Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46343 articles
Browse latest View live

Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment yatembelea Bodi ya Filamu Tanzania

$
0
0
 Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa  Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment Bw. Dilesh Solank alipomtembelea Ofisi za Bodi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akizungumza na wawakilishi kutoka Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment walipomtembelea ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya watendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania na wawakilishi kutoka Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment wakimskiliza Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo Bibi. Joyce Fissoo (hayupo pichani) alipotembelewa na wawakilishi hao kutoka Setps leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment Bw. Dilesh Solank akisaini kitabu cha wageni alipotembelea ofisi za Bodi ya Filamu Tanzania leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto aliyekaa ni Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo Bibi. Joyce Fissoo na wanaoshuhudia ni Mwanasheria wa Steps Entertainment Cloud Ngalaba na Mkuu wa Uzalishaji Bw. Carlos John.

WAGONJWA WA KISUKARI SINGIDA WAADHIMISHA SIKU YA KISUKARI DUNIANI KWA KUPIMWA MACHO

$
0
0

Baadhi ya wagonjwa wa kisukari wa kliniki ya Hospitali ya Mkoa wa Singida wakisubiria kufanyiwa uchunguzi wa  macho katika kuadhimisha siku ya kisukari duniani.
sn2
Daktari bingwa wa macho Mkoani Singida Ngh’ungu Kuzenza akimfanyia uchnguzi wa macho mgonjwa wa kisukari katika kuadhimisha siku ya kisukari duniani.
sn3
Baadhi ya wagonjwa wa kisukari wa kliniki ya Hospitali ya Mkoa wa Singida wakisubiria kufanyiwa uchunguzi wa  macho katika kuadhimisha siku ya kisukari duniani.
sn4



Na Grace Singida

Wagonjwa wa kisukari Mkoani Singida leo wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya macho na daktari bingwa wa macho katika kuadhimisha siku ya ugonjwa wa kisukari duniani ikiwa na kauli mbiu ya ugonjwa wa kisukari na magonjwa ya macho.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Singida Dokta Ramadhani Kabala amewaambia wagonjwa wa kisukari waliohudhuria kufanyiwa uchunguzi wa macho kuwa maadhimisho hayo mwaka huu yamelenga kuzuia wagonjwa wasiathirike zaidi na magonjwa yatokanayo kisukari.

Dokta Kabala amesema ugonjwa wa kisukari hushambulia zaidi macho, figo na moyo hivyo serikali imeweka mkazo wa kuwafanyia uchunguzi ili kubaini tatizo ili wapatiwe matibabu mapema au kuzuia yasitokee kabisa kwa kufuata kanuni na taratibu za ugonjwa huo.

Ameongeza kuwa ugonjwa wa kisukari unawakumbusha watu kuishi kwa kufuata kanuni bora za afya kama kula mlo kamili, kula matunda badala ya juisi zilizotengenezwa viwandani, kufanya mazoezi na kupunguza vilevi na sigara hivyo wagonjwa wa kisukari hawana togauti na watu wengine isipokuwa wao hushauriwa kufuata kanuni hizo kwa umakini mkubwa.

Dokta Kabala amewakumbusha kutumia dawa kwa kufuata usahuri wa daktari wao pamoja na kuhudhuria kliniki za kisukari kwakuwa kliniki hizo zinawasaidia katika kushauriana namna bora ya kuishi kwa kufuata masharti wananyopewa pamoja kuelimishanzaidi juu ya ugonjwa huo.

Naye Daktari bongwa wa macho Mkoani Singida Dokta Ngh’ungu Kuzenza amesema utaratibu huo unasaidia kuzuia au kupunguza madhara ya ugonjwa wa kisukari kwakuwa wengi watatambuliwa kabla hawajafikia hatua ya kupofuka.

Dokta Kuzenza ameongeza kuwa changamoto kubwa ni watu wengi kutopima ugonjwa wa kisukari mapema mpaka wanapougua na hivyo kujikuta wameshaathirika macho ndipo hutafuta huduma.

Kwa upande wake mmoja kati ya wagonjwa wa kisukari 76 waliopata huduma ya kibingwa ya macho Bi Asha Selemani Waziri Mkazi wa Iguguno ameema serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwapima macho ili waweze kupata tiba mapema.

Bi Waziri ameiomba serikali kuendelea kuweka utaratibu wa kuwapima wagonjwa wa kisukari magonjwa mbalimbali kama moyo na figo huku akiwashauri wagonjwa wa kisukari kufuata ushauri wanaopewa na  wataalamu wa afya.

Siku ya Kisukari Duniani- Muhimbili Yawapima Kisukari Wafanyakazi Wake LEO

$
0
0
 Dk Elias Mwandwani akimpima kisukari mmoja wa wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Leo.
kik2
Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru akiwa amevaa beji ikiwa ni ishara ya kuwamasisha wafanyakazi wa hospitali hiyo kupima kisukari leo.
kik3
Juma Selemani akipima uzito Leo kabla ya kupima kisukari  katika Hospitali  hiyo leo.
kik4
Dk Faraja Chiwanga wa Muhimbili akimpima kisukari Juma Selemani katika hospitali hiyo Leo.
…………………………………………………………….
 Na Neema Mwangomo
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Leo imeadhimisha siku ya kisukari duniani kwa kuwapima kisukari wafanyakazi wa hospitali hiyo. 
 
Leo wafanyakazi wa hospitali hiyo walikuwa wakipimwa  kisukari na uzito pamoja na kupatiwa ushauri jinsi ya kupunguza uzito kwa wale waliobainika kuwa na uzito mkubwa.
 
Wafaanyakazi waliojitokeza  leo ni madaktari, wafanyakazi  kurugenzi za utawala, wauguzi  na wanafanyakazi mbalimbali wa hospitali hiyo.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo Profesa Lawurence Museru alikuwa mstari wa mbele katika kuwashawishi wafanyakazi kupima kisukari.
 
Naye Mkuu wa Kitengo cha Kisukari, Dk Mohamed J. Mohamed amesema Muhimbili imeona kuna umuhimu wa kupima kisukari kwa wafanyakazi wake kutokana na kubanwa na shughuli mbalimbali na hivyo mara nyingi wamekuwa wakikosa nafasi ya kupata huduma za afya.
 
“Tumeona ipo haja ya kutoa huduma hii kwani kuwa mfanyakazi wa Muhimbili haimaanishi kwamba upo salama kiafya hivyo tunafanya hivi ili wapate nafasi ya kupia kisukari,” amesema Dk Mohamed.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango azindua tawi la benki ya UBL Kariakoo

$
0
0


Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji akikata utepe kuzindua tawi jipya la Benki ya UBL Kariakoo katika hafla fupi iliyofanyika jana. Kulia ni Rais, Afisa Mtenadaji Mkuu wa United Bank Limited (UBL) Pakistan ambaye pia ni Mwenyekiti wa UBL Tanzania, Bw. Wajahat Husain na kushoto ni Afisa Mtenadaji Mkuu wa UBL Tanzania, Faisal Jamall.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi jipya la Benki ya United Bank Limited (UBL) la Kariakoo katika hafla fupi iliyofanyika jana.
Rais, Afisa Mtenadaji Mkuu wa United Bank Limited (UBL) Pakistan ambaye pia ni Mwenyekiti wa UBL Tanzania, Bw. Wajahat Husain akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa tawi la Kariakoo.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji wa pili kutoka kulia akikata keki maalum katika hafla ya uzindua tawi jipya la Benki ya UBL Kariakoo katika hafla fupi iliyofanyika jana. Kulia kwake ni Rais, Afisa Mtenadaji Mkuu wa United Bank Limited (UBL) Pakistan ambaye pia ni Mwenyekiti wa UBL Tanzania, Bw. Wajahat Husain na kushoto ni Afisa Mtenadaji Mkuu wa UBL Tanzania, Faisal Jamall
Rais, Afisa Mtenadaji Mkuu wa United Bank Limited (UBL) Pakistan ambaye pia ni Mwenyekiti wa UBL Tanzania, Bw. Wajahat Husain(kulia) akimkabidhi tuzo maalum Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji katika hafla ya uzindua tawi jipya la Benki ya UBL Kariakoo katika hafla fupi iliyofanyika kwenye tawi hilo jana.
Wageni mbalimbali na wafanyakazi wa benji ya UBL wakifuatilia uzinduzi wa tawi la benki hiyo jana.


Serikali imesema kuwa Tanzania ina fursa nzuri katika uwekezaji wa huduma za kifedha na kuwavutia wawekezaji wa mataifa tofauti na malalamiko ambayo yamekuwa yakienezwa na baadhi ya taasisi hizo hapa nchini.

Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijazi wakati wa ufunguzi wa tawi la jipya la Kariakoo la benki ya United Bank Limited (UBL) Tanzana Limited.

Hivi kaibuni kulikuwa na malalamiko mbalimbali kutoka kwa baadhi ya taasisi za kifedha na kutoa viashiria vya kufirisika, jambo ambali alisema, uzinduzi wa tawi la Kariakoo la benki ya UBL ni ishara tosha kuwa sekta ya uwekezaji wahuduma za kifedha hipo imara na kuendelea kuwavutia wawekezaji.

Waziri Kijazi alisema kuwa uchumi wa Tanzania kwa sasa unakuwa na bodi ya wakurugenzi wa benki ya UBL imevutiwa nayo na kuamua kuwekeza nchini. Alisema kuwa benki hiyo kwa sasa imetumia jumla ya dola za Kimarekani milioni 32 (Sh 67.2 bilioni) kutoa mikopo kwa wateja wake na huduma nyingine

“Benki ya UBL Tanzania ilianza rasmi Mwezi Septemba mwaka 2013 na kufanikiwa kupata faida iliyopelekea kuzindua tawi lingine huku ikiwa na mipango ya kufungua matawi kadhaa katika mikoa ya Dodoma, Mwanza na Arusha, hii ni ishara tosha kuwa sekta ya huduma ya kifedha Tanzania inakuwa na kupata maendeleo makubwa,” alisema Dk Kijazi.

Kwa upande wake, Rais na Mtendaji Mkuu wa UBL Bw. Wajahat Husain alisema kuwa wamefuraishwa na hali ya uwekezaji hapa nchini na kuamua kuwekeza, ikiwa ni tawi la kwanza la benki hiyo kwa bara la Afrika.

Husain alisema kuwa wameichagua Tanzania kutokana kukuwa kwa uchumi, hali bora ya kisiasa, maliasili na huduma za bandari ya Dar es Salaam ambayo ni kiungo cha wafanyabiashara, si kwa Tanzania tu, bali hata kwa nchi sita jirani. Alisema kuwa kupanuka kwa mtandao wa benki hiyo kwa Dar es Salaam kutaifanya benki hiyo kuwa kiungo muhimu cha masuala ya kiuchumi.

“Tumefurahi kuwekeza hapa nchini, benki yetu ni miongoni mwa beki kubwa sana nchini Pakistani, tukiwa na matawi zaidi ya 1,300 na kutoa huduma wengi, tumevutiwa na hali ya uwekezaji hapa nchini na muda mfupi tuliowekeza, tumeona matunda yake na kuamua kupanua wigo,” alisema Husain ambaye pia ni Mwenyekiti wa Benki hiyo nchini.

Alisema kuwa wapo tayari kwa soko la ushindani la hapa nchini na nyenzo yao kubwa ni kutoa huduma za kisasa zenye ufanisi mkubwa.

VIJUSO VYA MAGAZETI YA LEO JUMANNE NOV 15

UGENI WA NORDIC WATUA WIZARA MAMBO YA KATIBA NA SHERIA KUANGALIA UTEKELEZAJI WA MIRADI MBALIMBALI

$
0
0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akitoa neno la ukaribisho kwa ujumbe kutoka nchi za Nordic ulipotembelea wizara wake jana 14/11/2016 jijini Dar Es Salaam.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

Serikali ya Tanzania imeshukuru msaada mkubwa unaotolewa na Mashirika ya Umoja wa Mataifa katika kuhakikisha kwamba taifa linakuwa na mfumo imara wa utoaji haki kwa kuzingatia demokrasia na uwajibikaji.

Serikali imesema kumekuwepo na mabadiliko makubwa katika mfumo ya utoaji haki nchini kutokana na misaada iliyotolewa na nchi hizo kupitia Mashirika ya Umoja wa Mataifa ambao unasaidia mpango huo wa UNDAP.

Hayo yameelezwa wakati ujumbe mzito wa kutoka nchi za Nordic ulipotembelea Wizara ya Mambo ya Katiba na Sheria. Nchi hizo za Nordic pamoja kutoa mchango wake mkubwa katika bajeti za serikali ya Tanzania pia hutoa mchango mkubwa kwa mashirika ya Umoja wa Mataifa yanayofanya shughuli zake nchini.

Mataifa hayo ni ya Sweden, Norway, Denmark, Finland na Iceland ambayo kwa pamoja yanaitwa mataifa ya Nordic ni wadau muhimu wa Umoja wa Mataifa na pia kwa serikali ya Tanzania.

Ujumbe kutoka nchi hizo upo nchini kwa ajili ya kuimarisha mahusiano kati yao na Mashrika ya Umoja wa Mataifa yanayofanyakazi kama taasisi moja na nchi hizo (Delivering as one) kwa lengo la kuimarisha na kusukuma mbele malengo ya maendeleo endelevu (SDGs).

Katika ziara hiyo iliyoanzia Novemba 14 wajumbe hao waliweza kuangalia utekelezaji mbalimbali wa miradi ya Umoja wa Mataifa na hasa hatua za mwanzo za miradi ya UNDAP ll.

Ujumbe huo wenye watu 13 kutoka Wizara za Mambo ya Nje za mataifa hayo wanatarajia kuzuru pia Kigoma na Dodoma wakimaliza Dar es Salaam.

Wakiwa Dar es Salaam, jana na leo watakutana na wawakilishi wa taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali na AZAKI na pia wanatarajia kutembelea ofisi za Bunge.Taarifa iliyotolewa katika mkutano huo imesema ingawa msaada wa Umoja wa Mataifa umekuwa siku zote ukililenga eneo maalumu linaloshughulikiwa na mashirika tofauti ya Umoja wa Mataifa, imekuwa nguvu kupima athari zake katika maeneo mbalimbali yaliyokusudiwa.
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Awa Dabo akielezea dhumuni la ziara ya ujumbe kutoka nchi za Nordic ulioambatana na wataalam kutoka Umoja wa Mataifa ulipotembelea wizara hiyo jana 14/11/2016 jijini Dar Es Salaam. 

Hata hivyo imeelezwa kuwa kupitia programu mbalimbali na miradi katika demokrasia na uwajibikaji kuwezesha utawala bora, kumefanya kuwepo na nafuu fulani.

Serikali ya Tanzania ilielezea matumaini yake kwamba UNDAP ll, Mashirika ya Umoja wa Mataifa yakifanya kazi kama taasisi moja yatasaidia wizara katika kufanikisha kwa namna sahihi mfumo wa haki kwa wananchi.

Programu hizo ni pamoja na UNDAP 1 iliyosaidia wizara kutengeneza na kutekeleza mpango wa haki za binadamu (MHRAP 2013-2017). Mpango huo ulibainisha maeneo mbalimbali yaliyotakiwa kufanyiwa kazi na wadau mbalimbali.

UNDAP I ilisaidia wizara kupitia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali kujenga uwezo kwa wafanyakazi wake katika masuala ya majadiliano katika mikataba na namna ya kuiandika hasa katika sekta ya uziduaji.
Mkurugenzi Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki Wizara ya Mambo ya Katiba na Sheria Bw. Patience Ntwina (aliyesimama) akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa kwa ujumbe kutoka nchi za Nordic ulioambatana na wataalam kutoka Umoja wa Mataifa ulipotembelea wizara hiyo jana 14/11/2016 jijini Dar Es Salaam. 

Wanasheria kadha wa serikali na majaji walinufaika na elimu hiyo.

Aidha chini ya UNDAP I, Umoja wa Mataifa ulitoa msaada wa kiufundi kwa wizara kwa lengo la kuwezesha kufanya utafiti kuhusu hali ya mfumo wa haki wa mtoto nchini Tanzania na kuweza mkakati endelevu wa haki za mtoto kuanzia wmaka 2013-2017.

Wizara pia inasaidiwa kufuatilia mkakati huo kupitia majukwaa ya haki za watoto yanayofanyika kila mwaka.

Wizara ya Mambo ya Katiba na Sheria kwa mujibu wa sera ndiyo iliyokabidhiwa majukumu ya kutengeneza kanuni na viwango, kuratibu na kufuatilia utii usio na shuruti katika mfumo wa sheria na hivyo kupata matokeo yaliyokusudiwa ya sheria husika.

Wizara hii inajishughulisha na masuala ya Katiba, utawala na utoaji wa haki; uandishi wa sheria; uendeshaji wa mashtaka; Mikataba na sheria za kimataifa: msaada wa kisheria na haki za binadamu;usajili uboreshaji wa sheria, kabidhi wasihi, udhamini na mufilisi na kadhalika
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw. Gerson Mdemu akizungumzia ufadhili wa Umoja wa Mataifa kwa ofisi yake wakati wa mkutano na ujumbe kutoka nchi za Nordic ulioambatana na wataalam kutoka Umoja wa Mataifa uliofanyika katika Wizara ya Mambo ya Sheria na Katiba jana 14/11/2016 jijini Dar Es Salaam. 

Mamlaka ya Wizara katika mambo mengi ni mtambuka na hivyo kuifanya kuwa na ugumu fulani katika utendaji wake.

Aidha akifafanua zaidi amesema kutokana na misaada ya mashirika ya Umoja wa Mataifa, Watanzania wameweza kuwa na mfumo bora zaidi wa haki kwa watoto wanaoingia matatani na sheria.

Aidha watoto zaidi ya 1,500 wamepatiwa msaada wa kisheria katika mji wa Mbeya na Dar es Salaam na yote hayo yamewezeshwa na UNDAP l.

Wizara pia iliangalia matatizo ya ukatili wa kijinsia na watoto katika Dar es Salaam, Dodoma na Kilimanjaro na matokeo yake kusambazwa kwa wadau mbalimbali kwa kuyafanyia kazi.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Bw. Kubingwa Mashaka Simba akitoa taarifa ya utekelezwaji wa miradi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa kwa ujumbe wa wataalam wa Umoja huo waliotembelea Wizara ya Mambo ya Katiba na Sheria Tanzania Bara jana 14/11/2016 jijini Dar Es Salaam. 

Aidha kwa kusaidiwa na Umoja wa Mataifa ambayo iliratibu mkutano wa kwanza wa wadau kuzungumzia sheria ya ndoa ya mwaka 1971 katika hali ya kuongeza haki zaidi ka wanawake na watoto.

Pia alisema katika UNDAPll mashirika hayo ya Umoja wa Mataifa yanasaidia pia kuangalia mfumo wa haki wa sasa hasa kwa makundi yenye uhitaji yaliyosahaulika na kukuza ulinzi na usalama kwa mama na mtoto.

Ujumbe huo pamoja na kuwa mzito pia utafanya safari ya kuangalia miradi ya Bunge iliyopewa chapuo na fedha za Umoja wa Mataifa pia watatembelea eneo la dawati la Jinsia Chang'ombe na kutembelea taasisi ya PASADA.

Maeneo mengine ni ghala la Chakula Kizota, miradi ya TASAF na pia kiwanda cha kusindika mafuta kilichopo Dodoma.
Kiongozi wa ujumbe kutoka nchi za Nordic ulioambatana na wataalam kutoka Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Anders Ronquist kutoka Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Sweden (SIDA) akizungumza jambo kwa niaba ya ujumbe huo ulipotembelea wizara hiyo jana 14/11/2016 jijini Dar Es Salaam.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akitoa neno la shukrani kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kushoto) wakati wa ziara ya ujumbe kutoka nchi za Nordic ulioambatana na wataalam kutoka Mashirika ya Umoja wa Mataifa ulipotembelea wizara hiyo.
Sehemu ya ujumbe kutoka nchi za Nordic ulioambatana na wataalam kutoka Mashirika ya Umoja wa Mataifa ulipotembelea Wizara ya Mambo ya Katiba na Sheria jana 14/11/2016 jijini Dar Es Salaam. 

Balozi wa Sweden nchini Mhe. Katarina Rangnitt akizungumza jambo wakati akiagana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kushoto). Kushoto ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Amon Mpanju mara baada ya kumalizika kwa mkutano na ujumbe wa Nordic uliotembelea wizara hiyo jana.
Deepika Nath wa UN Women akimwonyesha kitu Edgar Kiliba (kushoto) wa Ofisi ya Mkuu wa Umoja wa Mataifa kitengo cha mawasiliano mara ya kumalizika kwa mkutano wa ujumbe kutoka nchi za Nordic ulioambatana na wataalam kutoka Mashirika ya Umoja wa Mataifa ulipotembelea Wizara ya Mabo ya Katiba na Sheria jana 14/11/2016 jijini Dar es Salaam.

MDAU LOUIS MUNISHI AUGA UKAPERA

$
0
0
Bwana harusi Louis Munishi akipata picha ya kumbukumbu na mkewe Bi. Inviolata ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Bwana harusi Louis Munishi akipata picha ya kumbukumbu na mkewe Bi. Inviolata ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam.Bwana harusi Louis Munishi akipata picha ya kumbukumbu na mkewe Bi. Inviolata ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Bwana harusi Louis Munishi akipata picha ya kumbukumbu na mkewe Bi. Inviolata ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es SalaamBaba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akiwapongeza maharusi kwa hatua yao ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha maharusi. Baba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akiwapongeza maharusi kwa hatua yao ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha maharusiBaba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akiwapongeza maharusi kwa hatua yao ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha maharusi. Baba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akiwapongeza maharusi kwa hatua yao ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha maharusi.Wazazi wa Bwana harusi Louis Munishi wakipongezwa ukumbini na jamaa na marafiki. Wazazi wa Bwana harusi Louis Munishi wakipongezwa ukumbini na jamaa na marafiki.Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya sherehe hiyo, Bw. Oscar Munishi akijumuika kutoa huduma kwa wageni waalikwa ukumbini, kuhakikisha mambo yanakwenda sawa. Ibada takatifu ya ndoa ya Louis Munishi na mkewe Bi. Inviolata ilifanyika katika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya sherehe hiyo, Bw. Oscar Munishi akijumuika kutoa huduma kwa wageni waalikwa ukumbini, kuhakikisha mambo yanakwenda sawa. Ibada takatifu ya ndoa ya Louis Munishi na mkewe Bi. Inviolata ilifanyika katika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es SalaamSehemu ya meza ya wazazi wa Bibi harusi Inviolata wakimchumu mtoto wao ukumbini. Sehemu ya meza ya wazazi wa Bibi harusi Inviolata wakimchumu mtoto wao ukumbini.Baadhi ya wanakamati ya sherehe hiyo wakipata kumbukizi ukumbini Baadhi ya wanakamati ya sherehe hiyo wakipata kumbukizi ukumbiniMwakilishi wa Kamati ndogo ya maandalizi ya harusi kutoka Moshi, Kilimanjaro ikizungumza kutoa shukrani kwa Kamati Kubwa ya Maandalizi (hawapo pichani) ya jijini Dar es Salaam. Mwakilishi wa Kamati ndogo ya maandalizi ya harusi kutoka Moshi, Kilimanjaro ikizungumza kutoa shukrani kwa Kamati Kubwa ya Maandalizi (hawapo pichani) ya jijini Dar es SalaamWanajumuiya kutoka Goba wakiwapongeza maharusi ukumbini...! Wanajumuiya kutoka Goba wakiwapongeza maharusi ukumbini..Mwenyekiti wa Kamati ya vinywaji (kulia) pamoja na mjumbe wake wakipata picha ya kumbukumbu...! Mwenyekiti wa Kamati ya vinywaji (kulia) pamoja na mjumbe wake wakipata picha ya kumbukumbu...!Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya sherehe hiyo, Bw. Oscar Munishi (kulia) pamoja na mkewe wakielekea kutoa zawadi maalumu kwa maharusi. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya sherehe hiyo, Bw. Oscar Munishi (kulia) pamoja na mkewe wakielekea kutoa zawadi maalumu kwa maharusiMaharusi Louis Munishi na mkewe Bi. Inviolata (katikati) wakiwa pamoja na wapambe wao ukumbini. Maharusi Louis Munishi na mkewe Bi. Inviolata (katikati) wakiwa pamoja na wapambe wao ukumbini.Ndugu, jamaa na wageni wa maharusi wajumuika katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa 'Mwenge Social Hall'. Ndugu, jamaa na wageni wa maharusi wajumuika katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa 'Mwenge Social Hall'.Bwana harusi Louis Munishi (kulia) 'akimng'ata' sikio mpambe wake ukumbini. Bwana harusi Louis Munishi (kulia) 'akimng'ata' sikio mpambe wake ukumbini.Burudani ya muziki ikitamalaki kwa wageni waalikwa...! Burudani ya muziki ikitamalaki kwa wageni waalikwa..Baba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akitoa neno kwa mwanae pamoja na mkewe ukumbini. Baba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akitoa neno kwa mwanae pamoja na mkewe ukumbini.[/caption]iliyopita jijini Dar es Salaam. " width="800" height="533" /> Bwana harusi Louis Munishi akipata picha ya kumbukumbu na mkewe Bi. Inviolata ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam.Bwana harusi Louis Munishi akipata picha ya kumbukumbu na mkewe Bi. Inviolata ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Bwana harusi Louis Munishi akipata picha ya kumbukumbu na mkewe Bi. Inviolata ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam.Baba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akiwapongeza maharusi kwa hatua yao ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha maharusi. Baba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akiwapongeza maharusi kwa hatua yao ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha maharusiBaba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akiwapongeza maharusi kwa hatua yao ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha maharusi. Baba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akiwapongeza maharusi kwa hatua yao ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha maharusi.Wazazi wa Bwana harusi Louis Munishi wakipongezwa ukumbini na jamaa na marafiki. Wazazi wa Bwana harusi Louis Munishi wakipongezwa ukumbini na jamaa na marafiki.Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya sherehe hiyo, Bw. Oscar Munishi akijumuika kutoa huduma kwa wageni waalikwa ukumbini, kuhakikisha mambo yanakwenda sawa. Ibada takatifu ya ndoa ya Louis Munishi na mkewe Bi. Inviolata ilifanyika katika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya sherehe hiyo, Bw. Oscar Munishi akijumuika kutoa huduma kwa wageni waalikwa ukumbini, kuhakikisha mambo yanakwenda sawa. Ibada takatifu ya ndoa ya Louis Munishi na mkewe Bi. Inviolata ilifanyika katika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es SalaamSehemu ya meza ya wazazi wa Bibi harusi Inviolata wakimchumu mtoto wao ukumbini. Sehemu ya meza ya wazazi wa Bibi harusi Inviolata wakimchumu mtoto wao ukumbiniBaadhi ya wanakamati ya sherehe hiyo wakipata kumbukizi ukumbini Baadhi ya wanakamati ya sherehe hiyo wakipata kumbukizi ukumbiniMwakilishi wa Kamati ndogo ya maandalizi ya harusi kutoka Moshi, Kilimanjaro ikizungumza kutoa shukrani kwa Kamati Kubwa ya Maandalizi (hawapo pichani) ya jijini Dar es Salaam. Mwakilishi wa Kamati ndogo ya maandalizi ya harusi kutoka Moshi, Kilimanjaro ikizungumza kutoa shukrani kwa Kamati Kubwa ya Maandalizi (hawapo pichani) ya jijini Dar es Salaam.Wanajumuiya kutoka Goba wakiwapongeza maharusi ukumbini...! Wanajumuiya kutoka Goba wakiwapongeza maharusi ukumbini..Mwenyekiti wa Kamati ya vinywaji (kulia) pamoja na mjumbe wake wakipata picha ya kumbukumbu...! Mwenyekiti wa Kamati ya vinywaji (kulia) pamoja na mjumbe wake wakipata picha ya kumbukumbu...!Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya sherehe hiyo, Bw. Oscar Munishi (kulia) pamoja na mkewe wakielekea kutoa zawadi maalumu kwa maharusi. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya sherehe hiyo, Bw. Oscar Munishi (kulia) pamoja na mkewe wakielekea kutoa zawadi maalumu kwa maharusi.Maharusi Louis Munishi na mkewe Bi. Inviolata (katikati) wakiwa pamoja na wapambe wao ukumbini. Maharusi Louis Munishi na mkewe Bi. Inviolata (katikati) wakiwa pamoja na wapambe wao ukumbini.Ndugu, jamaa na wageni wa maharusi wajumuika katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa 'Mwenge Social Hall'. Ndugu, jamaa na wageni wa maharusi wajumuika katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa 'Mwenge Social Hall'.Bwana harusi Louis Munishi (kulia) 'akimng'ata' sikio mpambe wake ukumbini. Bwana harusi Louis Munishi (kulia) 'akimng'ata' sikio mpambe wake ukumbini.Burudani ya muziki ikitamalaki kwa wageni waalikwa...! Burudani ya muziki ikitamalaki kwa wageni waalikwa..Baba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akitoa neno kwa mwanae pamoja na mkewe ukumbini. Baba mzazi wa Bwana harusi Louis Munishi akitoa neno kwa mwanae pamoja na mkewe ukumbini.

TIBA ZENYE NGUVU YA AJABU KUTOKA NEEMA HERBALIST

$
0
0
Tiba hii inaitwa JIKO. Kila mwanaume anae itumia, INAMPONYESHA KABISA tatizo la UKOSEFU na UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. Imethibitishwa na MKEMIA MKUU WA SERIKALI YA TANZANIA

Kufahamu jinsi tiba hii inavyo fanya kazi, bofya link hii hapa chini :


Kwa mahitaji yako ya tiba hii, wasiliana na duka la NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC kwa simu namba 0766 53 83 84.

Tunapatikana UBUNGO jijini DAR ES SALAAM, jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA. · Kwa wateja waliopo DAR ES SALAAM, wasio na nafasi ya kufika ofisini kwetu, watapelekewa dawa mahali walipo ( HOME & OFFICE DELIVERY ).

· Kwa wateja waliopo mikoani, watatumiwa dawa kwa njia ya mabasi mbalimbali.

· Kwa wateja waliopo Zanzibar, watatumiwa dawa kwa njia ya usafiri wa boti.

· Kwa wateja wa Mombasa, watatumiwa dawa kwa basi la TAHMEED COACH.

· Kwa wateja wa NAIROBI watatumiwa dawa kwa basi la DAR EXPRESS.

· Na kwa wateja wa UGHAIBUNI ( DIASPORA), watatumiwa dawa kwa njia ya POSTA au DHL.

· Kwa taarifa zaidi kuhusu huduma zetu, tembelea kila siku website yetu www.neemaherbalist.com


WASAIDIZI WA KISHERIA WA SHIRIKA LA EfG WAUNGA JITIHADA ZA RAIS MAGUFULI KATIKA KUFANYA USAFI

$
0
0
Ofisa Ufuatiliaji na Tathmini wa Shirika la Equality for Growth (EfG), Shaban Rulimbiye (kushoto), akiwaongoza kufanya usafi Soko la Temeke Sterio Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliwa ni kuunga mkono jitihada za Rais Dk.John Magufuli katika suala zima la usafi wa mazingira.
Msaidizi wa kisheria katika soko hilo, Batuli Mkumbukwa 
akifanya usafi.
Wasaidizi wa kisheria wakiwa kazini. Kutoka kushoto ni Aisha Juma kutoka Soko la Tabata Muslim, Mashimi Mbogela na Irene Daniel.
Mifagio ikipigishwa kwata ya usafi.
Ofisa Ufuatiliaji na Tathmini wa Shirika la Equality for Growth (EfG), Shaban Rulimbiye (kushoto) na Charles Beatus wakifanya usafi.
Usafi ukiendelea.
Makamu Mwenyekiti wa Soko hilo, Issa Ndilima (kulia), akishiriki kufanya usafi. Kushoto ni Kashinde Kapambale na Aisha Juma kutoka soko la Muslim
Msaidizi wa sheria kutoka Soko la Mchikichini Manispaa ya Ilala, Charles Beatus (kushoto), akitoa somo kwa wafanyabiashara wa soko hilo kuhusu ukatili wa kijinsia.
Shughuli za usafi zikiendelea.
Hapa kazi tu.
Takataka zikiondolewa sokoni hapo baada ya kufanyika usafi.


Na Dotto Mwaibale

WASAIDIZI wa kisheria wanawake kutoka Shirika la Equality for Growth (EfG), wamemuunga mkono Rais Dk. John Magufuli katika uhimizaji wa kufanya usafi Soko la Temeke Sterio jijini Dar es Salaam.

Akizungumza katika tukio hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki sokoni hapo Ofisa Ufuatiliaji na Tathmini wa EFG, Shaban Rulimbiye alisema wameamua kufanya usafi wa mazingira katika masoko sita yaliyopo chini ya mradi wa kupinga ukatili wa kijinsia masoko unaoendeshwa na shirika hilo.

"Tunamuunga mkono rais wetu kwa jitihada zake anazozifanya za kuhimiza usafi ndio maana wasaidizi wetu wa kisheria kutoka katika masoko hayo tupo nao hapa Temeke kufanya usafi na baada ya hapo watatoa elimu kwa wafanyabiashara ya kupinga ukatili huo " alisema Rulimbiye.

 Alisema ukatili wa kijinsia masokoni si kumshika maungoni mfanyabiasha na matusi hata pale wanawake wanapofanya biashara zao kwa kuziweka chini bila ya kuwa katika mazingira mazuri pia ni ukatili wa kijinsia.

Alisema mpango huo wa kufanya usafi katika masoko hayo ni endelevu na kuwa kila Jumamosi watakuwa wakifanya hivyo kumuunga mkono rais.

Rulimbiye aliyataja masoko ambayo yapo chini ya mradi huo ambayo yatanufaika na usafi huo wa mazingira kuwa ni Temeke Stereo, Mchikichini, Kisutu, Feri, Gezaulole na Tabata Muslim.

Makamu Mwenyekiti wa soko la Temeke Sterio, Issa Ndilima alilishukuru shirika hilo kwa mpango huo wa usafi kwani umeleta hamasa kwa wafanyabiashara wa soko hasa katika mafunzo wanayopata kupitia wasaidizi wa kisheria kupinga ukati wa kijinsia masokoni.

TEA yatoa msaada wa vifaa vya TEHAMA Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika

$
0
0
 Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) Prof. Innocent Ngalinda akiongea na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)  Bw. Joel Laurent (mweyesuti) alipotembelea chuo hicho kuangalia misaada ya vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano walivyovitoa chuoni hapo ikiwemo Ubao maalum za kufundishia (Smart Board) 4,Projecta 4 na Komputa 22, wa mwisho kulia ni Meneja Habari, Elimu na Mawasiliano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bi. Sylvia Lupembe.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bw. Joel Laurent akiongea na Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) Prof. Innocent Ngalinda(mwenye shati jeupe) ambapo alishauri kusimamia matumizi sahihi ya vifaa hivyo vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano vinatumika kwa manufaa ili kuleta matokeo yenye tija, mbele mwenye suti ni Makamu Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) Dkt. Tumaini Katunzi na Meneja Habari, Elimu na Mawasiliano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bi. Sylvia Lupembe.
 Makamu Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) Dkt. Tumaini Katunzi na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bw. Joel Laurent wakifuatilia maelekezo ya namna ubao maalum wa smart board unavyofanya kazi wakati wa kufundishia ikiwa ni moja ya msaada uliotolewa na mamlaka ya elimu.
 Sehemu ya Komputa 22 zilizotolewa na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwenye chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC).
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)  Bw. Joel Laurent akiongea na wanafunzi wanaonufaika na msaada wa vifaa hivyo vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano vilitolewa katika Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC), Misaada mingine iliyotolewa ni Projecta 4 na Ubao maalum za kufundishia (Smart Board) 4.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)  Bw. Joel Laurent(kulia) akimkabidhi Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) Prof. Innocent Ngalinda moja ya projecta zitakazotumika katika kufundishia chuoni hapo, Misaada mingine ni Ubao maalum za kufundishia (Smart Board) 4 na Komputa 22.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)  Bw. Joel Laurent(kulia) akiwaeleza jambo Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) Prof. Innocent Ngalinda (katikati) na Makamu Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) Dkt. Tumaini Katunzi (kulia) alipotembelea chuo hicho kuangalia misaada ya vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano walivyovitoa chuoni hapo.

VIONGOZI WA SERIKALI WASHAURIWA KUTUMIA NDEGE ZA ATC

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muunngano wa Tanzania Bi Samia Suluhu amewasihi viongozi wa serikali na wananchi kutumia ndege za Shirika la Ndege Tanzania(ATC) ili kudumisha uzalendo na kuchangia pato la shirika hilo kwa lengo la kuhimili ushindani na kukuza uchumi wa nchi.

Ametoa rai hiyo jijini Dar es salaam alipopewa hati ya kusafiria kupitia ndege za shirika hilo wakati akisafiri na ujumbe wake kuelekea mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi.“Napenda kutoa wito kwa viongozi wa Serikali na wananchi kwa ujumla kutumia ndege zetu ili shirika letu lifanye kazi vizuri zaidi, kufanya hivi kutaongeza pato na kukuza uchumi wa nchi ”, amesema Makamu wa Rais.

Ametanabaisha kuwa kwa kutumia ndege za Shirika la ATC kwa safari za ndani Serikali itaokoa fedha nyingi zinazotumika kwa kukodi ndege za mashirika binafsi.“Mimi na ujumbe tumeamua kusafiri na ndege za shirika la ndege Tanzania kutokana na kubana matumizi, gharama tuliyotumia kwa safari hii ni shilingi Milioni saba na laki sita ambapo tungekodi ndege binafsi tungetumia milioni arobaini”, amefafanua Makamu wa Rais.

Kwa upande wake Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, amempongeza Makamu huyo kwa kitendo cha uzalendo alichokionyesha na kutaka viongozi wengine wa Serikali na wananchi kwa ujumla kuiga mfano huo ili kuliinua shirika hilo na kuongeza uchumi.

“Nampongeza Makamu wa Rais kwa kuamua kutumia ndege za Shirika hili kwa safari za ndani, kitendo hiki kimeonesha nia ya dhati ya serikali ya kulifufua shirika hili, naomba wananchi nao waendelee kutumia ndege za shirika hili katika safari zao za ndani kama alivyofanya Makamu wa Rais”, amesema Waziri Mbarawa.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo Mhandishi Ladislaus Matindi ameahidi kuboresha huduma katika shirika hilo ikiwemo mifumo ya kukatisha tiketi ili kurahisisha utoaji wa huduma na kuvutia wateja wengi kwa lengo la kurudisha hadhi ya shirika.

“Tumeshaanza mchakato wa kuweka mfumo mpya wa kukatisha tiketi ikiwemo kwa njia ya kielektroniki kupitia tovuti ya shirika hili ambapo mteja hatalazimika kufika kwenye ofisi zetu”, amesema Mhandis Matindi.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akionyesha mfano wa hati ya safari ya kuelekea Mwanza kupitia Shirika la ndege la Tanzania (ATCL), kushoto kwake ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akiongea na waandishi wa habari kabla ya kufanya ziara ya kikazimkoani Mwanza kupitia Shirika la ndege la Tanzania (ATCL), leo jijini Dar es salaam.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akipokea maoni kutoka kwa wasafiri wanaotumia usafiri wa anga katika uwanja wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere (JNIA) wakati alipokagua utoaji wa huduma uwanjani hapo.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akipokea maoni kutoka kwa wasafiri wanaotumia usafiri waa anga katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere wakati alipotembelea kukagua huduma zitolewazo uwanjani hapo.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akipokea maoni kutoka kwa wasafiri wanaotumia usafiri waa anga katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere wakati alipotembelea kukagua huduma zitolewazo uwanjani hapo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa wahudumu wa ndege katika Chuo cha Shirika la ndege Tanzania (ATCL) alipotembelea kuona maendeleo ya chuo hicho.PICHA NA BENJAMINI SAWE-MAELEZO

HATUJAMTELEKEZA MISS TANZANIA: NAPE

$
0
0

Na Raymond Mushumbusi WHUSM

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye amesema serikali haijamtelekeza mshindi wa shindano la Urembo la Tanzania kwa mwaka 2016 bali wanaendelea kumpa msaada wa hali na mali ili kufanikisha ushiriki wake katika mashindano ya urembo ya dunia.

Mhe. Nape ameyasema hayo jana Jijini Dar es Salaam alipokuwa akikabidhi Bendera ya Taifa kwa mshiriki kutoka Tanzania anayekwenda kushiriki mashindano ya Miss Afrika 2016 yatakayofanyika Novemba 28 mwaka huu.

“Haiwezekani Serikali ikabariki mchakato mzima wa Miss Tanzania mshindi akapatikana alafu akatelekezwa na  tukakaa kimya sio kweli” Alisistiza Mhe. Nnauye.

Mhe. Nnauye ameongeza kuwa watanzania wawe na desturi ya kutangaza mambo mema yanayotokana na shindano hilo la urembo badala ya kutafuta mapungufu na kuyakuza na yakaonekana kuwa ni tatizo kubwa katika machakato huo.

Aidha amewahakikishia watanzania kuwa Miss Tanzania yuko salama na atashiriki vizuri katika mashindano ya Miss World kwa mwaka 2016 watanzania wazidi kumwombea na ikiwezekana kwa mwaka huu mrembo wa Dunia atokee Tanzania.

Katika mashindano ya urembo kwa mwaka 2016 mrembo yaliyofanyika Jijini Mwanza na Bi Diana Edward Luqumay alishinda taji hilo na anatarajia kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Urembo ya Dunia 2016 yatakayofanyika mwishoni mwa mwaka huu Washington Dc nchini marekani na yatashirikisha nchi 119.

MCHANGANUO WA TAARIFA RASMI YA MAAFA KAGERA KUTOKA OFISI YA WAZIRI MKUU LEO.

DC HAPI AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA VIJANA WA KINONDONI

$
0
0

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Ally Hapi akisalimiana na Mkufunzi wa Ujasiriamali Bi. Debora Charles (kushoto) wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wajasiriamali vijana wa Manispaa ya Kinondoni jana Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Ally Hapi akizungumza na vijana wajasiriamali wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wajasiriamali vijana wa Manispaa ya Kinondoni jana Jijini Dar es Salaam.
Mkufunzi wa Ujasiriamali Bi. Debora Charles akitoa mada wakati wa mafunzo ya wajasiriamali vijana kutoka Manispaa ya Kinondoni jana Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali kutoka Manispaa ya Kinondoni wakifuatilia mafunzo ya ujasiriamali wakati wa mafunzo hayo jana Jijini Dar es Salaam.

Umoja wa Mataifa washirikiana na FURSA kuwafikia vijana zaidi ya 10,000

$
0
0
 Timu ya wazungumzaji wa Fursa wakiwa katika picha ya pamoja na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi waShirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez pamoja na Mtaalamu wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa, Hoyce Temu.
 Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi waShirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akizungumza na vijana waliohudhuria semina ya Fursa mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki hii.
 Mtaalamu wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini, Hoyce Temu akitoa mafunzo ya malengo ya maendeleo enedelevu kwa vijana wa Dodoma waliojitokeza wakati wa semina za Fursa zilizofanyika Dodoma mwishoni mwa wiki hii
Baadhi ya vijana waliojitokeza kwa wingi kuhudhuria mafunzo ya Fursa mwishoni mwa wiki hii mkoani Dodoma
 Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde akizungumza na vijana wakati akifungua semina ya Fursa iliyofanyika Dodoma mwishoni mwa wiki
 Mmoja wa wazungumzaji wa semina za Fursa, Yahaya Nawanda akizungumza na vijana kwenye siku ya pili ya mafunzo ya kilimo na ufugaji yaliyofanyika mwishoni mwa wiki hii mkoani Dodoma.
 Mwanzilishi wa Fursa , Ruge Mutahaba akizungumza na vijana wakati wa siku ya pili ya semina za Fursa zilizofanyika Dodoma mwishoni mwa wiki hii
 Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi waShirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akimkabidhi mmoja wa vijana waliopata mafunzo ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa mjini Dodoma. Anayetazama kushoto ni Mtaalamu wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini, Hoyce Temu.
Baadhi ya vijana waliopata mafunzo ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa mjini Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja na Mratibu    Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez pamoja na Mtaalamu wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini, Hoyce Temu.



Umoja wa Mataifa umeingia ushirikiano na FURSA ili kuongeza uelewa wa malengo ya maendeleo endelevu kwa vijana zaidi ya 10,000 katika mikoa mitatu ya Dodoma, Dar es Salaam pamoja na Kigoma. 

Fursa, ambayo imekuwa ikifanyika kwa miaka mitatu iliyopita, imejikita katika kuwajengea uwezo vijana wa kuzitambua fursa katika maeneo yao wanayoishi lakini pia namna ya kutengeneza miradi na biashara kupitia fursa hizo. 

Ushirikiano wa Fursa na Umoja wa Mataifa utalenga kuwafikia vijana wanaohudhuria semina za Fursa kuelewa namna Malengo ya Dunia yanavyohusiana na maisha yao ya kila siku na wajibu wa kila kijana katika kushiriki kuyakamilisha. 

Akizungumza wakati wa kuzindua semina za Fursa mkoani Dodoma, Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez alisema semina za Fursa zimeweza kubadilisha maisha ya vijana wengi na hivyo ushirikiano wake na Umoja wa Mataifa katika kufikia vijana utatoa nafasi ya vijana kuyaelewa Malengo ya Dunia. 

‘Vijana wengi wana ari ya kushiriki katika kufanikisha Malengo ya Dunia, ndio maana Umoja wa Mataifa umeamua kushirikiana na Fursa ili kuhakikisha vijana wengi zaidi wanayafahamu malengo haya lakini pia wanashiriki katika kuyatekeleza’ alisema Alvaro. 

Kwa upande wake, Mwanzilishi wa Fursa, Ruge Mutahaba amesema kwa zaidi ya miaka mitatu sasa Fursa imefanikiwa kuwafikia zaidi ya vijana milioni 5, na kuwapa mbinu na maarifa ya kuweza kutumia fursa katika maeneo yao. 

‘Tunaushukuru Umoja wa Mataifa kwa kushirikiana na Fursa kuwafikia vijana katika mikoa ya Dodoma, Dar es Salaam na Kigoma, ili sio tu wapate nafasi ya kupata mafunzo ya Fursa na biashara balipia mafunzo juu ya Malengo ya Dunia’ alisema Ruge.

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO ATEMA CHECHE RUVUMA

$
0
0
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa Tatu kulia) akiwa  katika mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka uliopo kata ya Ruanda mkoani Ruvuma ambapo  aliambatana na watendaji mbalimbali kutoka viwanda vya simenti vinavyotumia makaa ya mawe, Chama cha Wamiliki wa Malori (TATOA), Wazalishaji wa Makaa ya Mawe, Watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na viongozi kutoka  Mkoa wa Ruvuma.

Nacte yafuta leseni ya vyuo vya ufundi 26

$
0
0

·      Nacte  yafuta leseni ya vyuo vya ufundi 26
·        20 vyasimamishiwa programu zisizosajiliwa na baraza hilo
·        2 vyasimamishwa kwa kutokuwa na usajili
            
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limevifungia vyuo vya ufundi 26 kutokana na makosa mbalimbali, ikiwamo kushindwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na kutoa mafunzo ambayo hayajathibitishwa.

    Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Kaimu Katibu mtendaji wa NACTE,    Dkt.Adolf Rutayuga, alisema kuwa wamekuwa wakifuatilia vyuo vya ufundi ili kutathmini kama vinafuata viwango vya ubora wa kitaaluma vilivyowekwa na NACTE katika kutoa mafunzo. 

“Kama ilivyoelezwa katika sheria za Usajili na Kanuni za leseni, kutozingatia matakwa yoyoye yaliyowekwa na NACTE ni kosa kisheria. Kanuni zinasema kuwa hatua kali zinawezakuchukuliwa kwa kila kosa. Kulingana na matokeo ya ufuatiliaji uliofanywa na timu maalumu, Baraza lina uwezo wa kuchukua hatua dhidi ya taasisi au vyuo vinavyoshindwa kutekeleza kanuni zilizowekwa,” alisema.

Alisema kuwa baada ya kufanya utafiti wao, wamebaini vyuo 26 vilishindwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na NACTE katika cheti cha usajili, huku vyuo 20 vikitoa mafunzo ambayo hayajathibitishwa chini ya idara isiyotambulika,wakati vyuo viwili vikiwa na vituo vya satellite/Kampasi ambavyo navyo havijathibitishwa na chombo husika.

“Baraza linaufahamisha umma kwamba limechukua hatua mbalimbali kwa vyuo vya ufundi 48 kutokana na makosa mbalimbali, yaliyofanywa na vyuo hivyo ambapo limesitisha vyeti vilivyotolewa kwa vyuo 20 ambavyo vimeshindwa kuzingatia masharti yaliyowekwa kwenye Cheti cha Usajili.
“Uamuzi huu umefanywa kwa mujibu wa Kanuni ya 20 ya Usajili wa Vyuo vya Ufundi ya mwaka 2001,” alisema.

Rutayuga alisema kwamba vyuo vilivyofutiwa usajili kutokana na kosa la kutoa mafunzo ambayo hayajathibitishwa chini ya idara isiyotambulika ni 26.“Vyuo vya ufundi vinatakiwa kupata kwa idhini ya Baraza kabla ya kuanza kutoa mafunzo yoyote. Idhini hiyo inahusu uthibitisho wa mtaala kwa ajili mafunzo yaliyokusudiwa na utambuzi wa idara iliyopangwa kutoa mafunzo hayo,” alisema. 

Juu ya vyuo vyenye vituo vya setelite, kampasi, Dkt.Adolf Rutayuga alisema kuwa Baraza linahitaji mafunzo kutolewa katika vituo vilivyosajiliwa/kampasi za vyuo vikuu baada ya kuthibitishwa kwamba vinastahili kutoa mafunzo. 

“Hata hivyo, taasisi mbili zimebainika kutoa mafunzo katika vituo vya satellite/vyuo vikuu ambavyo havijasajiliwa na Baraza na hivyo kuadhibiwa. Vyuo hivyo navyo vimefutiwa leseni,” alisema Rutayuga.

NACTE ni bodi iliyoanzishwa kisheria chini ya Sheria ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, kifungu cha 129, kusimamia na kuratibu utoaji wa elimu ya ufundi na mafunzo nchini Tanzania.  Chini ya sheria hiyo, ili kufikia na kudumisha hali ya mtoa mafunzo, vyuo vyote vinatakiwa viwe vimesajiliwa, vibali na kuwa mitaala iliyopitishwa na baraza. Vyuo haviruhusiwi kuanza kutoa kuanza kutoa huduma yoyote ya mafunzo bila idhini ya baraza.

Jedwali 1: Vyuo vya Ufundi vilivyofutiwa usajili
S/N
CHUO
1
Institute of Management and Development Studies – Iringa
2
Green Hill Institute – Mbeya
3
Institute of Business and Social Studies – Mbeya
4
Loyal College of Africa – Mbeya
5
Mbeya Training College – Mbeya
6
Mbengwenya College of Business and Information Technology –Mbinga
7
New Focus College – Mbeya
8
Shukrani International College of Business and Administration –  Mbeya
9
Majority Teachers College – Mbeya
10
Rukwa College of Health Sciences – Sumbawanga
11
MAM Institute of Education – Mbeya
12
Belvedere Business and Technology College – Mwanza
13
Geita Medical Laboratory Sciences and Nursing Training College – Geita
14
Global Community College – Geita
15
Muleba Academy Institute – Muleba
16
St. Bernard Health Training Institute – Katoro, Geita
17
Victoria Institute of Tourism and Hotel Management – Mwanza
18
Gisan Institute of Health Sciences – Mwanza
19
Dar es Salaam Institute of Business Management – Dar es Salaam
20
SAMFELIS College of Business Studies – Dar es Salaam
21
Ellys Institute of Technology – Bunda, Mara
22
Tanzania Institute of Chartered Secretaries and Administrators – Arusha
23
Emmanuel Community College – Kibaha
24
Modern Commercial Institute – Dar es Salaam
25
Marian College of Law – Dar es Salaam
Jedwali 2: Vyuo vya Ufundi vinavyotoa mafunzo ambayo hayajathibitishwa
S/N
CHUO
MAFUNZO
1
MISO Teachers College – Mafinga
Competence Building Network (CBN) - a Certificate in Early Childhood Education
2
Tusaale Teachers College - Mafinga
Competence Building Network (CBN) - a Certificate in Early Childhood Education
3
The St. Joseph’s College Institute of Business and Management (SJCIBM) – Morogoro

4
The Golden Training Institute – Dar es Salaam






5
Nkrumah Mkoka Teachers College – Kongwa, Dodoma

6
National Institute of Agriculture (Chuo cha Kilimo cha Taifa) – Arusha

7
Musoma Utalii Training College – Musoma

8
Mwanza Polytechnic Institute – Mwanza

9
Mwanza Polytechnic Institute – Maswa

10
Ruter Institute of Financial Management – Mwanza

11
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Mwanza

12
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Geita

13
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Bukoba

14
Singni International Training Institute – Bukoba

15
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Kahama

16
Dar es Salaam Institute of Journalism and Mass Communication – Simiyu

17
Richrise Teachers College – Geita

18
Twiga Training Institute – Musoma

19
Zoom Polytechnic Institute – Bukoba

20
St. Thomas Training College – Shinyanga

Jedwali 3: Vyuo vya Ufundi vyenye Vituo vya Satellite / Kampasi
S/N
CHUO
1
MISO Teachers College – Mafinga
2
Rungemba Teachers College – Mafinga

WLAC WAIOMBA SERIKALI KUBADILI SHERIA YA MIRATHI YA KIMILA INAYOMKANDAMIZA MWANAMKE

$
0
0
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake na Watoto (WLAC), Theodosia Muhulo (kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika Ofisi zao zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam, leo kuhusu kuiomba Serikali kubadilisha sheria ya Mirathi ya Kimila inayomkandamiza Mwanamke wakati inapotokea mume kufariki. Kushoto ni Mkurugenzi wa Umoja wa Wajane Tanzania (TAWIA) Rose Sarwatt.

Aidha Muhulo, alisema kuwa kumekuwa kukitokea matukio kadhaa ya kunyanyaswa wajane pindi anapofariki mume, ambapo alitoa takwimu kuwa hadi sasa mkoa unaoongoza kwa matukio hayo ni Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Kyela.
Mkutano ukiendelea 
Mkutano ukiendelea
Mkurugenzi wa Umoja wa Wajane Tanzania (TAWIA) Rose Sarwatt (kushoto) akizungumzia kuhusu Wajane waliofanyiwa matukio ya kunyanyaswa na ndugu wa mume baada ya mume kufariki.
Mjane Elizabeth Stefano mkazi ya mkoani Mbeya, akitoa ushuhuda wa mambo aliyofanyika na shemeji yake mdogo wa marehemu mumewe.
Mjane Salome Charles, kutoka Mbeya akitoa ushuhuda wa mambo aliyofanyika na wanandugu wa mume.
*****************************************************
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UTEKELEZAJI WA MRADI WA UPATIKANAJI WA HAKI KWA WANAWAKE KUPITIA MKATABA WA CEDAW NA ONGEZEKO LA MASHAURI YA MIRATHI YALIYORIPOTIWA WLAC NA KATIKA VITUO VYA WASAIDIZI WA KISHERIA VINAVYORATIBIWA NA WLAC.

Ndugu wanahabari,
Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) ni Shirika lisilo la kiserikali linalotoa huduma ya msaada wa sheria kwa wanawake na watoto, kujenga uelewa wa jamii juu ya sheria na haki za binadamu hususani haki za wanawake na watoto ili kuondokana na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto na kuishawishi serikali ili kutunga sera na sheria zenye mtazamo wa kijinsia. Kwa takribani miaka 27 sasa, WLAC imekuwa mstari wa mbele katika kutoa huduma hii ya msaada wa sheria ambapo maelfu ya wanawake wenye matatizo ya kisheria wameweza kufaidika.

Ndugu wanahabari,
Kuanzia Mwezi Oktoba, 2015, WLAC imekuwa ikitekeleza mradi wa upatikanaji wa haki kwa wanawake kupitia mkataba wa Kuondoa Aina Zote za Ubaguzi dhidi ya Wanawake (CEDAW). 

Mradi huu ulianza baada ya WLAC kupata tuzo mnamo kutoka katika kamati ya Umoja wa Mataifa ya Mkataba wa Kuondoa Aina Zote za Ubaguzi dhidi ya Wanawake (CEDAW) kutokana na taarifa iliyowasilishwa na WLAC katika kamati hiyo kuhusu kesi mkakati ya kupinga Sheria ya Mirathi ya Kimila inayowanyima wajane fursa ya kurithi. 

Kupitia mradi huo, WLAC kwa kushirikiana na wasaidizi wa kisheria pamoja na wadau wengine wa haki za binadamu imeweza kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kuelimisha jamii kuhusu sheria zinazohusu masuala ya wanawake na watoto (hususani watoto wa kike) kama vile Sheria za Mirathi, na uwepo wa Mikataba mbalimbali ya Kikanda na Kimataifa kama vile Mkataba wa Kuondoa Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (CEDAW) ambayo nchi yetu imeridhia na namna ya kutumia mikataba hiyo kudai haki za wanawake na watoto (hususan watoto wa kike)

Ndugu wanahabari,
Katika kutekeleza mradi huo, WLAC iliweza kufanya midahalo mbalimbali katika mkoa wa Dar es Salaam na Shinyanga ambapo imefikia watu zaidi ya 200 (mia mbili). 
Kufanyika kwa midahalo hii katika mkoa wa Shinyanga ni kutokana na ukweli kwamba, huu ndio mkoa ambao wanaishi wajane wawili (ambao wapo hapa leo) walioathiriwa moja kwa moja na Sheria ya Mirathi ya Kimila kwa kunyimwa usimamizi wa mirathi pamoja na kunyang’anywa mali zilizoachwa na marehemu waume zao. 

Wajane hawa ndio waliosaidiwa na WLAC kufungua kesi mkakati ya kupinga Sheria ya Mirathi ya Kimila ambayo ni ya kibaguzi. 
Kesi hiyo ilifunguliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam mnamo mwaka 2005 na kutolewa uamuzi mwaka 2006.

 Katika uamuzi huo, Mahakama ilikubaliana na ukweli kuwa baadhi ya vifungu vya sheria hiyo ni vya kibaguzi lakini ikasema kwamba “haiwezekani kufanya mabadiliko ya kimila kwa tamko la kisheria”. 

Mahakama pia ilidai kwamba, kubadili Sheria ya Kimila kutakuwa ni chanzo cha matatizo mengi yasiyofikiriwa yatakayoibuka kutoka katika mila zote za kibaguzi zilizopo katika makabila zaidi ya 120. 

Mahakama iliamua kuwa, njia bora ya kurekebisha hali hiyo ni kupendekeza kwamba halmashauri za Wilaya zirekebishe sheria za kimila.



Ndugu wanahabari,
Uamuzi huu wa Mahakama umeendelea kugharimu maisha ya wajane na watoto wa kike kwani bado upatikanaji wa haki za mirathi kupitia Sheria ya Mirathi ya Kimila umekuwa mgumu japo mahakama zimekuwa zikijitahidi kutumia busara zaidi ya sheria. 

Hata hivyo, katika kutekeleza mradi huu wa upatikanaji wa haki kupitia mkataba wa CEDAW, WLAC imeendelea kukutana na ukiukwaji wa haki za wajane kutokana na jamii kuendelea kushikilia mila na desturi ambazo zinamnyima mjane na mtoto wa kike fursa ya kurithi. 

Vile vile, kumekuwa pia na ongezeko la mashauri ya mirathi yaliyoripotiwa WLAC na katika vitengo vya wasaidizi wa sheria vinavyoratibiwa na WLAC. Kwa mfano kuanzia Januari hadi Oktoba mwaka huu, WLAC (Kupitia huduma ya msaada wa sheria kwa njia ya simu na kliniki zake za Dar es Salaam, Kasulu, Kibondo na Muleba) imeweza kupokea mashauri mapya ya Mirathi 243 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 8.6 % ukilinganisha na mashauri 222 yaliyopokelewa mwaka 2015. 

Vile vile wateja 578 wa mwendelezo wenye mashauri ya mirathi walihudumiwa katika kipindi hicho cha Januari hadi Oktoba 2016. 

Hivyo,kufanya idadi ya mashauri yote ya mirathi yaliyopokelewa katika kituo kufikia 821. Kwa upande wa wasaidizi wa kisheria kutoka mikoa ya Pwani, Morogoro, Dodoma, Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Singida, Tabora,Shinyanga, Mwanza, Kigoma, Iringa, Mbeya, Rukwa, Lindi na Mtwara, idadi ya mashauri 811 ya mirathi yaliweza kupokelewa kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Oktoba, 2016. 

Wasaidizi wa kisheria kutoka mkoa wa Mbeya –Wilaya ya Kyela wameonekana kuongoza kwa kupokea mashauri 153 ya mirathi. 

Hii inadhihirisha wazi kwamba tatizo la mirathi bado ni kubwa katika jamii na hivyo jitihada madhubuti zinahitajika ili kuweka mazingira rafiki ya upatikanaji wa haki kwa wajane na watoto ikiwemo kuwepo kwa Sheria ya Mirathi inayoheshimu haki za wanawake na kuthamini usawa.

Hivyo basi, Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) kwa kushirikiana na Wasaidizi wake wa Kisheria, Chama cha Wajane Tanzania(TAWIA), Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wajane na Watoto (CWCA) pamoja na wajane walioathiriwa na Sheria ya Mirathi ya Kimila, kinatoa wito kama ifuatavyo:

1. Serikali kulipa kipaumbele suala la marekebisho ya Sheria ya Mirathi ya Kimila kwani sheria iliyopo ni ya kibaguzi na kandamizi kwa wanawake na watoto wa kike hivyo kuchangia kurudisha nyuma jitihada za mwanamke kujikwamua kiuchumi. 

 Hata hivyo, Sheria hii inakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (Kama ilivyofanyiwa mabadiliko ya mara kwa mara) na Mikataba mbalimbali ya Kikanda na Kimataifa kuhusu haki za wanawake na watoto ambayo serikali yetu imeridhia. 

2. Serikali kutekeleza mkataba wa CEDAW kwa kuufanya kuwa sehemu ya sheria za nchi.

3. Serikali kufanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na Kamati ya Mkataba wa Kimataifa wa Kuondoa Aina Zote za Ubaguzi dhidi ya Wanawake (CEDAW) kupitia Taarifa Na. 48/2013 ambayo ilihusisha malalamiko yaliyowasilishwa na wajane wawili ambao wameathiriwa na Sheria ya Mirathi ya Kimila. 

4. Serikali kutoa elimu kwa jamii ili kuondokana na mila potofu dhidi ya wanawake na watoto na kuwatendea haki badala ya kuwanyanyasa kwa namna mbalimbali.

Tamko hili limetolewa na Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) kwa kushirikiana na wasaidizi wa kisheria wa mikoa ya Pwani, Morogoro, Dodoma, Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Singida, Tabora, Shinyanga, Mwanza, Kigoma, Iringa, Mbeya, Rukwa, Lindi na Mtwara, Chama cha Wajane Tanzania(TAWIA) na Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wajane na Watoto (CWCA)

ASANTENI KWA KUTUSIKILIZA

IMESAINIWA
THEODOSIA MUHULO
MKURUGENZI MTENDAJI (WLAC)

TIMU YA WIZARA YA HABARI NA TIMU YA WIZARA YA ELIMU ZACHUANA VIKALI KATIKA FAINALI YA SIKU YA KISUKARI DUNIANI

$
0
0
 Wachezaji wa Timu ya soka ya Wizara ya Habari jezi (bluu) wakisalimiana na wachezaji wa timu ya Wizara ya Elimu kabla ya pambano la fainali la kombe la maadhimisho ya kisukari duniani lililofanyika uwanja wa Amani. Katika pambano hilo Habari ilishinda mabao 4-3.

 Mshambuliaji Yussuf Saleh wa timu ya Habari akimtoka mlinzi wa timu ya Elimu Shaaban Naimu katika pambano la fainali la kombe la kisukari lililofanyika uwanja wa Amani, Habari ilishinda mabao 4-3.
 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo (katikati) akifuatilia pambano la fainali la kombe la kisukari kati ya timu ya Wizara ya Habari na Wizara ya Elimu lililofanyika Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar.

 Waziri Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi kombe la mashindano ya kisukari nahodha wa timu ya Wizara ya Habari Mussa Abdlaa (fujo) baada ya kuilaza Elimu mabao 4-3 katika mchezo wa fainali ulifanyika Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar.
Mabingwa wa kombe la kisukari timu ya Wizara ya Habari wakiwa katika picha ya pamoja na kombe la walilonyakuwa la michuano ya kisukari yaliyoshirikisha Wizara nane za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.

MADEREVA BODABODA WAWALAMIKIA ASKARI WA VODAFASTA

$
0
0
 katibu tawala wa Wilaya   ya Arusha Arusha David Mwaki
posa  akiwa anaongea na waendesha bodaboda wa  wilaya ya Arusha
 waendesha bodaboda wakiwa wanamsikiliza katibu tawala wa wilaya kwa makini



Na Woinde Shizza,Arusha



 Baadhi ya Vijana wa mkoa wa Arusha  wanaofanya kazi ya kuendesha bodaboda  wamelalamikia kitendo cha polisi wajulikanao kwa jina la Voda fasta kuwatoza rushwa kila kona  pamoja na jiji kutowapa mikopo ya Vikundi jambo ambalo wamedai linawanyima raha na uhuru wa kufanya kazi .



Hayo wamesema leo wakati mkutano baina yao na katibu tawala wa Wilaya   ya Arusha Arusha David Mwakiposa wakati alipokutana nao kusikiliza kero zao zinazowakabili vijana hao ambao wanaendesha bodaboda



Mbali na kero hiyo pia wameilalamikia Halmashauri ya jiji la Arusha kwa kushindwa kuwapa mikopo ambayo inaweza kuwasaidia  kujiajiri wenyewe .



Mmoja wa vijana hao bodaboda ambae alijitambulisha kwa jina la Daudi Molel alisema kuwa wamekuwa wakipata kero sana haswa kutoka kwa hawa askari polisi wanaojulikana kwa jina la Vodafasta kwani wamekuwa wakiwakamata hovyo na wamekuwa wakiwatafutia makosa mengi ili mradi tu wapewe rushwa.



“uanajua unakuta mimi nimeshusha abiria gafla wanakuja anaanza kukutafutia makosa kibao ukikataa wanachomoa fungua wanaondoka nazokitu ambacho sio kizuri kabisa na akirithishi kabisa ,mimi nimeajiriwa tajiri amenituma fedha naitaji kupitia hiii hii bodaboda yangu nilishe familia nivalishe sasa jamani wanavyotudai rushwa kila mahali wanapotukamata wanatuhumiza sana tunaomba serikali itusaidie kwa hili “Alisema Asea Akyooo



 Aidha aliongeza kuwa kwa upande wa jiji wamekuwa wanatoa fedha za mikopo kwa kificho sana  kwani wamekuwa wanatoa fedha hizo kwa upandeleo na wanachagua vijana wa kuwapa na wao kama maderea bodaboda wamesahaulika kabisa hivyo wanauomba uongozi usika wawafikirie  na wao ili waweze kupata mikopo  kwa ajili ya kujinunulia pikipiki zao binafsi na waweze kujiajiri.



Akijibu hoja hizo katibu tawala wa   wilaya ya Arusha David Makiposa aliwasihi vijana hao kuunda vikindi na serikali ya wilaya ya Arusha ipo tayari kuwasimamia  kuhakikisha nao wananufaika na pesa za mikopo ya jiji  na serikali imeshatoa maelekezo  kwa uongozi wa jiji kuhakikisha katika fedha watakazotoa kwa awamu hii wahakikishe kundi la boda boda   linapewa kipaumbele cha kipekee.



Alisema kuwa   dhamira ya dhati ya serikali  ni kutatua kero za wananchi  kwa haraka iwezekanavyo  ,hivyo azma ya serikali ya awamu ya tano  ni kila kiongozi ama mtendaji anatatakiwa kutatua kero  zilizopo  katika eneo lake ipasavyo ivyo hana  sababu ya kukaa ofsisini wakati kuna maelfu ya  wananchi  wanyonge wanateseka mtaani na wakiwa wanakabiliwa na  kero  mbalimbalimbali.



Pia  alitumia muda huo kuwashukuru  watendaji wa kata kwa akuanza kutatua kero za wandesha bodaboda hao  na kuwaagiza wengine kwenda kuweka program maalumu  za kukaa na bodaboda na kuwasaidia shida zao  na aliaidi kuendelea kuwafatilia.



Aidha  katika mambo ambayo kikao hicho kiliazimia ni pamoja na kuundwa  uongozi wa wilaya  kila kata ,kanda ya wilaya  ndani ya siku saba ili waendesha bodaboda wapate chombo cha kuwasemea matatizo yao.
Viewing all 46343 articles
Browse latest View live




Latest Images