Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa pili kushoto), akitoka kukagua Kituo cha Forodha na Ushuru cha Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji (Kilambo), alipofanya ziara na kuzungumza na wafanyakazi wa Kituo hicho, mkoani Mtwara.
Meneja wa Kituo cha Forodha na Ushuru cha Kilambo, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji mkoani Mtwara Bw. Emmanuel William (wa tatu kulia), akitoa maelezo ya eneo jipya la ujenzi wa Ofisi za Kituo hicho katika Kijiji cha Kilambo, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji.
Meneja wa Kituo cha Forodha na Ushuru cha Kilambo, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji mkoani Mtwara Bw. Emmanuel William (kulia), akitoa maelezo ya eneo jipya la ujenzi wa Ofisi za Kituo hicho katika Kijiji cha Kilambo, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akitembelea maeneo mbalimbali ya Kituo cha Forodha katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji- Kilambo Mkoani Mtwara.
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Bw. Evod Mmanda (kulia) akitoa maelezo kwa Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (hayupo pichani) kuhusu uhitaji wa Ofisi za Kituo cha Forodha katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji- Kilambo, Mkoani Mtwara ili kurahisisha utendaji katika kudhibiti magendo na ukusanyaji wa mapato wakati wa ziara ya Waziri huyo alipokwenda kujionea hali halisi ya mpaka huo.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akisalimiana na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kilambo Bw. Mohammed Mkama, akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Mtwara kukagua pamoja na mambo mengine, Kituo cha Forodha na Ushuru cha Kilambo, kilichoko katika mpaka wa Tanzania na Msumbiji.
Diwani wa Kata ya Tangazo Bw.(kushoto), akijadili jambo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), alipokutana na wakazi wa Kijiji cha Kilambo, akiwa katika ziara yake ya kukagua Kituo cha Forodha na Ushuru-Kilambo, kilichoko mpakani kwa Tanzania na Msumbiji.
Wazee wa Kijiji cha Kilambo wakimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) kwa utendaji wake mzuri wa kazi, alipofanya ziara ya kutembelea Kituo cha Forodha katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji- Kilambo Mkoani Mtwara.
Mzee Seleman Kumamba (kushoto) akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), ambapo alimuomba Waziri huyo kuangalia uwezekano wa kuweka kiwanda katika eneo hilo kikiwemo cha kusindika matunda kwa kuwa watanufaika kutokana na soko la mazao yao lililopo nchi jirani ya Msumbiji.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) baada ya kujionea hali halisi ya Mpaka wa Tanzania na Msumbiji eneo la Kilambo Mkoani Mtwara na kueleza kuwa atatatua changamoto mbalimbali za eneo hilo ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato na kudhibiti magendo. kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Bw. Evod Mmanda.(Picha na Kitengo cha Mwasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango).
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa pili kushoto), akitoka kukagua Kituo cha Forodha na Ushuru cha Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji (Kilambo), alipofanya ziara na kuzungumza na wafanyakazi wa Kituo hicho, mkoani Mtwara.
Meneja wa Kituo cha Forodha na Ushuru cha Kilambo, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji mkoani Mtwara Bw. Emmanuel William (wa tatu kulia), akitoa maelezo ya eneo jipya la ujenzi wa Ofisi za Kituo hicho katika Kijiji cha Kilambo, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji.
Meneja wa Kituo cha Forodha na Ushuru cha Kilambo, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji mkoani Mtwara Bw. Emmanuel William (kulia), akitoa maelezo ya eneo jipya la ujenzi wa Ofisi za Kituo hicho katika Kijiji cha Kilambo, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akitembelea maeneo mbalimbali ya Kituo cha Forodha katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji- Kilambo Mkoani Mtwara.
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Bw. Evod Mmanda (kulia) akitoa maelezo kwa Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (hayupo pichani) kuhusu uhitaji wa Ofisi za Kituo cha Forodha katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji- Kilambo, Mkoani Mtwara ili kurahisisha utendaji katika kudhibiti magendo na ukusanyaji wa mapato wakati wa ziara ya Waziri huyo alipokwenda kujionea hali halisi ya mpaka huo.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akisalimiana na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kilambo Bw. Mohammed Mkama, akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Mtwara kukagua pamoja na mambo mengine, Kituo cha Forodha na Ushuru cha Kilambo, kilichoko katika mpaka wa Tanzania na Msumbiji.
Diwani wa Kata ya Tangazo Bw.(kushoto), akijadili jambo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), alipokutana na wakazi wa Kijiji cha Kilambo, akiwa katika ziara yake ya kukagua Kituo cha Forodha na Ushuru-Kilambo, kilichoko mpakani kwa Tanzania na Msumbiji.
Wazee wa Kijiji cha Kilambo wakimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) kwa utendaji wake mzuri wa kazi, alipofanya ziara ya kutembelea Kituo cha Forodha katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji- Kilambo Mkoani Mtwara.
Mzee Seleman Kumamba (kushoto) akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), ambapo alimuomba Waziri huyo kuangalia uwezekano wa kuweka kiwanda katika eneo hilo kikiwemo cha kusindika matunda kwa kuwa watanufaika kutokana na soko la mazao yao lililopo nchi jirani ya Msumbiji.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) baada ya kujionea hali halisi ya Mpaka wa Tanzania na Msumbiji eneo la Kilambo Mkoani Mtwara na kueleza kuwa atatatua changamoto mbalimbali za eneo hilo ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato na kudhibiti magendo. kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Bw. Evod Mmanda.(Picha na Kitengo cha Mwasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango).