Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46329 articles
Browse latest View live

AWAMU YA TANO YA RAIS DKT. MAGUFULI YAWATUA NDOO WANANACHI WA GAIRO

$
0
0





Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Siriel Mchembe (wa kwanza kulia) na wageni wake kutoka Sweden wakishiriki msaragambo na wanawake wa Kata ya Chakwale kuchimba mtaro wa kutandaza mabomba ya Maji.
Mhandisi Magumbo (wa kwanza kushoto) anayekuwa akisimamia mradi huo akitoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Mchembe (katikati) na wafadhili kutoka nchini Sweden mara baada ya kufika kukagua.
Mhandisi wa Wilaya ya Gairo Heke Bulugu akitoa ufafanuzi kwenye baadhi ya mambo.

Wadau mbalimbali wakiwemo Madiwani na Watendaji wa Kata. Neema ya Mradi wa Maji safi na Salama Gairo chini ya uongozi makini wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli unaendelea kwa kasi ya ajabu.

Akitembelea mradi Maji Safi na Salama uliopo Gairo, Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Mchembe akiwa ameongozana na Mhandisi wa Maji Wilaya Eng. Heke Bulugu, Madiwani wa Chakwale na Madege pamoja na Watendaji wao, na Mhandisi wa Lions Pure Water Eng. Magumbo pamoja na wafadhili wa kutoka nchini Sweden.
 
Mhe. Mchembe ameeleza kuwa Mradi huo unahudumia kata 2 za Madege na Chakwale na vijiji 6 vya Madege, Ng'olong'o , Sanganjelu, Chakwale, Kilimani na Kimashale. Aliongeza kuwa utanufaisha jumla ya wananchi 10,358 kwa gharama ya shs 348,000,000/- kwa mchanganuo ufuatao Lions Pure Water shs 278,000,000/- Halmashauri kupitia Serikali kuu shs 48,000,000/- na Nguvu za wananchi 22,000,000/- Mhe. Mchembe ameisifia serikali ya Rais Dkt. Magufuli ya hapa Kazi tu! kwa kuweza kuwajali wanyonge kwa kuwatua ndoo kichwani akinamama.

MAGARI 50 YA WAGONJWA YAGAIWA KWA HALMASHAURI.

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Selemani Jafo, ameendesha zoezi la kugawa magari 50 ya wagonjwa aina ya Suzuki Maruti (Ambulances) kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini Jijini Dar es Salaam.

Magari hayo ambayo awali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliagiza yafanyiwe utaratibu wa kisheria wa kiforodha na yagawanywe kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa ili yatumike kwa kuwahudumia wananchi katika vituo mbalimbali vya afya nchini.

“Hii ni agenda ya Mhe. Rais ya kutaka kuhakikisha watanzania wanapata huduma bora, ambulance hizi ulaji wake wa mafuta ni mdogo sana na zitatusaidia katika halmashauri nyingi,”amesema Jafo.Aidha, Mhe. Jafo amemshukuru sana Rais wa John Magufuli kwa kuonyesha mapenzi makubwa lakini pia amependezwa na Watumishi wa Wizara, Mikoa na Halmashauri

zote kuweza kuhudhuria hafla hiyo muhimu iliyofanyika bandarini Jijini Dar es Salaam.Naye Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Zainabu Chaula amemshukuru Waziri wa Nchi TAMISEMI na Waheshimiwa Wabunge wote kwa utendaji wao na kuwataka wabunge kuwa na lugha ya ufahamu mmoja ili kuboresha utendaji Serikalini.

“Kwa niaba ya watendaji nawashukuru sana waheshimiwa Wabunge, nilitamani tutembee pamoja kwa maana ya kuwa na uelewa wa pamoja na ndio maana Mhe.Waziri amewakabidhi wabunge magari nao watukabidhi sisi,”Amesema

Charles Kichere Kamishna Mkuu wa Mapato Tanzania, amesema awali magari hayo aliyaona Mhe. Rais alipofanya ziara bandarini na kwamba magari hayo yalikuwa yameteleekezwa na mmiliki wake kutofahamika na ndipo rai, aliagiza kufuata utaratibu wa forodha na kuyataifisha magari hayo na kasha yagawiwe kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini.

Kwa upande wake Mhe. Prof Norman Sigalla King, Mbunge wa Makete, amemshukuru Mhe. Rais kwa kutoa ambulance hizo kwa ajili ya kuimarisha huduma za mama wajawazito.“kwanza nitoe shukrani za pekee kabisa kwa kupewa ambulance kwa ajili ya wilaya yangu ya Makete nakumbuka niliomba kwa ajili ya tarafa za Ukutama, Matamba, Magomba, Tulongwa na Niwaho”amsema.

Amebainisha umbali wa kata ya Ukutama hadi Makete mjini ni kilomita 70 na hivyo itawanusuru wakina mama dhidi ya vifo vya uzazi visivyotarajiwa.Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Hakimu Ndatama amemshukuru Mhe. Rais kwa kuwapatia ambulance ambayo itaokoa vifo vya akina mama na watoto kwa kiasi kikubwa.
Baadhi ya magari aina ya Suzuki Maruti ambayo Mhe. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliamuru yagawiwe katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kuhudumia Sekta ya Afya nchini. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Selemani Jafo (Mb) akimkabidhi moja ya gari la wagonjwa aina ya Suzuki Maruti, Ashura Nkya ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Babati katika bandari ya Dar es Salaam jana.

MPINA ALIA NA WANAODANGANYA CHAPA

$
0
0



Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (mwenye kofia) akimshika mkia ng’ombe kuangalia kama amepigwa chapa alipotembelea mnada wa Kizota nje kidogo ya mji wa Dodoma leo ambapo ametoa tathimini ya upigaji chapa unaoendelea nchini. 
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega(aliyenyosha mkono)akimwonyesha Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (mwenye kofia) chapa ya mifugo alipotembelea mnada wa Kizota nje kidogo ya mji wa Dodoma leo ambapo wametoa tathimini ya upigaji chapa unaoendelea nchini.Nyuma yake ni Kaimu Katibu Mkuu wa Mifugo Bi. Selina Lyimo, wakwanza kushoto mwenye shati la kitenge ni Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani wa Wizara Dkt. Angelo Mwilawa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Sekta ya Mifugo nchini, Dkt Maria Mashingo akishiriki zoezi la upigaji chapa mifugo mkoani Kigoma hivi karibuni. Tarehe ya mwisho kitaifa ya uhitimishaji wa kupiga chapa mifugo yote nchini iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa ni 31/3/2018. 


Na. John Mapepele, Dodoma

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa, Luhaga Mpina ametoa onyo kali kwa viongozi wa Serikali katika Halmashauri zote nchini wanayoihujumu operesheni maalum ya kitaifa ya kupiga chapa mifugo inayoendelea nchi nzima kwa kutoa taarifa za uongo zinazoonesha kuwa mifugo mingi imepigwa chapa tofauti na hali halisi ambapo amesema Wizara yake itapita kila Wilaya kufanya tathmini ya kina baada ya tarehe ya mwisho ya upigaji chapa kitaifa iliyotolewa na Mheshimiwa Waziri Mkuu, Marchi 31 mwaka huu ambapo watendaji watakaobainika kudanganya sheria zitachukua mkondo wake.

Aidha ametoa maelekezo kwa Wakuu wote wa Mikoa na Wilaya kote nchini kuhakikisha kwamba mifugo yote inatakiwa iwe imepigwa chapa hadi tarehe ya mwisho iliyopangwa na kusiwe na visingizio vyaaina yoyote ikiwa ni utekelezazi wa Sheria ya Utambuzi,Usajili na Ufuatiliaji wa Mifugo Namba 12 ya Mwaka 2010 na kanuni zake za mwaka 2011. 

Maelekezo hayo aliyatoa jana akiwa Naibu Waziri wake Mhe. Abdalah Ulega na Watendaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi walipotembelea mnada wa upili wa Kizota pembeni kidogo wa mji wa Dodoma kutoa tathmini ya zoezi la upigaji chapa nchini kabla ya siku ya mwisho ya upigaji chapa mifugo yote nchini ambayo ni tarehe 31/3/2018.

Waziri Mpina alisema, kulingana na takwimu ambazo Wizara imeletewa hadi tarehe 11 Machi, 2018 inaonyesha kwamba, jumla ya ng’ombe 16,744,355 kati ya 17,390,090 sawa na asilimia 96.3 ya ng’ombe wote nchini wamepigwa chapa. Aidha, jumla ya Punda 51,494 wamepigwa chapa nchini. 

“Hivi karibuni nilitembelea mnada wa Pugu nikaangalia idadi ya mifugo iliyopigwa chapa hawafiki hata asilimia tano, lakini leo hapa sote tumeshuhudia idadi ya mifugo wote waliopigwa chapa katika mnada huu wa Kizota ni chini ya asilimia mbili. Minada hii ndiyo mikubwa nchini ukianzia wa Pugu na huu ni wa Kizota ni wa pili kwa hiyo inadhihirisha kwa uhakika kabisa kuwa kuna udanganyifu mkubwa unaofanywa na watendaji wasio waaminifu wanaopotosha taarifa.” Alisistiza Mpina.

Alisema wilaya nyingine zimeleta takwimu ambazo zinaonyesha zimepia chapa mifugo kwa zaidi ya asilimia elfu moja ambapo amezionya kutojiingiza katika matatizo kwa kuendelea kudanganya. 

Aidha alisema tathmini ya jumla kuanzia mwezi Disemba 2017 hadi tarehe 11 Marchi, 2018 inaonyesha kwamba, Halmashauri 85 zimepiga chapa kwa asilimia 100 na zaidi; Halmashauri 86 zimepiga chapa kati ya asilimia 50 na 100, na Halmashauri 4 zimepiga chapa chini ya asilimia 50. 

Alizitaja Halmashauri hizo kuwa ni Kasulu, Madaba, Arusha na Meru, ambapo alisema Halmashauri zilizobaki ni miongoni mwa Halmashauri zenye ng’ombe wengi wa maziwa nchini wanaotarajiwa kuvishwa hereni. Halmashauri hizo ni Manispaa ya Ubungo, Temeke, Moshi, Kinondoni na Ilala. Alisema Halmashauri zingine zenye ng’ombe wengi wa maziwa kuliko wanaochungwa ni Rungwe, Busokelo na Kibaha. 

Alisema tathmini ya zoezi la chapa tangu kuongezwa kwa muda kutoka tarehe 31 Januari, 2018 hadi sasa inaonyesha ongezeko la Halmashauri 14 zilizopiga chapa mifugo zaidi ya asilimia 100 na kupungua kwa Halmashauri 8 zilizopiga chapa kati ya asilimia 50 – 100 na kupungua kwa Halmashauri 25 zilizopiga chapa chini ya asilimia 50.

“Napenda kutoa maelekezo kwa wafugaji kwamba mifugo yote ipigwe chapa popote ilipo ilimradi ni ya Tanzania ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima baada ya tarehe ya mwisho iliyopangwa na Serikali ambayo ni mwisho wa mwezi huu na ninaomba ieleweke kuwa visingizio vyoyote havitakubalika’ Alisisitiza Waziri Mpina. 

Akielezea umuhimu wa zoezi hilo, Mpina alisema kwamba kukamilika kwa zoezi hilo kutasaidia kutambua mifugo yote iliyopo nchini ili kukidhi mahitaji ya biashara katika masoko ya ndani na nje ya nchi,kudhibiti magonjwa ya mifugo na kudhibiti wizi wa mifugo na usafirishaji holela.

Aidha kutasaidia kuepusha migogoro inayoendelea maeneo mbalimbaili nchini baina ya wafugaji,wakulima pamoja na watumiaji wengine wa raslimali ardhi na kutawezesha Serikali kupata idadi sahihi ya mifugo iliyonayo ili kupanga kupanga mipango inayotekelezeka na kuleta mapinduzi katika sekta hiyo.

Alisema Zoezi la upigaji chapa ni endelevu kwa mifugo ambapo alisema ng’ombe na punda wanaotimiza miezi sita wanatakiwa kupiga chapa.

Awamu ya kwanza ya zoezi la upigaji chapa ng’ombe na punda nchini ilianza rasmi tarehe 14 Desemba, 2016 kufuatia Agizo la Mheshimiwa Waziri Mkuu na ilitarajiwa kukamilika tarehe Desemba 31, 2017. Tathmini iliyofanywa baada ya kukamilika awamu hiyo ya Desember, 2017 ilionyesha jumla ya ng’ombe 7,401,661 sawa na asilimia 38.5 ya lengo walikuwa wamepigwa chapa. Kutokana na kiwango kidogo cha ng’ombe waliokuwa wamepigwa chapa wakati huo, Waziri wa Mifugo, Mheshimiwa Luhaga Mpina aliongeza muda wa kukamilisha zoezi hili hadi tarehe 31 Januari, 2018. Hadi kufikia tarehe 31 Januari, 2018 jumla ya ng’ombe 15,192,565 sawa na asilimia 87.4 walikuwa wamepigwa chapa. 

Aidha jumla ya punda 6,944 walikuwa wamepigwa chapa kati ya punda 572,353 wanaotarajiwa kupigwa chapa nchini. Pia, jumla ya ng’ombe wa maziwa 58,214 walikuwa wamevishwa hereni kati ya ng’ombe wa maziwa 782,995 wanaotarajiwa kuvishwa hereni. Pamoja na muda huo kuongezwa, Halmashauri nyingi zilikuwa bado hazijakamilisha zoezi hili kikamilifu. Kutokana na mapungufu mbalimbali yaliyojitokeza Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa alilazimika kuongeza muda zaidi mpaka tarehe 28 Machi, 2018 na kuziagiza Mamlaka ya Serikali za Mitaa kusimamia zoezi hili kikamilifu kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi na kumpa taarifa ya Utekelezaji ifikapo Machi 31, mwaka huu.

Wakati huo huo, Waziri Mpina alisema kuwa Wizara itafanya mageuzi makubwa ya kupanua kiwanda cha machinjio ya nyama cha Dodoma(TMC) ili kiweze kukidhi mahitaji ya sasa ya mifugo ambapo kumekuwa na ongezeko kubwa ya mifugo nchini.

Mmoja wa wafanyabiashara wa mifugo Shabani zuberi, alimweleza Waziri kuwa kwa sasa gharama ya uchinjaji wa nyama katika machinjio ya kiwanda hicho ni juu ukilinganisha na machinjio nyingine nchini ambapo ni shilingi elfu ishirini kwa ng’ombe mmoja na kwamba nyama kwa ajili ya soko la ndani inanyimwa sehemu ya kugandishia tofauti na nyama inayosafirishwa kwenda nje ya nchi suala ambalo linawafanya wapate hasara kubwa nyama ikishindwa kuuzika katika siku husika kutokana na kukosa sehemu ya kugandishia.

Akijibu hoja hizo, Mpina aliielekeza menejimenti ya kiwanda hicho kukaa na Wizara na kuangalia namna bora ya kuweka gharama ya uchinjaji itakayoendana na hali halisi ya bei la soko.

Aidha alikiagiza kiwanda kuanza mara moja kutoa huduma ya kugandisha na kuhifadhi nyama ya walaji wa ndani ambapo pia alitoa wiki mbili kuhakikisha huduma ya maji inaletwa na kiwanda hicho katika machinjio ya Kizota.Alisisitiza kuwa Mnada wa Kizota utaboreshwa na Serikali kwa kuwa unaingiza milioni 624 kwa mwaka hivyo ukiboreshwa miundo mbinu yake utaongeza mapato yake.

“Hatuwezi kuwajali watu kutoka nje ya nchi na usiwajali wananchi wako wa ndani ya nchi, naamuru kwamba TMC wapeni huduma ya kugandisha nyama wateja wenu wa soko la ndani” alisistiza Mpina.

Alimpongeza Naibu Waziri, Abdalah Ulega kwa juhudi anazozifanya za kuhakikisha minada yote nchi inakuwa na miundombinu bora ambapo awali Mhe. Ulega alitembelea mnada wa Kizota na kujadiliana na wadau wa mnada huo kuhusiana na mambo mbalimbali.

Naye Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo Selina Lyimo alimshukuru Waziri Mpina kwa maelekezo aliyoyatoa kwa Wizara na kumhakikishia kwamba yatatekelezwa mara moja ili kuleta mageuzi na mapinduzi makubw a katika sekta. 

Aidha Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti Mafunzo na Ugani,Angelo Mwilawa amesema Idara yake itaendelea kuratibu tafiti mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo hususan kwenye eneo la malisho na uzalishaji wa mbegu bora za mifugo ili wafugaji waweze kufuga kisasa
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (mwenye kofia) akimshika mkia ng’ombe kuangalia kama amepigwa chapa alipotembelea mnada wa Kizota nje kidogo ya mji wa Dodoma leo ambapo ametoa tathimini ya upigaji chapa unaoendelea nchini.
 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega(aliyenyosha mkono)akimwonyesha  Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (mwenye kofia) chapa ya mifugo alipotembelea mnada wa Kizota nje kidogo ya mji wa Dodoma leo ambapo wametoa tathimini ya upigaji chapa unaoendelea nchini.Nyuma yake ni Kaimu Katibu Mkuu wa Mifugo Bi. Selina Lyimo, wakwanza kushoto mwenye shati la kitenge ni Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani wa Wizara Dkt. Angelo Mwilawa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia  Sekta ya Mifugo nchini, Dkt Maria Mashingo akishiriki zoezi la upigaji chapa mifugo mkoani Kigoma hivi karibuni. Tarehe ya mwisho kitaifa ya uhitimishaji wa kupiga chapa mifugo yote nchini iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa ni 31/3/2018.

Na. John Mapepele, Dodoma

Waziri wa  Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa, Luhaga Mpina ametoa onyo kali kwa viongozi wa Serikali katika Halmashauri zote nchini wanayoihujumu operesheni maalum ya kitaifa ya kupiga chapa  mifugo inayoendelea nchi nzima kwa kutoa taarifa za uongo zinazoonesha kuwa mifugo mingi imepigwa chapa tofauti na hali halisi ambapo amesema Wizara yake itapita kila Wilaya kufanya tathmini ya kina  baada ya tarehe ya mwisho ya upigaji chapa kitaifa iliyotolewa na Mheshimiwa Waziri Mkuu, Marchi 31 mwaka  huu ambapo watendaji watakaobainika kudanganya sheria zitachukua mkondo wake.

Aidha ametoa maelekezo kwa Wakuu wote wa Mikoa na Wilaya kote nchini kuhakikisha kwamba mifugo yote inatakiwa iwe imepigwa chapa hadi tarehe ya mwisho iliyopangwa na kusiwe na visingizio  vyaaina yoyote ikiwa ni utekelezazi wa Sheria ya Utambuzi,Usajili na Ufuatiliaji  wa Mifugo Namba 12 ya Mwaka 2010 na kanuni zake za mwaka 2011.

Maelekezo hayo  aliyatoa jana akiwa Naibu Waziri wake Mhe. Abdalah Ulega na Watendaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi walipotembelea mnada wa upili wa Kizota pembeni kidogo wa mji wa Dodoma kutoa tathmini ya zoezi la upigaji chapa nchini kabla ya siku ya mwisho  ya upigaji chapa mifugo yote nchini ambayo ni tarehe 31/3/2018.

Waziri Mpina alisema, kulingana  na takwimu ambazo Wizara imeletewa  hadi tarehe 11 Machi, 2018 inaonyesha  kwamba,  jumla ya ng’ombe 16,744,355 kati ya17,390,090 sawa na asilimia 96.3 ya ng’ombe wote nchiniwamepigwa chapa.Aidha,jumla ya Punda 51,494wamepigwa chapa nchini.


“Hivi karibuni nilitembelea mnada wa Pugu nikaangalia idadi ya mifugo iliyopigwa chapa hawafiki hata asilimia tano, lakini leo hapa sote tumeshuhudia idadi ya mifugo wote waliopigwa chapa katika mnada huu wa Kizota ni chini ya asilimia mbili. Minada hii ndiyo mikubwa nchini ukianzia wa Pugu na huu ni wa Kizota ni wa pili kwa hiyo inadhihirisha kwa uhakika kabisa kuwa kuna udanganyifu mkubwa unaofanywa na watendaji wasio waaminifu wanaopotosha taarifa.” Alisistiza  Mpina

Alisema wilaya nyingine zimeleta takwimu ambazo zinaonyesha zimepia chapa mifugo kwa zaidi ya asilimia elfu moja ambapo amezionya kutojiingiza katika matatizo kwa kuendelea kudanganya.

Aidha alisema tathmini ya jumla kuanzia mwezi Disemba 2017 hadi tarehe 11 Marchi, 2018inaonyesha kwamba, Halmashauri 85 zimepiga chapa kwa asilimia 100 na zaidi;Halmashauri 86 zimepiga chapa kati ya asilimia 50 na 100, naHalmashauri 4 zimepiga chapa chini ya asilimia 50.

Alizitaja Halmashauri hizo kuwa ni Kasulu, Madaba, Arusha na Meru, ambapo alisema  Halmashauri zilizobaki ni miongoni mwa Halmashauri zenye ng’ombe wengi wa maziwa nchini wanaotarajiwa kuvishwa hereni. Halmashauri hizo ni Manispaa ya Ubungo, Temeke, Moshi, Kinondoni na Ilala.

Alisema Halmashauri zingine zenye ng’ombe wengi wa maziwa kuliko wanaochungwa ni Rungwe, Busokelo na Kibaha.

Alisema tathmini ya zoezi la chapa tangu kuongezwa kwa muda kutoka tarehe 31 Januari, 2018hadi sasa inaonyesha ongezeko la Halmashauri 14 zilizopiga chapa mifugo zaidi ya asilimia 100na kupungua kwa Halmashauri 8 zilizopiga chapa kati ya asilimia 50 – 100 na kupungua kwa Halmashauri25 zilizopiga chapa chini ya asilimia50.

“Napenda kutoa  maelekezo kwa wafugaji kwamba mifugo yote ipigwe chapa  popote ilipo ilimradi ni ya Tanzania  ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima  baada ya tarehe ya mwisho iliyopangwa na Serikali ambayo ni mwisho wa mwezi huu na  ninaomba ieleweke kuwa visingizio vyoyote  havitakubalika’ Alisisitiza Waziri Mpina.

Akielezea umuhimu wa zoezi hilo, Mpina alisema kwamba kukamilika kwa zoezi hilo kutasaidia kutambua mifugo yote iliyopo nchini ili kukidhi mahitaji  ya biashara katika masoko ya ndani na nje  ya nchi,kudhibiti magonjwa ya mifugo na kudhibiti wizi wa mifugo na usafirishaji holela.

Aidha kutasaidia  kuepusha  migogoro inayoendelea maeneo mbalimbaili nchini  baina ya wafugaji,wakulima pamoja na watumiaji wengine wa raslimali ardhi na kutawezesha Serikali kupata idadi sahihi ya mifugo iliyonayo ili kupanga kupanga mipango inayotekelezeka  na kuleta mapinduzi katika sekta hiyo.

Alisema  Zoezi la upigaji chapa ni endelevu kwa mifugo ambapo alisema ng’ombe na punda wanaotimiza  miezi sita wanatakiwa kupiga chapa.


Awamu ya kwanza ya zoezi la upigaji chapa ng’ombe na punda nchini ilianza rasmi tarehe 14 Desemba, 2016 kufuatia Agizo la Mheshimiwa Waziri Mkuu na ilitarajiwa kukamilika tarehe Desemba 31, 2017.  Tathmini iliyofanywa baada ya kukamilika awamu hiyo ya Desember, 2017ilionyesha jumla ya ng’ombe 7,401,661sawa na asilimia 38.5 ya lengo walikuwa wamepigwa chapa. Kutokana na kiwango kidogo cha ng’ombe waliokuwa wamepigwa chapa wakati huo, Waziri wa Mifugo, Mheshimiwa Luhaga Mpina aliongeza muda wa kukamilisha zoezi hili hadi tarehe 31 Januari, 2018. Hadi kufikia tarehe 31 Januari, 2018 jumla ya ng’ombe 15,192,565sawa na asilimia 87.4 walikuwa wamepigwa chapa.


Aidha jumla ya punda 6,944 walikuwa wamepigwa chapa kati ya punda 572,353wanaotarajiwa kupigwa chapa nchini. Pia, jumla ya ng’ombe wa maziwa 58,214 walikuwa wamevishwa hereni kati ya ng’ombe wa maziwa 782,995 wanaotarajiwa kuvishwa hereni. Pamoja na muda huo kuongezwa, Halmashauri nyingi zilikuwa bado hazijakamilisha zoezi hili kikamilifu. Kutokana na mapungufu mbalimbali yaliyojitokeza Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa alilazimika kuongeza muda zaidi mpaka tarehe 28 Machi, 2018 na kuziagiza Mamlaka ya Serikali za Mitaa kusimamia zoezi hili kikamilifu kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi na kumpa  taarifa ya Utekelezaji ifikapo Machi 31, mwaka huu.


Wakati huo huo, Waziri Mpina alisema kuwa  Wizara itafanya mageuzi makubwa ya kupanua kiwanda cha machinjio ya nyama  cha Dodoma(TMC) ili kiweze kukidhi mahitaji ya sasa  ya mifugo ambapo kumekuwa na ongezeko kubwa ya mifugo nchini.


Mmoja wa wafanyabiashara wa mifugo Shabani zuberi, alimweleza  Waziri kuwa  kwa sasa  gharama ya uchinjaji wa nyama katika machinjio ya kiwanda hicho ni juu ukilinganisha na machinjio nyingine nchini ambapo ni shilingi elfu ishirini   kwa ng’ombe mmoja  na kwamba  nyama kwa ajili ya soko la ndani inanyimwa sehemu ya kugandishia tofauti na nyama inayosafirishwa kwenda nje ya nchi suala ambalo linawafanya wapate  hasara kubwa  nyama ikishindwa kuuzika katika siku husika kutokana na kukosa sehemu ya kugandishia.


Akijibu hoja hizo, Mpina aliielekeza menejimenti ya kiwanda hicho kukaa na Wizara na kuangalia namna bora ya kuweka gharama ya uchinjaji itakayoendana na hali halisi ya bei la soko.


Aidha alikiagiza kiwanda kuanza mara moja kutoa huduma ya kugandisha na kuhifadhi nyama  ya walaji wa ndani ambapo pia alitoa wiki mbili kuhakikisha huduma ya maji inaletwa na kiwanda hicho katika machinjio ya Kizota.Alisisitiza kuwa Mnada wa Kizota utaboreshwa na Serikali kwa kuwa unaingiza milioni 624 kwa mwaka   hivyo ukiboreshwa miundo mbinu yake utaongeza mapato yake.


“Hatuwezi kuwajali watu kutoka nje ya nchi na usiwajali wananchi wako wa ndani ya nchi, naamuru kwamba TMC wapeni huduma ya kugandisha  nyama wateja wenu wa soko la ndani” alisistiza Mpina.


Alimpongeza Naibu Waziri, Abdalah Ulega kwa juhudi anazozifanya  za kuhakikisha minada yote nchi inakuwa  na  miundombinu bora ambapo awali Mhe. Ulega alitembelea mnada wa Kizota  na kujadiliana na wadau wa mnada huo kuhusiana na mambo mbalimbali.

Naye Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo Selina  Lyimo alimshukuru Waziri Mpina kwa maelekezo aliyoyatoa kwa Wizara na kumhakikishia kwamba yatatekelezwa mara moja ili kuleta mageuzi  na mapinduzi makubw a katika sekta.

Aidha Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti Mafunzo na Ugani,Angelo Mwilawa amesema  Idara yake itaendelea kuratibu tafiti mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo hususan kwenye eneo la malisho na uzalishaji wa mbegu bora za mifugo ili wafugaji waweze kufuga kisasa

MPINA ALIA NA WANAODANGANYA CHAPA

$
0
0



Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (mwenye kofia) akimshika mkia ng’ombe kuangalia kama amepigwa chapa alipotembelea mnada wa Kizota nje kidogo ya mji wa Dodoma leo ambapo ametoa tathimini ya upigaji chapa unaoendelea nchini. 
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega(aliyenyosha mkono)akimwonyesha Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (mwenye kofia) chapa ya mifugo alipotembelea mnada wa Kizota nje kidogo ya mji wa Dodoma leo ambapo wametoa tathimini ya upigaji chapa unaoendelea nchini.Nyuma yake ni Kaimu Katibu Mkuu wa Mifugo Bi. Selina Lyimo, wakwanza kushoto mwenye shati la kitenge ni Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani wa Wizara Dkt. Angelo Mwilawa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Sekta ya Mifugo nchini, Dkt Maria Mashingo akishiriki zoezi la upigaji chapa mifugo mkoani Kigoma hivi karibuni. Tarehe ya mwisho kitaifa ya uhitimishaji wa kupiga chapa mifugo yote nchini iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa ni 31/3/2018. 


Na. John Mapepele, Dodoma

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa, Luhaga Mpina ametoa onyo kali kwa viongozi wa Serikali katika Halmashauri zote nchini wanayoihujumu operesheni maalum ya kitaifa ya kupiga chapa mifugo inayoendelea nchi nzima kwa kutoa taarifa za uongo zinazoonesha kuwa mifugo mingi imepigwa chapa tofauti na hali halisi ambapo amesema Wizara yake itapita kila Wilaya kufanya tathmini ya kina baada ya tarehe ya mwisho ya upigaji chapa kitaifa iliyotolewa na Mheshimiwa Waziri Mkuu, Marchi 31 mwaka huu ambapo watendaji watakaobainika kudanganya sheria zitachukua mkondo wake.

Aidha ametoa maelekezo kwa Wakuu wote wa Mikoa na Wilaya kote nchini kuhakikisha kwamba mifugo yote inatakiwa iwe imepigwa chapa hadi tarehe ya mwisho iliyopangwa na kusiwe na visingizio vyaaina yoyote ikiwa ni utekelezazi wa Sheria ya Utambuzi,Usajili na Ufuatiliaji wa Mifugo Namba 12 ya Mwaka 2010 na kanuni zake za mwaka 2011. 

Maelekezo hayo aliyatoa jana akiwa Naibu Waziri wake Mhe. Abdalah Ulega na Watendaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi walipotembelea mnada wa upili wa Kizota pembeni kidogo wa mji wa Dodoma kutoa tathmini ya zoezi la upigaji chapa nchini kabla ya siku ya mwisho ya upigaji chapa mifugo yote nchini ambayo ni tarehe 31/3/2018.

Waziri Mpina alisema, kulingana na takwimu ambazo Wizara imeletewa hadi tarehe 11 Machi, 2018 inaonyesha kwamba, jumla ya ng’ombe 16,744,355 kati ya 17,390,090 sawa na asilimia 96.3 ya ng’ombe wote nchini wamepigwa chapa. Aidha, jumla ya Punda 51,494 wamepigwa chapa nchini. 

“Hivi karibuni nilitembelea mnada wa Pugu nikaangalia idadi ya mifugo iliyopigwa chapa hawafiki hata asilimia tano, lakini leo hapa sote tumeshuhudia idadi ya mifugo wote waliopigwa chapa katika mnada huu wa Kizota ni chini ya asilimia mbili. Minada hii ndiyo mikubwa nchini ukianzia wa Pugu na huu ni wa Kizota ni wa pili kwa hiyo inadhihirisha kwa uhakika kabisa kuwa kuna udanganyifu mkubwa unaofanywa na watendaji wasio waaminifu wanaopotosha taarifa.” Alisistiza Mpina.

Alisema wilaya nyingine zimeleta takwimu ambazo zinaonyesha zimepia chapa mifugo kwa zaidi ya asilimia elfu moja ambapo amezionya kutojiingiza katika matatizo kwa kuendelea kudanganya. 

Aidha alisema tathmini ya jumla kuanzia mwezi Disemba 2017 hadi tarehe 11 Marchi, 2018 inaonyesha kwamba, Halmashauri 85 zimepiga chapa kwa asilimia 100 na zaidi; Halmashauri 86 zimepiga chapa kati ya asilimia 50 na 100, na Halmashauri 4 zimepiga chapa chini ya asilimia 50. 

Alizitaja Halmashauri hizo kuwa ni Kasulu, Madaba, Arusha na Meru, ambapo alisema Halmashauri zilizobaki ni miongoni mwa Halmashauri zenye ng’ombe wengi wa maziwa nchini wanaotarajiwa kuvishwa hereni. Halmashauri hizo ni Manispaa ya Ubungo, Temeke, Moshi, Kinondoni na Ilala. Alisema Halmashauri zingine zenye ng’ombe wengi wa maziwa kuliko wanaochungwa ni Rungwe, Busokelo na Kibaha. 

Alisema tathmini ya zoezi la chapa tangu kuongezwa kwa muda kutoka tarehe 31 Januari, 2018 hadi sasa inaonyesha ongezeko la Halmashauri 14 zilizopiga chapa mifugo zaidi ya asilimia 100 na kupungua kwa Halmashauri 8 zilizopiga chapa kati ya asilimia 50 – 100 na kupungua kwa Halmashauri 25 zilizopiga chapa chini ya asilimia 50.

“Napenda kutoa maelekezo kwa wafugaji kwamba mifugo yote ipigwe chapa popote ilipo ilimradi ni ya Tanzania ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima baada ya tarehe ya mwisho iliyopangwa na Serikali ambayo ni mwisho wa mwezi huu na ninaomba ieleweke kuwa visingizio vyoyote havitakubalika’ Alisisitiza Waziri Mpina. 

Akielezea umuhimu wa zoezi hilo, Mpina alisema kwamba kukamilika kwa zoezi hilo kutasaidia kutambua mifugo yote iliyopo nchini ili kukidhi mahitaji ya biashara katika masoko ya ndani na nje ya nchi,kudhibiti magonjwa ya mifugo na kudhibiti wizi wa mifugo na usafirishaji holela.

Aidha kutasaidia kuepusha migogoro inayoendelea maeneo mbalimbaili nchini baina ya wafugaji,wakulima pamoja na watumiaji wengine wa raslimali ardhi na kutawezesha Serikali kupata idadi sahihi ya mifugo iliyonayo ili kupanga kupanga mipango inayotekelezeka na kuleta mapinduzi katika sekta hiyo.

Alisema Zoezi la upigaji chapa ni endelevu kwa mifugo ambapo alisema ng’ombe na punda wanaotimiza miezi sita wanatakiwa kupiga chapa.

Awamu ya kwanza ya zoezi la upigaji chapa ng’ombe na punda nchini ilianza rasmi tarehe 14 Desemba, 2016 kufuatia Agizo la Mheshimiwa Waziri Mkuu na ilitarajiwa kukamilika tarehe Desemba 31, 2017. Tathmini iliyofanywa baada ya kukamilika awamu hiyo ya Desember, 2017 ilionyesha jumla ya ng’ombe 7,401,661 sawa na asilimia 38.5 ya lengo walikuwa wamepigwa chapa. Kutokana na kiwango kidogo cha ng’ombe waliokuwa wamepigwa chapa wakati huo, Waziri wa Mifugo, Mheshimiwa Luhaga Mpina aliongeza muda wa kukamilisha zoezi hili hadi tarehe 31 Januari, 2018. Hadi kufikia tarehe 31 Januari, 2018 jumla ya ng’ombe 15,192,565 sawa na asilimia 87.4 walikuwa wamepigwa chapa. 

Aidha jumla ya punda 6,944 walikuwa wamepigwa chapa kati ya punda 572,353 wanaotarajiwa kupigwa chapa nchini. Pia, jumla ya ng’ombe wa maziwa 58,214 walikuwa wamevishwa hereni kati ya ng’ombe wa maziwa 782,995 wanaotarajiwa kuvishwa hereni. Pamoja na muda huo kuongezwa, Halmashauri nyingi zilikuwa bado hazijakamilisha zoezi hili kikamilifu. Kutokana na mapungufu mbalimbali yaliyojitokeza Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa alilazimika kuongeza muda zaidi mpaka tarehe 28 Machi, 2018 na kuziagiza Mamlaka ya Serikali za Mitaa kusimamia zoezi hili kikamilifu kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi na kumpa taarifa ya Utekelezaji ifikapo Machi 31, mwaka huu.

Wakati huo huo, Waziri Mpina alisema kuwa Wizara itafanya mageuzi makubwa ya kupanua kiwanda cha machinjio ya nyama cha Dodoma(TMC) ili kiweze kukidhi mahitaji ya sasa ya mifugo ambapo kumekuwa na ongezeko kubwa ya mifugo nchini.

Mmoja wa wafanyabiashara wa mifugo Shabani zuberi, alimweleza Waziri kuwa kwa sasa gharama ya uchinjaji wa nyama katika machinjio ya kiwanda hicho ni juu ukilinganisha na machinjio nyingine nchini ambapo ni shilingi elfu ishirini kwa ng’ombe mmoja na kwamba nyama kwa ajili ya soko la ndani inanyimwa sehemu ya kugandishia tofauti na nyama inayosafirishwa kwenda nje ya nchi suala ambalo linawafanya wapate hasara kubwa nyama ikishindwa kuuzika katika siku husika kutokana na kukosa sehemu ya kugandishia.

Akijibu hoja hizo, Mpina aliielekeza menejimenti ya kiwanda hicho kukaa na Wizara na kuangalia namna bora ya kuweka gharama ya uchinjaji itakayoendana na hali halisi ya bei la soko.

Aidha alikiagiza kiwanda kuanza mara moja kutoa huduma ya kugandisha na kuhifadhi nyama ya walaji wa ndani ambapo pia alitoa wiki mbili kuhakikisha huduma ya maji inaletwa na kiwanda hicho katika machinjio ya Kizota.Alisisitiza kuwa Mnada wa Kizota utaboreshwa na Serikali kwa kuwa unaingiza milioni 624 kwa mwaka hivyo ukiboreshwa miundo mbinu yake utaongeza mapato yake.

“Hatuwezi kuwajali watu kutoka nje ya nchi na usiwajali wananchi wako wa ndani ya nchi, naamuru kwamba TMC wapeni huduma ya kugandisha nyama wateja wenu wa soko la ndani” alisistiza Mpina.

Alimpongeza Naibu Waziri, Abdalah Ulega kwa juhudi anazozifanya za kuhakikisha minada yote nchi inakuwa na miundombinu bora ambapo awali Mhe. Ulega alitembelea mnada wa Kizota na kujadiliana na wadau wa mnada huo kuhusiana na mambo mbalimbali.

Naye Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo Selina Lyimo alimshukuru Waziri Mpina kwa maelekezo aliyoyatoa kwa Wizara na kumhakikishia kwamba yatatekelezwa mara moja ili kuleta mageuzi na mapinduzi makubw a katika sekta. 

Aidha Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti Mafunzo na Ugani,Angelo Mwilawa amesema Idara yake itaendelea kuratibu tafiti mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo hususan kwenye eneo la malisho na uzalishaji wa mbegu bora za mifugo ili wafugaji waweze kufuga kisasa
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (mwenye kofia) akimshika mkia ng’ombe kuangalia kama amepigwa chapa alipotembelea mnada wa Kizota nje kidogo ya mji wa Dodoma leo ambapo ametoa tathimini ya upigaji chapa unaoendelea nchini.
 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega(aliyenyosha mkono)akimwonyesha  Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (mwenye kofia) chapa ya mifugo alipotembelea mnada wa Kizota nje kidogo ya mji wa Dodoma leo ambapo wametoa tathimini ya upigaji chapa unaoendelea nchini.Nyuma yake ni Kaimu Katibu Mkuu wa Mifugo Bi. Selina Lyimo, wakwanza kushoto mwenye shati la kitenge ni Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani wa Wizara Dkt. Angelo Mwilawa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia  Sekta ya Mifugo nchini, Dkt Maria Mashingo akishiriki zoezi la upigaji chapa mifugo mkoani Kigoma hivi karibuni. Tarehe ya mwisho kitaifa ya uhitimishaji wa kupiga chapa mifugo yote nchini iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa ni 31/3/2018.

Na. John Mapepele, Dodoma

Waziri wa  Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa, Luhaga Mpina ametoa onyo kali kwa viongozi wa Serikali katika Halmashauri zote nchini wanayoihujumu operesheni maalum ya kitaifa ya kupiga chapa  mifugo inayoendelea nchi nzima kwa kutoa taarifa za uongo zinazoonesha kuwa mifugo mingi imepigwa chapa tofauti na hali halisi ambapo amesema Wizara yake itapita kila Wilaya kufanya tathmini ya kina  baada ya tarehe ya mwisho ya upigaji chapa kitaifa iliyotolewa na Mheshimiwa Waziri Mkuu, Marchi 31 mwaka  huu ambapo watendaji watakaobainika kudanganya sheria zitachukua mkondo wake.

Aidha ametoa maelekezo kwa Wakuu wote wa Mikoa na Wilaya kote nchini kuhakikisha kwamba mifugo yote inatakiwa iwe imepigwa chapa hadi tarehe ya mwisho iliyopangwa na kusiwe na visingizio  vyaaina yoyote ikiwa ni utekelezazi wa Sheria ya Utambuzi,Usajili na Ufuatiliaji  wa Mifugo Namba 12 ya Mwaka 2010 na kanuni zake za mwaka 2011.

Maelekezo hayo  aliyatoa jana akiwa Naibu Waziri wake Mhe. Abdalah Ulega na Watendaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi walipotembelea mnada wa upili wa Kizota pembeni kidogo wa mji wa Dodoma kutoa tathmini ya zoezi la upigaji chapa nchini kabla ya siku ya mwisho  ya upigaji chapa mifugo yote nchini ambayo ni tarehe 31/3/2018.

Waziri Mpina alisema, kulingana  na takwimu ambazo Wizara imeletewa  hadi tarehe 11 Machi, 2018 inaonyesha  kwamba,  jumla ya ng’ombe 16,744,355 kati ya17,390,090 sawa na asilimia 96.3 ya ng’ombe wote nchiniwamepigwa chapa.Aidha,jumla ya Punda 51,494wamepigwa chapa nchini.


“Hivi karibuni nilitembelea mnada wa Pugu nikaangalia idadi ya mifugo iliyopigwa chapa hawafiki hata asilimia tano, lakini leo hapa sote tumeshuhudia idadi ya mifugo wote waliopigwa chapa katika mnada huu wa Kizota ni chini ya asilimia mbili. Minada hii ndiyo mikubwa nchini ukianzia wa Pugu na huu ni wa Kizota ni wa pili kwa hiyo inadhihirisha kwa uhakika kabisa kuwa kuna udanganyifu mkubwa unaofanywa na watendaji wasio waaminifu wanaopotosha taarifa.” Alisistiza  Mpina

Alisema wilaya nyingine zimeleta takwimu ambazo zinaonyesha zimepia chapa mifugo kwa zaidi ya asilimia elfu moja ambapo amezionya kutojiingiza katika matatizo kwa kuendelea kudanganya.

Aidha alisema tathmini ya jumla kuanzia mwezi Disemba 2017 hadi tarehe 11 Marchi, 2018inaonyesha kwamba, Halmashauri 85 zimepiga chapa kwa asilimia 100 na zaidi;Halmashauri 86 zimepiga chapa kati ya asilimia 50 na 100, naHalmashauri 4 zimepiga chapa chini ya asilimia 50.

Alizitaja Halmashauri hizo kuwa ni Kasulu, Madaba, Arusha na Meru, ambapo alisema  Halmashauri zilizobaki ni miongoni mwa Halmashauri zenye ng’ombe wengi wa maziwa nchini wanaotarajiwa kuvishwa hereni. Halmashauri hizo ni Manispaa ya Ubungo, Temeke, Moshi, Kinondoni na Ilala.

Alisema Halmashauri zingine zenye ng’ombe wengi wa maziwa kuliko wanaochungwa ni Rungwe, Busokelo na Kibaha.

Alisema tathmini ya zoezi la chapa tangu kuongezwa kwa muda kutoka tarehe 31 Januari, 2018hadi sasa inaonyesha ongezeko la Halmashauri 14 zilizopiga chapa mifugo zaidi ya asilimia 100na kupungua kwa Halmashauri 8 zilizopiga chapa kati ya asilimia 50 – 100 na kupungua kwa Halmashauri25 zilizopiga chapa chini ya asilimia50.

“Napenda kutoa  maelekezo kwa wafugaji kwamba mifugo yote ipigwe chapa  popote ilipo ilimradi ni ya Tanzania  ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima  baada ya tarehe ya mwisho iliyopangwa na Serikali ambayo ni mwisho wa mwezi huu na  ninaomba ieleweke kuwa visingizio vyoyote  havitakubalika’ Alisisitiza Waziri Mpina.

Akielezea umuhimu wa zoezi hilo, Mpina alisema kwamba kukamilika kwa zoezi hilo kutasaidia kutambua mifugo yote iliyopo nchini ili kukidhi mahitaji  ya biashara katika masoko ya ndani na nje  ya nchi,kudhibiti magonjwa ya mifugo na kudhibiti wizi wa mifugo na usafirishaji holela.

Aidha kutasaidia  kuepusha  migogoro inayoendelea maeneo mbalimbaili nchini  baina ya wafugaji,wakulima pamoja na watumiaji wengine wa raslimali ardhi na kutawezesha Serikali kupata idadi sahihi ya mifugo iliyonayo ili kupanga kupanga mipango inayotekelezeka  na kuleta mapinduzi katika sekta hiyo.

Alisema  Zoezi la upigaji chapa ni endelevu kwa mifugo ambapo alisema ng’ombe na punda wanaotimiza  miezi sita wanatakiwa kupiga chapa.


Awamu ya kwanza ya zoezi la upigaji chapa ng’ombe na punda nchini ilianza rasmi tarehe 14 Desemba, 2016 kufuatia Agizo la Mheshimiwa Waziri Mkuu na ilitarajiwa kukamilika tarehe Desemba 31, 2017.  Tathmini iliyofanywa baada ya kukamilika awamu hiyo ya Desember, 2017ilionyesha jumla ya ng’ombe 7,401,661sawa na asilimia 38.5 ya lengo walikuwa wamepigwa chapa. Kutokana na kiwango kidogo cha ng’ombe waliokuwa wamepigwa chapa wakati huo, Waziri wa Mifugo, Mheshimiwa Luhaga Mpina aliongeza muda wa kukamilisha zoezi hili hadi tarehe 31 Januari, 2018. Hadi kufikia tarehe 31 Januari, 2018 jumla ya ng’ombe 15,192,565sawa na asilimia 87.4 walikuwa wamepigwa chapa.


Aidha jumla ya punda 6,944 walikuwa wamepigwa chapa kati ya punda 572,353wanaotarajiwa kupigwa chapa nchini. Pia, jumla ya ng’ombe wa maziwa 58,214 walikuwa wamevishwa hereni kati ya ng’ombe wa maziwa 782,995 wanaotarajiwa kuvishwa hereni. Pamoja na muda huo kuongezwa, Halmashauri nyingi zilikuwa bado hazijakamilisha zoezi hili kikamilifu. Kutokana na mapungufu mbalimbali yaliyojitokeza Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa alilazimika kuongeza muda zaidi mpaka tarehe 28 Machi, 2018 na kuziagiza Mamlaka ya Serikali za Mitaa kusimamia zoezi hili kikamilifu kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi na kumpa  taarifa ya Utekelezaji ifikapo Machi 31, mwaka huu.


Wakati huo huo, Waziri Mpina alisema kuwa  Wizara itafanya mageuzi makubwa ya kupanua kiwanda cha machinjio ya nyama  cha Dodoma(TMC) ili kiweze kukidhi mahitaji ya sasa  ya mifugo ambapo kumekuwa na ongezeko kubwa ya mifugo nchini.


Mmoja wa wafanyabiashara wa mifugo Shabani zuberi, alimweleza  Waziri kuwa  kwa sasa  gharama ya uchinjaji wa nyama katika machinjio ya kiwanda hicho ni juu ukilinganisha na machinjio nyingine nchini ambapo ni shilingi elfu ishirini   kwa ng’ombe mmoja  na kwamba  nyama kwa ajili ya soko la ndani inanyimwa sehemu ya kugandishia tofauti na nyama inayosafirishwa kwenda nje ya nchi suala ambalo linawafanya wapate  hasara kubwa  nyama ikishindwa kuuzika katika siku husika kutokana na kukosa sehemu ya kugandishia.


Akijibu hoja hizo, Mpina aliielekeza menejimenti ya kiwanda hicho kukaa na Wizara na kuangalia namna bora ya kuweka gharama ya uchinjaji itakayoendana na hali halisi ya bei la soko.


Aidha alikiagiza kiwanda kuanza mara moja kutoa huduma ya kugandisha na kuhifadhi nyama  ya walaji wa ndani ambapo pia alitoa wiki mbili kuhakikisha huduma ya maji inaletwa na kiwanda hicho katika machinjio ya Kizota.Alisisitiza kuwa Mnada wa Kizota utaboreshwa na Serikali kwa kuwa unaingiza milioni 624 kwa mwaka   hivyo ukiboreshwa miundo mbinu yake utaongeza mapato yake.


“Hatuwezi kuwajali watu kutoka nje ya nchi na usiwajali wananchi wako wa ndani ya nchi, naamuru kwamba TMC wapeni huduma ya kugandisha  nyama wateja wenu wa soko la ndani” alisistiza Mpina.


Alimpongeza Naibu Waziri, Abdalah Ulega kwa juhudi anazozifanya  za kuhakikisha minada yote nchi inakuwa  na  miundombinu bora ambapo awali Mhe. Ulega alitembelea mnada wa Kizota  na kujadiliana na wadau wa mnada huo kuhusiana na mambo mbalimbali.

Naye Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo Selina  Lyimo alimshukuru Waziri Mpina kwa maelekezo aliyoyatoa kwa Wizara na kumhakikishia kwamba yatatekelezwa mara moja ili kuleta mageuzi  na mapinduzi makubw a katika sekta.

Aidha Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti Mafunzo na Ugani,Angelo Mwilawa amesema  Idara yake itaendelea kuratibu tafiti mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo hususan kwenye eneo la malisho na uzalishaji wa mbegu bora za mifugo ili wafugaji waweze kufuga kisasa

MKURUGENZI MADABA AMTUMBUA AFISA MANUN

$
0
0
New post
Habari na ruvumatv.co.tz

UKIUKAJI wa taratibu za manunuzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Mkoani Ruvuma, ambako kumefanywa na Mkuu wa idara ya Manunuzi katika Halmashauri hiyo, Boniface Soko kumemfanya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya hiyo Shafi Mpenda kumsimamisha kazi mtumishi huyo. 

  Mpenda alisema kuwa, Soko amekuwa akifanya hivyo kwa makusudi na kwamba Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imekuwa ikisisitiza na kutoa miongozo mara kwa mara namna ya kutumia mfumo wa Force Account, lakini yeye hazingatii hilo. 

Alisema kuwa mfumo huo umekuwa mzuri kwani unalenga kutumia mafundi wanaopatikana katika jamii, badala ya kutumia Makandarasi ili kuweza kuepuka gharama kubwa ambazo Serikali imekuwa ikitumia katika utekelezaji wa miradi mbalimbali. 

  “Kimsingi akiwa ni mtaalamu ambaye nilikuwa nikimuamini na kumteua Katibu wa kamati ya manunuzi ndani ya Wilaya, kama mwongozo unavyoelekeza kwamba maafisa ugavi kuwa sehemu ya muundo wa kamati hiyo”, alisema Mpenda. 

Vilevile alibainisha kuwa cha kushangaza aliamua kutumia mfumo wa kikandarasi kutengeneza nyaraka husika akiaminisha kuwa ndiyo mfumo sahihi wa Force Acount, hali ambayo ilisababisha usumbufu mkubwa kwa uongozi wa Wilaya katika kutekeleza miradi miwili ya Vituo vya afya vilivyopo Wilayani humo. 

  Mpenda alifafanua kuwa, Soko alitengeneza malipo ya shilingi Milioni 8 na kuyapeleka Ofisi ya Mkurugenzi huyo ili aweze kumpitishia (Posho) kwa ajili ya kufanya malipo mbalimbali bila kupitisha kwenye kamati husika ya manunuzi ili iweze kuridhia juu ya malipo hayo. 

  Hivi sasa jambo hilo lipo katika hatua ya uchunguzi wa awali kwa kutumia kanuni ya 36 ya kanuni za kudumu, katika utumishi wa umma za mwaka 2003 ili kuweza kubaini chanzo cha madai hayo. “Sipo tayari kuona utaratibu wa kisheria ikiwemo na maelekezo ya Serikali kutozingatiwa katika Halmashauri hii, mtumishi atakayefanya hivyo sitosita kumshugulikia”, alisisitiza.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashuri ya Madaba Shafii Mpenda.

RC MAKONDA KUVITAJIRISHA VIKUNDI VYA JOGGING DAR.

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ametangaza mpango kabambe wa kuviwezesha vikundi vya mazoezi ya kukimbia (Jogging club) kwa kuweka utaratibu wa mashindano  ya kila Mwisho wa Mwezi ambapo kikundi kitakachoshinda kitapatiwa kiasi cha shilingi Million 10 Kama mtaji wa kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi.

Hatua hiyo imekuja baada ya RC Makonda kubaini idadi kubwa ya vijana hao wakimaliza mazoezi asubuhi hawana shughuli za kufanya hivyo wanakaa vijiweni na kitendo cha kukaa kijiweni wanaweza kushawishika kufanya vitendo vya uhalifu hivyo kwa kuwapatia mtaji itawawezesha kufanya shughuli za uzalishaji Mali utakaowakwamua kiuchumi.
HUU NI MWENDELEZO WA RC MAKONDA KUWEZESHA AJIRA KWA VIJANA.

Makamu wa Rais awasili Pemba kwa ziara ya siku tatu

$
0
0

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Karume,Pemba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Karume,Pemba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mshauri wa Rais wa Zanzibar Pemba Dkt. Maua Daftari mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Karume,Pemba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais

MATUKIO YA PICHA WAKATI WA UZINDUZI VITUO SITA VYA POLISI VINAVYOHAMISHIKA

$
0
0
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ,Mhandisi Hamad Masauni, akiwasili katika Viwanja vya Polisi Oysterbay wakati wa Uzinduzi wa Vituo vya Polisi Vinavyohamishika lengo ikiwa ni kusogeza huduma za kipolisi karibu na wananchi.Kulia ni Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa na wengine kutoka kushoto ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Salum Hamduni, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Temeke, Emmanuel Lukula na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Jumanne Muliro.Tukio hilo limefanyika mwishoni mwa wiki, jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, akimuongoza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni, kukagua mazingira ya ndani ya moja kati ya Vituo vya Polisi Vinavyohamishika baada ya kuzinduliwa mwishoni mwa wiki na naibu waziri huyo lengo ikiwa ni kusogeza huduma za kipolisi karibu na wananchi.Uzinduzi huo ulifanyika katika Viwanja vya Polisi Oysterbay,jijini Dar es Salaam.


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akisalimiana na Mkuu wa Kitengo cha Polisi Jamii Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Ahmada Khamis(kulia), baada ya kuzindua Vituo vya Polisi Vinavyohamishika katika Viwanja vya Polisi Oysterbay, lengo ikiwa ni usogezaji karibu wa huduma za kipolisi kwa wananchi.Katikati ni Mkuu wa Shirika linaloshughulika na Usafirishaji wa Wakimbizi nchini (IOM), Dk. Qasim Sufi.Tukio hilo limefanyika mwishoni mwa wiki, jijini Dar es Salaam.


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni, akijibu maswali ya Waandishi wa Habari baada ya Uzinduzi wa Vituo vya Polisi Vinavyohamishika lengo ikiwa ni usogezaji wa huduma za kipolisi kwa wananchi.Tukio hilo limefanyika mwishoni mwa wiki katika Viwanja vya Polisi Oysterbay, jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (wanne kulia), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Jeshi la Polisi na wageni waalikwa baada ya kuzindua Vituo vya Polisi Vinavyohamishika, lengo ikiwa ni kusogeza huduma za kipolisi kwa wananchi. Waliosimama ni Kikundi cha Polisi Jamii cha Mkoa wa Kipolisi Kinondoni.Tukio hilo limefanyika mwishoni mwa wiki katika Viwanja vya Polisi Oysterbay, jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

MAKAMU WA RAIS AWEKA SHADA LA MAUA KABURI LA Dkt. OMAR ALI JUMA

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo ameanza ziara ya siku tatu Pemba ikiwa na lengo la kuhamasisha shughuli za maendeleo. 

Makamu wa Rais ambaye amewasili Pemba alasiri ya leo na kupokelewa na viongozi mbali mbali wa Serikali na Chama ambapo alipokea taarifa za mikoa miwili ya Pemba. Pia Makamu wa Rais alizuru kaburi la Dkt. Omar Ali Juma lililopo Wawi, Pemba na kuweka shada la maua. 

Aidha Makamu wa Rais aliwataka Wananchi wa Chumbageni kukumbuka historia na kurudi nyumbani, Makamu wa Rais aliyasema hayo mara baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Tawi la CCM Chumbageni Wambaa. 

Kesho Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anatazamiwa kuendelea na ziara yake ambapo ataweka jiwe la msingi katika Kituo cha Huduma za Mama na Mtoto Shumba Vyamboni .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhiwa shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma lililopo Wawi,Pemba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma lililopo Wawi,Pemba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)Dk Omar Ali Juma (26 Juni 1941 – 4 Julai 2001) alikuwa Makamu wa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tatu nchini Tanzania, iliyokuwa inaongozwa na Rais Benjamin William Mkapa

TAXIFY CELEBRATES INTERNATIONAL WOMEN’S DAY WITH FEMALE DRIVERS

$
0
0


Taxify’s Operations Manager in Tanzania, Remmy Eseka (left) speaks to Taxify women drivers at a dinner event organized by Taxify to mark the International Women’s Day at Serena Hotel in Dar es Salaam recently.
Taxify’s Operations Manager in Tanzania, Remmy Eseka (left) in a group photo with Taxify women drivers at a dinner event organized by the company to celebrate the International Women’s Day at Serena Hotel in Dar es Salaam recently.
The Taxify women in Dar es Salaam enjoy an evening meal with Taxify Officials at an event organized by the ride sharing firm to mark the International Women’s Day at Serena Hotel in Dar es Salaam recently.

ZANTEL YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA DROO YA TISA YA KAMPENI YAKE YA JERO YAKO TU

$
0
0

Afisa Masoko wa Zantel, Hamid Mohamed Bakar (kushoto) akikabidhi zawadi ya simu aina ya Moto C kwa mshindi wa droo ya tisa ya Promosheni ya ‘JERO YAKO TU’ Bw. Yussuf Masoud Abdulla, mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam na Afisa Mkuu katika Boti za Kilimanjaro za Kampuni ya Azam wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika Makao Makuu ya Zantel leo mwishoni mwa juma jijini Dar es salaam. Promosheni hiyo kabambe ya miezi mitatu imelenga kuwashukuru wateja wa Zantel kwa kuwapa zawadi mbalimbali mara wanapoongeza salio la kiasi cha shilingi 500 tu. Katikati ni Meneja bidhaa wa Zantel, Emilliana Vakolavene.
Afisa Masoko wa Zantel, Hamid Mohamed Bakar (kushoto) na mshindi wa zawadi ya simu aina ya Moto C wa droo ya tisa katika Promosheni ya ‘JERO YAKO TU’ Bw. Yussuf Masoud Abdulla, mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam na Afisa Mkuu katika Boti za Kilimanjaro za Kampuni ya Azam wakiowaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) zawadi hiyo wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika Makao Makuu ya Zantel leo mwishoni mwa juma jijini Dar es salaam. Promosheni hiyo kabambe ya miezi mitatu imelenga kuwashukuru wateja wa Zantel kwa kuwapa zawadi mbalimbali mara wanapoongeza salio la kiasi cha shilingi 500 tu.
Afisa Masoko wa Zantel, Hamid Mohamed Bakar (katikati) akiwa pamoja na Mkaguzi Mwandamizi wa Michezo ya Bahati Nasibu nchini, Bakari Maggid akibonyeza kitufe kumpigia moja ya washindi kwenye droo ya tisa ya Promosheni ya JERO YAKO TU iliyofanyika leo mwishoni mwa juma jijini Dar es Salaam. Promosheni hiyo kabambe ya miezi mitatu imelenga kuwashukuru wateja wa Zantel kwa kuwapa zawadi mbalimbali mara wanapoongeza salio la kiasi cha shilingi 500 tu. Wengine kwenye picha ni Meneja wa Kitengo cha Mawasiliano na Chapa Zantel, Rukia Mtingwa (Kulia) na Afisa Masoko Zantel, Bi. Rehema Cuthbert (Wa pili kulia).
Afisa Masoko wa Zantel, Hamid Mohamed Bakar (katikati) akisisitiza jambo kwa Mkaguzi Mwandamizi wa Michezo ya Bahati Nasibu nchini, Bakari Maggid (kushoto) na Afisa Masoko Zantel, Rehema Cuthbert (kulia) wakati hafla ya droo ya tisa ya Promosheni ya JERO YAKO TU iliyofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar es Salaam. Promosheni hiyo kabambe ya miezi mitatu imelenga kuwashukuru wateja wa Zantel kwa kuwapa zawadi mbalimbali mara tu wanapoongeza salio la kiasi cha shilingi 500 tu.
Meneja wa Mawasiliano na Chapa Zantel, Rukia Mtingwa (kushoto) akikabidhi zawadi ya simu aina ya Moto C kwa mshindi wa droo ya tisa ya Promosheni ya ‘JERO YAKO TU’ Bi. Zakia Karama Saad, mkazi wa Mkuranga Mkoa wa Pwani wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika Makao Makuu ya Zantel leo mwishoni mwa juma jijini Dar es salaam. Promosheni hiyo kabambe ya miezi mitatu imelenga kuwashukuru wateja wa Zantel kwa kuwapa zawadi mbalimbali mara wanapoongeza salio la kiasi cha shilingi 500 tu.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel-Zanzibar, Yussuf Ismali (kushoto) akikabidhi zawadi ya PikiPiki aina ya Boxer kwa mshindi wa droo ya tisa ya Promosheni ya ‘JERO YAKO TU’ Bw. Rashid Abdallah Hassan, mkazi wa Unguja Zanzibar wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika Ofisi kuu ya Zantel leo mwishoni mwa juma mjini Zanzibar.

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YAVUTIWA NA MIRADI YA TASAF MKOANI SIMIYU.

$
0
0
NA ESTOM SANGA- BARIADI

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wamefanya ziara mkoani Simiyu na kuvutiwa na mafanikio yaliyopatikana katika utekelezaji wa Miradi ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii –TASAF-mkoani humo.

Wajumbe hao walianza ziara yao kwa kusomewa taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ambapo Katibu Tawala wa Mkoa huo , Jumanne Sagini aliwajulisha Wajumbe hao kuwa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa na TASAF,umekuwa chachu muhimu katika kuleta maendeleo ya wananchi katika mkoa huo mpya.

Amesema kupitia Mpango huo Walengwa wameboresha maisha kwa kuendelea kujenga mkazi bora, kuchimba visima vya maji, uanzishwaji wa mashamba ya pamba ili kujiongezea kipato huku pia sekta za Afya na Elimu zikiendelea kunufaika na utekelezwaji wa Miradi ya TASAF.

Wakiwa katika Wilaya ya Maswa ,mkoani humo, Wajumbe hao walioongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe.Dkt Jasson Samson Rweikiza, walipata fursa ya kutembelea baadhi ya kaya za Walengwa ambako walishuhudia mafanikio ya ujenzi wa Nyumba ya mmoja wa Walengwa wa TASAF ,Monica Kwilasa katika kijiji cha Shanwa ambaye ametumia sehemu ya ruzuku aliyopata kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kuboresha Makazi yake.

Kama Wahenga wasemavyo “ Kuona ni kuamini” Wajumbe wa kamati hiyo walionyesha kushangazwa na mafanikio ya Mlengwa huyo ambaye aliwajulisha namna alivyotumia fedha alizozipata kutoka TASAF kuanzisha biashara ndogo ndogo iliyomwongezea kipato na kumwezesha kujenga nyumba kwa matofali ya saruji na kuezeka kwa mabati.

Akizungumza na Walengwa na Wananchi katika eneo la shule ya Sekondari ya Nyalikulungu ambako pia TASAF imejenga majengo, Mwenyekiti wa Kamati Mhe. Rweikiza,amesema mafanikio yaliyoanza kupatikana katika utekelezaji wa Mpango huo ni kielelezo cha namna Serikali inavyopiga vita umaskini kwa kutumia mbinu mbalimbali ambazo amesema zinapaswa kuungwa mkono na wananchi. Zifuatazo ni picha za ziara hiyo ya kamati ya huduma za jamii ya bunge.
Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakiwa mbele ya nyumba iliyojengwa na mmoja wa Walengwa kwa ruzuku ya TASAF Bi. Monica Mwalu, (aliyekamata karatasi) katika kijiji cha Shanwa wilayani Maswa . Aliyevaa kofia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Mkuchika.
Mmoja wa wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa ,Mhe. Venance Mwamoto (aliyevaa koti) akitoka ndani ya nyumba iliyojengwa na mmoja wa walengwa kwa ruzuku ya TASAF.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa , Wakikagua moja ya Majengo yaliyojengwa na TASAF katika shule ya Sekondari ya Nyalikulungu katika wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Nyalikulungu wilayani Maswa wakisikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa Mhe.Steven Rweikiza (hayupo pichani).
Baadhi ya Walengwa wa TASAF katika kijiji cha Shanwa wilaya ya Maswa wakisikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa Mhe. Rweikiza( hayupo pichani) wakati kamati hiyo ilipokagua miradi ya TASAF mkoani Simiyu.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa , wakimsikiliza mmoja wa Walengwa wa TASAF Bi.Monica Mwalu mkazi wa kijiji cha Shanwa wilayani Maswa namna alivyotumia sehemu ya ruzuku kujiongezea kipato na kujenga nyumba (iliyoko nyuma yao) kuboresha makazi yake.
Waziri Mkuchika (aliyevaa kofia ) na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakikagua zoezi la ilipaji wa ruzuku kwa Walengwa wa TASAF katika kijiji cha Shanwa Wilayani Maswa ruzuku ambayo imeanza kuboresha maisha yao kwa kiwango kikubwa.

ULEGA AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA KWA MKAKATI MZURI WA KUINUA SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI

$
0
0
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Uvinza kwa kuwa na mikakati thabiti ya kupambana na uvuvi haramu na kutatua kwa kiasi kikubwa migogoro ya wakulima na wafugaji kwa kuwekeza kwenye Ranchi za mifugo.
Ulega ameyasema hayo alipokuwa katika ziara ya kugagua Mwalo wa Muyobosi uliyopo Wilayani uvinza ambapo alisema jitihada hizo za wilaya zitachangia kwa kiasi kikubwa katika kuongeza mapato ya Halmashauri hiyo na serikali kwa ujumla, kwani ina mkakati wa kutenga maeneo ya Ranchi kwa ajili ya wafugaji.
“Nataka niwahakikishie mimi na wizara yangu tutakuwa tayari kuhamia hapa kulisimamia jambo hili mtakapo tenga hayo maeneo ya kufugia, ili kuwaweka tayari wafugaji katika maeneo hayo na huo ndiyo muharobaini wa kwenda kuondoa  matatizo ya wakulima na wafugaji katika nchi yetu kwa mipango ya namna hii inawezekana kabisa, hicho ni kipaumbele chetu mimi na waziri wangu Mhe. Luhaga Mpina katika uongozi wetu tutahakikisha kama siyo kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji basi tutaindoa kabisa, kwa kushirikiana vyema na Halmashauri zetu” Alisema Ulega.
Ulega alisisitiza suala la mapambano dhidi ya uvuvi haramu na ulinzi wa Rasilimali za uvuvi na suala zima la ufugaji wa samaki, nakuwaasa kuachana kabisa na utamaduni wa kuagiza samaki kutoka nje ya nchi.
Naibu Waziri Ulega  alisema kuwa fedha nyingi zimewekwa katika mwalo huo wa Muyobozi na kuwataka wavuvi katika eneo hilo kuutumia vizuri mwalo huo wenye hadhi ya kimataifa ambapo ameleza kwa mwaka wa fedha uliopita mwalo huo peke yake umechangia kiashi cha shilingi milioni 28 “ Ninaamini kama mtapasimamia vyema mahala hapa patachangia pato la taifa mara nne zaidi ya mwaka jana. Ninyi ndo muwe walinzi wa kwanza wa rasilimali hizi ili nchi yetu iweze kuinuka” Alisisitiza
Awali, akiongea katika ziara hiyo mwenyekiti wa kijji cha Mwakizega ambapo mwalo wa Muhyobozi umejengwa Bw. Jaffari Abdalah, alisema mwalo huo unakabiliana na changamoto mbalimbali ikiwa nipamoja na gati la mwalo huo kuwa na urefu wa mia 20 ambazo ni chache kwa boti kuegesha kupakua na kupakia kabla na baadha ya shuguli za uvuvi , hivyo ameiomba serikali kuongeza urefu wa gati hiyo ili mitumbwi mikubwa na midogo iweze kufanya shughuli za uvuvi vizuri.
Bw. Jaffar pia alisema wavuvi wa Muyobozi wanakabiliana na changamoto ya kukosa elimu kupitia mafunzo yanayoendana na wakati huu wa kisasa katika sekta ys uvuvi.
 Chaga za kisasa za kukaushia dagaa katika mwalo wa Muyobozi, uliyopo katika kijiji cha Mwakizega Wilayani Uvinza, Mwalo ambao ulijengwa na Mradi wa kuhifadhi mazingira ya ziwa Victoria LIVEMP , chaga hizo zinatumika na wavuvi kukaushia dagaa.
 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega na Ujumbe wake wakitoka kukagua gati katika mwalwo wa Muyobozi uliyopo Wilayani uvinza katika kijiji cha Mwakizega ambapo Naibu Waziri Ulega alifanya ziara leo.
Afisa Uvuvi wa Wilaya ya Uvinza Bw. Haroon Chande akimueleza Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega Anayeangalia Chaga kuhusu chaga hizo za kuanikia dagaa zilizojengwa na mradi wa kuhifadhi mazingira wa ziwa Victoria LIVEMP chaga ambazo ameeleza zimekuwa na msaada mkubwa kwa wavuvi wa dagaa wanaotumia mwalo wa Muyobozi uliyobo Wilayani uvinza katika kijiji cha Mwakizega.
 Katika Picha katikati Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega akipata maelezo kuhusu Mwalo wa Muyowozi toka kwa Afisa Uvuvi wa Wilaya ya uvinza Bw. Haroon Chande, wakati wa ziara yake mwaloni hapo leo.
 Wavuvi wakiteketeza wao wenyewe nyavu haramu zilizokamatwa katika oparesheni ya kupambana na uvuvi haramu katika ziwa Tanganyika Mbele ya Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega alipofanya ziara katika Mwalo wa Muyobozi Wilayani Uvinza leo
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega kushoto akizungumza na mfanyabiashara wa samaki aliyejulikana kwa jina la Bw. Ntakokola Issa katika Mwalo wa Kibirizi Mjini Kigoma kuhusu usafi wa vifaa maalum na gari la kubebea samaki, gari no T389 AZY linalotumiwa na Mfanyabiashara huyo lilipokuwa linaonekana  katika hali ya uchafu, Naibu Waziri Ulega alikagua Mwalo wa Kibirizi uliyopo Mjini Kigoma leo baada ya kumaliza Ziara yake wilayani Uvinza.

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA MAPORI YA AKIBA YA BIHARAMULO, BURIGI, KIMISI (BBK) MKOANI KAGERA

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Nape Nnauye akiwaongoza baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo kushuhudia maporomoko ya maji ya Rusumo yaliyopo wilayani Ngara ambapo moja ya vyanzo vyake vikubwa vya maji vimeanzia katika Mapori ya Akiba ya Biharamulo, Burigi na Kimisi (BBK) wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara mwishoni mwa wiki mkoani wa Kagera.
Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakipewa maelezo kuhusu mipaka ya Pori la Akiba ya Biharamulo kutoka ziwa Victoria katika kituo cha Katete kutoka kwa Meneja wa Mapori ya Biharamulo, Burigi, Kimisi (BBK), Bw. Bigilamungu Kagoma (wa kwanza kushoto) wakati Kamati hiyo ilipotembelea mapori yaliyopo mkoani Kagera mwishoni mwa wiki
Meneja wa Mapori ya Biharamulo, Burigi, Kimisi (BBK), Bw. Bigilamungu Kagoma (wa kwanza kushoto) akiwaonesha Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii katika ramani mahali ambako Pori la Akiba la Burigi lilipoanzia wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara katika Mapori ya Akiba ya Biharamulo, Burigi, Kimisi (BBK), yaliyopo mkoani Kagera hayo mwishoni mwa wiki mkoani Kagera
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Nape Nnauye akiwazungumza na baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo mara baada ya kujionea Pori la Akiba la Burigi katika wilaya ya Karagwe ambayo ni moja ya kati avyanzo vyake vikubwa vya maji ambavyo vimeanzia katika Mapori ya Akiba ya Biharamulo, Burigi na Kimisi (BBK) wakati kamati hiyo ilipofanya ziara mwishoni mwa wiki mkoani wa Kagera.Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakiangalia hema ambalo askari wanyamapori hulitumia kumpumzika wakiwa katika Mapori wakati wanapofanya doria za kuwabaini majangili.Meneja wa mpaka katika Tanzania na Rwanda ambaye pia ni Afisa Mwandamizi wa Forodha, Polycarp Lashau akiwaongoza Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kushuhudia maporomoko ya maji ya Rusumo yaliyopo wilayani Ngara ambapo moja ya vyanzo vyake vikubwa vya maji vimeanzia katika Mapori ya Akiba ya Biharamulo, Burigi na Kimisi (BBK) wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara mwishoni mwa wiki mkoani wa KageraWajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakipewa maelezo kuhusiana na mali mbalimbali za watuhumiwa wa ujangili zikiwemo baiskeli na pikipiki zilizokamatwa katika kituo cha Katete kwenye Pori la Akiba ya Biharamulo kutoka kwa Meneja wa Mapori ya Biharamulo, Burigi, Kimisi (BBK), Bw. Bigilamungu Kagoma (wa kwanza kushoto) wakati Kamati hiyo ilipotembelea mapori yaliyopo mkoani Kagera hayo mwishoni mwa wiki
(PICHA ZOTE NA LUSUNGU HELELA-MNRT)

Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii ambayo ipo mkoani Kagera imeridhishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) baada ya kutembelea Mapori ya Akiba ya Biharamulo, Burigi na Kimisi (BBK) kuangalia kazi za uhifadhi zinazofanywa ambapo wameipongeza TAWA kwa kitendo cha kurudisha hali ya mapori hayo ikiwemo kurejea kwa wanyamapori na uoto wa asili ambapo awali mapori hayo yalikuwa yameharibiwa kwa kasi kutokana na makundi ya mifugo kufanya malisho katika maeneo hayo.

Katika ziara hiyo,iliyoanzia katika Wilaya ya Biharamulo, Wajumbe wa Kamati hiyo waliweza kushuhudia eneo la Pori hilo lilipoanzia katika ziwa Victoria na baadaye kushuhudia Pori la Burigi lililopo katika wilaya za Karagwe na Biharamulo na badaye Pori la Kimisi ambalo lipo katika wilaya mbili za Karagwe na Ngara.

Hata hivyo,Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Nape Nnauye aliridhishwa na masuala ya uendeshaji wa mapori hayo huku akiahidi kuyasaidia mapori hayo kwa kuishauri serikali iweze kuwekeza miundombinu ili kukuza utalii katika ukanda wa ziwa Victoria

‘’Tunatambua kuwa TAWA ni changa haijaanzishwa muda mrefu lakini ndani ya kipindi kifupi imeweza kufanya mambo mazuri katika kulinda Maliasili zetu , Sisi kamati tumeridhisha na utendaji wake’’ alisema Mwenyekiti

Kutokana na utendaji kazi wa Mamlaka hiyo , ‘Mwenyekiti wa Kamati hiyo iliahidi kuwa watalishauri na pamoja na kuishawishi Serikali iweze kuongeza pesa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 ili iweze kutimiza wajibu yake.

Kwa upande wake, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla aliielezea kamati hiyo kuwa TAWA ipo mbioni kubadili mfumo wake katika mapori hayo ambapo badala ya kuendelea kufanya shughuli za uwindaji wa kitalii pekee wamepanga kuanzisha utalii wa picha ili kufungua fursa za kiuchumi katika ukanda huo.

Aidha, Waziri Kigwangalla alisema kuwa kutokana na Mapori hayo kurejea katika uasilia wake baada kuharibiwa kwa kiasi kikubwa na uvamizi wa mifugo hali iliyopelekea hadi wanyamapori kuhama, Wizara inafanya utafiti ili kuongeza baadhi ya wanyama katika Mapori hayo ili kuweza kuwavutia watalii zaidi kutembelea maeneo hayo.

Aliongeza kuwa, mapori hayo yana sifa ya pekee za kumvutia mtalii yeyote aweze kutembelea katika maeneo hayo huku ukitaja wanyamapori wanne wakubwa kuwa wanapatika katika mapori hayo isipokuwa faru pekee.

Awali kamati hiyo ilipokea taarifa kutoka kwa Wenyeviti wa Kamati za ulinzi na usalama za wilaya ambapo miongoni mwa mambo yaliyojitokeza uvamizi wa maeneo ya mapori ya akiba kwa kuanzisha shughuli za kilimo pamoja na kulisha mifugo ndani ya hifadhi.

Naye, Mtendaji Mkuu wa TAWA, James Wakibara alisema moja ya mikakati ya TAWA ni kubadilisha aina ya biashara kwa kuanza kuchanganya ambapo TAWA itaendesha biashara ya uwindaji wa vitalu pamoja na utalii wa picha katika mapori hayo kwa lengo la kuiongezea serikali mapato

Alisema Serikali ipo katika mchakato wa kuboresha miundombinu kwa kuanza na barabara ndani ya mapori hayo ili kuweza kuwavutia wawekezaji kujenga hoteli mbalimbali ambazo watalii watazitumia kwa ajili ya kupumzika.

MWANAFUNZI UDOM ANAOMBA MSAADA

$
0
0
MWANAFUNZI wa Shahada ya Sheria mwaka wa Kwanza katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM),Amaniel Furahini(21) ameiomba serikali na watanzania kumsaidia kulipa ada ili aweze kuendelea na masomo yake.

Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Dodoma, Mwanafunzi huyo amesema amekuwa akisoma katika mazingira magumu kutokana na kukosa ada huku akidai kuwa wazazi wake hawana uwezo wa kumsomesha kwa kuwa ni wakulima wanaotegemea mvua za msimu wilayani Same.

Amesema alipochaguliwa kujiunga na masomo kwa mwaka 2017/18, aliomba mkopo kwa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu(HELB) ambao alitegemea ungeweza kuwa msaada mkubwa lakini hakuweza kufanikiwa kupata.

Furahini amesema kutokana na hali hiyo aliweza kuhangaika na kufanikiwa kulipa ada kiasi cha Sh.350,000 kati ya Sh. Milioni 1.5 anazotakiwa kulipa kwa mwaka chuoni hapo.“Hizi fedha nilizipata kutokana na kazi ya kubeba mizigo ya Watalii waliokuwa wakipanda Mlima Kilimanjaro na Meru ambapo pia nilifanikiwa kulipa fedha ya ‘Accommodation’ kiasi cha Sh.186,000 kwa muhula wa kwanza ambao umeisha,”amesema Mwanafunzi huyo.

Furahini amesema alishawasilisha suala lake kwenye uongozi wa Chuo na kwamba alishauriwa alipe kidogo kidogo au arudi nyumbani jambo ambalo anadai kuwa kwake ni vigumu kwa kuwa hana kitu chochote kinachomuingizia kipato na wazazi wake hawana uwezo.

“Nadaiwa fedha nyingi na wazazi wangu nimewaambia kwa kuwa hawana uwezo wamesema nirudi tu, na mimi nahitaji kusoma ili nifikie ndoto zangu, naiomba serikali, watanzania na wafadhili mbalimbali wanisaidie nifikie ndoto zangu maana hadi ikifika Julai mwaka huu kama nitakuwa sijalipa nitafukuzwa chuo,”ameomba Mwanafunzi huyo.

Akizungumzia maisha yake chuoni, Mwanafunzi huyo amesema amekuwa akisaidiwa na ndugu, jamaa na marafiki ambao ni wanafunzi wenzake.

“Wamekuwa wakinisaidia kuninunulia chakula naishi kwa misaada ya rafiki zangu chuoni, sasa kwenye suala la ada ndo limekuwa gumu kwangu nimekosa msaada.Naomba msaada wa kusomeshwa kwa watanzania watakaoguswa na ombi langu,”amesema Furahini.Amesema amemaliza kidato cha sita mwaka 2017 katika Shule ya Sekondari Kalangalala ambayo ipo mkoani Geita na alifanikiwa kupata ufaulu daraja la kwanza uliomuwezesha kujiunga na chuo hicho.

Furahini amesema anaona kama ndoto zake za kuisaidia nchi yake zikizimika kama asipoweza kulipa ada ili aendelee na masomo yake.

NAMBA YAKE YA MAWASILIANO - 0678873841

mwandishi wa habari Daily News Digital afariki Dunia

$
0
0
  MWANDISHI wa habari chipukizi wa vyombo vya habari vya Digital vinavyomilikiwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) maarufu kama Daily News Digital, Katuma Masamba (pichani) amefariki dunia. 

Taarifa iliyotolewa na Naibu Mhariri Mtendaji wa TSN, Tuma Abdallah ilisema Katuma (24) alifariki dunia jana jioni katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke mkoani Dar es Salaam, alikokimbizwa ili kupatiwa matibabu baada ya kuugua ghafla juzi akishiriki Jukwaa la Biashara la TSN mjini Zanzibar. 

Mjomba wa marehemu, Shamte Ally alisema hospitalini hapo jana kuwa mipango ya mazishi ya Katuma ambaye awali alikuwa mwandishi wa habari wa gazeti la Habarileo, itafanyika baada ya kikao cha familia kukaa leo na hasa baada ya mama. 

Dada wa Katuma, ambaye ni mfanyakazi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Nyambona Masamba alisema ndugu wamepokea kwa mshituko mkubwa taarifa za kifo hicho cha Katuma. Taarifa zaidi kuhusu mazishi ya Katuma, zitaendelea kutolewa kwa kadri mipango itakavyokuwa inakwenda.  

Alfajiri ya leo Mjomba wa Marehemu Katuma, Shamte Ally alituma ujumbe mfupi kwa mmoja wa waandishi wa Gazeti tando hili la Daily News Online Blog, Mroki Mroki aliyeko Dodoma na kusema kuwa wanamsubiri mama mzazi wa Katuma anaewasili leo kwa maamuzi juu ya maziko ya mtoto wake. 

Bodi, Menejimenti na wafanyakazi wa TSN, wanaungana na familia ya marehemu katika wakati huu mgumu wa maombolezo.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN

MPOTO AKOSHWA NA PROGRAMU YA UMILIKISHAJI ARDHI WA WIZARA YA ARDHI CHINI

$
0
0
Waziri Lukuvi akutana na wananchi waliokabidiwa hati zao

Na Mwandishi wetu, Globu ya jamii.

MSANII wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto ambaye amekuwa kioo cha jamii kwa muda mrefu kutokana na kutoa nyimbo za kijamii zenye kuwataka wananchi kuwa wazalendo kwa kufanya kazi kwa bidii ili kujipatia kipato cha halali, kukemea rushwa na uonevu, Ijuma hii amefurahishwa na Programu ya Umilikishaji Ardhi (Land Tenure Support Programme - LTSP).

Programu hiyo ambayo inatakelezwa katika Wilaya za Kilombero, Ulanga na Malinyi mkoani Morogoro chini ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi chini ya Waziri wake, Mhe. William Lukuvi  ili kukabiliana na migogoro ya ardhi ambayo imekuwa ikiibuka katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.

Programu hii ni mahsusi kwa wilaya za Kilombero, Ulanga na Malinyi ambapo takribani vijiji 160 vitanufaika. Hadi sasa, Programu imehakiki na kupima vipande vya ardhi 84,795 katika vijiji 40 vya Wilaya za Kilombero na Ulanga. 

Kati ya vipande vilivyohakikiwa na kupimwa, jumla ya Hati za Hakimiliki ya Kimila 24,650 zimeandaliwa.

Mpoto ambaye amekuwa akitembea katika maeneo mbalimbali ya nchi kusoma mazingira na kuwasikiliza wananchi wanasema nini juu ya maisha yao ili anapoandika nyimbo zake ziwe na kero za wananchi ambazo amezishuhudia kwa macho yake, wiki hii alipita mkoani Morogoro na kuzungumza na wananchi kuhusu maisha yao ndipo lilipo ibuka suala la programu ya Umilikishaji Ardhi (Land Tenure Support Programme - LTSP).

Mshairi huyo amesema baada ya kuzungumza  na wananchi kadhaa ambao wamepitiwa na Programu hiyo aligundua nyuso zao jinsi zilivyokuwa na furaha baada ya kukabidhiwa hati zao ambazo zimeongeza thamani zaidi ya ardhi yao (viwanja na mashamba)  kwa kuwa tayari vinatambulika kisheria.

“Kwa miaka mingi nchi yetu imekua na migogoro ya ardhi kati ya mtu na mtu,kijiji na Kijiji, wakulima na wafugaji, hata wawekezaji na wana nchi, Wizara ya Ardhi kupitia Mpango wa Land Tenure Support Programme (LTSP) inayotekelezwa katika Wilaya Tatu za Kilombero, Ulanga na Malinyi baadae kusambazwa Nchi nzima imefanya kazi kubwa sana,” alisema Mrisho Mpoto.

“Binafsi kama kawaida yangu kuzunguka kila koja na nchi yangu na kuzungumza na wananchi, nimeona ukubwa wa hii Programu, imeona thamani ya hii programu, wananchi wanaongea kwa furaha ya hali ya juu kutokana na hii programu. Mimi sio msemaji wa serikali lakini wakati nikiwa katika harakati za kutembea kwa ajili ya shughuli zangu za sanaa huwa napata fursa ya kuongea na wananchi wa eneo husika, wakazi wa Morogoro wanaishukuru sana serikali pamoja na Waziri Lukuvi,  naamini hii programu inaweza kuwa mwarobaini wa haya matatizo ya ardhi, maana kila kipande cha ardhi kitapimwa na mwananchi kupewa hati yake ya umiliki, naamini itaweza kuondoa kabisa migogoro ya nrdhi nchini Tanzania, hongera Mhe.Lukuvi,” aliongeza Mpoto.

Alisema bado ataendelea kutembea katika maeno mbalimbali ya nchi kwa ajili ya kukutana na mashabiki wake wa muziki na kuzungumza nao kuhusu mambo mbalimbali ya nchi na pale ambako ataona kuna haja ya kutoa msaada atawasiliana wahusika kwaajili  ya kutatua kero za wananchi.

Kazi nyingine zilizotekelezwa na programu ya LTSP ni pamoja na kusimika alama za msingi 54 za mtandao wa kijiodesia katika Wilaya za Kilombero, Ulanga, Malinyi na Mufindi,  Kupima mipaka ya vijiji 121 na kutatua migogoro 71 ya mipaka ya vijiji iliyodumu kwa muda mrefu, Kuandaa vyeti vya Ardhi ya Kijiji kwa vijiji 57, Kuandaa mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji kwa vijiji 53 na Kuchangia katika ujenzi na ukarabati wa masjala za ardhi na ofisi za vijiji katika vijiji 61.

Viongozi wengi wa Wizara wanaitembelea programu hiyo mara kwa mara na uongozi wa Wilaya na wananchi wanatoa ushirikiano mkubwa sana kwa kuwa programu iko katika Wilaya zao.

Hivi karibuni Katibu Mkuu Bibi. Dorothy Mwanyika mara tu baada ya kuteuliwa na Mhe Rais kuwa Katibu Mkuu wa Wizara alitembelea programu hiyo na kujionea namna programu inavyotumia teknolojia ya kisasa kabisa kupima ardhi ya wananchi vijijini. Pia, Mhe Naibu Waziri Mhe. Angelina Mabula nae alifanya ziara katika eneo la programu.
 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Lukuvi akikabidhi hati kwa mmoja wazee waliofanikiwa kumilikishwa ardhi.

Waziri Mwakyembe atembelea Maeneo yaliyotumika katika harakati za Ukombozi na ya kihistoria Mkoani Iringa

$
0
0
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akisalimiana na Chief wa kihehe Evaristo Sambiligunga Mwambeta alipokutana na machief wa kihehe kuzungumza nao kuhusu namna ya kuhifadhi historia ya ukomboziwa Bara la Afrika kwa vizazi vijavyo jana Mkoani Iringa
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akizungumza na Machief wa kihehe (hawapo pichani) alipokutana nao kuzungumzia namna ya kuhifadhi historia ya ukombozi wa Bara la Afrika kwa vizazi vijavyo jana Mkoani Iringa
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (wapili kulia) katika picha ya pamoja na machief wa kihehe baada ya kuzungumza nao kuhusu namna ya kuhifadhi historia ya ukomboziwa Bara la Afrika kwa vizazi vijavyo jana Mkoani Iringa
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (watatu kushoto) akiwasili katika makumbusho ya Mtwa Mkwawa yaliyopo Kalenga kwa ajili ya kuona naoma makumbusho hiyo inavyohifadhi na kuendeleza historia ya shujaa Mkwawa aliyepigana vita vya msituni wakati wa harakati za kuwakomboa wahehe kutoka kwa utumwa wa wajerumani jana Mkoani Iringa. Watatu kulia ni Mratibu wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika Bibi. Ingiahedi Mduma
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (wapili kushoto) akiangalia fuvu la Mtwa Mkwawa alipotembelea makumbusho ya Mkwawa yaliyopo Kalenga kwa ajili ya kuona naoma makumbusho hiyo inavyohifadhi na kuendeleza historia ya shujaa Mkwawa aliyepigana vita vya msituni wakati wa harakati za kuwakomboa wahehe kutoka kwa utumwa wa wajerumani jana Mkoani Iringa.
Mtaalamu kutoka makumbusho Mkwawa (kulia) akimuonyesha Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrion Mwakyembe (wapili kulia) baadhi ya vifaa alivyotumia Mtwa Mkwawa wakati wa harakati za kuwakomboa wahehe kutoka katika utumwa wa wajerumani jana katika makumbusho ya Mkwawa iliyopo katika Halmashauri ya Iringa Mkoa wa Iringa.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa ameshika silaha za jadi alizokuwa anatumia Mtwa Mkwawa wakati wa harakati za kuwakomboa wahehe kutoka katika utumwa wa wajerumani jana katika makumbusho ya Mkwawa iliyopo katika Halmashauri ya Iringa Mkoa wa Iringa.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiangalia kaburi la Mtwa Abdul Adam Sapi Mkwawa alipotembelea makaburi ya machief kutoka ukoo wa Mkwawa jana katika makumbusho ya Mkwawa iliyopo katika Halmashauri ya Iringa Mkoa wa Iringa.
Mwanafunzi kutoka Shule ya Msingi Muungano akijibu swali la kihistoria lililoulizwa na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe wakati wa ziara yake katika mnara wa Frelimo ulipo katika shule ya Muungano jana Mkoani Iringa
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Muungano iliyopo katika mnara wa Frelimo alipotembelea mnara wa Frelimo uliojengea na serikali ya Tanzania mwaka 1977 kwa lengo la kutoa heshima na kumbukumbu kwa aliyekuwa kiongozi wa chama cha ukombozi nchini Mozambiki Bw. Samora Machel.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (watatu kushoto) katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Halmashauri ya Iringa katika mnara wa Frelimo uliojengea na serikali ya Tanzania mwaka 1977 kwa lengo la kutoa heshima na kumbukumbu kwa aliyekuwa kiongozi wa chama cha ukombozi nchini Mozambiki Bw. Samora Machel.
Mhadhiri kutoka chuo kikuu cha Tumaini Dkt. Gibson Sanga (kushoto) akimuonyesha Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) baadhi ya vifaa vya kitamaduni vinavyotumiwa na kabila la wahehe alipotembelea makumbusho ya Iringa jana Mkoani Iringa.Picha na: Genofeva Matemu – WHUSM

Je! Unajua unaweza kuboresha mbinu zako za kilimo kwa kutumia mtandao wa simu?

$
0
0
Je! Unajua unaweza kuboresha mbinu zako za kilimo kwa kutumia mtandao wa simu? Bonyeza video hii kuangalia na kuona jinsi wengine wanavyofanya.




KAIMU MGANGA MFAWIDHI WA HOSPITALI YA KITETE ASIMAMISHWA KUPISHA UCHUNGUZI WA KITAALAMU

$
0
0
NA TIGANYA VINCENT

19 MACHI 2018

SERIKALI ya Mkoa wa Tabora kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa huo imeamua kumsimamisha Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Kitete Dkt. Nassoro Kaponta ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa na wananchi dhidi ya Hospitali hiyo.

Maazimio hayo yalitolewa jana mjini hapa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri mara baada ya kikao na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Wafanyakazi wa Hospitali ya Mkoa Kitete.

Alisema Dkt Kaponta anasimamisha sio kama yeye katenda kosa bali ni katika uwajibikaji ili kupitisha Kamati Maalumu ya Kuchunguza Kitaalamu (Therapeautic Committee) kwa ajili ya kufanyia uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa na wananchi kuhusu mwenendo wa wa Watumishi wa Hospitali hiyo ambaye yeye alikuwa akiisimamia.

Mwanri alitaja baadhi ya tuhuma ni pamoja na lugha chafu kutoka kwa baadhi ya Wauuguzi wanazitoa kwa wakimama wajawazito wanapokwenda kupatiwa huduma ya kujifungua, wagonjwa kudaiwa rushwa na baadhi ya wafanyakazi na vifo wa wakinamama vinavyotokana na uzembe.

Alisema pamoja na Kamati hiyo kuchunguza mambo ya Kitaaluma pia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Mkoani Tabora imepewa jukumu la kuchunguza tuhuma zinazotolewa na wananchi wanaoenda kutibiwa pale za rushwa na lugha chafu.

“Ndugu zangu nimekuwa nikipokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi Ofisini kwangu kuhusu Hospitali yetu ya Mkoa kuhusu lugha chafu ambazo nyingine ziwezi kuzisema hapa, rushwa , uchafu na vifo… hivyo tumekaa mimi na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya Kitete na tumeamua kumweka pembeni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ili kupisha uchunguzi” alisema Mkuu huyo wa Mkoa

Mwanri alisema wakati kazi hiyo ikiendelea Dkt. Kevin Nyakimori atakaimu Uganga Mfawidhi katika Hospitali ya Mkoa wa Tabora Kitete hadi majibu ya uchunguzi yatakapotelewa na Wizara ya Afya kutoa maamuzi kufuatia taarifa itakayotolewa.Aidha aliwataka wananchi kuendelea kutoa taarifa kwa Mamlaka husika pindi wanapobaini kutotendewa haki katika eneo lolote wanapoenda kupata huduma ya tiba.

Mkuu huyo wa Mkoa alisema hatasita kumchukulia hatua Mtumishi yoyote wa kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Hospitali atakayewatoza malipo Wajawazito, Watoto waliochini ya miaka mitano na wazee ambao imeagizwa wapate matibabu bila malipo.

Naye Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt Gunini Kamba alisema baadhi ya malalamiko ambayo yalifikishwa katika Ofisi yake ni pamoja na kifo cha Mfanyakazi wa Hazina ndogo Tabora baada ya kufanyiwa upasuaji kutokana na utumbo kujikunja na kile kilichomhusu Mama Mjamzito aliyekuwa na upungufu wa Damu.
Viewing all 46329 articles
Browse latest View live




Latest Images