Quantcast
Channel: JIACHIE
Viewing all 46205 articles
Browse latest View live

NEWZ LIVE KUTOKA IRINGA;wananchi wa mufindi waombwa kununua hisa benki ya wananchi Mufindi.

0
0
 WANANCHI wa halmashauri ya Mufindi wameombwa kuhamasika kununua hisa zaidi katika benki ya wananchi Mufindi (MuCoBa) ili kuiwezesha benki kufungua matawi katika mikoa  mingine.
 
Akizungumza  katika  uzinduzi wa  huduma ya fedha kwa mashine maalum(ATM) Mkurugenzi Mtendaji wa  umoja swich Daniford Milinyi amesema kuwa ili kuiendeleza benki ya mufindi wanahitaji kuwahamasisha wananchi wanunue hisa katika benki hii.
 
Mbilinyi alisema kuwa  Mtandao huu wa umoja haushindani na benki ila unaunganisha benki lengo ni kuwa na mtandao mmoja wa mabenki nchi nzima ili kurahisisha gharama.
 
Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya mufindi Evarista Kalulu ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo amesema kuwa huduma za kifedha hasa vijijini pia imekuwa ni changamoto kutokana na uelewa mdogo wa mambo ya kifedha ,miundombinu duni na uwezo mdogo wa benki zinazowasaidia  katika vijiji kukosa mtaji.
 
Kalulu alisema kuwa Napenda kuchukua nafasi hii kuwahamasisha wananchi wote kununua hisa katika benki yetu ili kuongeza mtaji na hivyo kuiwezesha benki kutanua huduma zake zaidi na wadau kusiriki kuongeza huduma za kifedha vijijini na kuboresha miundombinu mbalimbal ili kuongeza idadi a wananchi watakao pata huduma kamili za kifedha
 
Naye  Meneja mkuu wa benki ya MuCoBa Danny Mpogole amesema kuwa lengo kuu la kuanzisha mfumo huu wa kifedha kwa kushirikiana na wa mabenki nchini na kuwawezesha wateja wa MuCoBa kupata huduma za kifedha  katika maeneo mengine nje ya mafinga bila usumbufu kwa kutumia kadi ya umoja swich.
 
Sambamba na hayo Amezitaja sababu zingine ni pamoja ni kutanua wigo wa huduma za kifedha katika nchi yetu,pia mteja wa  MuCoBa  mwenyekadi ya ATM aatapata kuduma za kifedha kwa kutumia simu ya mkononi.
 
Pia amebainisha kuwa ATM imekubwa na changamoto ya wizi wa fedha ,hasa kutokana na kukua kwa teknolojia Tunapenda kukuhakikishia kuwa benki tayari imeshaweka tahadhari mbalimbali katika kupambana na changamoto hii” alisema Mpogole

Nah reel akizungumzia kifo cha langa toka jijini kampala nchini uganda

0
0

TAWOPHA yatembelea kituo cha watoto yatima

0
0
 
 Katika kuadhimisha siku ya Famasi kwa nchi za Jumuiya ya Madola (Commonwealth Pharmacy Day) ambayo hufanyika kila mwaka tarehe 16 Juni 2013, Chama cha Wanawake katika fani ya Famasi (TAWOPHA) kilitembelea watoto yatima katika kituo cha kulelea watoto cha Kurasini (Kurasini Orphanage Centre). Katika ziara hiyo TAWOPHA ilitoa msaada wa Dawa, kula keki na vinywaji, kuongea na kucheza na watoto. Watoto wa Kurasini walifuraji saNA

Serena Hoteli na Montage Ltd wala chakula cha Mchana na Watoto waishio kwenye mazingira magumu

0
0
 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Montage Ltd,Teddy Mapunda akisaidia kuwapatia Watoto vinywaji wakati wa hafla fupi ya Chakula cha Mchana kilichoandaliwa na Hoteli ya Serena pamoja na Kampuni ya Montage,kwa Watoto wainshio katika Mazingira Magumu wa Kituo cha Pasada,Kilichopo Temeke jijini Dar es Salaam.Hii ilikuwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.
 Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena,Seraphin Lusala (kulia) akiwa sambamba na Meneja Mkuu Msaidizi wa Hoteli hiyo,Daniel Sambai wakisaidiana kuwapatia Watoto vinywaji wakati wa hafla fupi ya Chakula cha Mchana kilichoandaliwa na Hoteli ya Serena pamoja na Kampuni ya Montage,kwa Watoto wainshio katika Mazingira Magumu wa Kituo cha Pasada,Kilichopo Temeke jijini Dar es Salaam.Hii ilikuwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.
 Kazi ikiendelea.
 Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena,Seraphin Lusala akizungumza machache wakati wa hafla hiyo,iliyofanyika kwenye ukumbi wa Maquee uliopo ndani ya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
  Watoto wakipata chakula.
Baadhi ya wafanyakazi wa Hoteli ya Serena.Picha na Othman Michuzi.

Fly540 signs interline deal with Qatar Airways

0
0
Fly540 has signed a deal with Qatar Airways to extend the reach of the Qatar national airline to a range of domestic and regional destinations currently served by Fly 540. Under the terms of the agreement, Qatar Airways’ passengers will be able to connect with a Fly540 Kenya flight at Jomo Kenyatta International Airport in Nairobi and fly to destinations within Fly540 Kenya’s network using one itinerary.

This will ensure that passengers have seamless, through-baggage and hassle-free onward connections to some of Kenya’s most beautiful destinations, including Eldoret, Kisumu, Lamu, Lodwar, Malindi and Mombasa and also across the border into Juba and Zanzibar’.

Qatar Airways flies twice daily between Nairobi and Doha, where travellers can connect with flights to cities across Europe, the Middle East and Asia Pacific. Qatar Airways said its choice of Fly540 Kenya as a interline partner reflects the Doha-based carrier's investment in East Africa as a strategic region.

A spokesperson for Fly540 Kenya said the deal demonstrated that the carrier is a credible airline that can offer a lot to airlines such as Qatar Airways. "We are delighted to have signed this interline agreement with Qatar Airways, which is our first such agreement," said Don Smith, CEO of Fly540 Kenya. "This deal expands our flight network beyond Africa and to a key growth-area of the Middle East."

Meanwhile,Fastjet’s executive chairman David Lenigas stepped down with immediate effect on June 10, and will be replaced by CEO Ed Winter on an interim basis, said the airline. Winter said Lenigas is leaving the post to concentrate on his other business ventures. Lenigras said his decision reflected a looming shift in the carrier’s operations and ownership.

"This is a time of transition for Fastjet both operationally and in terms of shareholder structure as its major shareholder, Lonrho, is likely to have a new owner in the coming weeks as a result of the current offer for Lonrho," he said. "It therefore seems to be a good time for me to step down to pursue my other interests and hand over the reins as Fastjet moves to the next stage of growth." FS Africa, representing a group of Swiss investors, agreed last month to take over Lonrho for £175m.

Lenigras’s resignation also follows the carrier’s announcement a few days back of its decision to terminate a securities deed with Bergen Global Opportunity Fund. In March, Fastjet closed a deal with the New York-based fund for £15.68m to support the airline’s growth.

DC Kipozi ataka watoto walindwe

0
0
MKUU wa Wilaya ya  Bagamoyo, mkoani Pwani, Ahmed Kipozi ameitaka jamii kuhakikisha inashughulikia suala la kuwalinda watoto ikiwemo suala la ukatili, mila kandamizi na utumikishaji usiofaa.

Kipozi alisema hayo jana jumapili alipokuwa mgeni rasmi wakati wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika inayofanyika kila mwaka Juni 16.


Akihutubia wananchi, pamoja na watoto wakiwemo  kutoka shule mbalimbali za msingi za Wilaya hiyo, alisema kuwa Jamii inajukumu kubwa ya kuakikisha suala la ulinzi linatekelezwa kwa pamoja hasa katika kumlinda mtoto.


“Kumlinda mtoto na mila kandamizi ni jukumu letu, nasi hatuna budi kuwahakikishia hilo pamoja na kutokomeza vitendo viovu dhidi yao” alisema Kipozi. Pia alieleza kuwa wajibu wa kila mmoja ni kuhakikisha watoto wanakuwa kwenye ustawi bora katika makuzi yao ilikuweza kutimiza malengo yao mbalimbali pindi watakapofika ukubwani.

kwa upande wake, mmoja wa wazee wa Mila wilayani hapa, Rashid Yusufu Sekamba alisema kuwa watahakikisha wanaachana na mila potofu ilikuendana na wakati ikiwemo suala la unyago kwa watoto wa kike.


“Tumesikia sana kilio chenu watoto, juu ya mila potofu hasa unyago, tutachukua hatua na hata kulimaliza..Mimi sijui huko kwenye unyago wanafundisha mambo gani, ila kama  namcheza mtoto bado yupo shule, ni lazima aende akajaribu kwa vitendo hili si sawa. Sasa unadhani hili ni sawa?, si sawa wazee wa mila tutaangalia namna ya kuachana nalo” alisema Sekamba.


Katika maadhimisho hayo, ambayo yaliratibiwa na Halimashahuri ya Bagamoyo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, Mkuu wa Wilaya alikabidhi baiskeli moja ya walemavu (wheelchair), pamoja na kupokea kandambili pea 300, vyote vilivyoolewa na Asasi ya TRACED. Sherehe za mwaka huu za mtoto wa afrika yenye kauli mbiu, “Kuondoa mila potofu zenye kuleta madhara kwa watoto: Ni jukumu letu sote”.

Kwa upande wao wajumbe mbalimbali waliotoka asasi za kiraia ndani ya wilaya hiyo walipongeza shughuli hiyo. Asasi hizo ni pamoja na HELP Foundation, Mkombozi, TRACED, HakiMtoto Foundation, BAKA, Compassion na wengine wengi.

Kwa upande wa watoto hao waliweza kuelezea na kutoa kero mbalimbali dhidi ya vitendo wanavyofanyiwa na jamii ikiwemo unyanyasaji na ukatili huku wakiomba kutambua watoto ni taifa la leo  hivyo linahitaji kulindwa.

Kupitia risala yao, watoto hao mbele ya DC, walitaka kuthaminiwa,ulinzi, kusikilizwa na yale yote ya msingi. 

President Kikwete tours Sunderland Association Football Club

0
0
 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete and Chairman and owner of Sunderland Association Football Club Mr.Ellis Short pose with some students who study football skills at the club’s Academy of Light in Sunderland this afternoon. The Club in collaboration with Symbion Power Tanzania Limited have agreed to build a state of the art football academy in Dar es Salaam at the request of President Kikwete. President Kikwete is Londo for a three days working visit.
 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete in conversation with Sunderland’s Association Football Club  Chairman and owner Mr.Ellis Short at the Club’s Stadium of Light in Sunderland this afternoon.
 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete talks to pupils attending  some lessons on football skills AND HEALTH  at Sunderland’s Association Football Club Academy of Light in Sunderland this afternoon.
 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete and his delegation pose with some students who attend football training at Sunderland’s  Association Football Club Stadium of Light Academy this afternoon. Others in picture from left are Symbion’s Power Limited CEO Mr.Paul Hinks(left), Ilala member of parliament Hon. Musa Zungu(Second left), Minister for Information,Youth ,Culture and Sports Dr.Fenella Mukangara(fourth left) and Minister for Land and Human Settlement Prof.Anna Tibaijuka(right).
President  Dr.Jakaya Mrisho Kikwete unveils Sunderland’s Association Football plaque at the club’s Academy of Light this afternoon when the President and his delegation toured the club. On the left, looking on, is the Club’s Chairman and Owner Ellis Short.(photo by Freddy Maro).

REDDS MISS KINONDONI TALENT 2013 KUFANYIKA JUNI 21 UKUMBI WA SHEKINAH GARDEN JIJINI DAR.

0
0
Warembo wa Redds Miss Kinondoni 2013 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutambulishwa mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani), kwa sasa warembo hao wameshaingia katika hoteli ya JB Belmont jijini Dar es Salaam kujinoa kwa ajili ya Redd's Miss Kinondoni Talent 2013 zinazofanyikia ukumbi wa Shekinah Garden Mbezi Beach na Fainali zinafanyika Juni 21 ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip.

==================

Na Cathbert Angelo, Kajunason Blog.

SHINDANO la Redd’S Miss Kinondoni Talent 2013 linatarajiwa kufanyika alhamisi ya Juni 25 katika ukumbi wa Shekinah Garden, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam ambalo litashirikisha warembo wapatao kumi na mbili ambao watachuana kumpata mrembo mwenye kipaji.

Akizungumza mratibu wa shindano hilo, Dennis Ssebo alisema maandalizi ya kuelekea shindano hilo yanaendelea vizuri na kueleza mshindi atakabidhiwa zawadi zake kwenye fainali ya shindano hilo ambalo litafanyika Juni 21 mwaka huu katika uwanja wa hoteli ya Golden Tulip.

“Ninachoweza kusema shindano la mwaka huu litakuwa la aina yake kutokana na kusheheni warembo bomba wenye mvuto na hivyo kuonyesha kutakuwa na mchuano mkali miongoni mwao “Alisema Ssebo.

Warembo warembo wanaotarajiwa kumenyana ni kutoka katika vitongoji vya Sinza, Ubungo na Dar Indian Ocean ambao kwa pamoja wanaunda Redd's Miss Kinondoni 2013.

Alisema kwamba shindano la mwaka huu litaandika historia mpya ya urembo kwa wilaya ya Kinondoni maana wamejipanga na kupata sapoti ya kutosha, hivyo mashabiki wa mashindano ya urembo wakae mkao wa kupata raha.

Mashindano ya Redd's Miss Kinondoni yamedhaminiwa na Redd's Original, Chilly Willy Energy Drink, Oriflame Natural Beauty Products, Times Fm, JB Belmonte Hotel, Michuzi Media Group, Michuzijr Blog, Mtaa Kwa Mtaa Blog, Fullshangwe Blog, HandeniKwetu Blog, Mrokim Blog, TheHabari.com, JestinaGeorge Blog, SufianMafoto Blog, Global Publisher, Mdimuz Blog, Lukaza Blog, MO Blog na Kajunason Blog.

AIRTEL YATOSHA YAINGIA MTAANI KWA MBWEMBWE.!

0
0
Wafanyakazi wa Airtel toka vitengo mbalimbali wakiwa wamejipanga na kushikana mikono kuashiria kuboreshwa kwa huduma yao ya Airtel Yatosha kwa wateja ambayo sasa imeboreshwa zaidi ili kumuongezea mteja muda zaidi wa kutumia kifurushi chake cha siku kwa masaa 25 toka alipojiunga. Ili mteja kujiunga anatakiwa kupiga *149*99# , tukio hili lilifanyika mwishoni mwa wiki katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi,jijini Dar.
Wakwanza ni muhamasishaji wa huduma ya Airtel Yatosha aliyevalia kijamii ya maasai Bw Petro Abraham Lucas akiwa na Wafanyakazi wa Airtel wakiwa  wameshikana mikono kama ilivyo katika tangazo lao la gazeti na televisheni kuashiria kuwa huduma ya Airtel Yatosha kifurushi cha SIKU imeboreshwa na sasa ni masaa 25, ishara hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki kwenye barabara ya Ali Hassan Mwinyi.
Mkuu wa kitengo cha Biashara mpya cha Airtel Bw, Godfrey Mugambi akiwa na wafanyakazi wenzake wakiwa wameshikana mikono kuonyesha kweli Airtel Yatosha.
Wafanyakazi wa Airtel Tanzania makao makuu Dar es salaam wakiingia barabarani huku wameshikana mikono kwa maandamano ikiwa ni tukio maalum la kuitambulisha TOSHA 24+1=25.
Kikundi cha Airtel yatosha kikitoa burudani katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi wakati ambapo wafanyakazi wote wa Airtel jijini Dar e salaam waliposhikana mikono kuashiria kuboreshwa kwa huduma yao ya Airtel Yatosha kwa wateja ambayo sasa imeboreshwa zaidi ili kumuongezea mteja muda zaidi wa kutumia kifurushi chake cha siku kwa masaa 25 toka alipojiunga. Ili mteja kujiunga anatakiwa kupiga *149*99# , tukio hili lilifanyika mwishoni mwa wiki katika barabara hiyo.

LUCY CHARLES NDIYE REDDS MISS MWANZA 2013/14!!

0
0
Redds Miss Mwanza 2013 Lucy Charles katikati, Kushoto ni Judith mshindi wa pili na kulia ni Suzan Ikombe mshindi wa tatu.
======  ======  =====
Kinyanganyiro cha kumtafuta mnyange wa mkoa wa Mwanza kwa mwaka 2013, kiliteguliwa usiku wa ijumaa baada ya Mrembo Lucy Charles msomi wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino, kuwabwaga warembo wengine 13 waliojitokeza.

Nyota ya mrembo huyo ilianza kuonekana mapema, katika mavazi yote aliyovaa, lakini zaidi aliwapagawisha mashabiki wa urembo waliofurika katika ukumbi wa Yatch club baada ya kujibu swali kwa ustadi lililouliza Ni changamoto ipi kubwa walionayo vijana wa leo.

Mshindi wa pili katika shindano hilo ni Judith Josephat na mshindi wa tatu ni Suzan Ikombe. Washindi hao watawakilisha mkoa wa mwanza katika shindano la kanda mwishoni mwa mwezi huu.

FUN ZONE KIDS SHOP@SHAMO TOWERS.

0
0

 Fun Zone kids shop, 1st floor Shamo Towers , New Ali Hassan Mwinyi Road, Mbezi Beach.


RATIBA YA MAZISHI MSANII WA BONGOFLEVA LANGA KILEO .

0
0

MWILI WA LANGA KUAGWA LEO NYUMBANI KWAO.

Mwili wa Marehemu Langa Kileo aliyefariki dunia wiki iliyopita unatarajiwa kuagwa leo nyumbani kwao Mikocheni  jijini Dar es Salaam. kwa mujibu wa ratiba ya mazishi iliyotolewa mwili wake utawasili nyumbani kwao asubuhi na heshima za mwisho kuanza kutolewa saa saba hadi saa nane baada ya hapo kupelekwa kwenye makaburi ya Kinondono kwa Mazishi

ccm yawavua madaraka baadhi ya viongozi wake wilayani makete kwa kukosa maadili..!

0
0
Na James Festo.Makete
 
Chama cha mapinduzi wilayani Makete  kimewavua  madaraka viongozi kadhaa wa chama hicho na wengine kupewa muda wa maangalizo  wakiwemo makatibu na wenyeviti  wa matawi  na  diwani wa viti maalumu  Bi: Mary mbilinyi  ambaye bado anasubiri  uamuzi kutoka katika ngazi ya mkoa ya chama chama cha mapinduzi
 
 Akitoa taarifa kwa vyombo  vya habari   katibu wa chama cha  mapinduzi   wilaya ya  Makete  Bw Miraj. J  Mtaturu   Alisema kuwa  adhabu   hiyo  kwa viongozi hao  Imetolewa  baada ya  kujadiliwa katika kikao cha kamati ya  maadili na usalama cha chama hicho na kupitshwa  na kikao cha kamati ya siasa ya kilichofanyika hapo juzi  na ndipo kuamua kutoa taarifa hiyo kwa umma kwini viongozi hao wamekuwa wakivunja sheria na taratibu za chama hicho cha siasa wilayani Makete
 
“Katika kikao cha kamati ya maadili na usalama  ya viongozi wa chama cha mapinduzi kilichofanyika  tarehe kumi na tatu mwezi  juni kilijadili  mienendo na tabia  za baadhi ya wananchi na viongozi na kupitishwa na kikao cha kamati ya siasa  waliobainika kuvunja sheria waliitwa na kujibu  tuhuma zao  na sisi tukajitosheleza na kuamua kuchukua uamuzi kama  ofisi ya chama ngazi ya wilaya” alisema katibu huyo. 
 
Akiendelea kuongea na Vyombo vya habari katibu  Huyo Aliwataja  viongozi ambao wamevuliwa madaraka kutokana na kukosa sifa ya kuwa viongozi  baada ya Kukiuka maadili  ya chama hicho kuwa ni  katibu wa tawi la Luvulunge  lililopo katika kata ya Isapulano  Wilayani Makete Bw.  Festo Chaula  na katibu wa tawi la Mago  lililopo katika Kata ya Lupalilo  Bw.Creto Ngomano.
 
Katika Hatua Nyingine katibu huyo  Aliwataja Viongozi  waliopewa onyo na Kupewa Muda wa angalizo la miezi sita  kuwa ni pamoja na  mwenyekiti wa kijiji cha Luvulunge  Bw. Daudi Mwamkinga na kiongozi mwingine ambaye ni mwenyekiti mstaafu wa chama hicho Bw Jasel Mwamwala  na kuongeza kuwa kiongozi huyo alikiri katika kikao cha kamati hiyo na gazeti hili lilipopata taarifa hii lilimtafuta kwa njia ya simu naye ailikana kuwa na taarifa ya kupewa onyo na chama hicho.
 
Pia Katibu huyo kuongea na vyombo vya habari  alimtaja diwani wa viti maalumu  Katika chama cha mapinduzi wilayani Makete  Bi. Mary Mbilinyi kuwa ni miongoni mwa viongozi ambao  wamekuwa wakivunja maadili ya chama hicho  cha mapinduzi  ambaye bado anasubrli uamuzi utakaoendana na adhabu utakaotangazwa na chama hicho ngazi ya mkoa wa Njombe
 
Aidha Katibu Huyo Akiendelea kuongea na vyombo vya habari  katika ofisi za chama hicho Aliwataka viongozi wa chama hicho kuwa makani katika utendaji wao wa kazi na kusema kuwa chama cha mapinduzi  kinamtandao mrefu  hivyo kina uwezo mkubwa w2a kuwakamata  viongozi ambao  wanakiuka katiba ya chama hicho.
 
“Nawakumbusha viongozi wa chama cha mapinduzi  kwamba chama cha mapinduzi kina mkono mrefu  kinafika hadi katika ngazi ya matawi na shina na kwamba mtu yeyote ataweza  kuukwepa mkono wa chama hichi  asiwezekurekebishwa   ni jambo lisilowezekana “ alisema katibu huyo
 
Akizungumzia suala la mchakato wa katiba katibu huyo aliipongeza tume hiyo kwa ufanyaji wa kazi mzuri  hadi uwasilishwaji wa rasimu hiyo ya katiba na kuwaunga mkono baadhi ya viongozi wa chama chake  katika kipengere cha kuwepo kwa maraisi watatu na kusema kuwa  kujiongezea gharama  zisizo na msingi
 
“Naipongeza tume ya katiba chini ya Jaji mstaafu  Warioba  kwa kazi nzuri walioifanya  hadi walipofilkia  Lakini maoni ni ya kila mtu  anaweza toa na kuhusu suala la  kuwa na maraisi watatu hilo hata mimi nalipinga kwani ni kujiongezea gharama  na jambo lingune ni suala la serikali ya shirikisho  hakuna sababu ya  kuwabebesha mzigo  watanzania na vyama vya siasa…..   alisema katibu huyo.

MAADHIMISHO YA SIKU YA DAMU SALAMA DUNIANI

0
0
Walimu wa wa shule za Mwisenge, Mtakuja na Kamnyonge Manispaa ya wilaya ya Musoma wakisubiri kutoa damu kwenye maadhimisho ya siku ya kuchangia damu salama yaliyofanyika mwishoni mwa wiki wilayani Musoma mkoani Mara, Mpango huo ulidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi Tigo.
 .Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa jamii Mh.Seif Rashidi akikaribishwa na meneja waTigo kanda ya ziwa bw. Joseph Mutalemwa kwenye maadhimisho ya siku ya damu salama wilayani Musoma. 
 Wanafunzi wa shule za Mwisenge, Mtakuja na Kamnyonge Manispaa ya wilaya ya Musoma wakiwa kwenye maandamano ya maadhimisho ya siku ya damu salama duniani, Kampuni ya simu za mkononi Tigo walikuwa wadhamini wa mpango huo.

SMZ;KASORO ZINAZOJITOKEZA KWENYE MUUNGANO ZINAPASWA KUJADILIWA KATIKA MCHAKATO WA KATIBA.

0
0


Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeeleza kuwa  kasoro zinazojitokeza katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania zinapaswa kuingizwa na kujadiliwa  katika mchakato wa Katiba unaoendelea.

Hayo yalielezwa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Muhammed Aboud Muhammed  katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi, wakati akijibu suala la Mwakilishi wa Jimbo la Wawi Saleh Nassour Juma  aliyetaka kujua vigenzo vya  uteuzi wa Waziri Mkuu unaofanywa na Rais na Zanzibar imetoa Mwaziri Wakuu wangapi tokea kuasisiwa Muungano.

Alisema Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo hadi sasa ndio inayotuongoza haikueleza vigezo vya uteuzi wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania bali imetoa mamlaka ya uteuzi huo kwa Rais, na tangu kuasisiwa kwa Muungano  hadi sasa Zanzibar imetoa  Waziri mkuu mmoja ambae ni Salim Ahmed Salim.

Alifahamisha kuwa tangu kuasisiwa kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Zanzibar haijawahi kutoa Spika wala Naibu Spika isipokuwa imewahi kutoa Mwenyekiti wa Bunge Zubeir Ali Maulid katika kipindi cha mwaka 2005/2010.

Hata hivyo Waziri Aboud alisema kuwa  nafasi bado ipo ya kuweza kueleza kero  zilizopo ambazo zinaonekana kwamba ni ukiukwaji wa Katiba ya Jamhuri ya Muuungano ya Tanzania.

Alikiri kuwa ipo hati ya makubaliano na maridhiano ya kikatiba kwa nchi  zote mbili zilizokuwa huru na mamlaka yake kamili na pia si kweli kuwa Zanzibar haina wasomi .

Waziri alieleza kuwa kero za Muungano bado zipo na ndio sababu moja wapo ya  kuanzisha mchakato wa katiba ili kuzitafutia ufumbuzi  kero hizo.

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesema  kuwa wanavyojuwa  ni kua Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi moja kero zilizozopo zinafanywa kwa makusudi.

Na Khadija Khamis – Maelezo Zanzibar 17/06/2013.

SMZ YAANDAA MPANGO ENDELEVU WA UPANDAJI MITI UNGUJA NA PEMBA

0
0
               Serikali  ya Mapinduzi   ya  Zanzibar inaendelea  kuandaa  mpango  endelevu wa upandaji miti ili kuhakikisha suala la upandaji   miti katika maeneo mbali mbali ya Unguja na Pemba linafanikiwa .
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais  Fatma Abdullhabibu Fereji alipokuwa akijibu suala la Mwakilishi wa jimbo la Wawi Saleh Nassor Juma alietaka kujua mikakati ambayo Zanzibar imeanda katika kufanikisha zoezi la upandaji miti ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya Nchi ikiewmo Mabadiliko ya Hali ya Hewa.
Waziri Ferej amesema kuwa Wataalamu wa Idara ya Mazingira, Idara ya Misitu na  Mali asili zisizorejesheka, Idara ya Mipango Miji na Vijiji pamoja na Idara ya Uratibu wa Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa  wanaendelea na Utarishaji wa mpango huo .
Ameongeza kuwa lengo la Serikali ni kuwa na  Mpango  wa kudumu wa kupanda na kuituza miti, ikiwemo ya Matunda kwa kuwashirikisha wananchi  wote.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa kwanza wa Rais amesema wakati mpango huo unaendeloea kutaarishwa, Idara ya Misitu na Mali Asili zisizohamishika imekuwa ikiendelea  kupanda miti kila mwaka.
 Akitoa mfano katika kipindi cha mwaka jana, jumla ya hekta 270 zimepandwa  Miti kipindi cha masika na vuli  katika sehemu mbali mbali Unguja na Pemba.
Mpango huo endelevu wa upandaji Miti unatarajiwa  kuzinduliwa Mwaka huu wakati wa kipindi cha mvua za vuli. 
Khadija Khamis / Habari Maelezo Zanzibar  .                                                       
 IMETOLEA NA IDIARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR. 

SEMINA YA WASTAHIKI MEYA,WENYEVITI NA HALMASHAURI ZA MIJI,MANISPAA KANDA YA KASKAZINI YAFANYIKA JIJINI ARUSHA.

0
0
 Baadhi ya wajumbe walioshiriki kwenye semina hiyo katika picha ya pamoja. 
SEMINA YA WASTAHIKI MEYA, WENYEVITI WA HALMASHAURI, WENYEVITI WA KAMATI ZA UKAGUZI NA WAKAGUZI WA NDANI WA HALMASHAURI ZA MAJIJI, MANISPAA, WILAYA NA MIJI  KANDA YA KASKAZINI YAFANYIKA MKOANI ARUSHA KATIKA UKUMBI WA NAURA SPRING

 Sekretarieti katika picha ya pamoja na mgeni rasmi katika semina hiyo.. 

 Wadau wa Semina hii wakisikiliza kwa makini hoja zilizokuwa zinatolewa. 

 Kutoka kulia niKaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Mwanga Ekzaudi (Mgeni rasmi) na Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali Msaidizi Bw. Constantine Mashoko wakipiga makofi katika ufunguzi huo.

 Baadhi ya Sekretarieti ya maandalizi ya mkutano huo wakifanya mapitio ya mada ambazo ziliwasilishwa katika semina hiyo kutoka kushoto ni Bw. Elikira Mathew, Bi. Lightness Mality pamoja na Bi. Wapheba Setembo. 

 Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali Msaidizi Bw. Constantine Mashoko akitoa hotuba ya kumkaribisha mgeni rasmi.

 Wadau wa Semina hii wakisikiliza kwa makini hoja zilizokuwa zinatolewa. 

 Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Mwanga Ekzaudi ambaye ndio alikuwa mgeni rasmi katika Semina hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Watoa mada katika semina hiyo, kutoka kushoto ni Mkaguzi wa Ndani Chuo Kikuu cha Mzumbe Bw. Barikiel Nkinda, Mkaguzi Mkuu wa Ndani Tume ya Pamoja ya Fedha Bw. Cassim Mambo na Mkaguzi Mkuu wa Ndani Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) Bw. Alphonce Muro.

 Kutoka kushoto ni Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali Msaidizi Bw. Constantine Mashoko, Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Mwanga Ekzaudi na Mkaguzi wa ndani Mkuu wa Serikali Msaidizi (Uhakiki wa ubora wa ukaguzi wa ndani) Bw. Chotto Sendo wakisikiliza hoja za wadau wa ukaguzi wa ndani hawamo pichani .
Mkaguzi Mkuu Mwandamizi Manispaa ya Moshi Bw. Raphael Mseja ambae ni mjumbe wa semina hiyo katika mahojiano na waandishi wa abari.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini – Wizara ya Fedha.

MATOKEO – UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI - TAREHE 16/06/2013

0
0

CCM YALAANI TUKIO LA MLIPUKO WA BOMU JIJINI ARUSHA,YAITAKA SERIKALI IKOMESHE VITENDO HIVYO NCHINI.

0
0
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza  na waandishi wa habari leo mjini Dodoma.

=====  ======  =======

 Itakumbukwa tarehe 16/06/2013 ilikuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa madiwani kwa baadhi ya kata nchini. Uchaguzi huo umefanyika kwenye kata ishirini na mbili (22)  kati ya kata ishirini na sita (26) zilizotangazwa kufanya uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi wazi.



 Matokeo tuliyoyapata toka kwenye maeneo yaliyofanya uchaguzi yanaonyesha kuwa kati ya kata 22 zilizofanya uchaguzi CCM tumeshinda kata 16 sawa na asilimia 72.72% na wenzetu wamechukua kata 6 zilizobaki sawa na asilimia 27.28%.



 Tunawashukuru sana kote walikoonyesha imani yao kubwa kwa Chama chetu kwa kutupa dhamana ya kuendelea kuwatumikia. CCM inawaahidi utumishi uliotukuka. Hata wale 27.28% walioamua kuwajaribu wenzetu, tunawatakia kila lakheri, kwani wametumia haki yao ya kidemokrasia kuchagua wanaodhani watawasaidia kufikia malengo yao ya kimaendeleo. Uchaguzi kwenye kata hizi zote umeisha sasa tuwatumikie wananchi.
 Kata nne za jiji la Arusha hazikufanya uchaguzi baada ya kuahirishwa kufuatia tukio la kusikitisha la kulipuka kwa bomu kwenye mkutano wa kampeni wa Chadema mjini Arusha tarehe 15/06/2013.



 CCM tunalaani tukio hilo la mlipuko wa bomu na matukio yanayofanana na hayo katika nchi yetu. Tunawapa pole wale wote walioathirika na tukio hilo. Ni vizuri serikali ikalichunguza swala hili kwa kutumia muda mfupi na kuhakikisha waliohusika wanapatikana na kuchukuliwa hatua zinazostahili.



 Pamoja na kulaani na kuitaka serikali kukomesha vitendo hivi nchini, ni wakati muafaka kwa vyama vya siasa nchini kujitazama upya kwani kuna kila dalili kuwa tukio hili kama alivyonukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari mhe. Mbowe Mwenyekiti wa Chadema Taifa kuwa ni la kupangwa, inawezekana limepangwa na Chadema wenyewe.


 Hali ya kisiasa jijini Arusha kuelekea uchaguzi huo ilikuwa wazi kuwa wana Arusha walishaamua kuzirudisha kata hizo nne kwa CCM, hasa baada ya kuchoshwa na maandamano na vurugu za kila siku jijini Arusha. Aidha kauli za kukata tamaa za viongozi wa Chadema na vitendo vyao ni dalili tosha kuwa tukio hili lilipangwa na Chadema wenyewe.



 CCM tunaendelea kusisitiza na kulaani juhudi za wenzetu kujaribu kujenga umaarufu wa chama chao juu ya damu za Watanzania. Juhudi hizi zinapaswa kulaaniwa na wazalendo wote ndani na nje ya nchi. Tukumbuke asiyekubali kushindwa, si mshindani. Si busara wala uungwana na ni kinyume na utu kutumia majanga ya kutengeneza kama mtaji wa kisiasa.

Lakini CCM tunalaani pia kitendo cha viongozi wa Chadema kujaribu kutumia baadhi ya misiba na majeruhi wa tukio hili kisiasa na mwisho wa siku kwenda kuwatelekeza hospitali baadhi yao baada ya kuwaahidi kubeba gharama zote za matibabu na mazishi.Tunaipongeza serikali kwa kuingilia kati na kuwasaidia waathirika hawa na kuhakikisha wanapata huduma inayostahili.



 CCM inarudia kueleza masikitiko yake kwa waathirika wa tukio hili la kinyama na kikatili lisilostahili kuvumiliwa hata kidogo. Kama Chama tumeguswa sana na tukio hili pamoja na kulilaani, tunawasihi watanzania tushindane na kutofautiana bila kupigana na kuvunja tunu ya nchi yetu ya amani na utulivu. Katika demokrasia ya vyama vingi swala la kuvumiliana ni swala la msingi sana katika kufikia ukomavu wa demokrasia hiyo.



 Imetolewa;
Nape Moses Nnauye
Katibu wa CCM Itikadi na Uenezi.
17/06/2013 .

MAENDELEO YA MSIBA WA JEROME MPEFO HUKO HOUSTON,TEXAS

0
0
20130616-154106.jpg Ndugu wanajumuiya, Kamati ya msiba Inapenda kuwashukuru Wanajumuiya wa Houston, watanzania waishio nje ya Houston na watu wa mataifa mengine kwa kufanikisha shughuli ya harambee ya kukusanya pesa za kusafirisha mwili wa marehemu Jerome kuelekea nyumbani Tanzania. Mmeonyesha moyo mkubwa wa upendo na ushirikiano na tunawaomba muendelee na moyo huo. 

 Tunatarajia kusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani Tanzania Alhamisi (06/20/2013) au Ijumaa (06/21/2013). ​ Kutakuwa na misa ya kumuombea marehemu pamoja na kutoa heshima za mwisho siku ya Jumane Tarehe 18 mwezi wa sita (06/18/2013) Mahali na muda ni kama ifuatavyo hapo chini: Address: St. Cyril of Alexandria Catholic Church 10503 Westheimer Rd. Houston TX 77042 Phone: 713-789-1250 Muda: 3:00 PM – 4:00 PM Viewing 4:00 PM – 5:30 PM Misa 5:30 PM – 6:00PM Viewing Note: Shughuli itaisha 6:00PM (kanisa linafungwa muda huo)
Viewing all 46205 articles
Browse latest View live




Latest Images