Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46206 articles
Browse latest View live

MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT. MAGUFULI ATEMBELEA KITUO CHA CHANNEL TEN NA RADIO MAGIC FM

0
0

 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufguli na Mkurugenzi mtendaji African Media Group (AMG) Jaffari Haniu wakimsikiliza mtangazaji wa kituo cha Channel Ten Hanifa Roy alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam.Febuari 5,2019.
 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth wakimsikiliza mtayarishaji vipindi wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten Issa Didi alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019.
 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza mtayarishaji vipindi wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten Abdalaah Lugisha alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019. 
  Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth wakiwa katika chumba cha kusomea Habari cha kituo cha Televisheni cha Channel Ten alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019.
  Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi mtendaji African Media Group (AMG) Jaffari Haniu akisoma habari, alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019.
  Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth katika chumba cha kurushia matangazo cha Rdio Magic Fm alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019.
Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi mtendaji African Media Group (AMG) Jaffari Haniu alipotembelea ili kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019. 
 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi wa Ufundi wa Channel Ten Agustino Mganga alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam.Febuari 5,2019.
 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mmoja wa Wafanyakazi na Mtangazaji wa Radio Magic Fm Orest Kawawo alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5,2019.




 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumzana Wafanyakazi na Watangazaji wa Channel Ten na Radio Magic Fm,  alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam.Febuari 5, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Bi. Diana Mwakatundu ambaye ni Mlemavu aliwapokuwa akizungumza na Wananchi mbalimbali waliokuwa nje ya Ofisi za Channel Ten na Radio Magic Fm,  alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali waliokuwa nje ya Ofisi za Channel Ten na Radio Magic Fm,  alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5, 2019.
 Wananchi mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliwapokuwa akizungumza nao Wananchi hao waliokuwa nje ya Ofisi za Channel Ten na Radio Magic Fm,  alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5, 2019.
Mama Janeth Magufuli Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimu Wananchi mbalimbali waliokuwa nje ya Ofisi za Channel Ten na Radio Magic Fm,  walipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5, 2019
PICHA NA IKULU



SPIKA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAFADHILI WA MRADI WA KULIJENGEA BUNGE UWEZO

0
0
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Wafadhili wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wa pili kutoka mwisho upande wa Kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson na wakwanza ni Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai.
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson (kulia) akifafanua jambo wakati wa Kikao kati ya Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai na Wafadhili wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo.
Mtaalam Mwadamizi wa masuala ya Jinsia na Utawala katika Ubalozi Ireland nchini Bi. Aran Corrigan (wakwanza kulia) akifafanua jambo wakati wa kikao kati ya Spika wa Bunge na Wafadhili wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (watatu kutoka kushoto) katika picha ya pamoja na Wafadhili wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma. Kushoto kwa Spika ni Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson.

PICHA NA BUNGE

MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT. MAGUFULI ATEMBELEA KITUO CHA CHANNEL TEN NA RADIO MAGIC FM

0
0

 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufguli na Mkurugenzi mtendaji African Media Group (AMG) Jaffari Haniu wakimsikiliza mtangazaji wa kituo cha Channel Ten Hanifa Roy alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam.Febuari 5,2019.
 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth wakimsikiliza mtayarishaji vipindi wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten Issa Didi alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019.
 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza mtayarishaji vipindi wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten Abdalaah Lugisha alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019. 
  Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth wakiwa katika chumba cha kusomea Habari cha kituo cha Televisheni cha Channel Ten alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019.
  Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi mtendaji African Media Group (AMG) Jaffari Haniu akisoma habari, alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019.
  Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth katika chumba cha kurushia matangazo cha Rdio Magic Fm alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019.
Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi mtendaji African Media Group (AMG) Jaffari Haniu alipotembelea ili kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam Febuari 5, 2019. 
 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi wa Ufundi wa Channel Ten Agustino Mganga alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam.Febuari 5,2019.
 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mmoja wa Wafanyakazi na Mtangazaji wa Radio Magic Fm Orest Kawawo alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5,2019.




 Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumzana Wafanyakazi na Watangazaji wa Channel Ten na Radio Magic Fm,  alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam.Febuari 5, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Bi. Diana Mwakatundu ambaye ni Mlemavu aliwapokuwa akizungumza na Wananchi mbalimbali waliokuwa nje ya Ofisi za Channel Ten na Radio Magic Fm,  alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali waliokuwa nje ya Ofisi za Channel Ten na Radio Magic Fm,  alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5, 2019.
 Wananchi mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliwapokuwa akizungumza nao Wananchi hao waliokuwa nje ya Ofisi za Channel Ten na Radio Magic Fm,  alipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5, 2019.
Mama Janeth Magufuli Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimu Wananchi mbalimbali waliokuwa nje ya Ofisi za Channel Ten na Radio Magic Fm,  walipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam. Febuari 5, 2019
PICHA NA IKULU


Rais Dkt Magufuli Aipa Heshima Tanzania Kimataifa

0
0

WAZIRI UMMY AONGOZA WATUMISHI WIZARA YA AFYA KUMUAGA ALIYEKUWA KATIBU MKUU DKT MPOKI

0
0
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu leo amewaongoza watumishi katika hafla fupi ya kumuaga rasmi aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Mpoki Ulisubisya ambae ameteuliwa kuwa Balozi, na aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Tiba Wizara ya Afya, ambaye amekuwa Naibu Katibu Mkuu Idara ya Afya TAMISEMI Dkt. Dorothy Gwajima na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Idara ya Afya TAMISEMI Dkt. Zainab Chaula ambaye kwa sasa ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Idara Kuu ya Afya na aliyekuwa Mganga Mkuu wa Dar es salaam ambaye kwa sasa ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara Tiba Wizara ya Afya Dkt. Grace Maghembe

Katika hafla hiyo Waziri Ummy amewashukuru watumishi wote wakiongozwa na Dkt Mpoki Ulisubisya kwa ushirikiano waliouonesha katika kipindi chote walichofanya kazi Wizara ya Afya na kuwasihi kuendeleza uchapaji kazi ili kusukuma gurudumu la Maendeleo hususani maendeleo ya Sekta ya Afya.

Aidha, Waziri Ummy amewakaribisha Watumishi wote walioamia katika Wizara ya Afya, Waziri Ummy amesema kwamba licha ya mafanikio makubwa ambayo Sekta ya Afya imepiga, bado kuna changamoto nyingi ambazo zinapaswa kutatuliwa ikiwemo suala la uhaba wa watumishi, na upatikanaji wa Dawa na vifaa tiba.

Naye Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Fustine Ndugulile amewakumbusha Watumishi wa Sekta ya Afya juu ya uwajibikaji na kuwatoa hofu kuwa, kama Serikali milango yao ipo wazi muda wote, hivyo kwa yoyote mwenye wazo zuri la kujenga na kuipeleka mbele Sekta ya Afya asisite kuwaona.

Kwa upande wake, aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya amewashukuru Watumishi wote wa Sekta ya Afya wakiongozwa na Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu kwa ushirikiano waliomuonesha katika kipindi chote alichohudumu katika Wizara ya Afya, kisha kuahidi kuwa Balozi Mzuri huko atakoenda ili kuikuza Sekta ya Afya.

Naye, Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula amewakumbusha Watumishi wa Sekta ya Afya juu ya umoja na ushirikiano baina yao, huku akisisitiza kila mmoja ni lazima ahakikishe anatimiza wajibu wake ili kusukuma mbele Maendeleo ya Sekta ya Afya.

Kwa upande wake, aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Tiba Wizara ya Afya ambae sasa ni Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI Idara ya Afya Dkt Dorothy Gwajima ameahidi kuwa daraja zuri na imara baina ya Wizara ya Afya na TAMISEMI kutokana na kuzijua Wizara zote mbili kiundani na kuahidi kuendeleza mazuri yote yalioachwa na Dkt. Zainab Chaula.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto mhe.Ummy Mwalimu akimkabidhi Zawadi Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya wakati wa Hafla ndogo ya kumuaga yeye na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla ya kuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akisaini Biblia Takatifu aliyopewa kama zawadi Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya wakati wa Hafla ndogo ya kuwaaga Baozi Dkt Mpoki Ulisubisya Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula, hafla ilofanyika katika ofisi za Wizara ya Afya jijini Dodoma.
Wakwanza kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akifuatilia alichakuwa akiongea Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Muhammad Bakari Kambi wakati wa Hafla ndogo ya kuwaaga Balozi Dkt Mpoki Ulisubisya na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula (Wakatikati) na (Wakwanza kishoto) ni Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI Idara ya Afya Dkt Dorothy Gwajima.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu (kushoto) akiwa na Naibu wake Dkt. Faustine Ndugulile (kulia) wakifuatilia alichakuwa akiongea Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Muhammad Bakar Kambi (hayupo pichani) wakati wa hafla ndogo ya kuwaaga Dkt Mpoki Ulisubisya na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akisisitiza jambo wakati wa Hafla ndogo ya kuwaaga Balozi Dkt Mpoki Ulisubisya na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akisisitiza jambo wakati wa Hafla ndogo ya kuwaaga Balozi Dkt Mpoki Ulisubisya na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula.
 
Mkurugenzi wa MSD ambae pia ni mwakilishi wa Wakurugenzi wa Taasisi zote za Wizara ya Afya Laurean Bwanakunu akitoa salamu za taasisi zote za Afya wakati wa Hafla ndogo ya kuwaaga Dkt Mpoki Ulisubisya na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula, hafla hiyo imefanyika katika ofisi za Wizara ya Afya jijini Dodoma.
Baadhi ya Wakurugenzi kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wakifuatilia maelekezo kutoka kwa Waziri Ummy wakati wa Hafla ndogo ya kuwaaga Dkt Mpoki Ulisubisya na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula. Hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Wizara ya Afya jijini Dodoma.
Baadhi ya Wakurugenzi kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wakifuatilia maelekezo kutoka kwa Waziri Ummy wakati wa Hafla ndogo ya kuwaaga Dkt Mpoki Ulisubisya na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula. Hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Wizara ya Afya jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI Idara ya Afya Dkt Dorothy Gwajima.
Aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya akiteta jambo na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Muhammad Bakari Kambi wakati wa Hafla ndogo ya kuwaaga Dkt Mpoki Ulisubisya na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula, hafla ilofanyika katika ofisi za Wizara ya Afya jijini Dodoma.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akiteta jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula wakati wa Hafla ndogo ya kuwaaga Dkt Mpoki Ulisubisya na Dkt. Dorothy Gwajima waliohudumu Wizara ya Afya kabla yakuteuliwa katika nafasi nyingine, na kuwakaribisha Watumishi wapya wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula.

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TAHARUKI ILIYOTOKEA MAPEMA LEO BUNGENI

0
0

KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI YA NCHI, MEJA JENERALI JACOB KINGU AKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI YA MAAFISA MAGEREZA ZINAZOSIMAMIWA NA TBA, UKONGA JIJINI DAR

0
0
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu (vazi la kiraia) akisalimiana na Maafisa wa Jeshi la Magereza alipowasili Gereza Kuu Ukonga leo februari 5, 2019 katika ziara yake ya kikazi yenye lengo la ukaguzi wa ujenzi wa makazi ya Maafisa Magereza unaotekelezwa chini ya Wakala wa Majengo Tanzania – TBA katika eneo la Gereza Kuu Ukonga jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu (wa tatu toka kulia) akitoa maagizo kwa Mratibu wa Mradi wa ujenzi wa Makazi ya Maafisa Magereza Ukonga, Mhandisi Khadija Salum(wa tatu toka kushoto) alipotembelea mradi huo leo februari 5, 2019. Kulia ni Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike.
Moja ya majengo ya ghorofa yanayojengwa chini ya Wakala wa Majengo Tanzania – TBA.
Mkuu wa Kiwanda cha Gereza Kuu Ukonga, ACP. John Itambu akimuongoza Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu (vazi la kiraia) sehemu mbalimbali za Kiwanda hicho ikiwemo sehemu ya Useremala pamoja na sehemu ya Ushonaji wa nguo za aina mbalimbali katika Kiwanda hicho(kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu (vazi la kiraia) akiangalia baadhi ya samani za Ofisi zinazotengenezwa katika Kiwanda hicho.
Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, Phaustine Kasike akimwelezea jambo Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu (vazi la kiraia) alipote,mblea Kiwanda cha Useremala cha Gereza Kuu Ukonga.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu (vazi la kiraia) akiagana na Mkuu wa Gereza Kuu Ukonga, ACP. Widson Mwanangwa baada ya kutembelea Kiwanda cha Magereza, Ukonga leo Februari 5, 2019(Picha na Jeshi la Magereza).

Rais Magufuli Ang’ara Afrika Kiuchumi, Utawala Bora

0
0


Mkurugenzi wa Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma. Mkutano wa Msemaji Mkuu wa Serikali na waandishi wa habari ni wa kwanza kwa mwaka huu ambao ameutumia kuwaelezea wananchi juhudi mbalimbali za kimageuzi zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano.


Na Beatrice Lyimo-MAELEZO

DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea kung’ara kimataifa katika mapambano dhidi ya rushwa na utawala bora.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi leo Jijini Dodoma, wakati akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa masuala mbalimbali ya Serikali.

“Kutokana na utendaji wa kimageuzi wa Rais Magufuli, licha ya juhudi za watu wachache kuhaha kutaka kuichafua nchi yetu kimataifa, Tanzania imeendelea kuwa na taswira nzuri na heshima kubwa na ikiendelea kukubalika sana miongoni mwa Mataifa mbalimbali” amesema Dkt. Abbas

Dkt. Abbasi amefafanua kuwa, kimataifa Rais Magufuli amekuwa akiipatia heshima kubwa nchi ya Tanzania kwa mapambano yasiyokoma dhidi ya rushwa hivyo taasisi za kimataifa ikiwemo TRANSPARENCY INTERNATIONAL zimeonesha Tanzania inaendelea kufanya vizuri katika miaka hii mitatu ikitoka nafasi ya 117 hadi 99.

Aidha, Dkt. Abbasi ameongeza kuwa, Novemba, 2018 Serikali ya Nigeria ilitoa Tuzo ya Uongozi Bora kwa viongozi mbalimbali duniani akiwemo Rais Magufuli, mara baada ya Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa na Ufundi yaliyofanyika nchini humo.

“Jumla ya washiriki 123,446 walipiga kura kwenye tovuti ya Jarida la ALM kutoka Afrika na sehemu mbalimbali duniani, huku wengine 33,000 wakitumia mitandao ya kijamii na 3,400 wakituma maoni yao kupitia baruapepe na majukwaa mengine hivyo ili kupata ushindi huo. Rais Magufuli aliwashinda viongozi wengine mashuhuri wa Afrika ambao ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha APC, Nigeria, Chifu Bola Ahmed Tinubu, Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini na Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana”ameeleza Dkt. Abbasi.

Akizunguza kuhusu hali ya uchumi nchini Dkt. Abbasi ameeleza kuwa, Serikali inaamini Mwaka huu 2019 ukuaji wa uchumi nchini utafika asilimia 7.2 na kuifanya Tanzania kuendelea kuwa katika mataifa matano Afrika kwa uchumi unaokua kwa kasi na kuendelea kuwemo katika 10 ya dunia.

“Tanzania imekuwa nchi ya tano barani Afrika katika ukuaji wa uchumi na hii inatokana na utekelezaji wa miradi na huduma mbalimbali za kiuchumi zinazoendelea” amesema Dkt. Abassi.

Mbali na hayo Dkt. Abbasi amesema kuwa Serikali itaendelea kutekeleza kwa kasi wajibu wake kwa umma ikiwemo kuhakikisha hali ya amani, utulivu, kusimamia utawala bora na utawala wa sheria.

Wananchi wajitokeza kwa wingi kuangalia huduma zinazotolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)

0
0


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akipata maelezo ya jinsi mgonjwa aliyeko katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) anavyohudumiwa mara baada ya kutoka katika chumba cha upasuaji wa moyo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uuguzi sasa iliyozinduliwa jana katika uwanja vya Jamhuri jijini Dodoma.
Picha na Englibert Kayombo – WAMJW 
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Yeyeye akimpima msukumo wa damu mwilini (BP) mwananchi aliyetembelea katika banda la Taasisi hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uuguzi sasa iliyozinduliwa jana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu katika uwanja vya Jamhuri jijini Dodoma.

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mahawa Asenga akimuonesha Mwananchi kifaa kinachotumia kupasua kifua wakati wa upasuaji wa moyo katika uzinduzi wa kampeni ya uuguzi sasa ambayo ilizinduliwa jana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu katika uwanja vya Jamhuri jijini Dodoma.

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mariselina Granima akiwaeleza wananchi kuhusu huduma mbalimbali za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uuguzi sasa iliyozinduliwa jana katika uwanja vya Jamhuri jijini Dodoma

Maafisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakitoa elimu ya magonjwa ya moyo pamoja na huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uuguzi sasa iliyozinduliwa jana katika uwanja vya Jamhuri jijini Dodoma.


Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rydness Mulashani akimwelekeza mwananchi jinsi kifaa kinachousaidia moyo kufanya kazi (Pacemaker) kinavyowekwa kwa mgonjwa ambaye moyo wake haufanyi kazi vizuri wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uuguzi sasa iliyozinduliwa jana katika uwanja vya Jamhuri mkoani Dodoma.

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Aisha Omary akimpima urefu mwananchi aliyetembelea katika banda la Taasisi hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uuguzi sasa iliyozinduliwa jana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu katika uwanja vya Jamhuri jijini Dodoma. 

MAGAZETI YA LEO JUMATANO,FEBRUARI 6,2019

0
0














KAMPUNI YA UTURUKI YAONESHA NIA KUWEKEZA SEKTA ZA UCHUKUZI, UTALII, NISHATI, USAFIRI WA ANGA NA UJENZI.

0
0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki pamoja na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi, Isack Kamwelwe, wakiwa katika kikao na wawekezaji toka nchini Uturuki katika Kampuni ya MNG Group of Companies wakati walipofanya kikao juu ya fursa na miradi ya uwekezaji nchini tarehe 5 Januari, 2019, jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki akimkabidhi Kitabu chenye Fursa na Miradi yenye Uhitaji Mitaji ya Uwekezaji nchini , Mwekezaji toka nchini Uturuki ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya MNG Group of Companies mara baada ya kufanya kikao juu ya fursa na miradi ya uwekezaji nchini tarehe 5 Januari, 2019, jijini Dodoma.


Wawekezaji toka nchini Uturuki katika Kampuni ya MNG Group of Companies wakifuatilia kikao na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki (hayupo pichani), wakati walipofanya kikao juu ya fursa na miradi ya uwekezaji nchini, tarehe 5 Januari, 2019, jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki akiongea na wawekezaji toka nchini Uturuki katika Kampuni ya MNG Group of Companies, wakati walipofanya kikao ofisini kwake juu ya fursa na miradi ya uwekezaji nchini tarehe 5 Januari, 2019, jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Mhe. Angellah Kairuki akiwasikiliza wataalamu wa masuala ya uwekezaji wa Ofisi ya waziri Mkuu wakati wa kikao na wawekezaji toka nchini Uturuki katika Kampuni ya MNG Group of Companies (hawapo pichani), wakati walipofanya kikao ofisini kwake juu ya fursa na miradi ya uwekezaji nchini tarehe 5 Januari, 2019, jijini Dodoma.


Na. OWM, DODOMA.

Kampuni ya MNG Group of Companies ya nchini Uturuki imeonesha nia ya kufanya uwekezaji mkubwa nchini katika sekta mbalimbali; zikiwemo sekta za Uchukuzi, Utalii, Nishati na Usafiri wa Anga.

Uwekezaji huo umebainishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya MNG Group of Companies, Mehmet Gunal, wakati alipokutana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Mhe. Angellah Kairuki (Mb), jijini Dodoma, tarehe 5 Januari 2019.

Waziri Kairuki amebainisha kuwa nia ya serikali ya awamu ya tano ni kuhakikisha uwekezaji wenye tija nchini, na kwa kutumia mfumo wa sera ya Ushirikiano baina ya sekta Binafsi na Umma inahakikisha inavutia wawekezaji zaidi nchini.

“Tunazo fursa na miradi inayohitaji mitaji ya uwekezaji hapa nchini, jukumu letu ni kuhakikisha wawekezaji mnapata mazingira wezeshi katika fursa na miradi mnayotaka kuwekeza ili nchi iweze kupata tija kutokana uwekezaji huo” Amesisitiza Mhe. Kairuki.

Akiongea katika kikao hicho mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya MNG Group of Companies, Mehmet Gunal, amefafanua kuwa , Kampuni hiyo iko tayari kuwekeza nchini katika Sekta mbalimbali, kwa kuwa wamevutiwa na mazingira ya uwekezaji ya hapa nchini.

Aidha, Gunal alifafanua kuwa wamejipanga kutumia fursa na miradi yenye kuhitaji uwekezaji nchini ili kuweza kufanya uwekezaji mkubwa , pia alisema kampuni yake ipo tayari kuwekeza hata kwa mfumo wa sera ya ushirikiano baina ya Sekta ya Binafsi na Umma au kuwekeza wao wenyewe.

Kampuni ya MNG Group of Companies inao uzoefu katika masuala ya uwekezaji kwa miaka 42 katika mabara matatu Duniani, ikiwa imejikita katika uwekezaji kwenye sekta sita na tayari hadi hivi sasa imetekeleza miradi zaidi ya mia mbili katika mabara hayo.

Baadhi ya Miradi ambayo imetekelezwa na Kampuni hiyo ni pamoja na , Bwawa la kufua Umeme la Chief Dam la nchini Algeria, Ujenzi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa KOTOKA (terminal III), wa nchini Ghana, Ujenzi wa makao makuu ya na Benki ya Halk nchini Uturuki.

Kikao hicho kilihudhuriwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi, Isack Kamwelwe, Wataalamu wa masuala ya Uwekezaji na maendeleo ya Sekta Binafsi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, pamoja na wataalam kutoka Kituo cha Uwekezaji nchini.

Jafo alaaani vitendo vya watumishi kutumia nguvu dhidi ya wananchi

0
0

Nteghenjwa Hosseah, Itigi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amelaani vikali vitendo cha watumishi wa umma kutumia nguvu nyingi dhidi ya wananchi hali inayopelekea kuletea machafu kwenye jamii na hata kupelekea mauaji ya wananchi wasiokuwa na hatia.

Jafo amelaani vitendo hivyo wakati wa mazishi ya marehemu Isaka Petro aliyefariki jumamosi katika vurugu zilizotokea katika kanisa la Waadiventisti Wasabato Itigi kundi Namba Two na kuzikwa nyumbani kwao kijiji cha kazikazi kata ya Kitaraka; Mazishi hayo pia yamehudhuriwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Singida pamoja na Wilaya ya Manyoni.

Jafo amesema tukio hilo lilitokea sio agizo la Serikali na waliotekeleza wamefanya kwa utashi na akili zao binafsi na hawakuagizwa na mtu yeyote na zaidi wametenda kinyume cha maadili ya utumishi wa umma.

“Hakuna namna tunaweza kusema vinginenevyo kuhusu tukio hili zaidi ya kuwa tukio baya na la kusikitisha sana kuwahi kutokea kwa wananchi wetu, tena likiwa limetekelezwa na watumishi wa Serikali inasikitisha sana nawasihi watumishi wa umma tutangulize utu mbele katika kila kazi tunazozifanya”

Aliongeza kuwa watumishi wa umma haijalishi unafanya kazi gani katika mazingira gani lakini hakikisha unatanguliza ubinadamu kwanza ili tulinde maisha yetu na ya wale tunaowahudumia haipendezi wewe ukawa chanzo cha mtafaruku katika jamii tusaidie kuwaunganisha wananchi na kuwafanya kuwa kitu kimoja na sio kuwa chanzo cha ugomvi na mafarakano.

Kwa taarifa nilizopewa na nimezithibitisha ni kuwa wote waliohusika na tukio hili wameshakamatwa na vyombo vya Ulinzi na Usalama bado vinaendelea na taratibu zao alisema Jafo.

Katika msiba huo Waziri Jafo akiwa na viongozi wa Mkoa wa Singida alitoa pole kwa familia ya marehemu sambamba na rambirambi pia alishirikiana na ndugu, jamaa na marafiki katika shughuli zote za mazishi ya marehemu Isaka Petro nyumbani kwao kazikazi.

Akizungumza katika mazishi hayo Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amesema kuwa msimba huo ni pigo kwa Serikali pamoja na wananchi wote wa kijiji cha kazikazi.

“Serikali inawahudumia wananchi walio hai na sio wafu sasa mwananchi wetu anapotutoka tena kwa kifo cha kwa namna hii na sisi tunapata pigo kwa sababu dhamira yetu ya kufikisha huduma bora kwake haitafikiwa”

Sisi kama Serikali tuna wajibu wa kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya wananchi wetu kufanya shughuli zao kwa usalama wa hali ya juu sasa wajibu huu unapotekelezwa kinyume na taratibu zetu ni makosa ninatoa na kila mtu atawajibika kwa kadiri ya kosa lake alisema Dkt. Nchimbi.

Aidha Dr Nchimbi aliwaeleza wananchi wa kazikazi pamoja na Kitaraka kuwa wale wote wanaolima katika Shamba la Kitaraka waendelee na shughuli zao kama kawaida na wasilipe ushuru wa shilingi elfu ishirini kama ilivyokuwa hapo awali mpaka hapo yatakapokuja maelekezo mengine.

“Watumishi wa halmashauri mupeleke ujuzi na pembejeo kwa wakulima wadogo wa shamba la Kitaraka na sio kwenda kuwabugudhi kwa kuwadai ushuru nyie endeleeni na wawekezaji wenu wakubwa kwa kadiri ya makubalino mliyoingia lakini hawa wananchi wanaolima ekari moja moja waacheni waendelee na kilimo chao” alisema Dkt. Nchimbi.

Naye Mchungaji wa Kanisa la Waadiventista Wasabato Itigi Kundi Namba Two Manigina F.S Manigina aliwaasa wanakijiji cha kazikazi kutokua na kisasi na kumuomba Mungu ili tukio kama hilo lisitokee tena katika kijiji chao.

“Visasi ni vya Mungu nyinyi msiweke visasi na mtu ila endeleeni na maisha yenu kama kawaida na Mungu atazidi kuwashushia baraka zake katika kazi zenu” alisema Mchungaji Manigina.

Katika vurugu zilizotokea siku ya jumamosi katika kijiji cha kazikazi eneo la Kanisa la Waadiventista Wasabato Kundi Namba Two baina ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi akiwa na askari wa wanyamapori na baadhi wa wananchi wa kijiji hicho zilipelekea kifo cha kijana Isaka Petro mwenye umri wa miaka 28.

Marehemu ameacha mke na watoto watatu. 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za MItaa Mhe. Selemani Jafo akitoa pole kwenye ibada ya mazishi ya Isaka Petro aliyefariki siku ya jumamosi katika vurugu zilizotokea kijiji cha kazikazi Kata Kitaraka kwenye kanisa la Waadventista Wasabato Kundi Namba Two.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za MItaa Mhe. Selemani Jafo(katikati aliyekaa), Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi(kushoto), Katibu Tawala za Mkoa Dkt. Angelina Lutambi(kulia) wakati wa ibada ya mazishi ya Isaka Petro aliyefariki katika vurugu zilizotokea kijiji cha kazikazi Kata Kitaraka kwenye kanisa la Waadventista Wasabato Kundi Namba Two.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (aliyesimama mbele) akitoa pole wakati wa wa ibada ya mazishi ya Isaka Petro aliyefariki katika vurugu zilizotokea kijiji cha kazikazi Kata Kitaraka kwenye kanisa la Waadventista Wasabato Kundi Namba Two.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za MItaa Mhe. Selemani Jafo akishiriki kubeba jeneza la marehemu Isaka Petro wakati wa mazishi yake.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za MItaa Mhe. Selemani Jafo akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi, Katibu Tawala Dkt. Angelina Lutambi wakiondoka baada ya kukamilisha taratibu za mazishi ya Isaka Petro. 

KIBAHA KUJENGEWA HOSPITALI YA KISASA KWA AJILI YA KUBORESHA HUDUMA YA AFYA KWA WANANCHI WAKE

0
0

VICTOR MASANGU,KIBAHA

KATIKA kukabiliana na changamoto ya utoaji wa huduma ya afya kwa wananchi wa Wilayani Kibaha Mkoani Pwani serikali ya awamu ya tano imeamua kujenga hospitali mpya ya kisasa katika eneo la kata ya Picha ya ndege kwa lengo la kuwaondolea kero ya siku nyingi ya kutembea umbari mrefu kwa ajili ya kwenda kupatiwa matibabu.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kuhusiana na ujenzi huo Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Lulanzi inapojengwa hospitali hiyo Thobiasi Shilole alisema kuwa kukamilka kwa mradi huo utaweza kuwa ni mkombozi mkubwa kwa wananchi wa maeneo mbali mbali ya Kibaha kwani hapo awali walikuwa wanapata usumbufu mkubwa pindi wanapohitaji huduma ya matibabu.

Kwa upande wake Mbunge wa Kibaha mjini Silvestry Koka ambaye amefanya ziara yake ya kikazi kwa ajili ya kukagua na kujionea mwenendo mzima wa eneo hilo la ujenzi na kumpongeza Rais wa awamu ya tano Dk. John Pombe Magufuli kwa kuamua kutoa kiasi cha shilingi bilioni 1.5 ya ujenzi huo na kuwataka wakandarasi kuhakikisha wanajenga majengo yenye ubora unaotakiwa na kuachana na tabia ya kufanya kazi ambazo zipo chini ya kiwango.

Koka alibainisha kwamba kujengwa kwa mradi huo wa ujenzi wa hospitali ni kutokana na juhudi ambazo alizifanya kwa kushirikiana na viongozi mbali mbali wa wilaya pamoja na serikali kuu kwa ujumla na kuahidi kuendelea kuleta maendeleo kwa wananchi katika sekta mbali mbali.

“Huu mradi wa ujenzi wa hospitali ya Wilaya kwa kweli umeletwa kwetu kwa lengo la kuwasaidia wananchi katika suala zima la kuwasogezea huduma ya matibabu, kwa hivyo mimi kama Mbunge ninatoa pongezi zangu za dhati kabisa kwa Rais wa awamu ya tano Dk. John Pombe Magufuli katika kuwaboreshea wananchi huduma ya afya pamoja na mambo mengine,”alisema Koka.

Naye Diwani wa kata ya Picha ya ndege Robert Machumbe akizungumza na wananchi mara baada ya kutembelea eneo hilo la mradi amebainisha kuwa nia ya serikali ya awamu ya tano ni kuwaletea wananchi mabadiliko chanya ya kimaendeleo katika nyanja mbali mbali ambapo kwa sasa wameshapata eneo lenye ukumbwa wa Hekari 25 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali hiyo ya Wilaya.

“Kwa kweli tunapenda kuishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuweza kutuletea mabadiliko chanya ya kimaendeleo ambapo utaona kwa sasa katika kata hii ya picha ya ndege kuna hatua kubwa sana ambayo tumeifanya katika nyanja mbali mbali na sasa tumeshaanza ujenzi wa hospitali yetu ya Wilaya ambayo itajengwa katika mtaa wa Lulanzi kwa hivyo hii ni hatua kubwa sana pamoja na shule ya sekondari ambayo tayari eneo la hekari 11.7 limeshapatikana,”alisema.

KUKAMILIKA kwa ujenzi huo wa hospitali ya Wilaya kwa wananchi wa Kibaha mkoani Pwani na maeneo mengine ya jirani kutaweza kuwasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuondokana na changamoto ya kutembea umbari mrefu kwa ajili ya kwenda kutafuta huduma ya afya katika maeneo mengine.


Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka akizungumza na wananchi wa kata ya picha ya ndege katika mkutano wa hadhara mara baada ya kufanya ziara yake ya kikazi ya kutembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Wilaya ambayo inajengwa katika eneo la mtaa wa Lulanzi
Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka akizungumza jambo la waandishi wa habari hawapo pichani katika eneo ambalo limetengwa maalumu kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa hospitali ya Wilaya ambayo imeanza kujengwa katika eneo la Lulaniz kata ya picha ya ndege(PICHA NA VICTOR MASANGU)
Mwenyekiti wa mtaa wa Lulanzi Thobisi Shilole akifafanua jambo kwa waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kutembelea eneo la ujenzi ambalo limetengwa kwa ajili ya hospotali ya Wilaya katika eneo la mtaa wa Lulanzi
Diwani wa kata ya picha ya ndege Robert Machumbe akizungumza jambo katika mkutano na wananchi kuhusiana na ujenzi wa hospitali hiyo pamoja na masuala mbali mbali yaliyafanyika katika kipindi hiki cha serikali ya awamu ya tani

MAMA ASHA AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO JIMBONI

0
0
Uongozi wa Jimbo la Mahonda umejikita kuimarisha Sekta ya Michezo katika azma nzima ya kuinua kiwango cha Michezo kitakachowawezesha Vijana ndani ya Jimbo hilo kujiwekea njia ya kupata ajira kupitia fani hiyo muhimu kwa sasa hapa Duniani.

Mke wa Mwakilishi wa Jimbo la Mahonda Mama Asha Suleiman Iddi amesema hayo baada ya kushuhudia pambano la kirafiki la Mchezo wa Mpira wa Pete {Netball} uliozikutanisha Timu za Madada wa Fujoni dhidi ya Kitope lililofanyika katika uwanja wa mahonda Kiwandani.

Mama Asha amesema utaratibu wa kuwapatia vifaa katika Michezo tofauti Vijana wa Jimbo hilo utaendelea ili kuwajengea ari ya kupenda Michezo licha ya kuimarisha Afya bora zitakazowaepusha na Maradhi mbali mbali pamoja na kuwa mbali na vikundi vya kihuni.

Amewataka Vijana hao kujikita katika masuala ya Kijamii na kuacha kasumba na mambo yanayoendelea kuenezwa na Watu walioshindwa kutafuta masuala ya msingi yatakayowawezesha Vijana hao kujitegemea zaidi.

Katika pambano hilo mbali ya kutafuta Timu ya Kombaini ya Netball ya Jimbo la Mahonda lakini pia ulikwenda sambamba na shamra shamra za maadhimisho ya Sherehe za kutimia Miaka 42 ya Chama cha Mapinduzi tokea kilipoasisiwa kwenye Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar mnamo Mwaka 1977.

Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR)
Febuari 05, 2019


 

Misri yakubaliana na Tanzania kujenga kiwanda kikubwa cha nyama na ngozi

0
0
Na. Saja Kigumbe

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina amesema serikali za Tanzania na Misri zimekubaliana kuanzishwa kwa kiwanda kikubwa cha nyama na mazao ya ngozi hapa nchini.

Waziri Mpina amebainisha hayo jana Februari 5,2019 ofisini kwake jijini Dodoma mara baada ya kupata ugeni kutoka nchini Misri ukiongozwa na Waziri wa Kilimo wa nchi hiyo Prof. Ezzaldin Aboussteit.

“Tunaenda kujenga kiwanda kikubwa cha kusindika nyama, cha kusindika ngozi, cha kusindika mazao ya ngozi, kiwanda ambacho hakipo katika nchi hizi zote za Afrika ya Mashariki na Kati.” Alisema Mhe. Mpina

Waziri Mpina amemuhakikishia waziri huyo wa Misri kuwa rasilimali za mifugo na uvuvi zilizopo nchini zipo salama na kwamba wizara imekuwa ikifanya jitahada kuhakikisha samaki hawavuliwi kwa njia haramu na hakuna biashara haramu ili kuhakikisha rasilimali hizo zinanufaisha viwanda vya ndani na wawekezaji watakaokuja kuwekeza katika sekta hizo.

Aidha Waziri Mpina amemuarifu Waziri wa Kilimo wa Misri Prof. Ezzaldin Aboussteit kuwa hakuna mifugo inayoruhusiwa kuingia nchini kutoka nje ya nchi bila ya kuwa na vibali na kuwa usimamizi wa nchi katika rasilimali za mifugo na uvuvi uko salama.

Katika kikao hicho kilichoongozwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina, kilihudhuriwa pia na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, makatibu wakuu wa wizara hiyo pamoja na manejimenti ya wizara.
Waziri wa Kilimo wa Misri Prof. Ezzaldin Aboussteit (kulia) akifafanua jambo katika kikao hicho huku akisiskilizwa kwa makini na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallaha Ulega na wajumbe wengine hawapo pichani
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (wa tatu kushoto) akizungumza ofisini kwake baada ya kutembelewa na ujumbe kutoka Misri ukiongozwa na Waziri wa Kilimo wa nchi hiyo Prof. Ezzaldin Aboussteit

Mkazi wa Keko na mkewe wavuna milioni 10 za Biko

0
0
Na Ripota Wetu, Dar es Salaam.

Mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam, Yusuph Julla, ameibuka na ushindi wa sh milioni 10 kutoka kwenye bahati nasibu ya biko, huku akimchagua mke wake Mwanaidi Salumu kuwa mpendanao wake kutokea kwenye vuna fedha za wapendao.

Makabidhiano hayo yamefanyika jijini Dar es Salaam, kwa kuwakabidhi chao wapendanao hao wenye maskani yao Keko wilayani Temeke, jijini Dar es Salaam ili waendelee na harakati zao za kimaisha.

Akizungumza katika makabidhiano hayo, Julla aliishukuru Biko kwa kumpatia fedha zake mapema akisema kuwa fedha hizo zitawanufaisha yeye na mkewe kwenye familia yao hiyo.

Kucheza Biko sasa ni kuanzia sh 500 na sh 1000 na kuendelea, huku ushindi wake ukianzia sh 1000 hadi sh 100000 kwa watakaocheza sh 500 hadi sh 9500 wakati watakaocheza kwa sh 1000 na kuendelea, mchezaji anaweza kujishindia zawadi ya papo kwa hapo kuanzia sh 5000 hadi sh milioni moja bila kusahau wote kuingia kwenye droo kubwa ya Jumatano na Jumapili.

Bahati nasibu ya Biko inachezwa kwa mitandao ya simu minne ambayo ni Tigo Pesa, M-Pesa, Artel Money na HaloPesa, ambapo namba ya Kampuni ni 505050 na kumbukumbu namba 2456, huku Watanzania wakiweza kujishindia zawadi kubwa katika droo ya Jumatano na Jumapili.

Mshindi wa sh milioni 10 kutoka Bahati nasibu ya Biko, Yusuph Julla, akiwa na mkewe baada ya kukabidhiwa fedha zake za ushindi kutoka kwenye bahati nasibu hiyo huku Julla akimtaja mkewe Mwanaidi Salimu kuwa mpendanao wake hivyo kugawana fedha hizo kwa pamoja kwa ajili ya kufanyia mambo ya kimaendeleo. Biko inachezwa kwa njia ya ujumbe wa maandishi huku washindi wa droo kubwa wakipatikana Jumatano na Jumapili pamoja na zawadi za papo kwa hapo.

Waziri Lukuvi Akata Mzizi wa Fitna Suala la Kufuta Mashamba

0
0

TAARIFA KWA UMMA- MWONGOZO WA UHAKIKI UONGEZAJI THAMANI MADINI KABLA YA KUSAFIRISHWA NJE YA NCHI

0
0

WAKIMBIZI KUPEWA VITAMBULISHO

0
0

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Masauni (katikati), akiongozana na Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Fillippo Grandi baada ya kumaliza kikao cha ndani ambacho mambo mbalimbali kuhusiana na wakimbizi yalijadiliwa. Kulia ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu.Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi Ndogo ya wizara jijini Dar es Salaam


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Masauni, akiagana na Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Fillippo Grandi (kushoto) baada ya kumaliza kikao cha ndani ambacho mambo mbalimbali kuhusiana na wakimbizi yalijadiliwa. Katikati ni Katibu wa Naibu Waziri, George Mwansasu.Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi Ndogo ya wizara jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi



Serikali imelitaka Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani(UNHCR) kusaidia katika utoaji wa vitambulisho kwa wakimbizi wote walioko katika makambi pamoja na kusaidia uanzishwaji wa kanzidata ya wakimbizi nchini itakayomilikiwa na serikali.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhnadisi Hamad Masauni wakati akizungumza katika kikao cha ndani na Ujumbe ulioongozwa na Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani(UNHCR) Fillippo Grandi,ambaye yuko nchini kwa ziara ya kikazi.

Naibu Waziri Masauni alisema Serikali ya Tanzania imekua na historia ndefu katika jukumu la kuhifadhi wakimbizi wanaokimbia machafuko katika nchi zao lakini wakimbizi hao wanatakiwa kutokua sehemu ya watu wanaovunja sheria pindi wawepo makambini.

“Ni muhimu sasa UNHCR wakasaidiana na serikali katika kuboresha orodha ya wakimbizi walioko nchini sambamba na ugawaji wa vitambulisho kwa wakimbizi watakaothibitika kisheria kuwa ni wakimbizi huku ikisaidia katika kupokea wakimbizi halali na sio wahamiaji haramu” Alisema Masauni

Akizungumza katika kikao hicho Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani(UNHCR) Fillippo Grandi aliishukuru serikali ya Tanzania kwa kupokea wakimbizi kwa muda mrefu na akiweka wazi lengo lao la kushirikiana na nchi zinazopokea wakimbizi katika kusimamia zoezi la urejeshwaji wa wakimbizi wanaotaka kurudi kwao kwa hiyari

“Tutahakikisha tunasimamia wakimbizi kutii sheria za nchi husika ikiwemo uhifadhi wa mazingira katika makambi na kusaidia urejeshwaji wa wakimbizi walio tayari kurejea katika nchi zao baada ya kurejea kwa amani” alisema Filippo

Tanzania inahifadhi zaidi ya wakimbizi Laki Tatu katika kambi za Nyarugusu, Nduta na Mtendeli zilizopo mkoani Kigoma.

Uturuki kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kutoa huduma za matibabu ya moyo kwa watanzania

0
0
Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Medicana , Bursa ya nchini Uturuki Prof. Serdar Ener akisoma taarifa ya mgonjwa aliyefanyiwa upasuaji wa moyo na kulazwa katika chumba cha wagonjwa waliopo katika uangalizi maalum (ICU) alipotembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo wanazotoa na kuona namna wanavyoweza kufanya kazi kwa pamoja ya kutoa matibabu ya moyo kwa watanzania.
Afisa Muuguzi bingwa kutoa Connecticut Children’s Medical Center nchini Marekani ambaye yupo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kujitolea kuwafundisha wauguzi jinsi ya kuwahudumia wagonjwa waliolazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) Mollie Mullaney akiongea jambo na Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Medicana , Bursa ya nchini Uturuki Prof. Serdar Ener. Prof. Ener alitembelea Taasisi hiyo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo wanazozitoa ikiwa ni pamoja na kuangalia miondombinu iliyopo.
Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Medicana , Bursa ya nchini Uturuki Prof. Serdar Ener akiangalia jinsi madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wanavyofanya upasuaji alipotembelea Taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo wanazozifanya na kuona namna wanavyoweza kufanya kazi kwa pamoja ya kutoa matibabu ya moyo kwa watanzania.
Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Medicana , Bursa ya nchini Uturuki Prof. Serdar Ener akiangalia jinsi madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wanavyofanya upasuaji alipotembelea Taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo wanazozifanya na kuona namna wanavyoweza kufanya kazi kwa pamoja ya kutoa matibabu ya moyo kwa watanzania.
Afisa Muuguzi wa chumba cha upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Faustina Mwapinga akimweleza jinsi wanavyoandaa vifaa vya upasuaji Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Medicana , Bursa ya nchini Uturuki Prof. Serdar Ener alipotembelea Taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo wnazozitoa ikiwa ni pamoja na kuangalia miondombinu iliyopo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiongea jambo na Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Medicana , Bursa ya nchini Uturuki Prof. Serdar Ener alipotembelea Taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo wanazozitoa na kuona namna wanavyoweza kufanya kazi kwa pamoja ya kutoa matibabu ya moyo kwa watanzania.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwa katika picha ya pamoja na Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Medicana , Bursa ya nchini Uturuki Prof. Serdar Ener pamoja na wageni wengine kutoka nchini humo mara baada ya kumalizika kwa ziara yake ya kutembelea Taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo wanazozifanya na kuangalia miundombinu iliyopo. Picha na JKCI
Viewing all 46206 articles
Browse latest View live




Latest Images