Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46384 articles
Browse latest View live

ETIHAD YATUNUKIWA TUZO YA UBORA YA DARAJA LA KWANZA NA WASAFIRASHAJI BORA WA MIZIGO KWA AFRIKA YA KATI NA AFRIKA KWA UJUMLA.

$
0
0
Shirika la Ndege la Etihad limeshinda tuzo ya ubora ya usafirishaji kwa daraja la kwanza na wasafirishaji bora wa mizigo kwa ndege katika Ukanda wa Mashariki ya Kati na Afrika kwa ujumla kupitia tuzo za ubora za  AirlineRatings.com 2017. Shirika hilo lenye makao makuu yake makuu Abudhabi, pia limetajwa kuwapo kwenye kumi bora duniani kutokana na ubora wa hali ya juu wa huduma zake.

Mhariri Mtendaji wa AirlineRatings.com, Geoffrey Thomas alisema,” Shirika la Ndege la Etihad limeibuka mshindi wa tuzo hizo na kuwa mshindi wa kwanza kwa utoaji huduma daraja la kwanza na usafirishaji wa mizigo Mashariki ya kati na Afrika kwa ujumla pamoja na kuingia kwenye kumi bora za AirlineRatings.com ulimwenguni kote, kutokana  na ubora wa huduma zake.”

Alisema, “Hili ni jambo la kujivunia kwa kushinda tuzo ya Airlineratings.com na Shirika la ndege la Etihad ndilo limeingia kwenye kumbukumbu ya kushinda maeneo matatu tofauti kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo”

“Shirika hili la ndege limekuwa la kipekee pia kwa kufanikiwa kupata hadhi ya juu kwa bidhaa na usalama kupitia Airlineratings.com,” alisema.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la Etihad, Peter Baumgartner alisema, “ Ushindi wa tuzo hii ya ubora kwa daraja la kwanza na wasafirishaji mahiri wa mizigo Ukanda wa Mashariki ya Kati na Afrika kwa ujumla kwa miaka mitatu mfululizo ni jambo kubwa la heshima kuendelea kujizatiti na kuongoza kwenye ubora wa bidhaa, huduma zinazotolewa za kiwango cha juu ulimwenguni.”

 “Zawadi hii inatuhamasisha kuendelea kufanya vyema katika sekta ya anga na kuongeza ubunifu na utendaji kazi pamoja na kuimarisha usalama, jambo ambalo linatufanya kuendelea kuwa wa kwanza kwa ubora,” alisema.

Tuzo ya The 2017 AirlineRatings.com imekuja ikiwa ni baada ya wiki chac he zilizopita baada ya kupokea nyingine kutoka kwa Skytrax Certified 5-Star Airline Rating. Tuzo hizo za Skytrax  zilizopatikana hivi karibuni zilitolewa kwa shirika hili; Shrika la ndege lenye huduma za daraja la kwanza, ubora kwenye huduma za chakula ndani ya ndege, ubora kwenye mandhari ya ndani ya ndege kwa ndege ya A380 iliyotolewa Julai 2016.

KIWANDA FEKI CHA KUTENGENEZA POMBE KALI IKIWEMO VIROBA CHAKAMATWA SINZA,JIJINI DAR LEO

$
0
0

Naibu Waziri Wa Afya ,Maendeleo ya Jamii ,Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla akikagua baadhi ya pombe kali katika moja ya duka alilolikamata lililopo mwenge Dar es salaam wakati wa msako zidi ya watengenezaji pombe kali ambazo ni feki unaoendelea nchini. 
Naibu Waziri Wa Afya ,Maendeleo ya Jamii ,Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla katikati akimuhoji muuza duka la pombe kali ambazo ni feki lilopo Manzese Dar es salaam wakati wa msako zidi ya watengenezaji pombe kali ambazo ni feki unaoendelea nchini.
Naibu Waziri Wa Afya ,Maendeleo ya Jamii ,Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla wa kwanza kulia akiwa ameshika beseni lililojaa vizibo vya konyagi katika kiwanda feki kilichokamatwa maeneo ya sinza Dar es salaam wakati wa msako zidi ya watengenezaji pombe kali ambazo ni feki unaoendelea nchini kushoto ni Afisa kutoka TFDA.
Baadhi ya nyenzo za kutengenezea pombe kali ambazo ni feki aina ya konyagi katika kiwanda feki kilichokamatwa maeneo ya sinza jijini Dar es salaam wakati wa msako zidi ya watengenezaji pombe kali ambazo ni feki unaoendelea nchini.
Baadhi ya pombe kali aina ya konyagi na amarula ambazo ni feki zilizokamatwa katika duka la kuuza pombe kali lililopo manzese jijini Dar es salaam wakati wa msako zidi ya watengenezaji pombe kali ambazo ni feki unaoendelea nchini.




Na Ally Daud-MAELEZO 

Naibu Waziri Wa Afya ,Maendeleo ya Jamii ,Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla ameongoza kikosi kazi katika msako wa Viwanda vinavyotengeneza pombe Kali feki ikiwemo viroba na zinginezo na kufanikiwa kukamata kiwanda feki kilichopo maeneo ya sinza jijini Dar es salaam.

Akiingoza msako huo Naibu Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla amesema kuwa msako huo unaofanywa na Wizara hiyo inashirikiana na Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA umefanikiwa kukamata kiwanda feki kinachotengeneza pombe aina ya viroba, konyagi, Smirnoff na zedi kilichopo sinza jijini Dar es salaam.

"Tunafanya msako huu kwa kushirikiana na kikosi kazi cha Serikali ili kuondoa pombe haramu zinazotengenezwa kiholela na kwa kutozingatia viwango vya ubora kwa maendeleo na Afya ya watanzania" alisema Dkt. Kigwangalla.

Aidha Dkt. Kigwangalla ameongeza kuwa katika msako huo wamefanikiwa kukamata kiwanda hicho kikiwa na nyenzo za kutengenezea pombe haramu kama vile chupa za konyagi, vifuniko, lebo, vifuko na nyenzo zingine za kutengenezea pombe hiyo haramu. 

Dkt. Kigwangalla amesema kuwa msako huo umebaini kwamba watengenezaji hao wanatumia gongo na spiriti kutengeneza pombe kali kitu ambacho ni hatari kwa afya ya watanzania hususani vijana hivyo kufanya nguvu ya taifa kupotea.

Katika msako huo pia ulifanikiwa kukamata maduka yanayouza pombe hizo maeneo ya Mwenge na Manzese jijini Dar es salaam ikiwa chini ya msambazaji Bw. Yusuf Yusuf Abdul Kalambo mkazi wa Kimara ambaye anatafutwa na jeshi la polisi kwa ajili ya upelelezi zaidi. 

Aidha Dkt. Kigwangalla ameamuru wauzaji wa maduka hayo wafunge maduka yao mara moja na kushikiriwa na Polisi mpaka pale upelelezi utakapokamilika ili sheria stahiki ifuate mkondo wake aidha kulipa faini au kufutiwa leseni za biashara.Zoezi hilo la kusaka Viwanda feki vinavyotengeneza pombe kali linafanywa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na TFDA pamoja na jeshi la polisi ni endelevu mpaka bidhaa feki zitapotoweka nchini.

VIJUSO VYA MAGAZETI YA LEO JUMATANO NOV 16

WAKULIMA WA ZAO LA KORSHO TUNDURU WANUFAIKA NA BEI MPYA YA ZAO HILO

$
0
0
 http://3.bp.blogspot.com/-Ja9gYTH8Zw8/UoetfpR-U-I/AAAAAAACWMk/zcdGDbWBI9k/s1600/IMG_4156.jpg
WAKULIMA wa korosho Wilaya ya Tunduru, wameondokana na umasikini kutokana na kupata soko la uhakika baada ya Kampuni ya Namela General Trade kushinda zabuni ya kununua zao hilo wakulima kwa bei ya Sh 3,757 kwa kilo, ikizishinda kampuni nyingine saba.

Hadi kufikia Novemba 14, kulikuwa na zaidi ya tani 541 zilizoingizwa katika ghala la Chama Kikuu cha Ushirika Wilaya ya Tunduru (Tancu) ambako kampuni hiyo ilipewa kununua korosho tani 400 huku Kampuni ya Machinga iliyoshinda nafasi ya pili katika mnada huo, ikipata kibali cha kununua tani 141 kwa bei ya Sh 3,750.

THBUB YASHUKURU UN KWA KUSAIDIA PROGRAMU ZA SHERIA

$
0
0
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeshukuru Umoja wa Mataifa kwa msaada wake mkubwa inaotoa kwa taasisi zisizo za kiserikali za kujengea uwezo wa kuweza kutetea haki za binadamu nchini Tanzania.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mtendaji wa THBUB, Mary Massay wakati wajumbe wa nchi za Nordic ambao ni wafadhili wakubwa wa programu za Umoja wa Mataifa zinazotekelezwa nchini Tanzania walipozuru katika ofisi hizo kwa mazungumzo.

“Kuna ongezeko kubwa la ufahamu kuhusu haki za binadamu, upatikanaji wa haki kwa makundi maalumu, uandishi wa habari kuhusu haki za binadamu na kuboreshwa kwa huduma za kisheria na ukaribu wa serikali wa kufanyakazi na wadau wa haki za binadamu,” alisema Massay akifafanua zaidi kuhusu manufaa ya ufadhili wa Umoja wa Mataifa katika kuboresha haki za binadamu nchini.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Tom Nyanduga (wa pili kushoto) akitoa neno la ukaribisho kwa wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa (hawapo pichani) ulipotembelea tume hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (kushoto), Katibu Mtendaji wa THBUB, Mary Massay (wa pili kulia), Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Awa Dabo (kulia).(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

Katika mazungumzo yao na ujumbe wa nchi za Nordic ambazo ni Sweden, Denmark, Norway Finland na Iceland kulikuwepo pia asasi mbalimbali zisizo za kiserikali kama Women’s Legal Aid Center, Tanzania Women Lawyers Association, Tanzania Women Judges Association, Legal Aid and Human Rights Center, Human Rights Defenders Coalition, na Tanganyika Law Society.

Katika mazungumzo hayo asasi hizo zilielezea ufanyaji kazi wao mafanikio na changamoto wanazokumbana nazo na umuhimu wa ufadhili wa mashirika ya Umoja wa Mataifa.

Akizungumzia changamoto zinazokabili Umoja wa Mataifa, serikali na asasi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez alisema ipo haja ya kuwa na muono wa muda mrefu wa kuratibu shughuli zinazohusiana na maendeleo endelevu.

Katibu Mtendaji wa THBUB, Mary Massay akizungumzia shughuli mbalimbali zinazofanywa na tume hiyo kwa ujumbe kutoka nchi za Nordic ulioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa (hawapo pichani) ulipotembelea tume hiyo.

Alisema kwamba mabadiliko ya kitabia kwa binadamu huchukua muda mrefu kukubalika hivyo ni wajibu wa kila mmoja kufanya bidii ya kuhakikisha kwamba maisha yanabadilika na watu wanakumbatia mambo ya kisasa yanayochochea maendeleo yao na jamii

Akizungumza kwa niaba ya wajumbe kutoka nchi hizo za Nordic, Anders Rönquist, ambaye ni kiongozi wa ushirikiano wa kimataifa wa Shirika la Misaada la Sweden (SIDA), alisema pamoja na changamoto zilizopo kitaasisi, kisiasa, kifedha na kitamaduni maendeleo yaliyopo katika sheria na haki za binadamu nchini Tanzania yanatia moyo sana.

Alisema ipo haja ya serikali kuendelea kuhimiza mabadiliko na kwamba wao wapo tayari kusaidia mkakati wa kuboresha masuala ya sheria na haki za binadamu.

Kiongozi wa ushirikiano wa kimataifa wa Shirika la Misaada la Sweden (SIDA), Anders Rönquist (kulia) akizungumza kwa niaba ya wajumbe kutoka nchi hizo za Nordic ulipotembelea ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Awa Dabo (kulia), akizungumza katika mkutano huo ambapo alishukuru mataifa hayo kwa kuendelea kusaidia programu za haki a binadamu nchini Tanzania. Alisema kwamba haki za binadamu ni kitu cha msingi katika maendeleo kwa kuwa hakuna maendeleo ya kweli bila kuwapo na haki za binadamu. Alisema kwamba maendeleo na haki za binadamu ni mambo yanayoshabihiana na kuimarika kwake kunasaidia kuimarisha ustawi wa jamii. Alishukuru pia serikali ya Tanzania kwa kuhakikisha kwamna masuala ya utawala bora na haki za binadamu yamo katika mpango wa miaka mitano wa maendeleo ambao unasaidiwa pia na UNDAP ll.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Tom Nyanduga akisisitiza jambo kwenye mkutano na wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa walipotembelea ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake na Watoto (WLAC), Theodosia Muhulo akielezea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kituo chake katika kuhakikishwa wanawake na watoto wapata msaada wa kisheria wakati wa ziara ya wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa walipotembelea ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) jijini Dar es Salaam.
Mwansheria kutoka Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Benedict Ishabakaki akizungumzia shughuli mbalimbali wanazofanya za msaada wa kisheria wakati wa ziara ya wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa walipotembelea ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) jijini Dar es Salaam.
Jaji wa Mahakama Kuu na Makamu Mwenyekiti wa TAWLA, Sophia Wambura aki-'share' uzoefu wake katika masuala ya sheria wakati wa ziara ya wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa walipotembelea ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) jijini Dar es Salaam.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akitoa neno la shukrani kwa Mwenyekiti wa THBUB wakati wa ziara ya wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa walipotembelea ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) jijini Dar es Salaam.
Jaji wa Mahakama Kuu na Makamu Mwenyekiti wa TAWLA, Sophia Wambura akikabidhi zawadi kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (kulia) baada ya kumalizika mkutano wa wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa walipotembelea ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Eusebia Munuo akikabidhi zawadi kwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Tom Nyanduga wakati wa ziara ya wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa walipokutana na uongozi wa ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) jijini Dar es Salaam.
Picha juu na chini ni wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa walipotembelea ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB).


 

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Tom Nyanduga katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka nchi za Nordic walioambatana na wataalam kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa walipotembelea ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) jijini Dar es Salaam.

MAKAMU WA RAIS MHE. ASHIRIKI UFUNGUZI WA MABWENI YA WANACHUO CHA MAAFISA TABIBU SENGEREMA MKOANI MWANZA

$
0
0
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la ufunguzi wa mabweni ya wanachuo cha maafisa Tabibu Sengerema mkoani Mwanza.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi ya pongeza mara baada ya zoezi la ufunguzi wa mabweni ya wanachuo cha maafisa Tabibu Sengerema mkoani Mwanza kukamilika katikati ni Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Geita Mhashamu Flavian Kassala ,Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalim.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi pamoja na viongozi mbali mbali mara baada ya kukamilika kwa zoezi la ufunguzi wa mabweni ya wanachuo cha maafisa Tabibu Sengerema mkoani Mwanza.
           
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wanafunzi na wazazi waliojitokeza wakati wa ufunguzi wa mabweni ya wanachuo cha maafisa Tabibu Sengerema mkoani Mwanza.
                    
      ................................................................ 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya awamu ya Tano itaendelea kujenga na kuimarisha ushirikiano na taasisi za kidini nchini ili kuhakikisha miradi ya kijamii inayotekelezwa na taasisi hizo inaleta manufaa makubwa kwa wananchi wa Tanzania.


Makamu wa Rais ametoa kauli hiyo wakati akihutubia mamia ya wananchi  wa wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza kabla  ufunguzi wa mabweni ya wanafunzi wa Chuo cha Maafisa Tabibu yaliyojengwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita kwa gharama ya shilingi milioni 659.


Makamu wa Rais amesisitiza kuwa Serikali inatambua mchango mkubwa  unaotolewa na taasisi za kidini nchini unaolenga kuimarisha utoaji wa huduma bora za kijamii na hivyo Serikali inaendelea kudumisha mahusiano mema yaliyopo kati ya Serikali na taasisi hizo za kidini nchini.


Makamu wa Rais pia amehimiza taasisi za kidini nchini kutumia vizuri misamaha ya kodi wanayopewa na Serikali ili kuhakikisha misamaha hiyo inakuwa na manufaa mazuri kwa jamii na sio vinginevyo.

Kuhusu uhifadhi wa chakula, Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ameonya  vikali tabia ya baadhi ya wananchi kuuza mazao waliyovuna na baadaye kukabiliwa na uhaba wa chakula na kusema tabia hiyo sio nzuri na lazima ikomeshwe haraka iwezekanavyo.

Makamu wa Rais amewaagiza viongozi wa wilaya kote nchini kupambana ipasavyo na wimbi la uuzaji kiholela nafaka hasa nje ya nchini ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa chakula kwa wananchi.

U20: KAGERA SUGAR 1 v 1 YANGA, CHRISTOPHER MSHANGA AWASAWAZISHIA BAO DAKIKA ZA MAJERUHI KAGERA KWENYE MCHEZO WA UFUNGUZI LEO KAITABA.

$
0
0
Timu ya Kagera Sugar U-20 wakiwa tayari kuanza mtanang huo wa Ufunguzi dhidi ya Timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam.Timu zote mbili zikiwa tayari kuanza mchezo

Na Faustine Ruta, Bukoba
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu ndie aliyekuwa Mgeni rasmi leo kwenye Ligi ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 20 za klabu zote za Ligi Kuu ya Vodacom iliyoanza kutimua vumbi hii leo Novemba 15, 2016. Mchezo huu wa ufunguzi uliofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba mkoani Kagera na kushuhudia Timu wenyeji Kagera Sugar wakiumaliza kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Timu ya Yanga.

Kipindi cha kwanza kilimalizika bila ya kufungana, Kipindi cha pili dakika ya 69 Yanga walipata bao la kuongoza kutokana na mpira wa adhabu uliomshinda mlinda mlango wa Timu ya Kagera Samir Mbina Charles. Kipindi cha pili dakika za mwishoni Kagera Sugar walisawazisha bao kupitia kwa Christopher Mshanga baada ya beki wa Yanga kukosea na mpira kumtoka na kujikuta akimsindikiza mfungaji huyo kwenye eneo hatari kwenda kushuhudia bao la kusawazisha kwa Kagera huku zikiwa dakika zimeyoyoma.

Vijana wakiwa wamebeba Vibao kuonesha kwa Timu zote kuanza michuano hiyo ya Ligi ya U20 leo kwenye Uwanja wa Kaitaba ambapo Mechi ya Ufunguzi imefanyikia.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu ambaye ndie aliyekuwa mgeni rasmi akijiandaa kwenda kufunga mkwaju wa penati ikiwa ni ishara ya ufunguzi wa Ligi hiyo ya U20 leo kwenye Uwanja wa Kaitaba.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu akiupanga kisawasawa mpira 
Shuti ...

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu akifanya yake kwenye ufunguzi wa Ligi ya U-20 .
Kipa aliudaka mpira huo

Wakisalimiana kabla ya mtanange kuanza

Kagera Sugar U-20

Kikosi cha Timu ya Kagera Sugar U-20









Kikosi cha Timu ya Kagera Sugar



Msimu wa kwanza wa Timu za U20 umezinduliwa hii leo kwenye Uwanja wa Kaitaba na kushuhudiwa na Mashabiki wengi wa soka na mchezo huo kumalizika kwa sare ya 1-1.

Shadrack Nsajigwa ndie alikuwa akiongoza Timu ya U-20 YangaShadrack Nsajigwa mchezaji wa Zamani na hapa akiitumikia Timu ya U20 ya Yanga.Hakuna kwenda...popote...
Mashabiki wa Timu ya Kagera Sugar hii leo wakiwashangilia Vijana wao wa U-20.

katikati ya uwanja patashika lilitokea kipindi cha pili

Mchezaji Yusuph Antony (kulia) wa Yanga akiwakacha wachezaji wa Kagera

Yusuph Suleiman(kulia) akimwendesha mchezaji wa Kagera Sugar


Wazee wa Kazi nao walikuwepo Kaitaba kwenye Ufunguzi...


Kipa wa Timu ya U20 ya Yanga Hamza Abdalah Rwambow akishangilia kipindi cha pili dakika ya 69 baada ya Yanga kupata bao.
Kila mchezaji alikuwa na wake wa kukabaMchezaji Christopher Mshanga (kushoto) akipongezwa baada ya kusawazisha bao dakika za lala salamaShadrack Nsajigwa baada ya Timu ya Kagera kusawazisha bao dakika za majeruhi.
Christopher Mshanga aliyesawazisha bao dakika za lala salama na hapa akihojiwa na Mwandishi wa Habari wa Azam Tv.Mara baada ya mtanange kumalizika walipata picha ya pamoja na Kocha wao msaidizi (kulia) Cretus Mutakyawa.

WAJUMBE BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR WATEMBELEA BANDARI YA TANGA

$
0
0
Tanga, WAJUMBE 14 wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi Baraza la Uwakilishi la Zanzibar wamesema ujio wa Mradi wa Bomba la Mafuta Tanga  litaongeza ajira kwa vijana wakiwemo Wanzanzibar waishio Tanga.


Wajumbe hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Hamza Hassan Juma walitembelea bandari ya Tanga eneo la upakuzi wa shehena ya mizigo na eneo itakapojengwa bandari mpya ya Mwambani.

Akizungumza mara baada ya ziara hiyo, Hassan alisema Serikali ya Zanzibar imejipanga kuimarisha bandari zake ikiwemo ya Wete na Mkoani Kisiwani Pemba ikiwa ni maandalizi ya ujio wa Bomba la Mafuta.

Akizungumzia kilio cha wafanyabiashara na wasafiri wa Pemba na Tanga kwa kutumia usafiri wa baharini, Hassan alisema kero hiyo Serikali inaitambua na jitihada za kuwa na meli ya uhakika inafanywa.

Alisema kuna baadhi ya wafanyabiashara wa Pemba ambao walikuwa wakichukua bidhaa Tanga wamekatisha na baadhi yao mitaji kufa kutokana na kutokuwepo kwa usafiri wa uhakika wa baharini.

Awali akizungumza na wajumbe hao wa Baraza la Wawakilishi, Kaimu Meneja wa Badari Tanga, Henry Arika, alisema mchakato wa mradi wa bomba la mafuta unaenda kwa kasi na kuwataka wawekezaji kutoka Zanzibar kuja kuwekeza.

Alisema Tanga ziko fursa nyingi za uwekezaji na yako maeneo mengi hivyo kupitia ujio wa mradi wa Bomba la mafuta amewataka wawekezaji wa ndani kuchangamkia.
Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga, Henry Arika (katikati) akitoa maelezo kwa wajumbe 14 wa Baraza la Wawakilishi kutoka Zanzibar walipotembelea bandari ya Tanga kujifunza
Afisa Mtekelezaji Mkuu Bandari ya Tanga, Donald Kaire, akitoa maelezo kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar walipofanya ziara bandari hiyo juzi. Katikati ni Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga, Henry Arika.

Waziri Mahiga akutana na Waziri wa Biashara za Kimataifa na Maendeleo wa Finland

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Waziri wa Biashara za Kimataifa na Maendeleo wa Finland, Mhe. Kai Mykkanen alipomtembelea kwa mazungumzo Wizarani Jijini Dar es Salaam. Wawili hao wamezungumzia masuala mbalimbali kuhusu masuala ya biashara, uwekezaji na maendeleo ya huduma za kijamii nchini. Mhe. Kai katika mazungumzo hayo ameahidi kupitia Wizara yake ataendelea kushirikiana na Tanzania katika kuongeza kasi ya ukuaji wa shughuli za maendeleo sambamba na kuendelea kushawishi sekta binafsi za Finland kuja kuwekeza nchini. 
Mhe. Waziri, Balozi Dkt. Augustine Mahiga akifafanua jambo wakati wa mazungumzo na Waziri wa Biashara za Kimataifa na Maendeleo wa Finland Mhe. Kai Mykkanen 
Mazungumzo yakiendelea 
Mhe. Waziri, Balozi Dkt. Augustine Mahiga akimsikiliza Waziri wa Biashara za Kimataifa na Maendeleo wa Finland Mhe. Kai Mykkanen walipokutana kwa mazungumzo Wizarani Jijini Dar es Salaam

Article 14

Vyama vya Ushirika Vianzishe Viwanda Vidogovidogo

$
0
0

Vyama vya Ushirika vimetakiwa kushiriki katika kuanzisha viwanda vidogovidogo ambavyo vitawezesha uchakataji wa mazao ya wakulima, wavuvi na wafugaji, kuweka kwenye madaraja na kufungasha tayari kwa ajili ya mauzo.

Wito huo umetolewa na Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini Bw. Tito Haule katika Ufunguzi wa Kikao Kazi cha Warajis Wasaidizi Wa Vyama Vya Ushirika Wa Mikoa kilichofanyika leo mjini Dodoma Novemba 15, 2016.

“Sekta ya Ushirika ina mchango mkubwa katika kuwezesha kutimia kwa azma ya Serikali ya kukuza uchumi, hivyo kila mmoja wetu katika eneo lake tuweke msukumo katika vyama vya ushirika ili viweze kuwa sehemu ya utekelezaji wa azma hii ya Serikali ya Awamu ya Tano ya kuipeleka nchi yetu katika uchumi wa viwanda ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuongeza kasi ya kufikia lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025,” alisema Mrajis.  

Viwanda vinavyomaanishwa siyo lazima viwe viwanda vyenye kuhitaji mitambo mikubwa bali vinaweza kuanzishwa viwanda vidogovidogo ambavyo vitawezesha uchakataji wa mazao.

Bw. Haule akizungumzia kuhusu majukumu yatakayopewa kipaumbele na Tume ya Maendeleo ya Ushirika alisema ni kusimamia na kudhibiti badala ya kuwa wasuluhishi wa migogoro katika Vyama vya Ushirika.

“Sote tunafahamu kwamba kuna udhaifu mkubwa katika eneo la usimamizi na udhibiti wa vyama vya ushirika na hivyo kusababisha utii wa sheria kutozingatiwa katika uendeshaji wa shughuli za vyama vya ushirika. Hivyo, kipaumbele changu cha kwanza ni Usimamizi, cha pili ni Usimamizi na cha tatu ni Usimamizi”, alisema Bw. Haule.








Wakazi wa Nzega zaidi ya 100 waanza kufaidi mkopo wa “WanaNzengo Airtel Fursa”

$
0
0
 Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini Mhe, Hussein Bashe (kushoto) akibadilishana mkataba wa thamani ya shilingi milioni 20 na Meneja wa huduma kwa jamii wa Airtel Bi Hawa Bayumi (kulia) mara baada ya kusaini mkataba huo Nzega na kushudiwa na mkuu wa wilaya wa Nzega Mh, Godfrey Ngupula. mkataba huo unaunganisha Airtel FURSA na asasi iliyoundwa kimikakati na Mbunge huyo ya Nzega Urban Trust Fund kwa lengo la kumaliza tatizo la umasikini wa kipato katika jimbo la Nzega Mjini, Programu hii itawawezesha vijana wajasiriamali waishio katika ya kata 10 zilizoko ndani ya Jimbo la Nzega Mjini mkoani Tabora kupata mikopo yenye riba nafuu itakayosaidia kutatua changamoto za ajira kwa vijana. 
 
 


Wakazi wa Nzega zaidi ya 100 waanza kufaidi mkopo wa “WanaNzengo Airtel Fursa”

Dar es salaam , Jumanne 15 Novemba , kampuni ya Airtel Tanzania kwa kushirikiana na Nzega Urban Trust Fund imeanza kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo wadogo katika mji wa Nzega mara baada ya kuzindua mfuko maalumu utakaowawezesha wajasiriamali kupata mikopo iliyo na riba ndogo na nafuu sana kwa lengo la kuendeleza miradi yao ya kibiashara!

Mradi huo ujulikanao kama “WanaNzengo Airtel Fursa” ulibuniwa kwa jitihada za Mbunge wa Nzega mjini Mheshimiwa na Hussein Mohammed Bashe na kuzinduliwa mwanzoni mwa mwezi Novemba chini ya udhamini wa Airtel na kuwekwa chini ya uratibu wa taasisi ya Nzega Urban Trust Fund. Programu hii ya mikopo kwa wajasiriamali wadogo wadogo imeonyesha mafanikio katika hatua za awali kwa kuwezesha makundi 20 yenye wafanyabiashara zaidi ya 100 kupata mikopo.

Akiongea kuhusu mikopo hiyo Meneja Programu wa Nzega Urban Trust Fund, Bw. Felician Andrew alisema “Tangu kuzinduliwa kwa mpango huu tumepokea maombi mengi sana toka kwa wajasiriamali ndani ya mji huu wa Nzega na leo tunayofuraha kuwapatia mikopo watu wapatao 100 ndani ya vikundi 20 vya awali baada ya kutimiza taratibu zote na kukidhi vigezo vya kupewa mikopo hii. Tunaamini hii sasa itakuwa fursa pekee kwa wafanyabiashara na wakazi wa Nzega kukuza biashara zao”

Aliongeza kwa kusema “Mikopo hii tunayotoa imelenga kukuza mitaji ya wafanyabiashara wadogo wadogo na ndio maana riba yake ni ndogo sana kwani tunatoza asilimia 1 kama riba. Tumeweza kufanya hivi kwa vile Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel ilituwezesha kwa kutupatia fungu la fedha kiasi cha shilingi million 20 ili kutekeleza program hii ambayo ni endelevu na Airtel wamefungua mlango wa fursa!”.

Ili kupata mkopo ikiwa wewe ni mjasiliamali na mkazi wa Nzega unatakiwa kujaza fomu ya maombi ya mkopo, ukiwa katika kikundi kisichozidi wala kupungua idadi ya watu 5 ambao wote mnapaswa kuwa watumiaji wa Mtandao wa Airtel, kwa kuwa fedha hizi hutolewa kwa mfumo wa Airtel Money.

Ni matumaini yetu wajasiriamali watatumia fursa hii vyema katika kuinua mitaji yao lakini vilevile sisi tumejipanga ili kuhakikisha tunawafikia wafanyabiashara wengi zaidi. Mpango wetu ni kuhakikisha ifikapo mwishoni mwa mwaka huu tuweze kuwawezesha takribani wafanyabiashara 200 kupitia programu hii.

Kwa upande wake meneja huduma kwa jamii wa Airtel , Hawa Bayumi alisema”Airtel tunaendelea kutimiza dhamira yetu kwa vitendo kupitia mradi wetu wa Airtel FURSA na kuwawezesha wajasiriamali wadogo wadogo hususani vijana kuinua uchumi wao. “WanaNzengo Airtel Fursa” ni sehemu ya mikakati yetu katika kuhakikisha tunafikia malengo yetu na kuinua shughuli za jamii inayotuzunguka.

Vikundi vilivyonufaika ni pamoja na C. C.M Vijana, Vumilia, Purity, Huruma, Upendo Group, Upendo Na Amani B.B.C, Unyanyembe, Luquman, Isamilo Soko Kuu, Maua, Mama Lishe Parking, Tofali Choma, Umoja Wa Wakata Tairi, Amka Na Badilika, Seba Akujiwe, Umoja Lingini, Nzega Tanzania Deaf Society, Upendo Magharibi, Sister Group Na Hamarzon.



HAPPY BDAY MH RC DR REHEMA NCHIMBI

$
0
0
  Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Dr Rehema Nchimbi  akiwa kwenye chumba cha wazazi akiwapatia akina mama waliojifungua watoto zawadi mbali mbali.

Wanafamilia tunapenda kuungana na watanzania wote kumtakia heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa mama yetu mpendwa Dr Rehema Nchimbi, Mungu azidi kumlinda na kumtunza ili aendelee kutumika kwa faida ya Taifa letu.
 Pichani ndie mama mzazi wa mh  Dr Rehema Rehema Nchimbi Bibi Mwl Selina Daudi. Pongezi kwake kwa kutuletea kiongozi wa wote.
Mama DR Rehema Nchimbi akifurahia jambo na watoto wake.


Onyesho La sanaa za Ufundi lafana Sweden

$
0
0
Ni onyesho la sanaa za ufundi nchini Sweden lililoandaliwa na msanii kutoka Tanzania Kennedy Mmbando. Lengo la onyesho hilo ni kutangaza uzuri wa mazingira aa Tanzania pamoja na umuhimu wa kumlinda myama Tembo. Onyesho linaendelea mpaka December 14.






















Waziri Mahiga azungumza na Wadau wa Maendeleo kutoka nchi za Nordic na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa Tanzania.

Next: 1a Mr Justin Christianson Managing Director East Africa of Jumia Market. 2a Harrieth Mgongolwa Marketing Manager Jumia Market. ……………………………………………………………………………… Jumia Market Tanzania announces the launch of Black Friday this month providing customers more deals than ever before. Jumia Market aims to give back to the community with revolutionary discounts which will be available from the week of 21st November towards the actual day of the event on 25th November, Black Friday. It’s all about deals and bargain hunting throughout the week as Jumia Market enables customers to discover the best deals on the most sought-after products in the market. Shoppers will be offered exclusive deals and discounts of up to 70% across all product categories including electronic devices, home and living products, fashion, service deals, sport products and toys. ‘Black Friday will bring to the Tanzanian consumer all the benefits e-commerce has to offer in a scale this country has not seen before. Deals at your fingertips, delivery to your doorstep, transparency in prices and the benefit of seeing ratings and feedback from other costumers before placing your order. I am very excited about so many great deals, thrilled by the enthusiasm of our sellers and proud to be part of the team that is bringing all this to Tanzania!’ Says LauritzElmshauser the Country Manager of Jumia Market, Tanzania Originally established in the US more than 50 years ago Black Friday is a well-known sales day that takes place after thanksgiving where retailers see a spike in sales. The day became the biggest shopping day of the year with retailers offering discounts and special deals. Currently Black Friday is a global movement where people across the continent search for the best deals and discounts they would otherwise not get on a regular day. This year Jumia Market brings over2000 deals for the customers to enjoy during Black Friday showcasing daily deals from 21 st November and climaxing with over 50 deals on the 25th, Black Friday. Tanzania’s leading e-commerce platforms advises consumers to research in advance on their favorite products, and place them on their wish list to prepare for the discounts. Jumia Market will continue to post updates on its social media platforms to inform fans of the daily exclusive sales. Jumia Market’s mission is to enable Tanzanian consumers and entrepreneurs to do better business together hence connecting potential buyers and sellers across the country on their platform. Jumia Market delivers across the country with leading orders placed in Dar essalaam, Mwanza and Arusha. Jumia Market urges customers from up- country to buy on the platform thus simplifying and fulfill their shopping needs despite the geographical barriers. Once an order is placed and verified you will receive the product at your doorstep and can make payments with cash upon delivery. By downloading the Jumia Market App available in Apple App Store and Google Play Store, a customer can easily then shop with more convenience and will receive notifications around the great deals of the day during the week of Black Friday. Visit www.jumia.co.tz now to experience the best online shopping experience fromTanzanias leading e-commerce platform.
$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akifafanua jambo kwenye Mkutano na Wadau wa Maendeleo kutoka nchi za Nordic uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Nchi za Nordic zinatoa mchango mkubwa katika shughuli mbalimbali za maendeleo nchini ikiwemo kilimo na miradi ya maji. Nordic inaundwa na Nchi tano ambazo ni Norway, Finland, Iceland,Sweden na Denmark. 
Mkutano ukiendelea 
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Nchini Bw.Alvaro Rodrigues akizungumza wakati wa mkutano 
Mwakilishi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Norway Bi. Sive Cathrine Moe akizigumza wakati wa mkutano 
Baadhi ya Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje wakifuatilia Mkutano. 
Mhe. Waziri Balozi Dkt. Augustine Mahiga akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano

1a Mr Justin Christianson Managing Director East Africa of Jumia Market. 2a Harrieth Mgongolwa Marketing Manager Jumia Market. ……………………………………………………………………………… Jumia Market Tanzania announces the launch of Black Friday this month providing customers more deals than ever before. Jumia Market aims to give back to the community with revolutionary discounts which will be available from the week of 21st November towards the actual day of the event on 25th November, Black Friday. It’s all about deals and bargain hunting throughout the week as Jumia Market enables customers to discover the best deals on the most sought-after products in the market. Shoppers will be offered exclusive deals and discounts of up to 70% across all product categories including electronic devices, home and living products, fashion, service deals, sport products and toys. ‘Black Friday will bring to the Tanzanian consumer all the benefits e-commerce has to offer in a scale this country has not seen before. Deals at your fingertips, delivery to your doorstep, transparency in prices and the benefit of seeing ratings and feedback from other costumers before placing your order. I am very excited about so many great deals, thrilled by the enthusiasm of our sellers and proud to be part of the team that is bringing all this to Tanzania!’ Says LauritzElmshauser the Country Manager of Jumia Market, Tanzania Originally established in the US more than 50 years ago Black Friday is a well-known sales day that takes place after thanksgiving where retailers see a spike in sales. The day became the biggest shopping day of the year with retailers offering discounts and special deals. Currently Black Friday is a global movement where people across the continent search for the best deals and discounts they would otherwise not get on a regular day. This year Jumia Market brings over2000 deals for the customers to enjoy during Black Friday showcasing daily deals from 21 st November and climaxing with over 50 deals on the 25th, Black Friday. Tanzania’s leading e-commerce platforms advises consumers to research in advance on their favorite products, and place them on their wish list to prepare for the discounts. Jumia Market will continue to post updates on its social media platforms to inform fans of the daily exclusive sales. Jumia Market’s mission is to enable Tanzanian consumers and entrepreneurs to do better business together hence connecting potential buyers and sellers across the country on their platform. Jumia Market delivers across the country with leading orders placed in Dar essalaam, Mwanza and Arusha. Jumia Market urges customers from up- country to buy on the platform thus simplifying and fulfill their shopping needs despite the geographical barriers. Once an order is placed and verified you will receive the product at your doorstep and can make payments with cash upon delivery. By downloading the Jumia Market App available in Apple App Store and Google Play Store, a customer can easily then shop with more convenience and will receive notifications around the great deals of the day during the week of Black Friday. Visit www.jumia.co.tz now to experience the best online shopping experience fromTanzanias leading e-commerce platform.

$
0
0
 Mr Justin Christianson Managing Director East Africa of Jumia Market.2a
Harrieth Mgongolwa Marketing Manager Jumia Market.
………………………………………………………………………………
Jumia Market Tanzania announces the launch of Black Friday this month providing customers more deals than ever before. Jumia Market aims to give back to the community with revolutionary discounts which will be available from the week of 21st November towards the actual day of the event on 25th November, Black Friday.
It’s all about deals and bargain hunting throughout the week as Jumia Market enables customers to discover the best deals on the most sought-after products in the market. Shoppers will be offered exclusive deals and discounts of up to 70% across all product categories including electronic devices, home and living products, fashion, service deals, sport products and toys.
‘Black Friday will bring to the Tanzanian consumer all the benefits e-commerce has to offer in a scale this country has not seen before. Deals at your fingertips, delivery to your doorstep, transparency in prices and the benefit of seeing ratings and feedback from other costumers before placing your order. I am very excited about so many great deals, thrilled by the enthusiasm of our sellers and proud to be part of the team that is bringing all this to Tanzania!’ Says LauritzElmshauser the Country Manager of Jumia Market, Tanzania
Originally established in the US more than 50 years ago Black Friday is a well-known sales day that takes place after thanksgiving where retailers see a spike in sales. The day became the biggest shopping day of the year with retailers offering discounts and special deals. Currently Black Friday is a global movement where people across the continent search for the best deals and discounts they would otherwise not get on a regular day.
This year Jumia Market brings over2000 deals for the customers to enjoy during Black Friday showcasing daily deals from 21 st November and climaxing with over 50 deals on the 25th, Black Friday. Tanzania’s leading e-commerce platforms advises consumers to research in advance on their favorite products, and place them on their wish list to prepare for the discounts. Jumia Market will continue to post updates on its social media platforms to inform fans of the daily exclusive sales.
Jumia Market’s mission is to enable Tanzanian consumers and entrepreneurs to do better business together hence connecting potential buyers and sellers across the country on their platform. Jumia Market delivers across the country with leading orders placed in Dar essalaam, Mwanza and Arusha. Jumia Market urges customers from up- country to buy on the platform thus simplifying and fulfill their shopping needs despite the geographical barriers. Once an order is placed and verified you will receive the product at your doorstep and can make payments with cash upon delivery.
By downloading the Jumia Market App available in Apple App Store and Google Play Store, a customer can easily then shop with more convenience and will receive notifications around the great deals of the day during the week of Black Friday.
Visit www.jumia.co.tz now to experience the best online shopping experience  fromTanzanias leading e-commerce platform.

JIKO: TIBA YENYE NGUVU ZA AJABU!

Previous: 1a Mr Justin Christianson Managing Director East Africa of Jumia Market. 2a Harrieth Mgongolwa Marketing Manager Jumia Market. ……………………………………………………………………………… Jumia Market Tanzania announces the launch of Black Friday this month providing customers more deals than ever before. Jumia Market aims to give back to the community with revolutionary discounts which will be available from the week of 21st November towards the actual day of the event on 25th November, Black Friday. It’s all about deals and bargain hunting throughout the week as Jumia Market enables customers to discover the best deals on the most sought-after products in the market. Shoppers will be offered exclusive deals and discounts of up to 70% across all product categories including electronic devices, home and living products, fashion, service deals, sport products and toys. ‘Black Friday will bring to the Tanzanian consumer all the benefits e-commerce has to offer in a scale this country has not seen before. Deals at your fingertips, delivery to your doorstep, transparency in prices and the benefit of seeing ratings and feedback from other costumers before placing your order. I am very excited about so many great deals, thrilled by the enthusiasm of our sellers and proud to be part of the team that is bringing all this to Tanzania!’ Says LauritzElmshauser the Country Manager of Jumia Market, Tanzania Originally established in the US more than 50 years ago Black Friday is a well-known sales day that takes place after thanksgiving where retailers see a spike in sales. The day became the biggest shopping day of the year with retailers offering discounts and special deals. Currently Black Friday is a global movement where people across the continent search for the best deals and discounts they would otherwise not get on a regular day. This year Jumia Market brings over2000 deals for the customers to enjoy during Black Friday showcasing daily deals from 21 st November and climaxing with over 50 deals on the 25th, Black Friday. Tanzania’s leading e-commerce platforms advises consumers to research in advance on their favorite products, and place them on their wish list to prepare for the discounts. Jumia Market will continue to post updates on its social media platforms to inform fans of the daily exclusive sales. Jumia Market’s mission is to enable Tanzanian consumers and entrepreneurs to do better business together hence connecting potential buyers and sellers across the country on their platform. Jumia Market delivers across the country with leading orders placed in Dar essalaam, Mwanza and Arusha. Jumia Market urges customers from up- country to buy on the platform thus simplifying and fulfill their shopping needs despite the geographical barriers. Once an order is placed and verified you will receive the product at your doorstep and can make payments with cash upon delivery. By downloading the Jumia Market App available in Apple App Store and Google Play Store, a customer can easily then shop with more convenience and will receive notifications around the great deals of the day during the week of Black Friday. Visit www.jumia.co.tz now to experience the best online shopping experience fromTanzanias leading e-commerce platform.
$
0
0
Tiba hii inaitwa JIKO. Kila mwanaume anae itumia, INAMPONYESHA KABISA tatizo la UKOSEFU na UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. Imethibitishwa na MKEMIA MKUU WA SERIKALI YA TANZANIA

Kufahamu jinsi tiba hii inavyo fanya kazi, bofya link hii hapa chini :


Kwa mahitaji yako ya tiba hii, wasiliana na duka la NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC kwa simu namba 0766 53 83 84.

Tunapatikana UBUNGO jijini DAR ES SALAAM, jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA. · Kwa wateja waliopo DAR ES SALAAM, wasio na nafasi ya kufika ofisini kwetu, watapelekewa dawa mahali walipo ( HOME & OFFICE DELIVERY ).

· Kwa wateja waliopo mikoani, watatumiwa dawa kwa njia ya mabasi mbalimbali.

· Kwa wateja waliopo Zanzibar, watatumiwa dawa kwa njia ya usafiri wa boti.

· Kwa wateja wa Mombasa, watatumiwa dawa kwa basi la TAHMEED COACH.

· Kwa wateja wa NAIROBI watatumiwa dawa kwa basi la DAR EXPRESS.

· Na kwa wateja wa UGHAIBUNI ( DIASPORA), watatumiwa dawa kwa njia ya POSTA au DHL.

· Kwa taarifa zaidi kuhusu huduma zetu, tembelea kila siku website yetu www.neemaherbalist.com

Dkt Kalemani azindua mradi wa Umeme (kW 430) mkoani Njombe.

$
0
0
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani akifunua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi wa Mradi wa Umeme wa Maji wa Kilowati 430 katika Kata ya Ikondo mkoani Njombe.  Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Rehema Nchimbi (wa kwanza kushoto), Mbunge wa Lupembe,  Joram Hongoli (wa pili kushoto),  Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU), Jane Nunes (wa Tatu kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Dkt Gideon Kaunda (wa pili kulia) na Balozi wa Italia nchini, Roberto Mengoni (wa Nne kulia).
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kutoka kulia) akipiga makofi mara baada ya uzinduzi rasmi wa Mradi wa Umeme wa Maji wa Kilowati 430 katika Kata ya Ikondo mkoani Njombe.  Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Rehema Nchimbi (wa kwanza kushoto), Mbunge wa Lupembe,  Joram Hongoli (wa Tatu kushoto),  Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU), Jane Nunes (wa Nne kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Dkt Gideon Kaunda (wa pili kushoto). 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kushoto) akiangalia moja ya mitambo ya kuzalisha umeme  Umeme wa Maji wa Kilowati 430 katika Kata ya Ikondo mkoani Njombe.  Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Rehema na wa kwanza kulia ni Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga.


Na Teresia Mhagama
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani amezindua mradi wa umeme wa Kilowati 430 unaotokana na maporomoko ya maji katika Kata ya Ikondo mkoani Njombe ambapo mpaka sasa zaidi ya wateja 1140 wameunganishiwa umeme huku zoezi hilo likiwa ni endelevu.

Uzinduzi huo uliofanyika katika Kata  hiyo ulihudhuriwa na Balozi wa Italia nchini Tanzania, Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU), Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa wilaya ya Njombe, wananchi wa Kata ya Ikondo, Shirika lililotekeleza mradi huo la CEFA, watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO).

Dkt. Kalemani alisema kuwa mradi huo umetekelezwa na Taasisi isiyo ya kiserikali ya CEFA  kutoka Italia     na kugharamiwa kwa pamoja kati ya Jumuiya ya Ulaya na Serikali ya Tanzania kwa jumla ya Dola za Marekani 110,209.

Aliongeza kuwa mradi huo wa umeme utasambazwa katika vijiji vilivyoko kata za Ikondo, Matembwe na Lupembe na ziada itakayobaki inaingizwa kwenye gridi ya Taifa.

" Habari njema ni kuwa tayari vijiji Saba vimeunganishiwa umeme kupitia mradi huu, hii inatimiza moja ya malengo ya Serikali ya kuhamasisha na kuwezesha upatikanaji wa nishati bora katika maeneo ya vijijini kupitia asasi za kiraia," alisema Dkt. Kalemani.

Alisema kuwa, hadi kufikia mwezi Juni, 2016 idadi ya wananchi wanaopata huduma ya umeme imefikia asilimia 40 huku vijijini ikiwa ni asilimia 24 na kueleza   kuwa juhudi zaidi zinafanyika ili kufikia lengo la kuunganisha umeme kwa asilimia 75 ya wananchi ifikapo mwaka 2025.

Aidha, Dkt. Kalemani aliwasisitiza wananchi wanaoishi karibu na vyanzo vya maji, kuhakikisha kuwa wanavitunza vyanzo hivyo na mazingira kwa ujumla ili kuweza kuwa na miradi ya mafanikio kama huo wa Ikondo.

Awali Meneja Mradi kutoka CEFA, Jacopo Pendezza alisema kuwa Taasisi hiyo ipo nchini kutoka mwaka 1976 na imejikita katika miradi ya umeme vijijini na ina miradi mbali mbali ya umeme inayofanya kazi katika Kata ya Matembwe, Boma la Ng'ombe na Ikondo mkoani Njombe.

Alisema kuwa awali mradi huo wa umeme wa Ikondo ulikuwa unazalisha Kilowati 80 za umeme lakini kutokana na mahitaji ya wananchi kuongezeka, CEFA kwa kushirikiana na kampuni ya kijiji cha Matembwe (MVP) inayosimamia mradi huo, waliamua kuongeza mtambo wa Kilowati 350 na hivyo kupelekea mradi huo kuzalisha jumla ya kilowati 430 za umeme.

Alisema kuwa umeme huo umeleta faida mbalimbali ikiwemo uanzishwaji wa miradi mbalimbali ambayo inawaletea wananchi kipato ikiwemo kiwanda cha kutengeneza chakula cha mifugo, soseji, mafuta ya kupikia, na kutumika katika shughuli za useremala na ushonaji wa nguo.

Kwa upande wake, Mwakilishi wa EU katika uzinduzi huo,  Jenny Nunes alisema kuwa mradi huo utakuwa na manufaa mbalimbali ikiwemo kuboresha maisha ya wananchi kiuchumi, kusaidia wanafunzi katika masomo na huduma nyingine muhimu za kijamii, na kusaidia juhudi za kupambana na mabadiliko ya tabia nchi.

Alisema kuwa EU itaendelea kusaidia miradi ya umeme nchini ili wananchi wengi wapate nishati hiyo muhimu na kwamba zaidi ya shilingi  bilioni 400 zitatumika  kwa ajili ya sekta husika.

Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Rehema Nchimbi alisema kuwa makao makuu ya wilaya zote mkoani Njombe, yameunganishwa na  huduma ya umeme na kwamba vijiji 250 kati ya 384 katika Mkoa huo tayari vinapata huduma ya umeme.

Alisema kuwa mkoa huo unazalisha mazao mbalimbali ikiwemo Chai, ambapo ili kuongezea thamani ya mazao hayo, lazima kuwe na umeme wa uhakika utakaosambazwa katika vijiji vyote vya Mkoa husika.

MHE. GAMBO AWATAKA WAFADHILI KUTOA CHAKULA MASHULENI

$
0
0
Na Nteghenjwa Hosseah - Arusha.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Mashaka Gambo amewataka wafadhili na wadau wa watoto kubuni miradi inayoendana na kusaidia  Mpango wa Serikali wa Elimu bure kwa shule za Msingi na Sekondari  ili kupunguza changamoto zinazojitokeza kwa sasa na kuuwezesha mpango huu kutekelezwa  kwa mafanikio makubwa.

Mhe. Gambo ameyasema hayo wakati wa Mkutano wa kushirikishana tuliojifunza wakati wa utekelezaji wa mpango wa pamoja tuwalee uliotekelezwa kwa miaka sita kwenye Kanda ya Kaskazini  na ambao kwa sasa umemaliza muda wake ulifanyika kwenye Hotel ya Mt Meru Jijini hapa.

Akizungumza katika Mkutano huo Mkuu wa Mkoa amesema kazi kubwa imefanyika wakati utekelezaji wote wa mradi  na mafanikio yake tumeonekana kwani watoto wamefikiwa na kusaidiwa kutoka katika mazingira hatarishi yaliyokuwa yanawakabili na wengine kupatiwa kadi za msamaha wa matibabu na zaidi mradi huu umekabidhiwa kwa Halmashauri husika ambazo  zitaendelea kusimamia na kutekeleza  mipango iliyowekwa chini ya mradi wa Pamoja Tuwalee.

Aliendelea kusema kuwa kukamilika kwa mradi huu katika awamu ya kwanza ni wazi kabisa kwamba ni maandalizi ya mradi mwingine ambao utakua na malengo yanayoshabihiana na programu ya awali hivyo ni vyema kwa kuwa walengwa bado ni watoto niwatake wadau kubuni miradi utakaolenga kusaidia Elimu bure na kwa kuwa watoto wote wanapata Elimu bure kupitia mpango huu basi ni vyema mkaelekeza nguvu kwenye utoaji wa Chakula kwa wananfunzi suala ambalo tumeona ni changamoto kwa watoto wetu.

Kwa upande wa Mkurugenzi Mkuu wa  Shirika la WEI – Bantwana “World Education Inc” Bi. Gill Gap alisema wanajivunia kuwa Taasisi iliyofanikisha utekelezaji wa mradi wa pamoja kwa ushirkiano wa Serikali ya Tanzania katia utekelezaji wa mradi pamoja na Serikali ya Marekani kwa ufadhili mradi huu. Pamoja Tuwalee ilikuwa maalumu kuwalinda watoto walio katika mazingira hatarishi  na kutoa Elimu kwa wazazi walioathirika namna ya kuishi na watoto hao pamoja na kuwajengea uwezo watumishi wa Halmashauri kuendeleleza jitahada za mradi huu.

Jacklin Badi ni Mkurugenzi wa WEI – Tanzania anasema “Bantwana ni kitengo ndani ya  Shirika la WEI kinachohudumia watoto na hapa Tanzania tulianza  utekelezaji mwaka 2010 na mpaka sasa tumefanikiwa kuwafikia watoto 1,470,445 pamoja na wazazi wao na wameweza kupatiwa  huduma jumuishi za kuwasaidia na kuwalinda watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Naye Mkurugenzi wa Kituo cha Maendeleo ya Wanawake, watoto na vijana “Center for women, Children and Youth Development (CWCD) Bi. Hindu Ally Mbwego ambao ni watekelezaji wa mradi huu wa Pamoja Tuwalee kupitia mwamvuli wa WEI-Bantwana amesema wamefanikiwa kuwafika katika maeneo yote ya Jiji la Arusha, Halmashauri ya Karatu na Moshi  na wanajivunia mafanikio waliyoyapata kutokana na mradi huu.

Tumebadilisha maisha ya watoto na kuhakikisha usalama wao katika Jamii wanazoishi, tumewatambua wazazi wenye watoto walioathirika na kuwapa elimu ya jinsi ya kuwafahamisha watoto wenye hali hiyo na namna ya kuishi nao ili waweze kukua katika malezi bora na afya njema sanjari na kupata Elimu alisema Bi. Hindu.

Mradi wa pamoja Tuwalee ni mpango wa Kitaifa wa miaka mitano uliotekelezwa na fedha za  mpango wa dharura wa Rais wa Marekani wa kupunguza makali ya virusi vya ukimwi kwa waathirka kupitia Shirika la Misaada la Marekani la USAID na kutekelezwa  na WEI-Bantwana pamoja na Kituo cha maendeleo ya Wanawake, watoto na vijana kilichopo Jijini Arusha.
    Mkurugenzi wa WEI-TANZANIA Bi. Lilian Badi (aliyesimama) akielezea mafanikio ya Mradi wakati wa Mkutano wa kuhitimisha mradi wa Pamoja Tuwalee.
  Mkurugenzi Mkuu wa World Education Inc Bi.Gill Garb akitoa taaria ya utekelezaji wa mradi wa Pamoja Tuwalee kupitia WEI-Bantwana.
 Mwakilishi wa US-AID Tanzania Bi. Maria Busquets akielezea namna ambavyo Shirika lake limefanikisha utekelezaji wa mradi wa Pamoja Tuwalee.
   Mkuu wa Mkoa wa Arusha akizungumza na wadau wa Mkutano 
 Mkurugenzi wa Kituo cha Maendeleo ya Wanawake, watoto na vijana (CWCD) Bi. Hindu Ally Mbwego akielezea mafanikio ya mradi kupitia Kituo chake ambao ndio watekelezaji katika Halmashauri za Jiji la Arusha, Karatu na Moshi.
Picha ya pamoja ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha (katikati mbele), Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi waliotekeleza mradi huu, viongozi wa WEI, US AID, CWCD pamoja na  Wadau  wa watoto walioshirki katika Mkutano wa kuhitimisha mradi wa Pamoja Tuwalee.
 Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo(mbele kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa CWCD Bi. Hindu Ally Mbwego (kulia mbele) pamoja na baadhi ya watoto wa Pamoja Tuwalee.
    Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo (Pili kushito) kwenye picha ya pamoja na wadau waliotekeleza mradi wa Pamoja Tuwalee
 Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo (katikati) akiwa na wataalam kutoka Halmashauri ya Korogwe waliofanikisha utekelezaji wa mradi wa Pamoja Tuwalee.

SAIDA KAROLI: MENEJA WANGU AMEMTAPELI DIAMOND MAMILIONI, MIMI NILIMPA WIMBO BURE

Viewing all 46384 articles
Browse latest View live




Latest Images