Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46340 articles
Browse latest View live

KUELEKEA DESEMBA 9, 2017: SISI NI TANZANIA MPYA+


RAIS MAGUFULI KUELEZA AMEWEZAJE KUWA MZALENDO KWENYE USIKU WA KITENDAWILI

$
0
0
Usiku wa Kitendawili: Tutajua Rais Magufuli amewezaje kuwa mzalendo, atatueleza – Mrisho Mpoto

Usiku wa Kitendawili unaotarajiwa kufanyika Disemba 8 mwaka huu huko mkoani Dodoma ndio habari ya mjini kwa sasa, kwani watanzania wanashahuku kubwa ya kusikia kauli za viongozi mbalimbali wastaafu na walioko madarakani kuhusu harakati za Tanzania kupata uhuru pamoja na jinsi watanzania walivyoonganika na kuwa kitu kimoja licha ya kuwa na makanila 120.

Viongozi wa zamani wa serikali, walipo madarakani pamoja na wadau wakiwa wamekaa chini kwenye mikeka ya asili na vigoda watapata fursa ya kueleza namna serikali kupitia viongozi wake ilivyoweza kuondoa mambo ya ukabila ambayo yanayatesa mataifa mengi ya Afrika.

Akiongea na TBC katika kipindi cha Tanzania Mpya, Mrisho Mpoto amesema kuwa siku hiyo mgeni rasmi ambaye ni Rais John Pombe Magufuli atapata fursa ya kueleza maisha yake ya utoto na namna alivyoweza kusimama katika mstari ambao kila mmoja kwa sasa akiangalia matendo yake anaona rais kweli ni mzalendo wa kweli.

“Usiku wa Kitendawili ni ukurasa mpya wa kujifunza mambo mapya kuhusu uzalendo na kuanza utekelezaji mara moja, na kama unavyojua tutakuwa na viongozi mbalimbali katika huo usiku, Mhe. Rais wetu John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Samia Suluhu pamoja na Waziri Mkuu na wote watapata fursa ya kueleza mawili machache kuhusu uzalendo, wao waliwezaje kuwa wazalendo wa kweli, tunapokuwa kuna jambo la kitaifa tuungane kwa pamoja kama watanzania, wanapotokea watu wachache wakajitenga huo sio uzalendo ndio maana nikasema hiyo siku tutamsikiliza Rais wetu amewezaje kuwa mzalendo ambaye kila mtu akimuangalia anaona kabisa huyo ni mzalendo na apaswa kuungwa mkono na watanzania wote kwa manufaa ya taifa leo na la kesho,” alisema Mpoto.

Aliongeza, “Lakini pia tumeomba protocol zisiwe kali sanaa kwa upande watanzania na viongozi ili watu wafunguke, tunataka Rais wetu atuambie kwanini yupo vile, kwa nini anakuwa na uchungu na watanzania hasa watanzania wa chini, kwa nini anawafikiria wanyonge zaidi. Kuna wakati Mhe Rais anasema Tanzania ya Viwanda watu wanaona kama haeleweki, lakini sasa hivi viwanda vimeongezeka kila mtu amenza kuamini kwamba Tanzania ya Viwanda inawezekana, kwa sababu imetoka kwenye ubongo kama wazo imeenda kwenye uhalisia. 

Kwahiyo ninachosema kwamba tutakaa kwenye mikeka na vigoda, tutakula ugali ya muhogo, kisamvu na madafu , Majaliwa pale, Mama Samia pale , tunakaa pale na ule ukumbi umetengenezwa kama kuna vijiji na mitaa, Mhe atapita pale kwenda kusalimia kijiji cha jirani watuambie tu wamewezaje kuondoa suala la ukabila, nchi za wenzetu wanapigana kila siku, kwahiyo kama tukitumia nguvu iliyotumiaka kuwaonganisha watanzania ambao kwa wingi wetu tuna makabila 120, lakini wote tukawa kitu kimoja kwanini tushindwe watanzania na wote tuimbe wimbo mmoja wa Uzalendo na Utaifa ‘Nchi Yangu Kwanza’,”

Mpoto amesema kwa sasa kuna haja ya kuwa na nyimbo za hamasa ambazo zitawajenga watanzania kuwa wazalendo na kukataa rushwa pamoja na kuacha kufanya kazi kizembe.

Usiku wa Kitendawili umeanzishwa na msanii wa huyo wa muziki wa asili nchini baada ya kuachia wimbo wake ‘Kitendawili’ na baadaye kufikiria kuanzisha usiku wa wimbo huo kwaajili ya kuwakutanisha wadau na kujadili kuhusu Uzalendo.

Alisema baada ya uzinduzi wa kampeni hiyo, itayokuwa ikifanyika kila mwaka sambamba na maadhimisho ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Julis Kambarage Nyerere, wataanza kuzungumza katika mikoa mbalimbali kupaza sauti kuhusu uzalendo.

Mpoto alisema mambo yatayopambaniwa katika kampeni hiyo ni pamoja na kudhibiti na hatimaye kukomesha kabisa mmomonyoko wa maadili kwa viongozi wa umma, kupunguza tuhuma za rushwa, ufisadi, ubadhilifu wa mali za umma pamoja kuongeza hari ya kufanya kazi na Uzalendo.

CREDIT SCORING TEAM FROM GROUP CREDIT AGRICOLE OF MOROCCO VISITS TADB

$
0
0
TADB Acting Managing Director, Mr. Augustino Matutu Chacha (with red tie) briefs a delegation from Group Credit Agricole of Morocco on the roles and mandates of TADB. The delegation is in the country for 11 days mission.
TADB Acting Managing Director, Mr. Augustino Matutu Chacha (left) insists something when he meets with delegation from Group Credit Agricole of Morocco. Right is TADB’s Director of Finance and ICT, Mr. Severin Ndaskoi.
A delegation from Group Credit Agricole of Morocco attentively listens to TADB Acting Managing Director, Mr. Augustino Matutu Chacha (not in picture).
Head of delegation from Group Credit Agricole of Morocco, Mr. Jalal Bouchama (left) who is a Director of Engineering and Agro business hints the role of GCAM on agriculture and socio-economic development in Morocco. Right is Mr. Samuel Mshote from TADB.
TADB Management members speak during the discussion with delegation from Group Credit Agricole of Morocco.


By Our Reporter,

Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) has received a delegation from Group Credit Agricole of Morocco (GCAM) who will be in country for 11 days mission, from 4th-15th December 2017.

The purpose of this visit is to facilitate TADB to develop Credit Scoring System to be used in scoring small holder’s farmer’s projects as well as implementing the operationalization of the signed MoU that intends to promote productive investments in the agriculture sector and development of agro-industrial value chain in Tanzania and Morocco.

According to the TADB Management, these objectives will be achieved through promotion of financing and support systems, especially for smallholder’s farmers.The delegation from GCAM led by Director of Engineering and Agro business, Mr. Jalal Bouchama, other members include Chief of Agroindustry Department, Mrs. Sanae Benmali, Director of Credit Information System, Mr. Abdessamad Danguir and Ms. Sara Nachid, IT Developer.

TADB and GCAM signed a memorandum of Understanding (MoU) in October 2016.TADB becomes first financial institution in Tanzania to get assistance from GCAM, which aim to enhance agricultural activities and to stabilize rural populations by improving their living standards.

Since its creation, Crédit Agricole of Morocco has committed to agriculture and socio-economic development in rural areas by working in co-ordination with the Moroccan government to to support the agricultural and rural development in Morocco.

WAZIRI JENISTA AKAGUA MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA UHURU WA TANZANIA BARA

$
0
0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akikagua maandalizi ya maadhimisho ya sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Uwanja wa Jamhuri leo Mjini Dodoma.
Onesho kutoka katika Kikundi cha Komando wakionesha umahiri wao katika kutekeleza majukumu yao ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Uwanja wa Jamhuri leo Mjini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama wakati wa ukaguzi wa maandalizi ya Maadhimisho ya sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Uwanja wa Jamhuri leo Mjini Dodoma.
Gwaride la Mkoloni kutoka Jeshi la Polisi likionesha umahiri wake ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Uwanja wa Jamhuri leo Mjini Dodoma.
Maofisa wa Jeshi la Polisi wanaoongoza misafara ya Viongozi wakionesha umahiri wao katika kutekeleza majukumu yao ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma leo Mjini Dodoma.
Halaiki ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wakiunda umbo lililoonesha ramani ya Tanzania wakati wa maandalizi ya Maadhimisho ya sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Uwanja wa Jamhuri leo Mjini Dodoma.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bibi Rehema Madenge akimueleza jambo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama wakati wa maandalizi ya Maadhimisho ya sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Uwanja wa Jamhuri leo Mjini Dodoma.Picha zote na Beatrice Lyimo, MAELEZO, DODOMA

WAZIRI UMMY MWALIMU ATEMBELEWA NA BALOZI WA UJERUMANI

$
0
0
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,jinsia,Wazee na watoto Ummy Mwalimu (kushoto) akizungumza na Balozi wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani Dkt. Detlef Waechter kwenye ofisi yake ndogo Jijini Dar es Salaam.Mazungumzo hayo yamelenga kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya Afya
Waziri Ummy Mwalimu (kushoto) akimuelezea jambo Balozi wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani Dkt. Detlef Waechter kwenye ofisi yake ndogo Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,jinsia,Wazee na watoto Ummy mwalimu (kushoto) akizungumza na Balozi wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani Dkt. Detlef Waechter kwenye ofisi yake ndogo Jijini Dar es Salaam.Mazungumzo hayo yamelenga kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya Afya

RC Wangabo Ashauri Gereza La Mollo Kujikita kwenye Uzalishaji Wa Mbegu Za Mahindi Na kuuza

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (kushoto) akisalimiana na maafisa magereza wa gereza la Kilimo Molo alipofanya ziara katika gereza hilo. 
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (kulia) pamoja na Mkuu wa Gereza la Molo ACP John Mwamgunda wakikagua ujenzi wa Zahanati mpya ya kisasa itakayotumika kwaajili ya wananchi na magereza ambayo ipo eneo la magereza.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (kushoto) akijadiliana na Katibu tawala wa Mkoa wa Rukwa Bernard Makali juu ya ujenzi wa Zahanati mpya ya magereza walipotembelea gereza hilo kujionea shughuli za kilimo zinazofanywa na gereza hilo pamoja na miradi mingine inayofanywa na gereza hilo. 
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (kulia), Mkuu wa Gereza la Molo ACP John Mwamgunda (katikati) na Katibu tawala wa Mkoa wa Rukwa Bernard Makali wakizungukia miradi iliyopo ndani ya eneo la gereza la kilimo la Molo lililopo kata ya Molo Manispaa ya Sumbawanga. 



Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amelishauri gereza la kilimo la Mollo kuona umuhimu wa kujikita kwenye uzalishaji wa mbegu ili kuuza na gereza hilo kuweza kujiendesha na kupambana na changamoto mbalimbali zilizopo katika gereza hilo.

Amesema kuwa katika mikoa ya nyanda za juu kumekuwa na shida ya uuzwaji wa mbegu feki na kupelekea malalamikomengi toka kwa wananchi lakini kwa kutumia nguvu kazi iliyopo katika gereza hilo wanaweza kupata soko hilo kama watajikita kwenye uzalishaji huo.

“Tumekuwa tunahangaika mbegu hapa kwa mikoa ya Rukwa na Katavi, tunaweza tukajikita kwenye gereza hili na kuzalisha mbegu kwa wingi kwaajili ya matumizi ya mkoa mzima na majirani, hivyo ndio vitu vya kufikiria, tunaweza kuzalisha mazao lakini hata mbegu pia,” Alisema.

Mh. Wangabo Ameyasema hayo alipofanya ziara katika gereza hilo lililopo kata ya Mollo, Manispaa ya Sumbawanga ili kujionea shughuli za kilimo za gereza hilo ambalo kwa mwaka huu wa mavuno limepata magunia ya mahindi 4058 na hulisha magereza matatu ya mikoa ya Rukwa na Katavi.

Nae mkuu wa gereza hilo ACP John Mwamgunda amesema kuwa gereza linalima mazao ya mahindi ya mbegu nay a chakula kati ya ekari 350 hadi 400 na maharage hulimwa kati ya ekari 20 hadi 30 na bustani ya mboga kati ya ekari 2 hadi 3 na kuwa mpaka sasa wana ziada ya magunia ya mahindi ya chakula 3263 ambayo yanaweza kuhimili hadi msimu ujao wa mavuno.

“Pamoja na kuwa na maeneo hayo vitendea kazi bado ni vichache na baadhi vilivyopo vimechakaa, hivyo tunahitaji kuongezewa vitendea kazi,” Alimalizia.

WAZIRI MKUU KASSIMU MAJALIWA WASILI MKOANI DODOMA LEO

$
0
0
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa mkoa wa Dodoma wakati alipowasili   kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Desemba 5, 2017, baada ya safari ya Singida, Lindi na Dar es salaam.  Kulia kwake ni mkewe Mary. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mekewe Mary  wakiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Benilith Mahenge wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Desemba 5, 2017. Mheshimiwa Majaliwa amerejea Dodoma  baada ya safari katika mikoa ya Singida, Lindi na Dar es salaam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

ASILIMIA 62 YA MRADI WA DAWASA WA UBORESHAJI MIUNDOMBINU YA MAJI UMEKAMILIKA: WAZIRI KAMWELE

$
0
0

 Waziri wa Maji na Umwagilkiaji, Mhandisi Isack Kamwele, (katikati), Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka, (DAWASA), Mhandisi Romanus Mwang'ingo, (kulia), na Mkandarasi,   Mhandisi P.G. Rajani wa kampuni ya WAPCOS Limited ya India wakionyesha furaha wakati Mheshimiwa Waziri na ujumbe wake walipotembelea moja ya maeneo ya utekelezaji wa mradi wa uboreshaji miundombinu ya maji jijini Dar es Salaam na Pwani, kwenye ujenzi wa tenki la kuhifadhia na kusambaza maji la Makongo, Desemba 5, 2017
 Waziri Mahandisi Kamwele, (kulia), Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi Mwang'ingo, (wakwanza kushoto) na wataalamu wengine,m wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa DAWASCO, Mhandisi Cyprian Luhemeja, wakati Mheshimiwa Waziri alipotembelea mradi wa ujenzi wa tenki Makongo juu.
 Waziri Mhandisi Kamwele, (Kushoto), akifurahia jambo na Meneja Uhusiano na Jamii wa DAWASA, Bi. Neli Msuya, wakati Waziri alipotembelea eneo la utandazaji mabomba huko Malamba Mawili.
Mhandisi Kamwele, akiongozana na wafanyakazi wanaofanya kazi ya kutandaza mabomba huko Malamba Mawili.

RC RUVUMA AKANUSHA TAATIFA ZIANAZOZAGAA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII KUWA MAPIGA MARAFUKU KUITA BABY

$
0
0

NA DITHA NYONI    WA RUVUMA TV.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amekanusha taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amepinga marafuku wananchi wa mkoa wa Ruvuma wasiitane baby.

Tamko hilo amelitoa wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ikulu ndogo ya mkoa wa Ruvuma , hii inakuja baadaya ya taarifa kuzagaa na yenye picha inayoonesha mavazi tofauti na eneo alilokuwa anatoa ujumbe katika shule ya sekondari NASULI na MBAMBA BAY huku ujumbe ukisomeka “marukuku kuitana baby” mkuu wa  mkoa wa Ruvuma.

Hii ni picha inaonyesha tofauti na mazingira

Na hii ni picha inaonyesha eneo ambalo mkuu wa mkoa akizungumza na wanafunzi wa NASULI sekondari

Ikumbukwe Novemba 8 mwaka huu, mkuu wa mkoa wa Ruvuma alifanya ziara katika halimashauri ya natumbo katika shule ya sekondari nasuli na kuzungumza na wanafunzi hao, huku kampeni kubwa ili kuwa ni kueneza ujumbe wa kumtaka mwanafunzi wa kike kuvaa maguni manne ambayo ni sare ya shule,joho la maafari,gauni la harusi,na matreniti dress

“ili muweze kufanikisha masomo yenu watoto wakike lazima mvae magauni ili muweze kufanikisha malengo yenu”pia mkuu wa mkoa wa Ruvuma aliongeza kuwa ni marafuku watoto wa kiume na wakike kuitana baby

“msikubali kuitwa baby kwa sababu kukubali kuitwa baby ni chanzo cha kujiingiza kwenye mapenzi,mskubali kuitwa queen we ni mwanafunzi unatafuta maisha na wala usikubali kuitwa mrembo au mzuri alisema Rc MNDEME.

Lengo ya kampeni ni kumsaidia mwanafunzi wa kike aweze kufikia ndoto zake za kielimu na kuweza kufanikisha malengo yake.

Kufatia taarifa hizo mkuu wa mkoa alisema ilikuwa inawalenga wanafunzi wa kike na sio watu wazima kwani taarifa zinazoenezwa na makundi ya watu wachache zinalengo la kupotosha umma hivyo wakazi wa mkoa wa Ruvuma wapaswa kupuuzia Aidha amewataka wazazi na jamii kwa ujumla kutumia kauli mbiu hiyo ya magauni manne ili iwe chachu kwa wanafunzi wa kike waweze kufanikisha ndoto zake,kwani wanaofanya hivyo hawana nia nzuri wa watoto wa kike

CHALAMILA MWENYEKITI MPYA WA CCM MKOA WA IRINGA, SALIM ABRI "ASAS" ACHUKUA UJUMBE WA (NEC) TAIFA KWA KISHINDO

$
0
0
Mwenyekiti mpya wa Chama Chama Mapinduzi Mkoa wa Iringa Bw. Albert Chalamila akitoa hotuba yake ya kwanza kuwashukuru wapiga kura mara baada ya kushinda uchaguzi huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Kichangani mjini Iringa leo akiwashinda wapinzani wake wawili Bw. Evance Balama na Salim Abri ambaye amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC mkoa wa Iringa.
MS2
Mwenyekiti mpya wa Chama Chama Mapinduzi Mkoa wa Iringa Bw. Albert Chalamila akitoa hotuba yake ya kwanza kuwashukuru wapiga kura na kuelezea Dira na Mwelekeo wa Uongozi wake mara baada ya kushinda uchaguzi huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Kichangani mjini Iringa, katikati ni Salim Abri ambaye amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) mkoa wa Iringa na kushoto ni Msimamizi wa Uchaguzi huo Mh. Januari Makamba.
AS
Bw. Salim Abri Mjumbe mpya wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) mkoa wa Iringa katika uchaguzi huo akiwashukuru wapiga kura mara baada ya kutangazwa mshindi kushoto ni Msimamizi wa Uchaguzi huo Mh. Januari Makamba na kulia ni Mwenyekiti mpya wa Chama Chama Mapinduzi Mkoa wa Iringa Bw. Albert Chalamila
1
Mwenyekiti mpya wa Chama Chama Mapinduzi Mkoa wa Iringa Bw. Albert Chalamila kulia na Bw. Salim Abri Mjumbe mpya wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) mkoa wa Iringa wakiwashukuru wana CCM mkoa wa Iringa kwa kuwaamini na kuwapa ridhaa ya kukiongoza chama hicho.
2
Mwenyekiti mpya wa Chama Chama Mapinduzi Mkoa wa Iringa Bw. Albert Chalamila kuli na Bw. Salim Abri Mjumbe mpya wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) mkoa wa Iringa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutangazwa washindi katika uchaguzi huo.
3
Mwenyekiti mpya wa Chama Chama Mapinduzi Mkoa wa Iringa Bw. Albert Chalamila na Bw. Salim Abri Mjumbe mpya wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC mkoa wa Iringa wakiwa wakii.furahi paoja na wapiga kura mara baada ya kutangazwa washind
4
Salim Abri Asas Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM( NEC) akipongezwa na wanachama mbalimbali wa CCM mara baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi huo.
5
KU1
Wapiga kura wakiendelea na upigaji wa kura wakati wa uchaguzi huo.
KU2
Kura zikiendelea kupigwa

WAZIRI MWAKYEMBE AKUTANA NA WADAU WA SEKTA ANAZOZISIMAMIA JIJINI DAR LEO

$
0
0
Pix 3
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akizungumza alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma leo Jijini Dar es Salaam.
Pix 2
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akizungumza wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma.
Pix 1
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Sanaa Bibi. Leah Kihimbi (wapili kushoto) akizungumza wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (wapili kulia) alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma. Kushoto ni Naibu Waziri wa Habari Mhe. Juliana
Pix 5
Mjumbe wa kamati ya uzalendo Bw. Mrisho Mpoto (kulia) akizungumza wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa) alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma. Wapili kushoto ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza
Pix 6
Mwanamziki mkongwe nchini Bw. John Kitime (aliyesimama) akichangia wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma.
Pix 7
Baadhi ya wadau wa sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakifuatilia matukio mbalimbali yaliyokua yakiendelea wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma.
Pix 8
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (kushoto) akimkabidhi mshindi wa shindano la Ubingwa wa Dunia uzito wa kati Bw. Ibrahim Class hundi ya shilingi milioni kumi na nane wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma.
Picha na: Genofeva Matemu – WHUSM

Na Shamimu Nyaki – WHUSM.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe amewataka Watanzania wote kujitokeza katika Uzinduzi wa Kampeni ya kitaifa ya Uzalendo inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 08 Desemba 2017 mjini Dodoma na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dar es Salaam Mhe. Mwakyembe amesema kuwa Wizara yake imeamua kuanzisha Kampeni ya Uzalendo ili kuwakumbusha watanzania kupenda,kujali na kuthamini nchi yao kwa kuenzi na kuupenda Utamaduni wa Taifa letu ambao ndio unaounganisha na kutambulisha watanzania.
“Uzalendo wetu umetikisika ni lazima sasa kuamka na kujua kuwa tuna jukumu la kuenzi Uzalendo tuliojengewa na Waasisi wa Taifa letu  wa kupenda nchi yetu na kudumisha Utamaduni wetu”Alisema Mhe. Waziri Mwakyembe.
Aidha amewataka watanzania pia kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha katika maisha ya kila siku kwa kuwa Lugha hiyo ndio inayotambulisha Mtanzania popote anapokuwa pamoja na kuheshimu alama zote za Taifa ikiwemo Bendera ambapo ameagiza matumizi sahihi ya Bendera hiyo.
Kwa upande wake Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Juliana Shonza amesema Kampeni hiyo ni muhimu sana kwa Taifa letu kwakua inalenga kukumbusha jamii Utamaduni wetu ambao ndio unafanya jamii kuwa na uzalendo katika nyanja zote za maendeleo.
“Ili kufikia adhma ya Serikali ya awamu ya Tano ya Tanzania ya Viwanda bila kuwa na uzalendo wa kufanya kazi kwa bidii na kwa kushirikiana.” Alisema Mhe. Juliana.
Mhe. Juliana ameongeza kuwa Wasanii wanahabari na wanamichezo wanajukumu kubwa sana la kuutangaza Kampeni hii lakini pia kuelimisha jamii maana ya Uzalendo pamoja na kuwa mstari wa mbele katika kutenda mambo mazuri yanayoendana na Utamaduni wa Tanzania kwa wao ni kioo cha jamii.
Naye msanii Mrisho Mpoto ameiahidi Serikali kushirikiana nayo katika kuelimisha jamii maana ya uzalendo kupitia sanaa yake ambapo amesema atashirikiana na wasanii wenzake kuandaa nyimbo zitakazowakumbusha watanzania umuhimu wa Uzalendo ili kuwa na Taifa lenye jamii inayotambua maana ya uzalendo kama ilivyokuwa enzi za mababu zetu.



Kampeni ya uzalendo yenye Kauli mbiu “UZALENDO NA UTAIFA,NCHI YANGU KWANZA” ina lengo la kurejesha hali ya watu kupenda nchi yao  kupinga mmomonyoko wa maadili kwa viongozi wa Umma,kuongezeka kwa tuhuma za rushwa,kuibuka kwa ufisadi,matumizi mabaya ya mamlaka na ubaguzi wa aina yeyote ambapo itakuwa inaadhimishwa kila mwaka.

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, JAPHET HASUNGA ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KITULO, MAARUFU KAMA BUSTANI YA MUNGU

$
0
0
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Makete, Veronika Kessy wakiangalia maua ya asili ambayo ni kivutio kikubwa cha utalii katika hifadhi ya Taifa ya Kitulo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua shughuli za uhifadhi na utalii katika hifadhi hiyo kwenye wilaya ya Makete mkoani Njombe leo. Hifadhi hiyo ni maarufu duniani kwa kuwa na aina za maua zaidi ya 35 ya asili ambayo hayapatikani kwengineko duniani. Hifadhi hiyo ni maarufu kwa wenyeji kama 'BUSTANI YA MUNGU'.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (kushoto), Mkuu wa Wilaya ya Makete, Veronika Kessy (kulia) na baadhi ya viongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Kitulo wakiangalia maua ya asili ambayo ni kivutio kikubwa cha utalii katika hifadhi hiyo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua shughuli za uhifadhi na utalii katika hifadhi hiyo kwenye wilaya ya Makete mkoani Njombe leo. Hifadhi hiyo ni maarufu duniani kwa kuwa na aina za maua zaidi ya 35 ya asili ambayo hayapatikani kwengineko duniani. 
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (wa nne kulia), akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Makete, Veronika Kessy (wa tatu kulia) na baadhi ya viongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Kitulo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua shughuli za uhifadhi na utalii katika hifadhi hiyo kwenye wilaya ya Makete mkoani Njombe leo. Hifadhi hiyo ni maarufu duniani kwa kuwa na aina za maua zaidi ya 35 ya asili ambayo hayapatikani kwengineko duniani. 
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (kulia), Mkuu wa Wilaya ya Makete, Veronika Kessy na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa Kitulo, Pius Mzimbe wakiangalia maporomoko ya maji ya Mwakipembo ambayo ni kivutio cha utalii ndani ya hifadhi ya Kitulo wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua shughuli za uhifadhi na utalii katika hifadhi hiyo kwenye wilaya ya Makete mkoani Njombe leo. Pamoja na kivutio hicho hifadhi hiyo ni maarufu duniani kwa kuwa na aina za maua zaidi ya 35 ya asili ambayo hayapatikani kwengineko duniani. Hifadhi hiyo ni maarufu kwa wenyeji kama 'BUSTANI YA MUNGU'.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (kulia) akipata maelezo kuhusu maporomoko ya maji ya Mwakipembo ambayo ni kivutio cha utalii ndani ya hifadhi ya Taifa ya Kitulo kutoka kwa Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi hiyo, Pius Mzimbe wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua shughuli za uhifadhi na utalii katika hifadhi hiyo kwenye wilaya ya Makete mkoani Njombe leo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Makete, Veronika Kessy. Pamoja na kivutio hicho hifadhi hiyo ni maarufu duniani kwa kuwa na aina za maua zaidi ya 35 ya asili ambayo hayapatikani kwengineko duniani.
Muonekano mwanana wa Hifadhi ya Taifa ya Kitulo. Hifadhi hii ina aina zaidi ya 350 za maua huku aina 35 yakiwa ndwele na hupatikana katika hifadhi hiyo pekee duniani. Vivutio vingine vinavyopatikana katika hifadhi hiyo ni Maporomoko ya maji, ndege aina mbalimbali ambao wengine huama kutoka ulaya wakati wa baridi, wanyamapori aina Swala, Mbega na Nsya. Hata hivyo katika kutimiza mkakati wa Wizara kuboresha vivutio vya utalii, hifadhi hiyo ipo katika maandalizi ya kuanzisha makazi ya Pundamilia na wanyama wengine. Awamu ya kwanza ya kuhamisha pundamiliz 25 kutoka hifadhi ya taifa ya mikumi inatarajiwa kukamilika mwishoni mw mwaka huu. Hifadhi hiyo ni maarufu kwa wenyeji kama 'BUSTANI YA MUNGU'.
Aina mojawapo ya ua ambalo hupatikana katika hifadhi hiyo.
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, Pius Mzimbe (kushoto) akimuonyesha Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga (kulia) sehemu ya eneo lililochaguliwa ndani ya hifadhi hiyo kwa ajili ya kuanzisha makazi ya Pundamilia 25 watakaohamishwa kutoka Hifadhi ya Taifa ya Mikumi. Alisema kabla ya mwaka huu kuisha Pundamilia hao watakuwa wameshahamishiwa eneo hilo. Huo ni mkakati wa wizara na Serikali katika kuboresha vivutio vya utalii nchini ili kuongeza idadi ya watalii na mapato.
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akisalimiana na wafanyakazi wa Hifadhi ya Taifa ya Kitulo alipowasili makao makuu ya hifadhi hiyo yaliyopo Makete mkoani Njombe jana.
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akizungumza na wafanyakazi wa Hifadhi ya Taifa ya Kitulo makao makuu ya hifadhi hiyo yaliyopo Makete mkoani Njombe. Amewaaka watumishi hao kufanya kazi kwa bidii na ubunifu, kujiepusha na vitendo vya rusha, kuweka mikakati wa kudhibiti mifugo kuingia hifadhini na sio kusubiri iingie na kuanza kutangaza kuikamata au kuitaifisha, kupunguza malalamiko ya wananchi jirani na hifadhi hiyo, kuongeza idadi ya mapato ya hifadhi na kufanya kazi kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akizungumza na wafanyakazi wa Hifadhi ya Taifa ya Kitulo. (Picha na Hamza Temba-Wizara ya Maliasili na Utalii)

BOHARI YA DAWA (MSD) YAZINDUA MPANGO MKAKATI WA KATI 2017-2020

$
0
0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Mpoki Ulisubisya akihutubia wakati akizindua Mpango Mkakati wa Kati 2017 – 2020 wa Bohari ya Dawa (MSD) jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu wa MSD,  Laurean Bwanakunum akizungumza katika uzinduzi huo.
Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa SMD, Sako Mwakalobo, akielezea mpango huo mbele ya mgeni rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Mpoki Ulisubisya.
Wafanyakazi wa MSD na wadau wengine wakiwa kwenye uzinduzi huo.
uzinduzi ukiendelea.
Wadau na wafanyakazi wa MSD wakiwa kwenye uzinduzi huo.
Viongozi wa idara mbalimbali wa MSD wakiwa kwenye uzinduzi huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Mpoki Ulisubisya, akihutubia kwenye uzinduzi huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Mpoki Ulisubisya (wa pili kulia), Mganga Mkuu wa Serikali, Mohamed Kambi Bakari ( kulia) wakisaini hati ya mkataba maalumu wa utendaji kazi (Performance Contract) na Mkurugenzi Mkuu wa MSD,  Laurean Bwanakunu ( kulia). Wengine wanao shuhudia tukio hilo ni Mfamasia Mkuu wa Serikali, Daud Msasi na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa MSD, Victoria Ilangwa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Mpoki Ulisubisya, akimkabidhi hata hizo za mkataba Mkurugenzi Mkuu wa MSD Laurean Bwanakunu.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Mpoki Ulisubisya, akikata utepe kuashiria uzinduzi huo.

Na Dotto Mwaibale

BOHARI ya Dawa (MSD)imezindua Mpango Mkakati wa Kati 2017 – 2020 ili kuongeza kasi ya usambazaji wa dawa na vifaa tiba nchini. 

Akizindua mpango mkakati huo jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya ameipongeza MSD kwa kuandaa upya mpango huo ambao wamejikosoa na kuboresha maeneo muhimu ili kuendana na vipaumbele vya serikali na mahitaji ya wananchi wa Tanzania, hususan vituo vya Afya vya Umma.

Maeneo hayo muhimu ni pamoja na Kujitegemea kifedha, kuuhuisha Mnyororo wa Ugavi, Kuboresha mfumo wa Tehama, Matumizi yenye tija ya Rasilimali Watu, Utawala na 
Ushirikishwaji wadau.

Katika  hatua nyingine Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Mpoki Ulisubisya ameingia mkataba maalumu wa utendaji kazi (Performance Contract)na Mkurugenzi Mkuu wa MSD Laurean Bwanakunu ili kuhakikisha utekelezwaji wa haraka wa Mpango mkakati uliozinduliwa.

Aidha katika uzinduzi huo Mkurugenzi Mkuu wa MSD Laurean Bwanakunu amesema atahakikisha Mpango Mkakati 2017-2020 unatekelezwa ambapo kila Mkurugenzi na Mameneja wa MSD wameingia mikataba inayopimika  ya utendaji kazi. 

Bwanakunu aliongeza kuwa ufuatiliaji wa utendaji utafanywa kupitia Ofisi  maalumu ya kusimamia utekelezaji wa mikakati ya MSD(Strategic Management Office)Tayari kila Mkurugenzi na mameneja wa MSD wamesaini mkataba kutekeleza Mpango Mkakati huo wa Kati.

VIJUSO MAGAZETI YA JUMATANO LEO DECEMBER 6, 2017

WAZIRI LUKUVI AZINDUA MNARA WA MWALIMU NYERERE NA MAKAO MAKUU YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA

$
0
0


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akifungua jengo la makao makuu ya NHC kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana. Kushoto kwake ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Ali Laay na anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akifungua jengo la makao makuu ya NHC kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana. Kushoto kwake ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Ali Laay na anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Ali Laay na anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando M
chechu baada ya kuzindua Mnara wa Mwalimu Julius Nyerere uliopo kwenye makao makuu ya NHC, Dar es Salaam.
Mnara wa Mwalimu Nyerere uliozinduliwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi leo mchana. 
 Baadhi ya Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakifuatilia kwa kina uzinduzi wa jengo la Makao makuu ya Shirika hilo lijulikanalo kama KAMBARAGE HOUSE ikiashiria kumuenzi Rais wa Kwanza ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwasisi wa Taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Uzinduzi wa jengo hilo la makao makuu umekwenda sambamba na uzinduzi wa Mnara wa Mwalimu Julius Nyerere uliofanywa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akijadiliana jambo na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Ali Laay, huku Mshereheshaji wa shughuli hiyo, Ephraim Kibonde akiwasikiliza. Walifanya hayo wakati wa uzinduzi wa jengo la Makao makuu ya Shirika hilo lijulikanalo kama KAMBARAGE HOUSE ikiashiria kumuenzi Rais wa Kwanza ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwasisi wa Taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Uzinduzi wa jengo hilo la makao makuu umekwenda sambamba na uzinduzi wa Mnara wa Mwalimu Julius Nyerere uliofanywa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akimkaribisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana.
Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi akisalimiana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akijadiliana jambo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijianda kufungua jengo la makao makuu ya NHC kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana.
 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akifungua jengo la makao makuu ya NHC kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana. Kushoto kwake ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Ali Laay na anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akifungua jengo la makao makuu ya NHC kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana. Kushoto kwake ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Ali Laay na anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikagua ndani ya jengo hilo jipya la makao makuu ya NHC akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikagua ndani ya jengo hilo jipya la makao makuu ya NHC akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikagua ndani ya jengo hilo jipya la makao makuu ya NHC akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikagua ndani ya jengo hilo jipya la makao makuu ya NHC kulia kwake ni Almasi Kasongo wa NHC.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo kutoka kwa Mussa Efata wa NHC wakati akikagua jengo hilo jipya la makao makuu ya NHC.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akimpongeza Mzee Galus Abeid wakati wa uzinduzi wa jengo hilo
Mkurugenzi wa Usimamizi Milki wa NHC, Hamad Abdallah akisalimiana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana.
Mkurugenzi wa Ubunifu wa NHC, Issack Peter akisalimiana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akifurahi jambo baada ya kuzindua jengo la makao makuu ya NHC kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana. Kushoto kwake ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Ali Laay na anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu. 







Jengo la Makao makuu ya Shirika hilo lijulikanalo kama KAMBARAGE HOUSE ikiashiria kumuenzi Rais wa Kwanza ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwasisi wa Taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere linavyoonekana sasa. Uzinduzi wa jengo hilo la makao makuu umekwenda sambamba na uzinduzi wa Mnara wa Mwalimu Julius Nyerere uliofanywa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi

MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA KAMPENI YA KITAIFA YA USAFI AWAMU YA PILI KESHO MKOANI DODOMA

$
0
0

WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Mwakilishi wa shirika la DFID nchini Tanzania Elizabeth Arthur wakikagua vyoo bora vinavyotumika na Wanafunzi wa shule ya Msingi  Humekwa,wilayani Chamwino mapema leo,ambapo Mh.Ummy amekagua usafi wa Mazingira pamoja na vyoo bora,
ikiwa ni sehemu ya kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.
WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Mwakilishi wa shirika la DFID nchini Tanzania Elizabeth Arthur wakikagua vyoo bora vinavyotumika na Wanafunzi wa shule ya Msingi ya Humekwa,wilayani Chamwino mapema leo,ambapo Mh.Ummy amekagua usafi wa Mazingira pamoja na vyoo bora,
ikiwa ni sehemu ya kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.

WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Mwakilishi wa shirika la DFID nchini Tanzania Elizabeth Arthur wakiangalia  namna Kibuyu Chilizi kinavyosaidia kuepukana na magonjwa ya matumbo,kuhara pamoja na kipindupindu

WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiwa ameongoza na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe.Vumilia Nyamonga,Mganga Mkuu wa Mkoa hospitali ya Dodoma Dkt James Charles pamoja na Mwakilishi wa shirika la DFID nchini Tanzania Elizabeth Arthur wakitoka kukagua mazingira ya usafi wa zahanati ya kijiji Humekwa
wilayani Chamwino mapema leo,ambapo Mh.Ummy amekagua usafi wa Mazingira pamoja na vyoo bora,ikiwa ni sehemu ya kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.

Mwakilishi wa shirika la DFID nchini Tanzania Elizabeth Arthur,ambao pia ni baadhi ya Wafadhiri wa Mazingira na Usafi katika sehemu mbalimbali hapa nchini,akiwasalimia baadhi wa wanakijiji cha Humekwa wilayani Chamwino,waliofika kwenye mkutano wa hadhara,ambapo mgeni rasmi alikuwa WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu ambaye alifika katika kijiji hicho kukagua Usafi wa Mazingira na Vyoo bora kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.Pichani kulia ni Mganga Mkuu hospitali ya Mkoa wa Dodoma Dkt James Charles pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe.Vumilia Nyamonga.

Mmoja wa Wanafunzi wa shule ya Msingi Humekwa,katika kijiji cha Humekwa wilayani Chamwino akinawa mikono kwa kutumia maji ya kibuyu chilizi pamoja sabuni mara baada ya kutoka chooni,kuepuka kuambukizwa na magonjwa mbalimbali ikiwemo Kipindupindu.
Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe.Vumilia Nyamonga akimkaribisha
WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu kuzungumza na Wananchi na kusikiliza kero zao kuhusiana na sekta ya afya,ambapo alifanya ukaguzi wa Usafi wa Mazingira na Vyoo bora katika kijiji hicho cha Humekwa,ikiwa ni sehemu ya kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.
WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza mapema leo mbele ya Wanakijiji cha Humekwa wilayani Chamwino mkoani Dodoma,na baadae kujibu kero kadhaa za wananchi huo kuhusiana sekta ya Afya katika kijiji hicho na kufanya ukaguzi wa Usafi wa Mazingira na Vyoo bora ikiwa ni sehemu ya kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.

WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiserebuka na moja ya kikundi cha Ngoma mapema leo,alipowasili katika kijiji cha Humekwa,kilichopo wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma,alipokwenda kukagua Usafi wa Mazingira na Vyoo bora kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia suluhu hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.
Baadhi ya wanakijiji cha Humekwa wilayani Chamwino,wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano huo wa hadhara,ambapo mgeni rasmi alikuwa WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu ambaye amefika katika kijiji hicho kukagua Usafi wa Mazingira na Vyoo bora kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia suluhu hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.

Baadhi ya wanakijiji cha Humekwa wilayani Chamwino,wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano huo wa hadhara,ambapo mgeni rasmi alikuwa WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu ambaye amefika katika kijiji hicho kukagua Usafi wa Mazingira na Vyoo bora kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia suluhu hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.
Baadhi ya wanakijiji cha Humekwa wilayani Chamwino,wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano huo wa hadhara,ambapo mgeni rasmi alikuwa WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu ambaye amefika katika kijiji hicho kukagua Usafi wa Mazingira na Vyoo bora kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Taifa ya usafi wa Mazingira iliyobeba ujumbe wa 'NIPO TAYARI' , ambapo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia suluhu hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.

MHANDISI KAMWELWE ATEMBELEA MRADI WA UPANUZI WA MFUMO WA UZALISHAJI NA UGAWAJI MAJI CHALINZE UNAOTEKELEZWA NA SERIKALI KUPITIA DAWASA

$
0
0

NA K-VIS BLOG/Khalfan Said

WAZIRI WA Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Isaack Kamwelwe ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi Mradi wa maji awamu ya tatu ya upanuzi wa chanzo na mtandao wa maji wa Chalinze mkoani Pwani leo Desemba 6, 2017.

Mradi huo unaotekelezwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji kupitia Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka, (DAWASA), upanuzi wa chanzo cha maji, ujenzi wa matenki na ulazaji wa mabomba, ujenzi wa vituo vya kuchotea maji pamoja na ujenzi wa Ofisi mpya za Mradi.
“Mradi huu unahusisha  upanuzi wa mtambo wa kusafishia maji wa Chalinze ambao chanzo chake ni Mto Wami na lengo ni kuongeza uzalishaji kufikia mita za ujazo Elfu Tisa (9000) kwa saa kutoka mita za ujazo Mia Tano (500) kwa saa.” Amefafanua Mhandisi Kamwelwe.
Akifafanua zaidi Mhandisi Kamwelwe amesema, Mradi pia unahusisha ujenzi wa Matrenki 19, ulazaji wa mabomba ya ukubwa tofauti wenye urefu wa kilomita 1,022, ujenzi wa vizimba vya kuchotea maji 351 katika  vijiji na vitongoji vya Halmashauri za Chalinze na Bagamoyo Mkoani Pwani.
“Mradi huu ni Mkubwa na unahusisha pia baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Tanga na Morogoro katika wilaya za Handeni na Ngerengere.” Ameongeza Waziri huyo.
Aidha Mheshimiwa Waziri, alisema Wananchi wa maeneo yatakayofaidika na Mradi huo ambao ni Mkubwa ni pamoja na wakazi wa Manga hadi Tengwe katika Mkoa wa Tanga, mji na vitongoji vya Chalinze, na baadhio ya maeneo ya Bagamoyo na Kibaha Mkoani Pwani, wakazi wa maeneo ya Kizuka A na B, Tukamisasa, Lulenge, Visakazi hadi Bwawani  pamoja na Sangasanga A na B Mkoani Morogoro.
Maeneo mengine yatakayojengwa matenki ni pamoja na Pera, Pingo, Bwilingu, Msoga, Diozile, Lugoba, Mindutulieni, Saleni, Mazizi, Msata, Kihangaiko, Kilemera, Hondogo, Miono North 3, Kimange, Rupungwi na Manga.
Kati ya matenki hayo 19 mojawapo ni tenki kuu la Mazizi lenye uwezo wa kuhifadhi lita Milioni 2, kukamilika kwa ujenzi wa tenki hiulo kutafanya kuwa tenki kubwa zaidi kuliko yote Mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa Mhandisi Kmwelwe, Mradi utrakapokamilika utagharimu dola za KImarekani Milioni 41.36 ambazo ni mkopo wa masharti nafuu kutoka Serikali ya India kupitia Benki ya Exim yta nchini humo. Hata hivyo Waziri ameonyesha kukerwa kwake na kusuasua kwa mkandarasi kumalizia kazi hiyo kwa muda uliopangwa na kwamba kama asingefuata ushauri wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Wataalamu wa Wizara yake, basi leo Desemba 6, 2017 ilikuwa siku ya kuvunja mkataba wa Mkandarasi huyo. "Hata hivyo Mkandarasi baada ya kuahidi kukamilisha mradi Februari 8, 2017, tumeona tumuache hadi muda huo, lakini akishindwa hatuna njia nyingine ni kuvunja mkataba na kutafuta Mkandarasi mwingine." Alionya Waziri Kamwele wakati akizungumza na waandishi wa Habari kwenye chanzo cha maji Mto Wami.

Kwa upande wake Mbunge wa Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amemshukuru Waziri Kamwele na Serikali ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, kwa nia yake ya dhati ya kuwaondolea kero ya maji wakazi wa Chalinze, na kwamba ana imani kubwa ya kukamilika kwa mradi huo baada ya kuulalamikia kwa muda mrefu bungeni kuwa umechelewa sana. "Mheshimiwa Waziri napenda nikushukuru sana na hasa Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa Dkt. John Magufuli, kwa kazi nzuri ambayo Serikali inafanya katika kutatua kero za wananchi na hasa wapiga kura wa jimbo la Chalinze." Alisema Mhe. Kikwete.

 Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Isaack Kamwelwe, (wane kushoto), Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe.Majid Mwanga, Watatu kulia, Mbunge wa Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete, (watatu kushoto),Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi Romanus Mwang'ingo, (wapili kulia), Mkandarasi wa Mradi wa uboreshaji miundombinu ya maji kutoka kampuni ya WAPCOS Limited ya India, Mhandisi  P.G. Rajani na maafisa wengine, wamiwa mbele ya tenki la kusafishia maji linalojengwa chini ya mradi huo unaoendeshwa na Sewrikali kupitia DAWASA, kwenye chanzo cha Maji Mto Wami, Mkoa wa Pwani, Desemba 6, 2017


 Mhe. Mhandisi Kamwelwe, akizungumza jambo na Mhe. Ridhiwani Kikwete, walipotembelea chanzo cha Maji Mto Wami.
 Mbunge wa Bagamoyo, Mhandisi, Dkt.Shukuru Kawambwa, akimsikiliza Mhe. Waziri Kamwelwe, wakati wa ziara ya Waziri wilayani Bagamoyo kukagua ujenzi wa tenki la kuhifadhia Maji, Desemba 6, 2017. Tenkji hilo litakuwa na uwezo wa kuhifadhi lita milioni 6.
 Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi Romanus Mwang'ingo, akitumia mchoro kuelezea maendeleo ya mradi wa ujenzi wa tenki la Maji Bagamoyo Mkoani Pwani, Desemba 6, 2017
 Mhe.Waziri Kamwelwe, akisalimiana na mmoja wa mafundi wanaojenga tenki la kuhifadhia maji Bagamoyo.

 Mkandarasi wa Mradi wa uboreshaji miundombinu ya maji kutoka kampuni ya WAPCOS Limited ya India, Mhandisi  P.G. Rajani, akitumia mchoro kumueleza Waziri Kamwelwe, (wapili kuhsoto) na Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi Mwang'ingo, kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mradi huo

 Taswira ya ujenzi wa tenki la kuhifadhi maji lita milioni 6, Bagamoyo Mkoani Pwani kama inavyoonekana Desemba 6, 2017

 Mhbe., Kamwelwe, (kulia), Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Mhe.Majid Mwanga, (wapiili kulia) na Wakandarasi kutoka kampuni ya India ya WAPCOS.

Ubalozi wa Norway waipatia UN Tanzania dola milioni 5.1 ili kufanikisha UNDAP II

$
0
0

Ubalozi wa Norway nchini umeipatia msaada wa dola bilioni 5.1 Umoja wa Mataifa Tanzania ili kusaidia kufanikisha Mpango wa Misaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP II).Makubaliano hayo yamesainiwa na Balozi wa Norway nchini, Hanne-Marrie Kaarstad na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez katika ofisi za ubalozi wa Norway uliopo jijini Dar es Salaam.Akizungumza kwenye hafla hiyo, Balozi Kaarstad alisema msaada huo ni mwendelezo wa misaada ambayo inatolewa na Norway ili kufanikisha mpango wa UNDAP II ambapo kwasasa imefika dola milioni 10.5 na kuahidi kuendelea kushirikiana na serikali na UN katika mpango huo.
Balozi wa Norway nchini, Hanne-Marrie Kaarstad akizungumza kuhusu msaada ambao wameutoa kwa Umoja wa Mataifa Tanzania. (Picha zote na Rabi Hume)
"Lengo la msaada huu ni kuwasaidia wakimbizi waliopo Kigoma na kwa wananchi wa Kigoma kwa ujumla, makubaliano mapya tuliyosaini leo yanalenga maeneo yaliyokusudia. Kusaidia kilimo ili kuwezesha kuwepo chakula cha kutosha kwa ajili ya wakimbizi na wananchi wanaozunguka hayo maeneo ya kambi,"Sehemu nyingine ambayo msaaada huu unalenga, ni kusaidia ni kumaliza vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto. Matumaini yetu msaada huu utafungua milango kwa washirika wengine wa maendeleo kuchangia ili kufanikisha mapango huu," alisemaNaye Rodriguez aliushukuru Ubalozi wa Norway kwa msaada waliowapatia na kwa serikali ya Tanzania kwa ushirikiano ambao inautoa kwa Umoja wa Mataifa ili kufanikisha mpango huo.
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez akizungumza kuhusu msaada ambao wameupokea kutoka Ubalozi wa Norway.
Rodgriguez alisema msaada huo utatumika kama ulivyopangwa kwa wakimbizi na wananchi waliopo mkoa wa Kigoma kwa kuhakikisha kunakuwa na chakula cha kutosha kwa wakimbizi wote wanaokadiriwa kufikia 340,000, lakini pia kuhakikisha kunakuwa na usawa wa kijinsia kwa watu wote."Kwa miongo mingi, Norway imeendelea kuwa mshirika wa kuaminika kwa Tanzania na Umoja wa mataifa. Kwa kuweka mkazo katika mahitaji ya wanawake na watoto walio hatarini, rasilimali hizi zitatoa mchango muhimu katika kukidhi mahitaji ya wenye uhitaji mkubwa kama ilivyoelezwa katika Malengo ya Dunia." alisema Rodriguez.
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez na Balozi wa Norway nchini, Hanne-Marrie Kaarstad wakisaini makubaliano ambayo yatawezesha Norway kuongeza dola milioni 5.1 katika makubaliano ya Mpango wa Misaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP II).

KAMISHNA JENERALI MALEWA APOKEA UTAMBULISHO WA MMWALIMU WA JUDO MAKAO MAKUU YA MAGEREZA

$
0
0
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Dk. Juma Ali Malewa amepokea utambulisho wa Mwalimu wa Judo Shozy Yogi aliyekuja kumtembelea Makao Makuu ya Magereza jijini Dar es Salaam leo tarehe 06 December 2017.

Mwalimu Shozy Yogi alifika Makao Makuu ya Magereza akiambatana na kiongozi wa Japan International Cooperation Mr. Tsujimoto Makoto, Mkuu Msaidizi wa Kikosi Maalum cha kutuliza Ghasia Magerezani (KMKGM), Mrakibu Alli Uwesu na Msaidizi wa Mwalimu, Warder Oscarius.

Kamishna Jenerali Malewa aliupokea ugeni huo na kufanyanao mazungumzo ya jinsi mwalimu huyo ataendesha mafunzo hayo kwenye kambi ya KMKGM. Mwalimu Shozy Yogi aliwasili toka tarehe 17 November,2017 na amefika hapa Tanzania kwa mafunzo ya muda mrefu ya mchezo wa Judo kwenye kambi ya Kikosi Maalu cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKGM)
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Dk. Juma Malewa akimsikiliza Kiongozi wa Japan Internation Cooperation (JICA) Mr. Tsujimoto Makoto alipomtembelea ofisini kwake.
Mwalimu wa mchezo wa Judo toka Japan, Shozy Yogi(Kushoto) akimsikiliza Kamishna Jenerali Dk. Juma Malewa (hayupo pichani) alipotembelea Makao Makuu ya Magereza. Kulia kwake ni kiongozi JICA ambaye amemleta Tanzania.
Kamishna Jenerali Dk. Juma Malewa(wa pili kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwalimu Shozy Yogi(mwenye shati jeupe), Mr. Tsujimoto Makoto (mwenye suti nyeusi), Kamishna wa Utawala na Fedha(wa tatu kushoto). Wengine ni Mrakibu Mwandamizi Matilda Mlawa (wa kwanza kushoto), Mrakibu Alli Uwesu na Wdr Oscarius.
Kamishna Jenerali Dk. Juma Malewa akiagana na Mwalimu wa Judo Shozy Yogi ofisini kwake baada ya kufanya nae mazungumzo.

WAZIRI MKUU AKAGUA MAKAZI YA MAKAMU WA RAIS

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua matengenezo ya makazi ya muda yanayotarajiwa kutumiwa Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan pindi atakapohamia Dodoma.Waziri Mkuu amefanya ukaguzi huo leo mchana (Jumatano, Desemba 6, 2017) katika eneo la Kilimani, mjini Dodoma ambako yalikuwa makazi ya Mkuu wa Mkoa huo.

Akitoa taarifa ya ujenzi huo, Waziri wa Nchi (OWM) anayeshughulikia Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Wenye Ulemavu na Vijana, Bibi Jenista Mhagama alisema Kikosi kazi cha kuratibu zoezi la Serikali kuhamia Dodoma kilibaini kuwa mahali alipokuwa akiishi awali siyo sahihi kwa ajili ya makazi ya kudumu ya Mhe. Makamu wa Rais.“Pale palikuwa panafaa kwa ajili ya ziara za kikazi alipokuwa akija Dodoma, kwa hiyo tumeamua tufanye ukarabati hapa, ili aweze kuishi kwa viwango vinavyostahili.”

Alisema kazi ya matengenezo kwenye makazi yake itagharimu sh. bilioni 1.5 wakati kazi ya kutenganisha ofisi za watumishi na wasaidizi wa Makamu wa Rais itagharimu sh. milioni 680.Waziri Mkuu pia alikagua matengenezo ya Ofisi inayotarajiwa kutumiwa na Makamu wa Rais ambayo itakuwa eneo la Ndejengwa.Wakati huohuo, Kaimu Meneja wa TBA Mkoa wa Dodoma, Bw. Steven Simba ambaye anasimamia ujenzi huo, alimweleza Waziri Mkuu wanataraji kuwa kazi hiyo itakamilika kabla ya Desemba 30, mwaka huu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea maelezo ya ujenzi kutoka kwa Msanifu Majengo, Edward Kayombo (kulia) wakati alipoenda kukagua ofisi na makazi ya Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan mjini Dodoma Desemba 6, 2017 wa pili kulia ni Kaimu Meneja wa TBA-Dodoma, Steven Simba (kushoto) ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Maimuna Tarishi, na wapili kushoto ni Waziri wa Nchi Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipewa maelezo ya mpangilio wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan kutoka kwa Msanifu Majengo, Edward Kayombo (kulia) wakati alipokwenda kukagua ofisi hiyo mjini Dodoma Desemba 6, 2017 (katikati) ni Waziri wa Nchi Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa makazi ya Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan mjini Dodoma Desemba 6, 2017.
Viewing all 46340 articles
Browse latest View live




Latest Images