Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na baadhi ya wanachama wa CCM,wakishiriki ujenzi wa Zahanati katika kijiji cha Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya mapema leo.
Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt.Asharose Migiroakishiriki ujenzi wa Zahanati katika kijiji cha Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya mapema leo.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Mh Abbas Kandoro sambamba na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya mjini,Mh.Norman Sigala pichani shoto wakishiriki ujenzi wa Zahanati katika kijiji cha Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Mh Abbas Kandoro na Wajumbe wengine wakitoka kushiriki na kukagua mradi wa ujenzi wa zahanati ya Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akikagua Mradi wa ujenzi maji safi wa Izumbwe ,Iwindi unaojumuisha vijiji nane ambavyo ni Shongo,Igale,Horongo,Itimu,Mwampalala,Izunbwe,Iwindi na Mwashiwala,Mradi huo umejengwa katika kijiji hicho kufuati vijiji hivyo kukosa maji safi kwa muda mrefu.Mradi huo unatekelezwa chini ya programu ya Taifa ya usambazaji wa maji safi vijijini na usafi wa binafsi na mazingira na ulianza rasmi septemba 2013 na ulitarajiwa kukamilika mnamo Mei,2014.
Pichani ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na Ujumbe wake wakifanya mkutano na Wajumbe Halmashauri kuu ya CCM wilaya katika ukumbi wa Chuo cha Ufundi Mbalizi,wilaya ya Mbeya Vijijini mkoani Mbeya.
Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt.Asharose Migiro akisalimiana na baadhi ya Wanakijiji cha Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya. mapema leo walipokuwa wakipokelewa kwa ajiri ya kuendelea na ziara yao ya Kuimarisha chama cha CCM.
Mwenyekiti wa CCM,Wilaya ya Mbeya Vijijini,Bwa.Ipyana Harrison akimtambulisha Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana kwa wanakijiji na wanachama wa CCM,katika kijiji cha Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya. mapema leo walipokuwa wakipokelewa kwa ajiri ya kuendelea na ziara yao ya Kuimarisha chama cha CCM.
Ndugu Kinana na Ujumbe wakizungumza na Wanakijiji wa Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya. mapema leo walipokuwa wakipokelewa kwa ajiri ya kuendelea na ziara yao ya Kuimarisha chama cha CCM.
Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt.Asharose Migiro akiwa sambamba na wakazi wa kijiji cha Shamwengo,Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini Mkoani Mbeya. mapema leo wakielekea kukagua ujenzi wa Zahanati ya kijiji hicho ambayo inajengwa na Wananchi.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya mjini,Mh.Norman Sigala walipokuwa wakielekea kukagua ujenzi wa Zahanati ya kijiji hicho ambayo inajengwa na Wananchi,kushoto ni Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt.Asharose Migiro pamoja na Mwenyekiti wa CCM,Wilaya ya Mbeya Vijijini,Bwa.Ipyana Harrison