Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46205 articles
Browse latest View live

WAZIRI MWAKYEMBE APOKEA MILIONI 12 MCHANGO WA SERENGETI BOYS

0
0
Na Shamimu Nyaki-WHUSM.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amepokea jumla ya shilingi 12,000,000 kutoka kwa Kampuni ya Multi Choice, Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa ajili ya kuisaidia timu ya Serengeti Boys.

Dkt. Mwakyembe amezipokea fedha hizo leo Jijini Dar es Salaam mbele ya waandishi wa habari na kuahidi kutoa taarifa ya kiasi cha fedha zilizochangwa na wadau mbalimbali mwishoni mwa mwezi huu.

“Nawashukuru wadau wote wanaoendelea kuichangia timu yetu ya Serengeti Boys, leo nimepokea shilingi 10,000,000 kutoka Kampuni ya Mult Choice, shilingi 1,000,000 kutoka MISA TAN pamoja na shilingi 1,000,000 kutoka TAKUKURU”, alisema Dkt. Mwakyembe.

Ameongeza kuwa timu imeanza mashindano hayo vizuri japokuwa wametoka bila kufungana na timu ya Taifa ya Mali ambayo ndio mabingwa watetezi wa kombe hilo.

Aidha, ameahidi kuwa mchezo dhidi ya Timu ya Serengeti Boys na Timu ya Angola itakayochezwa Mei 18 mwaka huu itarushwa moja kwa moja kupitia Televisheni ya Taifa (TBC).

Kwa upande wake Mwenyekiti wa MISA TAN, Salome Kitomari amesema kuwa waandishi wa habari wameamua kuisaidia timu hiyo sio kwa kutumia kalamu zao kuwatangaza katika vyombo vya habari tu bali imeamua kuwasaidia kwa kuwachangia fedha.

“Tumeamua kuichangia timu yetu ili tuwape moyo zaidi wa kufanya vizuri kwani wameonesha jitihada katika mchezo wa mpira wa miguu,” alisema Bi. Salome. 


Article 3

0
0

BENKI YA CBA YAZINDUA HUDUMA MPYA YA KUWAFATA WATEJA WAKE WALIPO

0
0
Mkurugenzi wa Bank ya biashara Africa CBA Gift Shoko akizungumza hivi karibuni jijini Arusha katika hafla ya uzinduzi wa huduma ya kuwahudumia wateja kibinafsi (private banking) kwa kuwafuata wateja wake walipo tofauti na mfumo uliozoeleka wa wateja kufuata bank(Habari Picha na Pamela Mollel blog)
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi CBA N.Kitomari akizungumza katika uzinduzi huo hivi karibuni jijini Arusha katika hafla ya uzinduzi wa huduma mpya kwa wateja binafsi (private banking) kwa kuwafuata wateja wake walipo tofauti na mfumo uliozoeleka wa wateja kufuata bank 
Julius Konyani Mkuu wa kitengo cha wateja binafsikatika benki ya CBA akizungumza jambo katika hafla ya uzinduzi wa hudum mpya kwa wateja binafsi (private banking) kwa kuwafuata wateja wake walipo tofauti na mfumo uliozoeleka wa wateja kufuata bank 
Mkurugenzi wa Bank ya biashara Africa CBA Gift Shoko akimkabidhi moja ya wateja wa benki hiyo zawadi
Huduma mpya ya kuwahudumia wateja kibinafsi (private banking) kwa kuwafuata wateja wake walipo tofauti na mfumo uliozoeleka wa wateja kufuata bank ikiwa imazinduliwa rasmi 
Julius Konyani Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi akimkabidhi zawadi moja ya wateja wa benki hiyo katika uzinduzi wa huduma mpya ya kuwahudumia wateja kibinafsi (private banking) kwa kuwafuata wateja wake walipo tofauti na mfumo uliozoeleka wa wateja kufuata bank 
Mkurugenzi wa Bank ya biashara Africa CBA Gift Shoko kulia akiteta jambo na Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi CBA N.Kitomari 
Kushoto ni mkuu wa kitengo ,anayeshughulikia maswala ya benki na uuzaji kwa watu binafsi,anayefatia ni Solomon Kawiche mkuu wa kitengo cha masoko CBA,alevalia shati la kitenge ni mkuu wa kitengo cha sheria CBA ,Wapili kulia ni Julius Konyani Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi na Mussa Kitambi Mkuu wa kitengo cha mashirika na makampuni wakiwa katika picha ya pamoja 
Kulia ni mkuu wa idara ya masoko kampuni ya Smile Mkoani Arusha Veronica Martine pamoja Queen Siraki wa Benki ya CBA
Waalikwa wakichukua baadhi ya matukio yaliyokuwa yakijiri katika uzinduzi huo
Waalikwa wakiwa katika nyuso za furaha
Wadau wakipata msosi ulioandaliwa na benki ya CBA
Mc maarufu jijini Arusha ambaye ndiye alikuwa mwongozaji wa shughuli hiyo ya uzinduzi akisisitiza jambo

Bank ya biashara Africa CBA imeanzisha huduma ya kuwahudumia wateja kibinafsi (private banking) kwa kuwafuata wateja wake walipo tofauti na mfumo uliozoeleka wa wateja kufuata bank.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo hivi karibuni jijini Arusha mkurugenzi wa Bank hiyo Gift Shoko alisema lengo la kianzisha huduma hiyo ni kutoa fursa kwa watu wote kuchangia pato la taifa.

"Hivi sasa kuna watu wanakosa muda wa kwenda Bank kupanga foleni kutokana na majukumu mbalimbali, hivyo kuwepo kwa huduma hii kutawarahisishia kupata huduma bila kwenda Bank" alisema Shoko na kuongeza

"Ni fursa kwa taasisi na mashirika mbali mbali kuchangamkia huduma hii kwani itaambatana na kuduma kama kupewa vyumba vya kufanyia mikutano, kupewa msaada wa kisheria, kupata matibabu ya nje ya nchi na mteja kupewa mtu maalimu wa kumhudumia"

Kwa upande wake Solomon Kawiche mkuu wa kitengo cha masoko CBA alisema huduma hiyo itakuwa kwenye mikoa ya Arusha, Mwanza na Dar es salaam licha ya kuwa na matawi Mbeya, Kigoma, Mtwara, Moshi na Tunduma.

Bank hiyo iliyoanza miaka ya 60 ambayo ipo Tanzania, Kenya na Uganda, yenye makao makuu mjini Nairobi hivi karibuni inatarajia kuanzaisha tawi Ivory cost kwa lengo la kujitanua zaidi kibiashara.

Taarifa Kwa Wananchi Kuhusu Mapato Na Matumizi Ya Michango Ya Ajali Ya Basi Shule Ya Lucky Vincent Iliyotokea Karatu Mkoani Arusha 06.05.2017

0
0

HALMASHAURI NCHINI ZAKUMBUSHIWA WITO WA KUNUNUA DAWA ZA KUUA VILUWILUWI VYA MBU WA MALARIA

0
0

MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BIMA (TIRA)IMEZINDUA MFUMO WA KUHAKIKI BIMA KWA NJIA YA SIMU YA MKONONI

0
0

Kaishna wa Bima nchini Dkt.Boghayo Saqware akiwa anazungumza na wauza bima,madalali wa bima,mawakala wabima,wauza bima,jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani, viongozi wa vyama vya wamiliki wa mabasi pamoja na umoja wa waendesha pikipiki.Picha na Vero Ignatus Blog.
Meneja wa Mamlaka ya usimamizi wa Bima (TIRA)Kanda ya kaskazini Eliezer Rwekiza akizugumza katika uzinduzi huo wa uhakiki wa Bima kwa njia ya simu ya mkononi,uliofanyika Jijini Arusha leo,wa kwanza kulia ni Kamisha wa Bima Taifa Dkt.Boghayo Saqware,akifuatiwa na aliyepo kulia kwake ni Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Nuru Suleiman

Meneja waTEHEMA kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA)Aron Mlaki akiwa anawonyesha namna ya kutambua Bima kama ni halali au ni feki kwa kutumia simu ya mkononi .Picha na Vero Ignatus Blog.
Mkurugenzi wa masoko kutoka Mamlaka ya usimamizi wa Bima (TIRA) Bi.Adelaida Muganyizi akiwa anazungumza na wauza bima,madalali wa bima,mawakala wabima,wauza bima,jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani, viongozi wa vyama vya wamiliki wa mabasi pamoja na umoja wa waendesha pikipiki.
Baadhi ya washiriki mbalimbali waliohudhuria kwenye uzinduzi huo mfumo wa kuhakiki Bima kwa njia ya simu ya mkononi.
Afande James Manyama ambaye amemuwalikisha kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha akizugumza katika uzinduzi huo.

Mwanasheria wa Mamlaka ya usimamzi wa Bima (TIRA) Arthur Mbena akiwa anawaelekeza wa kikosi cha usalama barabarani namna ya kutambua Bima kama ni halali au feki kupitia simu ya mkononi kwenye gari kama linavyoonekana pichani.
Meneja wa TIRA Kanda ya Kaskazini Eliezer Rwekiza (aliyevaa koti suti nyeusi)akiwa anamuelekeza dereva wa gari lililopo nyuma yao namna ya kutambua kama Bima iliyopo kwenye gari lake ni halali,ambapo gari Ehilo lilikuwa na Bima halali.
Elimu ikiendelea kutolewa namna ya kutabua Bima feki au halali kwa kutumia simu ya mkononi uliozinduliwa leo Jijini Arusha na Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA)Picha na Vero Ignatus Blog.
Meneja wa TEHAMA kutoka Mamlaka ya Usiamizi wa Bima (TIRA)Aron Mlaki akitoa elimu kwa askari wa kikosi cha usalama barabarani namna ya kutambua Bima feki au halali ,ni ya kampuni gani,Bima gari la matumizi gani,aina gani ya bima kubwa au ndogo.Picha na Vero Ignatus Blog.






Na.Vero Igantus.Arusha

Mamlaka ya usimamizi wa Bima nchini(TIRA)imezindua mfumo wa uhakiki wa Bima kwanjia ya simu za mkononi kanda ya Kaskazini ambapo zoezi hilo limeambatana na ukaguzi wa bima kwenye vyombo vya moto na kubaini bima feki katika baadhi ya magari na pikipiki.

Akizindua mfumo huo kwa kanda ya kaskazini uliofanyika jijini Arusha Kamishna wa Bima Nchini Dkt.Boghayo Saqware amesema kuwa kampeni yao ina laengo la kuondoa bima feki sokoni ambazo zinazouzwa ama kutengenezwa na wahalifu ,ambalo kwa mujibu wa sheria wanafanya kosa la jinai.

“Tumeanzia Pwani na sasa tupo Arusha na zoezi hili litakuwa endelevu,kwahiyo tunawaasa wananchi wanunue bima halali,tumezindua mfumo ambao ni rahisi kwa mtu anaenunua bima kujihakikishia kuwa bima hiyo ni feki au halali .”alisema Dkt.Boghayo.

Kamishna huyo amesema kuwa kwa miaka( 3) kesi (10) za Bima feki ziliamuliwa ,watu(5) walihukumiwa kifungo jela,(2) wamelipa bilioni 20,000,000, hadi 40,000,000,mashauri ya jinai yaliyopo mahakamani yalifunguliwa mwaka 2016 Mbeya(1) Mafinga(2) Mara(1) na Dar es salaam (3) na kufikia jumla ya kesi mpya 7,ambapo mashauri yaliyopo kwenye uchunguzi wa polisi ni (10).

Kwa upande upande wake Meneja wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Kanda ya kaskazini Eliezer Rwekiza amesema kuwa zoezi hilo katika Jiji la Arusha litaendelea kwa wiki nzima ambapo wataelekea Kilimanjaro ,Tanga ambapo amesema kuwa 10% ya magari hapa nchini Tanzania hayana Bima halali,amesema hadi sasa hapa nchini kuna makampuni 31 ya Bima,mawakala 500 madalaliwa Bima ni zaidi ya 100.

“Kuna mtu akienda kukata Bima anakuwa hajui kuwa hiyo ni feki,na kuna mwingine aknajua kuwa hiyo ni feki na nashirikiana na yule anayemkatia,hivyo akibainika anafutiwa leseni mkatajia halafu taratibu nyingine za kisheria zinafuata kwani kwa utafiti ulikwisha kufanyika Jiji la Arusha ni la pili kwa kuongoza kwa pima feki huku Jiji la Dar es salaam kinara”alisema Rwekiza.I

Naye meneja wa Tehama Aron Mlaki (TIRA)ameelezea namna ambavyo mtu anaweza kuhakiki Bima kwa njia ya simu ya mkononi ambapo amezitaja njia kuu mbili ambazo ni inaweza kuwa kwa intaneti au njia ya ujumbe mfupi wa maneno.

“Kwa njia ya inteneti (una sechi mis.tira.go.tz ,utaletewa mahali pa kujaza ,hakiki stika kisha ukishahakiki stika inakuja ingiza namba za stika halafu bonyeza hakiki,utaletewa maelezo ya bima yako kama ni halali au feki,

Kwa njia ya ujumbe mfupi (unaandika maneno stika unaweka namba ya bima kwa tarakimu zisizozidi 7 unatuma kwenye namba 15200 na hii ni kwa mitandao ya Vodacom na Tigo peke yake.”

Wakurugenzi wajadili upatikanaji wa maji Morogoro

0
0

Usimamizi usiofaa wa miradi mbalimbali ya maji nchini umeelezwa kuwa ni kikwazo kwa juhudi za kuwezesha upatikanaji wa maji kwa kila familia.

Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya Maji na Umwagiliaji Injinia Jackson Mutazamba katika semina ya inayofanyika mjini Morogoro ikijuimuisha wakurugenzi kutoka halmashauri zote nchini.

Alisema lengo la semina hiyo ni kuweza kuwahimiza na kuwajengea uelewa zaidi wakurugenzi hawa namna ya kufanya miradi ya maji iweze kuwa na tija na kufanya upatikanaji wa maji kwa wananchi isiwe kikwazo.

"Utawala bora katika usimamizi wa miradi ya maji ni kitu cha msingi sana katika kufanya miradi ya maji iwe endelevu mara baada ya kuanzishwa na kuweza kuwapatia wananchi maji wakati wote wa mwaka," alisema.

Alisema hadi mwezi wa tatu mwaka huu mtandao wa maji ulikuwa umefikia asilimia 72 nchini pote lakini miradi mingine haifanyi kazi kutokana na utawala mbovu hivyo kufanya kuwe na upungufu mkubwa wa maji.

Alisema wakurugenzi wa wilaya ni viungo muhimu sana katika kufanya miradi hii ya maji iwe endelevu ukizingatia kuwa serikali na wadau wa maendeleo wamekuwa karibu sana katika kuhakikisha miradi mingi ya maji inaanzishwa.

Pia wakurugenzi wanaweza kusimamia uanzishwaji wa kamati maalumu za maji ambazo zinasimamiwa moja kwa moja na wananchi wenyewe hivyo kufanya miradi hii iwe endelevu.

Akiwasilisha makadirio ya bajeti kwa mwaka 2017/18 bungeni Dodoma wiki iliyopita, Waziri wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Injinia Gerson Lwenge alisema serikali imejipanga kuanzisha miradi mipya mingi ili kuweza kuongeza mtandao wa maji kufikia asilimia 95.

Mkurugenzi wa halmashauri ya mpanda Rojas John Lomuli akiahidi kuitikia wito wa kuendeleza usafi wa mazingira ili kuhakikisha halamashauri yake inafikia kiwango cha juu katika utekelezaji wa kampeni ya Nipo Tayari iliyowashirikisha wakurugenzi wa halmashauri nchini kuhusu skimu ya malipo kwa matokeo inayofanyika mjini morogoro
Mkurugenzi wa halmashauri ya kondoa Khalifa Kondo akionyesha ishara ya kampeni ya Nipo Tayari ya kutekeleza usafi wa mazingira katika mji wake wakati wa semina ya kwa wakurungenzi wa halamashauri nchini kuhusu skimu ya malipo kwa matokeo inayofanyika mjini morogoro.
Mkurugenzi wa halmashauri ya Ikungi mkoani Singida Rustika Turuka akielezea matarajio yake wakati wa semina ya utekerezaji wa kampeni ya Nipo Tayari iliyowashirikisha wakurugenzi wa halmashauri nchini kuhusu skimu ya malipo kwa matokeo, inayofanyika mjini Morogoro

TGGA YAZINDUA KAMPENI YA KITAIFA YA HEDHI SALAMA KWA WASICHANA

0
0
 Katibu Tawala wa Wilaya ya Lindi, Thomas Safari akizindua rasmi Kampeni ya Hedhi Salama kwa Wasichana iliyoandaliwa na Chama cha Tanzania Girl Guids (TGGA), ikiwa ni sehemu ya shamrashamra ya maadhimisho ya Siku ya Hedhi Duniani itakayofikia kilele Mei 28. Uzinduzi huo ulifanyika kwenye Uwanja wa Ilulu mjini Lindi leo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa TGGA, Mkoa wa Lindi, Zuhura Mohamed na Katibu Mkuu wa TGGA, Grace Shaba. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA-KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari Mkoa wa Lindi wakiingia kwa maandamano kwenye Uwanja wa Ilulu, wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo.

Na Richard Mwaikenda-Lindi
SERIKALI ya Mkoa wa Lindi imekubali ombi la Chama cha Tanzania Girl Guids (TGGA), kwa kila shule kutenga chumba kimoja kwa ajili ya kujistiri wasichana wakati wa hedhi.

Ombi hilo lilitolewa na Katibu Mkuu wa TGGA Taifa, Grace Shaba wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika kitaifa kwenye Uwanja wa Ilulu, mjini Lindi, ambapo aliiomba serikali na walimu wakuu wa shule kutenga vyumba mashuleni vya wasichana kujihifadhi wakati hedhi.

Shaba ambaye ni mwalimu mstaafu, alisema kuwa wakati akitumikia ualimu katika shule mbalimbali alikuwa anatenga vyumba kwa ajili ya kazi hiyo na kwamba viliwasaidia sana wanafunzi wasichana.

Akihutubia wakati wa hafla hiyo, Katibu Tawala wa Wilaya ya Lindi, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya, Thomas Safari alisema vyumba vya siri kwa ajili ya wasichana wakati wa hedhi ni muhimu sana kwani vinawafanya wawe salama kiafya na wasafi wakati wote.

Alisema watahakikisha kwa kila shule katika mkoa huo inakuwa na chumba cha siri kwa wasichana, iliwe mfano hata kwa mikoa mingine na taifa kwa ujumla.

Pia aliwaasa wazazi, walezi na waalimu kueneza elimu hiyo ili watoto waelewe vizuri umuhimu wa usafi wakati wa hedhi, jambo ambalo litawafanya wawe na furaha, afya na usafi, hivyo kuondokana na mazoea ya kujinynyapaa na kulifanya la siri.

"Tuondokane na baadhi ya mila zetu potofu zinazolifanya suala la hedhi kuwa la siri, inatakiwa kuanzia sasa watoto wa kike wabebe begi lenye vifaa mbalimbali vitakavyowasaidia wakati wa hedhi, ikiwemo khanga, pedi, vitambaa na mtandio.
"alisema Safari.


"Inabidi sote tuwe mabalozi kwa kuongea na watoto, tutunze afya na usafi wao, kwani hao ndiyo viongozi wa taifa letu la kesho
. Bila kuwa na afya njema hatutakuwa na viongozi imara wa  Taifa letu."Alisisitiza Safari.

Dhima na lengo la TGGA ambayo ina wanachama zaidi 100,000 nchininni kuwajengea wasichana nafasi ya kujithamini, ari ya maendeleo, uzalendo kwa nchi na kujiamini.







 Wanafunzi wakiimba wimbo wa hamasa ya kampeni hiyo
 Mmoja wa wanafunzi akielezea jinsi ya kutumia pedi

 Maandamano ya wanafunzi kwenye Uwanja wa Ilulu
 Wanafunzi wa kike wakiwa na furaha wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo
 Rehema Kijazi wa TGGA Makao Makuu akiwahamasisha wanafunzi wakati wa maandamano
 Wanafunzi wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe wa kuhamasisha matumizi salama ya vihifadhi yaani Pedi


 Viongozi wa TGGA Mkoa wa Lindi wakiwa eneo la uzinduzi wa kampeni hiyo
 Makamu Mwenyekiti wa TGGA Mkoa wa Lindi, Saharifa Mkwango akisherehesha 
hafla hiyo

 Katibu Mkuu wa TGGA Taifa, Grace Shaba akihutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo kwa kuwaeleza  dhima na lengo la chama hicho kuwaelimisha wasichana kuhusu maadili mema na matumizi sahihi ya pedi wakati wa hedhi.
 Baadhi ya wazazi miongoni mwao wakiwemo walimu wakisikiliza kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na mgeni rasmi

 Girl Guids kutoka Rwanda, Uganda na Madagascar wakihamasisha matumizi ya pedi wakati wa hedhi

 Mgeni rasmi, Thomas Safari akihutubia
 Safari akizindua rasmi kampeni hiyo kwa kufungua kasha lenye pedi
 Mgeni rasmi akikabidhi makasha yenye pedi yaani vihifadhi kwa wanafunzi wa shule mbalimbali



 Wanafunzi wakisakata muziki wakati wa kampeni hiyo

 Viongozi wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi waliokabidhiwa makasha ya pedi zitakazogawiwa shuleni kwao

 Girl Guids wakiwa katika picha ya pamoja

 Katibu Mkuu wa TGGA Taifa, Grace Shaba akisaidiana na mwanafunzi Caren Seki kumwagilia mti alioupanda katika shule ya Msingi Mtuleni
Mgeni rasmi, Thomas Safari akipanda mti wa kumbukumbu katika Shule ya Msingi Mtuleni
Girl Guids kutoka Rwanda, Madagascar na Uganda ambao wapo nchini kwa mpango wa kubadilishana uzoefu wakipanda mti wa kumbukumbu katika shule ya msingi Mtuleni, Lindi

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA ZIARANI JIMBO LA TEMEKE, ASEMA HANUNULIWI KWA 'JERO'

0
0

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rodrick Mpogolo, akizungumza na wanachama na Viongozi wa CCM Kata ya Mtoni, wakati akiwa katika mfululizo wa ziara zake za kuimarisha Chama, kwa Mkoa wa Dar es Salaam,jana.



Na Ripota wa Mafoto Blog, Dar

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Rodrick Mpogolo,amesema hakuna mtu anayeweza kukinunua Chama Cha Mapinduzi, kwa kuwa ni Chama kikubwa kilichoanzishwa na waasisi makini.

Amesema waasisi walizingatia misingi ya haki umoja na mshikamano ,wakaondoa dhulma, chuki na ubaguzi wa kila aina hivyo si rahisi mtu kufanya biashara na CCM.

Mpogolo alisema hayo jana alipozungumza na viongozi na wanachama wa CCM katika majimbo ya Temeke na Mbagala jijini Dar es Salaam,ikiwa ni mwendelezo wa ziara zake za kuimarisha Chama.

Alisema CCM inaendesha shughuli zake kwa uhuru na itahakikisha uchaguzi wake unafanyika kwa haki pasipo kuingilia na wanachama wenye tabia ya kununua madaraka.

Mpogolo aliwaagiza watendaji wa Chama na jumuiya kusimamia uchaguzi unaendelea kufanyika kwa haki bila kuwashinikiza wanachama kwa kuwa wanawafahamu viongozi wanaowataka.

"Hatutaki vurugu CCM, tunapenda amani,umoja na mshikamano. Wenye ni ya kutumia uchaguzi huu kupanga mitandao yao, wataambulia patupu,watatumia fedha na uongozi hawatapata,"alisema.

Aliwaonya wenye nia ya kuwagawa wanachama kwa misingi ya udini na ukabila kuacha mara moja kwa kuwa CCM haina dini wala kabila na wanachama wako huru kuchagua kiongozi anayefaa bila kujali dini wala kabila yake.

Akizungumzia mabadiliko ndani ya Chama, Mpogolo alisema yanalenga kurejesha nguvu ya Chama kwa wanachama ,kwa kujenga mashina yenye nguvu huku balozi akiwa jukumu kubwa kuisimamia serikali.

Alisema mabadiliko hayo yanataka kwenye shina kuwe na wanachama 50 hadi 150 ili kuongeza nguvu ya Chama . Aliwataka wanachama na viongozi kujenga umoja,upendo ili wawe kivutio kwa wengine wajiunge na CCM.

"Katika ziara yangu nilifika Namtumbo nikakaribishwa nyumbani kwa balozi, akiwa na wanachama wake 50,akanieleza kwamba wana kero ya maji ,nikamsimamisha diwani aeleze mipango ya kutatua kero hiyo.Pale ndio niliona nguvu ya balozi,"alisema.

Wakizungumza baada hotuba hiyo ,baadhi ya wanachama na viongozi walimshukuru Mpogolo kwa ziara hiyo iliyosheheni mikakati ya kukijenga Chama na kuwaonya watendaji jambo ambalo.

Katibu wa CCM wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Saad Kusilawe, alisema Chama kimejipanga vizuri kukomboa majimbo yote ya mkoa huo, hivyo ziara yake imeongeza nguvu kwenye mikakati inayoendelea kutekelezwa.

Alisema kutokana na ziara hiyo ,anaamini uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu bila malalamiko wala upendeleo na kila ngazi itapata viongozi bora watakaoshirikiana na wanachama kukivusha Chama kwenye uchaguzi ujao.

Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dar es Salaam,Janneth Masaburi, alisema ziara hiyo itasaidia kuwajenga kisiasa ili waendane na kasi ya mabadiliko ya ujenzi wa Chama na kasi ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli.

Alisema Mpogolo amegusa mambo muhimu, ambayo yatasaidia wanachama kufanya uchaguzi huru na viongozi wa mkoa wataendelea kuelimisha wana CCM ili kujiimarisha zaidi.

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dar es Salaam Mariam Kisangi, alisema Naibu Katibu Mkuu Mpogolo, anatoa elimu muhimu juu ya dhamira ya Chama ya kujenga mashina na kuongeza wanachama.

Alisema ziara hiyo imejenga hamasa na wanachama wameelimishwa kuepuka chuki na kujenga upendo miongoni mwao jambo ambalo ni muhimu hususan kwa kipindi cha uchaguzi.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rodrick Mpogolo, akiwasili kwenye Ukumbi wa Kijichi Mbagala kwa ajili ya kuzungumza na wanachama na Viongozi wa CCM.
Naibu Katibu Mkuu, Rodrick Mpogolo akiwasili ukumbini (kushoto) ni Mkubwa Fela akiwa ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliohudhuria mkutano huo.
Wanachama wa CCM wakiimba wimbo maalum
Akipokelewa na wanachama wa Kijichi
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rodrick Mpogolo, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa CCM Kata ya Mtoni, wakati akiwa katika mfululizo wa ziara zake za kuimarisha Chama, kwa Mkoa wa Dar es Salaam,jana.
Vijana wa Kikundi cha Hamasa cha CCM Kata ya Mtoni, wakisebeneka wakati wa mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rodrick Mpogolo, alipokuwa katika ziara ya kuimarisha Chama Mkoa wa Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rodrick Mpogolo, akizungumza na wanachama na Viongozi wa CCM Kata ya Mtoni, wakati akiwa katika mfululizo wa ziara zake za kuimarisha Chama, kwa Mkoa wa Dar es Salaam,jana.
Baadhi ya Wanachama wa CCM Kata ya Mtoni wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rodrick Mpogolo.

Wazee wa CCM wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rodrick Mpogolo, katika Ukumbi wa CCM Mtoni.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rodrick Mpogolo, akiwasili kwenye Ukumbi wa CCM Mtoni kwa ajili ya kuzungumza na wanachama na Viongozi wa CCM Kata ya Mtoni, wakati akiwa katika mfululizo wa ziara zake za kuimarisha Chama, kwa Mkoa wa Dar es Salaam,jana.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva (kushoto) akizungumza na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo, wakati alipomtembelea ofisini kwake alipokuwa katika ziara yake ya kuimarisha Chama katika Jimbo la Temeke jijini Dar es Salaam jana.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo, akizungumza kutoa shukrani zake kwa wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala (hawapo pichani) kwa mapokezi, wakati akiwa katika ziara yake ya kuimarisha Chama kwa Jimbo la Temeke jana.
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo
Naibu akiagana na baadhi ya Viongozi ofisini kwa Mkuu wa Wilaya

VIJUSO VYA MAGAZETI YA LEO JUMATANO MAY 17, 2017

0
0

ZIARA YA RAIS DKT. MAGUFULI ALIPOTEMBELEA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TANZANIA - TBC

0
0
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania - TBC - Dkt Ayoub Rioba alipowasili kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mtangazaji Asha Haji wakati alipotembelea vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa studio na mtangazaji Asha Haji wakati alipotembelea vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mtangazaji wa TBC One wakati alipotembelea vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia mazingira  wakati alipotembelea vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo kwenye chumba cha habari wakati alipotembelea vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua  vitengo mbalimbali vya Shirika la Utangazaji Tanzania -TBC- alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akijadilaiana jambo na Mkurugenzi wa Habari na Matukio wa TBC, Mbiwlo Kitujime
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania - TBC - Dkt Ayoub Rioba akimkaribisha Rais Dkt. Magufuli alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania - TBC - Dkt Ayoub Rioba akimkaribisha Rais Dkt. Magufuli alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania - TBC - Dkt Ayoub Rioba akimkaribisha Rais Dkt. Magufuli alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akimkaribisha Rais Dkt Magufuli kuongea na watumishi wa TBC
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam kwa kuanza kutoa nafasi ya wao kueleza changamoto walizonazo kazini hapo
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza mtangazaji Gabriel Zacharia akielezea changamoto za TBC
 Mwandishi wa TBC akieleza changamoto
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
  Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea kusikiliza changamoto za TBC
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea kusikiliza changamoto za TBC
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea kusikiliza changamoto za TBC
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea kusikiliza na kunukuu changamoto za TBC
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea kusikiliza changamoto za TBC toka kwa mtangazaji mkongwe Malima Ndelema
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea kusikiliza changamoto za TBC toka kwa mtangazaji wa habari za michezo na burudani Chacha Maginga
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akiongea

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam kwa kuanza kutoa nafasi ya wao kueleza changamoto walizonazo kazini hapo
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimsikiliza   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam baada ya kusikiliza changamoto walizonazo kazini hapo
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam baada ya kusikiliza changamoto walizonazo kazini hapo

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikilia Dkt Rioba akitoa ufafanuzi wa baadhi ya mambo ya watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam baada ya kusikiliza changamoto walizonazo kazini hapo
 Mkuu wa ufundi Bi Upendo Mbele akitoa ufafanuzi
 Mhasibu Mkuu wa Shirika akifafanua jambo
 Sehemu ya watumishia wa Shirika la Habari Tanzania -TBC- wakimshangilia   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  alipofika kukagua shughuli za hapo pamoja na kuzungumza na watumishi wa shirika hilo jijini Dar es salaam 
 Sehemu ya magari ya matangazo ya TBC
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata picha ya kumbukumbu bada ya kuzungumza na watumishi wa shirika hilo
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata picha ya kumbukumbu baada ya kuzungumza na watumishi wa shirika hilo
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga baada ya kupata picha ya kumbukumbu baada ya kuzungumza na watumishi wa shirika hilo
   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga baada ya kupata picha ya kumbukumbu baada ya kuzungumza na watumishi wa shirika hilo
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Makamu Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) Bw.William Kalaghe
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono Makamu Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) Bw.William Kalaghe
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembezwa sehemu mbalimbali
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembezwa sehemu mbalimbali
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembezwa sehemu mbalimbali
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembezwa sehemu mbalimbali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza maelezo toka kwa viongozi wa kampuni ya Star Times iliyomo katika viunga vya TBC. Picha na IKULU

VIONGOZI WA KIJIJI CHA KIBADA WATAKIWA KUFUATA SHERIA ZA KIJIJI KUONGOZA WANANCHI

0
0

Kushoto ni Jamali Juma afisa mradi wa timu ya wanasheria watetezi wa haki za Mazingira kwa vitendo (LEAT) akifuatiwa na Afisa habari wa LEAT Edina Tibaijuka pamoja na Mwenyekiti wa kijiji cha kibada Philipo Nyavili wakati wa mkutamo wa hadhara wa kijiji cha kibada ukiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi wa kijiji cha kibada
Hawa ni baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutano huo wa hadhara wenye lengo la kutoa elimu ya utunzaji wa vyanzo vya maji na Maliasili za kijiji


Na Fredy Mgunda, Iringa.

Ili kuongoza au kusimamia jamii ni lazima kufuata sheria na taratibu zilizopo ili kuondoa migogoro mbalimbali inajitokeza na itakayo kujitokeza kwa sababu ya kuzivunja sheria na taratibu hizo.

Hayo yamesemwa na Afisa mradi wa Mradi wa timu ya wanasheria watetezi wa haki za Mazingira Jamali Juma wakati wa mkutano wa kijiji cha kibada kilichopo kata ya sadani wilayani Mufindi Mkoani Iringa kwa kuwataka viongozi na wananchi kutimiza wajibu na haki ili kukifanya kijiji kiwe na maendeleo.

Juma alisema kuwa sheria na taratibu zilizopo hapa kijiji zitanatakiwa kufuatwa kwa ajili ya manufaa ya sasa na ya kizazi kichacho lakini pia inajenga imani na amani ya kijiji.

"Leo hii usipofuata sheria na taratibu za kijiji lakina utakwazana na viongozi au wananchi na kupelekea migogoro ndani ya kijiji kwa kuwa sheria zinakuwa zimekiukwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977" alisema Juma

Aidha Juma aliwataka viongozi wa kijiji cha kibada kuitisha mikutano ya hadhara na kuwasomea mapato na matumizi ili wananchi wajue wapi kijiji kimetoka kimaendeleo na ipi mikakati ya kimaendeleo kijiji.

"Ukipita vijiji vingi unakuta migogoro mingi inayotokana na kutosomewa mapato na matumizi kwa sababu binafsi za viongozi husika hivyo ni lazima viongozi wa vijiji kuongoza vijiji kwa kufuata sheria na taratibu za kijiji"alisema Juma

Lakini Juma aliwataka wananchi wa kijiji cha kibada kutunza na kuvilinda vyanzo vya maji na Maliasili walizonazo na kuacha kuishi kwa mazoea ili kuboresha Mazingira ili yarudi kama ilivyokuwa miaka ya nyuma kwa kulima kilimo cha kisasa kwa kutumia teknolojia.

"Jamani kuna njia nyingi za kulima mboga mboga kwa njia ya kisasa kwa mfano unaweza kuchukua gunia au sarufeti na kuuweka mchanga kisha kupanda mbegu za mboga na kumwagilia maji machafu unayokuwa unayatumia nyumbani kwao na kuvifanya vyanzo vya maji kuwa salama" alisema Juma

Fadinard yilikwipande,Shauri na Stephano waliitaka serikali kuanga upya sheria za kilimo cha mboga mboga kilinacholimwa kwenye utongo mnyevumnye au karibu na vyanzo vya maji kwa akili ya kilimo changu kwa ajili ya kujiongezea kipato chao.

"Sisi tunalima kwenye vijaruba vidogo vidogo tu maarufu kama vinyungu wala hatuleti madhara yoyote ya uharibifu wa vyanzo vya maji na mbona miaka yote tulikuwa tunalima bila kuharibu Mazingira na serikali itambue kuwa Kilimo hiki ni cha kitamaduni sasa inatakiwa kutofautisha sheria za mambo ya asili au ya kitammaduni"walisema wananchi wa kibada

Kwa upande wake Afisa habari wa timu ya wanasheria watetezi wa haki za Mazingira kwa vitendo (LEAT) Edina Tibaijuka aliwashauri wananchi na viongozi wa kijiji cha kibada kuzifuata sheria walizoletewa za kulinda Mazingira na vyanzo vya maji hadi pale serikali itakapoa tamko liingine kuhusu hiyo sheria.

"Jamani sheria ni msumeno hivyo mnapaswa kuzifuata kwa kuwa msipozifuta mtatiwa nguvuni na kupelekwa mahakama hivyo itakuwa inawapunguzia nguvu kazi yenu na kupelekea Msumbufu kwa familia zenu,Mimi nawaomba tiini sheria bila shuruti ili kuepukana na hayo matatizo" alisema Tibaijuka

Tibaijuka aliwashauri wananchi na viongozi wa kijiji cha kibada kupelekea malalamiko yao kwa viongozi wa serikali, madiwani na wabunge wao ili kutafuta njia mbadala ya kutatua tatizo la sheria hiyo mpya iliyokuja baada makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mh Samia Suluhu la kukataza Kilimo chochote kile kwenye vyanzo vya maji.

Naye Mwenyekiti wa kijiji cha kibada Philipo Nyavili aliwaomba viongozi wa serikali kuifikiria upya sheria waliyoitunga juu ya matumizi ya vyanzo vya maji kwa kuangalia utamaduni wa watu Vijijini hasa kwenye swala la Kilimo cha kipindi cha kiangazi maeneo ya mabondeni kwa kuwa wananchi wa Vijijini wantegemea kilimo hicho.

"Hivi kama huku wilaya ya Mufindi wakulima wanategemea Kilimo cha kulima kwenye mabonde maarufu kama Kilimo cha kwenye vinyungu kwa kupanda mboga mboga pamoja na mahindi ya msimu wa kiangazi"alisema Nyavili

Watumishi wa umma kuweni karibu na wananchi, Balozi Mwinyi

0
0
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhani Mwinyi akitoa mwongozo kwa wajumbe wa semina ya Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki inayoendelea kufanyika kisiwani Pemba. Pamoja na mambo mengine amewahimiza wananchi kuchangamkia fursa zinazopatikana kwenye mtangamano. 
Mbunge wa jimbo la Konga, Mhe. Mbarouk Ali akichangia jambo kwenye semina. 
Sehemu ya wajumbe wakiendelea kusikiliza mada mbalimbali zilizokuwa zikiendelea kutolewa kwenye semina. 
Afisa kutoka Ofisi za Uhamiaji Pemba Bw. Haji Kassim Haji akijibu hoja mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na wajumbe kwenye semina juu ya upatikanaji wa Hati ya Kusafiria ya Afrika Mashariki. 
Bw. Amedeusi Mzee akitoa mada kuhusu Soko la Pamoja na faida zinazopatikana kwenye soko hilo. 
Luteni wa JKU naye akitolea ufafanuzi kwenye maswala mbalimbali yenayohusiana na maswala ya magendo. 
Wajumbe wakisikiliza kwa makini mada na majibu ya hoja mbalimbali walizokuwa wakihitaji kufahamu kutoka kwa Bw. Amedeusi (hayupo pichani) na mjumbe kutoka JKU. 


Taasisi za Serikali zimehimizwa ziwe karibu na wananchi ili ziweze kuwahudumia na kuwaelimisha juu ya huduma inazozitoa. Wananchi wengi wamekuwa wakilalamika mara kwa mara kuhusu watumishi wa umma kutotumia weledi na ubunifu katika kuwahudumia wananchi jambo ambalo likiachwa liendelee, Tanzania itaachwa nyuma ndani ya Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na ulimwengu mzima kwa ujumla.

Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Mwinyi katika semina kuhusu elimu ya mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na fursa zake inayotolewa na wataalamu wa Wizara yake kisiwani Pemba. Semina hiyo iliyoanza jana inafanyika kwenye uwanja wa Gombani, Pemba na itamalizika tarehe 18 Mei 2017.

"Kuna fursa nyingi za kiuchumi katika Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki lakini kama wananchi wetu hatutawasaidia na kuwaelimisha kuhusu nyaraka na masharti yanayokidhi vigezo wataachwa nyuma na kubaki kuwa watazamaji na walalamikaji" Balozi Mwinyi alisema.

Wajasiriamali walielezea masikitiko yao juu ya ugumu wa kupata hati za kusafiria kutokana na mlolongo wa masharti hususan, inapotokea kuwa safari ni ya ghafla. Aidha, wajasiriamali wamekuwa wakilalamika kuwa wanapata tabu kusajili bidhaa zao katika mamlaka zinazosimamia ubora wa viwango wa bidhaa, chakula na madawa kwa kuelezwa kwamba bidhaa zao ni duni, hivyo wameiomba Serikali iwawezeshe kupata teknolojia ya kisasa ikiwa ni pamoja na vifungashio.

Balozi Mwinyi alisisitiza umuhimu wa taasisi zote bila kukiuka Sheria, kanuni na vigezo vilivyowekwa kurahisisha taratibu zao ili wananchi wapate nyaraka zinazotakiwa kwa urahisi ili iwe wepesi kwao kuchangamkia fursa za kiuchumi na kibiashara katika soko la pamoja la Afrika Mashariki.

Akitoa ufafanuzi kuhusu upatikanaji wa hati za kusafiria, Afisa Uhamiaji, Bw. Haji Kassim Haji alisema kuwa taratibu zilizowekwa hazina lengo la kukwamisha shughuli ya mtu yeyote isipokuwa zimewekwa kwa kuzingatia maslahi mapana ya nchi. Katika ulimwengu wa leo ambao unakabiliwa na changamoto nyingi za kiusalama kama, ugaidi, uharamia, Biashara haramu ya binadamu, uhamiaji haramu, lazima masharti yazingatiwe ili kuepuka uwezekano wa kutokea uovu huo.

Aidha, Balozi Mwinyi alishauri wajasiriamali wajiunge katika vikundi ili masuala yao ikiwa ni pamoja na maombi ya hati za kusafiria yafanywe kwa pamoja wakidhaminiwa na taasisi zinazosimamia shughuli zao.


Imetolewa na:

Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, 
Pemba, 16 Mei, 2017

Rais Magufuli ateua Mkurugenzi Mtendaji TIC na RAS Morogoro

0
0

MR TAO ZHANG IMPRESSED BY TANZANIA ECONOMY

0
0

MAKAMU WA RAIS,SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MAFUNZO YA SIKU TATU YA POLISI WANAWAKE KUTOKA JUMUIYA YA MAENDELEO YA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA JIJINI DAR LEO

0
0
Polisi wanawake kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SARPCO,wakimsikiliza Makamu wa Rais,Samia Suluhu Hassan alipokuwa akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo ya siku tatu
Makamu wa Rais Mh.Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo wakati akifungua mafunzo ya siku tatu ya polisi wanawake kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SARPCO,leo katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini ,Dar es Salaam.Mh Samia ndiye mgeni rasmi wa mafunzo hayo.Picha na Adam Mzee/VPO.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya polisi wanawake kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SARPCO,leo katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini ,Dar es Salaam.Mh Samia ndiye mgeni rasmi wa mafunzo hayo.Picha na Adam Mzee/VPO.
 Makamu wa Rais Mh.Samia Suluhu Hassan akifuatilia moja ya taarifa wakati wa ufunguzi wa  mafunzo ya siku tatu ya polisi wanawake kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SARPCO.Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere ,Dar es Salaam.Kushoto kwake ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,IGP Ernest Mangu.
Polisi wanawake kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SARPCO wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mafunzo hayo ya siku tatu.
Makamu wa Rais (wa nne kulia) Mh.Samia Suluhu Hassan akishiriki ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya polisi wanawake kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SARPCO,leo katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini ,Dar es Salaam.Mh Samia ndiye mgeni rasmi wa mafunzo hayo.Picha na Adam Mzee/VPO
 Mafunzo ya siku tatu ya polisi wanawake kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SARPCO,yakiendele leo katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini ,Dar es Salaam.Mh Samia ndiye mgeni rasmi wa mafunzo hayo.Picha na Adam Mzee/VPO.  
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa Mafunzo ya siku tatu ya polisi wanawake kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SARPCO,yakiendele leo katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini ,Dar es Salaam.
Baadhi ya Askari wanaoshiriki ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya polisi wanawake kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SARPCO,wakiwasili kwa Gwaride katika.Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere ,Dar es Salaam.

Jumia Travel launches #DemocratizerTravel campaign in Africa

0
0

By Jumia Travel Tanzania

The Africa’s No. 1 hotel booking company, Jumia Travel has come up with a campaign dubbed as ‘DemocratizeTravel’ which aims to facilitate easy travelling among the africans locally and to outbound destinations.

Speaking over that campaign, Jumia Travel Tanzania Country Manager, Ms. Fatema Dharsee noted they want to discourage the notion that travelling is expensive and a complex thing to do.

“Our main focus is to break barriers and a way of thinking once comes to travelling especially its logistics from one place to another. This includes lowering costs especially for accommodation, access to information and better quality services to everyone. Also through this campaign we want to showcase and expose the hidden beauty of the African continent as well as providing solutions to all needs for our customers such as the procedures, accommodation, food and activities to do where they want to go,” said Ms. Dharsee.
“The campaign also wants to change the attitude that destinations in Western world (Europe and America) and Dubai are better than Africa. Apart from facilitating Africans with easy accommodation and travel services within their boundaries, we are going also to open-up the outbound destinations to them. In this case a traveler will be able to book and pay for his/her flight ticket, for example from Dar es Salaam to London, via local currency. All those are possible with our website whereby a travel can book a hotel and flight ticket at the same time without a hustle of searching from one company’s website to another,” added the company’s Country Manager.

However, the campaign will not only benefit customers but also hoteliers as well through the visibility of their hotels which they are going to receive to enhance business growth. Hoteliers will be benefited from the massive visibility through the company’s website and social media platforms, provide them with technology to simplify operation of their business such as Extranet, SMS/Emails as well as encouraging provision and improvement of quality services to obtain better review scores.

“The launching of the ‘DemocratizeTravel’ campaign will go hand in hand with the presentation of the Hospitality Report for Africa in a few days later. In this report we’ll be talking about the issues we have observed including the sustainability in tourism and hospitality sector across the continent. In addition, there will be other activities going on our social media platforms whereby customers will be required to share travel tips and experiences over various places they have been to their friends and colleagues,” concluded Ms. Dharsee.      

WAZIRI MWAKYEMBE AZINDUA TAMASHA LA NGOMA ZA ASILI ZA JAMHURI YA KOREA

0
0
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza wakati wa ufunguzi wa  Tamasha la Ngoma za asili  za Jamhuri ya Korea   jana Jijini Dar es Salaam.
Balozi wa  Jamhuri  ya  Korea  hapa nchini Mhe. Song,Geum-young  akizungumza  na washiriki  wa Tamasha la Ngoma za asili  za nchi hiyo   (hawapo pichani)    jana Jijini Dar es Salaam.
 Wasanii  kutoka  Jamhuri ya  Korea wakionesha  moja ya ngoma za aslili za nchi hiyo wakati wa Tamasha la Ngoma za asili  za Jamhuri ya Korea  jana Jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya watazamaji kutoka Jamhuri  ya  Korea  na Tanzania wakifuatilia ngoma mbalimbali zilizokuwa zikioneshwa katika  Tamasha la Ngoma za asili  za Jamhuri ya Korea   jana Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (wa nne kulia waliosimama) akiwa katika picha ya pamoja na Wasanii wa ngoma za asili kutoka Jamhuri ya Korea  wakati wa ufunguzi wa  Tamasha la Ngoma za asili  za Jamhuri ya Korea   jana Jijini Dar es Salaam.
Picha na: Genofeva Matemu - WHUSM

KAMPUNI YA BIMA YA AFYA YA AAR YAZINDUA APLIKESHENI MPYA YA SIMU KUSAIDIA WATEJA KUPATA HUDUMA BORA ZA AFYA

0
0
Kampuni binafsi ya Bima ya afya inayoongoza nchini Tanzania, AAR imefanya uzinduzi wa Aplikesheni mpya ya simu ili kuwawezesha wateja kupata huduma mbalimbali kupitia simu zao. Meneja Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Bima ya AAR , Tabia Masoud alisema katika mkutano na waandishi wa habari leo kwamba, Aplikesheni hiyo kwa sasa inapatikana kwenye simu zenye mfumo wa android na hivi karibuni itakuwa ikipatikana katika mfumo wa IOS. 

Alisema aplikesheni hiyo ya simu ina kazi nyingi muhimu ikiwa ni pamoja na kuwaunganisha wateja na watoa huduma za matibabu walioko kwenye mtandao wa AAR ili kurahisisha huduma za afya. “Tunafuraha kuzindua aplikesheni hii mpya ya simu ikiwa ni sehemu ya thamani tunayo muongezea mteja kwasababu lengo kuu katika mkakati wetu wa biashara ni kutoa huduma inayokidhi mahitaji ya wateja. 

Kipaumbele kikubwa cha wateja wetu nikupata huduma za afya haraka iwezekanavyo kutoka kwenye mtandao wetu ambapo matitabu hutolewa kwa kutumia bima badala ya fedha taslimu na vilevile ni kipaumbele chao kudai kurudishiwa fedha zao pale ambapo wanapata matibabu kwakulipia. 

Aplikesheni yetu mpya itawasaidia wateja kupata taarifa za huduma katika hospitali mbalimbali zilizopo kwenye mtandao wetu, kwasababu hiyo, sasa mteja anaweza kufanya mawasiliano mapema na kupewa muda maalum wa kwenda hospitali, vilevile aplikesheni hii itawasaidia wateja kujua taarifa mbalimbali za kuhusu bima zao muda wowote ule”. 

Wakati huohuo, Kampuni ya Bima ya Afya ya AAR imezindua mpango wa bima ya Afya kwa wanafunzi ujulikanao kama AAR Inshule, mpango huo umeundwa ili kuboresha ustawi na afya ya wanafunzi nchini kote. 

Meneja mauzo msaidizi wa huduma mbadala wa kampuni hiyo, Jumanne Mbepo alisema kwamba Inshule itawawezesha wanafunzi kunufaika na huduma mbalimbali za matitabu ikiwa ni pamoja na Huduma ya Matibabu ya Kutwa, Matibabu ya Kulazwa, huduma ya macho, huduma ya meno,msaada wa vifaa vya matibabu na huduma za matibabu ya Akili. Mpango huo wa bima ya afya pia unatoa malipo ya mkupuo kwa familia katika kipindi cha mazishi ya mwanafunzi.

 Bima ya Inshule itapatikana kwa wanafunzi wote nchini Tanzania na itakuwa ikiuzwa kupitia uongozi wa Shule zao .Bima hii inalenga kusaidia wanafunzi Kupata matibabu sahihi na ya haraka hususani wakati wa dharura kupitia mtandao wa watoa huduma zamatibabu wenye Mikataba na AAR.
 Meneja Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Bima ya AAR, Tabia Masoud ( kulia) akizindua huduma ya Aplikesheni mpya ya simu ili kusaidia wateja kupata huduma bora za afya, kushoto ni Meneja mauzo msaidizi wa huduma mbadala wa kampuni hiyo, Jumanne Mbepo. Katika hafla iliyofanyika jijini Dar es salaam leo.  Meneja Mauzo Msaidizi wa huduma mbadala wa Kampuni ya Bima ya AAR, Jumanne Mbepo (kulia) akizungumza na waandishi jijini Dar es salaam wakati akizindiua mpango wa bima wa afya kwa wanafunzi ujulikanao kama AAR Inshule. Kushoto ni Meneja Mkuu wa huduma kwa wateja Esther Swai.

Tigo yazindua kampeni ya ‘Jaza Ujazwe’ kuwashukuru wateja kwa uaminifu wao

0
0


Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu kifurushi cha Jaza Ujazwe mapema leo katika uzinduzi rasmi wa kifurushi hicho "JazaUjazwe’ ambapo mteja atapata bonus kwa njia ya SMS, Muda wa maongezi, MBs kwa ajili ya kuperuzi internet, Whatsapp na You Tube Kulia kwake ni Mtaalamu wa kubuni Ofa kutoka kampuni ya simu za mkononi ya TIGO Jacqueline Nnunduma na kushoto ni Meneja Mawasiliano ya Umma wa Tigo Woinde Shisael .
Mtaalamu wa kubuni Ofa kutoka kampuni ya simu za mkononi ya TIGO Jacqueline Nnunduma akijibu maswali kwa waandishi wakati wa uzinduzi wa kifurushi cha Jaza Ujazwe (katikati) Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga na mwishoni ni Meneja Mawasiliano ya Umma wa Tigo Woinde Shisael .

Kampuni inayoongoza mfumo wa maisha ya kidijitali, Tigo Tanzania imezindua kampeni nyingine mpya ya kuvutia inayofahamika kama, ‘JazaUjazwe’ ambapo mteja atapata bonus kwa njia ya SMS, Muda wa maongezi, MBs kwa ajili ya kuperuzi internet, Whatsapp na You Tube pindi anapoongeza muda wa maongezi iwe ni kupitia vocha ya kukwangua, Tigo Pesa au Tigo Rusha.

Kwa mujibu wa Tigo kampeni ya ‘Jaza Ujazwe’ imekuja kama shukrani kwa wateja wa kampuni hiyo ya simu kutokana na uaminifu wao mkubwa.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo, Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga alisema, “Tigo inathamini kuungwa mkono kulikotukuka kunakoonyeshwa na wateja wake kwa kipindi cha miaka mingi, na ndio maana tunaamini wanastahili kupewa shukrani kwa kuendelea kutuamini. 

Kama kampuni, tunayofuraha kwa mara nyingine tena kuwapatia wateja wetu bonus ili waweze kuendelea kufurahia huduma zetu za kiwango cha juu duniani.”

Mpinga alibainisha kuwa kampeni hiyo mpya inadhihirisha nafasi ya kampuni katika kutoa huduma na bidhaa bora zinazokidhi mahitaji ya wateja wake na wakati huo huo kuimarisha mchango wake katika soko kama kampuni ya simu za mkononi iliyo na ubunifu wa hali ya juu.

Alisisitiza kujikita kwa Tigo katika kuendelea kuwapatia wateja wake bidhaa na huduma bora zaidi na kuongeza, “Bidhaa na huduma zetu zimeundwa baada ya kufanya tafiti zinazolenga kuhakikisha wateja wetu wanaridhishwa na wanapata thamani kwa kila shilingi wanayotumia kwa mawasiliano. Hivyo ‘Jaza Ujazwe’ ni kuitikia hitaji la mteja na pia kuwapa wateja uzoefu wa kusisimua kila wakati wanapotumia bidhaa zetu. 

Tunaamini kwamba wateja wetu watafurahia dakika za ziada, ujumbe mfupi wa maneno (SMS) au data za bonus na hatimaye kuboresha mwenendo wao wa mawasialiano.

Wateja wote wa Tigo wanastahili kupata bonus hizi kwa kuwa hakuna masharti yoyote.
Viewing all 46205 articles
Browse latest View live




Latest Images