushauri kupitia barua pepe yangu ambayo ni : tunukondo@gmail.com

Serikali yaahidi ushirikiano na Viongozi wa Dini

$
0
0
Mwenyekiti wa maandalizi ya Kongamano la Viongozi wa Dini mikoa ya Lindi na Mtwara MohamedSenani akiwakaribisha wajumbe katika kongamano la viongozi hao katika ukumbi wa VETA mjini Mtwara. Kongamano ambalo viongozi hao walijadiliana juu ya rasilimali za gesi asilia, mafuta na madini kwa amani na maendeleo ya Tanzania.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akizungumza na viongozi wa dini kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara wakati wa kongamano la viongozi hao lililohusu rasilimali zetu za gesi asilia, mafuta na madinikwa amani na maendeleo ya Tanzania.
Baadhi ya wajumbe wa kongamano la viongozi wa dini wakiwasili eneo la Mnazi Bay kujionea shughuli za namna visima vya gesi vinavyofanya kazi na kuzalisha gesi ambayo ni moja ya chanzo cha nishati ya umeme kwa maendeleo endelevu ya nchi yetu.

BOFYA HAPA KWA HABARI NA PICHA ZAIDI

MAJINA YA WAANDISHI WA HABARI 76 WALIOINGIA FAINALI TUZO ZA EJAT 2013 HAYA HAPA.

$
0
0
Over 100 journalists have been picked as nominees for the Excellence in Journalism Awards Tanzania (EJAT) 2013.

The names of the nominees were read out by the Pili Mtambalike on behalf of the chairperson of the EJAT Organising Committee, Kajubi Mukajanga at a press conference held on February 25, 2014 at the offices of the Media Council of Tanzania (MCT).

 The nominees were picked by a nine-member panel of EJAT judges headed by veteran journalist and media trainer Gervas Moshiro.

 Other members of the panel who scrutinized over 900 entries submitted for the competition were Mwanzo Millinga, Pili Mtambalike, Chrysostom Rweyemamu, Ananilea Nkya, Jesse Kwayu, Hassan Mittawi, Pudenciana Temba and Suleiman Kissoky.

The judges sifted and scrutinized the entries for seven days from February 7, 2014. They were sworn in to undertake the arduous task by the President of the Governing Board of MCT, Justice Dr. Robert Kisanga on January 29, 2014.

The hundred plus one journalists picked as nominees for EJAT 2013 will find out who among them are the winners for the coveted awards in the 19 categories of EJAT on March 14, at a Gala Night to be held at Mlimani City Hall in Dar es Salaam.

The number of nominees have increased by 24.6 percent compared to last year where we had 81 nominees only.

Of the total number of 101 nominees, 46 are from print media which is an increase of 5 more nominees as compared to 41 of last year.

The number of TV nominees has also increased from 21 last year to 39 this year while for TV there is a decrease of three nominees.

There has been an increase in the number of female journalists nominated from 11 in the 2012 awards to 18 in the 2013 awards which is an increase of 63.6 per cent.

The Judge President of the East African Court of Justice, Hon. Justice Harold Nsekela, will be the Chief Guest at the Awards Giving Ceremony.

Meanwhile a panel of experts of Life Time Achievement in Journalism award(LAJA) has also submitted names of nominees and the winner will be announced at the same Awards Giving Gala Night.
The (LAJA) panel was chaired by Theophil Makunga and members included Joyce Mhavile, Lilian Kallaghe, Jenerali Ulimwengu and Hamisi Mzee.
The categories that were contested in EJAT are:
1. Economic and Business Reporting
2. Sports and Culture Reporting
3. Environment Reporting
4. Health Reporting
5. HIV/AIDS Reporting
6. Children Reporting
7. Good Governance
8. Gender Reporting
9. Science and Technology Reporting
10. Investigative Reporting
11. Malaria Reporting
12. Education Reporting
13. Tourism and Conservation Reporting
14. Reporting People with Disabilities
15. Best Photographer – Print
     Best Photographer – Television
16. Best cartoonist
17. Agriculture and Agri-business
18. Sexual and Reproductive Health for Young People
19. Open Category
The nominee are as follows;


LIST OF EJAT 2013 NOMINEES.
BOFYA HAPO CHINI



SNName of NomineeMediumRegion
1.Sam MahelaTVDar es Salaam
2.Makiwa JumanneRadioMara
3.Richard MwaikendaPrintDar es Salaam
4.Harith JahaRadioGeita
5.Polycarp MachiraPrintDar es Salaam
6.Juma NugazTVDar es Salaam
7.Rashid MkwindaPrintMbeya
8.Regina KulindwaRadioMwanza
9.Peninah KajuraRadioMwanza
10.Dickson Ngh’ilyPrintDar es Salaam
11.Kalunde JamalPrintDar es Salaam
12.Florence MajaniPrintDar es Salaam
13.Abel KilumbuTVDar es Salaam
14.Ashton BalaigwaPrintMorogoro
15.Sheila SezzyPrintMwanza
16.Secilia NdabigezeRadioMwanza
17.Annuary MsechuTVArusha
18.Lekoko Ole LivilalTVDar es Salaam
19.Clara PatrickRadioMwanza
20.Anna TitusPrintDar es Salaam
21.Gervaz HubileRadioDar es Salaam
22.Grace KiondoRadioZanzibar
23.Beldina NyakekePrintMusoma
24.Jamali HashimTVDar es Salaam
25.Frank LeonardPrintIringa
26.Kelvin MatandikoPrintDar es Salaam
27.Noel ThomsonRadioMwanza
28.Romana MallyaPrintDar es Salaam
29Asraji MvungiTVArusha
30Jackson MwafulangoRadioMwanza
31Gerald MalekelaRadioIringa
32Mashaka MgetaPrintDar es Salaam
33Festo SikagonamoTVMbeya
34Isakwisa MwaifugeTVDar es Salaam
35Khadija MussaPrintDar es Salaam
36Emmanuel MichaelTVMwanza
37Hawa Halifa MsangiRadioKilimanjaro
38Harieth MakwetaPrintDar es Salaam
39.Khadija MzeeTVDar es Salaam
40.Husna MohammedPrintZanzibar
41.Mwantanga VuaiPrintZanzibar
42.Emmanuel MakundiRadioDar es Salaam
43.Reuben KagarukiPrintDar es Salaam
44.Rahma AllyPrintZanzibar
45.Abdallah MajuraRadioDodoma
46.Deogratius MachaRadioArusha
47.Zephania UbwaniPrintArusha
48.Elias MsuyaPrintDar es Salaam
49.Richard MakorePrintDar es Salaam
50.Freddy AzzahPrintDar es Salaam
51.Paul MabugaTVMwanza
52.Khamis AbdallahRadioMwanza
53.Peter OrwaPrintDar es Salaam
54.Manyerere J. NyererePrintDar es Salaam
55.Kisali SimbaTVMwanza
56.Charles UrioRadioMwanza
57.Hilali RuhundwaRadioKagera
58.John BwirePrintDar es Salaam
59.Grace MachaPrintArusha
60.Raymond NyamwihulaTVMwanza
61.Jacquiline MasindePrintGeita
62.Vedasto MsunguTVKagera
63.Mhidini MsambaPrintDar es Salaam
64.Deus BugaywaPrintDar es Salaam
65.Bashir NkoromoPrintDar es Salaam
66.Gordon KalulungaPrintMbeya
67.Fidelis FelixPrintDar es Salaam
68.Anthony SiamePrintDar es Salaam
69.Dionis MoyoRadioArusha
70.Idd Juma YusuphRadioMwanza
71.Abdul KingoPrintDar es Salaam
72.Athumani MtulyaPrintDar es Salaam
73.Cassius MdamiTVDar es Salaam
74.Phinias BashayaPrintKagera
75.Mussa JumaPrintArusha
76.Cuthbert JosephRadioMwanza

 The number of nominees in the list above appears shorter but it was explained during the press conference that some of the journalists have been nominated in more than one category’
EJAT is organized by MCT and partners who include Tanzania, Media Fund (TMF), Tanzania Editors Forum (TEF), Association of Journalists Against Aids (AJAAT), Tanzania Sports Writers Association (TASWA), Media Owners of Tanzania (MOAT) Media Institute of Southern Africa -Tanzania Chapter (MISA-Tan), John Hopkins University, HakiElimu, Tanzania Media Women’s Association (TAMWA), AMREF, ANSAF, BEST-AC and Sikika

semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania

$
0
0
 wadau wa Taasisi mbalimbali wakisikiliza na kutoa maoni ya Rasimu ya kwanza ya mkakati wa Mawasiliano ya  Mazingira Endelevu wa Ukuaji wa Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania. . katika Ukumbi wa NIMRI
 Mkurugenzi Msaidi wa Ofis ya Makamu wa Raisi Idara ya Mazingira Bi Magdalena J.Mtenga (wa kwanza kushoto) akifunguwa rasmi Semina ya Rasimu ya kwanza ya  Mkakati wa Mawasiliano ya  Mazingira  Endelevu wa ukuaji wa  u chumi na kupunguza Umaskini  Tanzania. na kulia ni Alhaji.Selemani Kisimbo ni Kaimu Mkurungezi wa Idara ya Mazingira na wadau wa Taasisi mbalimbali.


Mkurugenzi Msaidi wa Ofis ya Makamu wa Raisi Idara ya Mazingira Bi Magdalena J.Mtenga akiwa kwenye picha ya pamoja na wadau wa Taasisi mbalimbali katika Semina ya kutoa maoni ya Rasimu ya kwanza ya Mkakati wa Mawasiliano ya Mazingira Endelevu wa Ukuaji wa Uchumi  na   Kupunguza Umaskini Tanzania .katika Ukumbi wa NIMRI.PICHA OFIS YA MAKAMU WA RAIS

Article 5

$
0
0
african-blogger-awards-logo
Entries to the 2014 African Blogger Awards (http://www.africanbloggerawards.com), the continent’s very first awards programme that measures online and social influencers’ reach and influence through data analysis, are open to bloggers, Instagrammers, Tweeters and YouTubers across Africa.

The Awards have been divided into 36 categories, providing the opportunity for influencers on these platforms to be measured objectively against their peers, and duly recognised for their achievements.

Categories are diverse, and include sectors such as Advice, Fashion and Beauty, Events and Nightlife, Education, Sports, Political, Technology and Gadgets, and Youth Culture among others. “The African Blogger Awards are the first completely impartial, objective awards for online and social influencers on the African continent because winners will be determined by data analytics provided by Webfluential, and not through peer nominations,” says Mike Sharman, co-founder of the African Blogger Awards.

The Awards will also give brands and the marketing industry, including advertisers, public relations agencies and media buyers in each country, an impartial measurement of the most relevant online and social influencers to include in their campaigns, making sure that they achieve the greatest possible impact for their marketing spend.

There is no cost to enter, but entrants are required to register their blog, Twitter, Instagram or YouTube profile (or a combination thereof) on Webfluential (http://www.webfluenti.al), a platform designed to quantify the reach, resonance and relevance of bloggers, Instagrammers, Tweeters and YouTubers with over 1000 active, legitimate followers. Evaluation of the entrants will be managed primarily through Webfluential (https://webfluenti.al)
Reach measures the size of an influencer’s audience (following) per social media network.
Resonance is a measure of how widely the content that an influencer shares reaches outside of their own community.

Relevance is a measure of the response from the influencer’s community in the form of likes, comments, retweets. Bloggers, Instagrammers, Tweeters and YouTubers who are permanent residents of any African country are eligible to enter the African Blogger Awards.

Entries for the awards close on 9 March 2014 at midnight GMT+2, and results will be announced on 16 April 2014 via the competition’s Twitter profile, @African_Blogger, from 11h00 GMT+2. Overall awards for Africa’s Top Blogger, Top Instagrammer, Top Tweeter and Top YouTuber will be announced on 18 April 2014 at a celebration hosted in Johannesburg, South Africa.
Winners in each category will receive a web banner announcing their achievement that can be personally-leveraged through their social network and a commemorative trophy.

“As the competition grows, we plan to host the awards ceremony in other cities on the African continent each year, in recognition of the enormous influence that the online community has on news, lifestyle, media and marketing across the continent,” says Murray Legg, co-founder of the African Blogger Awards.

Article 4


MKUTANO MKUU WA TATU WA WADAU WA PSPF WAFANYIKA JIJINI DAR LEO

$
0
0
 Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinti, akizindua huduma mpya ya PSPF Pamoja nawe na PSPF call centre, itolewayo na mfuko wa Pensheni wa PSPF, baada ya kufungua Mkutano mkuu wa tatu wa wadau wa mfuko huo Feb 26.2014. 
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu (kushoto), akimkaribisha mjumbe wa bodi ya wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambaye pia ni katibu Mkuu wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimatifa, John Haule alipowasili kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimtaifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo, kuhudhuria mkutano mkuu wa tatu wa Mfuko wa PSPF wa wadau Februari 26.2014. 
 Wakurugenzi wa idara mbalimbali za mfuko wa Pensheni wa PSPF, mstariu wa mbele, wakiwa miongoni mwa wajumbe wanaohudhuria mkutano mkuu wa tatu wa wadau wa mfuko huo kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Februari 26, 2014
 Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, akishuka kwenye gari lake, huku naibu waziri wa fedha, Adam Malima (kushoto), akiwa tayari kumpokea kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam leo, kufungua Mkutano Mkuu wa Tatu wa Wadau wa mfuko wa pesnheni wa PSPF.
Baadhi ya wajumbe wakifuatilia ufunguzi wa mkutano huo.

Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

$
0
0
Photo credits: moneymanagement.org
Karibu katika kipindi cha FAMILIA kutoka Jamii Production.
Katika kipindi hiki, tumeingia katika sehemu ya pili ya mjadala kuhusu BAJETI KATIKA FAMILIA ambapo mbali na historia ya bajeti, pia tumesisitizwa kuhusu umuhimu wake, namna ya kulitekeleza na mengine mengi.
Wachangiaji studio walikuwa ni Amos Cherehani ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha, Denzel Musumba na Mubelwa Bandio
KARIBU UUNGANE NASI

UZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA TAIFA YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA WANANCHI WAFANYIKA LEO JIJINI DAR

$
0
0
 Jaji Mkuu Mstaafu Mh. Thomas Mihayo akitoa ufafanuzi wa uzinduzi wa Rasimu ya pili ya Katiba
 Mkurugenzi Mtendaji wa Haki za Binadamu Bi. Helen Simba akieleza kuhusika kwa haki za Binadamu katika Rasimu ya Pili katiba kwa wananchi.
 Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu akitoa hotuba kabla ya uzinduzi Rasmi wa kampeni ya Taifa ya kusambaza uelewa wa Rasimu ya Pili ya Katiba kwa Wananchi

 Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu  akizindua Rasmi Kijitabu kidogo kilicho andikwa Rasimu ya Pili ya Katiba Inasemaje? Chapisho la Lugha nyepesi
Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu  akizindua rasmi vipeperushi vilivyo andikwa , Mambo Saba makubwa ya kuungwa mkono na wananchi katika Rasimu ya Katiba pamoja na mambo makubwa matano yanayokosekana katika Rasimu ya Katiba na Kipeperushi cha pili kinacho sema 'Taifa ni letu na Katiba ni yetu Husika tupate Katiba Bora.
 Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu akigawa vipeperushi hivyo kwa ishara ya uzinduzi rasmi.
 Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu akizindua Rasmi Jarida la Rasimu ya Pili ya Katiba 
 Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu akizindua Flash Disk maalum zenye Rasimu ya Katiba ambazo zitagawiwa kwa waendesha Bodaboda ili abiria akipanda nae apate kusikiliza Rasimu hiyo.
Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu akizindua Rasmi, DVD, VCD pamoja na AUDIO CD kwa ajili ya walemavu.
Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu akizindua Rasmi Tovuti 'Blog' inayo itwa Taifa ni letu  www.taifaniletu.blogspot.com ambayo ni maalumu kwa ajili ya Rasimu ya Pili ya Katiba.

 Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu  akitoa pongezi kwa jinsi mchakato unavyokwenda ikiwa ni pamoja na kutumia Teknolojia ya hali ya juu ili kila mtu afikiwe na Rasimu ya Pili ya Katiba
 Kundi la watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali wakiwa wamefika katika uzinduzi wa kampeni ya taifa ya kusambaza uelewa wa Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wananchi wote
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jangwani wakiwa katika uzinduzi wa kampeni ya taifa ya kusambaza uelewa wa Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wananchi wote,ambapo pia kulikuwa na shule zengine Kama Azania ,Mazimbwi na Chamazi.
 Kwaya kutoka Haki za Binadamu wakitumbuiza kwa moja ya nyimbo zao
Sehemu ya watu waliohudhuria katika Uzinduzi huo. 
Picha na Dar es salaam Yetu Blog

Last respect and funeral time table of the Late Ambassador Fulgence Michael Kazaura

President Kikwete Launches Improving Business Environment Lab

$
0
0
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete(Centre seated) in a group picture with senior government officials and members of the Private sector organizations shortly after he launched Improving Business Environment Lab at Kunduchi Beach Hotel in Dar es Salaam this evening. Others in the picture seated from left is the Vice President Dr.Mohamed Gharib Bilal, The CEO of the Presidential Delivery Bureau Mr.Omar Issa(second left), Malaysian Cabinet Minister and Expert in Development Affairs Prof. Idris Jala(Fourth left) and extreme right is the Chairman of Tanzania Private Sector Foundation Dr. Reginald Mengi. Photo by Freddy Maro.
Viewing all 46360 articles
Browse latest View live




Latest Images