Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46334 articles
Browse latest View live

KWA MAHITAJI YA KEKI ZA AINA HII NA NYINGINEZO WALA USISITE KUMTAFUTA HUYU

$
0
0
 UNAWEZA KUWASILIANA NA DADA ANGELA KWA   EMAIL angelam704@gmail.com AU KWA 0782297408


Nonini Brand New Music Video (Nonini ft Chris Adwar-Kenya (50 Years) Official Video)

MASHINDANO ya kitaifa ya kuhifadhi Quran tukufu yamalizika jana

$
0
0
MASHINDANO ya kitaifa ya kuhifadhi Quran tukufu yamemalizika jana, huku walemavu wa viungo wakiwa kivutio cha aina yake, kwa kuonyesha maajabu.

Walioshangiliwa na hata kuwatoa machozi watazamaji walikuwa ni Ummy Kuluthumu Swaleh Saidi kutoka Pemba, ambaye hakuwa na miguu wala mikono pamoja na  Seif Salim Said ambaye ni mlemavu wa kuona na kusikia, waliweza kusoma vizuri bila kubabaika huku wakiwapita hata wale waliokuwa na viungo kamili.

Mashindano hayo yalimalizika jana Dar es Salaam katika ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo yalihusisha washiriki 72 kutoka Tanzania Bara na Visiwani.Walemavu hao pamoja na wengine sita, walizawadiwa fedha taslim  pamoja na fimbo za kuwawezesha kutembea.

Nafasi ya mshindi wa kwanza kwa wavulana ilikwenda kwa Abdul Hamid na msichana alikuwa Suria Ally Bakari ambao kwa pamoja walipewa  Bajaji na fedha taslim sh. 500,000. Washindi wa mashindano hayo yaliyoandaliwa na Eshe Sururu Foundation, yaligawanywa katika makundi matano, kwa upande wanawake na wanaume, huku washindi  wengine wakiondoka na pikipiki, baiskeli, vyereheni na fedha taslim.

Katibu wa kamati ya maandalizi, Issah Ramadhan Mohamed alisema kuwa madhumuni ya kuandaa mashindano hayo ni kuibua ari kwa vijana wa kiislam waweze kusoma Quran Tukufu  kwa mustakabali wa maisha mema.
Alisema yalishirikisha wasichana 38 na wavulana 34 ambapo kila upande alitoka mshindi wa kwanza hadi wa tatu na yaligawanywa kwa ngazi tano ikiwemo kuhifadhi Juzuu 20,10, tano na tatu.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFANYA ZIARA YA KUKAGUA SHUGHULI ZA USAFI WA MAZINGIRA MKOA WA DAR ES SALAAM

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Viongozi wa Kata ya Ukonga kuhusu usafi wa mitaro ya maji machafu, wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam leo Julai 21, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Soko la vyakula la Buguruni, wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam leo Julai 21, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa Matango katika Soko la Buguruni, wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam leo Julai 21, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoka kutembelea Bwawa la maji machafu Buguruni wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam leo Julai 21, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia Mtaro wa maji machafu uliopo Mayfear Plaza Mikocheni wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam leo Julai 21, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na mmoja wa Wakazi wa Msasani baada ya kutembelea kuona Mitaro ya maji machafu ya eneo hilo, wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam leo Julai 21, 2013. Picha na OMR

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA SIKU MOJA WA TROIKA YA SADC JIJINI PRETORIA, AFRIKA KUSINI

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akijibu maswali toka kwa wanahabari wakati wa mkutano wa pamoja na waandishi wa habari mara baada ya mkutano wa siku moja wa Kamati ya Troika ya Siasa na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ Troika on Politics, Defence and Security Cooperation) katika jumba la wageni wa Rais la Sefako Makgatho jijini Pretoria, Afrika Kusini, Jumamosi usiku. Kutoka kulia ni Rais wa Afrika Kusini Mhe Jacob Zuma, Rais wa Msumbiji ambaye pia ni mwenyekiti wa SADC Mhe Armando Guebuza, Katibu Mtendajji wa SADC Dkt Tomaz Augusto Salomão na Waziri wa Mambo ya Nje wa Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah.
Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa siku moja wa Kamati ya Troika ya Siasa na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ Troika on Politics, Defence and Security Cooperation) katika jumba la wageni wa Rais la Sefako Makgatho jijini Pretoria, Afrika Kusini, Jumamosi usiku.
Mwenyekiti wa Kamati ya Troika ya Siasa na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ Troika on Politics, Defence and Security Cooperation), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini na Rais Armando Guebuza baada ya mkutano wa kamati ya Troika katika jumba la wageni wa Rais la Sefako Makgatho jijini Pretoria, Afrika Kusini, Jumamosi usiku.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa Jumuiya za Watanzania waishio Afrika ya Kusini leo Julai 21, 2013 jijini Pretoria, Afrika ya Kusini, muda mfupi kabla ya kurejea nyumbani baada ya kuhudhuria mkutano wa siku moja wa Kamati ya Troika ya Siasa na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ Troika on Politics, Defence and Security Cooperation).

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

TAMPRO WAKABIDHI VIFAA NA NGUO ZILIZOKUSANYWA NA WAISLAMU MKOA WA DAR ES SALAAMU KWA MBUNGE VITI MAALUMU TABORA.

$
0
0
 Mkurugenzi mtendaji wa TAMPRO Bw Sadiki S.Gogo akimkabidhi Mh Munde Tambwe Mbunge wa viti maalumu [CCM- Tabora] vifaa na nguo.

 JUMUIYA YA WANATAALUMA WA KIISLAMU [TAMPRO]WAKABIDHI VIFAA NA NGUO ZILIZOKUSANYWA NA WAISLAMU MKOA WA DAR ES SALAAMU KWA MH MUNDE TAMBWE MBUNGE VITI MAALUMU TABORA.
 Baadhi ya Vifaa vya michezo kwa watoto vilivyokusanywa na waislamu mkoani Dar es Salaam katika COLLECTION CAMPAIGN kupitia Jumuiya ya wanataaluma wa Kiislamu [TAMPRO.
 Baadhi ya Nguo na Viatu vilivyokusanywa na waislamu mkoani Dar es Salaam kupitia Jumuiya ya wanataaluma wa Kiislamu [TAMPRO
Mh Munde Tambwe Mbunge wa viti maalumu akibadilishana mawazo na Mkurugenzi mtendaji wa Jumuiya ya Wanataaluma wa Kiislamu [TAMPRO)

RAIS KIKWETE AWAONGOZA WANANCHI KUAGA NA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MIILI YA ASKARI 7 WALIOFARIKI HUKO DARFUR,SUDANI

$
0
0
 Rais Jakaya Kikwete, mkewe Mama Salma, wakitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yenye miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13, 2013 kutokana na shambulizi la ghafla, wakati wa zoezi la kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yenye miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13, 2013 kutokana na shambulizi la ghafla, wakati wa zoezi la kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akitia saini katika Kitabu cha Maombolezo ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla, wakati Rais na viobgozi wengine walipofika kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika Kitabu cha Maombolezo ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla, wakati Makamu na viobgozi wengine walipofika kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, akitia saini katika Kitabu cha Maombolezo ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan kutokana na shambulizi la ghafla, wakati walipofika kutoka heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa Wizara ya Ulinzi Upanga jijini Dar es Salaam.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Rais Kikwete kuzindua ujenzi wa Kivuko na barabara Kagera

$
0
0
Hussein Makame na Jennifer Chamila, MAELEZO.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete anatarajia kuzindua ujenzi wa barabara na kufungua rasmi kivuko cha Ruvuvu mkoani Kagera.

Taarifa ilio tolewa na Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Balozi Herbert Mrango kwa vyombo vya habari inasema kuwa Mheshimiwa Raisi Kikwete atazindua kivuko hicho Julai 27 mwaka huu. Kivuko hicho chenye uwezo wa kubeba tani 35 ikiwemo magari madogo 4 na abiria 80 kwa pamoja,  kinatoa huduma ya kuvusha magari na abiria katika mto Ruvuvu eneo la Rusumo

Alisema kabla ya ufunguzi wa kivuko hicho, Rais Kikwete ataweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Kigoma-Biharamulo-Lusahunga yenye urfu wa kilometa 154, Julai 26 mwaka huu. “Jumapili tarehe 28 Julai Rais Kikwete ataweka jiwe la msingi katika barabara ya Kyaka-Bugene-Kasumulo yenye urefu wa kilometa 59.1 tukio litakalofanyika katika kijiji cha Omugakorongo” alisema Balozi Mrango.

Alifafanua miradi yote mitatu inagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwamba kutekelezwa kwa miradi hiyo itasaidia sekta ya usafirishaji na kukuza uchumi wa mkoa wa Kagera. Aliongeza kuwa barabara na kivuko hicho vitaimarisha huduma ya usafirishaji katika mkoa huo na kuboresha biashara na usafiri kati ya mkoa huo na mikoa mingine pamoja na nchi za Burundi, Rwanda na Uganda.

vijana nchini washauriwa kujiunga na kambi ya vijana

$
0
0
Na Benedict Liwenga – Maelezo.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fennela Mukangara amewashauri vijana nchini kushiriki  kambi ya Dunia ya vijana inayotarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi huu katika ukumbi wa Milimani City jijini Dar es Salaam.
Waziri Dk. Mukangara ameutoa ushauri huo hivi karibuni wakati akiongea na vijana wa kikundi cha Mambo Safi kilichopo Kata ya Kimara jijini Dar es Salaam.
Alisema kuwa vijana kushiriki kwao katika kambi hiyo kutawawezesha kujifunza mambo mengi ikiwa ni pamoja na utamaduni wa watu kutoka nchini Korea na China pia watakutana na watu kutoka mataifa mbalimbali ambapo wataweza kubadilishana mawazo na hivyo kujengeka kifikra.
“Kambi hii ya vijana ni nzuri kwenu kushiriki kwani mtajifunza mambo ambayo hamkuwa mnayafahamu hapo awali ambayo yatawasaidia katika maisha yenu ninaamini wengi wenu mtashiriki”, alisema Dk. Mukangara.
Kwa upande wake Viola Massawe kutoka  International Youths Fellowship  (IYF) alisema kuwa malengo waliyonayo ni kuwakutanisha vijana 2000 katika maudhui ya badilisha FIKRA kutoka mtazamo hasi kwenda mtazamo chanya pamoja na tamasha la Muziki wa Cantata.
Massawe alisema kuwa mshiriki wa mkutano huo ambaye ni kijana anatakiwa kulipia kiingilio cha  shilingi 10,000/=   kwa gharama hizo atapataT-shirt, kitabu , chakula na malazi kwa muda wa siku tano na  cheti pindi atakapomaliza mafunzo.
“Kutakuwa na hotuba na mafundisho kuhusu elimu ya ufahamu, tamasha la muziki za Gracias kwaya, michezo ya utamaduni ya kimataifa, masomo ya Academy kwa lugha za Kispanish, Kichina, Kirussia, Kikorea, Kiingereza, TAE-KWON-DO na Marathon”, alisema.
Kambi hiyo inaandaliwa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa kushirikiana na International Youths Fellowship  (IYF) itaanza tarehe 29 Julai, hadi tarehe 2Agosti mwaka huu.
Kambi ya vijana imekuwa ikifanyika nchini kuanzia mwaka 2009 kwa mwaka jana vijana 1000 kutoka pande zote za Tanzania waliweza kushiriki huku wengi wao waliweza kuishi maisha mapya kupitia kambi ya IYF  kwa kupewa fikra ya maana na mtazamo chanya juu ya mambo ya maisha yao.

MIILI YA WANAJESHI WA JWTZ YAPOKELEWA ZANZIBAR

$
0
0
 Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakiwa wamebeba jeneza la Sajent Shaibu Shehe Othman aliyeuawa Daafur katika harakati za kulinda amani chini ya Kikosi cha  Umoja wa Mataifa (Unamid) baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Zanzibar.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
 Baadhi ya Wanajeshi wakiwa wamebeba Majeneza ya Maiti za Marehemu Sajent Shaibu Shehe Othman na Koplo Mohamed Juma Aliwaliofariki Daafur katika harakati za kulinda amani chini ya Kikosi cha  Umoja wa Mataifa, mara baada ya kuwasili kiwanja cha ndege cha Zanzibar.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
 Mke wa marehem Sajent Shaibu Shehe Othman mwenye Juba jeusi akiwa ameshikiliwa na ndugu na Askari kutokana huzuni alokuwa nayo mara baada ya kuwasili mwili wa Mume wake.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
=========  =======   =======

Na Ali Issa –Maelezo Zanzibar 22/7/2013

Miili ya Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ waliouawa Darfur wiki iliyopita  Sajent Shaibu Shehe Othuman wa Mpendae na Koplo Mohamed Juma Ali wa Kwarara imekabidhiwa leo kwa familia zao mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Zanzibar.

Marehemu hao wawili wenye Asili ya Zanzibar ni miongoni mwa Askari saba wa JWTZ waliuawa walipokuwa wakilinda amani chini ya Umoja wa Mataifa na Afrika UNAMID,huko Darfur.
Miili ya marehemu hao imewasili majira ya saa 9 alasiri kwa ndege ya JW 90 34 aina ya Boing ikitokea katika Hospitali ya JWTZ Lugalo Jijini Dar es Salaam.

Mara baada ya kuwasili Uwanjani hapo Miili ya Marehem hao ilipokelewa na Katibu mkuu Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Khalid Mohamed Salum akifuatana na Mwenyeji wake Bregedia Jeneral Kamanda wa Bregedi ya Nyuki Sharif Sheikh Othuman Viongozi wa Vyama na Serikali,Wanafamilia pamoja na Wananchi kwa ujumla.

 Aidha huzuni ziliendelea kutanda kwa ndugu na Jamaa waliofika kupokea maiti hizo za Wapiganaji wa Amani ya Dunia chini ya mwenvuli wa UNAMID.

Kwa mujibu wa Taarifa kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Shughuli za Mazishi zitafanyika kesho saa nne za asubuhi  katika makaburi ya Mwanakwerekwe nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Aidha shughuli hiyo ya Mazishi itaambatana na taratibu za kijeshi zitakazofanyika Makaburini hapo.

IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI NA MAELEZO ZANZIBAR

wasanii kutoka nigeria kutumbuiza kwenye tamasha kubwa la muziki na mitindo la boombataa Festival

$
0
0

Wasanii kutoka Nigeria, Panshak Zamani, anayejulikana zaidi kwa jina la Ice Prince(Pichani kulia, pamoja na David Adedeji Adeleke(Pichani chini kabisa), wanatarajia kuwa wasanii wakubwa watakaoitikisa Kenya mwishoni mwa wiki hii katika tamasha kubwa la muziki na mitindo linalojulikana kwa jina la Boombataa Festival.


Wasanii pekee kutoka kernya watakaoshiriki tamasha hilo ambalo ni la kwanza kufanyika, ni Victoria Kimani, Sound Afrique Band na Sauti Sol, huku wasanii wengine wakubwa watakaoonekana katika tamasha hilo wakitajwa kuwa ni Monster Djs na Purpl Dj.

Kampuni ya Adrenaline, ambao ni waandaaji wa tamasha hilo wameiambia mwananchi kwamba litakuwa tamasha la mfano kwa Afrika Mashariki nzima na linatarajia kuvuta maelfu ya watu kuhudhuria kutokana na kuleta wasanii wakubwa na wa kimataifa.

Ice Prince anayetamba na nyimbo kama Oleku, Olofofo, Superstar na Baby anatarajia kufanya onesho lake la kwanza nchini Kenya tarehe 27 ya mwezi huu ambapo ataambatana na mwanamuziki mwenzake Davido ambaye pia anajulikana kupitia wimbo wake mpya wa Gobe, uliovunja rekodi ya kuangaliwa mara milioni moja kwa dakika 25, ulipowekwa kwenye mtandao wa Youtube.

Homa ya kuwasili kwa wasanii hao imesababisha wasanii kutoka kenya kupania tamasha hilo huku dhamira ikiwa kuwafunika wanigeria hao wanaotamba katika medani ya muziki duniani kote ambapo SautiSol, wamekuwa waki’twee’ mara kwa mara kuongelea jinsi watakavyoonesha maajabu katika tamasha hilo.

Tamasha hilo kubwa na la kimataifa linatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Ngong Race Course.

NBC KUPITIA HUDUMA YA ISLAMIC BANKING YAWAFUTURISHA WATEJA WAKE

$
0
0
  Naibu Waziri wa Fedha, Bi. Saada Mkuya Salum (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Bi. Mizinga Melu (kushoto kwake) wakichukua mlo wa futari pamoja na baadhi ya wateja wa benki hiyo katika hafla ya futari iliyoandaliwa na NBC kwa wateja wake jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Naibu Waziri wa Fedha, Bi. Saada Mkuya Salum (kushoto) akizungumza na Mjumbe wa Bodi ya Benki ya NBC, Dk Kassim Hussein (kulia) wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na NBC kwa wateja wake jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Bi. Mizinga Melu na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Bi. Mwinda Kiula Mfugale.
 Mkuu wa Huduma za Kibenki kwa kufuata kanuni za Kiislamu wa Benki ya NBC, Yassir Masoud (wa pili kushoto) pamoja na baadhi ya wateja wa benki hiyo, wakichukua mlo wa futari katika hafla ya futari iliyoandaliwa na NBC kwa wateja wake jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Bi. Mizinga Melu (kulia) akimsilikiliza Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Bi. Mwinda Kiula Mfugale (kushoto) katika wakati wa hafla hiyo
 Mkuu wa Huduma za Kibenki kwa kufuata kanuni za Kiislamu wa Benki ya NBC, Yassir Masoud (katikati) akiteta jambo na Meneja Uhusiano wa benki hiyo, Eddie Mhina wakati wa hafla ya futari waliyoiandaa kwa wateja wao jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mjumbe wa Bodi ya NBC, Dk. Kassim Hussein.
Baadhi ya wateja wa benki ya NBC, wakila futari waliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

SWAHILI TV PAPO KWA PAPO NA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI MAREKANI BAADA YA KUPOKELEWA NA OBAMA

$
0
0

Na Swahili TV
Mhe. Balozi Liberata Mulamula ametoa kauli ya kuwaunganisha watanzania wote, amesema kamwe hatoruhusu tofauti na makundi katika jamii za kitanzania. Ameyazungumza hayo katika papo kwa hapo ya Swahili TV.

Balozi za EU nchini zinasumbua watanzania kwa upatikanaji wa VISA za Safari!

$
0
0
Watanzania Wanasumbuliwa Sana na balozi za EU hapa nchini!Juu ya upatikanaji wa VISA za safari

Imebainika kuwa balozi za  nchi za ulaya zilizopo hapa nchini,zikiwemo
balozi za Ujerumani,Ubelgiji,Netherland na nyinginezo,Zimekuwa zikiwasumbua sana raia wa Tanzania wanaohitaji Visa za kusafaria kwenda katika nchi za ulaya.
 
Pamoja na watanzania wanatimiza masharti yote yanayohitajika katika kuomba Visa lakini balozi hizo zimekuwa bado zikiwawekea vikwazo visivyo
katika sheria za maombi ya Visa.mfano mtanzania anapo omba Visa ubalozini atapeleka barua ya mwaliko na bima,pamoja na benk statment,
barua ya kazini,pay insleep za mishaara.
 
Heti bado afisa balozi anadai barua ingine itoke kwa mwenyeji kuonyesha
milijuana vipi? na mgeni mtanzania!Kwa kweli hakuna uhusiano mzuri katika ya raia na maofisa wa visa wa balozi za EU nchini Tanzania.
 
Watanzania wanapoomba Visa wanasumbuliwa sana sana za ulaya hapa nchini.Serikali inaweza kuwa na uhusiano mzuri na balozi hizo lakini raia wa Tanzania hawathaminiwi kabisa na balozi za EU hapa tanzania

Rais Kikwete afuturisha Viongozi Dar Es Salaam

$
0
0
Mjumbe wa NEC Phares Magesa kushoto na Mbunge wa Kigamboni Mhe. Faustine Ndugulile kulia wakiwa Ikulu jijini Dar Es Salaam wakati wa futari iliyoandaliwa na Mhe. Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya Viongozi mbalimbali wa mkoa wa DSM. Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

Barclays Bank Tanzania yashirikiana na Nkwamira Sustainable life trust kusaidia vijana

$
0
0
Barclays Bank Tanzania leo imekabidhi hundi yenye thamani ya shillingi Millioni 120 kwa shirika lisilo la kiserikali lijukanalo kama Nkwamira sustainable life Trust ili kuweza kusaidia vijana waishio mitaani bila elimu au kazi.

Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-salaam leo,Meneja wa mawasiliano na huduma za jamii wa Barclays Bank Tanzania Bi. Tunu Kavishe alisema “ utaratibu huu uliowekwa kati ya Nkwamira na Barclays utafanyika katika mikoa miwili ambayo ni Dar-es-salaam na Morogoro na itawapa vijana fursa wenye umri kati ya miaka 15 hadi 35 kuweza kupata nafasi za kujiendeleza kwa kupitia mafunzo ambayo yatagusa mada mbali mbali kama vile ukosefu wa ajira, uwezo wa kuwa wajasiriamali na kuweza kuendesha biashara zao pamoja na mafunzo ya kifedha.

Aliongeza “ mpango huu utawashirikisha vijana 60 kwa mkoa wa Dar-es-salaam na vijana 40 kwa mkoa wa Morogoro kupitia mitihani mbalimbali ambayo itaendeshwa na wataalamu wa biashara na fedha kutoka vyuo vikuu vya Tanzania. Wataalamu hao watawachuja vijana hao mpaka watakapopatikana washindi wawili.

Akiongea kwa niaba ya Nkwamira sustainable life trust, Mkurugenzi wa shirika hilo Bi. Noreen Mazalla alisema “ msaada ambao Barclays wameweza kutupatia ili kuendeleza vijana ni mkubwa na utaenda mbali sana kuwasaida vijana hawa, tunaahidi kuuendeleza vizuri na kuweza kupata vijana ambao wataweza kuutumia msaada huu vizuri”.

Barclays kupitia mpango wake wa kusaidia jamii unaangalia vijana waishio mitaani wasiokuwa na uwezo wa kujiendeleza kielimu au kupata kazi kutokana na kutokuwa na elimu.

Isere sports yatoa jezi kwa timu ya Kilwa Masoko

$
0
0
Mkurugenzi wa masoko wa Kampuni ya Isere Sports inayoshuhulika na uagizaji na uuzaji wa vifaa vya michezo,Abbas Isere (kulia) akimkabidhi jezi Katibu Mipango wa timu ya Fresh Niga ya Kilwa Masoko ,Maulid Mtika maarufu Milulu zenye thamani ya Sh. 350,000.
Isere sports yatoa jezi kwa timu ya Kilwa Masoko

KAMPUNI ya Vifaa vya michezo, Isere Sports imetoa jezi seti moja yenye thamani ya sh. 350,000 kwa timu ya Fresh Niga ya Kilwa Masoko inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu wilaya ya Kilwa.

Katibu Mipango wa timu ya Fresh Niga, Maulid Mtika akipokea jezi hizo jana alisema msaada huo ni mfano wa kuigwa na wafanyabiashara wengine wenye uwezo wa kusaidia kuibua vipaji vya vijana kwenye soka.

Mtika ambaye ni maarufu kwa jina la Milulu alisema imefika wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) litafute njia ili lishuke mpaka ngazi ya wilaya kujua matatizo yanawakabili timu ili kutafuta vipaji vya wachezaji watakaochukua nafasi ya waliopo Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars).

'Tunao vijana wenye vipaji vya kucheza soka kufikia ngazi ya timu ya taifa, kinachowanyima nafasi ya kuonekana ni vifaa vya michezo tunaomba TFF ishuke mpaka ngazi ya wilaya kuwasaidia vijana kukuza vipaji.

Alitoa wito kwa wadau wa michezo kujitokeza kusaidia timu ambazo hazina wafadhili lakini kuna vijana ambao wako tayari kuonesha vipaji vyao
Mkurugenzi wa Masoko wa Isere Sports, Abbas Isere alisema jana kuwa msaada huo ameutoa ili kukuza vipaji vya soka katika wilaya hiyo ambao wanahitaji misaada kama hiyo ili kuendeleza vipaji.

MADIWANI WALIA NA WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA

$
0
0
Na James Festo, Makete

Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya makete wamelalamikia utendaji mbovu wa watendaji  wa vijiji na kata ambapo zaidi ya watendaji ishirini waliopo  katika kata ishirini na mbili  wamedaiwa kujihusisha na unywaji pombe hali inayopelekea kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

Wakitaja majina ya watendaji  na hali  utendaji wao wa kazi  madiwani  katika kikao cha robo ya nne  ya mwaka 2012/2013   wamasema kuwa pamoja na upungufu  wa watumishi   hao   lakini waliopo wana matatizo mbalimbali  yakiwemo ulevi na utoro wa kuto kukaa katika vituo vyao vya kazi hadi kusababisha kushindwa kukusanya mapato na kuiingizia hasara  halmashauri hiyo.

Pia katika baraza hilo wakiendelea kutoa malalamiko hayo wamesema kuwa katika kata zao kuna upungufu wa watumishi hao ishirini na moja  na watumishi wengine waliopungufu ni maafisa mifugo na  kilimo.

kwa upande wake mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Makete Bw Idd Nganya amekiri kuwepo kwa upungufu huo  na kusema kuwa  uuondoshwaji wa watumishi hao bila taarifa katika sehemu zao za kazi bila taarifa kwa baadhi ya viongozi  wakiwemo madiwani katika kata zao hilo ni jukumu la halmashauri

'kumuondoa mtumishi wa serikali katika sehemu moja hadi nyingine hilo lisiwatie hofu kwa sababu hata anakokwenda anaenda kuwajibika nimemuona diwani wa kata ya bulongwa analiongelea' alisema Nganya

Pia mkurugenzi mtendaji huyo  amewataka madiwani hao  kuacha tabia ya kuwakataa baadhi ya viongozi  wakiwemo wanaohamishwa kutokana na matatizo wanayokutwa nayo katika  vituo vyao vya awali.

Aidha Baraza hilo lililoishia hapo jana   limepitisha waraka wa kuwafukuza kazi watumishi nane wa sekta mbalimbali wakiongozwa na wauuguzi  na maafisa ugani kutokana na tatizo la utoro wa muda mrefu

Baraza hilo pia limemchagua Aliyekuwa Makamu mwenyekiti wa Halmashauri Jison John mbalizi kuendelea kushikiria wadhifa huo sambamba na uchaguzi wa kamati mbili na wenyeviti wao.

PCI announcing various vacancies for positioned based in Mwanza, Bunda and Musoma

$
0
0
PCI is a non-profit organization dedicated to preventing disease, improving community health, and promoting sustainable development worldwide. PCI Tanzania is concluding the initial phase of Food for Education (FFE) three years program in Mara region. In partnership with Bunda and Musoma Rural District Councils, and with support from the United States Department of Agriculture (USDA), PCI will implement an expanded, follow-on 3-year program (2013-2016).

PCI is now announcing various vacancies for positioned based in Mwanza, Bunda and Musoma.

1.    Senior Program Manager (1) – Musoma
Senior Program Manager will provide overall program management and leadership for the FFE program to oversee timely, cost-effective, and high quality implementation of program activities and achievement of program objectives.
Qualifications and Experience
·         Master’s degree in community or integrated development, public health, social sciences, or relevant advanced degree in the field of development preferred.
·         Minimum of 10 years relevant professional experience in designing, implementing, and managing international development projects, including demonstrated experience in senior leadership positions on these projects.  Direct experience with food aid programs desired
·         Strong understanding and up-to-date technical knowledge in three or more fields of: Primary Education, Agriculture, Health Promotion, WASH, Economic Empowerment, Child Rights & Protection, HIV/AIDS.  Strong understanding of national and international development issues in particular relating to children.  Working knowledge of food aid programming and commodity management a plus.
·         Substantial experience and knowledge of effective financial management, budget execution, and internal controls. Demonstrated experience managing and developing a team and ability to lead, motivate and develop others.  Demonstrated knowledge and skills in program design, monitoring and evaluation (theory and practice) desired; experience applying this to a research project is also desirable. Demonstrated experience interacting with government officials and community-based stakeholders; Excellent project management skills; Strong computer skills (MS Office) Excellent English skills (verbal and written);
2.    Senior Finance Officer (1) – Mwanza
The Senior Finance Officer supports the Finance Director (FD) in providing strategic financial management leadership for PCI, and ensures compliance with policies and procedures.  He/she will support the FD to ensure routine monthly finance schedules and reporting deadlines are met.  Through high-level analysis of past spending and projections, Senior Finance Officer provides key input and recommendations to the Senior Program Manager in the development of new budgets as well as the effective management of current programs.
Qualifications and Experience
·         Bachelor Degree in Accounting, Financial Management, or related field; and/or Chartered Accountant or Certified Public Accountant
·         5 years of experience in positions of increasing responsibility in financial management and accounting
·         Recognized and member of the Accountancy & Auditing governing body. Thorough knowledge of USG rules and regulations preferred. Creativity, Adaptability.
·         Demonstrated concrete decision-making and judgment. Demonstrated effective and efficient problem solving skills. Proficient in use of accounting software, preferably ACCPAC. Demonstrated ability to build a strong team.
·         Excellent English skills (verbal and written);

3.    Site Coordinator (2) – Musoma and Bunda
Site Coordinators will be responsible to plan, organize and manage all site-level operations through coordination with technical coordinators, and direct supervision of program and administrative staff in the achievement of PCI program goals and objectives.
Qualifications and Experience
·         Bachelor’s degree in community or integrated development, public health, social sciences; relevant advanced degree development, or business and administration preferred.
·         5-8 years’ experience in managing development programming, or other relevant senior management experience.
·         Knowledge and experience in performance based management, and some technical knowledge in one or more of the following areas Primary Education, Agriculture, Health and Nutrition, or WASH.
·         Substantial experience and knowledge of effective financial management, budget execution, and internal controls. Demonstrated experience managing and developing a team and ability to lead, motivate and develop others.  Demonstrated experience interacting with government officials and community-based stakeholders; Excellent project management skills; Strong computer skills (MS Office)
·         Excellent English skills (verbal and written);


4.    Agriculture Coordinator (1) –Musoma
This position will facilitate designing of program interventions and coordinate implementation of activities to promote education quality and sustainable school feeding through agricultural approaches including: establish school gardens using improved agricultural techniques; develop partnerships with farmer groups; strengthen agricultural extension network; and strengthen capacity of partners and stakeholders.
Qualifications and Experience
·         Masters degree in agricultural science or agricultural economics (smallholder production, value chain development, and/or related natural resource management technical areas)
·         5 years experience in managing or providing technical support to agricultural production and marketing development programming.
·         Strong understanding and up-to-date technical knowledge the field of agricultural production and marketing.  Technical ability in designing or adapting agricultural related curriculum and skills in training facilitation and training of trainers.
·         Demonstrated experience interacting with government officials and community-based stakeholders; Excellent project management skills; Strong computer skills (MS Office). Excellent English skills (verbal and written)

5.    Health Coordinator (1) – Musoma
This position will facilitate designing of program interventions and coordinate implementation of activities to promote health through school and community-based approaches including: establish school based health screening and evaluate effectiveness through operations research; promote health education through child-friendly approaches in the areas of malaria, HIV/AIDS, sexual and reproductive health, life skills, and hygiene promotion; and strengthen capacity of partners and stakeholders.
Qualifications and Experience
·         Master degree or equivalent, MD, Master of Public Health/Nutrition/social sciences or other related field, RN, or RD desirable. Experience managing community health continuing education programs
·         5 years’ experience in managing or providing technical support to community-level public health and nutrition programming.
·         Strong understanding and up-to-date technical knowledge the field of public health and nutrition.  Technical ability in designing or adapting public health and nutrition related curriculum and skills in training facilitation and training of trainers.
·         Demonstrated experience interacting with government officials and community-based stakeholders; excellent project management skills; Strong computer skills (MS Office); Working knowledge of monitoring and evaluation procedures and processes.
·         Excellent English skills (verbal and written)

6.    WASH (Water, Hygiene & Sanitation) Engineer (Musoma)
This position will facilitate designing of program interventions and coordinate implementation of activities to increase access to improved sanitation and clean water through: construction of school latrines and water points in collaboration with communities; establishment of community-based WASH operations and maintenance committees; building capacity of partners and stakeholders and to supervise and oversee third party contractor in implementation of construction activities.
Qualifications and Experience
·         Engineer/Master degree or equivalent in water and sanitation or similar domains
·         5 years experience in managing or providing technical support to community-level water and sanitation development programming.
·         Excellent knowledge in WASH norms, including GoT and SPHERE standards in water and sanitation.
·         Demonstrated experience interacting with government officials and community-based stakeholders; Excellent project management skills; Strong computer skills (MS Office); Working knowledge of monitoring and evaluation procedures and processes
·         Excellent English skills (verbal and written)

7.    Education Coordinator (1) – Musoma
This position will facilitate designing of program interventions and coordinate implementation of activities to improve the quality of education through effective approaches including: strengthen technical and administrative capacity of teachers and school administrators; increase availability of school supplies and textbooks; pilot innovative approaches to engage out-of-school girls and evaluate effectiveness through operations research; build capacity of partners and stakeholders.  To supervise and oversee local implementing partner in implementation of literacy-promotion activities including establishment of school libraries; production and distribution of local reading materials; and literacy promotion skills for teachers and pupils.
Qualifications and Experience
·         Master degree or equivalent in education. Experience managing educational support (teacher training) or continuing education programs.
·         5 years experience in managing or providing technical support to education and/or development programming.
·         Strong understanding and up-to-date technical knowledge the education field.  Technical ability in designing or adapting education and teacher-training related curriculum, and skills in facilitation and training of trainers.
·         Demonstrated experience interacting with government officials and community-based stakeholders; Excellent project management skills; Strong computer skills (MS Office); Working knowledge of monitoring and evaluation procedures and processes.
·         Excellent English skills (verbal and written)

8.    GROW Coordinator (1) – Musoma
This position will facilitate designing of program interventions and coordinate implementation of activities to promote economic and social empowerment of vulnerable households through PCI’s GROW savings and loan model including:  identify most vulnerable households through participatory approaches and organize self-help groups; coordinate TOTs and trainings to disseminate GROW methodology to group level; provide ongoing technical support to self-help groups; build capacity of partners and stakeholders.  To supervise GROW Community Mobilizers in implementation of activities at community level.

Qualifications and Experience
·         Masters in international development, business administration/management or economics or other related degree preferred (or equivalent in field experience)
·         5 years’ experience in managing or providing technical support to community-level savings and loans group programming. Experience implementing gender sensitive, socio-economic programming or managing economic development or livelihoods programs
·         Strong understanding and up-to-date technical knowledge of best practices in the village savings and loan field.  Technical ability in designing or adapting village savings and loan related curriculum. Substantial experience using and including participatory approaches in program implementation, including facilitation skills (and training of trainers)
·         Demonstrated experience interacting with government officials and community-based stakeholders; Excellent project management skills; Strong computer skills (MS Office); Working knowledge of monitoring and evaluation procedures and processes.
·         Excellent English skills (verbal and written)

9.    GROW Community Mobilizer (3) - 2 in Musoma; 1 in Bunda
This position will mobilize community awareness, buy-in, active participation, and contribution of time and in-kind resources through participatory and community-centered approaches in order to establish supportive environment to carry out program interventions at the community level.  To coordinate implementation of program activities at the community level; monitor progress and support efficient and accurate data collection; facilitate collective problem solving; promote quality assurance; strengthen linkages and information exchange between program staff, stakeholders and beneficiaries.

Qualifications and Experience
·         Bachelor’s degree in Business administration, social sciences or other relevant discipline.
·         2-3 years experience in managing partnerships and experience in organizational capacity building
·         Substantial experience using and including participatory approaches in program implementation, including facilitation skills (and training of trainers)
·         Experience in conducting training of training and ability to work on her/his own with minimum supervision
·         Computer skills (MS Office);
10.Commodity Logistics & School Feeding Coordinator (1) ( Bunda or Musoma)
This position will develop commodity management systems and coordinate logistics for commodity distributions from central warehouse to rural program sites including dispatch, transport and delivery.  To design program interventions and coordinate implementation of activities to support school feeding activities at the school level including stakeholder buy-in and active participation.  To oversee collection, analysis, and reporting of commodity and school feeding related data. To supervise Food Monitors in end use monitoring and stakeholder engagement at the school level. To oversee activities of the Warehouse Manager and Truck Drivers to ensure efficient operations and transport.

Qualifications and Experience
·         Bachelor degree in Logistics or Advanced diploma in material management  or equivalent
·         At least 5 years continuing experience in logistics activities
·         Commodity logistics systems and software management experience and skill.
·         Planning and supervision of logistics activities in large and complex operations. Work with USG (USAID or USDA) commodity programs preferred.
·         Knowledge of ERP and other web based management system is an added advantage

11.Food Monitor (4) (2 in Musoma; 2 in Bunda)Objective of the Position:       
Food Monitors will coordinate and monitor commodity management and logistics systems at the school level to ensure efficient delivery of commodities; safe and hygienic storage and handling; equitable and accountable distribution to the end user; and timely and accurate records and reporting at the school level.  To ensure all relevant stakeholders at the community level are engaged, informed, and trained to manage commodities and implementation of school feeding activities at the school level.
Qualifications and Experience
·         Diploma in Community development, Rural development or Social work
·          2-3 years experience of working with the community in development or humanitarian assistance projects, with a strong preference for experience in food aid programming
·         Commodity management software and systems skills.
·         Have worked at supervisory level or food monitor or trainer
·         Experience of working with INGO in Food Aid projects is an added advantage

12.Procurement Officer (1) (Mwanza)
This position will provide oversight and management of the procurement for the country office through timely planning, application of donor and PCI policies in acquisition of reliable, cost-effective, high quality products and services for the successful achievement of program.
Qualifications and Experience
·         Bachelor Degree in Logistics & procurement management or Advanced Diploma in Materials Management or Bachelor Degree in Business Administration (BBA)
·         Minimum 5 years’ experience in procurement management with an international non-governmental organization.
·         Certificate recognized by the professional materials management governing body (NBMM) and certificate in Supply Chain Management or equivalent.
·         High level of individual initiative, planning and good judgment
·         Demonstrated ability to make judgment and decision with respect to procurement within delegated authority.
·         Demonstrated ability to maintain confidentiality and handle sensitive information.
·         Thorough knowledge of USG federal rules and regulations related to procurement.
·         Personal integrity and excellent communication skills
·         Concentration, accuracy and attention to details are required.

13.HR Assistant (1) - Mwanza    
The Human Resources Assistant will assist with the administration of the day-to-day operations of the human resources section. This position plays a critical role in creating and maintaining employee records in extreme confidentiality including  tracking of departmental and organization measurements that support the accomplishment of the organization’s strategic goals.
Qualifications and Experience
·         Diploma in HR management/University certificate in HR Management
·         3 years relevant professional experience
·         HR Management
·         Excellent computer skills, including Word and Excel in a Microsoft Windows environment, Effective oral and written communication skills, General knowledge of various employment laws and practices, Experience in administration of benefits and other HR programs, Excellent interpersonal skills, Skills in database management and record keeping, Able to exhibit a high level of confidentiality, Excellent organizational skills and must be able to gather and analyze information skillfully.
·         Excellent English skills (verbal and written)
14.M&E Officer (Musoma)
This position will develop and oversee implementation of monitoring and evaluation plan, including systems and tools for data collection, analysis, verification and reporting, in collaboration with program staff and relevant stakeholders.  To provide regular feedback on progress against targets to inform achieve intended program outputs and outcomes.  To build capacity of program staff and stakeholders to implement M&E activities and integrate timely and accurate project data to enhance program planning and decision making.
Qualifications and Experience
·         Bachelor's degree in related field, or six years related experience and/or training; or equivalent combination of education and experience.
·         3-5 years of monitoring and evaluation experience.
·         Strong understanding and up-to-date technical knowledge of best practices in monitoring and evaluation.  Knowledge and experience in mobile phone technology platforms preferred.
·         Excellent project management skills, and ability to work independently and meet deadlines; Strong computer skills (MS Office);
·         Excellent English skills (verbal and written)

15.Warehouse Assistant/Clerk (1) – Musoma/Bunda
This position will carry out Warehouse clerical activities and physical supervision of stevedores during Warehouse operations.
Qualifications and Experience
·         Diploma in materials management or equivalent
·         More than 5 years continuing experience in supporting large and complex operations.
·         Stores /Warehouse Management
·         Stores and Warehouse management at supervisory level
·         Knowledge of computerized stores management program /software is an added advantage

16.Driver – Passenger Vehicle (2) (Musoma)
This position will drive PCI Vehicles in Town and to the Field while strictly observing Local Laws and PCI Policy and Regulations relative to the use of the PCI Vehicles including facilitate planned maintenance, routine service and minor repairs to the assigned Vehicle.
Qualifications and Experience
·         Secondary School Education Level
·         Advanced Driver’s Certificate Grade Two from the National Institute of Transport (NIT) or Vocational Education Training Authority (VETA)
·         Advanced Driver’s Certificate Grade One from the National Institute of Transport (NIT) or Vocational Education Training Authority (VETA) as an added advantage
·         Certificate of Motor Vehicle Mechanics Grade II as an added advantage
·         Valid and accident-free Class C Tanzania Driver’s License
·         Ability to speak and write in both English and Kiswahili
·         At least three years’ work experience in Vehicle Driving and Mechanics with other International NGOs or similar Organizations
17.Truck Driver (2) (Musoma/Bunda)
In compliance with applicable regional, state and local laws and regulations as well as PCI policies and procedures this position will drive PCI owned trucks (5 – 7tons) for transportation of various materials in a safe and timely manner including to facilitate planned maintenance routine services and minor repairs to the assigned truck..
Qualifications and Experience
  • Certificate of secondary School O Level
  • Advanced Driver’s Certificate Grade Two from the National Institute of Transport (NIT) or Vocational Education Training Authority (VETA)
  • NIT VIP course Certificate Grade II, VETA Certificate of Heavy duty Tracks, Also knowledge of computer operation, Repair and user.
  • Advanced Driver’s Certificate Grade One from the National Institute of Transport (NIT) or Vocational Education Training Authority (VETA) as an added advantage
  • Certificate of Motor Vehicle Mechanics Grade II as an added advantage
  • Valid and accident-free Class C Tanzania Driver’s License
  • Ability to speak and write in both English and Kiswahili.
  • At least three years’ work experience in Vehicle Driving and Mechanics with other International NGOs or similar Organizations
  • Know how to adjust the weight of your load between axles to comply with weight limitations and how to plan trips so you meet delivery schedules after waiting hours for a load.
HOW TO APPLY:

Qualified candidates should e-mail a cover letter, CV, availability, and salary expectations to info@pcitanzania.org. Interested candidates can also request additional information on key areas of responsibilities for a respective position to info@pcitanzania.org. Kindly include the desired position in the subject header for when requesting information or submitting the application through e-mail.

Or, candidates may hand-deliver or mail applications to:

The Country Director
PCI Tanzania
Isamilo, Plot 140, Block D
P.O. Box 2540
Mwanza, Tanzania

DEADLINE:

Deadline for all applications is July 31, 2013
PCI is an Equal Opportunity Employer.


Dissuade
Persuade
Antonym
Emulate
Subsides

MFUMO MPYA WA USAJILI WA VIZAZI NA VIFO KUPITIA MKAKATI WA USAJILI WA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO WAZINDULIWA JIJINI MBEYA LEO

$
0
0
 
Picha ya pamoja mara baada ya  kuuzinduwa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 bure jijini Mbeya,hafla hiyo inayoratibiwa na RITA,imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,mkoani Mbeya.Mpango huo umefadhiriwa na mashirika mbalimbali likwemo shirika la UNICEF,DFTDA (iliyokuwa CIDA Canada zamani) pamoja na Shirika la Wafanyakazi la kujitolea (VSO).
 Naibu Waziri wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki akizindua mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,mkoani Mbeya,kulia kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Philip Saliboko na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini,Dkt.Norman Sigalla na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa bodi ya Ushauri RITA,Bwa.Vincent Mrisho na wageni mbambali wakilishuhudia tukio hilo adhimu kabisa.Shughuli nzima inaratibiwa na RITA.
Mgeni Rasmi,  Naibu Waziri wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki akimkabidhi mmoja wa akina mama aliyejitambulisha kwa jina la Fides Samson akikabidhiwa cheti cha kuzaliwa cha mtoto wake mwenye umri chini ya miaka 5,mara baada ya kuzindua mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,mkoani Mbeya.Mpango huo umefadhiriwa na mashirika mbalimbali likwemo shirika la UNICEF,DFTDA (iliyokuwa CIDA Canada zamani) pamoja na Shirika la Wafanyakazi la kujitolea (VSO).
 Baadhi ya akina mama wakiwa na vyeti vya kuzawaliwa vya watoto wao wanye zaidi ya wiki mbili tangu kuzaliwa kwao,mara baada ya kabidhiwa leo na Mgeni Rasmi,  Naibu Waziri wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki mara baada ya kuuzindua mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 bure jijini Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,mkoani Mbeya.Mpango huo umefadhiriwa na mashirika mbalimbali likwemo shirika la UNICEF,DFTDA (iliyokuwa CIDA Canada zamani) pamoja na Shirika la Wafanyakazi la kujitolea (VSO).
 Mgeni rasmi, Naibu Waziri wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki akizungumza mbele ya wakazi wa mji wa Mbeya (hawapo pichani) mapema leo wakati alipokuwa akizindua mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.
 Baadhi ya Wakazi wa jijini Mbeya wakiwa wamekusanyika kwenye uwanja wa Ruanda Nzovwe mapema leo wakati  wa uzinduzi wa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.
Mwakilishi Mkazi wa shirika la UNICEF hapa nchini,Dkt.Jamal Gulaid  akizungumza mbele ya wakazi wa mji wa Mbeya (hawapo pichani) mapema leo wakati wa uzinduzi wa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.
 Baadhi ya akina mama na watoto wao wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakijiri kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo inayoratibiwa na RITA imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.
 Baadhi ya  Wageni waalikwa na wawakilishi kutoka mashirika mbalimbali ya Kimataifa wakifuatilia  uzinduzi wa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.
 Mwenyekiti wa bodi ya Ushauri RITA,Bwa.Vincent Mrisho akifafanua jambo kwa Baadhi ya Wakazi wa jijini la Mbeya  (hawapo pichani) kuhusiana na uzinduzi wa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.Aidha Bwa.Mrisho aliongeza kuwa mkakati huo hauwalengi watoto walio chini ya miaka mitano tu bali ni sehemu ya mfumo mpya wenye lengo la kuwapa nafasi wananchi  walio zaidi ya miaka mitano kujisajili na kupata vyeti vya kuzaliwa.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini,Dkt.Norman Sigalla (pichani kati) akiwa na Mgeni Rasmi pichani kushoto,Naibu Waziri wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki mara alipokuwa akiwasili kwenye uwanja wa Ruanda Nzovwe jijini Mbeya kwa ajili ya kuuzindua mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 bure jijini Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,mkoani Mbeya.Mpango huo umefadhiriwa na mashirika mbalimbali likwemo shirika la UNICEF,DFTDA (iliyokuwa CIDA Canada zamani) pamoja na Shirika la Wafanyakazi la kujitolea (VSO).
Viewing all 46334 articles
Browse latest View live




Latest Images