Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46362 articles
Browse latest View live

TENDEGA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA KALENGA

$
0
0
 Mgombea wa Chadema jimbo la Kalenga Grace Tendega akipunga mkono kwa wanachama wa chama hicho waliompokea katika eneo la Igumbiro Km 8 toka mjini Iringa 
 Jeshi la polisi likiwa tayari limejipanga kuweza kuwazuia wanachama wa Chadema waliokuwa wametoka kumpokea mgombea wa ubunge jimbo la Kalenga na askari akiwa mbele ya gari la waandishi akiwazuia kupita (picha zote na Denis Mlowe)
 Baadhi ya wanachama wa Chadema wakiwa katika foleni ya kumsindikiza mgombea wao Grace Tendega kuchukua fomu za kugombea jimbo la Kalenga

 Jeshi la polisi likiwa tayari limejipanga kuweza kuwazuia wanachama wa Chadema waliokuwa wametoka kumpokea mgombea wa ubunge jimbo la Kalenga na askari akiwa mbele ya gari la waandishi akiwazuia kupita (picha zote na Denis Mlowe)
Msamamizi wa Uchaguzi jimbo la Kalenga Pudenciana Kisaka akimkabidhi fomu za kugombea uchaguzi wa ubunge jimbo la hilo Grace Tendega wa Chadema katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa jana. 
==========  =========  =========
TENDEGA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA KALENGA

Na Denis Mlowe,Iringa.

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo( Chadema), Garce Tendega jana amechukua fomu ya kuwani kiti hicho huku msafara wake ukikumbana na kizuizi cha Jeshi la Polisi Mkoani hapa kutokana na kutokuwa na kibali cha kuandamana na kumshikiria diwani wa kata ya Mivinjeni Frank Nyarusi.

Msafara huo ulipokelewa maeneo ya Igumbiro kilometa 8 toka Iringa mjini ukiwa unasindikizwa na pikipiki zaidi ya 50 na magari ya M4C zaidi ya 4 na gari nyingine ndogondogo 6 na kusababisha msafara huo kusimama zaidi ya saa moja baada ya jeshi la polisi kuwazuia katika mlima Ipogoro.

Maafisa wa Polisi waliofika kuzuia masafara huo walisemna wasengeweza kuruhusu kupita katikati ya mji kwa madai hayo ni maandamani batili na kusababisha ubishani kati ya uongozi wa jeshi hilo na waratibu wa mapokezi ya mgombea huyo.

Akizngumza mara baada ya kuchukua fomu, Grace Tendega alisema moja ya changamoto ambayo inampa nafasi ya kushinda uchaguzi huo mdogo ni wapinzani kujenga woga hadi kufikia hatua ya kutumia jeshi la polisi kuwazuia kwenda kuchukua fomu za kugombea.

“ Huu ni mwanzo tu wa mapambano ya kulikomboa jimbo la Kalenga kutoka kwa chama tawala ambacho kwa miaka zaidi ya Hamsini maisha ya wananchi wamebaki kuwa na maisha yale yale ni zamu yetu sasa kuwakomboa wanakalenga na Tanzania kwa jumla hivyo wananchi wakinipa ridhaa hakika nitawaletea maendeleo kwa kushirikiana nao” alisema Tendega.

Mgombea huyo alisema Chadema kimejiandaa kushinda na kilichotokea katika msafara wake ni mwanzo tu wa mapambano hivyo chama kiko tayari kwa mapambano ya kuwapata wapiga kura wataoweza kuwaondoa madarakani .

Tendega aliwataka wakazi wa Jimbo la Kalenga kutokuwa na hofu kutokana na matukio yanayoweza kujitokeza kama lilivyotokea la kuzuiliwa na jeshi la polisi  ila wajitokeza kwa wingi kuunga mkono harakati hizo za ukombozi.

Alisema wananchi wa jimbo la Kalenga wanatakiwa wachague kiongozi atakayewafaa na si kuwatesa na kuwatumiakia na sio kuwatawala katika kuwaletea maendeleo ya jimbo la Kalenga.

Mgombea huyo alifanikiwa kuondoka maeneo hayo baada ya jeshi la polisi kumruhusu kuondoka maeneo hayo bila msafara wa magari na pikipiki hizo hadi katika ofisi zaMsimamizi wa uchaguzi Pudenciana Kisaka ambaye pia ni Mkurugenzi wa Jimbo la Iringa Vijijini na kukabidhiwa nyaraza mbalimbali za tume ya taifa ya uchaguzi zikiwamo sheria kanuni na katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Uchaguzi huo unafanyika kufuatia kufariki kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kalenga na Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa na mgombea wa Chadema atapambana na mtoto wa marehemu Dk Mgimwa  anayejulikna kwa jina la Godfrye Mgimwa.

machines for sale

$
0
0

bread mixing machine 25 kg, bread slicer machine, big deeprier for 120 mandazi at a time and bread baking tins for all types of breads, all are for sale .Thank you, mary 0715 224264




KINANA ADAIWA KUSUKIWA MIKAKATI YA KUHUJUMIWA KISIASA

$
0
0

KINANA ASUKIWA MIKAKATI YA KUHUJUMIWA  KISIASA

Ni kutokana na msimamo wake dhidhi ya wakiuka maadili katika CCM
Kinana

NA MWANDISHI WETU, Dodoma
WAKATI Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imekamilisha kazi ya kuwahoji baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotajwa kuanza mbio za kusaka urais 2015, kabla ya muda, zimeanza kuvuja fununu za najama za kusukwa hujuma dhidi ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahaman Kinana na Makamu Mwenyekiti, Philip Mangula.

Hujuma hizo ni kutoka kwa moja ya makundi ya mitandao ya wasaka urais, ambayo mgombea wao mtarajiwa ni kati ya waliohojiwa kwa muda mrefu kuanza kampeni mapema.

Waliohojiwa na Kamati ya Maadili ya CCM ni;
Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa, Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Uhusiano na Uratibu Steven Wassira na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe.

Wengine ni Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia Januari Makamba na Mbunge wa Sengerema William Ngereja.

Hujuma dhidi ya Kinana zinakwenda mbali zaidi huku wasiwasi ukitanda huenda hadi hujuma hizo kuweza kufanikiwa, Kinana atakuwa amelipa gharama kubwa na hatima yake inaweza kuwa kitendawili kizito siku za baadaye.

Chanzo cha habari cha uhakika kutoka kambi inayotajwa kuhusika na hujuma hizo kinaeleza kwamba kinachomponza Kinana ni ujasiri usiotarajiwa
alioonyesha kiasi cha kumudu kumshawishi Rais Jakaya Kikwete, kuridhia awahoji 'wagombea urais', ikielezwa kwamba ujasiri wa Kikwete binafsi si wa kiwango hicho hususan kwa wanasiasa wanaotajwa kuwa rafiki zake.

“Kuna mambo kadhaa yanayomponza Kinana kwa sasa na kwa kweli amekwishatambuliwa rasmi adui wa kambi mojawapo ya urais. Tangu achukue nafasi ya Katibu Mkuu amekuwa akifanya ziara za kujenga chama mikoani, ziara hizi zimepokewa vizuri kiasi cha si tu kumjenga Kinana kisiasa lakini kukwamua haiba ya chama iliyofifia. Kwa hiyo, Kinana sasa anakuwa kiongozi mwenye ushawishi zaidi si tu CCM bali hata katika kada mbalimbali za kijamii, kuanzia wasomi hadi viongozi wa dini.

“Pili, hotuba ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete kwenye maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa Chama, Mjini Mbeya, kwa sehemu kubwa alimsifu Kinana. Huu ni uthibitisho mwingine kwamba nguvu za Kinana katika CCM ni kubwa sasa. Lakini kubwa zaidi linalomponza na mbali ni la tatu ni kukataa kuwa na bei, hanunuliki wala kuhongwa na hapa kundi fulani la urais kwa sababu linaamini katika nguvu ya fedha, Kinana ni kikwazo kikubwa mno kwao,” kilieleza chanzo hicho cha habari.

Ni kutokana na hayo, chanzo chetu cha habari kinadokeza mambo matatu yanayoweza kutekelezwa na kundi hilo dhidi ya Kinana na Mangula, ambao ushawishi wa nguvu ya fedha kwao ni sawa na kile chanzo cha habari kimeita “upuuzi”.

Mpango namba moja
Kwa mujibu wa chanzo chetu hicho, mpango namba moja ni kuunganisha nguvu kwa mawaziri walioitwa mizigo. Mawaziri hao wanapangwa kujitokeza hadharani ili kumkabili Kinana, wakimlaumu katika mwelekeo wa kumjengea chuki dhidi ya wanaCCM, kwamba amewadhalilisha bila kujali kuitwa kwao mizigo msingi wake ni hoja za wananchi waliokutana na akina Kinana katika mikutano ya hadhara.

Mpango namba mbili
Mpango namba mbili unatajwa kuwashirikisha baadhi ya wanasiasa wa upinzani, ukilenga kutengeneza kashfa kwa gharama yoyote ile na wanasiasa hao wa upinzani wazungumze mara kwa mara hadharani ili kumvunja kasi Kinana. Tayari mwanasiasa mmoja ambaye ni mbunge kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema) anatajwa kuhongwa mamilioni ili kutekeleza mpango huu. 
Mpango namba tatu
Mpango namba tatu unatajwa kuwa ni wenye gharama kubwa zaidi kwa Kinana. Mpango huu (hatuwezi kuutaja hapa) kama ukitekelezwa dhidi ya Kinana na wahusika wakakamatwa na kufikishwa mahakamani basi, adhabu au hukumu dhidi yao ni kunyongwa.

“Kwa hali ilivyo, kwao Kinana ndiye sasa mwenye ushawishi mkubwa kuhusu nani mgombea bora wa urais kupitia CCM 2015 na kwa vyovyote vile, wanashindwa kumshawishi kwa nguvu ya pesa.
Amekuwa Katibu Mkuu mwenye ujasiri unaowatia shaka katika malengo yao kisiasa,” kilieleza chanzo chetu cha habari.

Kikao cha Maadili
Kuhusu kikao cha kamati ya maadili, inaelezwa kwamba baadhi ya wagombea urais wamekuwa na hofu ya kuchafuliwa katika safari yao kuelekea Ikulu 2015.

“Kinachowatia hofu ni kwamba kamati ya maadili adhabu yake haikatiwi rufaa. Kwa mfano, mtu akipewa adhabu ya onyo tayari ni doa kwake, akipewa onyo kali anafungiwa kugombea nafasi ya uongozi kwa miezi sita. Akipewa karipio anafungiwa kugombea kwa miezi 12 na akipewa dhabu ya karipio kali anafungiwa kugombea uongozi kwa miezi 18, hii inawatia hofu sana na wanaamini Kinana na Mangula ni tatizo kwao,” alisema mtoa habari wetu.

Kinana binafsi hakuweza kupatikana kuzungumzia hujuma zinazopangwa dhidi yake. Na kwa upande mwingine juhudi za kuwapata wahusika wa mpango huo hazijazaa matunda hadi sasa.

Kumbukumbu zinaonyesha kwamba kati ya wana CCM waliowahi kupewa adhabu ya karipio kali kutokana na utovu wa maadili ni mwanasiasa Thomas Nyimbo, ambaye alifungiwa kugombea uongozi kwa miezi 18.

REDIO ZA JAMII NCHINI ZIMETAKIWA KUWA MAKINI NA UANDAAJI WA VIPINDI PAMOJA NA HABARI, KATIKA KUEPUSHA UIBUAJI WA MIGOGORO KATIKA JAMII ZINAZOWAZUNGUKA

$
0
0
DSC_0851
Mwezeshaji wa warsha hiyo ambaye pia ni Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco, Mama Rose Haji Mwalimu, akitoa utambulisho kwa waendesha warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kutoka Shirika la Search for Common Grounds (SFCG), yanayoendelea mjini Dodoma.
DSC_0006
Meneja Mradi wa SFCG wilaya ya Tarime, Bwana Jacob Mulikuza, akielezea maudhui ya warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kwa washiriki ambao ni waandishi wa redio za jamii kutoka Tanzania, warsha hiyo inafanyika mjini Dodoma.
DSC_0016
Washiriki wa warsha wakimsikiliza Bw. Jacob Mulikuza kutoka Shirika la Search for Common Grounds – SFCG (hayupo pichani) akielezea jambo wakati wa warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro inayoendelea mjini Dodoma kwa waandishi na watangazaji wa Redio za Jamii nchini iliyofadhiliwa na UNESCO kupitia mradi wa DEP.
DSC_0018
DSC_0023
Mmoja wa washiriki akifafanua jambo katika warsha hiyo iliyojadili namna ya kuandika habari za migogoro kutoka Shirika la Search for Common Grounds (SFCG) yanayoendelea mjini Dodoma.
DSC_0082
Meneja mradi wa SFCG wilaya ya Tarime, Bwana Jacob Mulikuza, akiwapatia maelekezo washiriki wa warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kuhusu namna ya uwajibikaji katika kutatua migogoro ndani ya Jamii.
DSC_0076
Mmoja wa washiriki Bwana Baraka kutoka ORS Fm Radio, akiwaelezea washiriki wenzaka namna Ya kutatua fumbo lililokuwa sehemu ya kazi za Vikundi, katika warsha ya Uandishi wa habari za Migogoro kuhusu namna ya uwajibikaji katika kutatua migogoro ndani ya Jamii.
DSC_0105
Mratibu wa vyombo vya habari wa SFCG Zanzibar, Bwana Ali sultan, akielezea kuhusu ushiriki wa SFCG huko Zanzibar katika warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kwa washiriki ambao ni waandishi wa Redio za Jamii kutoka Tanzania, warsha hiyo inayofanyika mjini Dodoma imefadhiliwa na Shirika la UNESCO kupitia mradi wa Demokrasia na Amani (DEP) kuelekea Uchaguzi 2015.
DSC_0115
Meneja Mawasiliano wa SFCG kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Bwana Dupont Ntererwa, akielezea kuhusu ushiriki wa SFCG huko DRC katika warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kwa washiriki ambao ni Waandishi wa Redio za Jamii kutoka Tanzania, warsha hiyo inayofanyika mjini Dodoma.
DSC_0156
Washiriki wakifanya kazi za vikundi.

Airtel yazindua huduma mpya ya Airtel money

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Bw Sunil Colaso akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel money ijulikanayo kama Hatoki Mtu Hapa  ambapo wateja watapa vifurushi vya BURE Packs vya kutuma pesa bure kwa wiki au Mwezi. Hafla ya huduma hii ilifanyika katika Makao makuu ya Airtel Leo

Mkurugenz Mtendaji wa Airtel Bw Sunil Colaso akionyesha kwa waandishi habari kipeperushi cha huduma ya Hatoki mtu hapa wakati wa uzinduzi,ambapo wateja watapa vifurushi vya BURE Packs vya kutuma pesa bure kwa wiki au Mwezi. Halfa ya huduma hii ilifanyika katika Makao makuu ya Airtel Leo.
======  ====== =======
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imetangaza rasmi huduma ya kisasa ya kifedha kupitia huduma ya Airtel Money. Huduma hiyo mpya ya kibunifu  itatoa uzoefu tofauti wa huduma za fedha kwa wateja wake.

Akiongea wakati wa uzinduzi , Mkurugenzi Mkuu wa Airtel, Bwana Sunil Colaso alisema "leo tunayofuraha kuzindua huduma yetu mpya ya Airtel Money ijulikanayo kama "Hatoki Mtu Hapa", kwa mara ya kwanza nchini Tanzania wateja wa Airtel watafurahia kufanya miamala bure bila kikoma kwa kununua kifurushi cha Bure Pack cha wiki au cha mwenzi." 

Vifurushi vya Bure Packs vitawapa wateja wa Airtel Money uhuru wa kuchagua kifurushi kinachokidhi mahitaji yao na kuwawezesha kufanya miamala bure bila kikomo kwa wiki au kwa mwenzi kulingana na matakwa yao. 

Tumezindua huduma hii ili kuwapatia wateja wetu ubora, urahisi na unafuu katika kufanya miamala ya pesa.Kwa wateja ambao hawatajiunga na virufushi vya Bure Pack bado wataweza kufanya miamala ya pesa kwa bei nafuu kuliko zote ambapo kwa sasa watatozwa asilimia 50% yaani nusu bei ukilinganisha na gharama zinazotozwa na mitandao mingine. 

 Tunauhakika wateja wetu watafaidika sio tu kwa ubora, urahisi na ufanisi wa huduma yetu ya Airtel Money bali kwa kupata huduma zenye viwango nafuu zaidi, Akiongea kuhusu jinsi ya kupata huduma hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi Beatirce Singano Mallya alisema "kujiunga na "Hatoki Mtu Hapa" packs wateja watalipia 1500 mara moja tu na kuendelea kufanya miamala bure bila kimomo kwa wiki nzima, vilevile watakaojiunga kwa mwenzi watalipia shilingi 5000 na kuendelea kufaidi huduma bure kwa mwenzi mzima"

"kwa ubunifu huu mpya huduma ya Airtel money bado itawawezesha wateja kupata huduma nyingine za ziada. Sasa wateja wa Airtel Money wanaweza kununua vifurushi vya Airtel Yatosha kwa namba zao au kwa namba ya mtu mwingine mahali popote , wakati wowote kupitia huduma ya Airtel money," aliongeza. 

Huduma ya "Hatoki Mtu Hapa" ni kwa wateja wote wa Airtel nchini , na kwa wateja wapya watakachotakiwa kufanya ni kutembelea Ofisi za Airtel au mawakala wa Airtel Money zaidi ya 35,000 walioko nchi nzima na kununua simcard mpya kisha kujisajili wakiwa na kitambulisho rasmi na kufurahia huduma. 

 Huduma ya Airtel Money imesaidia kuondoa changamoto za huduma za kibenki vijijini na mijini ambapo imewawezesha wateja kutuma na kupokea pesa bure, kulipia Ankara mbalimbali kama ada za shule, Visa ya US, bili ya maji DAWASCO, Umeme LUKU pamoja na DSTV. Ili kujiunga na huduma ya Airtel Money, Mteja anatakiwa kupiga *150*60# na kupata Menu ya Airtel Money.

Tovuti yazinduliwa kurahisisha urasimishaji biashara kwa wazawa

$
0
0
 Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, takes participants through a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- launch in Dar es Salaam to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses.
 Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, introducing her teammates who also participated in the launch of a new website-www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses. The ceremony was held in Dar es Salaam at the weekend.
 Malena Rosman, Head of Development Cooperation Division in the embassy of Sweden (holding a flower boutique and wearing a red jacket) in a group photo with Private Sector Development (PSD) Programme 2013 Team shortly after their graduation and launch of a website to  help local entrepreneurs formalize and grow their businesses. Far left is Julia Norinder and far right is Daniel Stendahl PSD Programme Tutors.
 Daniel Stendahl (right) Private Sector Development (PSD) Programme Tutor says a word of thanks after being awarded by the 2013 PSD team who graduated in Dar es Salaam at the weekend and launched a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses. Left is Julia Norinder also a PSD programme tutor.
 Julia Norinder (second left) and Daniel Stendahl, Private Sector Development (PSD) Programme Tutors being awarded by the 2013 PSD team who graduated in Dar es Salaam at the weekend and launched a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses.  

Julia Norinder (second left) and Daniel Stendahl, Private Sector Development (PSD) Programme Tutors being awarded by the 2013 PSD team who graduated in Dar es Salaam at the weekend and launched a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses.  
 Private Sector Development (PSD) Programme Country focal point, Emmanuel Nnko shows one of his gifts he received from Tanzania 2013 Private Sector Development team.
 Private Sector Development (PSD) Programme Country focal points, Saada Mufuruki (left) and Emmanuel Nnko (second right) being awarded by the 2013 Private Sector Development team
 Seasoned entrepreneur Zuhura Muro being awarded by the Tanzania 2013 Private Sector Development team.
 Julia Norinder (second left) Private Sector Development (PSD) Programme Tutor speaks to guests and participants during the launch of a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- introduced to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses.
 Ezamo Maponde, Assistant Director, Private Sector Development in the Prime Minister's office (left) speaks during the launch of a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses. The website was a brainchild of Private Sector Development (PSD) Programme 2013 Team from Tanzania. Right standing is Daniel Stendahl PSD Programme Tutor and seating is seasoned entrepreneur Zuhura Muro .
Ezamo Maponde, Assistant Director, Private Sector Development in the Prime Minister's office (right) speaks during the launch of a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses. The website was a brainchild of Private Sector Development (PSD) Programme 2013 Team from Tanzania. Left is seasoned entrepreneur Zuhura Muro 


=======  =======  ========

WAJASIRIAMALI wazawa sasa wanaweza kurasimisha biashara zao kwa urahisi, ziwe ndogo au kubwa, baada ya kuanzishwa kwa tovuti iliyosheheni taratibu zakufuata pamoja na hati muhimu za kisheria zilizotafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili ambazo ujazwa kabla ya kurasimisha biashara.

Tovuti hiyo - www.fanyabiasharatanzania.com – ni zao la Timu ya  Tanzania ya mwaka 2013 katika Programu ya Maendeleo ya Sekta Binafsi iliyopewa mafunzo na Serikali ya Sweden kupitia shirika lake la Sida, ikishirikiana na SIPU International na Jarskog Konsult kwenye masuala ya Mkakati wa Usimamizi wa Biashara na ukuaji wa sekta binafsi.

Akizungumza wakati wa mahafali na uzinduzi wa tovuti hiyo, Kiongozi wa timu, Dk Ellen Otaru Okoedion alisema tovuti hiyo imetengenezwa na timu ya wajasiriamali wakitanzania na wawakilishi kutoka sekta ya umma chini ya mpango wa PSD, unaolenga kuwasaidia wajasiriamali wazawa na watu wengine wanaojihusisha na biashara kupata taarifa mbali mbali muhimu zakuendeleza biashara zao.

"Hii tovuti itawaokolea muda wao, fedha na nguvu zao katika kutafuta taarifa ambazo mara nyingi utawanyika, na kutopatikana kwa urahisi na mara nyingi mjasiriamali ulazimika kutumia gharama kubwa kukusanya taarifa hizi," alisema.

Uanzishwaji wa tovuti hiyo ni hatua ya kuhamasisha ukuaji wa biashara ndogo, wakati huo huo kuunga mkono jitihada za serikali katika kurasimisha biashara hizo, ambazo uhamasisha si tu biashara kuwa na ushindani ndani ya nchi, kanda na kimataifa, lakini pia kuongeza mapato ya serikali kupitia kodi.

Tovuti hiyo ina taarifa zote muhimu zinazohitajika kuanza, kusajili na kupanua biashara nchini Tanzania.Pia imeunganishwa moja kwa moja na mfumo wa wizara zote muhimu, mashirika na  sekta binafsi. Pia imetoa maelekezo ya jinsi ya kujaza fomu za usajili wa biashara zinatolewa na wakala wa usajili wa biashara na utoaji leseni (BRELA).

"Fomu muhimu zakujaza imetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili ili kuwezesha raia yeyote kuwa na uwezo wa kuelewa na kujaza taarifa zinazohitajika kwa urahisi," alisema Dk Ellen Okoedion.

Alisema kuwa ili kuwafikia watanzania wote, waandaji wa tovuti hiyo wapo mbiyoni kuiunganisha na huduma za simu za mikononi ili kumwezesha hata wale waliopo vijijini kuweza kufurahia huduma hiyo.
"Tovuti hii ni rahisi kuitumia, ikiwa na taarifa juu ya masuala ya biashara, fursa mbali mbali, kama vile mafunzo ya kutosha, zabuni na maonyesho ya biashara," alisema kiongozi huyo wa timu.

Kwa upande wake, Mgeni rasmi, Ezamo Maponde, Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Sekta Binafsi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, alisema kuwa ili kufikia ukuaji wa uchumi, mchanganyiko wa uwekezaji katika makampuni mbali mbali ya biashara, rasilimali watu wenye ujuzi, miundombinu bora, mazingira mazuri ya kibiashara na uwekezaji wa kigeni vinahitajika.

“Mafunzo haya yamekuwa na manufaa makubwa na mafanikio katika kukabiliana na changamoto za maendeleo yetu, ikiwa ni pamoja na haja ya kupata ukuaji mkubwa wa maendeleo ya kiuchumi nchini na kupunguza umaskini kwa ujumla," alisema.

Alitoa wito kwa vijana wa Kitanzania ambao wana nia ya kuingia katika ujasiriamali kubadili mawazo yao na kuona ni kama chanzo cha ajira na si kama ajira ya muda mfupi na kuipongeza Serikali ya Sweden kwa kazi nzuri wanayofanya katika kubadilisha na kuboresha sekta binafsi nchini.

IDADI kubwa ya Wakazi wa jiji la Dar wawataka Kwetu Pazuri

$
0
0
IDADI kubwa ya Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wametoa ushauri kwa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka kulialika kundi la Ambassadors of Christ ‘Kwetu Pazuri’ katika tamasha la mwaka huu. 
Wakazi hao walitoa tamko hilo hivi karibuni wakieleza kwamba kundi hilo ni kundi pendwa kwa mashabiki na wapenzi wa muziki wa Injili hapa nchini kwa sababu ya nyimbo zao kukonga nyoyo za mashabiki na wapenzi wengi zaidi.
“Msama Promotions, watuletee Kwetu Pazuri, kwani ni kundi ambalo lina mashabiki na wapenzi wengi ambao wana mashabiki na wapenzi wengi hapa nchini,” alisema mmoja wa mashabiki wa kundi hilo hapa nchini.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Msama Promotions, Alex Msama masuala yote yako kwenye taratibu za kupigiwa kura kupitia mashabiki  na wapenzi wa muziki huo hapa nchini, huku wakisubiri taratibu za kupatikana kwa kibali cha tamasha hilo.
Msama alisema tamasha la mwaka huu masuala yote yanayohusiana na Tamasha la Pasaka wanawakabidhi mashabiki na wapenzi wachague kupitia mfumo mpya wa upigaji kura kupitia ujumbe mfupi wa maandishi ‘sms’.
“Mashabiki na wapenzi wakae mkao wa kula kwa ajili ya kupiga kura kusaka mikoa, waimbaji na mgeni rasmi katika tamasha la mwaka huu,” alisema Msama.

UONGOZI WA TPSF WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL DAR

$
0
0
 eneja wa Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Dar es Salaam, Calvin Nkya akieezea jinsi bia inavyopikwa kwa kutumia kompyuta, wakati ujumbe wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), ulipotembelea kiwanda hicho. Viongozi hao wa TPSF kutoka kushoto ni, aliyekaa ni Ofisa Mawasiliano, Rehema Mtingwa, Mkurugenzi Mtendaji Godfrey Simbeye, Mkurugenzi wa Huduma za Wanachama, Louis Accaro na Mkurugenzi wa Sera, Edward Furaha.
 Nkya akiwaonesha viongozi hao wa TPSF, mtambo wa kutengenezea maji yaliyotumika kuwa safi kwa ajili ya matumizi mengine.
                                 Nkya akiwa na Simbeye eneo la matanki ya kupikia bia mbalimbali.


                                   Simbeye akioneshwa na Nkya matanki mbalimbali
 Mpishi wa Bia wa TBL, Fadhili Sinkala akiwaonesha viongozi wa TPSF jinsi bia inavyopikwakwa kutumia kompyuta
                          Nkya akiwaonesha moja ya malighafi zinazotumika kutengenezea bia
                                              Malighafi zinazotunmika kutengenea bia
                      Simbeye akipiga picha vinywaji kwenye stoo ya maabara ya kiwanda hicho
 Ujumbe wa TPSF ukitembezwa ndani ya kiwanda hicho sehemu ya matanki ya kuhifadhia bia
                              Wakiangalia baadhi ya mitambo kiwandani hapo
                                   Wakitembelea eneo la ujazaji bia kwenye chupa
 Meneja Uhusiano Mambo ya Nje wa TBL, Emma Orio (kulia) akielezea historia kiwanda na utendaji w TBL
                                   Simbeye akiuliza swali kwa Orio kuhusu utendaji wa TBL
Viongozi wa TPSF na TBL wakiwa katika picha ya pamoja. PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014 !

$
0
0
KWA MARA YA KWANZA MSHINDI  KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA  2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM
MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO 
MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO.
MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA 
VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT  
MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM

Kampeni za uhamasishaji virutubishi kwenye chakula zaendelea Mkoani Manyara

$
0
0
Mwelimishaji wa masuala ya lishe kutoka mradi wa USAID Tuboreshe,Bi. Sara Luzangi akiongea na wanafunzi wa shule za msingi wilayani Babati mkoani Manyara juu ya umuhimu wa matumizi ya vyakula vilivyowekwa virutubishi katika kampeni za kutoa elimu hiyo zinazoendelea katika wilaya mbalimbali za hapa nchini.
Waendeshaji wa kampeni ya kuongeza virutubishi katika chakula kutoka mradi wa USAID Tuboreshe Chakula wakiendesha kampeni ya umuhimu wa virutubishi kwa wanafunzi wa shule za msingi wilayani humo leo.
Waendesha kampeni wakitoa elimu ya wanafunzi wa njia ya kutoa burudani katika kampeni zinazoendelea mkoani Manyara.

MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA SHS.BILIONI 121

$
0
0

Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni limepitisha bajeti ya sh.bilioni 121 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ya halmashauri kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015.


Akitoa taarifa hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mheshimiwa Yusuph Mwenda alisema fedha hizo zimetokana na makusanyo ya vyanzo vya mapato , pesa kutoka ruzuku serikali kuu,Tamisemi,pesa za makusanyo ya ndani ya Halmashauri .Kwa sasa Halmashauri ina uwezo wa kujiendesha kwa asilimia 30 tofauti na hapo nyuma ambapo ilikuwa ikijiendesha kwa asilimia 20 tu.

Bajeti ya mwaka 2014/2015 ina lengo la kutekeleza mipango ya maendeleo na kuwaondolea umaskini wakazi wa kinondoni na kuboresha maisha yao.Imetolewa na Manispaa ya Kinondoni.

NIC Bank Tanzania kutumia bilioni 8.5/- kukuza ufanisi wa kibenki kwa wajasiliamali nchini

$
0
0
NIC Bank Tanzania watapata kiasi cha shiling bilioni 8.5/- kama nyongeza ya mtaji kutoka kwa wanahisa ili kuongeza ufanisi katika shughuli za kibenki kama vile utoaji mikopo kwa wajasiliamali wadogo na wakati (SMEs).

Ongezeko hilo la bilioni 8.5/- litatolewa kwa awamu mbili kutoka kwa wanahisa wa NIC Bank Kenya na tayari bilioni 5.8/- zimeshatolewa toka mwezi desemba 2013.


Vile vile kuna ongezeko la shilingi bilioni 2.7 kutoka kwa kundi la wanahisa kutoka NIC Tanzania ambapo kabla ya Juni 2014 watakuwa wameshamaliza kutoa kiasi chote kitachotakiwa.


 Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya NIC Tanzania Pankaj Kansara alisema kuwa wameamua kuongeza mtaji  ikiwa ni katika mikakati ya kuboresha huduma za kibenki na vile vile kuweza kutoa mikopo kwa ufanisi kwa wajasiliamali wadogo na wa kati.


Kansara alisema kuwa benki ya NIC Tanzania ni benki yenye kutoa fursa katika kukuza biashara, miundombinu ya miradi mbali mbali na kuboresha mifumo ya biashara ambapo imeweza kusaidia kuvutia uwekezaji wa kigeni wa moja kwa moja na kuchochea ukuaji wa wajasiliamali wa kati na wadogo.


"Mpango huu wa kuongeza mtaji wetu ni sahihi sana kwani utaweza  kutuwezesha kuongeza mikopo kwa soko Tanzania katika kuongeza ufanisi na utowaji wa mikopo kwa wajasiliamali wadogo na wa kati na vile vile katika makundi, " alisema.

NIC Bank Tanzania imeongeza mtaji wake baada ya kutoka shilingi bilioni 30 kwa mwaka 2009 hadi bilioni 180 / - mwaka 2013, ambapo ni asilimia 43 ya pato la ukuaji wa mtaji.



"Kwa kuangalia mafanikio ya benki yetu mama, tuna matumaini ya kuongeza nguvu na juhudi katika kuhakikisha kuwa tunatumia  rasilimali zilizopo katika benki mama ya NIC Kenya kuendeleza na kukuza miradi mbali mbali ya maendeleo nchini Tanzania”



Aliongeza: " NIC Bank Tanzania kwa sasa ina matawi katika mikoa ya Dar es Salaam , Arusha, Mwanza na Kahama ambapo kwa matawi haya tutaweza kusambaza huduma nyingi za kibenki na kuweza kuwafikia watu wengi ambao ni wahitaji”.



NIC Bank Tanzania ni kampuni tanzu ya Nairobi Securities Exchange (NSE) ambao wapo na NIC Bank ambao wanamiliki hisa kubwa toka mwaka 2009.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA KAIMU KAMISHNA WA TRA

$
0
0
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Kaimu Kamishna Jenerali wa TRA, Risherd Badei, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Feb 18, 2014 kwa mazungumzo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Kaimu Kamishna Jenerali wa TRA, Risherd Badei, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Feb 18, 2014 kwa mazungumzo. Picha na OMR

CCM YATOA ONYO KALI KWA WANAOFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA NDANI YA CHAMA HICHO.

$
0
0
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akiwaonesha Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kitabu cha CCM kinachohusu Kanuni za Uongozi na Maadili,alipozungumza nao kwenye moja ya ukumbi wa Ofisi za Chama hicho zilizopo Lumumba jijini Dar.

HII NDIO TOP 5 YA UCHAWI ( ULOZI ) WENYE NGUVU SANA KATIKA MAPENZI :

$
0
0

Habari  za  siku nyingi  wadau  wangu, baada  ya  kuwa  nje  ya  Tanzania  kwa  shughuli zangu  za  kikazi, hatimaye  nimerejea  tena  nyumbani  kuendelea  na  shughuli  za  ujenzi  wa taifa  langu  tukufu.

Ukimya  wangu  ulisababishwa  na  uwingi  wa  majukumu  yangu, hivyo  kwa  wale  ambao  mmekuwa  mkiniandikia   barua  pepe  bila  kupokea  majibu  nawaomba  mniwie  radhi.

Leo  nitazungumza    kuhusu  uchawi ( ulozi  )  katika  mapenzi . Mmoja  kati  ya   wasomaji  wa  blogu  yangu  ameniandikia  akiniomba  nimuelezee  ni  dawa  zipi  ama  ni  ulozi  upi  una  nguvu  sana  katika  mapenzi ?  Kwa  sababu  suala  hili  lina  wagusa  wengi, nimeona  ni  vyema  nikiandika  makala  haya  ili  kuwasaidia  na  wale  ambao  hawajapata  nafasi  ya  kuniuliza  lakini  pengine  wangependa  kufahamu  kuhusu  suala  hili.

KWA HABARI ZAIDI INGIA  

waathirika wa kimbunga makete wazidi kupata msaada

$
0
0

Mkuu  Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (kulia) akipokea msaada huo kwa niaba ya wananchi kutoka kwa mkurugenzi wa shirika la SUMASESU lililopo wilayani hapo
 Mkurugenzi wa shirika la SUMASESU Bw. Egnatio Mtawa akizungumza wakati akikabidhi msaada wa bati 25 na misumari kwa ajili ya waathirika wa kijiji cha Ndulamo
 mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza wakati akipokea msaada huo kwa niaba ya wananchi

Janga la kuezuliwa nyumba 11 katika kijiji cha Ndulamo wilayani Makete mkoa wa Njombe limeonesha kugusa wadau mbalimbali, ambapo shirika lisilo la kiserikali la SUMASESU lililopo wilayani hapo limetoa msaada wa bati 25 na kilo 5 ya misumari vyote vikiwa na thamani ya tsh. 325,000/=

Akikabidhi msaada huo hii leo Mkurugenzi wa SUMASESU Bw. Egnatio Mtawa  amesema shirika lake limekuwa linafanya kazi kwa asilimia kubwa ndani ya wilaya ya Makete hasa na watu wazima (wasio na maradhi) hivyo wameguswa na janga hilo na kuona njia mojawapo ya kuwasaidia ni kutoa bati na misumari kulingana na uwezo wa shirika hilo

Bw. Mtawa amesema kupitia matatizo mbalimbali yanayoigusa jamii ni vyema wanamakete wakawa na mshikamano na kuwasaidia wananchi pale wanapopata matatizo mbalimbali kwa kuwa hawajapenda kupata madhara hayo

"Tumesikia kwenye vyombo vya habari maafa yaliyowakumba wenzetu wa Ndulamo, kwa kweli ni janga kubwa na hawawezi kulimaliza wenyewe ila kwa mshikamano wetu wa pamoja ni hakika tutaweza kuwasaidia kuondkana na kero hii iliyowakumba" alisema Mtawa

Akipokea msaada huo mbele ya viongozi wa kijiji hicho Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro amemshukuru mkurugenzi  huyo kupitia shirika lake la SUMASESU kwa kutoa msaada huo na kuongeza kuwa msaada huo utakuwa msaada mkubwa kwa waathirika hao

Amesema anaimani wapo wananchi wenye uwezo na wenye mapenzi mema ya kusaidia kuendelea kujitokeza kwani muda bado upo na unahitajika ili usaidie kutatua tatizo hilo mapema

"Kwa kweli kitendo kilichofanywa na SUMASESU kama wadau wa maendeleo wilayani Makete, ni cha kuigwa na kimesaidia sana, naomba wanamakete, ama wananchi wenye mapenzi mema kuendelea kutoa misaada yao ya hali na mali, si lazima uwe msaada mkubwa, hata bati moja linatosha" amesema Matiro

Naye mwenyekiti wa kijiji hicho Bw. Liliyo Tweve ameshukuru kwa kijiji chake kupatiwa msaada huo na kusema kuwa hivi sasa kazi ya kujenga nyumba hizo zilizoezuliwa inaendelea vizuri na msaada huo utarahisisha ujenzi kukamilika mapema

Amesema Maazimio ya mkutano uliofanyika jana kijijini hapo yanaendelea vyema na inategemewa ndani ya wiki mbili zijazo kazi hiyo iwe imekwisha

WADAU WAOMBWA KUDHAMINI MAONYESHO YA KAZI ZA VIJANA WAJASIRIAMALI YATAYONYIKA DODODMA

$
0
0
Mkurugenzi wa Mtendaji wa Kampuni ya Aj It Development  Bw Jackson Audiface akizungumzia  kuhusu Maonyesho ya Tatu ya Kazi za Vijana wajasiriamali Yatakayofanyika Mkoani Dododma Mwezi Aprili mwaka huu.Maonyesho hayo ya kazi za Vijana wajasiriamali Hususani Vijana wanaosoma Vyuo Vikuu vya Dodoma. Lengo la Manonyesho hayo ni Kuzitangaza Kazi za Vijana wajasiriamali Wa Tanzania.Pili kuwapa Muda wadau Mbalimbali Kukutana na Vijana Wajasiriamali Ili kutatua Kero zote zinazowakabili vijana Katika Shuguli zao za Ujasiriamalia .
 Baadhi ya Bidhaa Ambazo zinazozalishwa na Vijana wajasiriamali Waliohitimu Vyuo vikuu Mbalimbali hapa Nchini Na Ambao Bado wako Vyuoni kuendelea na Masomo yaoamabzo zitaonyeshwa katika Maonyesho hayo Yatakayofanyika Mkoani Dodoma Yakiwa Ni ya Tatu kuafanyika hapa Nchini kwa Lengo la Kukuza soko la Kazi za Vijana wajasirimali pia Kuzitangaza na Kuatatua Ngangamoto Mbalimbali Zinazowakabili Vijana wa Kitanzania Kama Vile Vibali vya Kufanya Biashara Kutoka Mamlaka Mbalimbali hapa Nchi.Wadau Mbalimbali wa Vijana Mnaombwa Kujitokeza Kudhamini Maonyesho hayo.Bidhaa Mbalimbali za Kilimo Zinazozalishwa na Vijana wa Mkoani Dodoma Ambao watazionyesha kwa Wakazi wa Mkoa wa Dodoma na Mikoa ya Jirani.Bw Jackson Audiface Akielezea Zaidi Kuhusu Maonyesho hayo Yatakayofanyika Mkoani Dodoma.Hapa Akiwa Ameshika Mafuta yanayozalishwa na Vijana wajasirimali wa Mkoani Dodoma jana Wakati wajasiriamali hao walipotembelea Ofisi za Kampuni ya Aj It Development Kwajili ya Kujisajili ili kushiriki Katika Maonyesho ya Kazi za Vijana wajasiriamali Yatakayofanyika Mkoani Dodoma


Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Akikagua Moja ya Shuguli za Kikundi cha Vijana kijulikanacho Kama Mae Ambao watashiriki Katika Maonyesho hayo.
Kampuni ya AJ IT DEVELOPMENT  inatarajia kufanya Maonyesho ya Tatu ya Kazi za  vijana Wajasiriamali Yanayofahamika kama Tanzania Youth Enterprenuership Program (TAYEP) Yanayotarajiwa Kufanyika April 3 - 5 April, 2014 Mkoani Dodoma.

Kwa mujibu  Mkurugenzi wa Kampuni ya AAj It Development  Bw Jackson Audiface, Maonyesho hayo ya  aina yake kufanyika nchini Tanzania yenye lengo la Kuzitangaza Kazi za Vijana Wajasiriamali .
“Maonyesho haya Yalianzishwa Kwa Lengo la Kutatua changamoto zote zinazowakabili Vijana wajasiriamali Pindi wanapojishugulisha Katika Shuguli zao za Ujasiriamalia.
Aliongeza kuwa washiriki watapata Ya Kuzitangaza Kazi zao,Kujua Taratibu Mbalimbali na Namna Ya Kuingiza bidhaa zao Kwenye Masoko Mbalimbali kwa Wingi zaidi.Namna ya Kupata vibali Mbalimbali vya Kufanyia Biashara Kutoka Mamlaka Mbalimbali za serikali.Kupata elimu namna ya Kuziboresha Bidhaa zao ziendane na soko pia Kukidhi viwango na Matakwa ya Wateja.Kuwakutanisha na wadau Mbalimabali wa Vijana na Kujua taratibu  namna ya Kushirikiana na Wadau hao katika Kuboresha Bidhaa zao.
Akizungumza mfumo utakaotumika kuendesha Maonyesho hayo Bw Jackson Audiface Alisema Kila Mshiriki Atapata Fursa ya Kuonyesha Kazi yake na Kuilezea Kwa Kina pia na Changamoto Anazokabiliana nazo kazi kazi zao za Ujasiriamali.
Walengwa wakuu wa Maonyesho hayo ni Vijana Kutoka Mkoani Dododma Hususani Vijana Kutoka Vyuo Vilivyoko Mkoani Dodoma.        
Washiriki wa Maonyesho hayo wanatarajiwa kuwa 3,000 Ambapo Vijana 250 Wataonyesha Kazi zao Zikiwemo Bidhaa za Kilimo ,Teknolojia ya Habari,Sayansi ya Kompyuta,Utalii wa Ndani na Ufugaji.
“Tunaomba makampuni na mashirika  Ambao ni Wadau wakubwa wa Maendeleo ya vijana kutumia fursa hii Kufadhili Maonyesho Hayo ili waweze Kujione Fursa Mbalimbali Wanazofanya Vijana. Pili  kujitangaza, na kutangaza bidhaa na huduma zao, kwa lengo la kuongeza ufahamu wa bidhaa zao 
Mgeni rasmi wa Maonyesho Hayo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Mizengo Pinda.

ASIA IDAROUS AWASHUKURU WADAU

$
0
0

..Kwa kusapoti miaka 10 ya ‘Lady in red’
.. kuwa jukwaa la kimataifa

Na Andrew Chale
MAMA wa Mitindo nchini na Mkurugenzi wa Fabak Fashins, Asia Idarous Khamsin amewashukuru wadau mbali mbali kwa kuendelea kulinga mkono onyesho la Mitindo la kila mwaka la 'Lady in red' ambalo kwa mwaka huu limeweza kutimiza miaka 10, tokea kuanzishwa kwake huku likiwa la mafanikio kwa kuibua wanamitindo wakubwa hapa nchini.

Akizungumza Dar es salaam, katika ofisi za Fabak zilizopo Msasani jirani na Kwa Mwalimu Nyerere, Asia Idarous alishukuru wadau mbali mbali waliojitokeza siku hiyo sambamba na wadhamini waliofanikisha kwa shughuli hiyo kubwa hapa nchini.

Asia alisema ni jambo la fadhira  kwa kushukuru huku akiahidi kuboresha kama kulikuwa na mapungufu  ya hapa na pale. "Muungwana ni vitendo, ‘Lady in red Super brand, 10th Anniversary’ ilikuwa ni ya kipekee kwa mwaka huu, hivyo nawashukuru nyote kwa kuliunga mkono jukwaa la Lady in red 2014, kwa kutimiza miaka hii 10" alisema Asia Idarous.

Na kuongeza kuwa, kuelekea onyesho la mwakani kwa mwaka 2015, jukwaa hilo la Lady in Red, linatarajia kuwa la kimataifa ikiwemo wabunifu wa kimataifa kuonyesha ubunifu wao hapa nchini.

"Kwa sasa tunaelekea anga za kimataifa kupitia jukwaa hili hili la Lady in red, zaidi ni kuendelea kuliunga mkono ilikutimiza ndoto hizi,  na hii itasaidia kufungua milango ya wabunifu wetu kujiuza nje ya mipaka yetu" alisema Asia Idarous.

Onyesho hilo la Lady in red 2014,  lililotimiza miaka 10, lilifanyika  Februari 14, ndani ya ukumbi wa kisasa wa ndani ya hoteli yenye hadhi ya nyota tano ya Serena, ambapo siku hiyo pia ilikuwa ni maalumu kwa wapendanao duniani 'Valentine Day'  watu wa kada tofauti wakiwemo mastaa na watu maarufu walijumuika kwa pamoja kuliunga mkono onyesho hilo.

Wabunifu  mbali mbali wakiwemo magwiji na chipukizi walipata kuonyesha mitindo ya ubunifu kwenye jukwaa hilo  na kuvutia wengi siku hiyo. mbali na ubunifu wa mavazi, pia liliendana sambamba na mapambano dhidi ya dawa za kulevya, huku asilimia kadhaa za mapato yake yalipelekwa kusaidia waathirika wa dawa za kulevya.

Kwa upande wa burudani, wapendanao na wadau waliojitokeza walishuhudia burudani  safi kutoka kwa wasanii mkali wa nyimbo za asili, Wanne Star na mkali wa R&B na Afro pop, Nemo ambaye  hadi sasa anatamba na vibao mbali mbali ikiwemo My Number One, alichomshirikisha Omy Dimpoz.

Pia Asia Idarous aliwashukuru wadhamini wakuu, ikiwemo kinywaji cha Zanzi na Rasta za Darling. Wengine ambao wamekuwa chachu ya mafanikio ya jukwaa hilo ni pamoja na  Michuzi Blog, Vijimambo blog, Dj Bula, CXC, Times fm, Clouds media,  michuzi media group, channel ten, Elite Computer, Eventlites, One touch-solution, Raysa Style, Paka Wear, Magic fm, DTV, Jambo Leo, I View media, Vayle Spring, Voice of American na wengine wengi.
Mwisho

Habari na Andrew Chale, Picha zote crediti kwa Michuzi blog.

HATUTARUHUSU VURUGU WAKATI WA KAMPENI KALENGA-NAPE

MAMLAKA YA HALI HEWA YATOA TAHADHARI YA MVUA KUBWA

Viewing all 46362 articles
Browse latest View live




Latest Images